Video není dostupné.
Omlouváme se.
THE CLASSIC AY PT 2 :KISA CHA MACHONI KAMA WATU/NILIWAKILKISHA HII LEO /TUNZO BONGO ZINA MAKOSA HAYA
Vložit
- čas přidán 26. 01. 2024
- Sehemu ya pili ya maongezi yetu na AY kupitia The Classic ambako umu anaongelea mengi kuhusu baadhi ya nyimbo zake classic kama Machoni kama watu na,Hii leo na nyenginezo
Nakubal a.y were na fid q na watakia maixha marefu
Hizi interviews za wakongwe ni darasa kubwa sanaaa nawafatilia sana
Sema Bro.Jabir Bin Saleh nimefuatilia interviews zako nyingi sn sn kwa namna unavyo muhoji muhusika na kila muhusika ana namna yke ya kufanyiwa interview lkn kwny hii interview na AY au Masta nimegundua kuwa ili umchimbe Masta zaid lazime uwe ndani ya hyo story ili ukiielezea hata km haijakamilika au ina mapungufu basi AY anakupa muendelezo full 😂😂😂 Bro You are so slick 🙌🙌🙌 hiki kipind km kingekuwa STATE bro dah ungekuwa na mipesa mingi sn bro
Shukran sana kaka,Yes wageni hutofautiana kwa hiyo inabidi na wewe ubadilike kulingana na mazingira,Asante kwa kutazama kaka
Wasanii sahv hata huyo namba 1 wenu hajui kufanya interview
Salute sana kwa wasanii wa zamani
Demu wakibongo muulize kama anaboy// atajibu Sina aliekua nae ayupo kaenda mtoni hii //kitu fashion au mchanga machoni au professional fix aka boshen//ay uliua sana hapa.
Au ni Babu Kubwa
Msanii wangu bora wa kipindi chote uyu jamaa ni azina kubwa sana kwenye tasnia ya music na Taifa..
Sure huyu mwamba hazina
Napenda Sana life staili ya king AY . AF na FID Q jamaa nawafwatilia mnoooo
Kifupi hawa jamaa ni kama Klopp na Pep yaan kuna mmoja apo akiingia tu mfumo wa mwenzake bas atachezea tu so Pep ni nani au Klopp ni nani mtajua ninyi😅🔥
Em atokee mwananzengo, afafanue hii code ya mheshimiwa kwenye wimbo wa binadam ,maana naona kama kuna kitu hapo😂😂😂
The way mnavyozungumza nyimbo ya Hii leo ni as if Gk did nothing kwenye hiyo nyimbo which is not fair at all 😢
Ay kasema nonono mara 214 mpaka kipindi kinaisha! 😅😅
Kwenye Hii Leo GK ndo aliua ,
MASTER
Ukiongea ukweli katika ngoma ya HII LEO, GK aliua sana ndio maana vijana wengi tulikuwa tumemeza verse yake
Kubwaaaaa
🔥
Camera 📸 video zinazingua samtimes inatoa ukungu samtimes good.seting ya camera video ziwe vizuri vipindi vinavyoendelea
Dah Hisia Zangu nimenunua buku na mia mbilii hatarii sana
GK wap
Sema Bro.Jabir Bin Saleh nimefuatilia interviews zako nyingi sn sn kwa namna unavyo muhoji muhusika na kila muhusika ana namna yke ya kufanyiwa interview lkn kwny hii interview na AY au Masta nimegundua kuwa ili umchimbe Masta zaid lazime uwe ndani ya hyo story ili ukiielezea hata km haijakamilika au ina mapungufu basi AY anakupa muendelezo full 😂😂😂 Bro You are so slick 🙌🙌🙌 hiki kipind km kingekuwa STATE bro dah ungekuwa na mipesa mingi sn bro
🔥