THE CLASSIC MASANJA PART 2 EP 1:NILIFUKUZWA ZAIDI YA MARA NNE SIKUKATA TAMAA/IMANI ZA WAGANGA
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- Kama maombi ya wengi yalivyotaka Masanja Mkandamizaji amerudi tena kwa mara ya pili katika meza ya The Classic akiendelea kutupa simulizi kali na za kusisimua juu ya maisha yake ya sanaa na menginge nje ya sanaa kiujumla,episode Masanja anaeleza namna alivyokutana na vizingito vizito kila alipofanikiwa hatua moja lakini hakukata tamaa kabisa na kusonga mbele
Aisee ahsante sana kaka Jabir kumrudisha mwamba. Best storyteller huchoki kumsikiliza
Kuna funzo kubwa sana hapa, shukran brother masanja kwa kushare hii, shukra pia Brother Jabir kwakuandaa hiki kitu
Pamoja sana kaka
Masanja kula jasho lako umepambana saaaaana
Siku Muite king 👑 kiba Pia alichenji upepo wa bongo flavor nakumbuka album nyimbo16 zote zili hits Sana nakumbuka mack muga ilihit miaka3,Kiba nalia,naks,cndelela,nchumu njiwa nazingine nyngi haijawah tokea had leo
Hajaweza kubadili upepo wa bongo fleva, amefanya vizuri tu. Wewe ni mapenzi yako yanakuendesha
Maaisha bana masanj zamani alikua mzee saivi kijana😂😂😂
Nilichojifunza ni kuwa kama una kitu kikubwa kwenye maisha utakutana na mapingamizi mengi ambayo yanaweza kukukatisha tamaa... Kikubwa ni kufocus na kukokata tamaa.... Kujiamini kwa kile unachokifanya kutokuruhusu kukata tamaa Wala kukatishwa tamaa....
Binafsi nimeongeza heshima kubwa after kusikia interview ya Masanja, vile tunavyowafahamu hawa mastaa ni tofauti na kitu wamepitia. respect to Masanja
Masanja hakika umepambania sana sanaa Yako bila kuchoka mungu akutie nguvu nimewahi kukuona mara mbili kaka lakin huwez Amin nilikua naogopa hata kukusalimia kaka nilihofia utanitoa nishai mara ya kwanza Biafra kwa white 2015 mara ya pili ilala ofisin kwa mkuu wa mkoa zote broo nilikua nakuogopa hta kukusemesha lakin moyo wangu hakika ulifarijika sana Kila nilipokuona I hope one tutaonana tena much respect nimejifunza kitu Toka kwako Kuna mastaa nilikua nawaona halafu wakawa wanavungia ndio chanzo Cha uoga
🇰🇪 Napenda Masanja alivyopaa real
Nilikua namuheshimu Ila nmemuheshimu zaidi. Big up
Masanja acha ale pesa yake kwakweli😂😂😂😂
Umasikini ni mzuri kuuelezea ukiwa na Pesa😂
😅😅😅😅😅
Kwel
Finally umetundea haki, Ahsanteeee Sana Jabir
Pamoja sana
Haichoshi kusikiliza….very interesting and motivating👏🏼👏🏼🔥
Oya Kuvi Naomba Mlete Masanja Tena
masanja arudi tena
That is Masanja. Mungu ni wetu sote, katika maisha lazima kukaza. Asante kwa interview nzuri
Safi sana motivation kwa sisi vijana kipind kizuri sana
MASANJA IS HELLA FUNNY 😂😂😂😂😂
Nahisi masanja ndo jamaa ambae nkimuangalia ,siwezi kujikaza😂😂😂
Maisha ni safari yenye mabonde,Milima,Vichaka na Misitu minene🎉🎉🎉
Nakumbuka Historia yake niliisoma kupitia Jarida la Fema mwaka 2010 nimekuja kugundua vitu vingi mwandishi aliviskip ila kupitia hii interview nimepata Madini yakutosha....
Daah jarida la fema, kitambo sana
Enz ya Sekondari 2008 iv
❤❤❤
Masanja is a very good storyteller aisee...🔥🔥🔥
Safi sana jabiri bonge la pindi hili keep moving
Very interest story big shut out masanja 🤏
Kweli penye nia pana njia big up masanja mkandamizaji, adi machozi yamenilenga
Tunafunga n kufungua mwaka n mkandamizaji😂😂😂
Story ya masanja ukiwa huna akili utaona anachekesha ila kiukweli ina somo kubwa sana kwenye maisha ila kiufupi tu kila mtu aamini anachofanya bila kujali watu wanasema nini
Nipo nawafuatilia, kiukweli stori ya Masanja inatufunza mengi.
Umetisha kuvichaka..🔥🔥
Tisha sana
watu wanayoka mbali sana
Mlete tena part 3
Tunaitaji mwendelezo wa hiyo story ni nzuri sana
Hakika Mwenyezi Mungu ni Mkubwa sana
kuvichaka arudi huyu hajamalizia episodes
Watching this from USA best interview
Mzee wa kuv mkandamizaji aje tena😅😅😅😅
Masaja ongera sana kwa uvumilivu
Umejua kuni-inspire masanja
🙏🙏👍
Aludi tena bhn
finally🙌🙌
Ila Bado tunamuhitaji another round ili tujue akina mpoki waliingiaje ingiaje humo.
Hao jamaa ni kisimple na hazintoshi wahenga tu ndio tunawajua🤣🤣
Haha wanatumia majina gani Instagram?
I don't usually write but wageni wako wote hakuna hata mmoja kamzungumzia Cool James "Mtoto wa dandu". People should get to know about this guy
Sanjaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kuvichaka Mtafute Jay Moe na Soggy Dog hanta hawa Jamaaa ni Noma wanajuwa kuongea na wana story nyingi kuhusu Music
Brother J .tumpate wakuvanga
😂😂
Mdimi uko poa