Salama Na SUGU Ep 50 | UJIO WA UMRI PART 1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
    Support us through anchor.fm/yahs...
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪CZcams Link bit.ly/CZcamsS...
    Turudi nyuma mwaka 1999 wakati nilipomaliza kidato cha nne kwahiyo nilikua sina mitkasi mingi zaidi ya kumkimbia Mama inapofika mchana ili niende kucheza zangu basketball pale Msasani kiwanja cha Pazi. Nlikua natokea zangu Mbagala Charambe nachukua zangu basi mappa Mbagala Rangi tatu then muunganisho unaendelea mpaka nafika zangu mazoezini, nilifanya urafiki na makonda na madereva weeengi kiasi kwamba nilikua ‘staff’ kwenye daladala nyingi, na huwezi kuamini nyingi pia nilikua nikiingia basi radio nlikua namiliki MIMI. Station gani tunaskiliza au tape gani tunaweka ili safari inoge na muziki. Nakumbuka jinsi ambavyo Sugu alikua anaikosha, anakosha nafsi yangu na ya abiria wote ambao walikua wanasafiri nasi basi moja. Chini ya miaka 18 ilikua inaongea na mimi haswam inanifanya nisitake kuwa yule binti ambale Sugu alikua namuongelea ASILAN! Mikononi mwa Polisi… Album kali kama Nje ya Bongo, Millenium, Muziki na Maisha zilifuata na wakati hizi nyengine zinatoka nami tayari nilishaacha kumtia wasiwasi Mama yangu wa kurudi nyumbani usiku na kuwa DJ wa muda ndani ya Daladala za Mbagala Posta au Mbagala Kariakoo na kuweza kupata kazi yangu ya kwanza pale Times FM kabla sijajiunga na EA Radio na TV.
    Mapenzi yangu kwa Sugu na muziki wake yako wazi na naamini na yeye anajua maana huwa namuambia kila tunapokutana, pia napenda kuwa around na yeye maana confidence yake ni kitu cha kujifunza. Haogopi, anajiamini na uthubutu wake katika mambo yake mengi ni jambo ambalo wengi wetu tunajifunza sana kutoka kwake. Kuanzia jinsi alivyokua anajibeba, mapinduzi ya uandishi na muziki ambayo amefanya na anaendelea kufanya mpaka leo hii ni kitu ambacho kama utakua unamfuatilia kwa karibu basi utakua huna la kufanya zaidi ya kupenda jinsi anavyofanya mambo yake.
    Siku zote nimekua nikitaka saaana kufanya nae interview lakini kama tujuavyo, Mungu ndo mpangaji wa yote na round hii ilikua ndo wakati muafaka. Nilimcheki naye akakiambia kwamba Mimi ni mtu pekee ambaye angependa aongee naye so mengine yakawa historia tu.
    Brother alikuja Dar es Salaam malum kabisa kwaajili ya kuongea na sisi na kwa hilo tunamshkuru sana. Mambo ya kisiasa yalikua sio focus yetu hata kidogo na badala yake tulitaka kumfahamu yeye zaidi na pengine mmoja anaweza kujifunza kwa kufuatilia tu nyenendo zake kwenye mitandao.
    Kaka alishawahi kwenda jela, amempoteza Mama yake kipenzi pia muda si mrefu baada ya yeye kutoka. Sisi tuliongea naye kuhusu mapenzi yake na Mama yake kipenzi Desderia ambaye hata jina la hoteli yake ameipa jina la Mama yake. Nilitaka kujua ukaribu wao huo ulitokana na nini, jinsi ambavyo Mama alimpa support kipindi hicho ambacho muziki ulikua unaonekana kama uhuni tu. Maoni yake kwenye masuala mbali mbali na kuhusu urafiki na mafanikio. Pia nilitaka kujua historia yake ya muziki na njia alizowahi kupita. Mambo mengine ni kuhusu suala la yeye kuwa Baba na mapenzi kwa ujumla.
    Yangu matumaini una enjoy maongezi haya na Kaka mkubwa na pia confidence yake kwenye masala mbalimbali itakufanya pia ujibebe kuelekea mbele!
    Tafadhali enjoy.
    Love,
    Salama
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz

