MNYUKANO MKALI OLESENDEKA AFUNGUKA MAZITO /MAWAZIRI WAJICHANGANYA SPIKA AINGILIA KATI"NGUMU KIDOGO"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 06. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 36

  • @MajiTakaMaji
    @MajiTakaMaji Před měsícem +4

    Daah Ndugai alikuwa sahihi !!!

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před měsícem +3

    Kuna serikali ngapi nchi hii... documents zinavuja..wakibanwa wanazikana..

  • @KabwikaIbrahim-ld8vf
    @KabwikaIbrahim-ld8vf Před měsícem +4

    Napongeza uwezo wa spika wa bunge letu!

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q Před měsícem +4

    Olesendeka hao mawaziri wanakuchezea

  • @abdulmagido5444
    @abdulmagido5444 Před měsícem

    Inaleta maana kubwa kwanini walitaka kukuuwa kusimami hivi vitu ni hatari ilikuwa na uwezo wa kulinyamazia kama wengine asante Olesendeka kwa uzalendo wako asante sana Doctor Tulia kwa kutokufanya ubabahifu wa wazi

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před měsícem +1

    Angela Kairuki amesomea nini... sielewi anachosimamia kwenye hiyo taarifa.. kuna tatizo huko serikalini.. inawezekana Rais ana team nyingine ya kuongoza serikali tofauti na viongozi tunayoifahamu

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q Před měsícem +2

    Hivi huyo jenista ni lazima apewe hiyo nafasi alionayo?

  • @Ahmed-do1wb
    @Ahmed-do1wb Před měsícem +1

    Mamaaeeee mawazir empty kabsa

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před měsícem +1

    Kaskazini imeuzwa kwa waarabu

  • @user-vl5tz6xt2m
    @user-vl5tz6xt2m Před měsícem

    Huyu Waziri ni mbabe na wa hovyo, alifanya madudu sana alipokuwa TAMISEMI, Angela kairuki hafai ni mbabe sana

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem

    Hapo Ole Sendeka umepigwa changa la macho. Hayo uliyo nayo ndiyo hayo. Mkimaliza uchaguzi tu wamasai mtakiona kweli kweli. Mtafikia mahali wamasai mtakimbia Inchi.

  • @PartySekemi
    @PartySekemi Před měsícem

    Tuna spika makini kweli kweli ila hawa wahaya wanashida sana

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 Před měsícem

    Waziri Msomi Unakatalia Swala La Kuiangamiza Tanganyika

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Před měsícem +1

    Safi tulia

  • @stevinmwanzaa1785
    @stevinmwanzaa1785 Před měsícem

    Hawa mawazir hapana wanapiga watu chagala macho

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem

    Serikali ya CCM bwana mnaohuka na wamasai msiwaamini hao maccm mtakuja lia

  • @ludovickbenjamin6104
    @ludovickbenjamin6104 Před měsícem

    Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu mchungu.
    Hopeless

  • @BeatusKLeon
    @BeatusKLeon Před měsícem

    Spika yuko makini sana, nimempenda mno

  • @YoelLufunga
    @YoelLufunga Před měsícem +1

    Ulikuwa unapongeza nini kumbe unalalamika hivyo

    • @masoudabdi6076
      @masoudabdi6076 Před měsícem

      Hahahahaa...Upande bado anataka kiti chake..Upande wale watakaomfanya abaki hapo wana Malalamiko na maumivu MAKUBWA zaid....he is very wise kutembea akiwa amepiga Msamba na kukanyaga pande zote mbili....But in reality even he knows deep inside...something is not right...

  • @boniphacesandarya2259
    @boniphacesandarya2259 Před měsícem

    uyu spika wetuu ni mtu mwenye uwezo sana sema anaferishwa na mfumo

  • @nyiqatonyiqa7114
    @nyiqatonyiqa7114 Před měsícem

    Tuambie ishu ya Shamba ya Rafikie wakati wa Ridhiwani kikwete iliendaje 😢😢😢😢

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem

    Hao mawaziri wanakuchezea kweli kweli. Mbona kwani Lukuvi alipokuwa waziri wa wizara 8 zilizunguka sehemu zote za hifadhi na walienda kila sehemu zote kwa nini mnazikana hizo kamati?

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem

    Wewe kama unashukuru nini kuwa wamasai wanamshukuru Samia na wakati huo huo wanakuchukulia kila sehemu zote za Inchi ili warabu wapewe ardhi. Unachoshukuru nini?

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem

    Unashukuru nini na ulianza na kushukuru sti huyu mama yako amefanya maajabu. Kwahiyo hata Nyerere hakufanya cho chote ila Samia. Kweli uchawa ni kitu kibaya sana.

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Před měsícem

    Eti na "hata kama lipo kwa sasa sio rasmi"....hii sentensi ikoje

  • @masoudabdi6076
    @masoudabdi6076 Před měsícem

    Hahahahaa...Hii unaweza kuitaje.???
    Hii inastaajabisha aisee.!!! Tunapelekwa wapi.???

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 Před měsícem

    Jenista bhana😂😂😂😂

  • @alexjoseph6967
    @alexjoseph6967 Před měsícem

    Kiukwel jenista simpendi kutoka moyoni kabisa

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Před měsícem

    Imetosho pumzika

  • @boniphacesandarya2259
    @boniphacesandarya2259 Před měsícem

    uyu wazili ni mtu wa ovyo sana

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 Před měsícem

    Division zero form six

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před měsícem

      Inahusiana nini hapa..wapo wenye zero form four..wanajambisha PhD holders huko kaskazini.. uwezo wa fikra na ujenzi wa hoja haihusiani na uwezo wa kikariri vitabu vya elimu ya kizungu

  • @Ahmed-do1wb
    @Ahmed-do1wb Před měsícem

    Ujinga et wazir hjapta mawasiliano