MWENYEKITI AMVIMBIA LAIVU MAKONDA, CHEKI WALIVYOCHENJIANA MBELE YA WANANCHI 'NIFUNGE PINGU'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 06. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 120

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519 Před 29 dny +25

    Pole sana ndugu mwenyekiti. Hayo yanayokukuta nimatokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa yaliyopita. Ulipowekwa uliona raha sasa hivi utamu umekua shubiri.

    • @user-qz2sk3is9c
      @user-qz2sk3is9c Před 21 dnem +2

      Umenena vyema lakini nae hakuwa makini kwenye kiti chake

  • @user-rc8zw6jp2y
    @user-rc8zw6jp2y Před 24 dny +3

    Hongera mh Makonda ,Mungu Akuepushe na mabaya yote

  • @Juke995
    @Juke995 Před 25 dny +8

    Mie ningekuwa mwenye kiti ningezimia tu 😂😂😂😂😂😂😂

  • @deohank5995
    @deohank5995 Před 23 dny +3

    Nimeamini wananchi wa Tanzania siyo WAJINGA ni MUDA TU , hongera Mh. Makonda

  • @sebastianmusyebi-yv1hm
    @sebastianmusyebi-yv1hm Před 28 dny +10

    Mwenyekit labda alipita bila kupingwa hyu hata kaz hajui

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 Před 19 dny +3

    Ukiskia responsible citizen ndo huyu sasa

  • @Jey-zh9tk
    @Jey-zh9tk Před 27 dny +5

    Uyo kaka apewe ulinz plz na ntamlipa bodyguard wake.

  • @robertempire9542
    @robertempire9542 Před měsícem +9

    Kweli kwa style hii tutafika tu Mana spana ikikugonga unapewa na huduma ya kwanza... Makonda piga kazi❤

  • @user-qz2sk3is9c
    @user-qz2sk3is9c Před 21 dnem +4

    Makonda oyeeeeeee

  • @anethmollel6564
    @anethmollel6564 Před 21 dnem +1

    Ahsante kaka Makonda wewe ni mwanga wa jamii

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 Před 19 dny +2

    Leadership is not about age, is about wisdom

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Před 28 dny +9

    Wewe unae sema tumpe urais unajitambua au maigizo Aya ndicho kipimo Cha urais wasiojukikana ukiwapa nchi matokeo yake nini

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha Před 26 dny

      Huyu kama si Makonda basi ni chawa nene lakini lisilojitambua wala kuwatambua wengine. Hata hivyo, tangu urais ugeuke urahisi, hata kuku anauweza kwa sababu hakuna kuwajibika. Kama rais mzima anatetewa na chawa unategmea nini tena? Kama mazwazwa kama Mwigulu na PhD zao feki ndo washauri wakuu wa rais, untegemeani?

  • @BoisDonkoil-rk8lr
    @BoisDonkoil-rk8lr Před 10 dny

    Inanifunza kuwa ukitumia nguvu, siku moja ipo siku itatolewa kwa nguvu hiyo hiyo,,, Mungu atusaidie tusiwe wakujipenda kwa kujisahau🇰🇪

  • @joshuason557
    @joshuason557 Před 16 dny +1

    Uyo mwanainchi apewe uwongozi ,anaweza 👏🏿✌🏿🇺🇬

  • @DottoMalago
    @DottoMalago Před 29 dny +6

    Tatizo ni wananchi wenyewe,kufanya ushabiki kwenye kuchagua viongozi,bila kukumbuka kwamba,wanapomchagua kiongozi,wanachagua mtu anayewaamilia waishi vipi,ktk kipindi cha uongozi wake,sasa akiwa si mkweli au hajui anachokifanya,hasara ya miaka mitano,akiwa mchapakazi ni faida kwa miaka mitano,hivo unapofika wakati wa uchaguzi,tuache kuwa vipofu ghafla na tuache ushabiki wa kijinga,

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 Před 26 dny +4

    Hii staili ya kuongoza kwa nchi hii ni ngumu. Hiki kitu kinatoka wapi?