Komentáře • 307

  • @catalanink174
    @catalanink174 Před 3 lety +11

    Moja ya interview bora kabisa toka hiki kipindi kimeanza, asante Sugu, nimejifunza mengi kupitia hii interview, Mungu akubariki

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @jameskinuthiamunene6356
    @jameskinuthiamunene6356 Před 3 lety +19

    Pioneer East African hip hop star huyu,nakumbuka nikimskia mara ya kwanza huku Kenya mwaka wa 2000/1 na ngoma ya 'Ana Miaka kumi na nane'

  • @henrypaschal3948
    @henrypaschal3948 Před 3 lety +36

    Tumepoteza watu muhimu sana bungeni

  • @lotinyumba1573
    @lotinyumba1573 Před 3 lety +16

    Namuomba MUNGU mafanikio yangu au machungu yangu yasiwe sababu ya mimi kuwahumiza watu wengine

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @davidheche839
    @davidheche839 Před 3 lety +12

    Mr 2 sugu..... im very proud of you niga.... unao uwezo mkubwa sana wa utambuzi wa maswala ya maisha kiujumla

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @TheMastertz
    @TheMastertz Před 3 lety +3

    Legend wa Kweli Wa Tasnia Hii!! Sugu ndiye msanii ALIYENYOOSHA mistari ya Bongoflava. Asikuambie mtu. Story Teller. Hadithi zilizonyooka, makini, kweli kuhusu maisha na jamii. Sauti ya watu. Mh anastahili kutambulika kama kinara mahiri wa Bongoflava!!
    Najisikia fahari kuwa muhusika katika hatua na harakati zake kimaisha na kimuziki!! ✌️

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto3514 Před 3 lety +15

    Hongera brother sugu naququbali kaka hasa kwenye suala LA siasa we are together

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @EBMSCHOLARS
    @EBMSCHOLARS Před 3 lety +4

    Hii interview nzuri sana, mafunzo makubwa sana na great memories

  • @Farajahelene23031
    @Farajahelene23031 Před 3 lety +5

    sugu papa sasha faiza ali ex love you from congo you are respectful men

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 Před 3 lety +3

    Sugu mungu anakuona mana sio kwa vibes ilo na Salama mumetisha🔥🔥🔥🔥🔥na Faiza Ally apo anacheka tuu mpk bac akikuona kipenzi chake Baba Sasha😀😀😀😀

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 Před 3 lety +12

    Sugu kweli ni mwamba ni mtu wa pekee anawajibu kwa jamii anajiheshimu na kuwaheshiku wengine na hichi kipindi kinatufunza mambo mengi hasa ya kuheshimiana na kujali wengine watanzania tunakosa kiunganishi!!!

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita Před 3 lety +10

    Salama, I like how in these interviews you also open up about your personal life as well. Mbeya oyeeee nice interview.

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @wazirituppa6739
    @wazirituppa6739 Před 3 lety +17

    Huyu ndio nilinifanya nipende mziki nimenunua Albamu zake sana

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @mariagwaje8976
    @mariagwaje8976 Před 3 lety +25

    I like the statement ndoto ni bure it cost you nothing kuwa na ndoto.....Mimi nasema huitaji pesa nyingi kuwa na mafanikio unahitaji ndoto/maono kuwa na mafanikio 😜

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

    • @belak999
      @belak999 Před 3 lety

      @@shakilajuma4558 acha kusumbua

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před 3 lety +6

    Sugu naomba afanye rmx ya Hayo hayakuwa mapenzi

  • @abdulmfaume7927
    @abdulmfaume7927 Před 3 lety +4

    Daaa brother katika history ya mama yako hapa umenigusa Sana !! Pole sana ,

  • @eddimwamba4208
    @eddimwamba4208 Před 3 lety +6

    Kukata rufaa upo form3 bro i respect

  • @ahmedndossa2966
    @ahmedndossa2966 Před 3 lety +4

    I refuse to loose - I like this line. #Powerful

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před 3 lety +47

    Kama umemsikia SUGU kasema ALHAMDULILLAHI gonga like tuendelee.

