A-Z Afunguka Binti Anayedaiwa Kulawitiwa na Aliyekuwa RC Simiyu, LHRC Yaingilia Kati

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • #ijuesheria
    Video kwa hisani ya Haki TV

Komentáře • 1,1K

  • @user-jg2dy4kb6j
    @user-jg2dy4kb6j Před 3 dny +16

    huyo Binti anachangamoto ya akili apimwe Kwa maelezo yake

  • @jackiefredrick586
    @jackiefredrick586 Před 4 dny +30

    Kufanyiwa kwa mara ya kwanza kwenye gari sio kweli. Ulishindwa kumng'ata na kumparua. Yaan utoe tako kabisa bila mapambano. Mi angeniua kabla ya kunila tako. Tena kwenye gari. Mdogo wangu kuwa mkweli acha kutuzungusha.

    • @barakaalecnathaniel3716
      @barakaalecnathaniel3716 Před 3 dny +3

      Kazoefu haka

    • @paschalmartin9598
      @paschalmartin9598 Před 2 dny +1

      Hivi vitoto jamani mtu ana miaka 21 anakuwa na uhusiano na mtu sawa na baba yake

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 2 dny

      Alimpa sasa hilo dudu la yuyu lilichana nguo itakuwa alivaa chupi na nguo zake nyingine labda aliwekea dawa ya usingizi kwenye drink ndio akatiwa

    • @williammbwambo79
      @williammbwambo79 Před 2 dny +1

      Amepangwa

    • @isakhamisi8923
      @isakhamisi8923 Před 2 dny

      Haya ndiyo yanayoendelea kwa watoto wetu wanapokuwa vyuoni .​@@williammbwambo79

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 4 dny +54

    Pamoja na kumpongeza Mhe. Rais na Jeshi la polisi. Baadhi ya mabinti wa vyuo vikuu wana tabia ngumu ngumu sana. Wanapenda wanaume wenye pesa bila kujali ni baba zao.

    • @angelistertarimo8215
      @angelistertarimo8215 Před 3 dny

      Hakika

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Před 2 dny +2

      Haswa Sasa kumbe huyu Binti alikuwa ni mtu wake Sasa amembaka vipi jamani huyu si Malaya tayari jamani , na yeye mwenyewe amesibitisha kuwa alikuwa mwanaume wake

    • @muhsiniissa8151
      @muhsiniissa8151 Před 2 dny +5

      Uyu katumwa amchafue jamaa,,kwanini aingie nae kwenye mahusiano ilihali anajijua yeye Ni mwanafunzi?,uyu mwanafunzi Chenga 2

    • @ashangohi450
      @ashangohi450 Před 2 dny +5

      Tatizo wanaacha kilicho wapeleka wanafata tamaaa.hv angepewa ma v8 kabla ya hiyo kitu angeongea

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 2 dny +4

      Tatizo munatamaa ya pesa wewe ni mwanafunzi ilikuwaje ukawacha masomo ukafata dudu la yuyu la mtu mzima wa kumwita baba sasa hivi unamchafua na alikuwa mpenzi wako wacheni tamaa

  • @muhsiniissa8151
    @muhsiniissa8151 Před 2 dny +18

    Hana cha maana anachokieleza ni upuuz mtupu2,njaa mbaya sana,kumbe mtu alikua mtu wako na unasema alikua na tabia iyo kwanini usingemkataa moja kwa moja,,unaenda kupokea apology kwani mmeo huyo??,mjinga sana.acheni umalaya kaeni darasani msome

    • @isakaonehealthdigitallabor8630
      @isakaonehealthdigitallabor8630 Před 2 dny

      Huyu demu malaya mbaya zaidi alivyo mjinga baada ya kufilwa kwa maelezo yake alitoka rock city eneo alipokua amepaki Gali jamaa na kumfila Kisha kwenda nyumbani nyezi hostels kwake suala la kwenda police alienda kesho yake baada ya mama yake kumshauli aende police so nijinsi Gani ukiweka doti unaona kabisa demu alinogewa kifilo kwanini asingeenda Rock City Bank hapo mbele kuna askali muda ota wange mkamata jamaa hapo hapo usiku huo huo but isitoshe baada ya yote jamaa alituma watu 3 wakamuita hotel akaenda tena s msenge huyu demu alafu vingereza feki vingi mjinga mkubwa huyu mapumbu ya shangazi yake.....na akome kumuomba Rais wetu akusaidie muache Rais wetu atutaftie maendeo watakatifu wewe kaendelee kuuza mkundu mbwa huyu....eti nilipewa barua nikaikopi na kuweka Dole gumba PUMBAVU ZAKE

    • @MariamLigoha
      @MariamLigoha Před 20 hodinami +1

      Upo wapi Kwani, kunywa soda kabisa nakuja kulipa, mitoto ya siku hizi hovyo sana

    • @rogerabdallah439
      @rogerabdallah439 Před 18 hodinami +1

      Jinsi ninavyonikera kama ningekuwa jilani ningedili nae

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g Před 3 dny +36

    Huyu nae anatakiwa akamatwe na mke wa mkuu wa mkoa kwa kuzini na mume wake. Shenziiiii

    • @ayoubmtumishi50
      @ayoubmtumishi50 Před 2 dny

      Amelazimishwa huyu

    • @livingstonekabantega
      @livingstonekabantega Před 2 dny +2

      ​@@ayoubmtumishi50kivipi kwani alifatwa chuoni kufanyiwa hivyo Binti mwenyew SI ndo alienda Kwa Rc na mahusiano kwanin aliyakubal na yey ni mwanafunzi

