"NAOMBA TUSITANIANE NATOA DAKIKA TANO HUYU MZEE AWE AMEPATA HAKI YAKE"-RC MAKONDA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 05. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 140

  • @babalevinerlameki5425
    @babalevinerlameki5425 Před měsícem +20

    Makonda the future president from heaven welcome we are waiting you one day

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 Před měsícem +8

    Kiukweli tungepata akina Makonda kama Makonda anavyo fanya sijui kama tungemkumbuka kwa maumivu makali JPM
    Mungu akuongoze Makonda kwa upande wangu unakwenda vzr Sana hasa kwa wanyonge🙏🏼
    Utafika mbaaali Sana kama utasimamia haki hasa kwa wanyonge wenye maumivu makali wanayo tembea nayo na hawajui wapi wakaseme ili kupata haki zao Thank you very much Brother Makonda History nchii hiii kuhusu ww tayari Ipo🙏🏼

  • @octavianpeter8472
    @octavianpeter8472 Před měsícem +20

    Mungu wa mbingun akulinde muheshimiwa

  • @jesselyimo3403
    @jesselyimo3403 Před měsícem +29

    Mungu mbariki huyu Makonda baba aje kuwa Rais wa Tanzanis kwa jina la Yesu.

  • @dubariz_mic_killa
    @dubariz_mic_killa Před měsícem +6

    Mh.shimiwa makonda anaijuwa kuishi na watu mungu ampenguvu iliaweze kututumikia vyema❤❤❤🤲🇹🇿 am Dubariz Wapagazi

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Před měsícem +3

    Yaani nimelia kwa sana kwa ujasiri wa makonda wallah Yaa Rabbi mlinde na Shari za walimwengu huyu mja wako hakika huyu ni zawad kutoka kwa Allah mama Samia hapo upate msaidizi😢😢😢najisikia raha

    • @IsmailMjesh
      @IsmailMjesh Před 23 dny

      Alhamdullilah nilipata kwenda Arusha wallah kuna watu wengi, mpk haipatikani

  • @JumaKobossa-gb2br
    @JumaKobossa-gb2br Před měsícem +13

    Hongera kwa kazi uifanyayo mungu awe nawe watetee wanyonge. Kila la kheri kwako bro

  • @janemcharo5371
    @janemcharo5371 Před měsícem +3

    Sina lakusema mheshimiwa Makonda ila tuu MUNGU Akukumbuke kwenye ufalme wake hilo tuuu❤

  • @JoalAlma-ci1hi
    @JoalAlma-ci1hi Před měsícem +4

    Mamayetu mama samia naomb kama utaipata hi sms tafuta watu wengine 10 kama uyu baba waweke kweny mikoa kolofi jamna mama uyu mtu anafanya kazi saan naiman yapo mashetani yatakuwa yanamlinda yamtoe mpe ulinzi uyu baba anaitaji kuangaliwa kwa machoyoote

  • @omarwahab7191
    @omarwahab7191 Před měsícem +10

    Makonda Allah akulinde

  • @ShaidaAfati
    @ShaidaAfati Před měsícem +9

    Makonda wewe ndiyo unastahili kuwa raisi wa nchi hi lakini raisi gani kilasiku kigu na njia kazi njema mrisi wa magufuli❤

    • @NunuKupela
      @NunuKupela Před měsícem

      Anapambana Kwa ajili yetu

    • @user-ib3kq7kf1w
      @user-ib3kq7kf1w Před měsícem

      Shaida huyo makonda anafanya kazi alieagizwa na huyo unaemzarau na kumuita eti kila siku kiguu na njia maana hizi ndio kazi zao wakuu wa mikoa na sio ishu ndogo km hizi eti asimamie rais Sasa wao wameteuliwa ili wafanye Nini shaida chunga mdomo wako uhuru wa kuongea usikupe kiburi ukazungumza unachojisikia hizo ziara anazoenda mama ni faida ya watanzania wote

    • @PurityJohn-if4ei
      @PurityJohn-if4ei Před měsícem

      😊

    • @Ericomtz5
      @Ericomtz5 Před 26 dny

      ​@@user-ib3kq7kf1wnakubaliana na wewe mkuu by ericomtz05 from Geita Tanzania

  • @binkhalifa6956
    @binkhalifa6956 Před měsícem +5

    Allah akulinde Mh Makonda

  • @juliusjkalela9164
    @juliusjkalela9164 Před měsícem +6

    Nakuona makonda ukiingia njia ya magufuri😭😭😭😭😭 binafsi natamani sana ukpate kiti cha uraisi af utufanyie haya

