MZOZO MKALI BUNGENI HALIMA MDEE AJIA JUU ISHU EPCF, MWIGULI AMCHANA MAKAVU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 05. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 16

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj Před měsícem +1

    Your a women hon ;spika God blessed you too

  • @user-vm2ii2px9h
    @user-vm2ii2px9h Před měsícem +1

    Jaman pale akson kaka na watugan mnijuze

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj Před měsícem +2

    Mungu nisaidie nimegundua kuna wabunge wana akili sanasana kuliko mawaziri,na kumbe wanatudanganya,na hapa ndipo pale wabunge wasioutafuta ukweli wanabaki kupiga makofi tu,nakupongeza sanasana spika,kwakuwaelewesha wale wasiojua.

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před měsícem +1

    Huyu Mwigulu kweli ni Dr. Ila amepata shahada yake kutoka visiwa vya watt watt! Maaana ni watu wa huko tu ndio watakaomfahamu!

  • @warewolfblue
    @warewolfblue Před 27 dny

    hello 👋

  • @manuchochannel5538
    @manuchochannel5538 Před měsícem

    Kuna mtu hapo mumama atafika mbinguni akiwa amechoka sana😅😅

  • @ChakomaJames
    @ChakomaJames Před měsícem +1

    kimeumana

  • @user-vm2ii2px9h
    @user-vm2ii2px9h Před měsícem

    Mhhhhj jamn

  • @user-on6lf6kq4h
    @user-on6lf6kq4h Před měsícem

    Dada TULIA Mpige nondo maana hajawahi kuelekea katika hoja zake na akiwa hivohivo mpelekeni tene KARIAKOO

  • @gililwise
    @gililwise Před měsícem

    Upewe wizara wifi yangu Halima

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain Před měsícem

    Kuna kila dalili kuwa kuna shida serikalini. Na kuna shida ya ufahamu na uelewa kwa mawaziri huko serikalini. Mathalani huyu waziri wa fedha Ng'wigulu Nchemba nafasi hiyo ni wazi kuwa haimtoshi, haimtoshi, haimtoshi kabisa!!!

  • @gililwise
    @gililwise Před měsícem

    Mi sijawahi kumuelewa huyo waziri wa fedha

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 Před měsícem

    Mwiguli hatoshei kiatu chake kusema kweli

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Před měsícem

    Duuuuh! Haidhuru huyu Gashigwa anafahamika na binadamu, badala ya yule wa Visiwa vya watt watt, ila ameonesha udhaifu mkubwa hata wa kufikiri. Na kwa kweli anayosema Gashigwa, na yalioandikwa katika taarifa, na anayosema Mwigulu ni mbali mbali kama baina ya mbingu na ardhi!
    Hapa aidha wanafunika dili la mabilioni, au ni incompetence. Haiwezekani upande mmoja useme mmekwishatiliana saini mkataba ambapo mkandarasi atatafuta fedha na vifaa na kila kitu mje mlipane tu, halafu upande mwingine wasema bado mwatafuta viwango bora vya riba! At least hivyo ndivyo nilivyoelewa mimi na Halima Mdee!

  • @hamadsaidy8740
    @hamadsaidy8740 Před měsícem

    Mdee nakumbali san

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj Před měsícem

    Weakness.