    • @Namtumbo
      @Namtumbo Před 2 dny +1

      ​@@ayoubmtumishi50alienda kufanya nne fundisho kwa mabinti

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před dnem

      RC mbakaji

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz Před dnem

      RC c mbakaji huyo alisha liwa nyuma na w kwnza mku w mkoa n pili huyo n mzoefu,jambo gan we n x y pil,nyuma huyo alokula nyuma w kwanza, mbona humtaji we hii n dunia

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw Před 3 dny +9

    Hayo ni mapenzi yenu kwa nn uje kuyatangaza huku kwenye mitandao na kama ungekua hujakubali ungevunja hata kioo cha gari yaonekana ulikubali sema hajakufanya yale mliokubaliana ndio maana umekuja kumuanika huku

  • @YusufuMalila-b1d
    @YusufuMalila-b1d Před 2 dny +16

    Binti Mungu anakuona acha kuharibu maisha ya watu kwa kutumikia watu

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv Před 3 dny +15

    Tubuni kwa Maana ufalme wa Mungu umekaribia ,YESU Anarudi

  • @raymond5175
    @raymond5175 Před 4 dny +9

    Ni mpenzi wake, ameingia mwenyewe kwenye gari tayari ni mapenzi ya hiari hayo mengine ni kuharibiana maisha

  • @MercySalmon
    @MercySalmon Před dnem +4

    Binti wa hovyo umeperekwa kusoma ww unafanya yoko

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris Před 2 dny +5

    Kidada chenyewe kibayaaa

  • @ommarallyhamad7435
    @ommarallyhamad7435 Před 4 dny +18

    KESI IPELEKWE MAHKAMANI UKWELI UJULIKANE HAKI IPATIKANE

  • @tosh7671
    @tosh7671 Před 4 dny +15

    Hivi hii sio comedy kweli mbona maelezo haya eleweki. Upuuzu tu huu

    • @user-zq7jb2ij4u
      @user-zq7jb2ij4u Před 2 dny

      Umeona eee mm pmj ni mzazi na nina mtt wa kike kafungua saa ngapi mlango wa gari na pia police uende asubuhi jmn jmn hz kesi za mafunzo !!!

    • @SamwelSimon-tf6oo
      @SamwelSimon-tf6oo Před 5 hodinami

      Anaeleweka hujaelewa nni wwe apo

  • @goodluckjohnuiso-gt1fg
    @goodluckjohnuiso-gt1fg Před 4 dny +41

    Hivi kwanini IGP hajawapandisha cheo hao polisi wa Mwanza kwa kufanya kazi ya kizalendo?

    • @briankatani6770
      @briankatani6770 Před 3 dny

      Wakuu. Wa mikoaaaaa Hahahaaa.washitakiwe na yule aliyemsaidia

    • @user-yd1pc8uy8x
      @user-yd1pc8uy8x Před 2 dny +2

      Habar imetengenezwa

    • @johnsonsabanya5860
      @johnsonsabanya5860 Před 2 dny

      Hakika

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 Před dnem +1

      Walichokifanya Ni majukumu yao na police wote wanatakiwa kuwa hivyo.

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 Před dnem +3

      Ulipo amua kuwa na uhusiano na mume wa mtu ulikua na Nia gani? Unajiaibisha Bora ungetulia Sasa kila mtu anajua kua ushapitiwa huko!!

  • @mrsferuzi7443
    @mrsferuzi7443 Před 14 hodinami +2

    Wallah mungu anakuona wewe binti

  • @nurumvungi2210
    @nurumvungi2210 Před 2 dny +6

    Kazinzi haka😂😂
    Mwaka wa kwanza chuo,kana miaka 21 kameshaanza kuchukua waume za watu...tumuiteje kama sio mzinzi...acha ball itembee.

    • @EdinaLaulent
      @EdinaLaulent Před dnem

      Kapumbavu Malaya mkubwa wewe unamharibia mwenzio maisha kumanina ingekuwa Mimi wewe Malaya wewe

  • @HappyAgilityPuppy-lg8wg
    @HappyAgilityPuppy-lg8wg Před 4 dny +51

    kwa sisi' tulio soma quba tushaelewa hyo 😂 huyu dada kwakifupi RC alikuwa mtu wake sawa na hako kamchezo huwa nikao au au hyo dada alisha zowea Kuliwa nyuma asa wamepishana tu mambo Frani au Kafikwa bei na mahasimu wa RC so kaamua kumgeuka mwenzie, nahili gemu linawadau we wengi wanajua hata akipmwa atakutwa hana malinda so it's true. but kes hii wakikabiziwa polisi makini watabaini kitu

    • @issaidrisamusa5962
      @issaidrisamusa5962 Před 3 dny +4

      Iwe alifanya kwa hiari , au kwa lazima , ila kwa vile amesharipoti hiyo ni kesi kama kesi nyingine

    • @George-jz3jg
      @George-jz3jg Před 3 dny +1

      Upo sahihi

    • @George-jz3jg
      @George-jz3jg Před 3 dny +6

      Namchukia huyu binti kwasababu ameshindwa kumsitiri mama yake ameamua kumudhalilusha na mama yake kifupi amekosa busara kwasababu hayo mazingira yeye ndo aliyaanzisha

    • @user13375
      @user13375 Před 3 dny +6

      @@George-jz3jg kamalaya kubuu

    • @WaziriAbdallah-vr4xg
      @WaziriAbdallah-vr4xg Před 3 dny +4

      Hicho kitoto huu ndo mchezo wake ila ukikaangaria ni.kama.hakapo.sawa inabidi atafutwe mtu wa kumuweka sawa pili tamaa hivi vibinti vya 2000

  • @vero57
    @vero57 Před 4 dny +8

    Hawa wanafunzi wana acha kusoma wanaaza mambo ya matusi mapemaa!!! Ovyo sana , eti mausiano wewe ndiyo kilocho kupeleka shule??? Alafu unatembea na mme wa mtu, na wewe kiongozi acha kutu alibis watoto tafadhali!!!!