  • @harunarashid6404
    @harunarashid6404 Před 26 dny +4

    😂😂😂mwenyekiti kauguwa

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 Před 19 dny +3

    Mtoa kero apewe cheo

  • @DorikasiMwakabela
    @DorikasiMwakabela Před 27 dny +4

    Hiyo nikweli kabisa mtawala nimchungaji

  • @spiderelexander9977
    @spiderelexander9977 Před 18 dny +1

    Makonda piga kazi tunakuombeab Mungu atakuongoza

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 29 dny +7

    Mama kapanik huu mchezo hautaki hasira 😊😊

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 Před 28 dny +3

      Wala hajapanic maana anaevidence na title mkononi ilikua haina haja hata yakuongea wametesewa miaka 30 alafu huyu jamaa sio mwenyekiti ni raia na nimuongo yy aitwe kama nani wakati mwenyekiti na diwani ndo wasisimiamia zoezi yakutoa godown na mkuu wa wilaya ndo aliamuru itolewe sasa yy kama nani alitaka aitwe

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 27 dny +2

      ​@@najmanuru2021Mkuu wa Mkoa amebasse kwenye kufurahisha wananchi wenye visasi na yeye kaungana nao badili ya utawala wa sheria na haki.Mama anasema nyumba ni ya Kaka yake hasikilizwi kwa sababu ya kufurahisha watu wenye chuki .Huo sio uongozi

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 Před 22 dny

      @@leokamil6284 kabisa alafu huyu jama ni mdogo kwa huyu mama na sio mzaliwa wa kisongo kahamia miaka ya juz sasa historia ya kiwanja cha watu unaingiliaje wakati wanatitle ya 1958 hapo yule mzee abel nae anadai kiwanja ambao hawa hawa viongozi wamechukua ndo angefaa kumuelezea ukweli wa eneo ya hao kina mama anawajua vizur lkn sio huyo kijana yani muongo kweli

    • @shabanikavula1304
      @shabanikavula1304 Před 6 dny

      ​@@leokamil6284uko kamili

    • @shabanikavula1304
      @shabanikavula1304 Před 6 dny +1

      Uko kamili

  • @editorlais5185
    @editorlais5185 Před 27 dny +2

    Mwenyekiti hajuy Kazi zake

  • @barikiringo6311
    @barikiringo6311 Před 27 dny +4

    System ya Magufuli ya kupitishwa viongozi bila kupingwa

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Před 16 dny +1

    Brother auna point mama ana title

  • @NewadyNzuyu
    @NewadyNzuyu Před 24 dny +3

    Uje na uku kwet makonda iringaa

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 Před 19 dny +1

    Jamaa ana D ya Civics

  • @MabulaMboje-yp1xb
    @MabulaMboje-yp1xb Před 22 dny +2

    Tunamuomba poo Makonda aje kutumikia mkoa wa geita

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 Před 19 dny +1

    Magodaoni yote ya enzi za Nyerere mengi sana yameuzwa

  • @user-pt5rn5nj2f
    @user-pt5rn5nj2f Před 29 dny +6

    Ila jamaa mtoa hoja nae anapenda sifa jamn😂😂

  • @barikiringo6311
    @barikiringo6311 Před 27 dny +2

    Mwananchi huyo ana haki ya kuwa mwanaharakati na diyo kiongozi! Akiwa kiongozi atapumbazwa

  • @spiderelexander9977
    @spiderelexander9977 Před 18 dny +1

    Waliopita bila kupingwa matokeo yake ndo hayo

  • @musaamos2431
    @musaamos2431 Před 21 dnem +1

    Ilitakiwa mwenyewekiti akimbie😂😂😂

  • @jamesmaneno2281
    @jamesmaneno2281 Před 28 dny +3

    Uyo Mzee alie ongea apo apewe cheo kichwa sana

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 Před 22 dny

      Cheo gani cha kuongea uwongo kuhusu kina mama wawatu walioteseka kupata haki yao miaka 30