  • @oscarcharles9624
    @oscarcharles9624 Před měsícem +2

    makonda wewe ni mwema sana yani mungu ambariki mama alekuzaa unasaidia wanyonge

  • @reubenalfred9707
    @reubenalfred9707 Před měsícem +5

    Hata kama ni kweli alipata zero, lakini ameonesha uhodari kwenye utendaji zaidi ya wasomi.! Na pengine ni mifumo yetu tu mibovu ya elimu ndio ilisababisha afeli form four lakini Makonda ni smart sana kuliko hata Gwajima na kebehi zake

    • @santebnassary7411
      @santebnassary7411 Před měsícem

      Kusoma Ni makaratasi utendaji kazi upo ndani ya mtu sio kwenye makaratasi ukichukua huyu anaweza kuwazidi hata maprofesa waliosoma hadi wakakutana na skull basi

  • @user-ol7nz6ii7u
    @user-ol7nz6ii7u Před měsícem +4

    Mungu akulinde najuwa wabaya hawatapenda

  • @NasoroZuberi
    @NasoroZuberi Před měsícem +4

    Safi sana hii enaitwa hapakazitu yani unanikosha sana mungu aubaliki sana tenasana

  • @malila4582
    @malila4582 Před měsícem +6

    Iki kidume bwana💪

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před měsícem +15

    Kweli watu wanateseka kwajili ya watu wengine wanaodhulumu

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 Před měsícem +9

    Taifa la lele Mama kila Mtu anatupa mpira kwa mwenzie. Eti si kazi yetu tullishamaliza jalada lipo kwa Mkuu wa wilaya Nonsense

  • @benlaizer9936
    @benlaizer9936 Před měsícem +7

    Hakika huyu ndiye ajaye kuvivaa vile viatu vilivyokosa mvaaji

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před měsícem +6

    HATA SURA ZAO ZAONESHA WATU WASIO HURUMA, WASIOJALI...NA MATUMBO MAKUBWA YA BIA TU. HII NCHI ASILIMIA 98 YA WATENDAJI WANGEFUKUZWA, TUANZE UPYA!

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 Před měsícem +2

    Makonda anaweza na anamanisha

  • @MojaZirro
    @MojaZirro Před měsícem +5

    Makonda Mungu akubariki

  • @user-lucas47
    @user-lucas47 Před měsícem +2

    Makonda ana mienendo kama ya magufulii

  • @gm7045
    @gm7045 Před měsícem +4

    Makonda (King Salomon )❤

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před měsícem +5

    gongeni LIKES ili watu wengi waipate na kuskiliza majadiliano ya viongozi wetu/ hiii itatusaidia kukaza maombi kuwaombea

  • @ShortyShorty-mr3jb
    @ShortyShorty-mr3jb Před měsícem +6

    Safi sana😂mhe makonda

  • @user-gx4gt2pe4w
    @user-gx4gt2pe4w Před měsícem +4

    Piga kazi kijana wetu tuko nyuma yako tunakuombea kwa Yehovah akulinde

  • @Nerialulambo
    @Nerialulambo Před 28 dny

    Wewe ni Raisi kabisa yaan Mungu akubariki na akulinde

  • @ramadhanaldawiyya8659
    @ramadhanaldawiyya8659 Před měsícem +1

    Abarikiwe mh MAKONDa

  • @LinusLongino
    @LinusLongino Před měsícem

    Mh, hongera Kwa kazi nzuri Mungu akutie nguvu

  • @LusajoKabuka
    @LusajoKabuka Před měsícem +2

    Kura zitakua nyingi za kusukwa sukwa tunapomsifia wanachukia mafisadi anayoyafanya hafanyii chumbani tunaona watu wanafutwa machozi tunaomba mungu mlinde baba wanaopigana naye pigana nao

  • @josephmachariamwangi7733
    @josephmachariamwangi7733 Před měsícem +1

    Asanteni tanzania maghufuri bado yup tu

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759 Před měsícem +1

    IBRAHIM LA TRAULE,, THOMAS SANKAL,,JPM TANZANIA,JKN, TANZANIA... MAKONDA NI 1

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před měsícem +4

    Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa Arusha tuliokuwa wafanyakazi wa iliyokuwa hotel 77 ya serikali madai yetu hatujalipwa tangu mwaka 2000 mpaka sasa juni 2024 hatujui hatima ya madai yetu tunaomba msaada

  • @martinwangwe8966
    @martinwangwe8966 Před měsícem +7

    endelea kupiga spana wavivu

  • @donardmsomi8451
    @donardmsomi8451 Před měsícem +2

    Huwa naenjoi sana kusikia maamuzi ya chapuchapu kwa kiongozi.

