THE CLASSIC MH TEMBA: NLITOSWA JESHINI/NILIZAMIA KENYA NIKADAKWA/KUUZA SHATI/MIAKA 27 NDANI YA GAME
Vložit
- čas přidán 22. 01. 2024
- Toka Kiumeni TMK jina la Mh Temba linasimama na heshima kubwa katika tasnia ya Rap na Bongofleva,Mcheza kikapu aliekua na ndoto za kua mwanajeshi lakini zikayeyuka na kuibukia kwenye muziki,hii ni sehemu ya hadithi ya maisha yake.
Majaniiii....Temba hapa!
napenda sana Interviews zenu ila upande wa Sound mnatakiwa kuboresha kdg nashauri watu wa Sound wajaribu kusikiliza vipindi vingne ili kuja kuboresha kipindi chetu,
Ahsante
Muulize Temba alishawahi kuishi Zanzibar
Temba moja ya msanii wangu bora anaendana na kila wakati
Toothpick kwa miaka zote❤😂😂😂
Temba mwamba mwanaume mbado tuko nyuma ako
Mbona fupi hii interview...much love from 🇧🇭
Daah, i remember KISOKI..great boller #jiteute 4life
Inaish na story nzuri
Temba anajua sana !
Vingunguti, ukumbi ulikuwa unaitwa "Mazuri Hall"
Tunamta matonya
Dah Temba, Hizo ngoma mikono yangu pia backyand, Rest in peace my bro Complex, Nimefurahi sana Temba umenikurupua huku Big up Temba, Mungu akupe Uwezo ndugu yangu Temba kitu nafurahi ni kwamba huwa husahau yaliyopita, Mungu akuongoze ndugu yangu.
Interview mbona fupi hii
Et
Hiyo issue ya mpakani wewe na jamaa mmoja tall anaitwa Kuber nakamura ulisumulia tukiwa Jiteute .Ulisema Kuber alivaa kijanja mkaonekana nyie siyo wanakijiji.
✊🏿👮🏿♂️