  • @user-yk8zp8zr5b
    @user-yk8zp8zr5b Před 27 dny +3

    Huyu mwenyekiti hana tofauti na mwenyekiti wetu ukienda akuandikie hati anamuita mtoto wake ndio anaandika hajui kusoma wala kuandika na ukienda unashida pesa mbele 😂😂😂 magu hapo alituweza

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519 Před 29 dny +3

    Mifumo yetu ya usimamizi wa kazi na rasilimali haufanyi kazi inabidi sasa tufanye kazi kwa kutumia mikutano ya hadhara. Nani kawaweka hao watumishi wanaolalamikiwa? Hivi kwa staili hii tutafika kweli?

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Před 29 dny +3

    Mheshimiwa RC MAKONDA huyu. Mama ni mwuongo.Wasomali wamevamia kwasababu wa uwezo wapigwe nyundo haowameingilia eneo la Soko.

    • @khatrarage4445
      @khatrarage4445 Před 28 dny +2

      Nani alie kuambia wasomali wamevamia eneo la soko wakati hati ipo kabla y kuweka soko wao wameuza eneo la soko ss wakangangania eneo la watu acha zarau kama hujui

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 Před 28 dny +2

      Kama muongo mbona makonda asiwafukuze coz anajua wanahati milikii kwanzia 1958

  • @awazimwanshuli5250
    @awazimwanshuli5250 Před 28 dny +3

    Uyooo jamaa anavisa vyake kwa uyoo mama,mama kesha SEMA ana hati ya eneo saxa iweje anaulzwa maswal ya kumpankisha

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 Před 28 dny +2

      Kweli kabisa ata hawampii nafasi yakujibu vzuri

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 27 dny

      Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe nashangaa hata Mkuu wa Mkoa hataki kumsikiliza kwa kufurahisha wanakijiji walio changanya chuki za kipato. Amemwambia Mkuu wa Mkoa kuwa hiyo mali ni ya urithi na kwamba Kaka yake ndio mwenye upande ulozidi.Nilitegemea Mkuu huyo angemuita muhusika hata Ofisini kwake ili ampe kauli ya kuvunja matokeo yake anamuamuru asiyehusika infact yeye anabasse kwenye chuki za wananchi ili awafurahishe anaamua kumkandamiza Raia mmoja hiyo sio njia sahihi ya uongozi bali ni uongozi wa visasi

  • @iddimiraji6551
    @iddimiraji6551 Před 13 dny

    Wishoo boy they halaaaaaa

  • @geofreymilinga2965
    @geofreymilinga2965 Před 28 dny +2

    Mwananchi mtata kweli kweli

  • @JuliusHatari
    @JuliusHatari Před měsícem +2

    Duh

  • @sundayndabaga9837
    @sundayndabaga9837 Před 23 dny +1

    Uyu mwananchi ana DATA hatar,,, anafaa kuwa Chairman wa local government project development

  • @user-qz2sk3is9c
    @user-qz2sk3is9c Před 21 dnem +3

    Huyu mtoa kero apewe maua yake jamani

  • @user-nc9kh8zi6x
    @user-nc9kh8zi6x Před 24 dny +2

    Mm kama mwananchi cheo cha mwenyekiti apewe huyu jama a

  • @JumaLugome
    @JumaLugome Před 26 dny +1

    Mm

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Před 29 dny +4

    Huyu muibua Hoja ndiyo anatakiwa awe Mwenyekiti.

  • @sylverbutamanya8588
    @sylverbutamanya8588 Před 27 dny +1

    Huyu jamaa ajengewe Sanam hapo kijijini

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 Před 22 dny

      Sanamu yakupewa rushwa kusema uwongo au ?

