Kiukweli tungepata akina Makonda kama Makonda anavyo fanya sijui kama tungemkumbuka kwa maumivu makali JPM Mungu akuongoze Makonda kwa upande wangu unakwenda vzr Sana hasa kwa wanyonge🙏🏼 Utafika mbaaali Sana kama utasimamia haki hasa kwa wanyonge wenye maumivu makali wanayo tembea nayo na hawajui wapi wakaseme ili kupata haki zao Thank you very much Brother Makonda History nchii hiii kuhusu ww tayari Ipo🙏🏼
Yaani nimelia kwa sana kwa ujasiri wa makonda wallah Yaa Rabbi mlinde na Shari za walimwengu huyu mja wako hakika huyu ni zawad kutoka kwa Allah mama Samia hapo upate msaidizi😢😢😢najisikia raha
Mamayetu mama samia naomb kama utaipata hi sms tafuta watu wengine 10 kama uyu baba waweke kweny mikoa kolofi jamna mama uyu mtu anafanya kazi saan naiman yapo mashetani yatakuwa yanamlinda yamtoe mpe ulinzi uyu baba anaitaji kuangaliwa kwa machoyoote
Shaida huyo makonda anafanya kazi alieagizwa na huyo unaemzarau na kumuita eti kila siku kiguu na njia maana hizi ndio kazi zao wakuu wa mikoa na sio ishu ndogo km hizi eti asimamie rais Sasa wao wameteuliwa ili wafanye Nini shaida chunga mdomo wako uhuru wa kuongea usikupe kiburi ukazungumza unachojisikia hizo ziara anazoenda mama ni faida ya watanzania wote
Hata kama ni kweli alipata zero, lakini ameonesha uhodari kwenye utendaji zaidi ya wasomi.! Na pengine ni mifumo yetu tu mibovu ya elimu ndio ilisababisha afeli form four lakini Makonda ni smart sana kuliko hata Gwajima na kebehi zake
Kusoma Ni makaratasi utendaji kazi upo ndani ya mtu sio kwenye makaratasi ukichukua huyu anaweza kuwazidi hata maprofesa waliosoma hadi wakakutana na skull basi
Kura zitakua nyingi za kusukwa sukwa tunapomsifia wanachukia mafisadi anayoyafanya hafanyii chumbani tunaona watu wanafutwa machozi tunaomba mungu mlinde baba wanaopigana naye pigana nao
Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Arusha tuliokuwa wafanyakazi wa iliyokuwa hotel 77 ya serikali madai yetu hatujalipwa tangu mwaka 2000 mpaka sasa juni 2024 hatujui hatima ya madai yetu tunaomba msaada
Ivi binadamu hamna haibu ya kumsumbuwa mzee mlemavu tena mgondjwa mlaaniwe.makonda fanya kazi baba kwa ukali kwenye sikali kuna washamba na ushamba mwingi ni ujinga.washenzi sana hamna adabu kabisa.
Ingekuwa inawezekana tungeungana wote tumpitishe makonda awe rais,maana anatosha kila secta,sema tu umoja haupo ila mm namuomba mungu atufanyie muujiza awe rais tu
Spana spana spana piga spana mh makonda wanaonea sana watu hao usiskile wanafiki na wanataka kikurudisha nyuma ni Bora ufe kwenye haki kuliko kufa kwe dhuruma mbona baba yako kipenzi magufuli wetu naamini amepumzika kwenye haki wewe chapa kazi maombi yetu yapo juu yako
Hakika jins namna mambo yalivyo unaweza kufikili kua tanzania kiongozi ni wewe peke yako hatujaona kama wewe makonda toka ukiwa dsm wewe ni kiongozi wa mfano sanaa
Makonda anastaili kuwa rais wa Tanzania lkn ccm naujizi wao naujambazi na ifisadi wao watakubali kwelii maana hapo akiwa rais makonda ufisadi kwisa abali yake CCM nikikwazo kukibwa sana ndo shetani wa Tanzania anaetuyumbisha nakututesa kiukweli ccm haifai hata robo
Watu wenye shida za namna hiyo wako millions mkisaidia hao wachache waliokuja kumiona na hao wasio kuwa na uwezo wakuja kumiona je? Atasaidiwa na nani?
