THE CLASSIC JAY MOE PT 1 EP 2:LANGA ALINILIZA SANA/NAZIZI ALINIPA JINA HILI/BEEF NA ZAHRANI/MAJANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 04. 2024
  • Sehemu ya pili ya simulizi za Jay Moe katika safari yake ya maisha ya kimuziki hapa anazungumzia mengi ikiwemo namna Nazizi wa Kenya alivompachika jina la Jay Mo,Beef zake na Zahrani na Langa na mengine mengi

Komentáře • 96

  • @ericktona3638
    @ericktona3638 Před 3 měsíci +10

    Huyu jamaa ni muandishi haswaa
    1: ukisikiliza alichoandika Mvua na jua utakubaliana na mimi kuwa mle aliumiza kichwa sana
    2: kama unataka demu aisee aliandika kusifia madem kitu ambacho alichotaja mle hadi sasa hizo sehem kuna madem wakali haswa
    3: Maisha ya boarding Aisee mle vitu alivoandika sisi tuliosoma boarding tunajua nini alisema 😂😂 ni ukwel mtupu
    4: Sasa akajaa kuuwa haswa kwenye Story 3 aisee 😂😂🙌
    5: Sikiliza I need Money 😂 vers moja kachapa kingeleza tüpü Afu kimenyoka haswaaaa
    6: Maliza Famous afu uje nitajie mwandishi wako bora wa hip-hop kumpita Super man 😂😂😂
    4:

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před 3 měsíci +15

    Wasanii wa zamani wanajuwa kufanya interview wanaongea vzr ,positive kabisa

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 Před 3 měsíci +5

    Mo Tech Mo Fleva…..Best Storyteller best interview 2024, hizo zitakazokuja labda iwe ya Prof J au Majani au Mr. J.

  • @shedrackminja7334
    @shedrackminja7334 Před 3 měsíci +6

    KUVI niaje mwamba kazi nzuri, ombi langu kwako ni uturahisishie na sisi mara moja moja uwe unatag hizo nyimbo unazokuwa unawasikilizisha kweny wasani kweny presentation. Najua nyingi hazitokuwa kweny online platforms cause ni oldies 😂, Ila fanya mambo mwamba KUVI much respect brother 💪🏾.

  • @user-xm9wr1lk4t
    @user-xm9wr1lk4t Před 3 měsíci +3

    Albums zake zote mbili ninazo ya kwanza ni ulimwengu ndiyo mama na mawazo ya jay moe

  • @saveklima4494
    @saveklima4494 Před 2 měsíci +1

    Jay moe Mback yard, we ni msanii mahiri sana unajua sana. Unatakiwa kuungana na wasanii wengine kuunda chuo cha rap na historia ya bongo Rap. The Interview iko poa sana. Nawasikiliza toka Hamburg

  • @NoahMalanga
    @NoahMalanga Před 3 měsíci +5

    Jay to the mo, Mo technique, Mo fleva, Mo famous.....Living legend

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j Před 3 měsíci +7

    Jamaa yuko vizuri kwanzia kichwani shukurani kwa jabir kwa kutuletea vichwa

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 Před 3 měsíci +1

      Kabisa hawa watu wenye akili ndio wanatakiwa kuhojiwa sio unahoji mtu anaongea upuuzi

  • @kyambahacharles-mr4zk
    @kyambahacharles-mr4zk Před 3 měsíci +4

    Much respect sana kwako brother, ndiyo msanii wa kwanza kwangu kutoa hela yangu ya Pocket money ya shule kununua tape yake ya ulimwengu ndiyo mama Ile ni mshambaaa..., mshikaji noma sana.

  • @user-xo4re6ip9t
    @user-xo4re6ip9t Před 3 měsíci +3

    Jay Moe yuko mbele ya muda sana.

  • @wilsonrichardmabala6616
    @wilsonrichardmabala6616 Před 3 měsíci +4

    One of the best interview, jamaa mkali sana sana...