  • @gervasatilio5683
    @gervasatilio5683 Před dnem +1

    Hapo hakuna aliye salama, kabla hujamuhukumu mtu aliye sababisha matatizo kwenye maisha yako jihukumu kwanza mwenyewe, Mungu haziakiwi apandacho mtu atavuna,

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 3 dny +26

    kwenda zako malaya ww kumbe ulienda mwenyewe ulijua unaenda kusuka au wewe inaonekana ulikua unampa siku zote sema kwa sababu mmegombana Ndio unataka kumkomoa kwenda zako uko Yani mpaka Nauli umetumiwa halafu unasema Nini wewe ulitaka mwenyewe sasa ivi eti samia akusaidie akusaidie Nini yeye Ndio alikutuma uende au Nenda zako endelea Nahiyo tabia yako2

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 Před 2 dny

      Kwani kuwa na mahusiano na mtu ni dhambi? Kutumiwa nauli ni dhambi? Kosa ni kumwingilia kinyumbe na maumbile mtu

    • @muhsiniissa8151
      @muhsiniissa8151 Před 2 dny +3

      Ni dhambi ndio,kwani wameoana!?,we hujui kua kuzini Ni dhambi???

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 2 dny

      ​@@anodearsulusi7536
      Kwani alimchoma sindano ya usingizi alipokuwa anatiwa nalo nyuma kwa sababu tuangalie yy alitoka akaako mpaka akafika kwa muheshimiwa na akamvulia nguo si kutaka huko au alimkuta njiani akamtia na nguo zake aibu mambo mengine

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl Před 2 dny

      ​@@anodearsulusi7536siangekataa

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd Před 2 dny

      bora umenisaidia kumfahamisha huyu

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 Před 4 dny +6

    Kila siku mnaambiwa vitoto vya afu 2 sio hamuelewi,,, ona sasa kimemramba RC mstaafu.

  • @rachelsam8912
    @rachelsam8912 Před 4 dny +20

    Kiingereza chenyewe anaongea broken, but kama ni kweli Mungu akusaidie

  • @AMOSSILYVESTER
    @AMOSSILYVESTER Před 3 dny +7

    Mama nae ni malaya anazibitisha kuwa umefilwa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 Před 6 hodinami

    Watoto bhanaa🙏🙏🙏 wazazi tuombee sana kizazi chetu kinaangamia peke yetu hatuwezi bila msaada wa Mungu 🙏🙏

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 Před 2 dny +6

    Umelalamika kinyume na maumbile ingekuwa kawaida na maumbile tusingekusikia!

    • @user-hj8sc7jv5m
      @user-hj8sc7jv5m Před dnem +2

      Anatafuta ada huyo mwaka wa kwanza tu shida je akihitimu

    • @bahatimashauri3945
      @bahatimashauri3945 Před 12 hodinami +1

      Tusingesikia maana c alkuwa mtu wake ko walishakulana Sana ko mzee baba aliamua abadili kwingne baada ya kufanya Sana mbele

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 4 dny +7

    Kwa maelezo ya huyu dada anaonekana ni mzoefu wa hayo mambo,,,,,ni bwana Nawanda tu, amekutwa na dhahama!!

  • @peterlyimo6696
    @peterlyimo6696 Před 4 dny +55

    Unaingiaje mahusiano na mume wa mtu tena mwanafunzi wa mwaka wa kwanza?

    • @worldherotv
      @worldherotv Před 4 dny +1

      Kama unavyona

    • @jamesmzaki6041
      @jamesmzaki6041 Před 4 dny +3

      Dini inamruhusu kuongeza

    • @charlzmboya
      @charlzmboya Před 4 dny

      0:19 ​@😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊worldherotv

    • @ivanamkapa2369
      @ivanamkapa2369 Před 4 dny +1

      Mbaya ni mwanamume kwa ninu asitulie na mkewe mpaka anarubuhi mtoto wa chuo si angeenda kwa magumegume

    • @ivanamkapa2369
      @ivanamkapa2369 Před 4 dny +1

      Binti karubuniwa mubaya ni mkuu wa mkoa wa simuyu mtu mzima anarubuni mtoto wa chuo amfire wewe kama mzazi utamlaumu mwanao au hilo lifilaji

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 Před 4 dny +7

    HE! SIKIO LA KUFA MTUHUMIWA KAAHIDI ML5 KWA MAMA KAINGIZA ML3 BANK PILI YAELEKEA MLALAMIKIWA KALETA ZARAU POLISI! ILA BINTI MZOEFU!! NA KAPANGWA!!