  • @patrickchegere1833
    @patrickchegere1833 Před 3 lety +15

    True inspiration from sugu

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @abdallahsamuhando3997
    @abdallahsamuhando3997 Před 3 lety +11

    Like kwa jongwee mr II sugu mbeya moja green city

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety +1

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @michaelnzunda7347
    @michaelnzunda7347 Před 3 lety +10

    If your talking abt legend in music sugu iz the legend

  • @georgenkanawa7156
    @georgenkanawa7156 Před 2 lety +1

    Taita Kama Taita,Taita mtata,Taita mfupi lakini fulu matata #EndeleaKutupaHasiraYakupambana #Sugu#mfanowakuigwa

  • @aureliaissack8309
    @aureliaissack8309 Před 3 lety +5

    Sugu yo the best, we love you! Andika kitabu chako kilichoshiba vzuri, naomba kopy ya kwanza, niinunue japo Sina pesa ila ntanunua.

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @emeldakazumba2487
    @emeldakazumba2487 Před 3 lety +17

    Interview Bora Sana

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 Před 3 lety +11

    Japo siwez jua ya wawili na nini kilitokea,lakin Faiza Ally na sugu wote wako vizur kichwani..Mr sugu Asante kwa kushare exclusive 💪

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @clarencemapunda4884
    @clarencemapunda4884 Před 3 lety +2

    MUCH RESPECT SALAMA KWA KUMLETA RAISI WA MBEYA,ANAJUA ANACHOKIFANYA

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @evaristomwilongo5567
    @evaristomwilongo5567 Před 3 lety +10

    Salama...Unatiiiiiiiiiiisha unagusa hisia za watu

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @panjumitindo1135
    @panjumitindo1135 Před 3 lety +6

    Interview Bora Kwa Mwaka 2021 Appreciate #HipHop4rever

  • @sadiqmakunga1807
    @sadiqmakunga1807 Před 3 lety +1

    Maisha yanaendelea na naamini ipo siku utakua rahisi wa nchi hii!!na ni Mara yangu ya kwanza kujiingiza kwenye siasa

  • @omarimadiva5352
    @omarimadiva5352 Před 3 lety +1

    Ninakukubali Dada ,unanifanya nijifunze kuthubutu katik maisha yangu kwa sbabu ya wageni unaowahoji.

  • @ujenziwanyumbakisasatanzan6343

    Huyu ni sugu tangu mdogo, kavunja mkataba wa hela akiwa chalii

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @priscarmshama8897
    @priscarmshama8897 Před 3 lety +1

    Sugu daaaah. Mungu akupe maisha mareefu. Nakukubali sana

  • @mamoridan4675
    @mamoridan4675 Před 3 lety +2

    Salama dear you are the best kwenye interviewing 👏👏👏👏👏

  • @rodrickmataba8999
    @rodrickmataba8999 Před 3 lety +10

    Hii Episode nimeisubiria sana... SUGU is an inspiration

    • @elizabethsabilo1017
      @elizabethsabilo1017 Před 3 lety +1

      hahaaa, was looking for your comment.

