Mwabukusi: Kuna Spika Amefukuzwa Kama Muuza Bamia, 'Spika Sio Mali ya Chama'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Komentáře • 136

  • @user-jb3zp9uo7o
    @user-jb3zp9uo7o Před 7 měsíci +24

    Haya ni Maneno adiimu sana kuyasikia. Mwabukusi piga kazi, una watu wengi sana nyuma yako.

  • @ngamugamahonzelosanga3316
    @ngamugamahonzelosanga3316 Před 7 měsíci +9

    Hongera ndugu Mwabukusi kwa ufafanuzi mzuri hakika bunge la sasa hakuna lolote kila kitu ni ndiyooo

  • @oscarkasalile3966
    @oscarkasalile3966 Před 7 měsíci +11

    Mimi nakuelewa Sana mzalendo namba moja Tanzania nakuelewa mnooooo.

  • @mesharothuman2443
    @mesharothuman2443 Před 7 měsíci +16

    Brother unachoongea ndio uhalisia,mungu akubariki sana you are truly and honestly.Watanzania tunaumizana wenyewe kwa ubinafsi wetu hatuna umoja.

  • @samwelmohonge4573
    @samwelmohonge4573 Před 20 dny +3

    this is the turning point, viva MWABUKUSI THE HEROE

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 Před 7 měsíci +14

    Ooh my God.
    I love this speech.
    It's exactly what we experience with these elections.
    Imefika wakati mgombea akihujumiwa apige kelele sana. Syo ku kaa kimya kama mazezeta.
    Enzi za uzombi na uzezeta zimeisha.

  • @pueblo148
    @pueblo148 Před 7 měsíci +11

    Brain,smart,highness intelligent💕

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Před 7 měsíci +10

    MUNGU WANGU KWANINI USITULETEE WATU WAWILI WATATU KAMA HAWA? WASIOJALI VYAMA?❤❤❤❤❤ I LOVE THIS MAN OF GOD.❤❤❤❤

  • @aphonceedward6784
    @aphonceedward6784 Před 7 měsíci +5

    Nakuelewa sana kaka uko sawa kabisa

  • @JohnPallangyo-k9n
    @JohnPallangyo-k9n Před 17 dny +1

    Kaka mwabukusi Mungu wngu akusaidie usibadili kwenye misimamo yko na usimame kwenye kweli na kweli hiyo itakuinua zaidi, mm niko pamoja nawewe

  • @pidiusDominick-qi7nl
    @pidiusDominick-qi7nl Před 7 měsíci +9

    Tunahitaji watu kama hawa katika taifa letu

  • @renomori4255
    @renomori4255 Před 7 měsíci +7

    Asante sana kamanda

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 Před 7 měsíci +8

    Brain Smart, our Speaker🎉🎉🎉

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 Před 7 měsíci +8

    Siku zote ninaamini amani ya taifa hili imeshikiliwa na wapinzani, maana wanafanyiwa vitendo vya kikatili ambavyo laiti kama wasingekuwa wazalendo watu wangekuwa wanauana hovyo kwa kulipiza kisasi..na mambo hayo wangekuwa wanafanyiwa sisiemu kusingekuwa na amani.

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd Před 7 měsíci +2

      Uko sahihi ndugu CCM NI HATARI SANA!!!! Kiss TU MADARAKA NA MALI!!! WAMESAHAU KABISA KUWA YAKO MAISHA BAADA YA HAYA TENA NI YA MIKELE.

  • @bicorugina1452
    @bicorugina1452 Před 7 měsíci +7

    Big up

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv Před 7 měsíci +3

    mwambukusi big brain

  • @hilujuma4869
    @hilujuma4869 Před 7 měsíci +22

    Mwabukusi akiungana na LISSU unaweza kuilata Tanzania ya amani ya kweli na siyo hii ya mchongo.