  • @victoriampunza1016
    @victoriampunza1016 Před 4 dny +45

    Ogopa sana vitoto vya efu mbili😂😂😂 havikawii kukuharibia kazi

    • @kefamwakipesile275
      @kefamwakipesile275 Před 4 dny

      Kwani huyu dogo alikutana wapi na Rc kama sio Rc kumfuata

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry Před 3 dny

      Anajiuza huyu​@@kefamwakipesile275

    • @MwamvuaKing
      @MwamvuaKing Před 3 dny

      Hahahaaaa

    • @angelistertarimo8215
      @angelistertarimo8215 Před 3 dny

      Balaa.na milioni kumi juu bado kimekomaa huku nyumbani kunanuoa shida

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Před 2 dny

      ​@@kefamwakipesile275mwelewe huyo mtoto asema alikuwa mwanaume wake harafu akagombana ,baada ya hapo alipo pigiwa Tena sm akakubali kwenda akijuwa rc amebadisha mawazo ya kuto taka Tena mkundu, huyu Binti yeye alikuwa alishakubali kuwa naye Kwa jili ya kugombana tu , Sasa huyu si Malaya km Malaya wengine kabakwa vipi

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x Před 4 dny +9

    We mtoto umejiingiza mahali pagumu ambapo hujui mwanzo wake na mwisho Mungu ajuaye yote akusaidie na hata hyo mkuu wa mkoa alyesimamishw kazi Mungu amsaidie na familia yake maana hili pito ni gumu mnoo

    • @kokusimabayona4179
      @kokusimabayona4179 Před 3 dny

      Hii issue ni kubwa sana...huyu binti aisee ajilinde tu mwenyewe maana

    • @samwa9496
      @samwa9496 Před 2 dny +1

      Hili ni shushu limetumwa tuliosom Cuba tuelewa

    • @YusuphMwangobola
      @YusuphMwangobola Před 2 dny

      Mkuu wa mkoa ni raia tu kama raia wengine acha kumtisha binti.

    • @samwa9496
      @samwa9496 Před dnem

      @@YusuphMwangobola simtishi angekubali kuanikwa sura kama mabanda ya uwani yamebomolewa huo uzushi haoni haya aseme alikuwa mpenzi wake na alitaka fungu kubwa akalikosa ndipo akaamua kumuanika cheza na watoto wala bangi la Arusha

  • @johanessmwitamwita1723
    @johanessmwitamwita1723 Před 4 dny +7

    Mmmmh jmn huyu binti anatumiwa kwa jinsi navyijua tz kwa issue kama tayri alishapotezwa siku nyingi huyu anatumika tuuu sio yy

  • @EdwardMaziku-td2li
    @EdwardMaziku-td2li Před 4 dny +8

    Huyu msichana ni muongo sana kuna jambo lipo limejificha maana toka mwanzo ni mpenzi wake,kwa fikira zangu walishindana tu kwa pesa aliyotaka na ndiyo maana akamugeuzia kibao mkuu wa mkoa na wanafunzi wa chuo ndivyo walivyo tania zao .hivyo muheshimiwa raisi alilichukulia haraka hili jambo kwani wengine wanatumwa na watu kumuharibia mtu.kwa maoni yangu muheshimiwa raisi wetu murudishe kazini nakuomba sana .asante

    • @machasofficialsite6221
      @machasofficialsite6221 Před 4 dny

      We akili huna chukulia angekuwa dada yako au mwanao katendewa haya ingekuwaje? Acha ujinga

    • @EdwardMaziku-td2li
      @EdwardMaziku-td2li Před 4 dny

      @@machasofficialsite6221 we ndiye mjinga na mpumbavu usijua hata kumusikiliza mtu alichoongea pia hata hujui chochote baadhi ya wanafunzi wanayofanya,(wee mjinga nikuulize,alipelekwa chuo kusoma au kufanya mapenzi ?)maelezo yake yanaonyesha ni mwingi wa habari tokea mwanzo

    • @matallahkhamis9579
      @matallahkhamis9579 Před 2 dny

      Dada au Mwanangu anaongea huu uwongo anastahili​@@machasofficialsite6221

    • @israelmkaka2807
      @israelmkaka2807 Před 2 dny

      Pia amepokea 10ml..Mama yake kapokea 3ml. Pia anasema aliwahi kufanyiwa na kijana mwenzake enzi za Balehe,Mama akayamaliza

  • @kirotostima
    @kirotostima Před 4 dny +18

    Shenzi kabisa kaongo kweli kashazoea kuliwa tigo haka

  • @user-sp4jr4vw6t
    @user-sp4jr4vw6t Před 2 dny +3

    Pumbavu mnapenda ngono mno majbu yenu ndio hayo mnapenda maisha rahisi kwa kuuza miili yenu sasa mnalia nn hao mabinti wanaoenda wenyewe nao wapewe adhabu pia tofauti na wanaokamatwa kwa nguvu.

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 Před 2 dny +2

    Uyu Dada kajieleza Vizuri kabisaaa tuache maneno ya ajabu Hawa watu ndo michzo yao hapo wanajiongezea vyeo na pesa kuingia kwa wingi, Sema ili liwefunzo kwa wadada wanaopenda pesa Sana, pole Sana mdogo wangu Mungu akusimamie.

  • @user13375
    @user13375 Před 4 dny +20

    RC arudishiwe u RC wake tuu😮😮

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Před 4 dny +5

    WAKILI TV NIMEFURAHI SANA KUWAONA KAZINI. TETEENI WATANZANIA WANAONEA DAY N NIGHT😢😢😢

  • @damiankageba77
    @damiankageba77 Před 4 dny +8

    Ni upuuzi uliopitiliza

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před 2 dny +1

    Karembo mashaaalah,lzm n mkewe, mdogo lkn umejazwa maneno,na watu,

  • @omarymwenda1146
    @omarymwenda1146 Před 3 dny +2

    Mwalimu Nyerere alisema ukipewa kazi ya Nchi ni lazima UJIHESHIMU, Ingawa hii issue ni very complicated so tusihukumu, TLS na LHRC mnafanya kazi nzuri sana. Tusubiri hatma ya Mahakama.

