THE CLASSIC WITH JAY MOE PART2 EP1: IDEA YA WIMBO MVUA NA JUA/KUA NA NJAA YA MAFANIKO KAMA ANAANZA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 05. 2024
  • Jay Moe amerudi tena kwenye sehemu ya pili ya kipindi cha The Classic kwa ajili ya kuendeleza hadithi za maisha yake na nyimbo zake zenye maudhui classic kabisa ambapo hapa anaanzia wimbo wake classic na maarufu sana wa Mvua na Jua

Komentáře • 57

  • @ahmedmwatawala7967
    @ahmedmwatawala7967 Před 3 měsíci +19

    huyu jamaa Jabir Salehe ana kipaji na ubunifu wa ajabu sana kwenye kutengeneza contents za interviews ... Heshima kwako kaka Jabir Kuvifacts .Ishi miaka mingi kwa kutengeneza contents muhimu na imesaidia kuondoa vile vitu ambavyo tulikua hatuvifahamu au tulivifahamu kitofauti...Big up bro you the Legend

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 3 měsíci +2

      Asante sana 🙏🏾

    • @uwezokinahi7870
      @uwezokinahi7870 Před 3 měsíci +2

      Anajua sana Huyu Jamaa...Hiki ni Kipindi Bora zaidi cha Burudani Tanzania

  • @abuubaqr5808
    @abuubaqr5808 Před 2 měsíci +3

    Mimi apa mtansiamehee mkisema dizasta ni mkali, growing up listening to prof, mo tek, chindo and the likes mkisema dizasta ni story teller mkali naona uongo

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937 Před 3 měsíci +9

    Jay moe unajua saaaana kakaa,na pia ni story teller mzuuuri #appreciate you bro

  • @pepchallanga3626
    @pepchallanga3626 Před 3 měsíci +9

    moja ya hazina kubwa kabisa katika tasnia ya mziki wa hip hop!

  • @ibrahimpatrickmwafute
    @ibrahimpatrickmwafute Před měsícem

    Big Brother Jabir nakubar sana mzee # Jay moe

  • @ommarysaid7391
    @ommarysaid7391 Před 3 měsíci +2

    Legendary Jay to the Mo, or More Tech

  • @georgemathew9326
    @georgemathew9326 Před 2 měsíci

    Madin juu ya ulimi... naomba nikione broh.. #jaymoe

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před 3 měsíci +7

    NYIE WASANIII WA SAHV MJIFUNZE KUFANYA INTERVIEW KAMA HAWA WAKONGWE

    • @nehemia397
      @nehemia397 Před 3 měsíci

      elimu inachangia brother kenny.
      umchukue D VOICE utegemee aongee hivyo

  • @ndesafanamfala5800
    @ndesafanamfala5800 Před 3 měsíci +5

    Mteule! Mbakiaji! Mawazo Juma Mchopanga Mo Tec Au Jay moe Tan twist zako na Lyrics speed na flavor Aje Bishoo! Mgumu Msomi wote watakaa ... Treasure

  • @EyooTenny
    @EyooTenny Před 3 měsíci +2

    Not Only the best presenter, kuvi ni hiphop head since wayback enzi za THE JUMP OFF... Hapa na mchopanga ni the bad meets evil.

  • @user-wc8gi8pu1p
    @user-wc8gi8pu1p Před 2 měsíci +2

    Upo pw sana Mo..endelea kukaza bro

  • @wilbertjosephat1615
    @wilbertjosephat1615 Před 3 měsíci +1

    Kuvi kibonge tozi sikudai kaka kwenye hili ila ukituletea GK ndohatuta kudai kabisaaaaaa!!

  • @zacharialughano3541
    @zacharialughano3541 Před 3 měsíci +2

    Nilikuwa naomba kila siku ziende hatimayee kumekucha shikamoo jabirsalehe

  • @IBRAHIMSASAMALO
    @IBRAHIMSASAMALO Před 3 měsíci +3

    Mkali wa mashairi
    Introduction, main body na conclusion hatari sana

  • @maulidmshihiry4148
    @maulidmshihiry4148 Před 3 měsíci +1

    Jay Moe ni best Story teller in the Hip Hop game

  • @cbhofficial3432
    @cbhofficial3432 Před 3 měsíci +1

    interview ni kali sana ile bro ao watangazaji wengine hawaulizi chochote wapo tu wamekaa kama masanamu

  • @uwezokinahi7870
    @uwezokinahi7870 Před 3 měsíci +2

    Nimefurahi sana Jay moe kuitaja Sumbawanga ❤.. Sumbawanga ni moja ya Wilaya ndani ya Mkoa wa Rukwa. Kwa wasio fahamu ni Mkoa wa Rukwa ni kati ya Mikoa mitatu inayozalisha zaidi Mazao ya chakula Nchini Tanzania.

