MWABUKUSI AMVAA MWANASHERIA MKUU/ASEMA SIOGOPI, SIISHI KWA VYETI, AMTAJA CHONGOLO, HAMJUI MSANDO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Komentáře • 145

  • @hollojuma9538
    @hollojuma9538 Před rokem +15

    Mimi sichoki kumsikiliza mwambukus namuelewa saaana 💪👍🙏🤝

  • @abdyissaabdi108
    @abdyissaabdi108 Před rokem +14

    Ujengewe sanam wakili😂😂🎉🎉🎉

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 Před rokem +15

    safi sanaaa! Boniface Anyisile kajunjumele Mwabukusi.

  • @florianakhweso5749
    @florianakhweso5749 Před rokem +8

    Asanteeeee Mheshimiwa wewe ndo Mheshimiwa na sio hao vichaa walio logwa WA ccm

  • @aikandeshoo5354
    @aikandeshoo5354 Před rokem +8

    Ubarikiwe mtumishi wa Bwana. Mungu hatakuacha, simamia hapohapo na taaluma yako inakulinda

  • @silverrichard1211
    @silverrichard1211 Před rokem +15

    Safi huyu ndie mzarendo wa kweli

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Před 2 měsíci +1

      Wazalendo wazuri katika nchi hii wanayosifa. ya kupuuza ushauri was watu ambao siyo viongozi CCM na serikalini wanajua familia zao tu na wale machawa wanaojipendeza kwao ambao ni wachahe sana hawafiki hats milioni mbili walipobaki wanaonekana ni mbumbumbi hwaskilizwi

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo6949 Před 3 měsíci +5

    Mwabukusi uko vzr sana ila kwakuwa watu wanaona wote ni mbulula watanza

  • @user-eq9lw9ju1l
    @user-eq9lw9ju1l Před rokem +8

    Uko vizur bon mungu atakusimamia na wataanzania wote wanao jua haki zao na uzalendo wa nchi Yao.

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 Před rokem +15

    AG kachemka hapo, bora anyamaze maana watanzania tunaelewa kinacho endelea. Bandari zetu haziuzwi. Tutasimama na Mwambukusi hadi kieleweke

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry7346 Před rokem +10

    Ukiona baba anauza nyumba alafu watoto Wanashangilia kununuliwa Mandazi,Hao watoto sio Bure ni Machizi na Mateja

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry7346 Před rokem +5

    Wafundishe Bro Big Up

  • @MeshackMwangwale
    @MeshackMwangwale Před měsícem +3

    Wewe songa mbele tunakuombea hatuna pakusemea MUNGU Akulinde.

  • @pillykimenyi846
    @pillykimenyi846 Před rokem +5

    Mungu awe pamoja nawe nasi tunakuombea watanganyika tuko pamoja

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Před rokem +3

    Hongera ndugu kazi yako Mungu anaiona,umejitoa sadaka Kwa akili yetu sisi wanyonge Mungu akuinue ktk jina kuu la Bwana Yesu,

  • @IbuGang
    @IbuGang Před 21 dnem

    Mimi sichoki kumsikiliza Mwabukusi ni mkweli na yupo wazi Mungu amlinde na amtuze na kila roho ya upinzani inayomfatilia ishindwe Katika jina la Yesu kristo ameen

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t Před měsícem +1

    Barikiwa baba Mungu aendelee kukuinuwa tena viwango vya juu

  • @JosephinaLuoga-lo9os
    @JosephinaLuoga-lo9os Před 9 měsíci +2

    UmewAzidi wote bro hakika wewe ni mzalendo. Pamoja sana

  • @violetn.finnvik373
    @violetn.finnvik373 Před rokem +2

    🇹🇿🙏🙏😭.Mungu ibariki Tanzania. Kaka ubalikiwe🙏❤️

  • @jumannesalumu8290
    @jumannesalumu8290 Před rokem +3

    Hongera sana tupamoja towatamko

  • @success-only
    @success-only Před rokem +5

    Aisee, mwanaume na nusu
    Vyeti ni vithibitisho vya kwenda shule,
    Na siyo lazima uwe umesoma ndipo uishi na kuwa utashi kama Binadamu

  • @sadallahbataza1906
    @sadallahbataza1906 Před rokem +5

    Ubarikiwe kakaa ulikuwa wapi ww miaka yote hii?!