Makonda the future president from heaven welcome we are waiting you one day
Kiukweli tungepata akina Makonda kama Makonda anavyo fanya sijui kama tungemkumbuka kwa maumivu makali JPM
Mungu akuongoze Makonda kwa upande wangu unakwenda vzr Sana hasa kwa wanyonge🙏🏼
Utafika mbaaali Sana kama utasimamia haki hasa kwa wanyonge wenye maumivu makali wanayo tembea nayo na hawajui wapi wakaseme ili kupata haki zao Thank you very much Brother Makonda History nchii hiii kuhusu ww tayari Ipo🙏🏼
Mungu wa mbingun akulinde muheshimiwa
Mungu mbariki huyu Makonda baba aje kuwa Rais wa Tanzanis kwa jina la Yesu.
Kwakweli
Amina
Amen
Aaamen
Mh.shimiwa makonda anaijuwa kuishi na watu mungu ampenguvu iliaweze kututumikia vyema❤❤❤🤲🇹🇿 am Dubariz Wapagazi
Yaani nimelia kwa sana kwa ujasiri wa makonda wallah Yaa Rabbi mlinde na Shari za walimwengu huyu mja wako hakika huyu ni zawad kutoka kwa Allah mama Samia hapo upate msaidizi😢😢😢najisikia raha
Alhamdullilah nilipata kwenda Arusha wallah kuna watu wengi, mpk haipatikani
Hongera kwa kazi uifanyayo mungu awe nawe watetee wanyonge. Kila la kheri kwako bro
Sina lakusema mheshimiwa Makonda ila tuu MUNGU Akukumbuke kwenye ufalme wake hilo tuuu❤
Mamayetu mama samia naomb kama utaipata hi sms tafuta watu wengine 10 kama uyu baba waweke kweny mikoa kolofi jamna mama uyu mtu anafanya kazi saan naiman yapo mashetani yatakuwa yanamlinda yamtoe mpe ulinzi uyu baba anaitaji kuangaliwa kwa machoyoote
Makonda Allah akulinde
Makonda wewe ndiyo unastahili kuwa raisi wa nchi hi lakini raisi gani kilasiku kigu na njia kazi njema mrisi wa magufuli❤
Anapambana Kwa ajili yetu
Shaida huyo makonda anafanya kazi alieagizwa na huyo unaemzarau na kumuita eti kila siku kiguu na njia maana hizi ndio kazi zao wakuu wa mikoa na sio ishu ndogo km hizi eti asimamie rais Sasa wao wameteuliwa ili wafanye Nini shaida chunga mdomo wako uhuru wa kuongea usikupe kiburi ukazungumza unachojisikia hizo ziara anazoenda mama ni faida ya watanzania wote
😊
@@user-ib3kq7kf1wnakubaliana na wewe mkuu by ericomtz05 from Geita Tanzania
Allah akulinde Mh Makonda
Nakuona makonda ukiingia njia ya magufuri😭😭😭😭😭 binafsi natamani sana ukpate kiti cha uraisi af utufanyie haya
makonda wewe ni mwema sana yani mungu ambariki mama alekuzaa unasaidia wanyonge
Hata kama ni kweli alipata zero, lakini ameonesha uhodari kwenye utendaji zaidi ya wasomi.! Na pengine ni mifumo yetu tu mibovu ya elimu ndio ilisababisha afeli form four lakini Makonda ni smart sana kuliko hata Gwajima na kebehi zake
Kusoma Ni makaratasi utendaji kazi upo ndani ya mtu sio kwenye makaratasi ukichukua huyu anaweza kuwazidi hata maprofesa waliosoma hadi wakakutana na skull basi
Mungu akulinde najuwa wabaya hawatapenda
Safi sana hii enaitwa hapakazitu yani unanikosha sana mungu aubaliki sana tenasana
Iki kidume bwana💪
Kweli watu wanateseka kwajili ya watu wengine wanaodhulumu
Taifa la lele Mama kila Mtu anatupa mpira kwa mwenzie. Eti si kazi yetu tullishamaliza jalada lipo kwa Mkuu wa wilaya Nonsense
Hakika huyu ndiye ajaye kuvivaa vile viatu vilivyokosa mvaaji
Kwakweli
HATA SURA ZAO ZAONESHA WATU WASIO HURUMA, WASIOJALI...NA MATUMBO MAKUBWA YA BIA TU. HII NCHI ASILIMIA 98 YA WATENDAJI WANGEFUKUZWA, TUANZE UPYA!
