MAKONDA; PESA NINAYO i WANANUNUA WATU ILA SIYO MIMI I ONDOKENI JUMATATU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 06. 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder #Makonda #Pesa #Tanzania
  • Zábava

Komentáře • 16

  • @SalimaMsafiri-bv8rr
    @SalimaMsafiri-bv8rr Před 16 dny

    Hongera Sana kiongozi

  • @jalinachilala8465
    @jalinachilala8465 Před měsícem +7

    Jamani mimi wa kwanza leo kumsikiliza mh makonda mtu kazi kazi,,,njanja tupa kule

  • @Moses-yw5mb
    @Moses-yw5mb Před 16 dny

    Makonda anakubalika kuliko mwenye wa uhuru

  • @niyonkurufaustin5542
    @niyonkurufaustin5542 Před měsícem +2

    Fanya masilaha na spana za Makonda lazima uugue ghagla 😂😂😂😂

  • @IsmailChambuso
    @IsmailChambuso Před 23 dny

    Yan huy mam

  • @mtahogarashid8488
    @mtahogarashid8488 Před 26 dny +1

    Makonda unatisha Kiongoz mchapa kazi

  • @liverpoolfootballclub9985

    Mama huyo ni kama tahira vile.

  • @niyonkurufaustin5542
    @niyonkurufaustin5542 Před měsícem +4

    Hakika nimeamini mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu 😢 yaani mama alivyoambiwa jinsi alivyowatowa na yeye atoke akaishiwa na pozi 😁🤔

    • @SATZ-news
      @SATZ-news Před 17 dny +1

      Hivi Tanzania mkuu wa mkoa ni mmoja tu???😢😢😢😢

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h Před měsícem +1

    Viongozi wengine watatue matatizo ya Wananchi kama Mheshimiwa Makonda. Maumivu ni mengi mno.

  • @CharlesZuma
    @CharlesZuma Před měsícem +1

    Kwani mwenzangu umeanza kuipenda ccm tokea kipindi gani !!! mimi tokea kipindi cha magufuri 🙈 sina chama mimi piga spana tu 🏃

  • @arttilioemiliam2419
    @arttilioemiliam2419 Před měsícem

    Dada ningekuwa na 📻 ningeweka kipindi kinaitwa pata suluhu na makonda...

  • @paulinmachlory9362
    @paulinmachlory9362 Před 17 dny

    Hakika Malinda anafanya kazi,wananchi tumpe ushirikiano.

  • @arttilioemiliam2419
    @arttilioemiliam2419 Před měsícem

    Mimi natamani makonda aongezewe mkoa wa kuongoza

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu7168 Před měsícem +1

    kwani na yeye si mwananchi ?

  • @LiveWire254
    @LiveWire254 Před měsícem

    MADUDU yanapata shida