    • @omarali797
      @omarali797 Před 7 měsíci +1

      Hata hujui unacho andika. Yeye hapo anapingana na akina Lissu na wanasiasa wote kisa wanashiriki chaguzi

    • @samsonkatigiri2344
      @samsonkatigiri2344 Před 23 dny +1

      Lisu ni maneno mengine kaka hata mwambukusi anamkubali lisu na mbowe,huu ujasiri kajifunza kwa hiyo miamba,lisu na mbowe ni magreda yaliyotengeza barabara ya lami sasa magari ya akina mwambukusi yanatereza tu😂😂😂

  • @adenmayala9298
    @adenmayala9298 Před 7 měsíci +12

    That's true

  • @user-ok6lv3je4b
    @user-ok6lv3je4b Před 7 měsíci +4

    Mwanadamu atakuchelewesha lakini mungu kwake akuna kuwai wala kuchelewa, wewe ni mbunge jimbo atakalokupa mungu mtetezi

  • @mesharothuman2443
    @mesharothuman2443 Před 7 měsíci +4

    A truly and honestly.Wow whaya speach

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 7 měsíci +2

    Mwabukusi wakili msomi kuishinda Ccm ni kazi sanaaaa hyo mpaka Katiba mpya tu

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Před 7 měsíci +8

    Watu wenye akili timamu kama awa uwa awacheki wala kuimbiwa nyimbo wala kusifiwa wakute wajinga mapambio sifa za kijinga mpaka wanakuwa na frash cd mfukoni za mchiliku anawajua wasanii wate wa singeri watashinda mungu yuko nanyi nasisi wachache tutaamasisha wezetu tulikomboe taifa

  • @jesaminzo
    @jesaminzo Před 7 měsíci +8

    Ni kweli hata majambazi yamekimbilia bungeni kwa sababu yamegundua bungeni kunalipa!

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 Před 7 měsíci +6

    Jimbo la kawe kwa gwajima police walikamatwa na kura kibara za ubunge na urais zimepiwa tiki za ccm walikamatwa lakini hawakufanywa chochote

  • @daudisalum9574
    @daudisalum9574 Před 7 měsíci +4

    Uyu jamaa kwanini asiunganishe nguvu na lisau

  • @WingodEpafra-dl1cd
    @WingodEpafra-dl1cd Před 10 dny

    Barikiwa mkuu

  • @user-ct1qp3th5f
    @user-ct1qp3th5f Před 7 měsíci +5

    Unaongea vema, kundi kubwa la wasomi wa Tanzania ndio wanaouymiza nchi hii.

  • @EMANUELMUSHI-kk4df
    @EMANUELMUSHI-kk4df Před 22 dny

    Aisee naomba nirudie kuiangalia, huyu janaa wa moto mbaya🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Před 7 měsíci +2

    COMRADE MWABUKUSI.....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.....WATANZANIA KWA MAMILIONI TUNAKUELEWA SANA.

  • @JustineYohanes
    @JustineYohanes Před 7 měsíci +5

    Huyu jamaa yupo vnzr lakini na shindwa kuelewa ni chama gani kwaa wakati huu
    Ccm chadema

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg Před 7 měsíci +13

    Yaani Ndugai alifukuzwa kama kibaka kisa kakosoa matendo ya serikali na rais wake

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 7 měsíci

      George sasa limebumbuluka alichosema kuwa nchi imeuzwa jubu ni kweli Bandari zote Mbuga za wanyama zote loliondo nk sasa ni aibu tupu

    • @illomowerner7690
      @illomowerner7690 Před 4 měsíci +1

      Pia naye alilipwa mshahara wa dhambi yake kushirikiana kwa hila kuumiza upinzani contrally kabisa na taratibu za kibunge.
      Mara ku-approve wabunge fake

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 7 měsíci +2

    Unafaa kuwa speaker wa bunge tz

  • @sampaconnector2845
    @sampaconnector2845 Před 7 měsíci +10

    Nchi ipo gizani sana na sababu ni hawa CCM.

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před 7 dny

    Nikufananishe na nani sijui we ni kiboko mungu akulinde tu mwamba ukosawa kabisa

  • @jamesmfinanga1717
    @jamesmfinanga1717 Před 7 měsíci +1

    Jipange tena bra ela utapata kwa wananchi ... katukamatie hawa ... na hapo katiba itapatikana ...

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 Před 7 měsíci +2

    Well don bro a very slow lanner can also know the concerpt

  • @V24hrs
    @V24hrs Před 7 měsíci +4

    Huyu jamaa akiungana na ZITTO KABWE watakuwa wamefanya Bonge la Kolabo.