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

    • @Ibratz255
      @Ibratz255 Před 3 lety +2

      Mim pia nmetafta comment yako mze as nmeona previous interviews ulikua unaomba hii kitu

    • @rodrickmataba8999
      @rodrickmataba8999 Před 3 lety +1

      Hahaha dah nimemsubiri sana ndugu yangu nimuone huku,

  • @allymatilda7519
    @allymatilda7519 Před 3 lety +19

    Like za salama kwa interview kali 2021

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @mathayojohn5440
    @mathayojohn5440 Před 3 lety +2

    Nakukubali Sana sugu niliumia uliposhindwa kwenye ubunge, Ila si mby ngoma zako ninazokibao Sana, Moto chini, hayakuwa mapenzi

    • @zuleikhakhamis3303
      @zuleikhakhamis3303 Před 3 lety +1

      hakushindwa Ila wizi ulitawala hakuna nchi nzima kushinda chama 1 ata huku State vyama vyote 2 vimeshinda je Tz na maisha ayo na uchumi wap wa blue

    • @mathayojohn5440
      @mathayojohn5440 Před 3 lety +1

      @@zuleikhakhamis3303 kweli bhn ipo siku kitaeleweka tu, pw bhn amani!!

  • @shabanathman5836
    @shabanathman5836 Před 3 lety +6

    Salama napenda vile unafanya interview

  • @vitalischarles2714
    @vitalischarles2714 Před 3 lety +5

    Ata wewe salama ni legend down town kitambo....I salute you

  • @dapperadam4591
    @dapperadam4591 Před 3 lety +2

    Big up salama...I am falling in love with this channel 😍 ..🇰🇪

  • @erickendrick3330
    @erickendrick3330 Před 3 lety +1

    Noma

  • @jumakapaya7169
    @jumakapaya7169 Před 3 lety +1

    Salama wewe ni mbunifu sana.hongera mungu akubariki.

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před 3 lety +3

    Hip Hop kila mmoja anataka kuwa C.E.O yeah

  • @magwajaonetz9984
    @magwajaonetz9984 Před 3 lety +3

    Sugu you real inspired me kaka

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 Před 3 lety +7

    Mara navuta shuka nastuka,
    Naota Sugu ananiita,kwa mbali akilalamika,
    Nauliza vipi Sugu!? Anazidi kulalamika,anawaka,
    Music Bongo haulipi mwanangu me nang'atuka,
    Duuh natetemeka, nahisi Kama naanguka,
    KWA VILE BILA SUGU HAPA NILIPONISINGEFIKA

  • @hidayagodfrey8837
    @hidayagodfrey8837 Před 3 lety

    Sugu nakukubari sana na mm Ni mmoja ya watu wanao jifunza kutoka kwako

  • @daniellepari4525
    @daniellepari4525 Před 3 lety +1

    Ahsante sana da salama kwa kipindi chako wengi tutajifunza mengi kupitia kipindi chako ubarikiwe sana 🤞

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @tulisanga2023
    @tulisanga2023 Před 3 lety

    Daaaah suguuuu kila nikikusikiliza kunakitu kinanijia kinaniambia nisikate tamaaa respect brother ntaish kwenye ndoto zako

  • @wilsonjublet4245
    @wilsonjublet4245 Před rokem +1

    Rispect Sugu

  • @binbaya923
    @binbaya923 Před 3 lety

    Respect Bro, Thanx Sister Salama kwa kumleta huyu Mzee.
    Mmoja ktk wapenzi wa Sugu frm Bs As- Arg
    🎶🎶🎶Nimesimama akili inanituma kusema nasimama hasubuhi namapema, nafungua macho naona kitu nikama kiwingu polisi njoo na pingu masisha haya nibaya...🎤🎶🎶

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @eddovanny2553
    @eddovanny2553 Před 3 lety +2

    Jongwe ✊

  • @rahimhamis672
    @rahimhamis672 Před 3 měsíci

    Broo more bless

  • @fakizotz1727
    @fakizotz1727 Před 3 lety +1

    Alhamdulillah

  • @johnmgohele2606
    @johnmgohele2606 Před 3 lety +2

    Nice, ina tia moyo sana ukisikiza ukaelewa.

