JAYMOE 'Sikulia sana kwenye msiba wa Ngwair kama wa Langa, Sababu....' aelezea ishu ya Madawa Part 1
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- THE PLAYLIST ni Show kali ya weekend inayowashusha mastaa kibao ndani ya Studio za 100.5 Times FM kuchagua ngoma 5 kali wanazozikubali na kupiga mastori kibao kuhusu Music, Fashion & LifeStyle, Gadgets & all that.
Show inaruka kwa hewa kila Jumamosi, Saa 6 - 8 Mchana kupitia frequency ya 100.5 Times FM chini ya Presenter Mkali, the Baddest boi, Omary Tambwe aka Lil Ommy.
Subscribe, Watch, Share.
Niguse kwenye social networks:
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc.
Anayemkubali jay moe gonga likes hapa, super man. !!!💪🏿
J moe I like the way umeelezea tunavyotakiwa tuish....
unastahili pongez according to the story...
big up @Lill omy ...maswali yenye akili sana
Kipindi hakiwezi kuwa kizuri kama mtangazaji sio mzuri...
Lil ommy ur the best prezentaaa broo 👍🙌🙌🙌🙌
very true...
Jaymo...una akili flan iv... amazing..
Hiii ni moja show bora katika show zako zotee lil omy kichwa kiko poa sana Respect for the main man himself Jay Mo
Jibaba Manze Nakubali Si Leo Kwanzia Kitambo Ndo Maana Nakufwatilia Fan Namba 0ne Kama Kawa❤️💥👊🏾👊🏾 Tambwe Kheri Sana Wengine Waje Online Waiting Maswali Nayakubali👊🏾🇰🇪mob Love here
maisha ya bording Ngoma moja hatali saana
Mawazo jamaa yupo straight anaeleweka nilianza kumuelewa miak ya 2002 kweny movie ya girlfriend... Namkubali xan
bro Ommy umetisha Sana kumleta moe namkubali Sana huyo jamaa
Jaymoe alipiga ngoma moto sana akiwa na Necessary Noise na Gangwe Mobb, Tunajirusha! Noma sana
nimerudi tena mwaka 2020 sio kwamba sikuwa nimeona hii interview ni kwa sababu Jay moe ana akili sana na Lilommy ni babalao
mtu kama jay mo akifapa mtu sahhih wa kumuuliza maswal utafrah kwa sasa nawaaminia lil ommy,salama jabr na dulla kwenye kuuliza maswal na wasanii
Lilly Ommy kipindi hichi alikuwa na njaa sana(passion) thats why show ilikuwa kali sana
Broooo napendaa cnaa interview za jaymoeeee yupoo vizuriiii cnaaaaaa #lil ommy ur the baddest
Moefamous@ huyu jamaa n Genius
Daaa safiii sana Daa inzi za kina moo ulikuwa muziki kweliii sasa hivi hakuna laza
Real rapper, he’s so inspired. Be blessed more life Jay
".........Jay Moe u re the best..."
LIL OMMY, MKALI SANA YAAN!!!MPK UNAENJOY SHOW YA KIBABE
daaah hii story tatu inanikumbusha mbali sanaa kuna sehem alimzungumzia Mariam mtoto wa kishua alf jirani kwetu kulikuwa na mtoto wa kishua alivyo zungumzia J moo ilikuwa exactly km alikuwa anaona dahhhh big up sanaa moo
lilly ommy the biggest presenter all the time keep it up 👏
Boonge moja la #Interview ... Lilommy is the next level meehn ...... One day you will be nominated in the biggest award and being recognized worldwide... #Save my comment
Jackson Hatibu 🙏
Cjui htaa nisamajeeeeee brohhhhh nycccc interview ds year brohhhh jaymoee talentedd cnaa katikaa playlist znguu mwakaa huuu hiii ndiooo kaliiiiiiii cjuii labda nani atamfunikaaa brohhhhhhh#lil omyy nyccc interview
jamaa yuko conscious knoma.... anajibu majibu kwa upeo wa juu sana mpaka ananifurahisha
Haooo ndioo wasaniii wa kutuleteaaaaaaaa hapoo ndani ya playlist bhnaaaaa coz wanajuaaa cnaaaa broohhhhhh #lil ommy nyccc interview brohhh unajuaa knoymaa
It was a very fascinating interview that superman wa sinza did.big up lil ommy
Dah,Nimefika Number 13...huku,The playlist inawashabiki kibao...Tambwe Big up!,,,Presenter ako On Top Sanaa..
EA Finest,From +254,Kenya.
Thanks Times FM.
Pamoja sana love yakutosha kutoka Nairobi, 'ppreciate that
Engel Stan 👊👊👊
jay moe nakukubali sana kutoka holland njoo tena holland
Jay mo mi Ni fan wako kichaa mzee
apo mmekutana wote ni mafundi Lili ommy Jay moe munaweza
daaah hili ni darasa LA bure aise ni zaid ya show nice j moe nice LilOmmy interview LA kibabe xana
Nuhu Salim 👊
mshikaji yuko real sana kwenye mambo ya msingi
jae moe ,yko vzr
Big up sana Mtu wangu wafaida lil Ommy
Lil ommy yr show is the best man Utadhani umezaliwa 70s 😛Utadhani nakujua ☕
Lil ommy... Jay mo is so concise
Oi Tambwe..... Onelove mkuu!