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm Před 29 dny

    Piga kazi makonda mungu yupamoja nasi

  • @andrewmaiga4331
    @andrewmaiga4331 Před měsícem +4

    Safi sana

  • @hawamohammed9740
    @hawamohammed9740 Před měsícem

    Naomba Allah anikutanishe nae live huyu makonda nijisikie raha zaid Mimi nimekua mtu wa kutoka machozi kila siku nionapo ujasiri wake😢😢😢

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Před měsícem +3

    Haw wapumbavu sana wasambua viongoz wenzao sana sijui kwa nn hamuafukuzi

  • @DjohariNdayizeye-pm5xd
    @DjohariNdayizeye-pm5xd Před měsícem

    Mungu akubarik Sana ,

  • @musicheals1545
    @musicheals1545 Před měsícem +2

    piga spana kenge haooo

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 Před měsícem +1

    Ivi binadamu hamna haibu ya kumsumbuwa mzee mlemavu tena mgondjwa mlaaniwe.makonda fanya kazi baba kwa ukali kwenye sikali kuna washamba na ushamba mwingi ni ujinga.washenzi sana hamna adabu kabisa.

  • @thepowerofchristministry1918
    @thepowerofchristministry1918 Před měsícem +3

    Ivi hii nchi tukienda hivi tutafika kweli? Mmemwachia makonda matatizo yote ya watu wa nchi hii,na mnapokea mishahara kweli!?

    • @HamisiForogo
      @HamisiForogo Před měsícem +2

      Hata Mimi nashangaa makonda ndo kaajiliwa na serikali peke yake

  • @MinnahMnyanyi-ee1bw
    @MinnahMnyanyi-ee1bw Před měsícem +1

    Ila jamani laana tunajitkia TU kumdhulumu huyu mzee

  • @FedyKafyulilo-iz2nw
    @FedyKafyulilo-iz2nw Před měsícem +1

    Ingekuwa inawezekana tungeungana wote tumpitishe makonda awe rais,maana anatosha kila secta,sema tu umoja haupo ila mm namuomba mungu atufanyie muujiza awe rais tu

  • @mussaMagaji-ey1tu
    @mussaMagaji-ey1tu Před měsícem +1

    makonda ni moto wakuotea mbali inaitwa gusa unase

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari8924 Před měsícem +1

    +MUNGU+ alie HAI azidi KUKUBARIKI na kukutunza hata na uzao wako baada yako 1 WAKORINTO 1:9🙏

  • @Joery-pb5tz
    @Joery-pb5tz Před měsícem

    We makonda ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-gf3oe3rz6c
    @user-gf3oe3rz6c Před měsícem +1

    Mpaka nimelia jaman

  • @JbahattBahhatt
    @JbahattBahhatt Před měsícem

    Makonda kazi Safi unafaa kuwa raisi baba

  • @PeterKisiongo
    @PeterKisiongo Před měsícem

    Mungu awe nawe

  • @sunaybrajabu238
    @sunaybrajabu238 Před měsícem +1

    Viongoz mtachomwa moto jamani hamumuon hata mzee wa watu

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před měsícem

    Aseee dah 😢😢😢

  • @azizigaston8631
    @azizigaston8631 Před měsícem +1

    Spana spana spana piga spana mh makonda wanaonea sana watu hao usiskile wanafiki na wanataka kikurudisha nyuma ni Bora ufe kwenye haki kuliko kufa kwe dhuruma mbona baba yako kipenzi magufuli wetu naamini amepumzika kwenye haki wewe chapa kazi maombi yetu yapo juu yako

  • @BukinduBukindu
    @BukinduBukindu Před měsícem

    Wana Arusha Mungu awape nini❤

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi4791 Před měsícem +1

    Iwish uongozi huu ingekuwa kenya

  • @funngraphite
    @funngraphite Před měsícem

    Good

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 Před měsícem

    Haitojalisha ni lini lakini makonda atakuja awe Raisi wa nchi hii

  • @PHARESVENANCE-ye8wh
    @PHARESVENANCE-ye8wh Před měsícem +2

    Natamani Makonda nikuone walau ata Kwa macho nakuonaje jamani

  • @jerryshah4880
    @jerryshah4880 Před měsícem

    I think it is time to get back to Arusha.

