A-Z Mwabukusi Afunguka Mazito Kuenguliwa Jina Lake Kugombea Urais TLS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024
  • #ijuesheria #TLSAGM2024
    Video kwa hisani ya Jambo TV

Komentáře • 106

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 Před 16 dny +10

    Hongera Sana Msomi Mwambukusi mimi naona unatoa dawa ingawaje ni chungu lakini tunapaswa kuinywa ili tupone

  • @alfredsotoka2852
    @alfredsotoka2852 Před 8 dny +2

    Me as a Lawyer and Advocate of the High Court I support this 💯 %

  • @JammalMuhammad
    @JammalMuhammad Před dnem

    Big up mwamb, sheria hazikubaliki, ubabe unatendeka nchi hii.

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Před 17 dny +9

    Watetea haki lazima tuwalinde yani Lisu mpina mwabukusi na wengine tuwaombe sana

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 17 dny +4

    Unakuta kuna mtu anamchukia huyu jamaaa mbona anachokizungumza ukimsikiliza kwa makini bila ya uchama au udini ndani yake kinamantiki sana

  • @nestor384
    @nestor384 Před 17 dny +3

    Kuna mbuzi moja ktk comment hizi inadhani kuwa kiongozi ni kusifia wanasiasa! Katika Bar ilipaswa kuwa imara na the real defender of law and justice.. Mkuu wa mkoa ana lawiti hakuna independent bar ya kuweza kutetea watu wa aina ile,
    Ni mpumbavu wa hali ya juu sana aweza dhania kuwa Boniface Mwabukusi asitahili kuwa kiongozi akizungumza kwa uchungu na ukweli..

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 Před 17 dny +4

    Yaani nakuunga mkono kwa asilimia 800

  • @jovinbikongoro3469
    @jovinbikongoro3469 Před 16 dny +3

    Hongel sana watanganyik tuko nyuma yako unajua TLS baadhi Yao wamekua majangili

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 14 dny +2

    Hatari.Gen-Z n diyo dawa😮 Unase m a ukweli.❤🎉

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Před 16 dny +1

    Duuuuu htari sana,mungu zidi kujidhiirisha juu yadhwmbi hizi zinazoumiza wananchi wko.Pole kaka mungu mkuu kwko hki atakupa kutoka kwenye mikono yke.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 17 dny +2

    Waandishi hao ndiyo wanatuangusha kweli kweli kwa sababu karibu wengi ni wachawa wa watawala tu.

  • @BarnabaChota-tw7ol
    @BarnabaChota-tw7ol Před 15 dny +2

    Kuzuia kipawa cha mtu ni kosa maana ni cha Mungu

  • @user-ii7yw9ng5d
    @user-ii7yw9ng5d Před 17 dny +3

    Wamenunuliwa kwa bei ya njaa zao,Dola ina mkono wake hapo,baadhi ya mawakili wenzio ni wasaka tonge!

  • @FabianJustine-bq6qv
    @FabianJustine-bq6qv Před 17 dny +2

    Nikweli unachokisema Lakini nikundi la mambepali diyo kundi lao hatutawaweza kishelia mpaka jeshi liamue au wanaichi bila hivyo hatutomboi

  • @TemuCalvinWilbard
    @TemuCalvinWilbard Před 15 dny +1

    Kaka nakuamini sana na kwa uwezo wa Mungu vita hii kwapamoja tutashinda

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 17 dny +2

    Tunawaombea Mwambukusi, Mpina na wote ambayo wachawa. Sasa kama TLS ati ni wachawa pia. Wanatufanya kutowamini kabisa.

  • @josephpetro2968
    @josephpetro2968 Před 17 dny +3

    wasaka tonge na machawa wamekufanyia figisu watanganyika tunakuunga mkono

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 17 dny +1

    Hongera sana Mwambukusi Mungu akubariki aendelee kukipigania. Hao wanasheria wote ni WANACCM tu wakati wa michango wanazila kwa raha kukubwa.

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Před 16 dny +1

    Kumbe ndiyo sababu hawataki Katiba mpya kuna kundi la wahuni wanafaidi . Sema wakili sema ,usiposema mawe yatasema ! Amandla!

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 17 dny +2

    Ati hao ndiyo wanasheria? Tena wanashughulikia mwanasheria mwenzie je wakishughulikia sisi wanainchi na kama CCM ikiwemo?