Makonda anaweza na anamanisha
Makonda Mungu akubariki
Makonda ana mienendo kama ya magufulii
Makonda (King Salomon )❤
Kabisa
gongeni LIKES ili watu wengi waipate na kuskiliza majadiliano ya viongozi wetu/ hiii itatusaidia kukaza maombi kuwaombea
Safi sana😂mhe makonda
Piga kazi kijana wetu tuko nyuma yako tunakuombea kwa Yehovah akulinde
Wewe ni Raisi kabisa yaan Mungu akubariki na akulinde
Abarikiwe mh MAKONDa
Mh, hongera Kwa kazi nzuri Mungu akutie nguvu
Kura zitakua nyingi za kusukwa sukwa tunapomsifia wanachukia mafisadi anayoyafanya hafanyii chumbani tunaona watu wanafutwa machozi tunaomba mungu mlinde baba wanaopigana naye pigana nao
Asanteni tanzania maghufuri bado yup tu
IBRAHIM LA TRAULE,, THOMAS SANKAL,,JPM TANZANIA,JKN, TANZANIA... MAKONDA NI 1
Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Arusha tuliokuwa wafanyakazi wa iliyokuwa hotel 77 ya serikali madai yetu hatujalipwa tangu mwaka 2000 mpaka sasa juni 2024 hatujui hatima ya madai yetu tunaomba msaada
endelea kupiga spana wavivu
Huwa naenjoi sana kusikia maamuzi ya chapuchapu kwa kiongozi.
Piga kazi makonda mungu yupamoja nasi
Safi sana
Naomba Allah anikutanishe nae live huyu makonda nijisikie raha zaid Mimi nimekua mtu wa kutoka machozi kila siku nionapo ujasiri wake😢😢😢
Haw wapumbavu sana wasambua viongoz wenzao sana sijui kwa nn hamuafukuzi
Mungu akubarik Sana ,
piga spana kenge haooo
Ivi binadamu hamna haibu ya kumsumbuwa mzee mlemavu tena mgondjwa mlaaniwe.makonda fanya kazi baba kwa ukali kwenye sikali kuna washamba na ushamba mwingi ni ujinga.washenzi sana hamna adabu kabisa.
Ivi hii nchi tukienda hivi tutafika kweli? Mmemwachia makonda matatizo yote ya watu wa nchi hii,na mnapokea mishahara kweli!?
Hata Mimi nashangaa makonda ndo kaajiliwa na serikali peke yake
Ila jamani laana tunajitkia TU kumdhulumu huyu mzee
Ingekuwa inawezekana tungeungana wote tumpitishe makonda awe rais,maana anatosha kila secta,sema tu umoja haupo ila mm namuomba mungu atufanyie muujiza awe rais tu
makonda ni moto wakuotea mbali inaitwa gusa unase
+MUNGU+ alie HAI azidi KUKUBARIKI na kukutunza hata na uzao wako baada yako 1 WAKORINTO 1:9🙏
We makonda ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mpaka nimelia jaman
Makonda kazi Safi unafaa kuwa raisi baba
Mungu awe nawe
Viongoz mtachomwa moto jamani hamumuon hata mzee wa watu
Aseee dah 😢😢😢
Spana spana spana piga spana mh makonda wanaonea sana watu hao usiskile wanafiki na wanataka kikurudisha nyuma ni Bora ufe kwenye haki kuliko kufa kwe dhuruma mbona baba yako kipenzi magufuli wetu naamini amepumzika kwenye haki wewe chapa kazi maombi yetu yapo juu yako
Wana Arusha Mungu awape nini❤
Iwish uongozi huu ingekuwa kenya
Good
Haitojalisha ni lini lakini makonda atakuja awe Raisi wa nchi hii
Natamani Makonda nikuone walau ata Kwa macho nakuonaje jamani
Nenda ofisini kwake
I think it is time to get back to Arusha.
