Mwabukusi: Kuna Spika Amefukuzwa Kama Muuza Bamia, 'Spika Sio Mali ya Chama'
Vložit
- čas přidán 26. 08. 2024
- Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.
Haya ni Maneno adiimu sana kuyasikia. Mwabukusi piga kazi, una watu wengi sana nyuma yako.
Hongera ndugu Mwabukusi kwa ufafanuzi mzuri hakika bunge la sasa hakuna lolote kila kitu ni ndiyooo
Mimi nakuelewa Sana mzalendo namba moja Tanzania nakuelewa mnooooo.
Brother unachoongea ndio uhalisia,mungu akubariki sana you are truly and honestly.Watanzania tunaumizana wenyewe kwa ubinafsi wetu hatuna umoja.
Uko vizuri sana wewe.Nimekuelewa haswaaaaa.
this is the turning point, viva MWABUKUSI THE HEROE
Ooh my God.
I love this speech.
It's exactly what we experience with these elections.
Imefika wakati mgombea akihujumiwa apige kelele sana. Syo ku kaa kimya kama mazezeta.
Enzi za uzombi na uzezeta zimeisha.
Brain,smart,highness intelligent💕
MUNGU WANGU KWANINI USITULETEE WATU WAWILI WATATU KAMA HAWA? WASIOJALI VYAMA?❤❤❤❤❤ I LOVE THIS MAN OF GOD.❤❤❤❤
Great speech hon.Mwabukusi, Viva kaka Thomas
Nakuelewa sana kaka uko sawa kabisa
Kaka mwabukusi Mungu wngu akusaidie usibadili kwenye misimamo yko na usimame kwenye kweli na kweli hiyo itakuinua zaidi, mm niko pamoja nawewe
Tunahitaji watu kama hawa katika taifa letu
Asante sana kamanda
Brain Smart, our Speaker🎉🎉🎉
Siku zote ninaamini amani ya taifa hili imeshikiliwa na wapinzani, maana wanafanyiwa vitendo vya kikatili ambavyo laiti kama wasingekuwa wazalendo watu wangekuwa wanauana hovyo kwa kulipiza kisasi..na mambo hayo wangekuwa wanafanyiwa sisiemu kusingekuwa na amani.
Uko sahihi ndugu CCM NI HATARI SANA!!!! Kiss TU MADARAKA NA MALI!!! WAMESAHAU KABISA KUWA YAKO MAISHA BAADA YA HAYA TENA NI YA MIKELE.
Big up
mwambukusi big brain
Mwabukusi akiungana na LISSU unaweza kuilata Tanzania ya amani ya kweli na siyo hii ya mchongo.
Hata hujui unacho andika. Yeye hapo anapingana na akina Lissu na wanasiasa wote kisa wanashiriki chaguzi
Lisu ni maneno mengine kaka hata mwambukusi anamkubali lisu na mbowe,huu ujasiri kajifunza kwa hiyo miamba,lisu na mbowe ni magreda yaliyotengeza barabara ya lami sasa magari ya akina mwambukusi yanatereza tu😂😂😂
That's true
Mwanadamu atakuchelewesha lakini mungu kwake akuna kuwai wala kuchelewa, wewe ni mbunge jimbo atakalokupa mungu mtetezi
A truly and honestly.Wow whaya speach
Mwabukusi wakili msomi kuishinda Ccm ni kazi sanaaaa hyo mpaka Katiba mpya tu
Watu wenye akili timamu kama awa uwa awacheki wala kuimbiwa nyimbo wala kusifiwa wakute wajinga mapambio sifa za kijinga mpaka wanakuwa na frash cd mfukoni za mchiliku anawajua wasanii wate wa singeri watashinda mungu yuko nanyi nasisi wachache tutaamasisha wezetu tulikomboe taifa
Ni kweli hata majambazi yamekimbilia bungeni kwa sababu yamegundua bungeni kunalipa!
Jimbo la kawe kwa gwajima police walikamatwa na kura kibara za ubunge na urais zimepiwa tiki za ccm walikamatwa lakini hawakufanywa chochote
Uyu jamaa kwanini asiunganishe nguvu na lisau
Barikiwa mkuu
Unaongea vema, kundi kubwa la wasomi wa Tanzania ndio wanaouymiza nchi hii.
Aisee naomba nirudie kuiangalia, huyu janaa wa moto mbaya🔥🔥🔥🔥🔥
COMRADE MWABUKUSI.....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.....WATANZANIA KWA MAMILIONI TUNAKUELEWA SANA.
Huyu jamaa yupo vnzr lakini na shindwa kuelewa ni chama gani kwaa wakati huu
Ccm chadema
Sauti ya watanzania..
