Video není dostupné.
Omlouváme se.

THE CLASSIC AY PT 2 :KISA CHA MACHONI KAMA WATU/NILIWAKILKISHA HII LEO /TUNZO BONGO ZINA MAKOSA HAYA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 01. 2024
  • Sehemu ya pili ya maongezi yetu na AY kupitia The Classic ambako umu anaongelea mengi kuhusu baadhi ya nyimbo zake classic kama Machoni kama watu na,Hii leo na nyenginezo

Komentáře • 24

  • @RamadhanJuma-k7h
    @RamadhanJuma-k7h Před měsícem +1

    Nakubal a.y were na fid q na watakia maixha marefu

  • @malickkasuga4805
    @malickkasuga4805 Před 6 měsíci +8

    Hizi interviews za wakongwe ni darasa kubwa sanaaa nawafatilia sana

  • @hameesnassoro7158
    @hameesnassoro7158 Před 6 měsíci +8

    Sema Bro.Jabir Bin Saleh nimefuatilia interviews zako nyingi sn sn kwa namna unavyo muhoji muhusika na kila muhusika ana namna yke ya kufanyiwa interview lkn kwny hii interview na AY au Masta nimegundua kuwa ili umchimbe Masta zaid lazime uwe ndani ya hyo story ili ukiielezea hata km haijakamilika au ina mapungufu basi AY anakupa muendelezo full 😂😂😂 Bro You are so slick 🙌🙌🙌 hiki kipind km kingekuwa STATE bro dah ungekuwa na mipesa mingi sn bro

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 6 měsíci +2

      Shukran sana kaka,Yes wageni hutofautiana kwa hiyo inabidi na wewe ubadilike kulingana na mazingira,Asante kwa kutazama kaka

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před 6 měsíci +3

    Wasanii sahv hata huyo namba 1 wenu hajui kufanya interview
    Salute sana kwa wasanii wa zamani

  • @robartifabiani
    @robartifabiani Před 6 měsíci +6

    Demu wakibongo muulize kama anaboy// atajibu Sina aliekua nae ayupo kaenda mtoni hii //kitu fashion au mchanga machoni au professional fix aka boshen//ay uliua sana hapa.

  • @geofreybarama4000
    @geofreybarama4000 Před 6 měsíci +4

    Msanii wangu bora wa kipindi chote uyu jamaa ni azina kubwa sana kwenye tasnia ya music na Taifa..

  • @abdulmasoud1921
    @abdulmasoud1921 Před 6 měsíci

    Napenda Sana life staili ya king AY . AF na FID Q jamaa nawafwatilia mnoooo

  • @charlesdaniel6212
    @charlesdaniel6212 Před 6 měsíci

    Kifupi hawa jamaa ni kama Klopp na Pep yaan kuna mmoja apo akiingia tu mfumo wa mwenzake bas atachezea tu so Pep ni nani au Klopp ni nani mtajua ninyi😅🔥

  • @mtambogeof5648
    @mtambogeof5648 Před 6 měsíci +1

    Em atokee mwananzengo, afafanue hii code ya mheshimiwa kwenye wimbo wa binadam ,maana naona kama kuna kitu hapo😂😂😂

  • @namelessnameless4868
    @namelessnameless4868 Před 6 měsíci +3

    The way mnavyozungumza nyimbo ya Hii leo ni as if Gk did nothing kwenye hiyo nyimbo which is not fair at all 😢

  • @fadhilifantastic5032
    @fadhilifantastic5032 Před 6 měsíci +4

    Ay kasema nonono mara 214 mpaka kipindi kinaisha! 😅😅

  • @gilbertfuria5817
    @gilbertfuria5817 Před 6 měsíci +1

    Kwenye Hii Leo GK ndo aliua ,

  • @whitestarstudio3939
    @whitestarstudio3939 Před 6 měsíci +1

    MASTER

  • @manrectorz
    @manrectorz Před 6 měsíci

    Ukiongea ukweli katika ngoma ya HII LEO, GK aliua sana ndio maana vijana wengi tulikuwa tumemeza verse yake

  • @Mc_Gwajee
    @Mc_Gwajee Před 6 měsíci

    Kubwaaaaa

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi1550 Před 6 měsíci

    🔥

  • @user-qk8cf2xi4f
    @user-qk8cf2xi4f Před 6 měsíci

    Camera 📸 video zinazingua samtimes inatoa ukungu samtimes good.seting ya camera video ziwe vizuri vipindi vinavyoendelea

  • @babag7138
    @babag7138 Před 6 měsíci

    Dah Hisia Zangu nimenunua buku na mia mbilii hatarii sana

  • @christopherjames3684
    @christopherjames3684 Před 6 měsíci

    GK wap

  • @hameesnassoro7158
    @hameesnassoro7158 Před 6 měsíci +1

    Sema Bro.Jabir Bin Saleh nimefuatilia interviews zako nyingi sn sn kwa namna unavyo muhoji muhusika na kila muhusika ana namna yke ya kufanyiwa interview lkn kwny hii interview na AY au Masta nimegundua kuwa ili umchimbe Masta zaid lazime uwe ndani ya hyo story ili ukiielezea hata km haijakamilika au ina mapungufu basi AY anakupa muendelezo full 😂😂😂 Bro You are so slick 🙌🙌🙌 hiki kipind km kingekuwa STATE bro dah ungekuwa na mipesa mingi sn bro

  • @dikamboy9513
    @dikamboy9513 Před 6 měsíci

    🔥