  • @kemmymartine4884
    @kemmymartine4884 Před 10 dny

    😂ila wananch ni wagumu hahah

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob Před 29 dny +2

    Huyu jamaa anaposema apigwe pini anaelewa kweli😂😂😂

  • @victoriaMwashiuya
    @victoriaMwashiuya Před 27 dny +1

    Ninashida na hela

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Před 26 dny +5

    Makonda analazimisha na kutaka sifa. Kwanini asitumie taratibu za kiofisi badala ya kujimwabafy? Bado anaishi kwenye zama za mwendazake ambaye naye alikuwa na mazabe yake. Hili jinga linamzuiaje mtu kuchukua fomu wakati ni haki ya kila mtanzania? Yeye alichukua fomu Kigamboni akachemsha pamoja na kuonywa lakini hakuzuiliwa. Makonda ni wa hovyo japo wengi wanamuona anafaa. Mteule wa rais anapata wapi mshipa kumzuia mtu kuchukua fomu? Kwanini huyu zwazwa anawaumiza wananchi kutaka kufanya kampeni baada ya muda unaoruhusiwa kisheria? Ona anavyojisifu na kuwatuhumu mambo ambayo hata hana ushahidi nayo. Samia amekuwa wa hovyo au asiyefuatilia hadi anakuwa na watu wa hovyo kama Makonda ambao walishavuruga wakati wa yule aliyewatengeneza.

    • @damianjeremia3821
      @damianjeremia3821 Před 26 dny

      Wewe uko idara gani au ulishawahi kuongoza hata mtaa

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha Před 26 dny

      @@damianjeremia3821 Onglea tunayemuongelea. Mie umeniingizaje. Mie ni mtaaluma wa kawaida tu aishiye ughaibuni na nina safu kwenye gazeti la Mwananchi kila jumatano

    • @Gloria-vh5bz
      @Gloria-vh5bz Před 17 dny

      WENYE akili Kubwa Km yako wachache sn watanzania wepesi kusahau kuwa HUYU wanaemuita mukombozi wao ndio moja ya Watu wasiojulikana waliotoa ROHO nyingi zisizona hatia ,Leo hii wanasahau kwa maigizo haya

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha Před 16 dny

      @@Gloria-vh5bz Nakubaliana nawe kuwa ni criminal wa kawaida japo sikubaliani nawe kusema watanzania wanasahau wakati wewe nami ni watanzania hao hao.

    • @BukuruBahizi-go3fi
      @BukuruBahizi-go3fi Před 13 dny

      Huyu nikati yawala haki zawatu ndiyomana anamuona makonda wetu kua anatumia ubabe kutatua kero hasa eti alipandizwa tabia za MAGU ndug makonda piga kz

  • @nurukacharia6838
    @nurukacharia6838 Před 27 dny +1

    He

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti7541 Před 27 dny +1

    Huyo mama anaonekana ni k8buri Cha pesa

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 27 dny +2

      Umewahi kuzungukwa na wasio na uwezo wa kulingana?huwa ni hivi mwenye nacho huumizwa na asienacho kwa kigezo cha kuwa anacho hivyo anaonekana anajigamba.Kifupi usiombee uzungukwe na wato waliokuwa hawalingani kipato na wewe utajuta

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 Před 22 dny +1

      Wala hana pesa ulizeni na fatilieni ukwel kabla yakushutumu mtu kama angekua na pesa inakuaje yy ndugu zake wameteseka miaka 30 bila kupata haki yao pka magufuli ndo wakapata swali rahisi sana hilo jiulize magufuli alikua mtetea haki ndo maana wakapewa eneo Lao ww unamskiliza huyu jama anvisa vyake ametumwa kusema uongo

  • @user-lp3pv2wi5p
    @user-lp3pv2wi5p Před 26 dny +1

    Wasomalia Wana tabu

  • @diegoshanga8184
    @diegoshanga8184 Před 28 dny +1

    Risasi au bunduki nikuvurugwa!!

