Pole sana ndugu mwenyekiti. Hayo yanayokukuta nimatokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa yaliyopita. Ulipowekwa uliona raha sasa hivi utamu umekua shubiri.
Huyu kama si Makonda basi ni chawa nene lakini lisilojitambua wala kuwatambua wengine. Hata hivyo, tangu urais ugeuke urahisi, hata kuku anauweza kwa sababu hakuna kuwajibika. Kama rais mzima anatetewa na chawa unategmea nini tena? Kama mazwazwa kama Mwigulu na PhD zao feki ndo washauri wakuu wa rais, untegemeani?
Tatizo ni wananchi wenyewe,kufanya ushabiki kwenye kuchagua viongozi,bila kukumbuka kwamba,wanapomchagua kiongozi,wanachagua mtu anayewaamilia waishi vipi,ktk kipindi cha uongozi wake,sasa akiwa si mkweli au hajui anachokifanya,hasara ya miaka mitano,akiwa mchapakazi ni faida kwa miaka mitano,hivo unapofika wakati wa uchaguzi,tuache kuwa vipofu ghafla na tuache ushabiki wa kijinga,
Wala hajapanic maana anaevidence na title mkononi ilikua haina haja hata yakuongea wametesewa miaka 30 alafu huyu jamaa sio mwenyekiti ni raia na nimuongo yy aitwe kama nani wakati mwenyekiti na diwani ndo wasisimiamia zoezi yakutoa godown na mkuu wa wilaya ndo aliamuru itolewe sasa yy kama nani alitaka aitwe
@@najmanuru2021Mkuu wa Mkoa amebasse kwenye kufurahisha wananchi wenye visasi na yeye kaungana nao badili ya utawala wa sheria na haki.Mama anasema nyumba ni ya Kaka yake hasikilizwi kwa sababu ya kufurahisha watu wenye chuki .Huo sio uongozi
@@leokamil6284 kabisa alafu huyu jama ni mdogo kwa huyu mama na sio mzaliwa wa kisongo kahamia miaka ya juz sasa historia ya kiwanja cha watu unaingiliaje wakati wanatitle ya 1958 hapo yule mzee abel nae anadai kiwanja ambao hawa hawa viongozi wamechukua ndo angefaa kumuelezea ukweli wa eneo ya hao kina mama anawajua vizur lkn sio huyo kijana yani muongo kweli
Huyu mwenyekiti hana tofauti na mwenyekiti wetu ukienda akuandikie hati anamuita mtoto wake ndio anaandika hajui kusoma wala kuandika na ukienda unashida pesa mbele 😂😂😂 magu hapo alituweza
Mifumo yetu ya usimamizi wa kazi na rasilimali haufanyi kazi inabidi sasa tufanye kazi kwa kutumia mikutano ya hadhara. Nani kawaweka hao watumishi wanaolalamikiwa? Hivi kwa staili hii tutafika kweli?
Nani alie kuambia wasomali wamevamia eneo la soko wakati hati ipo kabla y kuweka soko wao wameuza eneo la soko ss wakangangania eneo la watu acha zarau kama hujui
Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe nashangaa hata Mkuu wa Mkoa hataki kumsikiliza kwa kufurahisha wanakijiji walio changanya chuki za kipato. Amemwambia Mkuu wa Mkoa kuwa hiyo mali ni ya urithi na kwamba Kaka yake ndio mwenye upande ulozidi.Nilitegemea Mkuu huyo angemuita muhusika hata Ofisini kwake ili ampe kauli ya kuvunja matokeo yake anamuamuru asiyehusika infact yeye anabasse kwenye chuki za wananchi ili awafurahishe anaamua kumkandamiza Raia mmoja hiyo sio njia sahihi ya uongozi bali ni uongozi wa visasi
Makonda analazimisha na kutaka sifa. Kwanini asitumie taratibu za kiofisi badala ya kujimwabafy? Bado anaishi kwenye zama za mwendazake ambaye naye alikuwa na mazabe yake. Hili jinga linamzuiaje mtu kuchukua fomu wakati ni haki ya kila mtanzania? Yeye alichukua fomu Kigamboni akachemsha pamoja na kuonywa lakini hakuzuiliwa. Makonda ni wa hovyo japo wengi wanamuona anafaa. Mteule wa rais anapata wapi mshipa kumzuia mtu kuchukua fomu? Kwanini huyu zwazwa anawaumiza wananchi kutaka kufanya kampeni baada ya muda unaoruhusiwa kisheria? Ona anavyojisifu na kuwatuhumu mambo ambayo hata hana ushahidi nayo. Samia amekuwa wa hovyo au asiyefuatilia hadi anakuwa na watu wa hovyo kama Makonda ambao walishavuruga wakati wa yule aliyewatengeneza.
