Kuna mbuzi moja ktk comment hizi inadhani kuwa kiongozi ni kusifia wanasiasa! Katika Bar ilipaswa kuwa imara na the real defender of law and justice.. Mkuu wa mkoa ana lawiti hakuna independent bar ya kuweza kutetea watu wa aina ile, Ni mpumbavu wa hali ya juu sana aweza dhania kuwa Boniface Mwabukusi asitahili kuwa kiongozi akizungumza kwa uchungu na ukweli..
Sio uyo TU kalibu media zote yaani WCB TBC clouds ITV na zingine zote awawezi kutoa taarifa kama hii kwa uma, ila ingekuwa taarifa ya kwamba MWABUKUSI anaamia CCM ungeona media zote za Bongo Zina report😢
Wana nchi wa inje wa ndani tuna kuunga mkono ungegombea ubunge utuondoleye tuliya au ulaisi kabisa mungu amekupitisha angalizo usiwe kalibu na dr.silaa ni chawa wa ccm
Kwa kweli wewe ni mkweli na unapigania watu. Sasa hawa TlS hii ni CCM tupu. Kwa nini walimtoa Fatuma? Kwa kweli sidhani kama bado hawasimamia sheria sasa wanaweza kweli kukidhi sheria hata kidogo TLS. ndiyo sababu hata Mahakama pia hawafanyi majukumu yao pia.
Hizi nisku za mwisho kilicho baki Mungu tu wachungaji wakweli wote Tanzania kuomba Mungu tulipofika baya maonezi peupe shetani anatebea mtani bila woga mbalikiwa analia mtoto aliuwa ngolongolo wanalia sativa analia nk tunategemea mawakili nao magumashi tu tuko wapi Mungu tusaidie tutaponea wapi kweli hela baya Yesu alisema siku za mwisho watu wata penda fedha jamani wa Tanzania tuwe kitu kimoja Mungu futa vyama vya siasi lli tuwe wamoja siasa zitatupeleka pabaya
Kwakweli sisi siyo wanasheria lakini kama hufai wakuache ukashindwe kwenye sanduku la kura. Kukunyima haki yako ya kidemokrasia tena ndani ya jopo la wanasheria inaleta ukakasi.
Hao waliomwondoa mwabukusi kwa sababu ya kukosoa viongozi kwani sheria namba ngapi inasema ukikosoa viongozi ni kosa? sasa waliofanya hilo kosa la kukuondoa ni chawa pia wanadumaza nchi wanapaswa kuuwawa hao.
Huyu hana akili kweli ,ndio wanasheria wetu hawa wavivu wa kufikiri toka lini bandari ikawekwa kwenye resources exploitation? Huyu jamaa bure kabisa bandari inatoroshwa kwenda wapi?im3kua madini au pesa foreign exchange?
Wewe ni mwamba kaka... Kama maCCM yamepeleka Hela kumng'oa yule mchungaji shoga wa kihehe, ahamie CCM, serikali hiyo itashindwa kukinunua ,nisamehe kwa kuuita, " kikoba" Cha wanasheria?
Hongera Sana Msomi Mwambukusi mimi naona unatoa dawa ingawaje ni chungu lakini tunapaswa kuinywa ili tupone
Me as a Lawyer and Advocate of the High Court I support this 💯 %
Big up mwamb, sheria hazikubaliki, ubabe unatendeka nchi hii.
Watetea haki lazima tuwalinde yani Lisu mpina mwabukusi na wengine tuwaombe sana
Unakuta kuna mtu anamchukia huyu jamaaa mbona anachokizungumza ukimsikiliza kwa makini bila ya uchama au udini ndani yake kinamantiki sana
Kuna mbuzi moja ktk comment hizi inadhani kuwa kiongozi ni kusifia wanasiasa! Katika Bar ilipaswa kuwa imara na the real defender of law and justice.. Mkuu wa mkoa ana lawiti hakuna independent bar ya kuweza kutetea watu wa aina ile,
Ni mpumbavu wa hali ya juu sana aweza dhania kuwa Boniface Mwabukusi asitahili kuwa kiongozi akizungumza kwa uchungu na ukweli..
Yaani nakuunga mkono kwa asilimia 800
Hongel sana watanganyik tuko nyuma yako unajua TLS baadhi Yao wamekua majangili
Hatari.Gen-Z n diyo dawa😮 Unase m a ukweli.❤🎉
Duuuuu htari sana,mungu zidi kujidhiirisha juu yadhwmbi hizi zinazoumiza wananchi wko.Pole kaka mungu mkuu kwko hki atakupa kutoka kwenye mikono yke.
Waandishi hao ndiyo wanatuangusha kweli kweli kwa sababu karibu wengi ni wachawa wa watawala tu.
Kuzuia kipawa cha mtu ni kosa maana ni cha Mungu
Wamenunuliwa kwa bei ya njaa zao,Dola ina mkono wake hapo,baadhi ya mawakili wenzio ni wasaka tonge!
