THE CLASSIC MCHIZI MOX:MIKASI ULIKUA WANGU/MAJANI HAKUNIKUBALI/MJ ALIKUBAL/WATU KIBAO/TULIZAMIA SAUZ

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 01. 2024
  • Moja ya Rappers wa muda mrefu Mchizi Mox anasifika zaidi kwa sauti ya kipekee nchini alifika kwenye meza ya The Classic mwaka 2021 na kupiga stories kadhaa kuhusu yeye,Wateule na kadhalika,Je wajua kua wimbo wa mikasi ulikua wake na alimpatia rafiki yake Ngwea?tazama sehemu hii fupi ya mahojiano yetu.

Komentáře • 61

  • @GodlistenAlen
    @GodlistenAlen Před 2 měsíci +5

    Sema mchz ni mchz kweli. Ujambazi mwingi. Eti Tonny Akili Mbaya.

  • @blaynchich9765
    @blaynchich9765 Před 3 dny +1

    186 hatari xaana 🔥

  • @user-gf9pb5jz9j
    @user-gf9pb5jz9j Před 6 měsíci +13

    Yaani mimi hawa ndio huwa nawasikilizaga sio hao wa sasa hivi

  • @spartachize122
    @spartachize122 Před 18 dny

    Mziki kitambo bana hawa wa sasa ni balaa tu😊😊

  • @FaridiIbrahim-ix6hb
    @FaridiIbrahim-ix6hb Před měsícem

    Nawakubali sana hamna baya

  • @mrambathomas9529
    @mrambathomas9529 Před měsícem

    Dah! Mwamba ise sio poa yaani burudani mwanzo mwisho.

  • @TheMastertz
    @TheMastertz Před 28 dny

    Mchizi ana sauti inaitwa Gruff, ama Rough and Grimy😂...kama sikosei Busta ndo alirap haya maneno!! Jamaa mtu poa SANA.

  • @danieldavid4733
    @danieldavid4733 Před měsícem

    Wenye roho safi

  • @jameskilasa759
    @jameskilasa759 Před 6 měsíci +4

    Mpka leo kuna jamaa yangu anaitwa mchiz mox

  • @user-kb3mi2ws8h
    @user-kb3mi2ws8h Před 6 měsíci +8

    Wasanii wazamani walikua vizuri sana kwenye kila kitu, tunzi, interviews yani wanajua wanachozungumza

    • @bernardfrank5654
      @bernardfrank5654 Před 2 měsíci

      Wangekua hawa vijana wa saivi ungekuta ameshaongelea anatumia gari ghani, sijui saloon bei ghani.. yani interview nzima hamna kitu..

  • @pauljosephtarimo2279
    @pauljosephtarimo2279 Před 2 měsíci +1

    Hapo 2005 fiesta Arusha
    Uzinduzi wa Album ya Ferooz ulitisha sana pale tripple A

  • @sadiqadam7971
    @sadiqadam7971 Před 6 měsíci +6

    Graveyard, Makumbusho. That's what am talking about bro

  • @owenchimela4527
    @owenchimela4527 Před 4 měsíci +2

    Mchizi mox ana vingi vya kusimulia sisi madogo wa zamani tunafaidi vingi sana

  • @kyannickk2be
    @kyannickk2be Před 5 měsíci +2

    hizi nzuri sana tunapata kufahamu mengine hatukufaamu tukiwa shule enzi hizo sasa watu wazima, ina inspire hii..

  • @muddylikwena128
    @muddylikwena128 Před 21 dnem

    Yani bonge la idea kuwaleta malegendary sehemu kama hizi

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro9494 Před 6 měsíci +4

    Bro tulete ROHO 7 kamuombe Jeshi akiwa likizo ufanye naye interview
    Lkn
    HARD MAD mtafute huyu jamaa muhimu sana mlete hapo mjengoni

  • @qimlaw6723
    @qimlaw6723 Před 6 měsíci +3

    Salute kwako sauti ya zege .

