MZEE AMWAGA MACHOZI KUDHULUMIWA NYUMBA KARIAKOO
Vložit
- čas přidán 28. 04. 2024
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Mwenyezi mungu awalaani wote wanao dhulum. Aldhi zawatu pole babu
Nyumba za kariakoo ni mtihani
Kesi nyingi za dhuluma za viwanja nyumba zinalindwa na serekali yenyewe kwa ssbabu watu wanaofanya zuluma hizo akigundulika hachukuliwi hatua zozote za kisheria kwa dababu ya rushwa kila kona
Dunia hii ina mambo
Na kila aliye dhulumu ajuwe anajitengenezea mazingira mabaya mbele ya mola wake
Rushwa mbaya sana
Baba jikaze usiiie
Jerry Slaa yupo mzee
Kwani nn hizi kesi za Zulma zimekua nyingi tanzania!!
Aisee bolen sana sana Mungu yupo amewasaidia
Pole
Mmmh ardhi hizi zitatumaliza jmniiiiiiiiii kes za ardhi miaka nenda rud usipokua ngangar unapokonywa adhi yako iviivi unaona😢😢😢🙌🙌🙌
❤❤
Hawa matapeli wanatumia sheria zetu kujificha humo humo kwenye sheria, Serikali naomba muweke sheria za ARDHI upya ili kukomesha hawa matapeli wa ardhi
Sasa Mzee Badala ya kulia hapo si angekwenda Kwa Waziri Jerry Silaa
Interview igenoga sana kama zembwela angekua hapo
Acha hizo wewe hawa si watu siku Liza story😂😂
Zembwela Ana hainayake Yaku muhoji mtu mpaka anafunguka mambo mazito
Na bado mpaka muombe maji mmaaaa mlishangilia na kumbagaza magufuli alipokufa,bado makonda amenyooshaa mapito mkamutoa sawa ,Mungu amsaidie tu Rais samia yamkini yeye ana nia njema sasa kuna baadhi hawana nia njema
Kwanini mtu unaamua kumdhulumu mtuu
Linakuwa ni lijitu lijambazi ndio maana linadhulumu Mimi wananitibua kwelii yaani
Mzee analia wongo ni ile tu aonekane analia
Kwakuwa hayakukuta Matatizo lazima utasema hivyo au kwakuwa sio family inayo kuhusu ndugu yangu usiseme hivyo Mjumbe
Ushauri wangu Babu Nenda Kwa Waziri Mwenye Dhamana ya Aridhi Bwana Silaa Hilo kwake Dogo Tanga
Alimaliza Swala kama Hilo tajiri anaitwa Mmasai katolewa nje
Tahed tajiri wa Mabasi kashindwa na Masikini