Nikweli unachokisema Lakini nikundi la mambepali diyo kundi lao hatutawaweza kishelia mpaka jeshi liamue au wanaichi bila hivyo hatutomboi
Kaka nakuamini sana na kwa uwezo wa Mungu vita hii kwapamoja tutashinda
Tunawaombea Mwambukusi, Mpina na wote ambayo wachawa. Sasa kama TLS ati ni wachawa pia. Wanatufanya kutowamini kabisa.
wasaka tonge na machawa wamekufanyia figisu watanganyika tunakuunga mkono
Hongera sana Mwambukusi Mungu akubariki aendelee kukipigania. Hao wanasheria wote ni WANACCM tu wakati wa michango wanazila kwa raha kukubwa.
Kumbe ndiyo sababu hawataki Katiba mpya kuna kundi la wahuni wanafaidi . Sema wakili sema ,usiposema mawe yatasema ! Amandla!
Ati hao ndiyo wanasheria? Tena wanashughulikia mwanasheria mwenzie je wakishughulikia sisi wanainchi na kama CCM ikiwemo?
Ni mzuri sana ktk sheria ila apunguze mihemko.
Mihemko gani apo acha uchwaraa
Umeona hajierewi
Waambie wakili Mwmbukusi wameahidiwa kupelekwa Dubai kunywa wine kwa Tozo zetu.
Hawa ndo watetea haki?
Tanzania tunahitaji Ibrahim Traore wa Bukinafaso,!!
Akili kubwaaa hii ni hatari kwa majizi
Mungu yupo na atatutetea na wakati huu Mungu anatutetea.
Wamekuengua kwa sababu ya ukweli unaouishi,mfumo wetu umetengenezewa kuupora uwazi na ukweli!
We are always together bro,, Tz ukisimama ktk haki wanakutengezea zengwe,,
unani inspire sana kaka nakukubali sana Mungu akulinde dhidi ya hao maharamia
Hivi huyu mbona anauchungu na nchi tumper tuone Hays majizi yatakimbilie wapi
Tuko pamoja na wewe mzee wetu mpaka kieleweke
Kwan milad ayo hakujuaa kama una conference leoo Daaa jamaaa Kunguru sana yuleeee
Sio uyo TU kalibu media zote yaani WCB TBC clouds ITV na zingine zote awawezi kutoa taarifa kama hii kwa uma, ila ingekuwa taarifa ya kwamba MWABUKUSI anaamia CCM ungeona media zote za Bongo Zina report😢
Wana nchi wa inje wa ndani tuna kuunga mkono ungegombea ubunge utuondoleye tuliya au ulaisi kabisa mungu amekupitisha angalizo usiwe kalibu na dr.silaa ni chawa wa ccm
Nakupenda Uko vizuri kujenga hoja
Hongera mwabukuzi umeweka Legacy katika Taifa letu
Hili hatukubaliani nalo
This is double standard we won't vote
Atuna Bunduki lakini tuna Mungu Tutakuombea
Ukienda kuomba msaada unapelekwa kule kule ulikotoka kwa njia za ajabu sana.
Hawa ni watu wenye utu uliopitiliza be strong tunakuheshimu sawa sawa uko sawa mkuu
Duuh I wish TLS watafanyia kazi. Maana Wakili msomi kaeleza kwa ufasaha sana.
Wewe wauongo sana huaminiki ulusema bandai hawatachukua wawekezaji yakowapi sasa hunajipya
Tls iheshimiwe isiwe ya chama iwe ya Sheria tu
I stand with you learned counsel
Tutakuunga mkono wakili msomi wala usihofu
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yaani mwabukusi, unanipa Raha, Kuna jambo najifunza kwako, hakika uko poa sana
Hatariiiiiiiiiiiiiiiii Mungu atupe uzima
Mungu akusaidie na aendelee kukupa nguvu.
Akutunze na kukulinda 🙏
Watu kamanynyi ndo,mliobak kutetea nchi baba simama Imala
Haki huinua taifa
Hongera sana wakili ❤
Mwabukusi🔥
Kwa kweli wewe ni mkweli na unapigania watu. Sasa hawa TlS hii ni CCM tupu. Kwa nini walimtoa Fatuma? Kwa kweli sidhani kama bado hawasimamia sheria sasa wanaweza kweli kukidhi sheria hata kidogo TLS. ndiyo sababu hata Mahakama pia hawafanyi majukumu yao pia.