@@damianjeremia3821 Onglea tunayemuongelea. Mie umeniingizaje. Mie ni mtaaluma wa kawaida tu aishiye ughaibuni na nina safu kwenye gazeti la Mwananchi kila jumatano
WENYE akili Kubwa Km yako wachache sn watanzania wepesi kusahau kuwa HUYU wanaemuita mukombozi wao ndio moja ya Watu wasiojulikana waliotoa ROHO nyingi zisizona hatia ,Leo hii wanasahau kwa maigizo haya
Umewahi kuzungukwa na wasio na uwezo wa kulingana?huwa ni hivi mwenye nacho huumizwa na asienacho kwa kigezo cha kuwa anacho hivyo anaonekana anajigamba.Kifupi usiombee uzungukwe na wato waliokuwa hawalingani kipato na wewe utajuta
Wala hana pesa ulizeni na fatilieni ukwel kabla yakushutumu mtu kama angekua na pesa inakuaje yy ndugu zake wameteseka miaka 30 bila kupata haki yao pka magufuli ndo wakapata swali rahisi sana hilo jiulize magufuli alikua mtetea haki ndo maana wakapewa eneo Lao ww unamskiliza huyu jama anvisa vyake ametumwa kusema uongo
@@MiriamAbdallah kweli kabisa embu muambie maana kule Somalia wapo watu wa tanga walipelekwa na wanaishi paka Leo wala hawatukaniwi lakini huku kutwa kututaja wasomali wasomali
Sindio hapo yani wao wamenyanganywa na serekali eneo Lao miaka 30 Leo yao 1.5 ni hatua moja ya unalalamika kwa rc mkuki kwa nguruwe kwa bindamu mchungu tena wangetakiwa hawa kina mama walipwe fidia yakuteseka miaka 30
Pole sana ndugu mwenyekiti. Hayo yanayokukuta nimatokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa yaliyopita. Ulipowekwa uliona raha sasa hivi utamu umekua shubiri.
Umenena vyema lakini nae hakuwa makini kwenye kiti chake
Hongera mh Makonda ,Mungu Akuepushe na mabaya yote
Mie ningekuwa mwenye kiti ningezimia tu 😂😂😂😂😂😂😂
Nimeamini wananchi wa Tanzania siyo WAJINGA ni MUDA TU , hongera Mh. Makonda
Mwenyekit labda alipita bila kupingwa hyu hata kaz hajui
Ukiskia responsible citizen ndo huyu sasa
Uyo kaka apewe ulinz plz na ntamlipa bodyguard wake.
Kweli kwa style hii tutafika tu Mana spana ikikugonga unapewa na huduma ya kwanza... Makonda piga kazi❤
Makonda oyeeeeeee
Ahsante kaka Makonda wewe ni mwanga wa jamii
Leadership is not about age, is about wisdom
Wewe unae sema tumpe urais unajitambua au maigizo Aya ndicho kipimo Cha urais wasiojukikana ukiwapa nchi matokeo yake nini
Huyu kama si Makonda basi ni chawa nene lakini lisilojitambua wala kuwatambua wengine. Hata hivyo, tangu urais ugeuke urahisi, hata kuku anauweza kwa sababu hakuna kuwajibika. Kama rais mzima anatetewa na chawa unategmea nini tena? Kama mazwazwa kama Mwigulu na PhD zao feki ndo washauri wakuu wa rais, untegemeani?