  • @alizuluman4739
    @alizuluman4739 Před 3 lety +2

    Datz true Legend Mr Sugu

  • @fadhilmnyamwezi5037
    @fadhilmnyamwezi5037 Před 3 lety +3

    Kama umemsikia sungu anasema hutakiwi kuwe kwenye mapenzi paka usijielewe goga like

  • @atukyando6246
    @atukyando6246 Před 3 lety +1

    inauma sana kumpoteza mama kisa kutetea haki, siasa za bongo hatari sanaa

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto3514 Před 3 lety +4

    Haifunguki salama

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @MrSABYY
    @MrSABYY Před 3 lety

    Je umeagiza GARI 🚘🚗nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent ⚓️🚢gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini 🚢Dar Es Salaam (Local) aina ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza📞Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT 🛫/ CONTAINER & MAGARI🚗 yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa.....
    ------------------
    Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa,
    Asante
    1: IST old - 850,000/=
    2: HARRIER New-1,000,000/=
    3: HARRIER Old-950,000/=
    4: RAV 4 - 950,000/=
    5: RAUM - 850,000/=
    6: SPACIO - 850,000/=
    7: PASSO - 800,000/=
    8: VITZ - 800,000/=
    9: PREMIO - 850,000/=
    10: ALTEZA - 850,000/=
    11: SUBARU - 850,000/=
    12: CARINA - 850,000/=
    ----------------------------------------
    Gharama hizi zinahusisha malipo ya
    1: Port Charges
    2: Shipping Line
    3: Walfage
    4: Agent Fee
    5: Plate no
    ----------------------------------------
    ☎️DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876
    ☎️Whatsapp +255 653953900
    📧 Email: charlessabikazi@gmail.com
    Instagram@mr_sabyy
    🏢Company: Mofaz movers
    📍Location: PSSSF Tower, Samora Avenue
    Dar es salaam, Tanzania
    *NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE
    *NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏
    *NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA 🇨🇳 NI BURE🙏

  • @adamsmashenenhe3364
    @adamsmashenenhe3364 Před 2 lety

    Daaah...............。。。。。。。。。。noma

  • @geeva99
    @geeva99 Před 3 lety +2

    Wadau wa mziki tunahitaji nyimbo za sugu ziwe online, ile legacy haitakiwi kupotea

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @joachimmashallo5800
    @joachimmashallo5800 Před 3 lety +2

    My favourite rapper ever

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @rashidiwaiti6686
    @rashidiwaiti6686 Před 3 lety

    Hongeraa Sana suguu nchii tu hii Sasa hatujuii Mambo yanaendaje mafuta ya kula Leo Lita moja duuu panador ndioooo mmmmmh

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @manko5627
    @manko5627 Před 3 lety +2

    Bunge laawamuhii hovyooooo

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 Před 3 lety +3

    Nice unemesahau kuwa ww ndio ulikuwa wa kwanza kuingia mjengon kama mbunge

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      .,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @maryjoseph7931
    @maryjoseph7931 Před 3 lety +4

    Ameacha mahusiano na Marry Juana ?

  • @ahmedsalumomar5002
    @ahmedsalumomar5002 Před 3 lety +9

    I like humble me

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @rksimulizi9208
    @rksimulizi9208 Před 3 lety +3

    czcams.com/video/4cNXhbdj3Bc/video.html
    Wafahamu WAJITA, Hii ndio Historia ya Kabila la WAJITA

  • @anastaziamduda1803
    @anastaziamduda1803 Před 3 lety +3

    sanaaa wanyumbaniii

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @sagandamalechampullo659

    We love Sugu so much

  • @crizostomsamson3543
    @crizostomsamson3543 Před rokem

    Sugu Master

  • @juliusjustice9170
    @juliusjustice9170 Před 3 lety

    Mr sugu en our lady salama Hallah

  • @mohamedkachapa4433
    @mohamedkachapa4433 Před 3 lety +2

    Salama katika watu wote uliowafanyia interview mr sugu kachangamka sana big up broh 💥💥💥

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @abdullahmunish3988
    @abdullahmunish3988 Před 2 lety

    The don... hustler...mbishi

  • @sulleysidey2844
    @sulleysidey2844 Před 3 lety +4

    Nakuelewa mwamba

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @djelly7621
    @djelly7621 Před 3 lety +1

