Saleh Mzee upo na nafurahi kukuona na furaha pamoja na mitihani mingi ulopitia Kama utanikumbuka, mimi ni Nassor ama don Nas kama ulivyokuwa ukiniita pale Almuntazir Nitafute, yaani umenikumbusga enzi zile ulivyokuwa ukiachia freestyle kila sehemu
Safi sana...mnafanya kazi nzuri sana, huku kwetu Kenya hakuna channel kama hizi za kuhoji magwiji wa kitambo, kupata historia ya hiphop Kenya inakuwa vigumu sana
Fid Q kamsikiliza sana huyu jamaa Saigon, Saigon akiwa anaongea namsikia Fid q ndani yake, fid Katoka 2004 Saigon kaanza mziki 96 je nani atakua aliiga miondoko ya mwenzake kwat ya Fid na Saigon?
11.29 shukran sana kutambua mchango wangu. DJ Mosse hapa.
Rusha mikono yako hewani kama unapenda hii fani...au sio! Oi🇰🇪
Tuleteeni huyo Hashim dogo jamani maana ametajwa saaaana kila sehemu kwa miaka mingi mnoo ......Tafadhari sana bwana Kuvi
Saleh Mzee upo na nafurahi kukuona na furaha pamoja na mitihani mingi ulopitia
Kama utanikumbuka, mimi ni Nassor ama don Nas kama ulivyokuwa ukiniita pale Almuntazir
Nitafute, yaani umenikumbusga enzi zile ulivyokuwa ukiachia freestyle kila sehemu
Mimi mwenyewe nilikuwa kwenye video ya Oyaa Mselaa Oyaa Mwanzo wa 90's ilifanyika TNSko Cotaz..
ile ya mawingu
Okay
Uliza sura mwana
Oiiiioii 💥💥💥 Salute 🫡 Saigon Was The Best Of All The Time's
Huyo Hashim I wish nimuone kwenye the classic
Saigon Njoo na Album alafu ndo uendelee na Mambo yako kuna kitu tunakosa kwenye huu utamaduni
leo umenikosha sana umeniletea mtu ambaye kani fanya kupambana mpaka leo naishi Dallas Texas USA , Kalinye , Kalinye OOOH OOOHiiiiii
Respect
Pamoja sana
Huyu mwamba ni mnyamwezi sana
Ana balaa saigon
Dah Bonge umetisha Sana kumleta huyu mwamba Saigon... Huyu jamaa ndo alinifanya nikaioenda hip-hop ya bongo Kupitia kipindi chake cha Hip-hop Base
Saigon noma sana uyo jamaa kwenye hip hop
Kaka kuvi tuletee hasheem dogo
Mtafute na KALI P,HASHEEM DOGO,KBC,
I enjoyed this seriously
Ngoma yangu kali ya Saigon ni Fikra Pana na nisamehe
Saigon anazungumza slang ya marekani kwa mfumo wa lugha ya kiswahili.
This is sinza king 👑
Hawa ndo wenye rap yao bongo
Uyo saigon ni mtu na nusu namkubali sana kuliko hatari yenyewe mpe salaaaam zangu
Saigon ni mtu hatar katika hip hop
OLD SCHOOL in building...
Nafurahi tunaanza kurudisha historia
MBONA HAMNA SESSION YA KUCHANA JAM💥💥💥💥
jamaa saiv n shekhe
@@atenionesmo_A10 😀
Afate hashim dogo aisee
KWANZA unit - keep it real
Saigon Bado hajapata mshindani wake katika hardcore
Conboi Canabino ashachukua nafasi yake kutoka kwa sauti na language usage
Unique sisters please
Saigon true Legend...Dar ndipo ilipoanzia mikoani wakwafwatia..Sinza wakilisha
Jamaaa hazeek
AKIRI NI NYWERE KILA MTU ANA ZAKE
Ebwana Sanaaa Saigon Saigon
Saigon still got it 🔥
Mwenyezi MUNGU mwema saana kwakweli
KuviFact We need Dizasta Vina
😂😂hii ni ya melegend dizazsta vina wa juzi tu hapa
Dizasta Sasa atahadithia nn kuhusu classic acheni ushabiki sehemu zisizofaa
Achana nae hajui malegend rap pengine
Hiki sio kipindi cha hip hop hii ni the classic, hii ni kwa watu nguli tu. Huwezi kumuona dizasta hapo labda 20yrs mbele
UMEWAKA KWELIIIIIII
Umeuaaaaa Saigon 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
jamaa anakumbukumbu sanaaa
Yeeeeeeaaaaaaahhhhhh.......!
Ebaan Daaaah... Oi Oi Oi Oiiii... #SAIGON 🇹🇿🎧🎤🎵🔥🔥🔥💥💥💥💥💥
Safi sana...mnafanya kazi nzuri sana, huku kwetu Kenya hakuna channel kama hizi za kuhoji magwiji wa kitambo, kupata historia ya hiphop Kenya inakuwa vigumu sana
Asante sana ,nintaka kuja Kenya kuwahoji Aisee ,tuombe uzima
Noma, ila sikiliza interview ya sharama hapHapa utapata kujua kitu khs kenya
@@saidsidaz sharama si mkongwe wa hiphop kenya
Take a ride🔥
Oiii oiii ebana daaah
Saigon needs party 2 and 3 and 4 and 5…..
Ajeb sana
Imam Abas?
❤❤❤
Comon mtupu sigon
You know game.
Fid Q kamsikiliza sana huyu jamaa Saigon, Saigon akiwa anaongea namsikia Fid q ndani yake, fid Katoka 2004 Saigon kaanza mziki 96 je nani atakua aliiga miondoko ya mwenzake kwat ya Fid na Saigon?
Kwani we unasemaje?😂😂
Saigon kanza 1992 Fid akiwa bado mtoto mdogo!!
Saigon mkubwa sana 1976 na fid q 1982
fid wa juzi sana ukute alikaua chekechea wakt saigon anachana
FID alikua anapangusa kamasi kipindi Saigon yuko town
Huyo ndo mchenguaji sasa aka MC
"Pina anasema tukam***e."
Hahahahahaha
Unga unamaliza wasanii wetu !
Saigon havuti Unga na hajawahi vuta unga acha hizi ndugu
Lini utamleta Dizasta Vina
Natamani ya dizaster vina
Dizasta sio Legend
Kat ya saigon na fid q nan kamcopy mwenzie
Fid
Kiumri Saigon mtu mzima kuliko fid q jibu unalo mwenyewe
Saigon mc na Rapa WA siku nyingi Sana toka 1996 namsikia huyu jamaa nikiwa mtoto mdogo
Uliyeuliza wewe ndio wale madogo mnaozingua
Saigon kaanza game 1992 fid 2006 sijui
Njaa inamfanyaga huyu jamaa anafanyaga mambo ya hovyo sana.
Aliyekwambia jamaa ananjaa nani, ndo nyie madogo wa juzi hamjui kitu