  • @Emanuela-edmund
    @Emanuela-edmund Před měsícem

    🔥🔥🔥

  • @shmaiderkiborey5144
    @shmaiderkiborey5144 Před měsícem +1

    Hii nchi inawatu ambao hawana huruma hata kidogo

  • @DicksonCharles-km9vu
    @DicksonCharles-km9vu Před měsícem +1

    Unastaili kuakiongozi mkubwa atnzania

  • @user-lu6rs6ql6b
    @user-lu6rs6ql6b Před měsícem +1

    So sad

  • @barikimaluli6107
    @barikimaluli6107 Před měsícem +1

    Hakika jins namna mambo yalivyo unaweza kufikili kua tanzania kiongozi ni wewe peke yako hatujaona kama wewe makonda toka ukiwa dsm wewe ni kiongozi wa mfano sanaa

  • @PeterPeteraugustino
    @PeterPeteraugustino Před měsícem

    Kiongoz mzr ni yule anaye sikiliza kelo za watu na kuzitatua bila kubagua

  • @StanleyMolla
    @StanleyMolla Před měsícem +6

    Watu wa arusha msiponenepa tena mtakuwa mmelaaniwa

  • @allysaleh2220
    @allysaleh2220 Před 26 dny

    Kuna mmoja yupo dar huko anakazi ya kolopoka lopika2 😂😂

  • @KilimbikeHaji-iy2fm
    @KilimbikeHaji-iy2fm Před 29 dny

    Laiti viongozi wa Tanzania wangekuwa kama wewe tungekuwa mbali sana mungu
    Akupe ulinzi eww makonda uwanyooshe washenzi

  • @Winnfrida-sx3in
    @Winnfrida-sx3in Před měsícem

    Makonda baba tunakupa urais chukuwa fm bb ugombee wewe no msaada wa wanyonge

  • @WibroadWiliusi
    @WibroadWiliusi Před měsícem

    Acheni uoongo wakuturagai haipo hja yakutsmbua kumaliza data zetu Bure BIRA Faida hamna maanana kutaka wizi poreni tumewajua burre

  • @fatumasaidimmependezamjeng8994

  • @PeterPeteraugustino
    @PeterPeteraugustino Před měsícem

    Mm nautaka huo

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 Před měsícem

    Kuna watu wanadhani mzee atakufa wamdhulumu ili watoto wake wakose irithi

  • @dbwaxvevo5780
    @dbwaxvevo5780 Před měsícem

    Anachokifanya makonda ni kuomyesha madudu yaliyopo kwenye mikoa yetu

  • @salehehassan4191
    @salehehassan4191 Před měsícem

    Mama samia tunamtaka makonda Aje Tanga mana ukuzuluma za Ardhiz ninyingisana

    • @asteriashios1852
      @asteriashios1852 Před měsícem

      Tanga si mtamloga aisee unamtakia mwema kweli ? Duh makonda Kwa Tanga tutamkosa Bora mikoa mwingine arudishwe Kilimanjaro tuu etie?

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf Před měsícem +1

    Makonda anastaili kuwa rais wa Tanzania lkn ccm naujizi wao naujambazi na ifisadi wao watakubali kwelii maana hapo akiwa rais makonda ufisadi kwisa abali yake CCM nikikwazo kukibwa sana ndo shetani wa Tanzania anaetuyumbisha nakututesa kiukweli ccm haifai hata robo

    • @user-ib3kq7kf1w
      @user-ib3kq7kf1w Před měsícem

      Ujizi,ujambazi na ufisadi hata chadema upo km huamini muulize msigwa

  • @japhetmasunga8889
    @japhetmasunga8889 Před měsícem

    kumbe kina magufuli bado wapo nimeamni

  • @mabulajoel1967
    @mabulajoel1967 Před měsícem

    Hata dakika tano kwangu nahisi nyingi timua kazi huyo

  • @remymsangi4546
    @remymsangi4546 Před 7 dny

    Vizuri havidumu,mambwa wa hii nchi ole wenu mumfanye kama mlivyomfanya .......,tuachieni makonda wetu

