THE CLASSIC JAY MOE : MAISHA YA JAY MOE KABLA YA WATEULE/WABAKIAJI/MWANZO WA WATEULE/USHINDANI/PFUNK

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 04. 2024
  • Jay Moe anatajwa kama moja ya MC wa Hiphop bora kabisa wa muda wote sio tu Tanzania bali Africa ya Mashariki,uwezo wake wa kiuandishi na mitambao umemfanya abaki kwenye chart kwa zaidi ya miaka 24 sasa,hii ni sehemu ya kwanzaya maongezi yetu ambayo anabainisha safari yake katika hatua za awali kabisa.

Komentáře • 105

  • @Yegon254
    @Yegon254 Před 3 měsíci +10

    Huyu naweza msikiliza siku nzima, story teller

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 Před 3 měsíci +4

    Zamani wazazi wengi walikuwa wanawaleta watoto wao kusoma Mbeya kutoka mikoa mbalimbali kwa sababu miaka hiyo kulikuwa na shule nyingi nzuri na walimu wazuri sana kuanzia private Mpaka government schools. Hapo unaongelea shule Kama Sangu, Meta, Irambo, Iyunga, Rungwe, Lutengano, nk. Huko kote vimepita Vichwa kibao akina Jay Moe, Jaffarai, Marehemu Cpwaa, Mchizi Mox, Prof Jay, Edo Kumwembe, Joseph Kabila na wengine wengi. Mbeya the Green City🔥🔥🔥

  • @makantaafrika
    @makantaafrika Před 3 měsíci +3

    Hii ndiyo tunaamisha tunaposema MADE IN GREEN CITY 💪🏿

  • @qserick7799
    @qserick7799 Před 3 měsíci +6

    Daaaah jay Moe ada madini sana and he is the best story teller,big up brother

  • @obbymweucy4424
    @obbymweucy4424 Před 3 měsíci +12

    Mchopanga ni bonge Moja la story teller....salute sana moe✌️✌️

  • @thomasshello8138
    @thomasshello8138 Před 3 měsíci +3

    Bonge moja la show, Mo is the best

  • @Don_mountana
    @Don_mountana Před 3 měsíci +1

    Unaleta akili mkubwa sana kwenye show big up sana na jay moe ni moja ya msanii wangu pendwa sana i wish to sit one table with legend mo

  • @simas.a1003
    @simas.a1003 Před 3 měsíci +1

    Asanteni the classic, huyu jamaa nlikua namsubiri kwa Ham sana. R.I.P albart mangwear mchizi wake daa!

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Před 2 měsíci

    BEST INTERVIEW, BIG UP SO FAMOUS JAY MOE

  • @MackameHassani
    @MackameHassani Před 3 měsíci +4

    Interview ilikuwa tamu sanaaa tamu mnoo, acha arudi tuu next weak. Darasa tosha hilii.

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 Před 3 měsíci +2

    Sasa Jabir next time muulize Jay Moe kuhusu shule ya Irambo maana aliisagia sana kunguni kwenye ule wimbo wa maisha ya boarding. Kwanini alisema ukimpeleka mtoto shule Kama Irambo lazima tu atafeli? Na je haikumletea shida kwa walimu wake na viongozi wake wa shule aliyosoma kwamba jamaa kasoma hapa Afu anaikandia shule yetu? NB toka alivyoimba vile ile shule haijawahi tena kurudi kwenye track😂😂😂😂😂

  • @JamesPaulo-oz7tb
    @JamesPaulo-oz7tb Před 3 měsíci +6

    Hiii show napishana nayo sana ikiwa live kwa radio mara nyingi naikuta huku

  • @zaharamlau8817
    @zaharamlau8817 Před 3 měsíci +2

    J mo kumbe ni fun 😂😂😂😂😂😂 Nime enjoy sana hii kitu ya leooo. Mbakiajii😅😅😅😅

  • @godfreykiama1930
    @godfreykiama1930 Před 3 měsíci +3

    return of supermen..!!

  • @josephlyakurwa
    @josephlyakurwa Před 3 měsíci +1

    More technics, more flavour, hatari fire 🔥

  • @trendingfootshorts
    @trendingfootshorts Před 3 měsíci +3

    Super Men.... Hii nimeisubir sana

  • @barakamwansele5040
    @barakamwansele5040 Před 3 měsíci +2

    My best story teller

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937 Před 3 měsíci +1

    Juma mchopanga, nakukubali brother

  • @SalimSalim-bv3wb
    @SalimSalim-bv3wb Před 3 měsíci

    Eh Jay moe ni story teller mzuri sana

  • @gnmbi
    @gnmbi Před 3 měsíci +6

    Mchopanga azeeki

  • @martinmwambembe6943
    @martinmwambembe6943 Před 3 měsíci +1

    Kuvichaka yani umemleta mtu sahii sana❤❤

  • @sadiqadam7971
    @sadiqadam7971 Před 3 měsíci +2

    My brother my cousin Jay Moe ✊🏾

  • @makantaafrika
    @makantaafrika Před 3 měsíci +1

    Kudadekiiii 😂😂 Sheiza na Jay Moe 🔥🔥🔥🔥

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 Před 3 měsíci

    Always best👊 jy more🇫🇯🇹🇿

  • @Manyesha6290
    @Manyesha6290 Před 3 měsíci +1

    Appreciation Kwa jay more

  • @Eustacengweshemi
    @Eustacengweshemi Před 3 měsíci

    Nimependa appearannce ya Jaymoe ,kiheshima sanaa sanaa. Safi sanaa. Hii story vijana wajifunze music ulipotoka kwa kupambaniwa na watu. Heshima kwao.