    • @SayyidAhmadBaalawy
      @SayyidAhmadBaalawy Před dnem

      Unaona wanafanya kazi nzuri kweli?? Atakapo potezwa huyu mschana ndio utajua kazi nzuri wanayo ifanya hawa watu ni wahuni sana mwanasiasa na mwana sharia wote niwatu wasio aminika. Mamake mwenyewe akipewa hela alikua akipokea nahakutaka kujua binty yake alipata wapi. Sasa ukiambiwa ana ukimwi ndio utajiona ukicho kifanya kilikua tamaa yako imekuponza

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Před 4 dny +10

    Ulipata wapi no ya mkuu wa mkoa ulipata wapi mtoto mdogo mbona wa kawaida sn dd jamani mbona unajiaibisha ,tuone uwo muamala

    • @kokusimabayona4179
      @kokusimabayona4179 Před 3 dny +2

      Ila this generation.....🙌🏾🙌🏾🙌🏾

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Před 2 dny +1

      Kachafu sn kahovyo mno Malaya huyo yeye mwenyewe si alisema alikuwa bwana yake kwahiyo km asingefilwa wangeendelea kutombana , unajiabisha tu

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale Před 2 dny

      Huyo mwongo tu alipangwa ni kamchezo!​@@ziadasalimu1730

    • @marymanoni5536
      @marymanoni5536 Před 2 dny +1

      @@ziadasalimu1730 yani kamejiaibiaha sn waache kujipendejeza kwa viongozi na kujipitisha pitisha ovyo aàaaa wanatuaibisha watt wetu htr

    • @bolelambunda6554
      @bolelambunda6554 Před dnem

      Je angetombwa kawaida isingekuwa ugomvi

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před 3 dny +5

    Nyie watoto mmejaa tamaa
    Mkikosa mnachotaka mnabadilisha maneno, unawezwajje, kulawitiwa ndani ya gari bila ya wewe kukubali?
    Kwani hakuna nafasi kama hujatulia, Unaongea uongo

    • @jamaliddiin9357
      @jamaliddiin9357 Před 2 dny +1

      Kishenxi hiki kibinti
      alikubaja au ulivua nguo mwenyewe ,panya rodi weee

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 Před 2 dny

      Mtu mzima unalawitiwa muongo , kamuwa kuchafuwa huwara yake, akumbke hii interview itakutesa sana kwenye life yako

    • @SamwelSimon-tf6oo
      @SamwelSimon-tf6oo Před 5 hodinami

      Wewe unashangaa nni kwani

  • @AnuaryKISEGE
    @AnuaryKISEGE Před dnem +1

    Duh pole mdogo wangu ila msiwe na tamaa jaman

  • @justinealistides5146
    @justinealistides5146 Před 3 dny +2

    Ee Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema utusamehe sisi tulio dhaifu na kwa haki yako utuponye.

  • @brunomtweve8073
    @brunomtweve8073 Před 4 dny +20

    Mamayako nae tunamfunga kwakosa lakupokea rushwa mana umethibitisha hapa wewe mwenyewe

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Před 3 dny +1

      Umeonaeeeh mshenzi huyu mtoto umelaya wake unamfanya mpaka hamuonei huruma mamaake.

    • @OmanOman-dd5qk
      @OmanOman-dd5qk Před 2 dny

      Sahihi mtowaji na mpokeaji wote ndani na mtenda kosa mwanafunzi kwenda gest

    • @SamwelSimon-tf6oo
      @SamwelSimon-tf6oo Před 5 hodinami

      Mama yako akamatwe haraka sana

  • @shabanirashidi2486
    @shabanirashidi2486 Před 4 dny +5

    Shetani ibilisi tokaaa ,uyu dada Ata ongea yake anamchoma muheshimiwa hiv hiv dah

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 4 dny

      Kama alimfira kwanini asimseme?

    • @user-du6bd3no2b
      @user-du6bd3no2b Před dnem

      Nyinyi sijui mpoje...mnamponda huyu dada ila ipo siku yatawarudieni na nyie...

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 Před 19 hodinami

    Duuuuuue, Mm nashangaa sana haya mambo kwa kweli.

  • @fredymwakikono1575
    @fredymwakikono1575 Před 13 hodinami

    Sukuma ndani mama, binti na wengine wote waliohusika hata hawa waandishi wa habari hizi sukuma ndani

  • @stevenkuhanwa7819
    @stevenkuhanwa7819 Před 4 dny +8

    Duh! Kumbe walikuwa wapenzi awali!, inawezekana, lakini siku hizi hata mke halali anakwenda kushitaki kuwa kabakwa na mumewe halali!
    Kuna hofu ya kuwa aliahidiwa vitu fln ambavyo hakutekelezewa na ndio maana kaamua kulipa kisasi kwa mpenziwe!
    Kurudi rudi kwa X ndio hivyo unakutana na plan X!

  • @titongholo6261
    @titongholo6261 Před 4 dny +12

    Napata mashaka makubwa sana na maelezo ya huyu binti. Hivi kwa kitendo cha kuingiliwa kinyume ni rahisi hivyo kama anavyoeleza. Kama ni kweli Mungu anajua

    • @gracemwailima1780
      @gracemwailima1780 Před 4 dny

      Hata mm sielew elew huyu bint yuko timamu kwel

    • @bonyngoyindengoyinde6139
      @bonyngoyindengoyinde6139 Před 3 dny

      Uyu n mzoefu na mhuni tu!😅

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před 2 dny

      Watt wetu hamuendi kusoma munafata mengi huko nje wazee wanahangaika kutafuta ada kama hamuwezi kusoma muolewe tu musiwapotezee wazee wenu pesa zao za mikopo wazazi tuna mikopo kila cona tunasomesha hatari hii

    • @georgeanyosisye2182
      @georgeanyosisye2182 Před dnem

      Mshenzi huyu kwanza jinga hata kizungu anachoongea kinaonesha serikali inapata hasara kama kapokea bumu.