    Namkubar

  • @Lunguya
    @Lunguya Před 3 lety +5

    Chadema4life

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @herbertkamote2213
    @herbertkamote2213 Před 3 lety +1

    Sugu hilo jina amepewa na Ali choki twanga pepeta ampe credit zake

    • @kijokombao5345
      @kijokombao5345 Před 3 lety

      Sio kweli choki alimtaja kipindi ambacho teyari anajulikana kama sugu

  • @semsimbazisemsimbazi2866
    @semsimbazisemsimbazi2866 Před 3 lety +3

    Tuleteeni mstaafu mzee mwinyi..

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 Před 3 lety +1

    Sugu Moto chini ✌️✌️✌️💪💪

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety +1

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @nurunswebe4203
    @nurunswebe4203 Před 3 lety

    My role modal Mr sugu (Joseph mbilinyi)

  • @abdulazizam2929
    @abdulazizam2929 Před 3 lety +2

    Mx mmetisha Sana 🇸🇦🇸🇦🇹🇿🇹🇿

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @kudrachristopher5622
    @kudrachristopher5622 Před 3 lety +1

    Mbunge wa mbeya mjini😘

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @zaizaitwaha6633
    @zaizaitwaha6633 Před 3 lety +2

    Faiza njoo usikilize huku

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @kilinakoshengelo2944
    @kilinakoshengelo2944 Před 3 lety +1

    I miss Jessica

  • @joshuashaban924
    @joshuashaban924 Před 3 lety +4

    Salama kipindi chako Ni kizuri,,,lakin si Kila mtu anatakiwa awe hapo,,kipindi kitakuwa Cha kawaida Sana,,,,jitahidi kipindi chako kiwe kwa watu maalumu tu,na si Kila mtu....

  • @happinessmtitu4485
    @happinessmtitu4485 Před 3 lety +1

    Nakukubali

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @osbethdaniel7835
    @osbethdaniel7835 Před 3 lety +1

    🔥🔥🔥

  • @adamakyoo3003
    @adamakyoo3003 Před 3 lety +1

    G.O.T

  • @mrs2918
    @mrs2918 Před 3 lety +3

    wengine hawana njia za kufika kwenye TV shukuru hata ukipewa sifa vichochoroni

    • @christopherkalolo1805
      @christopherkalolo1805 Před 3 lety +1

      Amesema hao wenye wanamwambia vichochoroni they have access to mainstream media coz ni watu ambao tayari wamekuwa superstars

    • @mamirokongx195
      @mamirokongx195 Před 3 lety

      Nimecheka

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @nurumwangoka7424
    @nurumwangoka7424 Před 3 lety

    Nakubaliiii Suguuuuuu🙏🙏🙏🙏

  • @comrademlewaisavile336

    Ndoto ni bure nimebeba iyo🙏🙏🙏🙏

  • @alphalidovick705
    @alphalidovick705 Před 3 lety +1

    Dah sugu ni mtu atari sana alikata rufaa akiwa shule

  • @adamkamwakajulius6817
    @adamkamwakajulius6817 Před 3 lety

    Respect Mr II

  • @ibrahimkanuto3514
    @ibrahimkanuto3514 Před 3 lety +3

    Nw imefunguka

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @musahmichael3480
    @musahmichael3480 Před 3 lety

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sugu uliishi wapi niliishi duniani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 SIPENDAGI UJINGA

  • @abelabba7809
    @abelabba7809 Před 3 lety

    Karibu tena

  • @mollellominis2267
    @mollellominis2267 Před 3 lety

    sugu is a really , good man

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @mamukassim4075
    @mamukassim4075 Před 3 lety +2

    Hahahaha. Allhamdullilah

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 Před 3 lety

    I like the way talk about mapenzi

    • @shakilajuma4558
      @shakilajuma4558 Před 3 lety

      Pia jua na hii kama ulikuwa bado
      ,
      .
      ,
      czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html