KIMEWAKA BUNGENI MPINA AMVAA BASHE ADAI NI ANADANGANYA SPIKA MTAKA MPINA ALETE USHAHIDI
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 3. 06. 2024
- KIMEWAKA BUNGENI MPINA AMVAA BASHE ADAI NI ANADANGANYA SPIKA MTAKA MPINA ALETE USHAHIDI
đJE, NA WEWE UNA HABARI?
đWASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
đWhatsApp (+255 767 400402)
đEmail: mwanahalisitvnews@gmail.com
đKWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com
Yaani Sukari tunatumia maskini? Huyu mtu vipi
Sukari haipo mitaani
Sasa Hawa wanapiga makofi ya Nini kwa Bashe!!!đ
Kumbe sukari wanatumia watu maskiniđđđ
Bashe ni muhuni anaongea kwa hisia sana lakin hakuna kitu hapo
Bashe ana akili kubwa
Yani huyu hopless kabisađđđ
Jamani,huyo si msomali kabisa !Ccm kuna mambo.Muongo sana,na huyu si ndiyo mmoja wa wale wanaomtesa mama
Kwa Nini hukuzuia Hilo la bei mbona ndio bei IPO juu
Amejisahau,naye anafoka kama kweli.!!
Mjinga kabisa huyu hakuna sukari kabisa mitaani