  • @AyzalRicco-mi6iu
    @AyzalRicco-mi6iu Před 16 dny +2

    Ni mzuri sana ktk sheria ila apunguze mihemko.

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Před 16 dny +1

    Waambie wakili Mwmbukusi wameahidiwa kupelekwa Dubai kunywa wine kwa Tozo zetu.

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 16 dny +2

    Hawa ndo watetea haki?

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Před 16 dny +1

    Tanzania tunahitaji Ibrahim Traore wa Bukinafaso,!!

  • @user-fm3ew9tu9y
    @user-fm3ew9tu9y Před 17 dny +2

    Akili kubwaaa hii ni hatari kwa majizi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 17 dny +1

    Mungu yupo na atatutetea na wakati huu Mungu anatutetea.

  • @user-ii7yw9ng5d
    @user-ii7yw9ng5d Před 17 dny +3

    Wamekuengua kwa sababu ya ukweli unaouishi,mfumo wetu umetengenezewa kuupora uwazi na ukweli!

  • @migerajacob581
    @migerajacob581 Před 16 dny +1

    We are always together bro,, Tz ukisimama ktk haki wanakutengezea zengwe,,

  • @japhethbaalinda1756
    @japhethbaalinda1756 Před 10 dny

    unani inspire sana kaka nakukubali sana Mungu akulinde dhidi ya hao maharamia

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk Před 16 dny +1

    Hivi huyu mbona anauchungu na nchi tumper tuone Hays majizi yatakimbilie wapi

  • @D.P.O
    @D.P.O Před 7 dny

    Tuko pamoja na wewe mzee wetu mpaka kieleweke

  • @MethodkasyupaMwifyusi
    @MethodkasyupaMwifyusi Před 16 dny +1

    Kwan milad ayo hakujuaa kama una conference leoo Daaa jamaaa Kunguru sana yuleeee

    • @rizikiminga3010
      @rizikiminga3010 Před 15 dny

      Sio uyo TU kalibu media zote yaani WCB TBC clouds ITV na zingine zote awawezi kutoa taarifa kama hii kwa uma, ila ingekuwa taarifa ya kwamba MWABUKUSI anaamia CCM ungeona media zote za Bongo Zina report😢

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před 7 dny

    Wana nchi wa inje wa ndani tuna kuunga mkono ungegombea ubunge utuondoleye tuliya au ulaisi kabisa mungu amekupitisha angalizo usiwe kalibu na dr.silaa ni chawa wa ccm

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před 17 dny +1

    Nakupenda Uko vizuri kujenga hoja

  • @japhethbaalinda1756
    @japhethbaalinda1756 Před 10 dny

    Hongera mwabukuzi umeweka Legacy katika Taifa letu

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 Před 17 dny +2

    Hili hatukubaliani nalo

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 Před 17 dny +2

    This is double standard we won't vote

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Před 17 dny +1

    Atuna Bunduki lakini tuna Mungu Tutakuombea

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 17 dny +1

    Ukienda kuomba msaada unapelekwa kule kule ulikotoka kwa njia za ajabu sana.

  • @AndrewMwenda-ib1mx
    @AndrewMwenda-ib1mx Před 11 dny

    Hawa ni watu wenye utu uliopitiliza be strong tunakuheshimu sawa sawa uko sawa mkuu

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 Před 15 dny

    Duuh I wish TLS watafanyia kazi. Maana Wakili msomi kaeleza kwa ufasaha sana.

  • @EphraimMwasonya-s1w
    @EphraimMwasonya-s1w Před 10 dny

    Wewe wauongo sana huaminiki ulusema bandai hawatachukua wawekezaji yakowapi sasa hunajipya

