THE CLASSIC TID:NILIACHA KURAP NI UJINGA/MADEM FAKE/ NILITANGAZA TANZANIA DUNIAN BILA MSAADA/ SIJALI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 12. 2023
  • Top In Dar ama TID amefika kwenye The Classic katika episode hii ambae walau alipata nafasi ya kuelezea safari yake kwa ufupi na kuzungumzia nyakati za awali kabisa mpaka sasa alipofika na ameweza kubainisha mambo mengi ambayo pengine hukuwahi kuyafahamu usisahau ku subscribe ukimaliza kutazama for more

Komentáře • 53

  • @harakati1
    @harakati1 Před 6 měsíci +5

    “Siku kama hizi” one of the best song

  • @salaita2829
    @salaita2829 Před 5 měsíci +2

    Jabir saleh bonge moja la interviewer

  • @user-cn2ol4gk4b
    @user-cn2ol4gk4b Před 7 dny

    eti wale wangu 🎉 wanaoniita TID ni wale wanaotoka mikoani .......kuma sana huyu janki

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti Před 5 měsíci +1

    🇰🇪Nimetokea kumpenda sana TID baada ya hii interview. Huwaga nafikiri hayuko sober akiongea kumbe ni mcheshi tu in general. Good talent of all time

  • @hameesnassoro7158
    @hameesnassoro7158 Před 6 měsíci +3

    Sema bro Jabir Saleh mjanja sn wkt unafanya interview kuna kitu nimenote ukiona msanii anaenda OP unachukua kipaza unasherehesha kidogo kwny point yko ile ile ulokusudia then unampa swal lingine unamuhamisha na mada yke y OP pind linaendelea 😂😂😂 Bip up sn bro

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 Před 6 měsíci +1

    Nipe nafasi Tid na fid q ndo ngoma kali zaidi ya Tid

  • @barnabasmafuru6735
    @barnabasmafuru6735 Před 6 měsíci +1

    The industry doesn't pay enough respect to this legend but once he sleeps into 6" down a lot will pay shits 😢

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 Před 6 měsíci +2

    Asha ni ngoma kubwa sana kuliko zeze

    • @arsenalic23
      @arsenalic23 Před 6 měsíci

      Sio kweli jomba. Zeze ngoma kubwa sana ikifuatiwa na Siamini halafu ndo Asha na Girlfriend

  • @justinmashala6944
    @justinmashala6944 Před 6 měsíci +1

    Sauti ya Dhahabu, one of the best album

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před 6 měsíci +1

    Dakika ya 4..KATA SIM KALALE 😂😂,,,tidi kichaa😅😅

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Před 5 měsíci

    Consistent, Maji mengi Mtoto mdogo Legend🔥🔥🔥🔥

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 Před 6 měsíci

    Im proud of you top in dar. Umeuweka mziki wetu kweny ramani

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Před 6 měsíci +1

    Huyu jamaa interview zake haziboeshi😂 TID Yuko vzury

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro9494 Před 6 měsíci

    Siamini ni 🔥🔥🔥 mpaka kesho kutwa

  • @destroyerban7364
    @destroyerban7364 Před 6 měsíci +1

    Zeze hat club inafaa kwa matumiz yetu

  • @sajo_lkm2781
    @sajo_lkm2781 Před 6 měsíci +3

    TID ni rnb gangster 😅

  • @user-cg3cm4qv4q
    @user-cg3cm4qv4q Před 6 měsíci

    Ww msenge! unanichekesha sana

  • @imogimasta9077
    @imogimasta9077 Před 6 měsíci

    nakifwatilia sana hiki kipindi big up

  • @youngdula5409
    @youngdula5409 Před 5 měsíci

    Huyu Jamaa Anangoma nyingi sana Kali lakni sidhani kama Kuna ngoma Kali zaidi kama nyota Yako / Asha noma sana

  • @William_ngela
    @William_ngela Před 6 měsíci

    Nakubali pindi

  • @sultansuleman1690
    @sultansuleman1690 Před 6 měsíci

    Kaimba vzuri hiyo nyimbo ya fally was good

  • @ConventionalViews
    @ConventionalViews Před 6 měsíci

    Smart and funny dude

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 Před 6 měsíci +8

    Kwangu Mimi zeze sio mkubwa ila wimbo mkubwa ni ASHA❤❤ TID mpaka anakufa hatokuja kuimba wimbo mkali kama ASHA

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 Před 6 měsíci

      Nimkubwa Sana ilahapo mpak kufa hapana

    • @georgeburchard4872
      @georgeburchard4872 Před 6 měsíci +1

      Wewe tu sikio lako Ila ukweli zeze ndio wimbo mkubwa wa TID

    • @aminmohammed4249
      @aminmohammed4249 Před 6 měsíci +1

      Hiyo Asha akati inatoka itakua ulitongozwa nayo😂 au ulitumiwa dedication

    • @raphaelkaswahili323
      @raphaelkaswahili323 Před 6 měsíci

      @@aminmohammed4249 Sasa hizi ni zarau Mie mwanaume nitongozwe nitake radhi:::. Na istosha ASHA imetoka nilikua shule ya msingi nyumbani nilikua na redio so kwa habari ya burudani na mziki walikua wananiuliza Mimi 😂🤣😂🤣 ASHA for me is one of the best song, and I can say is greatest all the time ASHA mpigie makofi 2 Bwana TID

    • @raphaelkaswahili323
      @raphaelkaswahili323 Před 6 měsíci +1

      @@joshuamuro9494 Sasa bro unataka kunambia huyu jamaa atakuja atoe nyimbo Kali kuliko alizoimba kipindi hicho? Kwa Sasa hawezi kuumiza kichwa kuandika wimbo mkali na badala ya atatoa nyimbo is just for fun

  • @christianluvanga8148
    @christianluvanga8148 Před 4 měsíci

    Zeze,,tulivaa mpaka ma jeans mamaeee

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 Před 6 měsíci +3

    Kumbe ndio maana hili lijinga lilikua linapiga mziki mkubwa 😂😂😂 kumbe ni zao la hip hop mamaeeee

    • @sidiqmhina7823
      @sidiqmhina7823 Před 6 měsíci

      MNALIJINGA LINALOPIGA MZIKI MKUBWA NI MA LEGEND TU.

    • @salaita2829
      @salaita2829 Před 5 měsíci

      Zamani was all bout hip hop

    • @hiphopoldschoolkalama1405
      @hiphopoldschoolkalama1405 Před 3 měsíci

      Black gangstars. Hafu wasanii wa zamani walikua wasomi. Ziku izi kina modi hawamo kabisa.

  • @kibakivideos
    @kibakivideos Před 6 měsíci

    Ni Yeye mnyama ……….ni noma

  • @joelntile9078
    @joelntile9078 Před 5 měsíci

    TID Kituko sana 🤣

  • @khanafrica22
    @khanafrica22 Před 6 měsíci

    #watoto_wadogo_hawaelewiiii__😂😂 #vunjuvenga

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 6 měsíci

    👊👍✌️。

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina7823 Před 6 měsíci

    kIGOGO warioba ni YEYE.

  • @emmanuelchristopher6791
    @emmanuelchristopher6791 Před 6 měsíci

    Ngoma kali mimi ni nyota ndo kali sana

  • @user-ry6qo5lf3r
    @user-ry6qo5lf3r Před 6 měsíci

    Anaongea mnyama 😂😂

  • @joshuamuro9494
    @joshuamuro9494 Před 6 měsíci

    😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @emmanuelfungo2236
    @emmanuelfungo2236 Před 4 měsíci

    😂

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Před 6 měsíci

    😂😂😂😂