Salama Na SUGU Ep 50 | UJIO WA UMRI PART 1
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #0762797291
Support us through anchor.fm/yahs...
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
CZcams Link bit.ly/CZcamsS...
Turudi nyuma mwaka 1999 wakati nilipomaliza kidato cha nne kwahiyo nilikua sina mitkasi mingi zaidi ya kumkimbia Mama inapofika mchana ili niende kucheza zangu basketball pale Msasani kiwanja cha Pazi. Nlikua natokea zangu Mbagala Charambe nachukua zangu basi mappa Mbagala Rangi tatu then muunganisho unaendelea mpaka nafika zangu mazoezini, nilifanya urafiki na makonda na madereva weeengi kiasi kwamba nilikua ‘staff’ kwenye daladala nyingi, na huwezi kuamini nyingi pia nilikua nikiingia basi radio nlikua namiliki MIMI. Station gani tunaskiliza au tape gani tunaweka ili safari inoge na muziki. Nakumbuka jinsi ambavyo Sugu alikua anaikosha, anakosha nafsi yangu na ya abiria wote ambao walikua wanasafiri nasi basi moja. Chini ya miaka 18 ilikua inaongea na mimi haswam inanifanya nisitake kuwa yule binti ambale Sugu alikua namuongelea ASILAN! Mikononi mwa Polisi… Album kali kama Nje ya Bongo, Millenium, Muziki na Maisha zilifuata na wakati hizi nyengine zinatoka nami tayari nilishaacha kumtia wasiwasi Mama yangu wa kurudi nyumbani usiku na kuwa DJ wa muda ndani ya Daladala za Mbagala Posta au Mbagala Kariakoo na kuweza kupata kazi yangu ya kwanza pale Times FM kabla sijajiunga na EA Radio na TV.
Mapenzi yangu kwa Sugu na muziki wake yako wazi na naamini na yeye anajua maana huwa namuambia kila tunapokutana, pia napenda kuwa around na yeye maana confidence yake ni kitu cha kujifunza. Haogopi, anajiamini na uthubutu wake katika mambo yake mengi ni jambo ambalo wengi wetu tunajifunza sana kutoka kwake. Kuanzia jinsi alivyokua anajibeba, mapinduzi ya uandishi na muziki ambayo amefanya na anaendelea kufanya mpaka leo hii ni kitu ambacho kama utakua unamfuatilia kwa karibu basi utakua huna la kufanya zaidi ya kupenda jinsi anavyofanya mambo yake.
Siku zote nimekua nikitaka saaana kufanya nae interview lakini kama tujuavyo, Mungu ndo mpangaji wa yote na round hii ilikua ndo wakati muafaka. Nilimcheki naye akakiambia kwamba Mimi ni mtu pekee ambaye angependa aongee naye so mengine yakawa historia tu.
Brother alikuja Dar es Salaam malum kabisa kwaajili ya kuongea na sisi na kwa hilo tunamshkuru sana. Mambo ya kisiasa yalikua sio focus yetu hata kidogo na badala yake tulitaka kumfahamu yeye zaidi na pengine mmoja anaweza kujifunza kwa kufuatilia tu nyenendo zake kwenye mitandao.
Kaka alishawahi kwenda jela, amempoteza Mama yake kipenzi pia muda si mrefu baada ya yeye kutoka. Sisi tuliongea naye kuhusu mapenzi yake na Mama yake kipenzi Desderia ambaye hata jina la hoteli yake ameipa jina la Mama yake. Nilitaka kujua ukaribu wao huo ulitokana na nini, jinsi ambavyo Mama alimpa support kipindi hicho ambacho muziki ulikua unaonekana kama uhuni tu. Maoni yake kwenye masuala mbali mbali na kuhusu urafiki na mafanikio. Pia nilitaka kujua historia yake ya muziki na njia alizowahi kupita. Mambo mengine ni kuhusu suala la yeye kuwa Baba na mapenzi kwa ujumla.
