THE CLASSIC MASANJA PT 4 EP 2 : TULIVAMIWA NA MAJAMBAZ WAKIDAI HELA/ MABAPA YA PANGA/MANJI ALITUOKOA
Vložit
- čas přidán 12. 04. 2024
- Sehemu ya pili ya kipindi cha nne cha The Classic na Masanja ambapo anatusimulia siku waliovmiwa na majambazi wakidhani wana hela,jinsi walivyohama kituo cha kazi na kupitia kipindi kigumu hadi kuokolewa na aliekuwa mfadhili wa Yanga Yusuph Manji na mengine mengi
Tunaomtaka na joti aje atupe story ya maisha yake tujuane hapa kwa like
Wameshawah kukaa kwetu mbezi beach shule kwa mama frank walikuwa wanakaa nyumba moja😂 ukitoka sebulen chumba cha pili kulia kilikuwa cha masanja, kinachofuatia master kilikuwa cha wakuvanga halafu chumba cha kwanza kushoto kilikuwa cha maclegan na cha mwisho kushoto kilikuwa cha joti😂😂 nakumbuka hiyo moment ilikuwa raha sana
Aludi tenaaa🎉😂😂
Muda hautoshi mnaacha Holes nyingi kwenye story. Mfano story ya gari na ya ukonda mmeacha mashimo. Watu wanataka kujua iliishaje. Nadhani masanja ungemtengenezea tu segment yake hii story yake ni ndefu na inakuwa demanded sanaa na watu. Kwaiyo awe anasimulia taratibu tu haijalishi atachukua mda ganinkuimaliza lakini asiache holes
Next week aendeleee mpaka sisi mashabiki tuseme imetosha ila bado sanaaaa . Utuletee Mussa kipanya atupe historia ya maisha yake
teh teh teh teh teh teh teh huyu jamaa ni kitabu cha kujifunzia. Hongera sana kwa harakati na Mungu anampenda sana huyu jamaa. Aletwe aendelee na simulizi zake tutumie kuwafundisha vijana wetu kuhusu maisha.
The best storyteller@Masanja mkandamizaji
NEXT....WEEEK....AENDELEEE
NEXT....WEEK...AENDELEEEEEEE
😂😂😂 lazima unuke petrol😂😂
Plz he have to come back again ❤
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamaa mleten tena
🤣🤣🤣🤣🤣aiseee et tumeuza na bettery
😂😂😂🤣🤣 eti bonge la betri YUASA
Huyu jamaa haboeshi kabisaaa😂
Masanja bhn😂
Maishani tunapitia mambo mengi sana
Kuna sehem mmeruka ilikuwaje pale aliporudi kutoka tunduma na kwenda kazini baada ya kukiuka sheria??
Meongelea sikuliza 4pat1
Ata iyo part 1 haijaongelea..wmeruka vipande. Vingi sana..baada yakununua gari hawajaelezea gari aliendanalo ofisini..pia kuna kipande cha Daradara ukonda ameushia njiani@@derickjuma4251
😅😅😅 boss mbona siioni gari
kiukweli haichoshi hata kidogo interview yake hata iende mwaka mzima
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 joti nayeye aje
Aje tena huyu bwanaaaa
Ha ha ha masanja sio poa stori zake lzm ufurah
Tunamuomba masanja hiki kipindi kiwe endelevu
Bado tunamhitaji
Hv yule Vengu yupo wapi?
Masanja😂😂😂😂
Masanja kitaulo naona si haba
HUYU BABA MCHUNGAJI ATAFAKARI NENO VIZURI CONFLICT YA MENGI NA MANJI WAKIGOMBEA YANGA ILISABABISHA WATOKE KITUO CHA MWANZO KWENDA TBC,ASEME UKWELI
😀😀😀
Hiyo nyimbo ni Kilimanjaro ya Joh Makini
Ipi hio, iliokua sampled?
Mtu na nusu
😂😂
🤣
Mimi sijapenda mumeanza vizuli alafu munaalibu uku mwisho sitokuja kufatilia tena hiki kipindi
TOKA NA MENO YAKO YA KUUNGUAAA
😁
Mimi nimechukia sana nimeisubiria hii Story kwa mda sana
Unaliwa wewe
@@ASALABOY hebu elezea tumeahribu nini boss naoma unalalama tu mkuu
😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