  • @graciousmgeni7249
    @graciousmgeni7249 Před 16 hodinami +1

    KWAHIYO GARI LAKE ULIANZA KUPANDA LINI.

  • @festusmakanja3645
    @festusmakanja3645 Před 14 hodinami +1

    Hapa kunajambo linafichwa,najiuliza,kwa nn ww tu ulawitiwe????kumbe ulishakua na kesi kama hiii na muhuni wa mtaan????

  • @user-fg8hg9fe1w
    @user-fg8hg9fe1w Před 4 dny +6

    Kamesema kalianza kufirwa toka kapo form two kumbe kazoefu kasitupotezee muda😢

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Před 2 dny

      Haswa Malaya huyo asipotezee muda watu

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Před 2 dny

      Haswa Malaya huyo asipotezee muda watu

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Před 2 dny

      Wanaume Huwa mnajitafutia wenyewe matatizo ,cheo chako kikubwa waenda pata zahma Kwa mchafu huyu Binti mnyooo wa chooni huo

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale Před 2 dny

      Waandishi wae wanamhoji mtu kabla il wabaini KULIKO kumalizia watu bundle na kuwachafulia watu!

    • @Lifebeaconuplift
      @Lifebeaconuplift Před 2 dny

      Wapi amesema kwamba tokea form two

  • @mchawaamanmchawa593
    @mchawaamanmchawa593 Před 4 dny +4

    Nawanda mara tatu kweli ulifanya mbona naona kuna namna hapo lambda kuna Siri nyingine

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 Před 2 dny +2

    Wewe binti pia ni mshenzi ,kumbe ni wazinifu
    toka zak hapa ,haya pia huna ,uso kavu kama kauzu ,muongo mkubw wewe ,

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc Před dnem

    Pole msichana siwezi kukuhukumu maana sikuwepo unapofanyiwa hayo

  • @kimwerihamza4152
    @kimwerihamza4152 Před 4 dny +3

    Tuliosoma cuba tumeshamuelewa huyo binti,mwanafunzi wa chuo anashindwa kutamka maneno ya kiswahili,tumuogope mungu kwenye kufitini

    • @user-zq7jb2ij4u
      @user-zq7jb2ij4u Před 2 dny

      Kabisa

    • @alinanusweosward-ov2nq
      @alinanusweosward-ov2nq Před 2 dny

      Yaaan bint anajikanyaga na kiingereza kingi ,mabint wa sample hii wa hovyo sana na always wanajifanya wajuaji sana na nadhani wapelelezi watafanya kazi Yao kujua nn na vip ilikuwa

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 Před 4 dny +6

    huu udokta ambao haufungui kichwa . bado kinakuwa na mambo ya kishenzishenzi tu unasaidia nn?

  • @NamalaPothino
    @NamalaPothino Před 3 dny +2

    Naomba uchunguzi wa kina ufanyike ,duniani kuna mambo mengi mno

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Před 45 minutami

    Pole sana.

  • @josephmoses5406
    @josephmoses5406 Před 4 dny +4

    Mkuu wa mkoa wa mwanza nae alitakiwa kuwajibika.

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 Před 9 hodinami

      Mkundu wewe mwambie mama yako mzazi akatombwe na mkuu wa MWANZA Kisha amuwajibishe huyo mkuu wa mkoa MWANZA

  • @josephmoses5406
    @josephmoses5406 Před 4 dny +3

    Hawa polisi walau wamejaribu kuwajibika

  • @graciousmgeni7249
    @graciousmgeni7249 Před 16 hodinami +1

    ILA "MAGU" HAYUPO TU. NAHISI WE BINTI NA MLIOPANGA HUO MPANGO MNGEKUTANA NACHO LIIIIIVE

  • @infodigtechforcommunityemp4103

    Pole sana sana

  • @nestor384
    @nestor384 Před 3 dny +4

    Hongera nyingi sana kwa polisi na vyombo vyote vilivyojaribu kukabili hadaa za wakuu wa mikoa hawa wawili, Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Simiyu anapaswa kufungwa na mkoa wa Mwanza wa sasa alipaswa kufukuzwa kazi pia mshenzi kabisa!

    • @mkadammkadam
      @mkadammkadam Před 3 dny +1

      Ni peke yako uliyeonyesha mawazo yaliyokomaa. Kama kila mmoja wetu anatetea kwa nguvu zote uhalifu ambao kila siku tunalalamika kuwa vitendo hivi vimekithiri katika jamii zetu. Vipi tutaondosha kama hatutashirikiana kuvipiga vita?

    • @livingstonekabantega
      @livingstonekabantega Před 2 dny +1

      Sio kweli afukuzwe kisa tamaa zake

    • @alphaexaud5279
      @alphaexaud5279 Před 40 minutami

      Huyu wa Mwanza mhhhh!

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 Před 4 dny +4

    Kama anamkana mama yake huyu binti

  • @wilbatnyato4679
    @wilbatnyato4679 Před 11 hodinami

    Huyu binti naona anajiharibia maisha yake mwenyewe na RC
    Hakuna mme ataoa mtu ambae tyr hana malinda dunia nzima inajua,
    Pia ni vita nyingine na wanafamilia wa RC ambao wanamtegemea pia watoto wa RC
    Pia naona heri angekimbia na kujiweka mbali kbs pia sio kazi iliyomtuma chuo

  • @user-hj8sc7jv5m
    @user-hj8sc7jv5m Před dnem

    Utaachaje kukumbuka tarehe uliyolawitiwa kama ni kweli, polisi na mahakama wachunguze kiuzalendo haki itajulikana tu, shida ya wanawake wa kibongo wakifika polisi wakilia kidogo tu polisi wa sehemu ya kijinsia hughafirika fasta na kuanza kuona huruma kwa asilimia zote kwa mlalamikaji ambae ni mwanamke tofauti na mwanaume akienda kulalamika kwa jambo lolote la udhalilishaji wa kijinsia.