@@user-jc8el6je5eSAUTI YA TEC 😢😢😢😢😢
Yaani Ndugai alifukuzwa kama kibaka kisa kakosoa matendo ya serikali na rais wake
George sasa limebumbuluka alichosema kuwa nchi imeuzwa jubu ni kweli Bandari zote Mbuga za wanyama zote loliondo nk sasa ni aibu tupu
Pia naye alilipwa mshahara wa dhambi yake kushirikiana kwa hila kuumiza upinzani contrally kabisa na taratibu za kibunge.
Mara ku-approve wabunge fake
Unafaa kuwa speaker wa bunge tz
Nchi ipo gizani sana na sababu ni hawa CCM.
Nikufananishe na nani sijui we ni kiboko mungu akulinde tu mwamba ukosawa kabisa
Jipange tena bra ela utapata kwa wananchi ... katukamatie hawa ... na hapo katiba itapatikana ...
Well don bro a very slow lanner can also know the concerpt
Huyu jamaa akiungana na ZITTO KABWE watakuwa wamefanya Bonge la Kolabo.
Zito Kabwe yupi huyo mwenye price tag no please.
@@mesharothuman2443SABABU SIO MGALATIA 🥳🥳🥳🥳🥳💯💯💯💯💯
Zitto kabwe hamna kitu acha kumkosea heshima Mwabukusi
Zitto ni tunu ya Siasa za Tz,hakurupuki,anafanya tafiti na hata anayefikiria kupinga hoja zake anajiuliza mara mbili mbili ni mtu smart sana
Kinachoponza na kumponza Zitto ni kuwa na akili nyingi kuliko wanaomchukia
@@simbahmsini Zitto kabwe siyo mtu wa msimamo ndo haaminiki siyo kwamba anachukiwa
Hahahaaaaa du kuanzia leo nawabatiza nyi ni pacha lisu kulwa mwabukusi doto kibatara shija madeleka kashinje
Jiamini kwanza unaweza kupambana na CCM.Akina fulani hatunao sababu ya red carpet Mang'ula mungu bado anaye.
Hadhi ya haipo.Imekwisha kabisa
Spika ulishika muhimili wa kumtetea wanyonge toka uondoke au kuachia ngazi umeshuhudia jinsi nchi inavyoliwa na wajanja ,KwaSasaMaoni yako ni yapi.
Mm nawashangaa sana hawa CCM wao wanajinadi kua ni chama pendwa kwann wanaogopa katiba mpya
Duh! hakuna haki kbs
Kwa kweli wizi wa kura ni ushenzi sana. Watu tunaachashuguli zetu , tunapanga foleni halafu ni juani na njaa,, halafu MIPUMBAVU inatudhihaki.
Nakuunga mkono kaka %100.
Mhe. Mwabukuzi aungane na Mhe. Lissu waongeze nguvu kupapambania haki ipatikane Tanzania na kuiondoa CCM madarakani.
kaka mwabukusi kwani comenti zangu uwa auzisomi kilasiku nakushauli kama elimu unayo kaanao ccm muyajenge wakupe kitengo ule keki ya taifa kwa sababu dalasa unalo fundisha wanafunzi wako hawakuelewi wote wapo kwenye kombe la mapinduzi zanziba pigania masilai yako watanzania vigeugeu wanao kusifu leo ndio watao kutukana kesho
Mwabukus ongea machache wasije wakakigeuka😂😂
😂😂😂
Kumbe kuna million 50 zinahitajika kwaajili ya kushinda?
Anayetafuta hii hela anaitafuitia wapi na baada ya kushinda anailipaje?
Rushwa na mambo mengine ya chini chini yataisha
Fomu za wagombea chama tawala huelekezwa na kusahihisha na maafisa wakishirikiana na wakala. Halafu wapinzani hutumika hayo makosa kuengua wagombeya.
Sasa we umekuwa raise ili uwombe kurudishiwa hela yako ya uchaguz du mawakili mmefly
Wabunge mnasikia?
Vibaraka WA ccm utawaona tu kwenye comment zao kama huyu mayallays wewe ni malaya
Yaani safari hii watu wa tume wajiangalie watakufa wakileta ujinga na shangwe la kutosha.. kifo chake..
Mwambukusi kachukue katibu mkuu chadema,mnyika awe naibu katibu mkuu,pale mbowe,kule Tundu Lisu,hapa mwambukusi,ukaongeza kina Heche,Lema,John mrema,kina kigaila n.k😂😂😂😂 utapenda hii safu hata kama hutaki
😂😂😂 spika kafukuzwa kama muuza bamia nani uyo
Jobu Ndugai
Maneno mazito Sana niyakuyatafakali si kukimbilia amani
Njoo ugombee jimbo la shinyanga mjinibos
Nimekuelewa
2025 Mungu saidia. Maama sipati picha.
Haki huinua taifa. Tuiombee nchi yetu sana
Sawaaa
KAkA WEWE NI MKOMBOZI WA NCHI HII !
NAOMBA KAZA KAMBA HADI ZIBANE !
