HALI TETE SAKATA LA MPINA NA BASHE UKWELI WAWEKWA WAZI NA WAKILI MOSES

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 06. 2024
  • Karibu Ngasa Media - Tunatoa huduma Zifuatazo
    MEDIA COVERAGE
    1.Goverment Events
    2.Social Events
    3.Documentary
    4.Live Streaming
    5.Zoom Meting
    6.Photo & Videograph
    BUSINESS ADVERTISEMENT
    #Hotel
    #Appartiment
    #Restaurant
    #Supermakert
    #Hall
    #Sallon
    #New Business
    PTINTING
    1.Banner
    2.Sticker & Flyers
    3.Brochures
    4.Business Card
    5.Graphics Design
    6.Logo Design
    7.Tshirt Printing
    Call Us
    0716909567
    0766909567
    DODOMA

Komentáře • 47

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li Před 9 dny +8

    Kwa ufafanuzi huu mpina amekosea wapi spika ulitaka tusiyajuwe. Hayaa mlitaka iwe sili yenu nyiye wabunge sasa tupo tayari kwa lolote kumsaidia mpina hilo bunge ni bunge la kutugandamiza watanzania asante mwanasheria kwa kutufafanulia mpina yupo sahihi ccm tuiyondowe madarakani ili haya yasiwepo mpina mungu atakulinda

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Před 9 dny +15

    Katika wabunge wote ni Waitara tu ndiye aliyesimama na haki, wengine wote wameterea wizi. Wizi na udanganyifu wa mali za umma. Waitara nimekupenda bure. Asante sana kwa kuzungumuza ukweli. Unalisaidia taifa na Rais. Achana na wabunge thahifu wanaosema tuwaachie Bashe wawo, elimu ndogo. Bashe ni waziri ameajiliwa na Watanzania, na analipwa na kodi za watanzania. Shida tuna wabunge wengi hawajuwi ni kwa nini wako bungeni. Wanakula mishahara ya bure na kulifanya bunge ni mali yawo. Bunge ni la watanzania na jambo hili tunalifuatilia. Kwa niaba ya watanzania Mpina Ana haki ya kumuhoji Bashe. Kątowa ushahidi na Watanzania sio wajinga.

    • @hakiyangu
      @hakiyangu Před 8 dny +1

      Wanajua sana sababu ya kua bungeni tatizo ni dharau kwa wananchi.

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im Před 6 dny

      @@hakiyangukuna siku watanzania watauvuwa uwoga. Watatafuta njia ya kupitia

    • @RobertGwelela-zq2fr
      @RobertGwelela-zq2fr Před 21 hodinou

      Waitara naye wazee wanamlalamikia jimboni kwake kwa kuwatesa vijana eti kila akikosolewa ni kukamata vijana na kuwatia ndani.Kwa upande wa Kiukweli ameonewa.Kama ambavyo alisema kuwa waziri Bashe ni muongo ilitakiwa Spika awasomee wabunge ushahidi aliouleta Mpina bungeni Kisha Bashe ndio awe anajibu.Hiyo ndio ingekuwa haki,akishaonekana Mpina kamsingizia Bashe ndipo Sasa angepelekwa kwenye kamati ya maadili.

  • @emmanuelpeter9744
    @emmanuelpeter9744 Před 5 dny +1

    Well done 👍 Mr. lawyer, the true freedom is coming, Hawa watu wanatuona kama sisi mambumbumbu na wajinga wa mwisho ila wao ndiyo waliosoma.
    Shem on them na wanahitaji kulaaniwa kwa kutufanya sisi hamnazo na wao ndiyo wajanja.

  • @margarethsaramaki3966

    Asante Wakili kwa ufafanuzi mzuri Mh Bashe na Mh Mwigulu mchunguzwe na msimamishwe kazi uchunguzi ukiendelea na pia msimamishwe kuingia bungeni cku 15

  • @bonifacekalima5273
    @bonifacekalima5273 Před 8 dny +1

    Kwa maelezo ya ndugu wakili ,,naamini haki ipo mbinguni,,hapa duniani nikuvunjiana heshima na kutoana roho,,kama vile mheshiwa mpina anavyo sulubiwa kwa kumvujia heshima na wengine wakiwa hawajui Sheria,, zaidi ya kutumia madaraka na kuula za kinafiki.