  • @majutojackson5718
    @majutojackson5718 Před 4 dny +3

    msimshutumu huyu binti,acheni haki ipatikane, maana kama ni hela amepewa nyingi mno angepiga kimya

    • @MusaMapinda-ch6gz
      @MusaMapinda-ch6gz Před 2 dny

      Binti ni malaya

    • @user-du6bd3no2b
      @user-du6bd3no2b Před dnem

      Si vibaya kuwa na mkuu wa mkoa...ila mkuu wa mkoa kumlawiti bila ridhaa yake kakosea sana

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 Před dnem

      hakuna acha kumtukana hyu Binti Bali ni jasili kwani mapenzi nikosa kufanya acha unafiki

    • @marcoenock4596
      @marcoenock4596 Před 8 hodinami

      ​@@josephmantago2837hakuna kitu Kama icho bint kaingiziwa pesa kwenye a/c na iko hvyo Kuna kit wanagombea Kat ya RC na huyo mwamba aliye toa pesa

  • @SalumFuraha
    @SalumFuraha Před 4 dny +3

    Kingereza kingi mjinga we mwanafunzi unaingia kwenye mapenzi

    • @user-cm7yl9ej7i
      @user-cm7yl9ej7i Před 4 dny

      Na mtaman mtoto wako wa kike kama umezaa

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 Před dnem

      hyo sio mtoto ndg ni mtu mzima mbona mnamshambulia bint wa watu acha aeleze ukweli

  • @saidlindi9619
    @saidlindi9619 Před 8 hodinami +1

    Wenye D mbili lazima wajue huyu dogo kapagwa kumuharibia mheshimiwa,,,anag'ata maneno tu

  • @GidionKombe-h1p
    @GidionKombe-h1p Před 3 dny +1

    Pole sana mpendwa lakn ujue hiyo issue kubwa

  • @user-vf8wv8hi5b
    @user-vf8wv8hi5b Před 4 dny +16

    Kaongo hako

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s Před 4 dny +4

    Kumbe alikuwa mtu wako sasa anakulawitije

    • @user-cm7yl9ej7i
      @user-cm7yl9ej7i Před 4 dny

      Kwa hyo mama yako angeombwa na baba yako na kuachika siku Moja angekuelea huyo ni sababu ya kuachana na baba yako ungejiskiaje

    • @JuliusMahinya-wl7mq
      @JuliusMahinya-wl7mq Před 4 dny

      ​@@user-cm7yl9ej7ikwa nn usitolee huo mfano kwa mama Yako? Kwa nn mama yake na si mama Yako?
      Yaani jambo la kujadili kawaida unamhusisha mzazi wa mtu!!!

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 Před 5 hodinami

    Mama kapokea million 3,wewe million 10,Kuna kesi hapooo🙏🙏🙏🙏🙏🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Před 2 dny

    Yaani, hapana, upelelezi ufanywe na haki itemdeke ninamashaka, sipo upande wowote, kama kuna mchezo mchafu wa kumchafua mh. Basi huyu binti ashughulikiwe na watu walio nyuma yake. Na kama ni kweli basi mkuu ashughulikiwe kwelikweli.

  • @abou.salimu1795
    @abou.salimu1795 Před 4 dny +3

    Khaa mkuu wa Mwz nae yuko upande upi sasa

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Před 4 dny +1

      yuko upande wa mbakaji

    • @alphaexaud5279
      @alphaexaud5279 Před 38 minutami

      Rc Mwanza umezaa? Je ulitaka kuficha na huu ufedhuli Ikithibitika Rais tunakuomba umtafakari Rc Mwanza

  • @shabanirashidi2486
    @shabanirashidi2486 Před 4 dny +3

    Ata kilivyo vaaa tu kimepangwa

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Před 2 dny

    Why hamkuwa sawa? Oooooh! Hapa kuna wasiwasi naelewa maX walivyo. Mahusiano yakipata Injury, huwa kuna ajabu nyingi sana. Wapelelezi fanyeni kazi ya upelelezi. Naanza kuwa na mashaka.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před dnem

    Umeipenda hela yake ukaebda Kwake kwenye gari nk, hotellin.Wewe ni mjinga Fulani 😢

  • @hassankhalid2465
    @hassankhalid2465 Před 4 dny +5

    Kaulizwa km alishatumiwa kupitia ac/au cm kakubali kuthibitisha karuka ilikua cash.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 4 dny +11

    Hivi ni kweli kalawitiwa mbona kama siamini hii siyo mambo ya Siasa kweli

  • @tausmoses7447
    @tausmoses7447 Před 4 dny +1

    Pole! Kama kweli vitendo hivyo vinakurudia rudia hiro ni pepo, Hiyo roho inayokunyemelea ikemee. Pole sana

  • @al-bashirclinic3326

    Hapa Kuna mlolongo mkubwa na issues hii inaonesha ni wapenzi wa muda mrefu sema huyo binti ameamua kujidhalilisha kweny media......ukweli tunaosomesha tunapitia wakat mgumu sana
    MUNGU ATUEPUSHE NA HIVI VITENDO VYA KIKATILI😢

  • @marcoboniphace9733
    @marcoboniphace9733 Před 4 dny +4

    HATARI sana

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s Před 4 dny +4

    Binti wewe

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před dnem +1

    Walikubalina ndiyo kupewa millions sasa anamgeuka.Huyu ni dada shetani mkubwa na ulaaniwe..Wanaume mjichunge sana.huyu ni professional malaya😢😢 Kwa kifupi walikubaliana .