    • @mesharothuman2443
      @mesharothuman2443 Před 7 měsíci

      Zito Kabwe yupi huyo mwenye price tag no please.

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před 7 měsíci

      @@mesharothuman2443SABABU SIO MGALATIA 🥳🥳🥳🥳🥳💯💯💯💯💯

    • @renatusmatungwa2508
      @renatusmatungwa2508 Před 7 měsíci

      Zitto kabwe hamna kitu acha kumkosea heshima Mwabukusi

    • @simbahmsini
      @simbahmsini Před 7 měsíci

      Zitto ni tunu ya Siasa za Tz,hakurupuki,anafanya tafiti na hata anayefikiria kupinga hoja zake anajiuliza mara mbili mbili ni mtu smart sana
      Kinachoponza na kumponza Zitto ni kuwa na akili nyingi kuliko wanaomchukia

    • @renatusmatungwa2508
      @renatusmatungwa2508 Před 7 měsíci

      @@simbahmsini Zitto kabwe siyo mtu wa msimamo ndo haaminiki siyo kwamba anachukiwa

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před 7 dny

    Hahahaaaaa du kuanzia leo nawabatiza nyi ni pacha lisu kulwa mwabukusi doto kibatara shija madeleka kashinje

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u Před 7 měsíci +1

    Jiamini kwanza unaweza kupambana na CCM.Akina fulani hatunao sababu ya red carpet Mang'ula mungu bado anaye.

    • @mfwimiekayuki8692
      @mfwimiekayuki8692 Před 7 měsíci +1

      Hadhi ya haipo.Imekwisha kabisa

    • @user-zl3le1wz2u
      @user-zl3le1wz2u Před 7 měsíci +1

      Spika ulishika muhimili wa kumtetea wanyonge toka uondoke au kuachia ngazi umeshuhudia jinsi nchi inavyoliwa na wajanja ,KwaSasaMaoni yako ni yapi.

  • @jumaally2469
    @jumaally2469 Před 7 měsíci +1

    Mm nawashangaa sana hawa CCM wao wanajinadi kua ni chama pendwa kwann wanaogopa katiba mpya

  • @smarty1064
    @smarty1064 Před 7 měsíci +2

    Duh! hakuna haki kbs

  • @cyprianpetetmbonde6374
    @cyprianpetetmbonde6374 Před 7 měsíci +1

    Kwa kweli wizi wa kura ni ushenzi sana. Watu tunaachashuguli zetu , tunapanga foleni halafu ni juani na njaa,, halafu MIPUMBAVU inatudhihaki.

  • @emmanuelmasatu
    @emmanuelmasatu Před 21 dnem

    Nakuunga mkono kaka %100.

  • @wallacemngoma794
    @wallacemngoma794 Před 7 měsíci +2

    Mhe. Mwabukuzi aungane na Mhe. Lissu waongeze nguvu kupapambania haki ipatikane Tanzania na kuiondoa CCM madarakani.

  • @yassinrajabu6511
    @yassinrajabu6511 Před 7 měsíci +3

    kaka mwabukusi kwani comenti zangu uwa auzisomi kilasiku nakushauli kama elimu unayo kaanao ccm muyajenge wakupe kitengo ule keki ya taifa kwa sababu dalasa unalo fundisha wanafunzi wako hawakuelewi wote wapo kwenye kombe la mapinduzi zanziba pigania masilai yako watanzania vigeugeu wanao kusifu leo ndio watao kutukana kesho

  • @Samwelianaseti
    @Samwelianaseti Před 2 měsíci

    Mwabukus ongea machache wasije wakakigeuka😂😂

  • @daviddsouza735
    @daviddsouza735 Před 8 dny

    Kumbe kuna million 50 zinahitajika kwaajili ya kushinda?
    Anayetafuta hii hela anaitafuitia wapi na baada ya kushinda anailipaje?
    Rushwa na mambo mengine ya chini chini yataisha

  • @GABRIELGAVU-vf7cn
    @GABRIELGAVU-vf7cn Před 21 dnem

    Fomu za wagombea chama tawala huelekezwa na kusahihisha na maafisa wakishirikiana na wakala. Halafu wapinzani hutumika hayo makosa kuengua wagombeya.

