MAWAKILI WAGOMBANA MBELE YA MAKONDA I NAKUFUKUZA KAZI I MWENYEKITI AFICHUA UOZO I WAPIGWA SPANA
Vložit
- čas přidán 28. 05. 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder - Zábava
Muheshimiwa makonda hongera.kwazi unayo fanya. Wenzako wanafaa kuiga mfano wako. Nchi iyo ya Tanzania 🇹🇿. Itasonga mbele sana
Namuona mwanasheria anakazana kumnyang'ana mkataba mwanasheria mwenzake, asiuome mkataba wake wa ovyo akaumbuka.
Nammm bro
Makonda mimi unanifurahisha sana niko tayari ku subscribe all your program pamoja na mama samiha na viongozi wote wa serikali mimi nawapongeza sana kwa kazi nzuri mnoifanya mashallah mungu awabarik kazi iendelee
Yaani hii nchi dah Sasa huyu anakuaje lawyer wa wilaya alafu hajui ata sheria😢
Huyu mwanasheria ukimpa tenda akutete utapigwa
Hongera makonda,Kaza buti.
Makonda you make my day every time lol
Hapo sawa uje na huku Dar
Hongere mkuu wa mkoa ilamama mkumbuke sabaya na Ally happy
Noma
Jamaa anazungusha kichwa tu ,pumbavu sana
Mh. Makonda wewe ni mwamba mungu akuzidishiye palipo pungua pambana na haki mungu ataweka mkono wake
Msomi mwezangu utafikiri na yeye ni msomi kumbe zero😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 8:06
Mwanasheria kayatimbaa leoo anazururaa tuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Hawa wanasheria wamejua kufurahisha😂😂😂
Huyu wakili Baraka hatendi haki anapenda pesa wala hafai kuwa wakili wa kusaidia au kutoa ushauri kwa wanyonge
❤🎉
Makonda kweli wewe ni kiongozi kamili
Wana toa maaji tena😂
Spana kali 😂😂
Hawa Wanaasheria Wamejua Kufurahisha japo watu wako na Maumivu
mwanasheria hajamaliza sap zake mnaanza kumpa majukumu ngoja atuonyeshe show.... mwanasheria tukutane hapa geti la UDSM TUANZE KUDISCUSS
Amepigwa
huyu mwana sheria anasauti nzuri
Doh😂
Huyu mwasheria anatabia za Mtume Petro!!!
Me naomba watu Kama Hawa wawe wanachapwa na viboko ujanja2 hamna lolote et mwanasheria hata me namzidi kueleza hajui
Huyo wa serikali nililijua TU atakuwa kilaza sababu tunaajili Kwa kujuana Hana madin kichwani
Baraka Sulusi jamani 😂😂😂
Ngombea urais baba
Hugh bwana hasikilizi pande zote
Hawandowana Sheria sasa😢😢😂😂😂
Kasemaa mwenzake anazurura tuu 😂😂😂😂😂
Bando langu linaenda kwa uhalali
Uku nimeazimwa. Dooohh
Kama kuna uwezekano ungegombea urais baba
Aisee hatari sana
Mpigie spana
Mwendo wa spana tu
Wasomi Hawa bwana?!
Hawa Wanasheria wamebamba sana😂😂😂
Ndo wanajiitaaa wasomi bree tuu😅😅😅😅😅
Wakati wanazururaa tuu😂😂😂😂
😂😂😂😂
Pumbavu huyu amesoma sheria nchi gani huyu anashindwa kueleza vitu anapyanga tuu
😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu jamaa mpumbavu kweli wajinga kama Hawa hawatakiwi hata kusikilizwa
HUYU SIO MWANASHERIA NI MPUUZI TENA MAKONDA AMEMHESHIMU TU LAKINI HAKUTAKIWA HATA KUOBGEA NENO KAMA NDO UPUUZI HUO ANAOUONGEA
Huyu bwana wa Mamlaka amezingua