  • @leonardcharles3169
    @leonardcharles3169 Před 3 měsíci +5

    Wanamziki wa kizazi Cha kati wanatakiwa kujifunza sana kutoka Kwa jay Moe, hususani Nidhamu

  • @gRaY_S9N
    @gRaY_S9N Před 3 měsíci +1

    Respect sana kwa #Jay #Moe
    Huyu Jamaa ni Talented sana ni mmoja kati ya Good Storyteller. Ishi sana Brother #So #Famous..🙏🏾🙏🏾.
    Endelea Kupeperusha Bendera..🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mashakamakoba7955
    @mashakamakoba7955 Před 3 měsíci +2

    Shule ni jambo la msingi sanaa wasanii walosoma wanajua nini chakuongea na kuandika pia

  • @erqmusic5973
    @erqmusic5973 Před 3 měsíci +2

    It's true bro....sisi Kenya J ikiambatana M tayari wewe ni J moe❤

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 Před 3 měsíci +3

    Interview bors kabisa mzee jabir kuvichaka....naomba mum mumlete noorah babastyles inshaallah ❤️

  • @nehemia397
    @nehemia397 Před 3 měsíci +3

    mzee safi sana unajua kumuacha mtu aongoe inakua safi sana ..

  • @kherisalum6304
    @kherisalum6304 Před 3 měsíci +5

    Huyu jamaa Ana consistency ya ajabu hajawahi kushuka Kama marapper wengine wa Bongo ✌️✌️

  • @Lg4343
    @Lg4343 Před 3 měsíci +2

    Daah respect sana Faza huyu Jamaa namkubali sana natamani nije nimuone live aise nimpe salamu

  • @ndesafanamfala5800
    @ndesafanamfala5800 Před 3 měsíci +7

    Jmore Ukipenda Mbakiaji Ww ni Moja ya Washika kipaza Wenye kuogopwa ktk Hip hop ya bongo ni full package Nyota Yako siyo Mchezo Wajina Juma kiloboto analijua Hilo ww sooo...More Tec

    • @nicholausmbilinyi3587
      @nicholausmbilinyi3587 Před 3 měsíci +2

      Nadhani Jay Moe hana nyota kali..maana kwa uwezo wake!alipaswa awe na heshima kubwa zaidi ya hii aliyonayo

    • @ndesafanamfala5800
      @ndesafanamfala5800 Před 3 měsíci +1

      Kipindi Jmore anaingia ktk game Nature alikuwa Wamoto Majina Yao ya yanafanana Michano tofauti radha Kila Mmoja anayo kukawa na battle ya chini Kwa chini Juma yupi anatokea pande zp

    • @simonmwakifuna1287
      @simonmwakifuna1287 Před 3 měsíci

      ​@@nicholausmbilinyi3587kabisa mkuu

    • @amonijajila1218
      @amonijajila1218 Před 3 měsíci +1

      Live kabisa

  • @georgemathew9326
    @georgemathew9326 Před 2 měsíci

    Broh naomba kuonana na wewe Jay Moe

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 Před 3 měsíci +2

    Story 3 tofauti mzee wa kuvi iguse

  • @antonyyohana6148
    @antonyyohana6148 Před 3 měsíci +1

    Mwana yupo mbele ya mda sana so Namkubari sana iyo Bishooo Enz izo ilikuwa noma so much Respect Buddha.

  • @peterjohn8405
    @peterjohn8405 Před 3 měsíci +1

    Hongera kwake jay Mo kwa kuendelea kujiweka vizuri.

  • @razackkasanga5288
    @razackkasanga5288 Před 3 měsíci +2

    Jay Moe 🎉🎉

  • @abuubaqr5808
    @abuubaqr5808 Před 3 měsíci

    Trueeeee, we grew up listening to jay, story tatu was huge back n made major impacts on our lives

  • @pewaabagenge
    @pewaabagenge Před 2 měsíci

    Nimependa hii podcast JayMo, big up Naz.

  • @kibisionlinetv
    @kibisionlinetv Před 3 měsíci +1

    Nafatilia sanaaa sijawahi comment ila jamaaa yuko vizuri

  • @deopogbajr1304
    @deopogbajr1304 Před 3 měsíci

    Anko jay moe unatema madini ki professor alaf juu suit chin moccasin, umepoa kiutu uzima kabisa yani salute ankol.