  • @Kitaautange
    @Kitaautange Před 3 měsíci

    Bonge la interview Jabir🔥🔥Mchopanga ma story kali kali

  • @Abuukhatibu
    @Abuukhatibu Před 3 měsíci +2

    🔥🔥🔥👊

  • @edsonniwagira9569
    @edsonniwagira9569 Před 3 měsíci

    Noma

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 Před 2 měsíci

    Duh Karl Luis,,,Longtime aise mtaa wa samora avenue,,,,Sugu Alikuwa anakuja sana kwa bro Heri,,Shekhe,,,,enzi hizo nauza simu na vinyago pale,,,wajanja wote leo tuko abroad.......kumbukumbu hiyo

  • @abuubaqr5808
    @abuubaqr5808 Před 3 měsíci +1

    Top 5 dead or alive, mo technix

  • @barakamwansele5040
    @barakamwansele5040 Před 3 měsíci +2

    My role model mbakiaji

  • @MichaelAnthonyGuni
    @MichaelAnthonyGuni Před 3 měsíci +1

    one of the best MC in this industry

  • @BebaKulwa
    @BebaKulwa Před 3 měsíci +4

    Kuvichaka ......nakubali sana mzee....tutafutie Mr.Sahani D knob.....

    • @jumazahoro3537
      @jumazahoro3537 Před 3 měsíci +1

      Nenda show ya bongo project katoka d knob last week ,next week anahojiwa biz man

    • @joelasu2984
      @joelasu2984 Před 3 měsíci +1

      D knob kaokokaa, sidhan kama atakubali😢

    • @amandusmark3060
      @amandusmark3060 Před 2 měsíci

      D tayari.

  • @gambajunior138
    @gambajunior138 Před 2 měsíci

    One of my idol

  • @JacksonOchieng-dt7xo
    @JacksonOchieng-dt7xo Před 3 měsíci

    Big up sana Jay

  • @shithyomar3828
    @shithyomar3828 Před 3 měsíci +1

    Tuwekeeni namba ya mchopangà nipo nje ya tz tumepoteana tangu makumbusho primary

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Před 3 měsíci

    Mo technics🔥🔥🔥🔥🔥
    Story 3

  • @godlistenmuro9313
    @godlistenmuro9313 Před 3 měsíci

    One of my best story teller rappers ever n ever 🎉🎉🎉🎉

  • @kenanimwakanemela483
    @kenanimwakanemela483 Před 3 měsíci +1

    J mo brain in the house

  • @makantaafrika
    @makantaafrika Před 3 měsíci +1

    Mchopanga 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 Před 2 měsíci

    #Jamoe Ni Miongoni mwa wa Simuliaji Wazuri Sana🙌🙌🙌

  • @husseinwemmar6217
    @husseinwemmar6217 Před 3 měsíci +1

    Jay Mo mbona unaongea kama P Funk majani au kwasababu mmekaa sana pale Bongo records

  • @evanceburton4364
    @evanceburton4364 Před 3 měsíci +3

    Ukimsikiliza Jay moe kuna namna wanaongea sawa na p funk

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 Před 3 měsíci +2

      Kumbe na ww umelionaaa, sema nilikuwa naitafuta, kwamba anaongea km nani vile huyuuu, umenisaidia

    • @johnrichard5482
      @johnrichard5482 Před 2 měsíci

      Kweli Kabisa.. P funk na Jamoe Wakiongea Wana sound the Same...✍️

  • @patrickmwakasungu7121
    @patrickmwakasungu7121 Před 3 měsíci +1

    💪

  • @thomasgunje7640
    @thomasgunje7640 Před 3 měsíci +2

    SO FAMOUS

  • @miltonemusumbah2544
    @miltonemusumbah2544 Před 3 měsíci

    Tumemsubiri sana hyu

  • @hiphopoldschoolkalama1405
    @hiphopoldschoolkalama1405 Před 3 měsíci +1

    Dah, bado narudia, artists wa Bongo wa zamani walikua wamesoma. Wa sasa ni ziii.

