THE CLASSIC MASANJA PART 2 EP 1:NILIFUKUZWA ZAIDI YA MARA NNE SIKUKATA TAMAA/IMANI ZA WAGANGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Kama maombi ya wengi yalivyotaka Masanja Mkandamizaji amerudi tena kwa mara ya pili katika meza ya The Classic akiendelea kutupa simulizi kali na za kusisimua juu ya maisha yake ya sanaa na menginge nje ya sanaa kiujumla,episode Masanja anaeleza namna alivyokutana na vizingito vizito kila alipofanikiwa hatua moja lakini hakukata tamaa kabisa na kusonga mbele

Komentáře • 61

  • @ombenikija
    @ombenikija Před 7 měsíci +14

    Aisee ahsante sana kaka Jabir kumrudisha mwamba. Best storyteller huchoki kumsikiliza

  • @user-lr8vm9yd4l
    @user-lr8vm9yd4l Před 7 měsíci +11

    Kuna funzo kubwa sana hapa, shukran brother masanja kwa kushare hii, shukra pia Brother Jabir kwakuandaa hiki kitu

  • @ObaMizo-oc1wq
    @ObaMizo-oc1wq Před 7 měsíci +5

    Masanja kula jasho lako umepambana saaaaana

  • @kijanisaini5688
    @kijanisaini5688 Před 7 měsíci +8

    Siku Muite king 👑 kiba Pia alichenji upepo wa bongo flavor nakumbuka album nyimbo16 zote zili hits Sana nakumbuka mack muga ilihit miaka3,Kiba nalia,naks,cndelela,nchumu njiwa nazingine nyngi haijawah tokea had leo

    • @josephfarajamagnifico5586
      @josephfarajamagnifico5586 Před 7 měsíci

      Hajaweza kubadili upepo wa bongo fleva, amefanya vizuri tu. Wewe ni mapenzi yako yanakuendesha

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 Před 7 měsíci +5

    Maaisha bana masanj zamani alikua mzee saivi kijana😂😂😂

  • @shexnkole4684
    @shexnkole4684 Před 7 měsíci +5

    Nilichojifunza ni kuwa kama una kitu kikubwa kwenye maisha utakutana na mapingamizi mengi ambayo yanaweza kukukatisha tamaa... Kikubwa ni kufocus na kukokata tamaa.... Kujiamini kwa kile unachokifanya kutokuruhusu kukata tamaa Wala kukatishwa tamaa....

  • @richardmaxwell3991
    @richardmaxwell3991 Před 7 měsíci +8

    Binafsi nimeongeza heshima kubwa after kusikia interview ya Masanja, vile tunavyowafahamu hawa mastaa ni tofauti na kitu wamepitia. respect to Masanja

  • @rashidally7285
    @rashidally7285 Před 7 měsíci +3

    Masanja hakika umepambania sana sanaa Yako bila kuchoka mungu akutie nguvu nimewahi kukuona mara mbili kaka lakin huwez Amin nilikua naogopa hata kukusalimia kaka nilihofia utanitoa nishai mara ya kwanza Biafra kwa white 2015 mara ya pili ilala ofisin kwa mkuu wa mkoa zote broo nilikua nakuogopa hta kukusemesha lakin moyo wangu hakika ulifarijika sana Kila nilipokuona I hope one tutaonana tena much respect nimejifunza kitu Toka kwako Kuna mastaa nilikua nawaona halafu wakawa wanavungia ndio chanzo Cha uoga

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti Před 7 měsíci +5

    🇰🇪 Napenda Masanja alivyopaa real

  • @thomasbarabonamubondo9218
    @thomasbarabonamubondo9218 Před 7 měsíci +3

    Nilikua namuheshimu Ila nmemuheshimu zaidi. Big up

  • @wilbertjosephat1615
    @wilbertjosephat1615 Před 7 měsíci +8

    Masanja acha ale pesa yake kwakweli😂😂😂😂

  • @williammbwambo747
    @williammbwambo747 Před 7 měsíci +4

    Umasikini ni mzuri kuuelezea ukiwa na Pesa😂

  • @2116-n
    @2116-n Před 7 měsíci +5

    Finally umetundea haki, Ahsanteeee Sana Jabir

  • @judithmaghembe2530
    @judithmaghembe2530 Před 7 měsíci +1

    Haichoshi kusikiliza….very interesting and motivating👏🏼👏🏼🔥

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn9633 Před 7 měsíci +4

    Oya Kuvi Naomba Mlete Masanja Tena

  • @ticianmarando9027
    @ticianmarando9027 Před 7 měsíci +3

    masanja arudi tena

  • @johnluyego9353
    @johnluyego9353 Před 6 měsíci

    That is Masanja. Mungu ni wetu sote, katika maisha lazima kukaza. Asante kwa interview nzuri

  • @mustapherabel8471
    @mustapherabel8471 Před 7 měsíci +1

    Safi sana motivation kwa sisi vijana kipind kizuri sana

  • @KIPEPE19
    @KIPEPE19 Před 7 měsíci +3

    MASANJA IS HELLA FUNNY 😂😂😂😂😂

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 Před 7 měsíci +3

    Nahisi masanja ndo jamaa ambae nkimuangalia ,siwezi kujikaza😂😂😂

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko3915 Před 7 měsíci +1

    Maisha ni safari yenye mabonde,Milima,Vichaka na Misitu minene🎉🎉🎉

  • @selemanimsangi7805
    @selemanimsangi7805 Před 7 měsíci +22

    Nakumbuka Historia yake niliisoma kupitia Jarida la Fema mwaka 2010 nimekuja kugundua vitu vingi mwandishi aliviskip ila kupitia hii interview nimepata Madini yakutosha....

