THE CLASSIC MH TEMBA: NLITOSWA JESHINI/NILIZAMIA KENYA NIKADAKWA/KUUZA SHATI/MIAKA 27 NDANI YA GAME

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 01. 2024
  • Toka Kiumeni TMK jina la Mh Temba linasimama na heshima kubwa katika tasnia ya Rap na Bongofleva,Mcheza kikapu aliekua na ndoto za kua mwanajeshi lakini zikayeyuka na kuibukia kwenye muziki,hii ni sehemu ya hadithi ya maisha yake.

Komentáře • 17

  • @madiesyd
    @madiesyd Před měsícem

    Majaniiii....Temba hapa!

  • @shabanshaban1259
    @shabanshaban1259 Před měsícem

    napenda sana Interviews zenu ila upande wa Sound mnatakiwa kuboresha kdg nashauri watu wa Sound wajaribu kusikiliza vipindi vingne ili kuja kuboresha kipindi chetu,
    Ahsante

  • @Anuaryomary-su9cd
    @Anuaryomary-su9cd Před 6 měsíci +1

    Muulize Temba alishawahi kuishi Zanzibar

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 Před 6 měsíci

    Temba moja ya msanii wangu bora anaendana na kila wakati

  • @kachboy254
    @kachboy254 Před 11 dny

    Toothpick kwa miaka zote❤😂😂😂

  • @tajirilmole3092
    @tajirilmole3092 Před 5 měsíci

    Temba mwamba mwanaume mbado tuko nyuma ako

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Před 6 měsíci

    Mbona fupi hii interview...much love from 🇧🇭

  • @brianbrayoo1590
    @brianbrayoo1590 Před 6 měsíci

    Daah, i remember KISOKI..great boller #jiteute 4life

  • @bukuruyassini
    @bukuruyassini Před 6 měsíci

    Inaish na story nzuri

  • @ikabako2454
    @ikabako2454 Před 6 měsíci

    Temba anajua sana !

  • @khalidgugu4964
    @khalidgugu4964 Před 6 měsíci

    Vingunguti, ukumbi ulikuwa unaitwa "Mazuri Hall"

  • @wakikuba7
    @wakikuba7 Před 6 měsíci

    Tunamta matonya

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi3665 Před 6 měsíci +2

    Dah Temba, Hizo ngoma mikono yangu pia backyand, Rest in peace my bro Complex, Nimefurahi sana Temba umenikurupua huku Big up Temba, Mungu akupe Uwezo ndugu yangu Temba kitu nafurahi ni kwamba huwa husahau yaliyopita, Mungu akuongoze ndugu yangu.

  • @MohamedTuga-dn9su
    @MohamedTuga-dn9su Před 6 měsíci

    Interview mbona fupi hii

  • @husseinthakeem4758
    @husseinthakeem4758 Před 6 měsíci

    Et

  • @user-bq2zn1wy1q
    @user-bq2zn1wy1q Před 6 měsíci

    Hiyo issue ya mpakani wewe na jamaa mmoja tall anaitwa Kuber nakamura ulisumulia tukiwa Jiteute .Ulisema Kuber alivaa kijanja mkaonekana nyie siyo wanakijiji.

  • @niggahoodthemc9156
    @niggahoodthemc9156 Před 6 měsíci

    ✊🏿👮🏿‍♂️