Inanifunza kuwa ukitumia nguvu, siku moja ipo siku itatolewa kwa nguvu hiyo hiyo,,, Mungu atusaidie tusiwe wakujipenda kwa kujisahau🇰🇪
Uyo mwanainchi apewe uwongozi ,anaweza 👏🏿✌🏿🇺🇬
Kabisa yuko moto daaaa
Tatizo ni wananchi wenyewe,kufanya ushabiki kwenye kuchagua viongozi,bila kukumbuka kwamba,wanapomchagua kiongozi,wanachagua mtu anayewaamilia waishi vipi,ktk kipindi cha uongozi wake,sasa akiwa si mkweli au hajui anachokifanya,hasara ya miaka mitano,akiwa mchapakazi ni faida kwa miaka mitano,hivo unapofika wakati wa uchaguzi,tuache kuwa vipofu ghafla na tuache ushabiki wa kijinga,
Hii staili ya kuongoza kwa nchi hii ni ngumu. Hiki kitu kinatoka wapi?
😂😂😂mwenyekiti kauguwa
Mtoa kero apewe cheo
Hiyo nikweli kabisa mtawala nimchungaji
Makonda piga kazi tunakuombeab Mungu atakuongoza
Mama kapanik huu mchezo hautaki hasira 😊😊
Wala hajapanic maana anaevidence na title mkononi ilikua haina haja hata yakuongea wametesewa miaka 30 alafu huyu jamaa sio mwenyekiti ni raia na nimuongo yy aitwe kama nani wakati mwenyekiti na diwani ndo wasisimiamia zoezi yakutoa godown na mkuu wa wilaya ndo aliamuru itolewe sasa yy kama nani alitaka aitwe
@@najmanuru2021Mkuu wa Mkoa amebasse kwenye kufurahisha wananchi wenye visasi na yeye kaungana nao badili ya utawala wa sheria na haki.Mama anasema nyumba ni ya Kaka yake hasikilizwi kwa sababu ya kufurahisha watu wenye chuki .Huo sio uongozi
@@leokamil6284 kabisa alafu huyu jama ni mdogo kwa huyu mama na sio mzaliwa wa kisongo kahamia miaka ya juz sasa historia ya kiwanja cha watu unaingiliaje wakati wanatitle ya 1958 hapo yule mzee abel nae anadai kiwanja ambao hawa hawa viongozi wamechukua ndo angefaa kumuelezea ukweli wa eneo ya hao kina mama anawajua vizur lkn sio huyo kijana yani muongo kweli
@@leokamil6284uko kamili
Uko kamili
Mwenyekiti hajuy Kazi zake
System ya Magufuli ya kupitishwa viongozi bila kupingwa
Ndo shida
Brother auna point mama ana title
Uje na uku kwet makonda iringaa
Jamaa ana D ya Civics
Tunamuomba poo Makonda aje kutumikia mkoa wa geita
Magodaoni yote ya enzi za Nyerere mengi sana yameuzwa
Ila jamaa mtoa hoja nae anapenda sifa jamn😂😂
Anajiaminisha sana...bila kujua hawa ni watu.
Mwananchi huyo ana haki ya kuwa mwanaharakati na diyo kiongozi! Akiwa kiongozi atapumbazwa
Waliopita bila kupingwa matokeo yake ndo hayo
Ilitakiwa mwenyewekiti akimbie😂😂😂
Uyo Mzee alie ongea apo apewe cheo kichwa sana
Cheo gani cha kuongea uwongo kuhusu kina mama wawatu walioteseka kupata haki yao miaka 30
Huyu mwenyekiti hana tofauti na mwenyekiti wetu ukienda akuandikie hati anamuita mtoto wake ndio anaandika hajui kusoma wala kuandika na ukienda unashida pesa mbele 😂😂😂 magu hapo alituweza
Wapi huko mdau kwani hata kwetu yupo kusoma hawezi kabisa.
