THE CLASSIC KALAPINA : NLIJUTIA KUMTEKA SOLO THANG/KUMPOSA MR BLUE/UGOMVI NA MTOTO WA RAIS JK /BEEF

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 12. 2023
  • Hii ni interview ya The Classic na Mwanahiphop mahiri Kalapina ambae alikua kiongozi wa ukoo mkubwa wa hiphop wa Kikosi cha mizinga,Interview hii ilifanyika mwaka mmoja uliopita na Kalapina alituelezea kiundani kuhusu tuhuma nyingi ambazo zilizungumzwa juu yake,hii ni sehemu ya maongezi yake

Komentáře • 65

  • @yudaogonyi2383
    @yudaogonyi2383 Před dnem

    😝😝😝😝😝 jamaa ni storyteller mzuri sana . Hyu atafutiwe EP ingine

  • @alexmisheto7925
    @alexmisheto7925 Před 8 měsíci +7

    Watu wa Hip hop wanaakil sana

  • @edwardasumwisye3010
    @edwardasumwisye3010 Před 8 měsíci +9

    Binadamu wanaomba mabaya/
    Mtaani kwangu wazee hawana haya/
    Wamejaa husuda chuki na roho mbaya/
    Hakika wasingetupenda Hata tungeimba kwanya

  • @darhustler
    @darhustler Před 8 měsíci +7

    Hii ni interview bora sana kwangu kusikia na imeeleza vizuri sana hizo background gossips za bongo fleva kuhusu kikosi na hiphop. Pina is very nice guy 🖖

  • @nailahharith4745
    @nailahharith4745 Před 8 měsíci +5

    Those days I remember biliads hip hop ilikuwa real kinyama kikosi dah

  • @silvergold5855
    @silvergold5855 Před 8 měsíci +3

    Napenda kumsikiliza brother pina

  • @MichaelAnthonyGuni
    @MichaelAnthonyGuni Před 5 měsíci +1

    sema kalapina na ubabe tofauti sana he is so innocent ukimuangalia

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před 8 měsíci +10

    HAO WANAKATAANA,,MI NAFATILIA SANA INTV ZAO,,DUDU,,LORD,,KALA NA HIP HOP WENGI WANAOKUJA HAPO,,KILA MTU ANAJIONA YEYE NDO ALIKUWA MBABE KULIKO MWENZIE,,ILA TUNAWAAMBIA NYIE SIO MASELA MSINGEKUWA URAIANI.

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Před 8 měsíci +5

      Hujielewi, Kwani msela lazma aende jela .?...kwenda jela ni UFALA ww .!

    • @hassanbakari4525
      @hassanbakari4525 Před 8 měsíci +1

      @@ismailmasoud6001 WE ndi fala kaka,,,si msela si umepinda?? Waliopinda wote wako chimbo wanasubiri kifo 😀,mnamuiga 2 pac kufa amfi 😃,,nyie mabinti tu

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Před 8 měsíci +2

      @@hassanbakari4525 ...ukiona mtu Kenda JELA Kwa wizi au ugomvi ujue fala ..!..ndio maana ukiingia JELA uliowakuta wanakuuliza umekuja Kwa kesi aina Gani ..!

    • @hassanbakari4525
      @hassanbakari4525 Před 8 měsíci +2

      @@ismailmasoud6001 ASA UNABISHA NN,,UKIWA MTUKUTU MANAKE WE UMESHINDIKANA,,,SEHEMU ZAKO NI MBILI TU,,KIFO NA JELA,,,,VINGINEVYO WEWE NI RAIA MWEMA TU...HAPO HUELEW NN APO

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Před 8 měsíci +3

      @@hassanbakari4525 ...Kwani Kuna watukutu wangapi hawajaenda JELA na WEMA wangapi wameenda JELA..?..

  • @dicsonmollel5915
    @dicsonmollel5915 Před 2 měsíci

    Nabii Choco namuongezea stress akisikia hzo vocal

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 Před 7 měsíci +1

    Ashim dogo Kala Pina is the best hip hop bongo akuna tena atakuwa kama awa awa ndio wagumu kamili

  • @JimyMnyama
    @JimyMnyama Před 8 měsíci +3

    Kikosii Cha mzinga🔥🔥🔥

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 Před 8 měsíci +2

    Kalapina alikuwa shida sana

  • @MrishoMohamed-ey5zf
    @MrishoMohamed-ey5zf Před 6 měsíci

    Nakubali sana the classic

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti Před 6 měsíci

    Napenda Sana the classic

  • @cassanovarcousin7973
    @cassanovarcousin7973 Před 8 měsíci +1

    Nabiii koko📌

  • @RichardCossan-rk1ub
    @RichardCossan-rk1ub Před 8 měsíci +2

    Kalapina sikungi broh

  • @hassaningorombe3477
    @hassaningorombe3477 Před 8 měsíci +1

    💯💯

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 Před 7 měsíci +2

    Muongo wewe Arusha before 2005 walikuwa wanafanya live, Via Via. Hii habari ya kujifanya pioneers ndio inaleta ego.