  • @ngomenyikani8475
    @ngomenyikani8475 Před 3 měsíci +1

    Madini yakitema tutafanya docuseries 1 day

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Před 3 měsíci +1

    🙌🏾

  • @chandengao8795
    @chandengao8795 Před 3 měsíci +3

    Akina mo walisoma music wengine katika mchakato wa maisha wengine walipata kipwampwam Cha mziki hawajui wengine walofanya mziki kabla yake.
    Nadhan haja ipo ya kuwatumia hawa watu kwenye kuunda kozi za muziki kwenye vyuo mbalimbali nchini
    Maneno yake ukiyachunguza yapo juu ya wakati

    • @hiphopoldschoolkalama1405
      @hiphopoldschoolkalama1405 Před 3 měsíci

      Jamaa wamesoma. Hawa wa sasa ni balaa tupu.

    • @paulchaula2583
      @paulchaula2583 Před 3 měsíci

      Watu n walimu was mziki Ila sio Wana mziki no content kabisa kumbe wapo watu wenye content na wanaishi nao

  • @Yegon254
    @Yegon254 Před 3 měsíci

    I am eagerly waiting for part 2

  • @frankkilemile2980
    @frankkilemile2980 Před 3 měsíci +1

    Tunaomba tuletee huyu mwamba na nusu Crazy King GK mtu hatareee sana ewe mr Kuv Fact🙏

  • @barakamalanga4977
    @barakamalanga4977 Před 3 měsíci

    Nakukubali tangu zaman big up mbakiaji

  • @stephenmwita5857
    @stephenmwita5857 Před 3 měsíci

    The interview was lit,Jaymoe kept it real

  • @expeditormkoka3609
    @expeditormkoka3609 Před 3 měsíci +1

    moe hatari sana akuchoshi story zimenyooka

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před 3 měsíci +1

    Wasanii wa sahv empty head kbs

  • @abdalamhamed3586
    @abdalamhamed3586 Před 3 měsíci

    Interview yeee

  • @user-kq2lx6zo9d
    @user-kq2lx6zo9d Před 3 měsíci

    Napenda kumuita MO Technic

  • @mpaligwajunior7835
    @mpaligwajunior7835 Před 3 měsíci

    Mo teckinic Mo fravel 💥💥

  • @nsajigwajuliusmwakatobe
    @nsajigwajuliusmwakatobe Před 3 měsíci

    Jay moo yupo vizur kwa upande reall hip pop

  • @msavageisco5897
    @msavageisco5897 Před 3 měsíci

    🚀🚀🚀

  • @lucaspius1048
    @lucaspius1048 Před 3 měsíci

    Big up to jaymoe, nakumbuka album yake ya kwanza ilikua moja ya album zangu kali kabisa ambazo niliwahi kumiliki wakati huo.

  • @BabuuWakitaa-pb6gr
    @BabuuWakitaa-pb6gr Před 3 měsíci +2

    Brother fanya kutuletea DIZASTA VINA tulishe ubongo kk please

  • @georgerogath374
    @georgerogath374 Před 3 měsíci

    🙌

  • @Abbasbakarsth
    @Abbasbakarsth Před 3 měsíci

    Kaka angu kabisa ww... nakubal sana

  • @ZakayoReuben-ow9tz
    @ZakayoReuben-ow9tz Před 3 měsíci

    Comment ya kwanza kabisa

  • @mshangaf1726
    @mshangaf1726 Před 3 měsíci

    hizo brand za nguo hajapronounce vizuri exept paul smith

  • @surveyexpeditorstanzania429
    @surveyexpeditorstanzania429 Před 3 měsíci

    This is definitely one of the best interview ever! Kuvi unajua sana kutafuta info asee. Jay Moe smart sana!

  • @nassoloabdala8836
    @nassoloabdala8836 Před 3 měsíci

    Dah ai no fim me deixou

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti Před 3 měsíci

    Nimesubiri kwa muda kusikiliza wale jamaa toka SOLID GROUND FAMILY walitoa wimbo kwa jina Asubuhi, Mchana na Usiku

  • @Hauleshabby
    @Hauleshabby Před 3 měsíci

    Jay moo nuksii

  • @Mtamaduni14
    @Mtamaduni14 Před 3 měsíci

    Best interview best Mcee much love from kenya nmekua shabiki wa jay mo toka wayback

  • @kennedymwagambo7197
    @kennedymwagambo7197 Před 3 měsíci

    Mo Techniques !

