THE CLASSIC MCHIZI MOX:MIKASI ULIKUA WANGU/MAJANI HAKUNIKUBALI/MJ ALIKUBAL/WATU KIBAO/TULIZAMIA SAUZ
Vložit
- čas přidán 9. 01. 2024
- Moja ya Rappers wa muda mrefu Mchizi Mox anasifika zaidi kwa sauti ya kipekee nchini alifika kwenye meza ya The Classic mwaka 2021 na kupiga stories kadhaa kuhusu yeye,Wateule na kadhalika,Je wajua kua wimbo wa mikasi ulikua wake na alimpatia rafiki yake Ngwea?tazama sehemu hii fupi ya mahojiano yetu.
Sema mchz ni mchz kweli. Ujambazi mwingi. Eti Tonny Akili Mbaya.
186 hatari xaana 🔥
Yaani mimi hawa ndio huwa nawasikilizaga sio hao wa sasa hivi
Hata mimi
Mziki kitambo bana hawa wa sasa ni balaa tu😊😊
Nawakubali sana hamna baya
Dah! Mwamba ise sio poa yaani burudani mwanzo mwisho.
Mchizi ana sauti inaitwa Gruff, ama Rough and Grimy😂...kama sikosei Busta ndo alirap haya maneno!! Jamaa mtu poa SANA.
Wenye roho safi
Mpka leo kuna jamaa yangu anaitwa mchiz mox
Wasanii wazamani walikua vizuri sana kwenye kila kitu, tunzi, interviews yani wanajua wanachozungumza
Wangekua hawa vijana wa saivi ungekuta ameshaongelea anatumia gari ghani, sijui saloon bei ghani.. yani interview nzima hamna kitu..
Hapo 2005 fiesta Arusha
Uzinduzi wa Album ya Ferooz ulitisha sana pale tripple A
Graveyard, Makumbusho. That's what am talking about bro
Mchizi mox ana vingi vya kusimulia sisi madogo wa zamani tunafaidi vingi sana
hizi nzuri sana tunapata kufahamu mengine hatukufaamu tukiwa shule enzi hizo sasa watu wazima, ina inspire hii..
Yani bonge la idea kuwaleta malegendary sehemu kama hizi
Bro tulete ROHO 7 kamuombe Jeshi akiwa likizo ufanye naye interview
Lkn
HARD MAD mtafute huyu jamaa muhimu sana mlete hapo mjengoni
Umenigusa
Salute kwako sauti ya zege .
Vipaji Halisi Vya Muziki 🙏
Mi niache nifanye vitu vyangu😂😂😂
Mchizi Mox × Darassa × Ben Poul na Mdada mmoja.
Wasanii wa zamani nilipenda kazi zao
Napenda classics za kuvifacts zinavyonipa feeling za zama zile
Mwanangu MCHIZ MOX
Legend🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Daaah fupi sana hii
Oiii✊🏽
Long life 🌄
Ni kipindiii bomba ila muda wake hautoshiii
OLD SCHOOL BOY
Bro jabir unajua sanaa kaka
Asante sana fam
Mtoto analaana😂😂
RIP Ngwair
Huyu sauti mpaka sura kama darasa mbona
Huyu jamaaa wa shat ya njano kaongea kihisia watoto wa makumbusho walikua wanakula bata
WALIKUA siyo WANAFIKI ,na KAZ walifanya kubwa san
Muulize Nay Ile style yake mbona kama ya Ibra upupu wa fagio la chuma
Upupu ile style yake ni kwere mzeya nay anafit lakn bado kwa yule mtoto
Haina part2?
Mlete Jose mtambo
Mtambo ameshafariki
@@Munyama675duh nilikuwa sijui wale fun with sense
Mmmh jamani siyo kweli@@Munyama675
@@othumanlorenzo260Yupo buana
After hii tuletee Bahati wa mikasi brother
Hayupo bongo huyo Raa! P...yuko USA 🇺🇸
@@francistadayo1569daa aisee kweli nakumbuka
Inaonekana kuna kipande mmekikata majani alikuwa kapewa zake hapo
Hakika Ali taikun hakopeshi
Kuva interview za kibaba zote zinaingia robo robo nn mbaya
Brother pole hizi interview tulifanya miaka 2 iliopita bahati mbaya Channel ilifutwa so hivi ndo vipande tumebaki navyo tu kaka
Pole sn , ila mnatisha mbaya @@KuviFacts
p
Big kwann unavaa unavaa mask wakati wote?
Kipindi hiko nlitoka kuumwa Covid mkuu
Nilijua ni Mimi tuu sipendi anavyovaa Mask kama dharau Kwa wenzie vile
Nilijua ni Mimi tuu sipendi anavyovaa Mask kama dharau Kwa wenzie vile
𝐨𝐥𝐝 𝐢𝐬 𝐠𝐨𝐥𝐝