THE CLASSIC BAMBO EP 1 :KUNA KIJANA ANATUDHARAU/KATUKATAA JUKWAANI/TOKA MCHEZA NGOMA HADI UIGIZAJI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 05. 2024
  • Bambo ni moja ya waigizaji na wachekeshaji wenye nguvu na wanaopendwa Tanzania,amedumu kwenye Game kwa zaidi ya miaka 20 na zaidi na amekua katika ubora ule ule,tumepiga nae stories za kutosa kuanzia mwanzoni mwa harakati zake hadi sasa na changamoto za muda wote ,hii ni sehemu ya kwanza ya maongezi yetu

Komentáře • 38

  • @edgarwilliam9481
    @edgarwilliam9481 Před 2 měsíci +8

    Rest in peace my Mamma, she used to like Bambo, I truly respect you Bambo, you're a true legend 🙏.
    Much love and respect 🙏

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 2 měsíci +7

    Mze Haki Ya mbongo binti mwamadi 😂😂😂😂😂
    Hicho kiapo nimekitithi hadi leo

  • @frankmwamed9284
    @frankmwamed9284 Před 2 měsíci +2

    4:21 kwere aiseee move ya happy birthday ilikua Safi sana

  • @sokastreet
    @sokastreet Před 2 měsíci +4

    Wakwanza leo❤❤ shout out kwa jabir bambo ni msanii wa bongo fleva pia

  • @djnine9tz26
    @djnine9tz26 Před 2 měsíci +3

    Huyu mzee bado kuna vingi anavyo😂😂

  • @antonyyohana6148
    @antonyyohana6148 Před 2 měsíci +2

    Mzee hii kubwa so next kigwendu & Jot

  • @mustafamatata3795
    @mustafamatata3795 Před 2 měsíci

    Nakumbuka bamboo alikuwa anapiga show zake kipindi cha miss vitongoji ..moja ya njia ya kupata watu ni pamoja bambo awepo ...na hapo lazima avae timbalendi ili apogee maokoto yake

  • @user-rr6dv4fb6x
    @user-rr6dv4fb6x Před 2 měsíci

    Good work jabir ilike it...

  • @user-cr6px2wk6x
    @user-cr6px2wk6x Před 2 měsíci +1

    Bambo ❤❤❤❤

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 Před 2 měsíci

    Bambo unyama sana broo

  • @stuartikonko1941
    @stuartikonko1941 Před 2 měsíci +8

    Daaaar hujafa hujaumbika mwaka 1999 kuelekea 2000 mashaka katoka ulaya kaja bongo mzee wake kamtafutia mchumba kisa mlemavu wa mguu daaaar kitambo mzee kipara

    • @alexruhigi
      @alexruhigi Před 2 měsíci

      Ngoja, Kisa sina alikua Mke wa Dr Cheni.
      Mashaka alikuja na mipesa, akahama kwa mzee Kipara akaenda kula bata na Zawadi

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 2 měsíci

      ​@@alexruhigiyule kisa najiulizaga hadi Leo yuko wapi aisee

    • @NoelChambo
      @NoelChambo Před 2 měsíci

      Dah long time

  • @mellahcoffee
    @mellahcoffee Před 2 měsíci

    😂😂 bambo ni 🔥🔥

  • @nicholausmbilinyi3587
    @nicholausmbilinyi3587 Před 2 měsíci +2

    Kuna movie walicheza bambo,beni na mhogo mchungu ilikuwa inaitwa CAKE YA BIRTHDAY..tunaipataje hyo movie?

  • @samirmswahili
    @samirmswahili Před 2 měsíci

    Ingawa nimeona live ila na huku lazima niipitie chaka🙌🏾

  • @Jumamabela
    @Jumamabela Před 2 měsíci

    Dah.bambo.wapi.nyamayao

  • @lionroot4073
    @lionroot4073 Před 2 měsíci +1

    Mwana nakukubali nakufuatilia bro kutoka Sweden tuna muhitaji k ngwendu

  • @robertjustine358
    @robertjustine358 Před 2 měsíci +2

    Bambo sio story teller mzuri @Jabir ulitakiwa umuongoze vizuri ili afunguke vizuri..mfano nilitamani kusikia why sauti hiyo katika uigizaji wake?kwa nini alichagua hiyoo na hajawahi kupigwa kwa sauti ya kingoni?

    • @user-cn8ol6ro5z
      @user-cn8ol6ro5z Před 2 měsíci

      Huyo ni mngoni kabisa

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 2 měsíci +2

      nadhani wewe ndio uli[paswa ungalie interview yote hilo swali amelijibu vizuri akamtaja mpka mtu alichukua hio lafudhi.

    • @frankngajilo7137
      @frankngajilo7137 Před 2 měsíci

      Bambo ni anaigiza kingoni

  • @zaharamlau8817
    @zaharamlau8817 Před 2 měsíci

    Bambo kama Bambo😅

  • @MisendamilaFumbuka
    @MisendamilaFumbuka Před 2 měsíci +2

    Gk atokee day apo kwenye pnd mzuka xana

  • @JohnsonKatana
    @JohnsonKatana Před 2 měsíci

    Brother kazi nzuri unayofanya,huwa nakufatilia sana kutoka +254 Mombasa

  • @chimu_mobiles
    @chimu_mobiles Před 2 měsíci

    😂😂😂😂😂😂

  • @vitalisvedastus5191
    @vitalisvedastus5191 Před 2 měsíci +1

    Kata hicho ki crip cha vere uzembering

  • @MONEY_CHANNEL.
    @MONEY_CHANNEL. Před 2 měsíci

    Jabir Unaongea sanaaaaa

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 2 měsíci +3

      Ndio mana nimeajiriwa radio kaka

    • @edubari9344
      @edubari9344 Před 2 měsíci +1

      ​@@KuviFacts alitaka utumie lugha ya ishara

    • @khanafrica22
      @khanafrica22 Před 2 měsíci +1

      ​@@edubari9344😂😂😂😂umemaliza mkuu😂😂😂

    • @innocentmushi1550
      @innocentmushi1550 Před 2 měsíci

      ​@@KuviFacts😂😂

  • @MisendamilaFumbuka
    @MisendamilaFumbuka Před 2 měsíci

    @jabirsareh