  • @JamesPaulo-oz7tb
    @JamesPaulo-oz7tb Před 3 měsíci +1

    Jay Moe kaumiza sana na hiyo Tuxedo 😂😂

  • @XxhamxyyxShha
    @XxhamxyyxShha Před 3 měsíci +1

    Mr kuvi.. Mlete siku moja jcb makala ndani ya classic

  • @wilbroadgrarcian1259
    @wilbroadgrarcian1259 Před 3 měsíci +1

    Hongera sana jabir Interviews zako zote ni kali aiseee watangazaji wadogo wanamengi ya kujifunza kwako

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th Před 2 měsíci

    huyu ndo bwana aliezaa na didaa

  • @famorsn9834
    @famorsn9834 Před 3 měsíci +2

    akili nyingi, utulivu wakutosha

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před 3 měsíci +3

    Wasani wa zamani akili kubwa,wa sahvi hmn kituuuu

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 Před 3 měsíci +1

      True sasahivi kuna ubwege mwingi tu
      Nowdays

  • @nehemia397
    @nehemia397 Před 3 měsíci +4

    leo umeng'aa mzee jabir

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh Před 3 měsíci +2

    Narudia tena Jay Moe ni miongoni mwa Wasanii wachaache wanaoweza kupokea swali, kulimeza vizuri na kuliBreakdown kisawasawa Jawabu lake. 🔥🧠
    czcams.com/video/BntqDlof0iA/video.htmlsi=va4fGKQ2r3UqECe2

  • @johnny.j.nyondo
    @johnny.j.nyondo Před 3 měsíci

    Tukikaa huwa tunafungua koti la suti. Muwe mnawakumbusha 😂

  • @RamadhaniallyMavumbi-gb9hf
    @RamadhaniallyMavumbi-gb9hf Před 3 měsíci +1

    Sijui ni kwanini,
    Lkn natamani huyu jamaa afanyiwe tena mahojiano nahisi ana madini meeengi san ambayo bado hatuja yasikia.,….

  • @abeljaphet8380
    @abeljaphet8380 Před 2 měsíci

    @jay moe tambua kuwa hayo maswali unayoulizwa na @jabir hauwezi ulizwa representer yyte hapa tz

  • @starboss8131
    @starboss8131 Před 3 měsíci +1

    Zee la kujibrand mtu wa maana kabisa 😁 🤜 🤛 wewe thanks for classic intavyuu

  • @yamungutv3966
    @yamungutv3966 Před 3 měsíci

    Kiukweli katika show ambazo nazikubali hapa tz ni hii the classic Yani huwa nikiikosa huwa najihisi kuumwa kwani huwa inanikumbusha mbali sana Kiukweli Jabil ulibuni kitu kizur sana ningefanikiwa kukutana nawewe ningekupa Maya yako.

  • @abeljaphet8380
    @abeljaphet8380 Před 2 měsíci

    Jabir uishi miaka mingi mzee

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 2 měsíci

      Amiin kaka,Nashukuru sana kamanda👏🏿

  • @user-rr6zh5uf9y
    @user-rr6zh5uf9y Před 3 měsíci

    Country wizzy the best rapper ever

  • @user-lj8nk9xd6d
    @user-lj8nk9xd6d Před 3 měsíci

    He has I Q. All the way from US.

  • @Yegon254
    @Yegon254 Před 3 měsíci

    Mapema ndo best

  • @dclassTurpin-jx3wh
    @dclassTurpin-jx3wh Před 3 měsíci

    jmo na mwana fa akili kubwa👞🙌🙌🙌🙌🙌

  • @martin_el_tabeth
    @martin_el_tabeth Před 3 měsíci

    Icon

  • @muddyfadhili1289
    @muddyfadhili1289 Před 3 měsíci

    Moe Tech🔥

  • @hamzaminja5448
    @hamzaminja5448 Před 3 měsíci

    kibong bitoz G O T hv kofia unachkulia wap

  • @zacharialughano3541
    @zacharialughano3541 Před 3 měsíci

    Huwa najiuliza hivi hivi visanii vya sasa ukimuacha countrboy watakuwa na stori zakuadidhia😂😂😂😂

  • @MTOTOWAvitoto
    @MTOTOWAvitoto Před 3 měsíci

    Naungana na wewe

  • @ericdeogratius970
    @ericdeogratius970 Před 3 měsíci +1

    Jay moe & Chid benzi are the greatest ever in music industry of Tanzania. Tukiachana na yoote ambayo Chid benzi anakutana nayo ila jamaa na Huyu Jay moe ni wakali wa misimu yote

    • @kaporosalum6123
      @kaporosalum6123 Před 3 měsíci

      Chid Benzi ni overrate mtoe hapo

    • @ericdeogratius970
      @ericdeogratius970 Před 3 měsíci

      @@kaporosalum6123 Aaah tafadhali sana me nawaweka sahani moja tena kwa fact kabisa. Ana tuzo nyingi kuliko Famous, ana kolabo nyingi kali kuliko famous ila famous ana ngoma kali hits kuliko chidi so nawaweka sahani moja mzee

    • @kaporosalum6123
      @kaporosalum6123 Před 3 měsíci

      Kama tuzo ni kigezo kuna wasanii wakali kama Nas,Talib Kweli and Common wasingeweza

    • @user-bb2sv2hx3k
      @user-bb2sv2hx3k Před 3 měsíci

      Wasanii wa zamani walikuwa na vipaji sana

    • @user-bb2sv2hx3k
      @user-bb2sv2hx3k Před 3 měsíci

      Wasanii wa zamani walikuwa na vipaji sana

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Před 3 měsíci

    Mo.again

  • @user-kk7re2jl8y
    @user-kk7re2jl8y Před 3 měsíci

    mungu akinipa mtoto wa pili namwita jabir Atakama mm mkristo

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 3 měsíci +1

      Heshima kubwa hii kaka,Asante sana 🙏🏾

  • @abeljaphet8380
    @abeljaphet8380 Před 2 měsíci

    Ukienda sehemu nyingine unaulizwa maswali ya kijinga ambayo hayana maana ndio maana wengine wanakataa kufanya intervew ili kuepuka upuuz wao