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps Před 16 dny +1

    Tls iheshimiwe isiwe ya chama iwe ya Sheria tu

  • @thagondale9041
    @thagondale9041 Před 7 dny

    I stand with you learned counsel

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s Před 17 dny +1

    Tutakuunga mkono wakili msomi wala usihofu

  • @HenryShaury
    @HenryShaury Před 15 dny +2

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu Před 8 dny

    Yaani mwabukusi, unanipa Raha, Kuna jambo najifunza kwako, hakika uko poa sana

  • @user-bs7cw1oi6z
    @user-bs7cw1oi6z Před 17 dny +1

    Hatariiiiiiiiiiiiiiiii Mungu atupe uzima

  • @user-pv8iu6em6l
    @user-pv8iu6em6l Před 17 dny +2

    Watu kamanynyi ndo,mliobak kutetea nchi baba simama Imala

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 Před 15 dny

    Hongera sana wakili ❤

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 Před 17 dny +1

    Mwabukusi🔥

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 17 dny +2

    Kwa kweli wewe ni mkweli na unapigania watu. Sasa hawa TlS hii ni CCM tupu. Kwa nini walimtoa Fatuma? Kwa kweli sidhani kama bado hawasimamia sheria sasa wanaweza kweli kukidhi sheria hata kidogo TLS. ndiyo sababu hata Mahakama pia hawafanyi majukumu yao pia.

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb Před 15 dny

    Hizi nisku za mwisho kilicho baki Mungu tu wachungaji wakweli wote Tanzania kuomba Mungu tulipofika baya maonezi peupe shetani anatebea mtani bila woga mbalikiwa analia mtoto aliuwa ngolongolo wanalia sativa analia nk tunategemea mawakili nao magumashi tu tuko wapi Mungu tusaidie tutaponea wapi kweli hela baya Yesu alisema siku za mwisho watu wata penda fedha jamani wa Tanzania tuwe kitu kimoja Mungu futa vyama vya siasi lli tuwe wamoja siasa zitatupeleka pabaya

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk Před 16 dny +1

    Mwamba tunakuhitaji mno

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 Před 16 dny +1

    Yap💪💪💪💪💪

  • @mathiasombella7516
    @mathiasombella7516 Před 17 dny +1

    Naomben mamba yake aise

  • @freddymdassa
    @freddymdassa Před 14 dny

    Kwakweli sisi siyo wanasheria lakini kama hufai wakuache ukashindwe kwenye sanduku la kura.
    Kukunyima haki yako ya kidemokrasia tena ndani ya jopo la wanasheria inaleta ukakasi.

  • @user-pw8ml6ts8r
    @user-pw8ml6ts8r Před 17 dny +1

    👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @AndrewMwenda-ib1mx
    @AndrewMwenda-ib1mx Před 11 dny

    Corruption to our country only God will prevail

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu Před 8 dny

    Mwabukusi nijembe sana

  • @user-bs7cw1oi6z
    @user-bs7cw1oi6z Před 17 dny

    Hapo saachochea au mnaonaje, siku Moja nilimuona anaandamana mwanza dar es mwanza

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 Před 13 dny

    TLS ILISHAOZA, INAHITAJI WHOLE OVERALL. Sasa kama wanasheria wenyewe hawaamini sheria nakuisimamia,😂 maskini atapata haki kweli😃😃

  • @D.P.O
    @D.P.O Před 7 dny

    Akinyea pilau😂😂😂

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před 7 dny

    Mawakili mulishindwa machinga wataiondoa ccm

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 9 dny

    👊👍✌️

  • @user-ph7ht5iw8x
    @user-ph7ht5iw8x Před 15 dny

    Kaka povu la nn ongea na mawakili wenzio na muelewane kuliko kukimbilia mitandaoni,jipange na kujuwa unakosea wapi mpaka wanakubaguwa,?

  • @GidionKombe-h1p
    @GidionKombe-h1p Před 13 dny

    Huyu jamaa anachoongea kina mantiki jaribun kutumia hekima nyie Tls mtazalilika

  • @FedrickNgonyani
    @FedrickNgonyani Před 15 dny

    Duuu kumbe ni michango😂😂😂😂basi acha povu zamu yako ikifika na wewe utakula tu

  • @manethmwiyanja7654
    @manethmwiyanja7654 Před 5 dny

    Hao waliomwondoa mwabukusi kwa sababu ya kukosoa viongozi kwani sheria namba ngapi inasema ukikosoa viongozi ni kosa? sasa waliofanya hilo kosa la kukuondoa ni chawa pia wanadumaza nchi wanapaswa kuuwawa hao.

  • @jumamnumbwa9483
    @jumamnumbwa9483 Před 9 dny

    Huyu hana akili kweli ,ndio wanasheria wetu hawa wavivu wa kufikiri toka lini bandari ikawekwa kwenye resources exploitation? Huyu jamaa bure kabisa bandari inatoroshwa kwenda wapi?im3kua madini au pesa foreign exchange?