Wewe ni mtu uliyejaliwa akili na ambaye unaonea fahari kufikiri kwa kutumia ubongo.
CCM inafanya uharamia ktk uchaguzi. Ni kazi bure kukubali Sheria na Katiba mbovu ambazo zinamweka juu ya Vyombo ambavyo vinapaswa kufanya kazi kwa uhuru na haki.
Upo sahihi KAMANDA pigs kazi
Mkuu alisema yeye ni chura kiziwi. Lakini mawaziri na waandamizi waliokuwepo pale walipiga makofi. Sasa kama ni hivyo nani arasikiliza maoni yetu? Ajabu.
mahakama aipo huru hata kwa mvuta bangi au kibaka tume hii ni majizi wote
Nimekuelewa na nimekubali ndio ukweli na uhalisia
Watu wanamnahiii walindwe
Mwabukus lisu mudude wakili musomi mbatia muugeni mukono lisu mulete ukombozi
Justin meabukusi ni C hadema
Watu wenye akili timamu ndohawa sasa
Aya mwamba leo raisi
Katuni wa serikali et Tulia jamani ..kwa sura ile roho itakuwaje sasa..hamna kitu pale
Sura ndiyo inafanya kazi,mbona magufuli hakuwa handsome kama jakaya lakini kazi yake hakuna mtanzania hakumuelewa
Acha kutukana. Pamoja na sura mbaya kichwani yuko vizuri.
Ningependa kila atakapogombea tulikuwa na wewe ugombeee papoose hapo ili tumnyoshee nyang'au huyu
Hakika mwabukusi ni madin
watanzania tumesha anza kuamka ss,ushindi wala hauko mbali
Sijui tufanye nini binadamu hawa waingie bungeni target ni ngumu Sana
Kwaiyo. Sisi wauza bamia umetuzarau Sana Sana sio? Wacha kauli chafu
😂😂
Aliewazalau sio mwabukusi Bali ni huyo anaewapelekea migambo na kuwafulumsha mtaa Kwa mtaa Kwa vilungu
Dawa imepitaa😂😂
D
Kufukuzwa hajaaza spika zanzibar tulichaguwa Rais jumbe bara mkamfuka mkamuweka kigamboni mpk kafa tukaenda kuzika zanziba
SISI WATU WA MBEYA UKWELI TUNAUJUA USHINDE UBUNGE KWA CHAMA CHA NCCR MAGEUZI BUSEKELO 😂😂 LABDA LAKINI TUSIZARAU HUENDA UKAPATA. YAANI HUKO BUSEKELO NA RUNGWE YOTE HUPATI NG'OOO LABDA KAGOMBEE KWA CHAMA KINGINE SIO NCCR MAGEUZI.
Umeanza kuimba taarabu?
Unapoteza muda Rudi Mahakamani CCM ni chama Pendwa kwa Watanzania 12:48
👀😩
Tupiganie kaka
HIL JAMA LINAPOINT SEMA LINANIKELE LINAVYOONGEA KWA KUFOKA FOKA HALIJUI KUONGEA KISTARAB HAPO NDIPO LINAPO FEL EM JIFUNZE KUONGEA NA WATU VIZUR USITIFOKEE
Unataka aongeaje broo
Haongei na ww anongea na wakora
Yan ww nikikuona nakutaftia pozi nakubenjua mayai viza
mwambukusu Ni mzarendo
KUMBE NIA YAKO NI UBUNGE KUROPOKA HIVYO KILA SIKU.UBUNGE BWANA HUUPATI😂😂😂
Nimecheki jina lako, hapa hapakuhusu🎉🎉🎉
Ni moja kati ya Manyumbu majaza Tumbo ndio uhalisia wako mbulula wewe
@@mosesmacha1080kweli yako🎉TUNAJUA Ni WAGALATIA SIKU NYINGI 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
Kwani hastahili ? We vipi
😮😮😮😮😮😮u
ttumekuchoka kalale
Mwambie akalale mama ako anae uza Uchi punguan wew
Du! 😂😂😂
Omba msamaha kwa wauza bamia
Wewe acha uongo
Iv unaakiri timam
Huna sera mzee,ww hata chadema tu wanakushangaa
tundu lissu wa pili huyu mwambukuzi sio mbowe muuza democracia ya tz
Mtabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa nchi hii vibaraka wa mabeberu ukimaliza kubwaka ukapige mswaki domo lako lina nuka
Kuma ww
Katika watu wasiokuwa na akili wewe yani kiongozi anaongelea ili inchi ibaki kuwa salama wewe unasema anaropoka nyie ndo majizi wauza Bandari nyie hovyo kabisa
WATANZANIA HAWAWEZI KUWACHAGUA HAWA NI WAHUNI NJAA INAWASUMBUA
makalio yako nd0 yananuka Kuma wewe! mbwa mama ako na babaako