  • @ezammwakisambwe-t8u
    @ezammwakisambwe-t8u Před 21 dnem

    Makini sana kiongozi wetu tunakukubali mzee unatemaga madini TU aisee!! May God protect you

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před rokem +3

    Mwambukusi kiboko Uko vizuri

  • @elizabethringo7154
    @elizabethringo7154 Před rokem +3

    Kwenye haki ya nchi sema ukweli mungu akutetee

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Před rokem +5

    Daaaaah aibu imshukie huyo wakili mkuu Boniface hata mkimfungia vyeti haitowasaidia chochote tutasimama Na ukweli,nimeiona Tunduma iliposimama Na Boniface pale walipobomolewa nyumba Zai mpakani watu walilipwa fidia zao huyu kaka anamsimamo wenye manufaa makubwa ✍️

    • @balthazarkilasi9825
      @balthazarkilasi9825 Před rokem

      Wakili wa Serkali amesema mkataba huo DP wamesema ktk. Kipengele kimoja ya kuwa TPA au WATANZANIA tukitaka kuendeleza Bandari yeyote nje ya tulizokubaliana. "LAZIMA TUWAARIFU" ....wao DP sikukuelewa,jee ni kweli tunatakiwa kufanya hivyo na ni utaratibu? tuelimisheni!

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Před 23 dny +1

    Hakika ninhekuwa na ulinzi ningekuwekea .Ila nimekuwekea ulinzi wa MUNGU UNATOSHA KWA MAISHA YAKO YOTE.

  • @AbdalaKitangoma
    @AbdalaKitangoma Před 20 dny

    Jamani mungu ametuletea mkombozi mwingine tumshike mkono namungu amlinde

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Před rokem +4

    Tungepata hata watz 5 tu kama huyu, daaah tz ingenyoka

  • @ClemoohPeter
    @ClemoohPeter Před 2 měsíci

    Safi sana baba tutetee sisi ambao hatuna wa kutusemea hayo mana hawa viongozi sijui hili taifa wanataka kufilisi

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu Před 23 dny

    Safi sana, nakukubali sana, uko viziri mwamba

  • @hanscmakerdm9943
    @hanscmakerdm9943 Před rokem +7

    Respect 🙌

  • @olemnakitende7637
    @olemnakitende7637 Před rokem

    Yani naomba kabxa, thanks alot,kila mmoja ana haki

  • @lunjeramadhani1295
    @lunjeramadhani1295 Před rokem +1

    Mwenyezungu akupenguzaidi kaka

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg Před rokem +1

    ❤❤❤❤❤ san ww ni kichwa

  • @karushakamusa5525
    @karushakamusa5525 Před rokem +2

    Safi sana msomi

  • @festoasanga5572
    @festoasanga5572 Před rokem +4

    Nakupenda bure msemaji wawanyonge

  • @HassanSaburi-ge6ej
    @HassanSaburi-ge6ej Před měsícem +1

    Baba pambana tuko nyuma yako wameanza muda mrefu sana haya mambo Yao ya wizi

  • @MartinSiimay-jj9jk
    @MartinSiimay-jj9jk Před rokem +1

    Safi sana kamanda

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab Před 7 dny

    Kiongozi Wa Bala Akienda Zanzibar Anaenda Kutalii Lakini Wa Zanzibari Akija Bala Anakuja Kupiga Kazi Acheni Wana Shelia Wacheze Ngoma Tuone Washindi Kuliko Kupiga Mazogo Vijiweni Kupitia Wasomi Bola Tutajua Wapi Kunavuja Lakini Raisi Wetu Anapiga Kazi Hela Anatoa Lakini Waliochini Yake Ndio Tatizo

  • @gibsonsilungwe685
    @gibsonsilungwe685 Před rokem +2

    People of Tanzania. I can assure you that ccm they are deeply devoted to God, but their devotion is not based on true knowledge. They have not known the way in which God puts people in right with himself, and instead, they have tried to set up their own way, and they did not submit themselves to God's way putting people right. Waroma 10vs1-4

  • @kessydieselengineers3205
    @kessydieselengineers3205 Před 22 dny +1

    Wanategemea police ndiyo wanawapa jeuri

  • @robinilomo2887
    @robinilomo2887 Před rokem

    Asante bro,kati ya Wasomi wachache Tanganyika wewe umo,Endelea na Mapambano tupo na wewe,Wameshazoea kutishana hao wachumia Tumbo,Wasomi wa Tanganyika wengi hawajitambui wanaendeshwa kwa tamaa sio Weledi cha ajabu wanajiita Maprofesa na Madokta

    • @yussuffadhil4522
      @yussuffadhil4522 Před rokem

      Hahaha babdari itauzwa tuu

    • @yussuffadhil4522
      @yussuffadhil4522 Před rokem

      Hahaha bandari itauzwa tuu...... na leo mnatambua km kuna Tanganyika?