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 Před 8 dny +2

    Asante sana Wakili kwa ufafanuzi mziri . Tunafanyaje na hawa majambazi ???

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 Před 8 dny +3

    Wew ni wakili msomi, sio AKINA SPIKA ALIEINGIZWA KWA MCHONGO, SASA KAMA MSUKUMA DARASA LA SABA ANAJUA SHERIA HAWA NDO WAPIGA MAKOFI , MBUMBUMBUUUUU!

  • @NicolausOnidans
    @NicolausOnidans Před 5 dny

    Shukuran kwa ufafanuzi wa sheria

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed Před 8 dny +3

    Mabunge yetu haya ya nchi za kiafrica mtu ukiongea ukweli tu unakua mwiba kwa serikali husika mpina alikua mkweli sena ndohivyo alikosa sapota

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Před 8 dny +1

    Wakili asante sana kwa ukweli huu uliowazi lakini wenzio tunatafuta fedha za uchaguxi

  • @aganolamotoeliya2027
    @aganolamotoeliya2027 Před 8 dny +1

    Kwa namna hii kumbe bunge ndio limevunja sheria na sio Mpina ila sasa yeye ndiye anayeadhibiwa, kumbe waziri wa kilimo na waziri wa fedha ndio wamevunja sheria na kulidharau bunge ila sasa Mpina ndiye amedhibiwa hili bunge la chama kimoja linaharibu hili taifa ila hakuna chenye mwanzo kisichokua mwisho watakuja isha vibaya sana.

  • @ShabaniMukose
    @ShabaniMukose Před 8 dny +1

    Wana sheria happy ndio mnaitajiwa kwenda mahakamani kumtetea ndungu mpina!

  • @ShinjeMackenzie
    @ShinjeMackenzie Před 8 dny +2

    Harafu anatokea mpumbavu mmoja amasema mpina apimwe afya ya hakir yeye ndiye anapaswa kupimwa maana kila kitu ndiyo mzee

  • @EmmanuelErnest-xd1rc

    ❤❤❤Asante kaka.tuamuke.

  • @hakiyangu
    @hakiyangu Před 8 dny +1

    Wafanya biashara wa sukari kwa sasa wengi wao ni wabunge na ndio maana hawajali vilio vya wananchi na wanamuona mpina kama adui yao kwa kua anagusa maslahi yao 1kwa1. Mpina amehujumiwa kwa kuwambia ukweli wananchi.

  • @user-yz1xq8xo8s
    @user-yz1xq8xo8s Před 6 dny

    Duuuuuu!!!!!! Mungu tusaidie

  • @rashidabeid172
    @rashidabeid172 Před 7 hodinami

    Ili mru achaguliwe kuwa mbunge, ni lazima awe mwanasheria. Wabunge wetu weeengi sasa ni wa kusema tu Ndioooo. Uwezo wao wa kuhoji na kurejea kanuni na miongozo ya uendeshaji wa nchi hawajui. Au kuwe na training za kila mara kuhusu sheria zetu wawapo Bungeni

  • @user-jl5uh1xq9f
    @user-jl5uh1xq9f Před 8 dny +1

    Wabungu wa ccm.ukimtoa gwajima.wengine wote katika jila la YESU kama MUNGU aishisho.awataludi bungeni 2025 wache tu wapge makofi Kwa kutetea ufisadi

  • @abelchacha5977
    @abelchacha5977 Před 6 dny

    Nicjangamoto. Mi nasikia kilimo cha umwagiliaji na bajeti kubwa. Ila sidhani kama nimewahi kula nafaka au mchele wowote wa umwagiliaji. Maji hata kwa matumizi ya kawaida ni changamoto. Haya ya kumwagilia inakuaje. Tunahitaji kuelewa sana hiki kilimo na jinsi kinavyofanya kazi.