Yangu matumaini una enjoy maongezi haya na Kaka mkubwa na pia confidence yake kwenye masala mbalimbali itakufanya pia ujibebe kuelekea mbele!
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Moja ya interview bora kabisa toka hiki kipindi kimeanza, asante Sugu, nimejifunza mengi kupitia hii interview, Mungu akubariki
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Pioneer East African hip hop star huyu,nakumbuka nikimskia mara ya kwanza huku Kenya mwaka wa 2000/1 na ngoma ya 'Ana Miaka kumi na nane'
Tumepoteza watu muhimu sana bungeni
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Nakukubali sana mr Sugu.
Sio kivile sheikh wangu...huwezi ukakawa bungeni muda wote...
Namuomba MUNGU mafanikio yangu au machungu yangu yasiwe sababu ya mimi kuwahumiza watu wengine
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Mr 2 sugu..... im very proud of you niga.... unao uwezo mkubwa sana wa utambuzi wa maswala ya maisha kiujumla
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Legend wa Kweli Wa Tasnia Hii!! Sugu ndiye msanii ALIYENYOOSHA mistari ya Bongoflava. Asikuambie mtu. Story Teller. Hadithi zilizonyooka, makini, kweli kuhusu maisha na jamii. Sauti ya watu. Mh anastahili kutambulika kama kinara mahiri wa Bongoflava!!
Najisikia fahari kuwa muhusika katika hatua na harakati zake kimaisha na kimuziki!! ✌️
Hongera brother sugu naququbali kaka hasa kwenye suala LA siasa we are together
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Hii interview nzuri sana, mafunzo makubwa sana na great memories
sugu papa sasha faiza ali ex love you from congo you are respectful men
Sugu mungu anakuona mana sio kwa vibes ilo na Salama mumetisha🔥🔥🔥🔥🔥na Faiza Ally apo anacheka tuu mpk bac akikuona kipenzi chake Baba Sasha😀😀😀😀
Sugu kweli ni mwamba ni mtu wa pekee anawajibu kwa jamii anajiheshimu na kuwaheshiku wengine na hichi kipindi kinatufunza mambo mengi hasa ya kuheshimiana na kujali wengine watanzania tunakosa kiunganishi!!!
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Salama, I like how in these interviews you also open up about your personal life as well. Mbeya oyeeee nice interview.
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Huyu ndio nilinifanya nipende mziki nimenunua Albamu zake sana
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
I like the statement ndoto ni bure it cost you nothing kuwa na ndoto.....Mimi nasema huitaji pesa nyingi kuwa na mafanikio unahitaji ndoto/maono kuwa na mafanikio 😜
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
@@shakilajuma4558 acha kusumbua
Sugu naomba afanye rmx ya Hayo hayakuwa mapenzi
Daaa brother katika history ya mama yako hapa umenigusa Sana !! Pole sana ,
Kukata rufaa upo form3 bro i respect
I refuse to loose - I like this line. #Powerful
Kama umemsikia SUGU kasema ALHAMDULILLAHI gonga like tuendelee.
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Iko bomba sana 🇧🇮Who 🇹🇷
Ndo mnareta udin wapumbavu nyinyi
Kwani alhamdulilah si ni lugha ya kiarabu tu waislam mbn upeo wenu mdogo?
True inspiration from sugu
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Like kwa jongwee mr II sugu mbeya moja green city
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
If your talking abt legend in music sugu iz the legend
Taita Kama Taita,Taita mtata,Taita mfupi lakini fulu matata #EndeleaKutupaHasiraYakupambana #Sugu#mfanowakuigwa
Sugu yo the best, we love you! Andika kitabu chako kilichoshiba vzuri, naomba kopy ya kwanza, niinunue japo Sina pesa ila ntanunua.