    • @robinilomo2887
      @robinilomo2887 Před rokem

      @@yussuffadhil4522 Kichwa Maji we hujitambui,kati ya hao majuha niliyowaongelea

    • @robinilomo2887
      @robinilomo2887 Před rokem

      Tofauti ni kwamba we hujasoma,Failure

  • @AkleyNziku-cv9lt
    @AkleyNziku-cv9lt Před rokem +1

    Mwabukusi Mungu awe na Wewe Daima

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm Před 4 dny

    Bora

  • @swalehemusa4546
    @swalehemusa4546 Před 9 dny

    Wananchi pamoja na police badala ya kupambana na viongozi ambao wanaturudisha nyuma wao wanapambana na chadema

  • @ofreyking5975
    @ofreyking5975 Před rokem +3

    Hawa ndio wanatakiwa kua viongozi sio wapga dili miaka yote wawekezaji hawana msaada wowote kwnn maden yanaongezeka kila cku waache bandali kama wameshindwa watoto zetu watakuja kuiendesha

  • @olemnakitende7637
    @olemnakitende7637 Před rokem

    Mungu yupo nasi,ubarikiwe,sana

  • @Clement-px8eg
    @Clement-px8eg Před rokem

    Mungu akubariki sana

  • @amosbirusha952
    @amosbirusha952 Před rokem

    Kiongozi mzuri sana ni yule anaesikiliza maono ya anaowaongoza,na si vinginevyo

  • @HassanSaburi-ge6ej
    @HassanSaburi-ge6ej Před 25 dny

    Hivi watanganyika nao wanahuziria kwenye vikao vya zanzabr loo soyati ?

  • @JohnMagweiga-uu8fv
    @JohnMagweiga-uu8fv Před rokem +1

    Usimwogope mwanadamu

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před rokem +1

    Mainzi kijani watanzania tunamweleea San wakili mtajua hamjui

  • @michaelkimweri1074
    @michaelkimweri1074 Před rokem +2

    Kaka uko viziri hatuna hamu na ccm,tupo nyuma yako kimaonbi,hii no haki yeti.

  • @user-ji1mq4sk1n
    @user-ji1mq4sk1n Před měsícem +1

    uwoga wetu haujawahi kutusaidia

  • @thomasmmoka4884
    @thomasmmoka4884 Před rokem +2

    Ingekuwa vema kama Mama Samia angemteua Mwambukusi kuwa AG badala ya Feleshi.Mwambukusi kawaumbua madalali wa DP World,sasa wanaona haya,kumchukia na kumfitini Mwambukusi!

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 Před rokem +1

    Mimi kama mtanganyika nikopamoja nawewe wakili musomi

  • @AshrafuMwalongo-km5fd
    @AshrafuMwalongo-km5fd Před 10 měsíci

    Mungu akupe maixha malefu

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Před rokem +2

    bora mwanasheria mkuu wa serikali angekua mwabukusi anaeleweka kuliko.huyo swaza wa.mkatabata wakimagumashi, tunekuelewa mwabukushi❤

  • @SamweliHozza
    @SamweliHozza Před 24 dny

    Hili lijanaa ni very smart

  • @YoakimMsuha
    @YoakimMsuha Před 23 dny

    I see new TANZANIA

  • @hamisiomari-k9z
    @hamisiomari-k9z Před 23 dny

    sana boss

  • @user-nt4lp9dy6i
    @user-nt4lp9dy6i Před rokem +1

    Haki yetu haki yetu haki Mali zetu uzalendo na Katina mpya vyote viwe wazi tutetee kaka yetu hatutaki tena kuwa watumwa

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg Před rokem +1

    Damu ya yesu ikufunike

  • @FloridaAdelinus
    @FloridaAdelinus Před rokem +1

    Kweli kabisa Hata MAMA amekubali kwamba wanasheria wake wanaogopa wazungu ndiyo maana wakienda kututetea kimataifa wanashindwa kesi. Inavyoonekana hata katika kusaini mikataba wanaogopa wazungu hawasomi kilichomo wanasaini tu ndiyo maana wamesaini bila kusoma na kusababisha TZ yetu kuingia kwenye taaluki. Mchague Bwabukusi awe AG ambaye hawaogopi wazungu tuweze kushinda hizo kesi zingine zilizoko kwenye mahakama za kimataifa. MWABUKUSI OYEEEEE.

