THE CLASSIC SAIGON EP 2 : KALAPINA ALIKUA BAUNSA WANGU/HASHIM DOGO NI HATARI SANA/SUGU AHESHIMIWE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 08. 2024
  • Sehemu ya pili ya maongezi na Saigon ambapo anaendelea kutupa madini mbali mbali ambayo ni muhimu katika historia ya game la Bongo.

Komentáře • 86

  • @mosse1466
    @mosse1466 Před 2 měsíci +12

    11.29 shukran sana kutambua mchango wangu. DJ Mosse hapa.

  • @REVOLUTIONARYLYRICS
    @REVOLUTIONARYLYRICS Před 2 měsíci +13

    Rusha mikono yako hewani kama unapenda hii fani...au sio! Oi🇰🇪

  • @Chemba67
    @Chemba67 Před měsícem +4

    Tuleteeni huyo Hashim dogo jamani maana ametajwa saaaana kila sehemu kwa miaka mingi mnoo ......Tafadhari sana bwana Kuvi

  • @nasserm.nasser5087
    @nasserm.nasser5087 Před měsícem +1

    Saleh Mzee upo na nafurahi kukuona na furaha pamoja na mitihani mingi ulopitia
    Kama utanikumbuka, mimi ni Nassor ama don Nas kama ulivyokuwa ukiniita pale Almuntazir
    Nitafute, yaani umenikumbusga enzi zile ulivyokuwa ukiachia freestyle kila sehemu

  • @AbdulrahmanAwadhi-no5pq
    @AbdulrahmanAwadhi-no5pq Před 2 měsíci +14

    Mimi mwenyewe nilikuwa kwenye video ya Oyaa Mselaa Oyaa Mwanzo wa 90's ilifanyika TNSko Cotaz..

  • @ksonrap
    @ksonrap Před 2 měsíci +7

    Oiiiioii 💥💥💥 Salute 🫡 Saigon Was The Best Of All The Time's

  • @ricchjamez
    @ricchjamez Před měsícem

    Huyo Hashim I wish nimuone kwenye the classic

  • @trayoversion
    @trayoversion Před měsícem +3

    Saigon Njoo na Album alafu ndo uendelee na Mambo yako kuna kitu tunakosa kwenye huu utamaduni

  • @nzalinextlevel4515
    @nzalinextlevel4515 Před 2 měsíci +5

    leo umenikosha sana umeniletea mtu ambaye kani fanya kupambana mpaka leo naishi Dallas Texas USA , Kalinye , Kalinye OOOH OOOHiiiiii

  • @BebaKulwa
    @BebaKulwa Před 2 měsíci +10

    Huyu mwamba ni mnyamwezi sana

  • @Jabali_Media
    @Jabali_Media Před měsícem +1

    Dah Bonge umetisha Sana kumleta huyu mwamba Saigon... Huyu jamaa ndo alinifanya nikaioenda hip-hop ya bongo Kupitia kipindi chake cha Hip-hop Base

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Před 2 měsíci +4

    Saigon noma sana uyo jamaa kwenye hip hop

  • @KelvinIsrael-pl6lz
    @KelvinIsrael-pl6lz Před 19 dny

    Kaka kuvi tuletee hasheem dogo

  • @trayoversion
    @trayoversion Před měsícem +2

    Mtafute na KALI P,HASHEEM DOGO,KBC,

  • @mohamednindi7497
    @mohamednindi7497 Před měsícem

    I enjoyed this seriously

  • @carlosmzena548
    @carlosmzena548 Před 2 měsíci +2

    Ngoma yangu kali ya Saigon ni Fikra Pana na nisamehe

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 Před měsícem +1

    Saigon anazungumza slang ya marekani kwa mfumo wa lugha ya kiswahili.

  • @NotiAbdullah-d1f
    @NotiAbdullah-d1f Před 25 dny

    This is sinza king 👑

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Před 2 měsíci +4

    Hawa ndo wenye rap yao bongo

  • @harrysonngosha7931
    @harrysonngosha7931 Před 2 měsíci +4

    Uyo saigon ni mtu na nusu namkubali sana kuliko hatari yenyewe mpe salaaaam zangu

  • @DereckMuya-uo1ul
    @DereckMuya-uo1ul Před 2 měsíci +3

    Saigon ni mtu hatar katika hip hop

  • @brianbrayoo1590
    @brianbrayoo1590 Před 2 měsíci +4

    OLD SCHOOL in building...