😂😂 ni huzuni kwakweli 😢
Mifumo yetu ya usimamizi wa kazi na rasilimali haufanyi kazi inabidi sasa tufanye kazi kwa kutumia mikutano ya hadhara. Nani kawaweka hao watumishi wanaolalamikiwa? Hivi kwa staili hii tutafika kweli?
Mheshimiwa RC MAKONDA huyu. Mama ni mwuongo.Wasomali wamevamia kwasababu wa uwezo wapigwe nyundo haowameingilia eneo la Soko.
Nani alie kuambia wasomali wamevamia eneo la soko wakati hati ipo kabla y kuweka soko wao wameuza eneo la soko ss wakangangania eneo la watu acha zarau kama hujui
Kama muongo mbona makonda asiwafukuze coz anajua wanahati milikii kwanzia 1958
Uyooo jamaa anavisa vyake kwa uyoo mama,mama kesha SEMA ana hati ya eneo saxa iweje anaulzwa maswal ya kumpankisha
Kweli kabisa ata hawampii nafasi yakujibu vzuri
Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe nashangaa hata Mkuu wa Mkoa hataki kumsikiliza kwa kufurahisha wanakijiji walio changanya chuki za kipato. Amemwambia Mkuu wa Mkoa kuwa hiyo mali ni ya urithi na kwamba Kaka yake ndio mwenye upande ulozidi.Nilitegemea Mkuu huyo angemuita muhusika hata Ofisini kwake ili ampe kauli ya kuvunja matokeo yake anamuamuru asiyehusika infact yeye anabasse kwenye chuki za wananchi ili awafurahishe anaamua kumkandamiza Raia mmoja hiyo sio njia sahihi ya uongozi bali ni uongozi wa visasi
Wishoo boy they halaaaaaa
Mwananchi mtata kweli kweli
Duh
Uyu mwananchi ana DATA hatar,,, anafaa kuwa Chairman wa local government project development
😅😅😅😅😅
Huyu mtoa kero apewe maua yake jamani
Sana tu
Apewe uenyekiti wa kijiji sasa
Mm kama mwananchi cheo cha mwenyekiti apewe huyu jama a
Muongo huyu kwenye vingine katunga
Mm
Huyu muibua Hoja ndiyo anatakiwa awe Mwenyekiti.
Kweli😂😂😂😂
Huyo hamna kitu
Anafaa
Muongo huyo
Huyu jamaa ajengewe Sanam hapo kijijini
Sanamu yakupewa rushwa kusema uwongo au ?
😂ila wananch ni wagumu hahah
Huyu jamaa anaposema apigwe pini anaelewa kweli😂😂😂
Haelewi huyo japo yupo Sasa
😅😅
Ninashida na hela
Makonda analazimisha na kutaka sifa. Kwanini asitumie taratibu za kiofisi badala ya kujimwabafy? Bado anaishi kwenye zama za mwendazake ambaye naye alikuwa na mazabe yake. Hili jinga linamzuiaje mtu kuchukua fomu wakati ni haki ya kila mtanzania? Yeye alichukua fomu Kigamboni akachemsha pamoja na kuonywa lakini hakuzuiliwa. Makonda ni wa hovyo japo wengi wanamuona anafaa. Mteule wa rais anapata wapi mshipa kumzuia mtu kuchukua fomu? Kwanini huyu zwazwa anawaumiza wananchi kutaka kufanya kampeni baada ya muda unaoruhusiwa kisheria? Ona anavyojisifu na kuwatuhumu mambo ambayo hata hana ushahidi nayo. Samia amekuwa wa hovyo au asiyefuatilia hadi anakuwa na watu wa hovyo kama Makonda ambao walishavuruga wakati wa yule aliyewatengeneza.