  • @edithmwasulama7005
    @edithmwasulama7005 Před měsícem

    Mnyakyusa hapelekwi pelekwi kipuuzi hana unafiki na woga

  • @olemnakitende7637
    @olemnakitende7637 Před rokem

    Mungu yupo nawe kabxa,

  • @AbdulOthman-gy7nu
    @AbdulOthman-gy7nu Před 22 dny

    Unafaa kuwa rais wa Tanzania

  • @legendmmari8094
    @legendmmari8094 Před rokem +1

    Kudra anatumika vibaya kwenye lipi soma mkataba acha kuwa mbumbumbu

  • @alfrediaugustino1026
    @alfrediaugustino1026 Před rokem +1

    Mapambano ya haki huwa haiombwi bro uko fiti ,okoa bandari zidi ya genge la wahuni serekalini.

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Před rokem

    Gwajima,Yuko wapi mbona Yuko kimya

  • @rogattemba
    @rogattemba Před 19 dny

    ❤❤❤❤❤❤

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 Před rokem

    Hakika tunaitaji kuamka izo nchi za kiarabu kipindi tunapata uhuru zilikuwa na Hali mbaya kuliko sisi na ukilinganisha rasilimali zao ,ila Leo sababu waneendelea tuendelee kuwategemea ili tuendelee kuwa watumwa wa fikra ukweli watanzania wenzangu hii haiko sawa hata Kwa mtu yeyote chini kule huu mkataba wa bandari na mikataba mingine kuhusu Mali asili ,nishati za umeme , jeshi ipitiwe waarabu wamepenya ndani wameweza Sasa wakichukua na bandari ...ni mfano wa mwizi kaingia ndani na kapata ufunguo wa mlango mkubwa wa sebureni ule wa kutoka nje ....watanzania wengi nimeongea nao wanasema tuache tu tunaathirika na nin mbona hiko ivyo toka zamani najisikia vibaya maan uchumi tulionao sio sawa na hata maendeleo ya sekta zetu zote Bado afya,elimu, miundo mbinu na nk na Bado mtu unasema sawa aloooho tuamke sio sababu ya chochote ila tuweze kutoka katika Giza hili na kujua haki zetu onene wenzetu uko mbele wanavyoishi we need to change our mind tuondoe hofu

    • @muuminikidunda9214
      @muuminikidunda9214 Před rokem

      Mbona wazungu wanamiliki migodi mingi ya dhahabu na kuendesha mashirika yanayosupport ushoga hao mawakili wapo kimya

  • @user-bx3em9jc6m
    @user-bx3em9jc6m Před 11 měsíci

    Mungu yu pamoja nawe hao ccm hawana dini

  • @lalosalamanca7131
    @lalosalamanca7131 Před rokem +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @jumarobert4929
    @jumarobert4929 Před 11 měsíci

    God blass you baba

  • @barakamusapolekidoti957
    @barakamusapolekidoti957 Před 21 dnem

    Mkuu heshima kwako

  • @user-rp1ys6pw9f
    @user-rp1ys6pw9f Před 11 měsíci

    Mbona kila ukiongea siogopi ni mtanzania yupi uliomuona anaogopa unajiita msomi kweli umeenda shule lakini huna hekima na pia hujui kupanga maneno kuna watu wenye hekima wanakufatilia kukusikiliza ila tunahisi kuwa ww unaogopa sababu ajenda uliyopewa na wateja wako kimekuzidi uzito

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 Před 22 dny

    MWABUKUSI UNAOTA AU VIPI WAZANI KUNAMTU AU WATU WANAKUOGOPA WAMEPITA WATUKAMAWEWE NAKUPITA WEWE WEWENANI NIMUGU

  • @digostjafety6070
    @digostjafety6070 Před rokem

    Wanatumia pesa zetu vibaya wanawapa alikiba na diamond ili watu tusahau kusikiliza vitu vya msingi

  • @muuminikidunda9214
    @muuminikidunda9214 Před rokem

    Wenzio walikataa SGR,bwawa la mwalimu nyerere wakamkataa na magufuli , amekufa upepo umebadilika leo wanataka magufuli awepo?

