THE CLASSIC DAZ NUNDAZ 2: KAMANDA WIMBO BORA MUDA WOTE BONGOFLEV/ALAMNUSRA WATU WAFE/KISA CHA NIPE5

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 06. 2024
  • Sehemu ya pili ya maongezi na moja ya makundi bora ya muda wote Bongofleva Daz Nundaz wakiendelea kutupa hadithi kali za maisha na muziki wao

Komentáře • 29

  • @user-ej4hv3uw4v
    @user-ej4hv3uw4v Před 12 dny +9

    Kiukweri kamanda ndo wimbo Bora wa mda wote anaebisha na abishe, Ayubu juma from kibaha🎉🎉🎉🎉🎉

  • @claraellias6654
    @claraellias6654 Před 12 dny +5

    Tatu bora yangu
    Mtazamo 3
    Kamanda 2
    Chemsha bongo 1

  • @SaleheAdamu-vv1fq
    @SaleheAdamu-vv1fq Před 5 dny

    Daah mabrother wanamastory nimefurahi sana kuwasikia aisee.

  • @barnabaschars1637
    @barnabaschars1637 Před 12 dny +5

    Feruz nilisikia tangu shule alkuwa mkali sn wa mashairi,he is very talented lkn game ya Bongo haiko fair

  • @user-rm5bj2uj5g
    @user-rm5bj2uj5g Před 11 dny +2

    Rashid kaombwe aka la rumba bab kubwa sana

  • @gadyjohn3815
    @gadyjohn3815 Před 11 dny +2

    Nipe tano verse ya mwisho kuna mnyamwezi kachana sana, ndio verse yangu pendwa, niko simple kama x busy kama tax, lakini nashangaa hajaongelewa.

  • @wilbertjosephat1615
    @wilbertjosephat1615 Před 12 dny +3

    Feruz mnyama sana hata kujieleza yupo vizuri

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 Před 2 dny

    Kipind bora cha weekend

  • @abuubaqr5808
    @abuubaqr5808 Před 17 hodinami

    Mererani ni kweli kabisaaaa 😂😂😂

  • @salumjumah5648
    @salumjumah5648 Před 12 dny +2

    Kweli kabisa

  • @businesstanzania
    @businesstanzania Před 12 dny +1

    lalumba ana kerere sana

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937 Před 13 dny +2

    Big up to Jabir uko vizuri

    • @Nyanda506
      @Nyanda506 Před 12 dny +1

      Wasanii wa zamani walikuwa wanawaza sana kwenye kutunga ..Nyimbo zao huwa haziishi radha na mafundisho kama kamanda Duh

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 11 dny +1

      Salute sana

  • @richpaullzproductions

    Namba 5 my best song everlasting hit

  • @valencenkulanga9118
    @valencenkulanga9118 Před 12 dny

    Nakubaliana nao Kamanda ilikuwa na mchango kwenye mabadiliko ya mitizamo juu ya muziki wa bongo flavour.
    Mkasa wa boss reminds me my late mother,kaisikia usiku,asubuhi ananiambia vijana wanajua kuna mtu kalalamika kweli.Nikajisemea kweli bongo inakubalika sasa

  • @mohamedrashid6578
    @mohamedrashid6578 Před 11 dny +1

    Ivi umeisahauje jahazi la daz ?

  • @shabanihussein6329
    @shabanihussein6329 Před 12 dny +1

    Ndio

  • @yusufsuwi5350
    @yusufsuwi5350 Před 13 dny +1

    Ila feruz ana saut tamu sn daa

  • @user-vq3vj4ih6x
    @user-vq3vj4ih6x Před 12 dny

    Ni kweli

  • @maneno-my4lu4dt8i
    @maneno-my4lu4dt8i Před 12 dny +1

    Tano bora yangu
    1.chemsha bongo
    2.Kamanda
    3.Starehe
    4.Zali la mentali
    5.Barua

  • @dastopadady2402
    @dastopadady2402 Před 7 dny

    Feluz ndie bdo ana kit2

  • @gadyjohn3815
    @gadyjohn3815 Před 11 dny

    Nipe tano verse ya mwisho kuna mnyamwezi kachana sana, ndio verse yangu pendwa, niko simple kama x busy kama tax, lakini nashangaa hajaongelewa.