  • @makoyelwango6048
    @makoyelwango6048 Před měsícem

    Nchi hii

  • @ramadhanimrisho6094
    @ramadhanimrisho6094 Před měsícem

    Makonda unatisha sans

  • @naimatemba8061
    @naimatemba8061 Před měsícem

    Mpaka machozi

  • @HusseinChai
    @HusseinChai Před měsícem

    Mungu ni mkubwa makonda natamani nikuone ukiwa rais TZA

  • @thepowerofchristministry1918
    @thepowerofchristministry1918 Před měsícem +2

    Makonda gombea urais tuko na wewe

    • @user-pu9wf7zs5w
      @user-pu9wf7zs5w Před měsícem

      Tena atapita Kw kishindo tena Akuna aja kupga kampen akae nyumban tu

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před měsícem +2

    Ningekuwa raisi walau wiki moja.... Ninge fukuza wafanya kazi wooote na kuteua wanafunzi wote walio maliza vyuo vikuu vyote waanze kazi mara moja

    • @msafirimaulidi5054
      @msafirimaulidi5054 Před měsícem +1

      Ao ndo mafyongo kabisa hi mch wenye akili wanafeli au awana uwezo wa kujiendeleza

  • @toymadebho7048
    @toymadebho7048 Před měsícem

    mkuu ujaeee

  • @SamsonOttuma-te3lu
    @SamsonOttuma-te3lu Před měsícem

    Hatari wana chuga

  • @OthmanKibao-mg6ik
    @OthmanKibao-mg6ik Před měsícem

    Piga spana tu dadeck😂

  • @ayoubomary9336
    @ayoubomary9336 Před měsícem

    Chuma jr

  • @maharagendondo
    @maharagendondo Před měsícem

    MAKONDA,NA WAZIRI SLAA HAMJA ZALIWA MMESHUSHWA KAMA MALAIKA MUNGU AWAWEKE

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa Před měsícem

    Nishuhudia huu mtifuano

  • @lusatomichael7973
    @lusatomichael7973 Před měsícem +1

    Uongozi ni maamuz tuu siyo kucheka kucheka na kuwafikir wazembe MAGU icon

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před měsícem +3

    Watu wenye shida za namna hiyo wako millions mkisaidia hao wachache waliokuja kumiona na hao wasio kuwa na uwezo wakuja kumiona je? Atasaidiwa na nani?

    • @SaidiAyubu-of8zt
      @SaidiAyubu-of8zt Před měsícem +3

      Acha uchoko ndugu

    • @ismailabdallah4362
      @ismailabdallah4362 Před měsícem +1

      Acha ukuma wewe kwaiyo unataka awafate Nyumbani ?

    • @user-ee9iq2pw5i
      @user-ee9iq2pw5i Před měsícem +2

      Kama yuko nyumban tu atasaidiwaje hata ungekuwa wewe mkuu wa mkoa ungefanyaje mtu hajaja

    • @user-ye4iy8jy2z
      @user-ye4iy8jy2z Před měsícem +2

      Kwaio wasisaidiwe au sio unaongea vitu kama na ni mmoja wa wanaodhulumu

    • @masboy952
      @masboy952 Před měsícem +2

      Kwahyo unamanisha ni bora wote wasisaidike au

  • @SaidiAyubu-of8zt
    @SaidiAyubu-of8zt Před měsícem +1

    Raisi wa baadae

  • @NasibuKitwana
    @NasibuKitwana Před měsícem +1

    Huyu Makonda yupo kimagufuli magufuli tuu,ila sidhani kama atamaliza siku nyingi Mungu asipokaa naye kila mahali

    • @nehemia397
      @nehemia397 Před měsícem

      TISS huyo kitambo... ana watu nyuma yake huwezi dhania ...yuko vizuri kiusalama

    • @HamisiForogo
      @HamisiForogo Před měsícem +2

      MUNGU anaona na atamlinda kabisa

  • @musakatwale1959
    @musakatwale1959 Před měsícem

    JPM FUFUKA BABA.