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 Před 2 měsíci +5

    MBONA HAMNA SESSION YA KUCHANA JAM💥💥💥💥

  • @sausimwita3200
    @sausimwita3200 Před 2 měsíci +4

    Afate hashim dogo aisee

  • @simonlukiko2850
    @simonlukiko2850 Před měsícem +1

    KWANZA unit - keep it real

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh Před 2 měsíci +3

    Saigon Bado hajapata mshindani wake katika hardcore

    • @praxdesigns8686
      @praxdesigns8686 Před měsícem

      Conboi Canabino ashachukua nafasi yake kutoka kwa sauti na language usage

  • @richardcastromzena5136
    @richardcastromzena5136 Před 2 měsíci +2

    Unique sisters please

  • @nyumbanituthegendaheka7222
    @nyumbanituthegendaheka7222 Před 2 měsíci

    Saigon true Legend...Dar ndipo ilipoanzia mikoani wakwafwatia..Sinza wakilisha

  • @idrisahussein6654
    @idrisahussein6654 Před 2 měsíci +1

    Jamaaa hazeek

  • @simonlukiko2850
    @simonlukiko2850 Před měsícem +1

    AKIRI NI NYWERE KILA MTU ANA ZAKE

  • @brain_ujazo
    @brain_ujazo Před 2 měsíci +1

    Ebwana Sanaaa Saigon Saigon

  • @aaronjohn416
    @aaronjohn416 Před 2 měsíci +1

    Saigon still got it 🔥

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 Před 2 měsíci

    Mwenyezi MUNGU mwema saana kwakweli

  • @WilsonMkisi
    @WilsonMkisi Před 2 měsíci +3

    KuviFact We need Dizasta Vina

    • @westcijosh
      @westcijosh Před 2 měsíci +1

      😂😂hii ni ya melegend dizazsta vina wa juzi tu hapa

    • @stuartikonko1941
      @stuartikonko1941 Před 2 měsíci +1

      Dizasta Sasa atahadithia nn kuhusu classic acheni ushabiki sehemu zisizofaa

    • @pamamaganza9468
      @pamamaganza9468 Před měsícem

      Achana nae hajui malegend rap pengine

    • @RaiderTube
      @RaiderTube Před měsícem

      Hiki sio kipindi cha hip hop hii ni the classic, hii ni kwa watu nguli tu. Huwezi kumuona dizasta hapo labda 20yrs mbele

  • @nzalinextlevel4515
    @nzalinextlevel4515 Před 2 měsíci +1

    UMEWAKA KWELIIIIIII

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh Před 2 měsíci

    Umeuaaaaa Saigon 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @edoedwine5913
    @edoedwine5913 Před 2 měsíci +1

    jamaa anakumbukumbu sanaaa

  • @AmusedAstronomicalModel-lq3yu
    @AmusedAstronomicalModel-lq3yu Před 2 měsíci +1

    Yeeeeeeaaaaaaahhhhhh.......!

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 Před 2 měsíci

    Ebaan Daaaah... Oi Oi Oi Oiiii... #SAIGON 🇹🇿🎧🎤🎵🔥🔥🔥💥💥💥💥💥

  • @markmwaghogho9226
    @markmwaghogho9226 Před 2 měsíci +1

    Safi sana...mnafanya kazi nzuri sana, huku kwetu Kenya hakuna channel kama hizi za kuhoji magwiji wa kitambo, kupata historia ya hiphop Kenya inakuwa vigumu sana

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 2 měsíci +3

      Asante sana ,nintaka kuja Kenya kuwahoji Aisee ,tuombe uzima

    • @saidsidaz
      @saidsidaz Před měsícem

      Noma, ila sikiliza interview ya sharama hapHapa utapata kujua kitu khs kenya

    • @markmwaghogho9226
      @markmwaghogho9226 Před měsícem

      @@saidsidaz sharama si mkongwe wa hiphop kenya

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi1550 Před 2 měsíci +1

    Take a ride🔥

  • @gwantadibusta
    @gwantadibusta Před 2 měsíci +3

    Oiii oiii ebana daaah

  • @yudaogonyi2383
    @yudaogonyi2383 Před 2 měsíci

    Saigon needs party 2 and 3 and 4 and 5…..

  • @SalimSalim-ls9lg
    @SalimSalim-ls9lg Před 2 měsíci +1

    Ajeb sana

  • @beatbyrich2891
    @beatbyrich2891 Před měsícem +1

    Imam Abas?

  • @EliezerGodfrey
    @EliezerGodfrey Před 2 měsíci

    ❤❤❤

  • @issangwana9470
    @issangwana9470 Před 2 měsíci +4

    Comon mtupu sigon

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n Před 2 měsíci +6

    Fid Q kamsikiliza sana huyu jamaa Saigon, Saigon akiwa anaongea namsikia Fid q ndani yake, fid Katoka 2004 Saigon kaanza mziki 96 je nani atakua aliiga miondoko ya mwenzake kwat ya Fid na Saigon?

    • @westcijosh
      @westcijosh Před 2 měsíci

      Kwani we unasemaje?😂😂

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 Před 2 měsíci

      Saigon kanza 1992 Fid akiwa bado mtoto mdogo!!

    • @timothymikola2317
      @timothymikola2317 Před 2 měsíci

      Saigon mkubwa sana 1976 na fid q 1982

    • @godsson5954
      @godsson5954 Před 2 měsíci

      fid wa juzi sana ukute alikaua chekechea wakt saigon anachana

    • @RaiderTube
      @RaiderTube Před měsícem

      FID alikua anapangusa kamasi kipindi Saigon yuko town

  • @jamalmakishe4850
    @jamalmakishe4850 Před 2 měsíci

    Huyo ndo mchenguaji sasa aka MC

  • @mzadomwongozo3671
    @mzadomwongozo3671 Před 2 měsíci

    "Pina anasema tukam***e."
    Hahahahahaha

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 Před 2 měsíci

    Unga unamaliza wasanii wetu !

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před měsícem

      Saigon havuti Unga na hajawahi vuta unga acha hizi ndugu

  • @WilsonMkisi
    @WilsonMkisi Před 2 měsíci

    Lini utamleta Dizasta Vina

  • @michaelginnerykisura9668
    @michaelginnerykisura9668 Před 2 měsíci

    Natamani ya dizaster vina

  • @mlamytz
    @mlamytz Před 2 měsíci

    Kat ya saigon na fid q nan kamcopy mwenzie

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 Před 2 měsíci +1

    Njaa inamfanyaga huyu jamaa anafanyaga mambo ya hovyo sana.

    • @pamamaganza9468
      @pamamaganza9468 Před měsícem

      Aliyekwambia jamaa ananjaa nani, ndo nyie madogo wa juzi hamjui kitu