THE CLASSIC WITH JAY MOE PART2 EP 2 ; KUGOMBANA NA MAJANI/STRESS ZA 'MAWAZO YA JAY MOE'/KIMYA KIMYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 05. 2024
  • Episode ya sehemu ya pili ya The classic na Jay Mo amezungumiza mambo mengine mengi ya ziada kama namna walivyofanya kazi Bongo rec/ubunifu wa Dully Sykes/alivyotofautiana na Majani P Funk namna alivyorudi Bongo rec na mengine mengi

Komentáře • 39

  • @user-rn2ej4fn6o
    @user-rn2ej4fn6o Před 3 měsíci +7

    Kipindi bora kuliko vyote tanzania tunapenda sana ngoma za zamani kuliko takataka za sasa hivi

  • @ndesafanamfala5800
    @ndesafanamfala5800 Před 3 měsíci +6

    Me Nakubali kwann Wanakwita Mawazo Umezaliwa ktk Tarehe na Mwezi wa Uhuru wa bara la Afrika na Ww ni Mwanaharaki Nuksi kama Moja ya mistari Yako Upo Balance Kush Man kuanzia Skonga unafahamu benefits zake na Ume capture Una Nyota ya Mapacha Unajua kama Unajua aikupi tabu ww ni third person... Mbakiaji

  • @westcijosh
    @westcijosh Před 3 měsíci +3

    Maisha ya boarding created strong men

  • @hamzaminja5448
    @hamzaminja5448 Před 3 měsíci +4

    kaka uwe unagusa ngoma ata sekund 15 kun mt mwingn ngoma haijui jina ila akiskia tuu inaanza ankumbka mahal flan

  • @zacharialughano3541
    @zacharialughano3541 Před 3 měsíci +3

    Imenibidi ni stop nikamsikize The root dont say nothin aisee wimbo naufaham ila sikujua kama ni the roots daaa kuvi 🎉🎉🎉

  • @HamadRajabu
    @HamadRajabu Před 2 měsíci

    The classic ya jay mo aiwezi kukamilika bila kumleta tony babaloo bro iri story iwe nzuri bwanaa

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 Před 3 měsíci +2

    Mimi nasema Jay Mo huu mzima aje kwenye The Classic

  • @FredyFrank-tf6jy
    @FredyFrank-tf6jy Před 2 měsíci

    kuvi moe anahitaji episode kama 2 zimebaki tumalizane nae nimesoma coments weng bado wanmhitaj

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Před 3 měsíci +2

    Jaymo is intelligent

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 3 měsíci +4

    Hiki kipindi kimekuwa kipindi changu bora sana

  • @STEPHANOLUCAS
    @STEPHANOLUCAS Před 2 měsíci

    Namkubali xana bro Jay Mo, kipindi maisha ya boarding ina kick nilikuwa boarding moja ambayo life yake ilireflect na wimbo wa Jay Mo, that school was Geita Secondary or Geseco wayback 2002.

  • @emanuelalmasnchembi978
    @emanuelalmasnchembi978 Před 2 měsíci +1

    Jay moe arudi mzee

  • @axmedcumar6196
    @axmedcumar6196 Před 3 měsíci +2

    Daaah Jay Moe umeongea Madini mpaka yanamwagikaaaaa
    Blessings bro 🙌🏿

  • @MackameHassani
    @MackameHassani Před 3 měsíci +1

    Kwangu mm binafsi, Bro Jay mo anakaa ktk ile list ya top 10 ya waandishi bora wa muda wt ktk hip hop ya tz. Anastahili huyu jamaa palipo na ukwleli tuseme jamani. Kizazi hiki chakuanzia miaka ya mwanzoni mwa2000 ni wakali mnoo ktk kuandika.

  • @calivaligoligota1943
    @calivaligoligota1943 Před 3 měsíci +1

    Pindi liko hot 🔥ila hapo tunamtaka babuu wa kitaa coz nae anatakiwa awe hapo ili tupate stor za zaman🔥🔥🔥 jabiri tunakubal unachokifanya mzee wetu👈🔥

  • @MackameHassani
    @MackameHassani Před 3 měsíci +1

    Mo arudi tuuu next weak uyooooo😂😂😂

  • @JamesPaulo-oz7tb
    @JamesPaulo-oz7tb Před 3 měsíci +1

    We need Jay Moe he deserves this

  • @Eustacengweshemi
    @Eustacengweshemi Před 2 měsíci

    Utawasahau vipi watu hawa kwenye kuukuza music wa bongo flavour?congrats sana kizazi hicho

  • @user-rn2ej4fn6o
    @user-rn2ej4fn6o Před 3 měsíci

    We jamaa ni moja unajua sana kutafuta hawa watu waliofanya makubwa kwenye mziki kwa kuadika hits ambazo mpk leo watoto wetu wanasikia na bado ni hits sasa hivi miziki ya amapiano kama yeboyebo tumetoka kwenye uhalisia. But nafurahi sana kuona waliopitia Bongo record kwa p funk hao ni watu wakubwa sana

  • @Mussapeter-ct1fu
    @Mussapeter-ct1fu Před 2 měsíci

    respect broo

  • @Nuru-zr2yv
    @Nuru-zr2yv Před 3 měsíci +1

    Mo freva jay to the mo legendary salute

  • @gwantadibusta
    @gwantadibusta Před 3 měsíci

    Moe unaweza piga nae hata Episode mia na hachoshi, jamaa yoko deep sana halafu anaijua sanaa ya kujielezea. Arudi tena aseee

  • @SalimSalim-bv3wb
    @SalimSalim-bv3wb Před 3 měsíci

    Endeleeni interview haichoshi

  • @samirmswahili
    @samirmswahili Před 3 měsíci

    Kuvi nimekubali umetokelezea kinyama🚀🐐

  • @trendingfootshorts
    @trendingfootshorts Před 3 měsíci

    Super Men

  • @robertmwita4327
    @robertmwita4327 Před 3 měsíci

    Next week

  • @barakamwansele5040
    @barakamwansele5040 Před 3 měsíci

    Arudi tena

  • @JamesPaulo-oz7tb
    @JamesPaulo-oz7tb Před 3 měsíci

    Nephew ulikimbiaje Uboizin

  • @user-sb3vt1yh9s
    @user-sb3vt1yh9s Před 3 měsíci

    ❤❤❤

    • @clementramadhan
      @clementramadhan Před 3 měsíci

      Jay to the moooo its great arts big up so he know to describe the questions ❤❤

  • @amanilyimo5907
    @amanilyimo5907 Před 3 měsíci

    Rudi tena Mo.

  • @morganrichard4384
    @morganrichard4384 Před 3 měsíci

    Rudi Tena

  • @eliudeliakayela9598
    @eliudeliakayela9598 Před 3 měsíci

    Rudi tena

  • @MohamedAhmed-yi7qz
    @MohamedAhmed-yi7qz Před 3 měsíci

    Mbona mnakata mziki kwa interview maana ya kuweka youtube is useless

    • @user-kk7re2jl8y
      @user-kk7re2jl8y Před 3 měsíci

      Nenda wasafi kasikize akina juma lokole

    • @jabirkuvichaka5391
      @jabirkuvichaka5391 Před 3 měsíci +4

      Nyimbo zina copyrights hizo huwez kuziacha kwa kukisaidia tu kama unataka kuusikia pitia account za wasanii hao ukazisikilize

    • @jabirkuvichaka5391
      @jabirkuvichaka5391 Před 3 měsíci

      @@user-kk7re2jl8y😂

    • @dostovan5142
      @dostovan5142 Před 3 měsíci

      Copyright