MZEE AMWAGA MACHOZI KUDHULUMIWA NYUMBA KARIAKOO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 04. 2024
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 26

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Před měsícem +3

    Mwenyezi mungu awalaani wote wanao dhulum. Aldhi zawatu pole babu

  • @YusuphMwangobola
    @YusuphMwangobola Před 2 dny

    Nyumba za kariakoo ni mtihani

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 Před měsícem +4

    Kesi nyingi za dhuluma za viwanja nyumba zinalindwa na serekali yenyewe kwa ssbabu watu wanaofanya zuluma hizo akigundulika hachukuliwi hatua zozote za kisheria kwa dababu ya rushwa kila kona

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 Před měsícem +5

    Dunia hii ina mambo
    Na kila aliye dhulumu ajuwe anajitengenezea mazingira mabaya mbele ya mola wake

  • @YusuphMwangobola
    @YusuphMwangobola Před 2 dny

    Rushwa mbaya sana

  • @restitutakisamo7607
    @restitutakisamo7607 Před měsícem

    Baba jikaze usiiie

  • @baltasartemu2153
    @baltasartemu2153 Před měsícem +1

    Jerry Slaa yupo mzee

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir5127 Před měsícem +2

    Kwani nn hizi kesi za Zulma zimekua nyingi tanzania!!

  • @nassorkimbaru5888
    @nassorkimbaru5888 Před měsícem

    Aisee bolen sana sana Mungu yupo amewasaidia

  • @JoyceNyambura-zr5cb
    @JoyceNyambura-zr5cb Před měsícem

    Pole

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Před měsícem

    Mmmh ardhi hizi zitatumaliza jmniiiiiiiiii kes za ardhi miaka nenda rud usipokua ngangar unapokonywa adhi yako iviivi unaona😢😢😢🙌🙌🙌

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před měsícem

    ❤❤

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před měsícem

    Hawa matapeli wanatumia sheria zetu kujificha humo humo kwenye sheria, Serikali naomba muweke sheria za ARDHI upya ili kukomesha hawa matapeli wa ardhi

  • @gibsonurassa7228
    @gibsonurassa7228 Před měsícem

    Sasa Mzee Badala ya kulia hapo si angekwenda Kwa Waziri Jerry Silaa

  • @afandechanel1507
    @afandechanel1507 Před měsícem +1

    Interview igenoga sana kama zembwela angekua hapo

    • @expelliustitus655
      @expelliustitus655 Před měsícem

      Acha hizo wewe hawa si watu siku Liza story😂😂

    • @afandechanel1507
      @afandechanel1507 Před měsícem

      Zembwela Ana hainayake Yaku muhoji mtu mpaka anafunguka mambo mazito

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před měsícem

    Na bado mpaka muombe maji mmaaaa mlishangilia na kumbagaza magufuli alipokufa,bado makonda amenyooshaa mapito mkamutoa sawa ,Mungu amsaidie tu Rais samia yamkini yeye ana nia njema sasa kuna baadhi hawana nia njema

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni Před měsícem

    Kwanini mtu unaamua kumdhulumu mtuu

    • @laylayl5166
      @laylayl5166 Před měsícem

      Linakuwa ni lijitu lijambazi ndio maana linadhulumu Mimi wananitibua kwelii yaani

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před měsícem +1

    Mzee analia wongo ni ile tu aonekane analia

    • @jackmabirangacharles9398
      @jackmabirangacharles9398 Před měsícem +2

      Kwakuwa hayakukuta Matatizo lazima utasema hivyo au kwakuwa sio family inayo kuhusu ndugu yangu usiseme hivyo Mjumbe

    • @jackmabirangacharles9398
      @jackmabirangacharles9398 Před měsícem

      Ushauri wangu Babu Nenda Kwa Waziri Mwenye Dhamana ya Aridhi Bwana Silaa Hilo kwake Dogo Tanga
      Alimaliza Swala kama Hilo tajiri anaitwa Mmasai katolewa nje
      Tahed tajiri wa Mabasi kashindwa na Masikini