THE CLASSIC WITH JAY MOE PART2 EP 2 ; KUGOMBANA NA MAJANI/STRESS ZA 'MAWAZO YA JAY MOE'/KIMYA KIMYA
Vložit
- čas přidán 3. 05. 2024
- Episode ya sehemu ya pili ya The classic na Jay Mo amezungumiza mambo mengine mengi ya ziada kama namna walivyofanya kazi Bongo rec/ubunifu wa Dully Sykes/alivyotofautiana na Majani P Funk namna alivyorudi Bongo rec na mengine mengi
Kipindi bora kuliko vyote tanzania tunapenda sana ngoma za zamani kuliko takataka za sasa hivi
Me Nakubali kwann Wanakwita Mawazo Umezaliwa ktk Tarehe na Mwezi wa Uhuru wa bara la Afrika na Ww ni Mwanaharaki Nuksi kama Moja ya mistari Yako Upo Balance Kush Man kuanzia Skonga unafahamu benefits zake na Ume capture Una Nyota ya Mapacha Unajua kama Unajua aikupi tabu ww ni third person... Mbakiaji
Maisha ya boarding created strong men
kaka uwe unagusa ngoma ata sekund 15 kun mt mwingn ngoma haijui jina ila akiskia tuu inaanza ankumbka mahal flan
Imenibidi ni stop nikamsikize The root dont say nothin aisee wimbo naufaham ila sikujua kama ni the roots daaa kuvi 🎉🎉🎉
The classic ya jay mo aiwezi kukamilika bila kumleta tony babaloo bro iri story iwe nzuri bwanaa
Mimi nasema Jay Mo huu mzima aje kwenye The Classic
kuvi moe anahitaji episode kama 2 zimebaki tumalizane nae nimesoma coments weng bado wanmhitaj
Jaymo is intelligent
Hiki kipindi kimekuwa kipindi changu bora sana
Namkubali xana bro Jay Mo, kipindi maisha ya boarding ina kick nilikuwa boarding moja ambayo life yake ilireflect na wimbo wa Jay Mo, that school was Geita Secondary or Geseco wayback 2002.
Jay moe arudi mzee
Daaah Jay Moe umeongea Madini mpaka yanamwagikaaaaa
Blessings bro 🙌🏿
Kwangu mm binafsi, Bro Jay mo anakaa ktk ile list ya top 10 ya waandishi bora wa muda wt ktk hip hop ya tz. Anastahili huyu jamaa palipo na ukwleli tuseme jamani. Kizazi hiki chakuanzia miaka ya mwanzoni mwa2000 ni wakali mnoo ktk kuandika.
Pindi liko hot 🔥ila hapo tunamtaka babuu wa kitaa coz nae anatakiwa awe hapo ili tupate stor za zaman🔥🔥🔥 jabiri tunakubal unachokifanya mzee wetu👈🔥
Mo arudi tuuu next weak uyooooo😂😂😂
We need Jay Moe he deserves this
Utawasahau vipi watu hawa kwenye kuukuza music wa bongo flavour?congrats sana kizazi hicho
We jamaa ni moja unajua sana kutafuta hawa watu waliofanya makubwa kwenye mziki kwa kuadika hits ambazo mpk leo watoto wetu wanasikia na bado ni hits sasa hivi miziki ya amapiano kama yeboyebo tumetoka kwenye uhalisia. But nafurahi sana kuona waliopitia Bongo record kwa p funk hao ni watu wakubwa sana
respect broo
Mo freva jay to the mo legendary salute
Moe unaweza piga nae hata Episode mia na hachoshi, jamaa yoko deep sana halafu anaijua sanaa ya kujielezea. Arudi tena aseee
Endeleeni interview haichoshi
Kuvi nimekubali umetokelezea kinyama🚀🐐
Super Men
Next week
Arudi tena
Nephew ulikimbiaje Uboizin
❤❤❤
Jay to the moooo its great arts big up so he know to describe the questions ❤❤
Rudi tena Mo.
Rudi Tena
Rudi tena
Mbona mnakata mziki kwa interview maana ya kuweka youtube is useless
Nenda wasafi kasikize akina juma lokole
Nyimbo zina copyrights hizo huwez kuziacha kwa kukisaidia tu kama unataka kuusikia pitia account za wasanii hao ukazisikilize
@@user-kk7re2jl8y😂
Copyright