  • @user-xq1cx7qg5s
    @user-xq1cx7qg5s Před 7 dny

    2025 itatoa majibu halisi ya Utawala bora .Ajira na maisha bora kwa kila mtanzania yanakuja

  • @ziadasadiki8196
    @ziadasadiki8196 Před 8 dny

    Tanzania 🇹🇿 nchi nzuri

  • @VianeMakarious-lt3is
    @VianeMakarious-lt3is Před 8 dny

    Nchi hii jamani!!!

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9k Před 8 dny

    Kaka iyo ndio ccm

  • @ShinjeMackenzie
    @ShinjeMackenzie Před 8 dny +1

    Tatizo watanzania hatujitambuwi kanisa ukifika uchaguzi yaani tunakuwa kama tumelogwa tunachaguwa viongozi wa ovyo tu kwa njaa,zetu

  • @paulmteki8196
    @paulmteki8196 Před 8 dny

    Tunapoelekea sio pazuri, kwanza sinamuda na bunge kuangalia maana ni utoporo mtu ni watu wa masilayi yao sio wananchi

  • @paulnsabi3779
    @paulnsabi3779 Před 8 dny

    kwa hali hii mpina haponi kwa mkiti simiyu,kamati ya siasa mkoa kamati kuu taifa ukweli hali ya uchumi na bei ya bidhaa ni mbaya inapotokea janga ambalo lilitakiwa lishughulikiwe mapema linashughulikiwa kama zima Moto kupata ujiko

  • @MosesMnyantope-zw4ed
    @MosesMnyantope-zw4ed Před 7 dny

    Duh

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 8 dny

    Nchi yenye mvuto

  • @imanimahundi8293
    @imanimahundi8293 Před 8 dny

    Nani msafi awe wakwanza kumpiga mwingine mawe?

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 Před 8 dny

    Magu amka nchi hii imeshindikana

  • @user-mb8ov2ic1i
    @user-mb8ov2ic1i Před 8 dny

    Kwani ninyi amjui kama kuna kifooo????

  • @user-ps6wm2qm4f
    @user-ps6wm2qm4f Před 8 dny

    Nimeshindwa kuelewa kabisa.Mbunge msukuma mtu anasema kweli na unatetea bila aibu na mnatishia NEC.Hiii c sawa kabisa.

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 Před 8 dny +1

      Huyu msukuma mimi nilikuwaga nampenda sana lkn toka kwenye DP WORD alivyo kuwa anatetea kwa nguvu zote kumbe kuna madudu ya kufa mtu nilimtoa maana kabisa.

    • @ephraimkabeya9648
      @ephraimkabeya9648 Před 5 dny

      Rushwa hupofusha macho, penye rushwa akili nzuri hushindwa kufanya kazi

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Před 8 dny

    THE BEAUTIFUL ONES ARE NOT YET BORN......IT DOES NOT MEAN THAT THE BEUTIFUL ONES ARE NOT BEING BORN NO, BUT THEY ARE POLUTED BY CORRUPT SYSTEMS.....2025 IKO KAZI TENA KAZI KUBWA.

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 3 dny

    Awamu ya sita kichaka cha mafisadi

  • @DavidJosia
    @DavidJosia Před 6 dny

    BONGO MATAMU

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k Před 8 dny

    Spika unajifanya shera ni malli yako binafsi.Umeyakanyaga wewe na genge lako mtajuta .

  • @user-kz5en5tq2z
    @user-kz5en5tq2z Před 8 dny

    Hili bunge walipita kibabe, sasa aliye wabeba katangulia. Patachimbika 25 nyie tufanyeni hatunazo!!

  • @SaleheMkomwa
    @SaleheMkomwa Před 8 dny +3

    SELEKALI YA UKWELI ILIKUA YA ANKO MAGU BWSNA YAANI TUMEUZIWA SUKARI BEI KUBWA KISA WANAPIGA HELE WAO NA WABUNGE WANAKUA UPANDE WA KULE CC TUTUMIE KILO 6000