    • @alphaexaud5279
      @alphaexaud5279 Před 55 minutami

      Sasa mnamshambulia kwa sababu gani? Huyo mkuu wa mwanza nae vipi? Mbona kama alikuwa anatetea mambo ya Ajabu?!

  • @Moshiarusha360
    @Moshiarusha360 Před 2 dny +1

    Mm simuhukumu hakuna hasiyekosea ,mtu kuwa mbaya haijustify yeye KUFANYIWA ubaya,,ubaya Ni ubaya tu..pia kabla hatuja hukumu tujiulize sisi Ni wema kiasi gani

  • @protasreshola9744
    @protasreshola9744 Před 4 dny +3

    Mnyonge mnyongeni, haki yake apewe. Binti 😅anadai kulawitiwa na X RC na anadai alifika hospitali. Binti kama aliingiliwa kinyume hospitalini lazima mbegu za kiume zilionekana hivyo ilipaswa zipimwe vinasaba, DNA. Ikibainika ni RC aadhibiwe. Lakini pia binti anaweza kupanga mchezo na kuingiliwa na mtu mwingine ili kesi amtwishe X RC kwa vigezo kuwa walikuwa na ukaribu kimahusiani.

  • @shabantelack5716
    @shabantelack5716 Před 4 dny +4

    Ila mkuu wa mkoa ana Roho , na aka kambao mbao 😂😂😂😂😂😂😂😂 alikuwa naafanya nako nn 😂

    • @luganokitwika7359
      @luganokitwika7359 Před 3 dny

      Hahahahahaaaaaaa duh, umenifanya nicheke wakati nalengwa na machozi dah

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 Před 2 dny +2

    Mmmmmm ninajiuliza maswali mengi sana hapa.

  • @frankmtimbwa1290
    @frankmtimbwa1290 Před dnem

    Hili suala ni la kimaadili lishughulikiwe kwa mtazamo huo. Pili hili suala linahitaji uchunguzi wa kina ili kujua mambo mengi yaliyojificha nyuma yake. Tatu naomba kujua yeye huyu Nawanda walijuanaje? na tangu lini walianza uhusiano huu?.

  • @stevenmrama3123
    @stevenmrama3123 Před 4 dny +5

    Ulienda chuo kusoma ,hayo uliyoyatafuta una sababu ya kulalamika.

  • @bonifaceibunga9443
    @bonifaceibunga9443 Před 4 dny +6

    Wewe huo mchezo umeshauzoea hivo acha kutusumbua maana umekiri ni mpenzi wako kwa zaidi ya miezi sita sasa shida ni nini ?
    Maana hakuna kipimo cha kutambua lini ulianza kufirana.
    OVER

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Před 4 dny

      Acha ujinga ,hilo jambo sio zuri kama unavyofikiria ,watu wengi sasa hivi ujinga tu unawasumbua wa kuchezea uchafu mavi .

  • @festusmakanja3645
    @festusmakanja3645 Před 14 hodinami +1

    Most of ladies vyuo ndio michezo yenu,abortion imekua kawaida,then mnakimbilia kwa manabii na mitume feki,kuombewa!!!

  • @ednalugano2906
    @ednalugano2906 Před dnem

    Binti wa 21yrs, mwanafunzi wa university, wa mjini, mwenye kujulikana hadi na RC (wa mkoa asioishi). Anatendewa ukatili na udhalilishaji huu mahali penye ulinzi, na hajui hatua za kufanya, lkn anakubali kuficha ukweli? Ni fedha nyingi kiasi gani mama mzazi unalipwa kuficha ukatili aliofanyiwa binti yake ambao una madhara maisha yake yote? Hii kesi inahitaji uchunguzi wa kina na makini!
    Media hii kuweka picha ya binti public kwa case ngumu hii, mna mhakikishia usalama binti huyu?

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y Před 4 dny +6

    wakili TV please tunawezaje kumsaidia huyu binti ili apate haki yake

    • @florarwegerera8025
      @florarwegerera8025 Před 4 dny +1

      Anapataje haki yake wakati alikuwa mpenzi wake, alimfata wa nini? Huyu kaamua kumchafulia huyu baba

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Před 4 dny

      ​@@florarwegerera8025hata kama alikuwa mpenzi wake hana haki ya kumwingilia kwa nguvu na bila idhini yake huo ni ubakaji

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry Před 3 dny +1

      Hana haki ni mwanaume wake na wanatoka kamefirwa huyu sasa kashawishiwa kumchafua.

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale Před 2 dny

      Ni mchezo tu kashawishiwa kumchafua mh!

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 Před 4 dny +5

    Duh kwaiyo umefanywa nyumba duh

  • @nzuna5049
    @nzuna5049 Před 21 hodinou

    Hii sio kweli

  • @bernardmushi4869
    @bernardmushi4869 Před 22 hodinami

    Acheni hukumu zenu.Huyu ni mmoja kati ya mabinti wengi wa vyuo wanaojiuza mijini kwa sababu ya umaskini wa familia zao.INATIA HURUMA SANA.Msihukumu kwa huyu peke yake bali tafakarini wahanga kama hawa ambao mambo yao hayajatokeza hadharani.GOD HAVE MERCY UPON THIS GENERATION.