Hizi nisku za mwisho kilicho baki Mungu tu wachungaji wakweli wote Tanzania kuomba Mungu tulipofika baya maonezi peupe shetani anatebea mtani bila woga mbalikiwa analia mtoto aliuwa ngolongolo wanalia sativa analia nk tunategemea mawakili nao magumashi tu tuko wapi Mungu tusaidie tutaponea wapi kweli hela baya Yesu alisema siku za mwisho watu wata penda fedha jamani wa Tanzania tuwe kitu kimoja Mungu futa vyama vya siasi lli tuwe wamoja siasa zitatupeleka pabaya
Mwamba tunakuhitaji mno
Yap💪💪💪💪💪
Naomben mamba yake aise
Kwakweli sisi siyo wanasheria lakini kama hufai wakuache ukashindwe kwenye sanduku la kura.
Kukunyima haki yako ya kidemokrasia tena ndani ya jopo la wanasheria inaleta ukakasi.
👏👏👏👏👏👏👏👏
Corruption to our country only God will prevail
Mwabukusi nijembe sana
Hapo saachochea au mnaonaje, siku Moja nilimuona anaandamana mwanza dar es mwanza
TLS ILISHAOZA, INAHITAJI WHOLE OVERALL. Sasa kama wanasheria wenyewe hawaamini sheria nakuisimamia,😂 maskini atapata haki kweli😃😃
Akinyea pilau😂😂😂
Mawakili mulishindwa machinga wataiondoa ccm
👊👍✌️
Kaka povu la nn ongea na mawakili wenzio na muelewane kuliko kukimbilia mitandaoni,jipange na kujuwa unakosea wapi mpaka wanakubaguwa,?
Huyu jamaa anachoongea kina mantiki jaribun kutumia hekima nyie Tls mtazalilika
Duuu kumbe ni michango😂😂😂😂basi acha povu zamu yako ikifika na wewe utakula tu
Hao waliomwondoa mwabukusi kwa sababu ya kukosoa viongozi kwani sheria namba ngapi inasema ukikosoa viongozi ni kosa? sasa waliofanya hilo kosa la kukuondoa ni chawa pia wanadumaza nchi wanapaswa kuuwawa hao.
Huyu hana akili kweli ,ndio wanasheria wetu hawa wavivu wa kufikiri toka lini bandari ikawekwa kwenye resources exploitation? Huyu jamaa bure kabisa bandari inatoroshwa kwenda wapi?im3kua madini au pesa foreign exchange?
Mwabukusi weka Namba ya Phone/ Bank Account tukuchangie kiasi cha Pesa Sisi Wapenda Haki
Kumbe kelele zote ni uroho wa madaraka ili uwapande watu kichwani.
Wewe ni mwamba kaka... Kama maCCM yamepeleka Hela kumng'oa yule mchungaji shoga wa kihehe, ahamie CCM, serikali hiyo itashindwa kukinunua ,nisamehe kwa kuuita, " kikoba" Cha wanasheria?
Myaki tulipamopene
Hao mawakili waonaogozwa na rushwa kuunga mkono maovu ya ukandamizaji ni hatari kwa taifa
Na wao kwa rushwa? hapo vipi? hii ni kesi shetani vs shetani. laana ya dhuluma ndio inawatafuna
TLS ACHENI AIBU, WATANZANIA TUTAKIMBILIA WAPI??😂 HAPA MMEKUTANA NA MTAALAM WA SHERIA W😢AKILI MWAMBUSI, MTAJUA KUMBE HAMJUI !
Hatutapiga kura wakati ukifika
Siasa ni m b aya
Unajua nyie wasomi ndy tunawategemea xaxa mnakuwaje hamjielewi tena
machawa yana comment uchawa toa hoja mwabukusi hoja zake zinamashiko shindanisha hoja .
Sasa inabidi urais wa nchi na sio TLS… Nitakusaidia kiroho na kimwili
Niko nyuma yako mkuu
Hata huyu mropokaji anataka uongozi?? Duuh!! Dunia imeisha, uongozi unataka mtu mwenye busara na hekima
Mbona unajikamua sanaaaa?
Angalia usijetokwa na haja kubwa
Ww unacheza na serikali. Wala bado.
Palipobaki tafuta ngurue ufuge .
Mmmh😢😢
wewe huhitambui
Wewe kwa mazungumzo yako tu huwezi kua kiongozi hata wa nyumba kumi achilia mbali kua rais wa TLS.
Huna sifa zakuongoza ndugu
Ni sifa zipi alizokosa ndugu kamilisha hoja
Kwenye msafara wa mamba na kenge wamo ndg! @@Kwelihukuwekahuru
wewe jizi kubwa katika Taifa letu.
Na wewe una sifa gani ?ya uchawa ?achana na Mwabukusi wewe huyu ni wale waliotumwa na Mungu kutetea raia na taifa kwa ujumla
Kiongozi makini ni yule mwenye msimamo kama huyu Magu alikua na msimamo ndio maana Watanzania tulio wengi tulimpenda sana
Tupo sehem mbaya sana. Kama Taifa mwizi anakuibia. Halafu mahakama iseme kaelewaneni kwani. Mwizi .hawezi chukuliwa hatua
Ndani ya TLS kuna vibaka wa Demokrasia
TLs toothless