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Interview Bora Sana
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Japo siwez jua ya wawili na nini kilitokea,lakin Faiza Ally na sugu wote wako vizur kichwani..Mr sugu Asante kwa kushare exclusive 💪
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
MUCH RESPECT SALAMA KWA KUMLETA RAISI WA MBEYA,ANAJUA ANACHOKIFANYA
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Salama...Unatiiiiiiiiiiisha unagusa hisia za watu
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Interview Bora Kwa Mwaka 2021 Appreciate #HipHop4rever
Maisha yanaendelea na naamini ipo siku utakua rahisi wa nchi hii!!na ni Mara yangu ya kwanza kujiingiza kwenye siasa
Ninakukubali Dada ,unanifanya nijifunze kuthubutu katik maisha yangu kwa sbabu ya wageni unaowahoji.
Huyu ni sugu tangu mdogo, kavunja mkataba wa hela akiwa chalii
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Sugu daaaah. Mungu akupe maisha mareefu. Nakukubali sana
Salama dear you are the best kwenye interviewing 👏👏👏👏👏
Hii Episode nimeisubiria sana... SUGU is an inspiration
hahaaa, was looking for your comment.
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Mim pia nmetafta comment yako mze as nmeona previous interviews ulikua unaomba hii kitu
Hahaha dah nimemsubiri sana ndugu yangu nimuone huku,
Like za salama kwa interview kali 2021
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Nakukubali Sana sugu niliumia uliposhindwa kwenye ubunge, Ila si mby ngoma zako ninazokibao Sana, Moto chini, hayakuwa mapenzi
hakushindwa Ila wizi ulitawala hakuna nchi nzima kushinda chama 1 ata huku State vyama vyote 2 vimeshinda je Tz na maisha ayo na uchumi wap wa blue
@@zuleikhakhamis3303 kweli bhn ipo siku kitaeleweka tu, pw bhn amani!!
Salama napenda vile unafanya interview
Ata wewe salama ni legend down town kitambo....I salute you
Big up salama...I am falling in love with this channel 😍 ..🇰🇪
Noma
Salama wewe ni mbunifu sana.hongera mungu akubariki.
Hip Hop kila mmoja anataka kuwa C.E.O yeah
Sugu you real inspired me kaka
Mara navuta shuka nastuka,
Naota Sugu ananiita,kwa mbali akilalamika,
Nauliza vipi Sugu!? Anazidi kulalamika,anawaka,
Music Bongo haulipi mwanangu me nang'atuka,
Duuh natetemeka, nahisi Kama naanguka,
KWA VILE BILA SUGU HAPA NILIPONISINGEFIKA
Dunia mapito jama
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Afande Sele kitambo sana aseee
@@danielluvunzu553 saaaana
Sugu nakukubari sana na mm Ni mmoja ya watu wanao jifunza kutoka kwako
Ahsante sana da salama kwa kipindi chako wengi tutajifunza mengi kupitia kipindi chako ubarikiwe sana 🤞
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Daaaah suguuuu kila nikikusikiliza kunakitu kinanijia kinaniambia nisikate tamaaa respect brother ntaish kwenye ndoto zako
Rispect Sugu
Respect Bro, Thanx Sister Salama kwa kumleta huyu Mzee.
Mmoja ktk wapenzi wa Sugu frm Bs As- Arg
🎶🎶🎶Nimesimama akili inanituma kusema nasimama hasubuhi namapema, nafungua macho naona kitu nikama kiwingu polisi njoo na pingu masisha haya nibaya...🎤🎶🎶
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Jongwe ✊
Broo more bless
Alhamdulillah
Nice, ina tia moyo sana ukisikiza ukaelewa.
Datz true Legend Mr Sugu
Kama umemsikia sungu anasema hutakiwi kuwe kwenye mapenzi paka usijielewe goga like
inauma sana kumpoteza mama kisa kutetea haki, siasa za bongo hatari sanaa
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Haifunguki salama
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Je umeagiza GARI 🚘🚗nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent ⚓️🚢gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini 🚢Dar Es Salaam (Local) aina ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza📞Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT 🛫/ CONTAINER & MAGARI🚗 yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa.....