  • @maufijose2294
    @maufijose2294 Před 4 měsíci +1

    Vipaji Halisi Vya Muziki 🙏

  • @jumamofu9573
    @jumamofu9573 Před 23 dny

    Mi niache nifanye vitu vyangu😂😂😂

  • @KingMuta
    @KingMuta Před 6 měsíci +1

    Mchizi Mox × Darassa × Ben Poul na Mdada mmoja.

  • @GoodluckLameck-nh9tq
    @GoodluckLameck-nh9tq Před 6 měsíci +1

    Wasanii wa zamani nilipenda kazi zao

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti Před 6 měsíci +1

    Napenda classics za kuvifacts zinavyonipa feeling za zama zile

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 Před 6 měsíci +1

    Mwanangu MCHIZ MOX

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Před 6 měsíci +1

    Legend🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @MOJAPROMO
    @MOJAPROMO Před 6 měsíci +1

    🔥🔥🔥

  • @jumakabota1231
    @jumakabota1231 Před 6 měsíci +1

    Daaah fupi sana hii

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Před 6 měsíci +2

    Oiii✊🏽

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Před 6 měsíci +1

    Long life 🌄

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya3020 Před 6 měsíci +1

    Ni kipindiii bomba ila muda wake hautoshiii

  • @stangebo177
    @stangebo177 Před 6 měsíci +1

    OLD SCHOOL BOY

  • @ramadhaniali1102
    @ramadhaniali1102 Před 3 měsíci

    Bro jabir unajua sanaa kaka

  • @mzadomwongozo3671
    @mzadomwongozo3671 Před 6 měsíci +1

    Mtoto analaana😂😂
    RIP Ngwair

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 Před 6 měsíci +1

    Huyu sauti mpaka sura kama darasa mbona

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 Před 5 měsíci

    Huyu jamaaa wa shat ya njano kaongea kihisia watoto wa makumbusho walikua wanakula bata

  • @meshackdauda4315
    @meshackdauda4315 Před 2 měsíci

    WALIKUA siyo WANAFIKI ,na KAZ walifanya kubwa san

  • @albertbunyinyiga7581
    @albertbunyinyiga7581 Před 6 měsíci +2

    Muulize Nay Ile style yake mbona kama ya Ibra upupu wa fagio la chuma

    • @hassanmaliki2260
      @hassanmaliki2260 Před 3 měsíci +1

      Upupu ile style yake ni kwere mzeya nay anafit lakn bado kwa yule mtoto

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 Před 3 měsíci

    Haina part2?

  • @mackjr5291
    @mackjr5291 Před 6 měsíci +2

    Mlete Jose mtambo

  • @BwaxyWaMichano
    @BwaxyWaMichano Před 6 měsíci +3

    After hii tuletee Bahati wa mikasi brother

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 Před 6 měsíci +1

    Inaonekana kuna kipande mmekikata majani alikuwa kapewa zake hapo

  • @user-ef7ef4bv8t
    @user-ef7ef4bv8t Před 6 měsíci +2

    Kuva interview za kibaba zote zinaingia robo robo nn mbaya

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 6 měsíci +5

      Brother pole hizi interview tulifanya miaka 2 iliopita bahati mbaya Channel ilifutwa so hivi ndo vipande tumebaki navyo tu kaka

    • @kulishaandry5730
      @kulishaandry5730 Před 6 měsíci

      Pole sn , ila mnatisha mbaya ​@@KuviFacts

  • @KINGDOWN-rx8sy
    @KINGDOWN-rx8sy Před 5 měsíci

    p

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ Před 6 měsíci

    Big kwann unavaa unavaa mask wakati wote?

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 6 měsíci +4

      Kipindi hiko nlitoka kuumwa Covid mkuu

    • @bongomastory791
      @bongomastory791 Před 6 měsíci

      Nilijua ni Mimi tuu sipendi anavyovaa Mask kama dharau Kwa wenzie vile

    • @bongomastory791
      @bongomastory791 Před 6 měsíci

      Nilijua ni Mimi tuu sipendi anavyovaa Mask kama dharau Kwa wenzie vile

  • @prosperndelwa4560
    @prosperndelwa4560 Před 5 měsíci

    𝐨𝐥𝐝 𝐢𝐬 𝐠𝐨𝐥𝐝