  • @leonardmavulla675
    @leonardmavulla675 Před 3 měsíci +1

    Mo majakumu haipatiakani Ktk platform za music na mtoto wa mjini Remix pure one black ft Ay nazitafuta sana

  • @shukranisibale1739
    @shukranisibale1739 Před 3 měsíci

    Mark 2 B aka Simba dah

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS Před 3 měsíci

    Nazizi First Lady wa Rap

  • @abdalamhamed3586
    @abdalamhamed3586 Před 3 měsíci

    Make sure jumamos J moe anatokea

  • @BabuuWakitaa-pb6gr
    @BabuuWakitaa-pb6gr Před 3 měsíci

    Moo mwamba ....

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937 Před 3 měsíci +3

    Buana Jabiri tuletee king crazy Gk

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před 3 měsíci +1

      Nasikia eti yupo kwenye msongo wa mawazo na anatumia sembe sana ila ni tetesi zipo tu.
      Ila ni legend sana

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 3 měsíci +1

      Hayuko tayari yeye mwenyewe mana nmimualika hafiki

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před 3 měsíci +1

      Inshallah ipo siku atakubali kuja

    • @nyemondagalla608
      @nyemondagalla608 Před 3 měsíci +1

      Siku akikubali basi itakuwa poa sana

  • @bernardmunuo2137
    @bernardmunuo2137 Před 2 měsíci

    2pac wa bongo

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 Před 3 měsíci

    Bab kubwa moe

  • @muddymassah8998
    @muddymassah8998 Před 3 měsíci

    Mshikaji ni mshambaaa kumbe ni mbabaishajiii

  • @makantaafrika
    @makantaafrika Před 3 měsíci +1

    Lugombo hakujuaga kama huo wimbo alikuwepo Jay Moe 😂😂

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media Před 2 měsíci

    JIPANGE

  • @mbwizax87
    @mbwizax87 Před 3 měsíci

    Ulimwengu ndio mama na ile album ya Mangwair mpaka leo ukisikiliza ni km simetoka leo

  • @zaharamlau8817
    @zaharamlau8817 Před 3 měsíci

    J to the Mo😂😂😂😂😂😂

  • @uwezokinahi7870
    @uwezokinahi7870 Před 3 měsíci

    Tuletee Dizasta vina

  • @ramamsukuma
    @ramamsukuma Před 3 měsíci

    mbona huja mhoji kuhusu baba levo Ile inshu mpaka akaingilia moni au atarejea Tena?

  • @blessedtabatasengelight
    @blessedtabatasengelight Před 3 měsíci +1

    KUVI umemwacha Jmo atiririke na content alizo jipanga nazo sana,uja mchimbua kindaki ndaki...alikutanaje na FA na ingekuwa Vp?Vip ngwea walikutana vp?alikuwa mkali ndio ila nani ali mfanya aone kama awezi alipo ingia kwenye gem?

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 3 měsíci +1

      Ww hapo una maswali yako ambayo si mbaya ukiandika hapa nkakuulizia ,pili tutakua na Part 2 hadi 3 if possible ana vitu vingi,tatu ukimkatisha anaweza akasahau alichotaka ku adress mwenyewe kwanza kabla ya maswali yetu pia wapo ambao uki
      Katisha wanapiga kelele hapa hapa 😀

  • @FadhiliKato
    @FadhiliKato Před 3 měsíci

    Tmu na nusu motek

  • @user-kq2lx6zo9d
    @user-kq2lx6zo9d Před 3 měsíci

    Huyu bro ni mtu na nusu

  • @richzebest2029
    @richzebest2029 Před 3 měsíci

    Mbona umekata kipande cha langa na jmo...bongo miyeyusho sana

  • @MohamedAhmed-yi7qz
    @MohamedAhmed-yi7qz Před 3 měsíci

    kuweka you tube na watu kuskiza sasa mbona mnakata sehemu ya mziki ya mtu anayehojiwa

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 3 měsíci

      Nyimbo kasikikize kwenye account yao mkuu ,hapa zina hakimiliki hatuwezi kutumia boss