Piga kaz bt ucmsahau Adam Salala
This man is so composed 😮 respect bro
Bonge moja la show . . na ni Somo kwa wasanii wachanga na jamii . . Big up @times Fm @lil ommy
%%% Jaymie,, penda Sana hitz zako,,,,so famous.....Irambo is ma hood...ndio mackan Irambo/ maadilisho chama la wana kule...nimeipenda sana interview yako coz ni very educating interview,, hasa watumiaji wa drugs abuse,,in general ktk maisha ya kila cku,,much Lov lilommy,,,,so famous jaymoe
Jay mo genius sana my best rapper in Tanzania
hapo sawa nime jifunza j Moe
Love toka 254 Big up Lil Ommy Bonge la Interview na So Famous
Khery Rashid 👊
namkubali sana jay moe,
jamni nakupenda bure lilyom sauti yako tu hoi😊😊😊😊
brohhhh hiii interview ni Kali cnaaaa cjaonaa interview jaymoee talented cnaaa anajuaa cnaaaaaaa kujibuu maswali #lily ommy the best interview in DS year save my comet cjawaahiii onaaaa ndani ya playlist interview mwaka huuuu Kali kamaa hiiiii@lilommy
I appreciate you talent lil Ommy trick questions and staffs like that
Thanks a lot,
Hiyo ni poa umesema, lakin umesahau kuwa kuna kitu kinaitwa "ADDICTION" kaka yangu...
Haijalishi uko Dar, au uko California.. Haijalishi ulianzaje... Once addicted, it's hard to live sober, but not impossible.... Basi ni hayo tu...
Big up lilommy Kwa abari nzuri. 254 representing love your show. God akubless bro. Uedelee Ivio ivio
ww bro lilommy ni zaid ya presenter
Aman kwa kaka vod milionea.. mwambie mo nisha acha poda pia sili mmea..R.i.p langa
Aman kwa kaka voda millionea... mwambie wadogo zako waache kula poda wale mmea... Jay Mo
Aman kwa kaka voda millionea...mwambie mdogo wako aache tabia ya ushoga na umbea... Langa
Haaahaaa
Hahaa😆
Huyu kaka nampenda anongea kwa confidence
big up so famous bonge la darasa
Tingisha kama kina njiti hiyo ishu ya jay mo ilitisha vibaya sanaaaaa sharati jay mo mkubwa
noma sana au vp
Mchizi yupo vzl sana sema anaga zari tu
Jay moe more knowledge more technic
Lil Ommy Upo poa sana #more technique #More flavour
Bro namkubali sana Jmoe
asante jay moe
Nakubali sana mawazo yako@famous moe
Jay moe kwenye interview anaua hatari anajua mpka anapitilizaa.....
Mzee Baba nakuelewa sana
Jay Mo ulikua una muattack Langa sio kwa sababu ya kumsaidia lakini ulikua unamuumiza na kumkatisha tamaa Teja aachi unga kwa kutukanwa Sana Sana unampelekea kuzidisha Ila all in all Langa ni Bora Sana anauwezo mkubwa Sana kushinda hata kikundi chako sema ndio Ivo alivamiwa na majanga ya madawa
real talk... it's a great say way
Daah jay mo big broo napenda kazi zako
aisee nimependa sana show ya leo
pamoja
appreciate bro
Nice 👍
The Legend
Big up bro Jay mo,kwa kazi nzuri sana
Lil ommy pamoja sana
Good
kaz kaz man om
Big up bro
Rip Langa Kileo 💥😰
Oya broo omy bless ila nakukubali kwenye times fm kuliko wasafi now but good ume improve ushauri tu usijali waambie wasafi wakupe kiti kirefu atukuoniiiiiiii onelove bro nakuelewa sana
good sana kaka jymo
Nakubali sana huyu mwamba
Nimeipa safi sana
19:08 to 19:20
Jay Mo🤝
poa sana
18:20 STRONG WORD 🙁 EVER
jay moh...anatatoo je ya manisha nini?
Alafu intro....ya"tongwe records beiby" ni sauti ya mo???
Roma
wasap wasap heeeee . bonge la shoo la kibabe hili mzee bb lilommy.
Presenter 1 tz
nakukubali sana Jay moe. mzee tambwe.
Fire🔥🔥
wananikera wanao walinda na kuwa stahi wanaotumia madawa... wanabidi kuambiwa ukweli wajickie kujuta ndo waache wenyewe
sema j Moe nae apewaga mauwa yake bhn syo kuwasifu kna mangwear na langa tuu rest in peace kwao
Jay to ze mooo long time broo
Cana
Bruv upo vzur ktk interview
Bigg up sana J moe
J moe gud sanaaaa
nimependaaa hii kitu
Big sana JM pamoja na LillyO
Kutoka marekani nakukubali sana lil omiy
ommy.......ww umejipanga
napende sana
Bonge la interview. Mtangazaji na Msanii wake Wamechangamka hadi Rahaa..
Hapo Kwa Stik Finger Umewapoteza Watu,Machizi Hao Wa ONIXY c mchezo
Juma Mchopanga 💥💥🔥
safe sana jay mo