Wewe uko idara gani au ulishawahi kuongoza hata mtaa
@@damianjeremia3821 Onglea tunayemuongelea. Mie umeniingizaje. Mie ni mtaaluma wa kawaida tu aishiye ughaibuni na nina safu kwenye gazeti la Mwananchi kila jumatano
WENYE akili Kubwa Km yako wachache sn watanzania wepesi kusahau kuwa HUYU wanaemuita mukombozi wao ndio moja ya Watu wasiojulikana waliotoa ROHO nyingi zisizona hatia ,Leo hii wanasahau kwa maigizo haya
@@Gloria-vh5bz Nakubaliana nawe kuwa ni criminal wa kawaida japo sikubaliani nawe kusema watanzania wanasahau wakati wewe nami ni watanzania hao hao.
Huyu nikati yawala haki zawatu ndiyomana anamuona makonda wetu kua anatumia ubabe kutatua kero hasa eti alipandizwa tabia za MAGU ndug makonda piga kz
He
Huyo mama anaonekana ni k8buri Cha pesa
Umewahi kuzungukwa na wasio na uwezo wa kulingana?huwa ni hivi mwenye nacho huumizwa na asienacho kwa kigezo cha kuwa anacho hivyo anaonekana anajigamba.Kifupi usiombee uzungukwe na wato waliokuwa hawalingani kipato na wewe utajuta
Wala hana pesa ulizeni na fatilieni ukwel kabla yakushutumu mtu kama angekua na pesa inakuaje yy ndugu zake wameteseka miaka 30 bila kupata haki yao pka magufuli ndo wakapata swali rahisi sana hilo jiulize magufuli alikua mtetea haki ndo maana wakapewa eneo Lao ww unamskiliza huyu jama anvisa vyake ametumwa kusema uongo
Wasomalia Wana tabu
Risasi au bunduki nikuvurugwa!!
Uled yuko wap
Makonda safi bwana nimekukubali kaka
Wasomalia hawo
Na nani? Mm ni msomali na nimezaliwa Tanzania😮😮😮😮😮😮, unasemaje?
Kwahyo akiwa msomali kazaliwa tz shida nini
Na wanahaki 💯 maana eneo ni Lao tangu 1958
Msomali ana haki ya kuishi hapa Tanganyika kama wewe mi ni mslomali nimezaliwa Arusha je mi sio raia, acha ubaguzi
@@MiriamAbdallah kweli kabisa embu muambie maana kule Somalia wapo watu wa tanga walipelekwa na wanaishi paka Leo wala hawatukaniwi lakini huku kutwa kututaja wasomali wasomali
Wanyoshe, makonda MUNGU akuinue ktk taifa hili
Uenyekiti w nn kazi isiyo na malipo
Wenyeviti wanapata pesa mno tofauti na unavyofikili ndugu, kuna jamaa yangu M/kiti mpaka kanunua na Prado na majumba anajenga kwa kasi kubwa sana.
😂😂😂😂
Mungu atazidi kukuinua.... Zidi kutenda haki Mungu azidi kukutunza na kukulinda 🙏
Spana+Spana+Spana
Huyu tumpe uraisi anafaa sana tu
serikali mkinyanganywa kitu mnakuwa wakali kama wamechukua chao nyinyi ni only 1.5m mbona mnakuwa wakali
Sindio hapo yani wao wamenyanganywa na serekali eneo Lao miaka 30 Leo yao 1.5 ni hatua moja ya unalalamika kwa rc mkuki kwa nguruwe kwa bindamu mchungu tena wangetakiwa hawa kina mama walipwe fidia yakuteseka miaka 30
Point
Asante na kuna sehemu nyingi walinyanganya na hawajalipa fidia
Full spana DADEKI....Makonda❤..spana na Matibabu
Mwenyekiti mlimweka wenyewe sasa tena mnamsulubisha hadharani
Amesulibishwa au yameletwa malalamiko Kwa hiyo unataka akae kimya
We makonda ni zawad toka kwa mungu kwanz una huruma hicho kitendo cha kumwambia mwenyekiti atibiwe ni heshima kubwa umeonyesha kwa wananchi
Unajua maana ya zawadi au uchawa na ujinga vinakusumbua?
Baba makonda vanya kasi ya Mungu usiogope
makoñda anakazingumu sana