  • @DatyuuMudy
    @DatyuuMudy Před 23 dny

    Sasa we umekuwa raise ili uwombe kurudishiwa hela yako ya uchaguz du mawakili mmefly

  • @MichaelmotikaLaiser-dl6wm

    Wabunge mnasikia?

  • @user-up5lb4lp4v
    @user-up5lb4lp4v Před 7 měsíci +1

    Vibaraka WA ccm utawaona tu kwenye comment zao kama huyu mayallays wewe ni malaya

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 Před 5 měsíci +1

    Yaani safari hii watu wa tume wajiangalie watakufa wakileta ujinga na shangwe la kutosha.. kifo chake..

  • @samsonkatigiri2344
    @samsonkatigiri2344 Před 23 dny

    Mwambukusi kachukue katibu mkuu chadema,mnyika awe naibu katibu mkuu,pale mbowe,kule Tundu Lisu,hapa mwambukusi,ukaongeza kina Heche,Lema,John mrema,kina kigaila n.k😂😂😂😂 utapenda hii safu hata kama hutaki

  • @mustaphabussinescenter4127
    @mustaphabussinescenter4127 Před 7 měsíci

    😂😂😂 spika kafukuzwa kama muuza bamia nani uyo

  • @user-qz2cs5wm5u
    @user-qz2cs5wm5u Před 20 dny

    Maneno mazito Sana niyakuyatafakali si kukimbilia amani

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před 7 dny

    Njoo ugombee jimbo la shinyanga mjinibos

  • @fidelishasia4799
    @fidelishasia4799 Před 7 měsíci +1

    Nimekuelewa

  • @Werema3760
    @Werema3760 Před 7 měsíci +1

    2025 Mungu saidia. Maama sipati picha.

  • @OlemegiroriPalasalau
    @OlemegiroriPalasalau Před 7 měsíci

    Sawaaa

  • @EliyaMwangobe
    @EliyaMwangobe Před 20 dny

    KAkA WEWE NI MKOMBOZI WA NCHI HII !
    NAOMBA KAZA KAMBA HADI ZIBANE !

  • @StephenLetta
    @StephenLetta Před 7 měsíci

    Wewe ni mtu uliyejaliwa akili na ambaye unaonea fahari kufikiri kwa kutumia ubongo.

  • @matiredms917
    @matiredms917 Před 7 měsíci

    CCM inafanya uharamia ktk uchaguzi. Ni kazi bure kukubali Sheria na Katiba mbovu ambazo zinamweka juu ya Vyombo ambavyo vinapaswa kufanya kazi kwa uhuru na haki.

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q Před 3 měsíci

    Upo sahihi KAMANDA pigs kazi

  • @GABRIELGAVU-vf7cn
    @GABRIELGAVU-vf7cn Před 21 dnem

    Mkuu alisema yeye ni chura kiziwi. Lakini mawaziri na waandamizi waliokuwepo pale walipiga makofi. Sasa kama ni hivyo nani arasikiliza maoni yetu? Ajabu.

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Před 7 měsíci +1

    mahakama aipo huru hata kwa mvuta bangi au kibaka tume hii ni majizi wote

  • @user-le2zm1yj9o
    @user-le2zm1yj9o Před 7 měsíci

    Nimekuelewa na nimekubali ndio ukweli na uhalisia

  • @bakariiddy5387
    @bakariiddy5387 Před 25 dny

    Watu wanamnahiii walindwe

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Před 7 měsíci +1

    Mwabukus lisu mudude wakili musomi mbatia muugeni mukono lisu mulete ukombozi

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc Před 20 dny

    Justin meabukusi ni C hadema

  • @bakariiddy5387
    @bakariiddy5387 Před 25 dny

    Watu wenye akili timamu ndohawa sasa

  • @user-tt9bp2id5p
    @user-tt9bp2id5p Před 22 dny

    Aya mwamba leo raisi

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 Před 5 měsíci

    Katuni wa serikali et Tulia jamani ..kwa sura ile roho itakuwaje sasa..hamna kitu pale

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před 4 měsíci

      Sura ndiyo inafanya kazi,mbona magufuli hakuwa handsome kama jakaya lakini kazi yake hakuna mtanzania hakumuelewa

    • @NtamamiloGibson
      @NtamamiloGibson Před 23 dny

      Acha kutukana. Pamoja na sura mbaya kichwani yuko vizuri.