  • @JimyMnyama
    @JimyMnyama Před 8 měsíci +5

    Walikuwaa wababe sana adii kutekanaa😁

    • @simas.a1003
      @simas.a1003 Před 8 měsíci

      Game ilikuwa real sana. Mabifu ya Hip hop kama mbele. Ila hichi kikosi cha mizinga nakikubaligi sana 🙌🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @JumaJuma-fu7ji
      @JumaJuma-fu7ji Před 8 měsíci

      Wasanii waZamani walikuwa wanaishi kimerekani sana mabifu live na yaukweli

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb Před 8 měsíci +2

    Kikosi cha mizinga block 41

  • @nicholouspaschal3586
    @nicholouspaschal3586 Před 7 měsíci

    Hip hop forever

  • @matolasalumu2625
    @matolasalumu2625 Před 8 měsíci +2

    Tuleetee yuni besti Kona walio imba tisheti na jinzi

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 Před 8 měsíci

    Noma Nabi coco

  • @edwinismail9401
    @edwinismail9401 Před 8 měsíci +2

    Hamna ndefu?

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji Před 8 měsíci +2

    Wasanii waZamani walikuwa wanaishi kimerekani sana mapifu mengi na yaukweli

    • @Joseph-lu4yj
      @Joseph-lu4yj Před 4 měsíci

      ila mkwara imezidi sana kuliko vitendo

  • @Abuukhatibu
    @Abuukhatibu Před 4 měsíci

    😂😂😂😂pina

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 Před 8 měsíci

    Sasa mnavaa ayo yanii intaviyu ainogi

  • @nasrikileo7291
    @nasrikileo7291 Před 8 měsíci +1

    Sijui wanasahau au nini, age sawa ila kila mtu akiongea issue zinapishana, brother kuvi can u please intervene on my coment for learning purpose

  • @EmanuelyMbagalla-rt2vm
    @EmanuelyMbagalla-rt2vm Před 8 měsíci

    Kwa nini hao watangazaji wamevaa barakoa?

  • @user-gy7mk8ur1f
    @user-gy7mk8ur1f Před 7 měsíci

    Kaka voda sio msanii ni msela wa maskanii

  • @MudaRamadhani
    @MudaRamadhani Před 8 měsíci

    Mnazingua mabarakoa ya nini sasa hapo mmezingua kuweni wastaarabu

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před 8 měsíci +1

    Vipi humor ndani Corona dizaini flani kama imewarudia au ndio ugumu?

  • @ejtjr2647
    @ejtjr2647 Před 8 dny

    Kalapina was STUPID na hujui Hiphop . Mwili mkubwa akili KISODA.

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji Před 8 měsíci

    Uyu jamaa alikuwa so mgomvi ila alikuwa mbabe wa kundi ukimchokoza ndo anakuzingua

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 Před 8 měsíci +1

    Hizi barokoa vipi tuambine..

    • @kibwamoko8767
      @kibwamoko8767 Před 8 měsíci +1

      Huyu Alishwahi kupata Corona, ila Mwenyezi Mungu aliweka Shani yake akapona.
      Kwahiyo bado anahisi kama bado ipo. Tahadhari kwake ni muhimu zaidi kwasababu ilishampata.

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 8 měsíci +3

      Sahihi intvw hiyo nlifanya wakati ndo nmeanza kupona hivyo bado nlikua navaa

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 8 měsíci +4

      Nlikua natoka kuumwa covid mkuu

    • @kibwamoko8767
      @kibwamoko8767 Před 8 měsíci +1

      @@KuviFacts Sawa nimekuelewa, ahsante kwa kuniweka sawa

    • @Papifreshh
      @Papifreshh Před 8 měsíci

      Nice

  • @user-rl8hn4ih1n
    @user-rl8hn4ih1n Před 8 měsíci +2

    Sema fupi uyu jamaa uchoki kucheki intaview yak Yani

    • @jumajuma6612
      @jumajuma6612 Před 8 měsíci +1

      Ndefu ipo nenda kwenye account ya E FM hii ya kitambo kuvichaka kairudia kwenye account yake

  • @aloyceiluminata3650
    @aloyceiluminata3650 Před 7 měsíci

    Kala pina amekua mtu mzima siku hizi ameacha ubabe wa kijinga.. bug up bro😂😂😂😂

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 Před 8 měsíci

    Ndio Leo nimeelewa kwanini kalapina wanamtaja saana wana hiphop,,,, alijulikana kwa ubabe na sio kwa mziki ua nafatili mziki wake lakini cjawahi kukutana na kibao Cha kutisha sana

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 Před 8 měsíci

    Kalale mkundu wewe,hip hop waachie wenye akili,huna rhymes hujui mziki,kelele nyingi maku wewe,kaimbe taarabu,

    • @frankkajoba8372
      @frankkajoba8372 Před 7 měsíci +1

      Duuu, ivi ww una akili kweli? Haya matusi ya chuki yanatoka mdomoni au?😢

    • @bobnasser862
      @bobnasser862 Před 7 měsíci

      Tulia mdogo wetu unaona unatatizo aupo sawa