  • @jumannesalumu8290
    @jumannesalumu8290 Před rokem +1

    tukopamoja tumechoka kuongopa

  • @Nancy-z8h
    @Nancy-z8h Před rokem +1

    Watuachie bandari yetu titatusiadia katika muungano wa one african na putin wetu

  • @evaemil856
    @evaemil856 Před rokem

    Amen

  • @danielchacha1305
    @danielchacha1305 Před rokem +2

    Hawa watu hawana aibu wala huruma hata kidogo.Kama wazee wetu waliilinda nchi yetu kwa gharama kubwa hadi uhai wao na ndio maana leo wanakula na kuendesha magari makubwa na wamejiona kuwa miungu isiyokosolewa! Daw ni kuwatoa madarakani kwa nguvu ya uma.

  • @fatmaabdullah7516
    @fatmaabdullah7516 Před rokem

    Mungu akulinde wewe na muheshimiwa bashe nyinyi ni wazalendo

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry7346 Před rokem

    Nchi hii hivi ,Vihiyo na vipaza mpaka lini

  • @kinkybanjukome217
    @kinkybanjukome217 Před rokem

    Umeongea kweli alutakontinua mapambano yaendelee

  • @BoniventureMagina
    @BoniventureMagina Před měsícem

    Huyu mwamba shikamooo

  • @muuminikidunda9214
    @muuminikidunda9214 Před rokem

    Tatizo njaa mnataka kitonga bandarini kuna wizi mkubwa ndio maana bandari kubwa maendeleo hakuna. Wacha waarabu wawanyooshe nyie wezi mawakili .hamtaki waarabu wawafundishe jinsi ya kuendesha bandari

  • @AbdalaKitangoma
    @AbdalaKitangoma Před 20 dny

    Mwamvukusi nunua maik unawajua mtani tumepata jembe

  • @muuminikidunda9214
    @muuminikidunda9214 Před rokem

    Tembelea upepo kaka, wenzio watakuacha upepo ukivuma upande mwingine

  • @kingngojea
    @kingngojea Před rokem

    Mwabukus saluti kwako mwamba wewe mtanzania wewe nakutukana wewe ni litanzania uliezaliwa Tanzania utakufa kwaajiri ya nchi Yako mtanzania mkubwa wewe

  • @kingngojea
    @kingngojea Před rokem

    Tungekua na watu 50kama awa daaa

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 Před rokem

    Sasa wewe mnafiki huu ushujaa wote ulionao ulikuwa wapi wakati magufuli anafungia watu kwenye viroba,ulikuwa wapi wakati magufuli akiamuru tundu lissu auliwe. Watu rabish kama huyu hawezi kunishawishi chochote

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 Před rokem

    Watu wa Pwani watu wa hovyo sana. Kinachoisumbua nchi hii ni ushenzi wa watu wa Pwani…..wapuuzi wanaocheka cheka huku wakiuza nchi. Mbwa kabisa wale

  • @malackedson7706
    @malackedson7706 Před 11 dny

    Mwamba huyuuu

  • @luckMwamwage
    @luckMwamwage Před rokem

    Kyala aje nanungwe nkulumba.

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar8988 Před rokem

    Huyu bwana ha ha ha ha ha ha

  • @EzekiaMtwale
    @EzekiaMtwale Před 22 dny

    Hamasisha usichoke kuwaelimisha watanganyika baba tupo pa1 hatuogopi matisho!!!

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 Před rokem

    MAWAKILI KAZI YENU UWA YA AJABU SANA..WAKILI ANAWEZA KUMTETEA MTU ALIYEMDHURUMU MTU MWINGINE ILI ILE HAKI AIPATE KWENYE KUDHURUMU..HILO JAMBO WASUBILI KIDOGO WATAKUJA KUMJUA M'MUNGU NI NANI..SIO MUDA MULEFU KWSSB MAISHA NI MAFUPI SANA..NA ELEWA HAKUNA MTU MWENYEJI DUNIANI TUNAPITA TU