Inaleta maana kubwa kwanini walitaka kukuuwa kusimami hivi vitu ni hatari ilikuwa na uwezo wa kulinyamazia kama wengine asante Olesendeka kwa uzalendo wako asante sana Doctor Tulia kwa kutokufanya ubabahifu wa wazi
Angela Kairuki amesomea nini... sielewi anachosimamia kwenye hiyo taarifa.. kuna tatizo huko serikalini.. inawezekana Rais ana team nyingine ya kuongoza serikali tofauti na viongozi tunayoifahamu
Hapo Ole Sendeka umepigwa changa la macho. Hayo uliyo nayo ndiyo hayo. Mkimaliza uchaguzi tu wamasai mtakiona kweli kweli. Mtafikia mahali wamasai mtakimbia Inchi.
Hahahahaa...Upande bado anataka kiti chake..Upande wale watakaomfanya abaki hapo wana Malalamiko na maumivu MAKUBWA zaid....he is very wise kutembea akiwa amepiga Msamba na kukanyaga pande zote mbili....But in reality even he knows deep inside...something is not right...
Hao mawaziri wanakuchezea kweli kweli. Mbona kwani Lukuvi alipokuwa waziri wa wizara 8 zilizunguka sehemu zote za hifadhi na walienda kila sehemu zote kwa nini mnazikana hizo kamati?
Wewe kama unashukuru nini kuwa wamasai wanamshukuru Samia na wakati huo huo wanakuchukulia kila sehemu zote za Inchi ili warabu wapewe ardhi. Unachoshukuru nini?
Unashukuru nini na ulianza na kushukuru sti huyu mama yako amefanya maajabu. Kwahiyo hata Nyerere hakufanya cho chote ila Samia. Kweli uchawa ni kitu kibaya sana.
Inahusiana nini hapa..wapo wenye zero form four..wanajambisha PhD holders huko kaskazini.. uwezo wa fikra na ujenzi wa hoja haihusiani na uwezo wa kikariri vitabu vya elimu ya kizungu
Daah Ndugai alikuwa sahihi !!!
Kuna serikali ngapi nchi hii... documents zinavuja..wakibanwa wanazikana..
Napongeza uwezo wa spika wa bunge letu!
Olesendeka hao mawaziri wanakuchezea
Inaleta maana kubwa kwanini walitaka kukuuwa kusimami hivi vitu ni hatari ilikuwa na uwezo wa kulinyamazia kama wengine asante Olesendeka kwa uzalendo wako asante sana Doctor Tulia kwa kutokufanya ubabahifu wa wazi
Angela Kairuki amesomea nini... sielewi anachosimamia kwenye hiyo taarifa.. kuna tatizo huko serikalini.. inawezekana Rais ana team nyingine ya kuongoza serikali tofauti na viongozi tunayoifahamu
Hivi huyo jenista ni lazima apewe hiyo nafasi alionayo?
Mamaaeeee mawazir empty kabsa
Kaskazini imeuzwa kwa waarabu
Huyu Waziri ni mbabe na wa hovyo, alifanya madudu sana alipokuwa TAMISEMI, Angela kairuki hafai ni mbabe sana
Hapo Ole Sendeka umepigwa changa la macho. Hayo uliyo nayo ndiyo hayo. Mkimaliza uchaguzi tu wamasai mtakiona kweli kweli. Mtafikia mahali wamasai mtakimbia Inchi.
Tuna spika makini kweli kweli ila hawa wahaya wanashida sana
Waziri Msomi Unakatalia Swala La Kuiangamiza Tanganyika
Safi tulia
Hawa mawazir hapana wanapiga watu chagala macho
Serikali ya CCM bwana mnaohuka na wamasai msiwaamini hao maccm mtakuja lia
Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu mchungu.
Hopeless
Spika yuko makini sana, nimempenda mno
Ulikuwa unapongeza nini kumbe unalalamika hivyo
Hahahahaa...Upande bado anataka kiti chake..Upande wale watakaomfanya abaki hapo wana Malalamiko na maumivu MAKUBWA zaid....he is very wise kutembea akiwa amepiga Msamba na kukanyaga pande zote mbili....But in reality even he knows deep inside...something is not right...
uyu spika wetuu ni mtu mwenye uwezo sana sema anaferishwa na mfumo
Tuambie ishu ya Shamba ya Rafikie wakati wa Ridhiwani kikwete iliendaje 😢😢😢😢
Hao mawaziri wanakuchezea kweli kweli. Mbona kwani Lukuvi alipokuwa waziri wa wizara 8 zilizunguka sehemu zote za hifadhi na walienda kila sehemu zote kwa nini mnazikana hizo kamati?
Wewe kama unashukuru nini kuwa wamasai wanamshukuru Samia na wakati huo huo wanakuchukulia kila sehemu zote za Inchi ili warabu wapewe ardhi. Unachoshukuru nini?
Unashukuru nini na ulianza na kushukuru sti huyu mama yako amefanya maajabu. Kwahiyo hata Nyerere hakufanya cho chote ila Samia. Kweli uchawa ni kitu kibaya sana.
Eti na "hata kama lipo kwa sasa sio rasmi"....hii sentensi ikoje
Hovyo kabisa
Hahahahaa...Hii unaweza kuitaje.???
Hii inastaajabisha aisee.!!! Tunapelekwa wapi.???
Inaitwa danadana
Jenista bhana😂😂😂😂
Kiukwel jenista simpendi kutoka moyoni kabisa
Imetosho pumzika
uyu wazili ni mtu wa ovyo sana
Division zero form six
Inahusiana nini hapa..wapo wenye zero form four..wanajambisha PhD holders huko kaskazini.. uwezo wa fikra na ujenzi wa hoja haihusiani na uwezo wa kikariri vitabu vya elimu ya kizungu
Ujinga et wazir hjapta mawasiliano