MWANA FA NI MKALI KULIKO NGWEAR/ PROFESSOR JAY ANAUMWA/ SUGU HAWEZI KUFANYA - JAY MOE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 04. 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
  • Zábava

Komentáře • 29

  • @KapistoloBwetete
    @KapistoloBwetete Před 2 dny

    #MOETECHNIC NAMKUBALI SANA NIMWANDISHI MZURI SANA... ANAJUA SANA MPAKA KUONGEA NAMPENDA NIKIMTAZAMA NAMUONA KAKA BINAMU #JUMA... #VIVAMOE

  • @RashidMuhunzi-pr5xj
    @RashidMuhunzi-pr5xj Před 3 dny

    RETURN OF THE SUPERMAN

  • @deonatusdaud4640
    @deonatusdaud4640 Před 2 měsíci +3

    msela so mchafu,msela ni msafi, msela msaka not,anaenda na wakati ....mo..🙏🤝

  • @diasalicastro5353
    @diasalicastro5353 Před 2 měsíci +1

    Alikiba moe kazi jay moe crown ana kitu na anasaut ya mamlaka sanaaa

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 Před 2 měsíci +1

    Nampenda bro very unique aisee ......
    Bro keep it ❤🎉

  • @semaNaJavar
    @semaNaJavar Před měsícem

    Jaymoe msanii mkali amekuwa na consinstency kali sana

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před 2 měsíci +2

    We bishoo tu 😂😂😂

  • @edsonniwagira9569
    @edsonniwagira9569 Před 2 měsíci +1

    Moe yupo mbele sana

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 Před 2 měsíci +2

    MO the BEST RAPPER OF ALL TIME! ✅

  • @jumafarid8861
    @jumafarid8861 Před 2 měsíci

    Natamani sana kiba amuibe huyu jamaa

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 Před 2 měsíci

    I like it..Moe the is the best rapper.

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 Před 2 měsíci

    GOOD JOB BROTHER

  • @EvanceKulima
    @EvanceKulima Před 2 měsíci

    Mo ni hatarii

  • @ManenoKimamule
    @ManenoKimamule Před 2 měsíci

    Jaman mm naomba namba za jay mo

  • @user-eu5uy8vm6i
    @user-eu5uy8vm6i Před 2 měsíci

    Skills zao tofauti

  • @ManenoKimamule
    @ManenoKimamule Před 2 měsíci

    Naomba namba zake jaman

  • @jobizzotv2415
    @jobizzotv2415 Před 2 měsíci

    🎉🎉

  • @wilsonwilliam274
    @wilsonwilliam274 Před 2 měsíci

    Mo technique

  • @MsodokiTheson
    @MsodokiTheson Před 2 měsíci

    Mobenga

  • @Issamuemede
    @Issamuemede Před měsícem

    The got

  • @alijuma997
    @alijuma997 Před 2 měsíci

    Huyu jamaa anajua mpaka anafanya zambi

  • @user-hd7vt8fk5t
    @user-hd7vt8fk5t Před 2 měsíci +2

    J mo unasema hujawahi kujisifu kwenye nyimbo zako wakat kuna nyimbo yako moja ulijisifu uliposema makonda ni washikaj nilianza na kibanda sikuanza na gari,hapo ulijisifufu kuwa unamiliki nyumba

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 Před 2 měsíci +4

      Kwahyo uliumia?😅😅😂

    • @Paplick9
      @Paplick9 Před 2 měsíci +2

      Kwaiyo ulitaka akutaje 😂😂😂😂😂😂😂

    • @salaita2829
      @salaita2829 Před měsícem +2

      sasa huyu nyumba ni maisha yao,wamekuwa na nyumba za biashara miaka mingi,na mpaka sasa yeye mwenyewe anadeal na hizo biashara za nyumba,real estates,ni mambo ambayo yapo,ila hapo alisema tuu kuwa mbwembwe za kuonyesha magari sio vitu vyake.