------------------
Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa,
Asante
1: IST old - 850,000/=
2: HARRIER New-1,000,000/=
3: HARRIER Old-950,000/=
4: RAV 4 - 950,000/=
5: RAUM - 850,000/=
6: SPACIO - 850,000/=
7: PASSO - 800,000/=
8: VITZ - 800,000/=
9: PREMIO - 850,000/=
10: ALTEZA - 850,000/=
11: SUBARU - 850,000/=
12: CARINA - 850,000/=
----------------------------------------
Gharama hizi zinahusisha malipo ya
1: Port Charges
2: Shipping Line
3: Walfage
4: Agent Fee
5: Plate no
----------------------------------------
☎️DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876
☎️Whatsapp +255 653953900
📧 Email: charlessabikazi@gmail.com
Instagram@mr_sabyy
🏢Company: Mofaz movers
📍Location: PSSSF Tower, Samora Avenue
Dar es salaam, Tanzania
*NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE
*NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏
*NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA 🇨🇳 NI BURE🙏
Daaah...............。。。。。。。。。。noma
Wadau wa mziki tunahitaji nyimbo za sugu ziwe online, ile legacy haitakiwi kupotea
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
My favourite rapper ever
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Hongeraa Sana suguu nchii tu hii Sasa hatujuii Mambo yanaendaje mafuta ya kula Leo Lita moja duuu panador ndioooo mmmmmh
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Bunge laawamuhii hovyooooo
Nice unemesahau kuwa ww ndio ulikuwa wa kwanza kuingia mjengon kama mbunge
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
.,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Ameacha mahusiano na Marry Juana ?
I like humble me
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
czcams.com/video/4cNXhbdj3Bc/video.html
Wafahamu WAJITA, Hii ndio Historia ya Kabila la WAJITA
sanaaa wanyumbaniii
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
We love Sugu so much
Sugu Master
Mr sugu en our lady salama Hallah
Salama katika watu wote uliowafanyia interview mr sugu kachangamka sana big up broh 💥💥💥
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
The don... hustler...mbishi
Nakuelewa mwamba
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Namkubar
Chadema4life
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Sugu hilo jina amepewa na Ali choki twanga pepeta ampe credit zake
Sio kweli choki alimtaja kipindi ambacho teyari anajulikana kama sugu
Tuleteeni mstaafu mzee mwinyi..
Sugu Moto chini ✌️✌️✌️💪💪
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
My role modal Mr sugu (Joseph mbilinyi)
Mx mmetisha Sana 🇸🇦🇸🇦🇹🇿🇹🇿
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Mbunge wa mbeya mjini😘
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Faiza njoo usikilize huku
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
I miss Jessica
Salama kipindi chako Ni kizuri,,,lakin si Kila mtu anatakiwa awe hapo,,kipindi kitakuwa Cha kawaida Sana,,,,jitahidi kipindi chako kiwe kwa watu maalumu tu,na si Kila mtu....
Watu maalum ni watu gani? Tunahitaji maarifa haijalishi nani anatupa
Watu maalum wanatoka
mbinguni?...
Kama nakuelewa vile
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
.,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Wanaweza kuwa maalum kama unavyohitaji afu wakawa na empty mind.
Nakukubali
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
🔥🔥🔥
G.O.T
wengine hawana njia za kufika kwenye TV shukuru hata ukipewa sifa vichochoroni
Amesema hao wenye wanamwambia vichochoroni they have access to mainstream media coz ni watu ambao tayari wamekuwa superstars
Nimecheka
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Nakubaliiii Suguuuuuu🙏🙏🙏🙏
Ndoto ni bure nimebeba iyo🙏🙏🙏🙏
Dah sugu ni mtu atari sana alikata rufaa akiwa shule
Respect Mr II
Nw imefunguka
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sugu uliishi wapi niliishi duniani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 SIPENDAGI UJINGA
Karibu tena
sugu is a really , good man
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
Hahahaha. Allhamdullilah
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html
I like the way talk about mapenzi
Pia jua na hii kama ulikuwa bado
,
.
,
czcams.com/video/JivyvBC01c8/video.html