  • @sagandamalechampullo659

    Mwabukusi weka Namba ya Phone/ Bank Account tukuchangie kiasi cha Pesa Sisi Wapenda Haki

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 9 dny

    Kumbe kelele zote ni uroho wa madaraka ili uwapande watu kichwani.

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Před 13 dny

    Wewe ni mwamba kaka... Kama maCCM yamepeleka Hela kumng'oa yule mchungaji shoga wa kihehe, ahamie CCM, serikali hiyo itashindwa kukinunua ,nisamehe kwa kuuita, " kikoba" Cha wanasheria?

  • @ayububrantaya6624
    @ayububrantaya6624 Před 14 dny

    Myaki tulipamopene

  • @user-bq4tk6yq2q
    @user-bq4tk6yq2q Před 15 dny

    Hao mawakili waonaogozwa na rushwa kuunga mkono maovu ya ukandamizaji ni hatari kwa taifa

    • @menyemusic
      @menyemusic Před 14 dny

      Na wao kwa rushwa? hapo vipi? hii ni kesi shetani vs shetani. laana ya dhuluma ndio inawatafuna

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 Před 16 dny +1

    TLS ACHENI AIBU, WATANZANIA TUTAKIMBILIA WAPI??😂 HAPA MMEKUTANA NA MTAALAM WA SHERIA W😢AKILI MWAMBUSI, MTAJUA KUMBE HAMJUI !

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Před 15 dny

    Hatutapiga kura wakati ukifika

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 14 dny

    Siasa ni m b aya

  • @GidionKombe-h1p
    @GidionKombe-h1p Před 13 dny

    Unajua nyie wasomi ndy tunawategemea xaxa mnakuwaje hamjielewi tena

  • @josephpetro2968
    @josephpetro2968 Před 17 dny

    machawa yana comment uchawa toa hoja mwabukusi hoja zake zinamashiko shindanisha hoja .

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 Před 15 dny +1

    Sasa inabidi urais wa nchi na sio TLS… Nitakusaidia kiroho na kimwili

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785 Před 17 dny

    Niko nyuma yako mkuu

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 Před 14 dny

    Hata huyu mropokaji anataka uongozi?? Duuh!! Dunia imeisha, uongozi unataka mtu mwenye busara na hekima

  • @user-nl3vn6dg6j
    @user-nl3vn6dg6j Před 17 dny +2

    Mbona unajikamua sanaaaa?
    Angalia usijetokwa na haja kubwa

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 Před 17 dny

    Ww unacheza na serikali. Wala bado.

  • @user-nl3vn6dg6j
    @user-nl3vn6dg6j Před 17 dny +1

    Palipobaki tafuta ngurue ufuge .

  • @user-nl3vn6dg6j
    @user-nl3vn6dg6j Před 17 dny

    Wewe kwa mazungumzo yako tu huwezi kua kiongozi hata wa nyumba kumi achilia mbali kua rais wa TLS.
    Huna sifa zakuongoza ndugu

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru Před 17 dny +1

      Ni sifa zipi alizokosa ndugu kamilisha hoja

    • @cyprianonesmo1832
      @cyprianonesmo1832 Před 17 dny +1

      Kwenye msafara wa mamba na kenge wamo ndg! ​@@Kwelihukuwekahuru

    • @user-jj7qv7kh2s
      @user-jj7qv7kh2s Před 17 dny +1

      wewe jizi kubwa katika Taifa letu.

    • @user-lw3tg3yg5b
      @user-lw3tg3yg5b Před 17 dny +2

      Na wewe una sifa gani ?ya uchawa ?achana na Mwabukusi wewe huyu ni wale waliotumwa na Mungu kutetea raia na taifa kwa ujumla

    • @abdull_hafidh
      @abdull_hafidh Před 17 dny +1

      Kiongozi makini ni yule mwenye msimamo kama huyu Magu alikua na msimamo ndio maana Watanzania tulio wengi tulimpenda sana

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 Před 16 dny +1

    Tupo sehem mbaya sana. Kama Taifa mwizi anakuibia. Halafu mahakama iseme kaelewaneni kwani. Mwizi .hawezi chukuliwa hatua

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge5597 Před 17 dny +3

    Ndani ya TLS kuna vibaka wa Demokrasia