🔥🔥🔥
Hii nchi inawatu ambao hawana huruma hata kidogo
Unastaili kuakiongozi mkubwa atnzania
So sad
Hakika jins namna mambo yalivyo unaweza kufikili kua tanzania kiongozi ni wewe peke yako hatujaona kama wewe makonda toka ukiwa dsm wewe ni kiongozi wa mfano sanaa
Kiongoz mzr ni yule anaye sikiliza kelo za watu na kuzitatua bila kubagua
Watu wa arusha msiponenepa tena mtakuwa mmelaaniwa
😅😅😅😅😅😅Na kwl
Kuna mmoja yupo dar huko anakazi ya kolopoka lopika2 😂😂
Laiti viongozi wa Tanzania wangekuwa kama wewe tungekuwa mbali sana mungu
Akupe ulinzi eww makonda uwanyooshe washenzi
Makonda baba tunakupa urais chukuwa fm bb ugombee wewe no msaada wa wanyonge
Acheni uoongo wakuturagai haipo hja yakutsmbua kumaliza data zetu Bure BIRA Faida hamna maanana kutaka wizi poreni tumewajua burre
❤
Mm nautaka huo
Kuna watu wanadhani mzee atakufa wamdhulumu ili watoto wake wakose irithi
Anachokifanya makonda ni kuomyesha madudu yaliyopo kwenye mikoa yetu
Mama samia tunamtaka makonda Aje Tanga mana ukuzuluma za Ardhiz ninyingisana
Tanga si mtamloga aisee unamtakia mwema kweli ? Duh makonda Kwa Tanga tutamkosa Bora mikoa mwingine arudishwe Kilimanjaro tuu etie?
Makonda anastaili kuwa rais wa Tanzania lkn ccm naujizi wao naujambazi na ifisadi wao watakubali kwelii maana hapo akiwa rais makonda ufisadi kwisa abali yake CCM nikikwazo kukibwa sana ndo shetani wa Tanzania anaetuyumbisha nakututesa kiukweli ccm haifai hata robo
Ujizi,ujambazi na ufisadi hata chadema upo km huamini muulize msigwa
kumbe kina magufuli bado wapo nimeamni
Hata dakika tano kwangu nahisi nyingi timua kazi huyo
Vizuri havidumu,mambwa wa hii nchi ole wenu mumfanye kama mlivyomfanya .......,tuachieni makonda wetu
Nchi hii
Makonda unatisha sans
Mpaka machozi
Mungu ni mkubwa makonda natamani nikuone ukiwa rais TZA
Makonda gombea urais tuko na wewe
Tena atapita Kw kishindo tena Akuna aja kupga kampen akae nyumban tu
Ningekuwa raisi walau wiki moja.... Ninge fukuza wafanya kazi wooote na kuteua wanafunzi wote walio maliza vyuo vikuu vyote waanze kazi mara moja
Ao ndo mafyongo kabisa hi mch wenye akili wanafeli au awana uwezo wa kujiendeleza
mkuu ujaeee
Hatari wana chuga
Piga spana tu dadeck😂
Chuma jr
MAKONDA,NA WAZIRI SLAA HAMJA ZALIWA MMESHUSHWA KAMA MALAIKA MUNGU AWAWEKE
Usimsahau na chalamila jamani
Nishuhudia huu mtifuano
Uongozi ni maamuz tuu siyo kucheka kucheka na kuwafikir wazembe MAGU icon
Watu wenye shida za namna hiyo wako millions mkisaidia hao wachache waliokuja kumiona na hao wasio kuwa na uwezo wakuja kumiona je? Atasaidiwa na nani?
Acha uchoko ndugu
Acha ukuma wewe kwaiyo unataka awafate Nyumbani ?
Kama yuko nyumban tu atasaidiwaje hata ungekuwa wewe mkuu wa mkoa ungefanyaje mtu hajaja
Kwaio wasisaidiwe au sio unaongea vitu kama na ni mmoja wa wanaodhulumu
Kwahyo unamanisha ni bora wote wasisaidike au
Raisi wa baadae
Huyu Makonda yupo kimagufuli magufuli tuu,ila sidhani kama atamaliza siku nyingi Mungu asipokaa naye kila mahali
TISS huyo kitambo... ana watu nyuma yake huwezi dhania ...yuko vizuri kiusalama
MUNGU anaona na atamlinda kabisa
JPM FUFUKA BABA.