  • @JustinMapper
    @JustinMapper Před 7 měsíci +1

    Masanja is a very good storyteller aisee...🔥🔥🔥

  • @mbenamdudu7856
    @mbenamdudu7856 Před 7 měsíci +2

    Safi sana jabiri bonge la pindi hili keep moving

  • @triga24x
    @triga24x Před 4 měsíci

    Very interest story big shut out masanja 🤏

  • @shirimabenedict5431
    @shirimabenedict5431 Před 6 měsíci

    Kweli penye nia pana njia big up masanja mkandamizaji, adi machozi yamenilenga

  • @sallynemsi6560
    @sallynemsi6560 Před 7 měsíci +3

    Tunafunga n kufungua mwaka n mkandamizaji😂😂😂

  • @voisaclassic1866
    @voisaclassic1866 Před 7 měsíci +3

    Story ya masanja ukiwa huna akili utaona anachekesha ila kiukweli ina somo kubwa sana kwenye maisha ila kiufupi tu kila mtu aamini anachofanya bila kujali watu wanasema nini

  • @mzansitv714
    @mzansitv714 Před 7 měsíci +3

    Nipo nawafuatilia, kiukweli stori ya Masanja inatufunza mengi.

  • @weeknd_places
    @weeknd_places Před 7 měsíci +3

    Umetisha kuvichaka..🔥🔥

  • @immabahatiimmabahati2373
    @immabahatiimmabahati2373 Před 7 měsíci +1

    Tisha sana

  • @user-qu2uw9jj6z
    @user-qu2uw9jj6z Před 7 měsíci +2

    watu wanayoka mbali sana

  • @ahaditaifa4639
    @ahaditaifa4639 Před 7 měsíci +2

    Mlete tena part 3

  • @user-rw5hh6ip8z
    @user-rw5hh6ip8z Před 6 měsíci

    Tunaitaji mwendelezo wa hiyo story ni nzuri sana

  • @kagirasta1476
    @kagirasta1476 Před 7 měsíci +1

    Hakika Mwenyezi Mungu ni Mkubwa sana

  • @ticianmarando9027
    @ticianmarando9027 Před 7 měsíci +3

    kuvichaka arudi huyu hajamalizia episodes

  • @PAPRATZ
    @PAPRATZ Před 6 měsíci

    Watching this from USA best interview

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 Před 7 měsíci +1

    Mzee wa kuv mkandamizaji aje tena😅😅😅😅

  • @beatricethomson4020
    @beatricethomson4020 Před 6 měsíci

    Masaja ongera sana kwa uvumilivu

  • @georgenathanael
    @georgenathanael Před 5 měsíci

    Umejua kuni-inspire masanja

  • @jeanmiruho4770
    @jeanmiruho4770 Před 5 měsíci

    🙏🙏👍

  • @NguyaPlanB-wn3yy
    @NguyaPlanB-wn3yy Před 7 měsíci +1

    Aludi tena bhn

  • @Eng2460
    @Eng2460 Před 7 měsíci +4

    finally🙌🙌

  • @selemanimsangi7805
    @selemanimsangi7805 Před 7 měsíci +3

    Ila Bado tunamuhitaji another round ili tujue akina mpoki waliingiaje ingiaje humo.

  • @mikelmweuc9619
    @mikelmweuc9619 Před 7 měsíci +2

    Hao jamaa ni kisimple na hazintoshi wahenga tu ndio tunawajua🤣🤣

  • @baritazarstanley9608
    @baritazarstanley9608 Před 7 měsíci

    I don't usually write but wageni wako wote hakuna hata mmoja kamzungumzia Cool James "Mtoto wa dandu". People should get to know about this guy

  • @babaloisethan7010
    @babaloisethan7010 Před 6 měsíci

    Sanjaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @antonyyohana6148
    @antonyyohana6148 Před 7 měsíci +1

    Kuvichaka Mtafute Jay Moe na Soggy Dog hanta hawa Jamaaa ni Noma wanajuwa kuongea na wana story nyingi kuhusu Music

  • @user-bc7up2qt1l
    @user-bc7up2qt1l Před 7 měsíci +3

    Brother J .tumpate wakuvanga

  • @pangapower688
    @pangapower688 Před 6 měsíci

    😂😂

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 Před 6 měsíci

    Mdimi uko poa