  • @bettyjimmy9007
    @bettyjimmy9007 Před 26 dny +1

    Uled yuko wap

  • @addymsola4625
    @addymsola4625 Před 27 dny +1

    Makonda safi bwana nimekukubali kaka

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison Před 29 dny +3

    Wasomalia hawo

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat Před 29 dny +2

      Na nani? Mm ni msomali na nimezaliwa Tanzania😮😮😮😮😮😮, unasemaje?

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 Před 28 dny

      Kwahyo akiwa msomali kazaliwa tz shida nini

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 Před 28 dny

      Na wanahaki 💯 maana eneo ni Lao tangu 1958

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 28 dny +1

      Msomali ana haki ya kuishi hapa Tanganyika kama wewe mi ni mslomali nimezaliwa Arusha je mi sio raia, acha ubaguzi

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 Před 28 dny

      @@MiriamAbdallah kweli kabisa embu muambie maana kule Somalia wapo watu wa tanga walipelekwa na wanaishi paka Leo wala hawatukaniwi lakini huku kutwa kututaja wasomali wasomali

  • @abidandastanmaliyatabu1373

    Wanyoshe, makonda MUNGU akuinue ktk taifa hili

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op Před měsícem +2

    Uenyekiti w nn kazi isiyo na malipo

    • @selemanimasatu2421
      @selemanimasatu2421 Před měsícem

      Wenyeviti wanapata pesa mno tofauti na unavyofikili ndugu, kuna jamaa yangu M/kiti mpaka kanunua na Prado na majumba anajenga kwa kasi kubwa sana.

    • @zeelamipango
      @zeelamipango Před měsícem

      😂😂😂😂

  • @BeatriceKitembe-gs9si
    @BeatriceKitembe-gs9si Před 28 dny +1

    Mungu atazidi kukuinua.... Zidi kutenda haki Mungu azidi kukutunza na kukulinda 🙏

  • @barikimollel7890
    @barikimollel7890 Před 29 dny +2

    Spana+Spana+Spana

  • @user-wh7ds5ys7y
    @user-wh7ds5ys7y Před 28 dny +5

    Huyu tumpe uraisi anafaa sana tu

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 Před měsícem +3

    serikali mkinyanganywa kitu mnakuwa wakali kama wamechukua chao nyinyi ni only 1.5m mbona mnakuwa wakali

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 Před 28 dny +1

      Sindio hapo yani wao wamenyanganywa na serekali eneo Lao miaka 30 Leo yao 1.5 ni hatua moja ya unalalamika kwa rc mkuki kwa nguruwe kwa bindamu mchungu tena wangetakiwa hawa kina mama walipwe fidia yakuteseka miaka 30

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 27 dny

      Point

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 27 dny +1

      Asante na kuna sehemu nyingi walinyanganya na hawajalipa fidia

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Před 29 dny +1

    Full spana DADEKI....Makonda❤..spana na Matibabu

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519 Před 29 dny +2

    Mwenyekiti mlimweka wenyewe sasa tena mnamsulubisha hadharani

    • @EmmaPonera
      @EmmaPonera Před dnem

      Amesulibishwa au yameletwa malalamiko Kwa hiyo unataka akae kimya

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Před 28 dny +1

    We makonda ni zawad toka kwa mungu kwanz una huruma hicho kitendo cha kumwambia mwenyekiti atibiwe ni heshima kubwa umeonyesha kwa wananchi

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha Před 26 dny +1

      Unajua maana ya zawadi au uchawa na ujinga vinakusumbua?

  • @JuliasiSatoti
    @JuliasiSatoti Před 27 dny +1

    Baba makonda vanya kasi ya Mungu usiogope

  • @RamsonOmmy-ie2um
    @RamsonOmmy-ie2um Před 27 dny +1

    makoñda anakazingumu sana