  • @yvesyveldinhomzee.5682
    @yvesyveldinhomzee.5682 Před 2 měsíci

    LEGEND 🤟

  • @MaryamRajab-vb6sx
    @MaryamRajab-vb6sx Před 3 měsíci

    The story teller himself mo the classic

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 Před 3 měsíci

    Best Interview 2024

  • @MrishoMussa-bx8ws
    @MrishoMussa-bx8ws Před 3 měsíci +3

    Mo saluti xana kk

  • @ngomenyikani8475
    @ngomenyikani8475 Před 3 měsíci

    Moe 🙏

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 Před 3 měsíci +2

    Anko MO

  • @sokastreet
    @sokastreet Před 3 měsíci

    So famous

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media Před 2 měsíci

    Superman

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 Před 3 měsíci +4

    J MORE,MORE FLAVER, jamaa uwa anakaa kimya akirudi anakaa kwenye nafasi yake na anaenea,

  • @shithyomar3828
    @shithyomar3828 Před 3 měsíci

    Juma big up nimefurahi huyu jamaa nilimkubali tangu tupo makumbusho primary salute where is jafari jafarai

    • @mabudaissere2295
      @mabudaissere2295 Před 3 měsíci

      Jafarai yupo mikocheni Tmj kuna kituo cha oil com,yeye ana car wash.

  • @BoNoBo_Tlm
    @BoNoBo_Tlm Před 3 měsíci +1

    Best interview,hongereni sana

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media Před 2 měsíci

    Naaam 😅 moo technic

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 Před 3 měsíci

    Kuna namna hawa wasanii wa HipHop wanakuonesha ni namna gani hawa jamaa wana IQ kubwa sana, unamsikiliza mwanzo mwisho huchoki, kuanzia watazamaji mpaka watangazaji wanainjoi. Ni mwendo wa kuburudika, kujifunza, na kuongeza maarifa❤

  • @astonchiba5037
    @astonchiba5037 Před 3 měsíci +1

    Moho mbakiaji🔥🔥💪

  • @Eustacengweshemi
    @Eustacengweshemi Před 3 měsíci

    Kwenye talk kama hizi za bongo flavour nammis sana Gardner G Habash. RIP bro, mchango wako mkubwa sana.Mike Mhagama kumbe ndio alitambulisha jina la bongo flavour? nimejifunza, kipindi kizuri sana.

  • @nicksoncharles-kx3gr
    @nicksoncharles-kx3gr Před 3 měsíci +2

    Damme pind liko moto Sana

  • @marcowelano2245
    @marcowelano2245 Před 2 měsíci

    aisee sina deni

  • @alexmsigara4329
    @alexmsigara4329 Před 3 měsíci

    Daaah amenikumbusha way back hiyo rehearsal ya Pool side na talent show ya Mambo Club.

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 3 měsíci

      Haha mzee umepambana sana 🙌🏾

  • @alloycemillinga1673
    @alloycemillinga1673 Před 3 měsíci +1

    Natamani kumjua Uyo Shalonz namsikia mala YA pili Leo, mwenye anamjua

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 3 měsíci

      Shyrose Bhanji andika hivyo instagram utamfahamu ni mwanasaisa kwa sasa

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Před 3 měsíci

    Top 3 dead or alive

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 Před 3 měsíci +2

    Bro unaongea kama unarap... HIP HOP 4LIFE.

  • @wilbroadgrarcian1259
    @wilbroadgrarcian1259 Před 3 měsíci

    Inabidi tupige kura ipi ni the classic bora 😅

  • @Chemba67
    @Chemba67 Před 3 měsíci +1

    Kuvi bwana eti Inspector anaonekana kama msomali kipindi hicho ......alafu umekauka kau hata kucheka.....🤣🤣

  • @lusungumkolla6672
    @lusungumkolla6672 Před 3 měsíci +1

    Pop corn zije

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 Před 3 měsíci

    Oyaaaa, hii kuubwa sana, tupange sasa top3, ni ipi kali ya ya interview ya MASANJA, MWANA FALSAFA, JAY TO THE MOE😂

  • @nyemondagalla608
    @nyemondagalla608 Před 3 měsíci

    Mchopange nakupongeza kwa ukweli wako.

  • @iddbahati5245
    @iddbahati5245 Před 3 měsíci +3

    Guys who is evid??

  • @user-dj5wb1lc1q
    @user-dj5wb1lc1q Před 3 měsíci

    Ekeni maji wakuuu!! Vp studio 🎙 mnakosa ata mji??

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 3 měsíci +1

      Maji yanakua nje hiyo studio haitakiwa kuna na chakula,maji ama kimimimika chocchote na ukiingia navyo ni uvunjifu wa sheria za studio

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 Před 3 měsíci

      ​@@KuviFactsAhsanteeee Leo umenipa jibu

  • @lucaskomba7125
    @lucaskomba7125 Před 3 měsíci

    Bonge ya madini

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 Před 3 měsíci

    interview ina thamani kubwa zaidi za dhahabu.

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Před 3 měsíci

    Tambulisheni lugha yetu! Achaneni na kiswanglishi cha kuunga unga ninyi

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 3 měsíci

      Sawa mkubwa tusamehe sana tumekosea mkubwa 😀

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 Před 3 měsíci +2

      English haiepukiki punguza ushauri

  • @user-rc6ww6rx7n
    @user-rc6ww6rx7n Před 3 měsíci

    Msanii wng bora wa mda wt namkubali sn hy jamaa ukimpa collaboration ujipange