  • @simonmwasile4377
    @simonmwasile4377 Před 5 měsíci

    Ningependa kila atakapogombea tulikuwa na wewe ugombeee papoose hapo ili tumnyoshee nyang'au huyu

  • @user-ti8fn1wn1w
    @user-ti8fn1wn1w Před 4 měsíci

    Hakika mwabukusi ni madin

  • @lazaromshamu3521
    @lazaromshamu3521 Před 7 měsíci

    watanzania tumesha anza kuamka ss,ushindi wala hauko mbali

  • @meryshekoloa961
    @meryshekoloa961 Před 6 měsíci

    Sijui tufanye nini binadamu hawa waingie bungeni target ni ngumu Sana

  • @user-sp7qc1kl1f
    @user-sp7qc1kl1f Před 7 měsíci +2

    Kwaiyo. Sisi wauza bamia umetuzarau Sana Sana sio? Wacha kauli chafu

  • @SuzieMavoco-ju9iv
    @SuzieMavoco-ju9iv Před dnem

    D

  • @isaliisu3408
    @isaliisu3408 Před 7 měsíci

    Kufukuzwa hajaaza spika zanzibar tulichaguwa Rais jumbe bara mkamfuka mkamuweka kigamboni mpk kafa tukaenda kuzika zanziba

  • @isaacmwaseba9972
    @isaacmwaseba9972 Před 7 měsíci

    SISI WATU WA MBEYA UKWELI TUNAUJUA USHINDE UBUNGE KWA CHAMA CHA NCCR MAGEUZI BUSEKELO 😂😂 LABDA LAKINI TUSIZARAU HUENDA UKAPATA. YAANI HUKO BUSEKELO NA RUNGWE YOTE HUPATI NG'OOO LABDA KAGOMBEE KWA CHAMA KINGINE SIO NCCR MAGEUZI.

  • @hassannyalile2256
    @hassannyalile2256 Před 7 měsíci

    Umeanza kuimba taarabu?

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 Před 7 měsíci

    Unapoteza muda Rudi Mahakamani CCM ni chama Pendwa kwa Watanzania 12:48

  • @knight6757
    @knight6757 Před 7 měsíci

    👀😩

  • @JosephChacha-kk1it
    @JosephChacha-kk1it Před 7 měsíci

    Tupiganie kaka

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 7 měsíci

    HIL JAMA LINAPOINT SEMA LINANIKELE LINAVYOONGEA KWA KUFOKA FOKA HALIJUI KUONGEA KISTARAB HAPO NDIPO LINAPO FEL EM JIFUNZE KUONGEA NA WATU VIZUR USITIFOKEE

    • @Ambwene
      @Ambwene Před 7 měsíci +1

      Unataka aongeaje broo

    • @Haruna-dd5iq
      @Haruna-dd5iq Před 7 měsíci +1

      Haongei na ww anongea na wakora

    • @neemajames7814
      @neemajames7814 Před 7 měsíci +1

      Yan ww nikikuona nakutaftia pozi nakubenjua mayai viza

  • @revocatusvedastus8893
    @revocatusvedastus8893 Před 7 měsíci

    mwambukusu Ni mzarendo

  • @mayaally2512
    @mayaally2512 Před 7 měsíci +1

    KUMBE NIA YAKO NI UBUNGE KUROPOKA HIVYO KILA SIKU.UBUNGE BWANA HUUPATI😂😂😂

    • @mosesmacha1080
      @mosesmacha1080 Před 7 měsíci +1

      Nimecheki jina lako, hapa hapakuhusu🎉🎉🎉

    • @mesharothuman2443
      @mesharothuman2443 Před 7 měsíci +1

      Ni moja kati ya Manyumbu majaza Tumbo ndio uhalisia wako mbulula wewe

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před 7 měsíci

      @@mosesmacha1080kweli yako🎉TUNAJUA Ni WAGALATIA SIKU NYINGI 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳

    • @Dd-mu4fj
      @Dd-mu4fj Před 7 měsíci +1

      Kwani hastahili ? We vipi

  • @JustineYohanes
    @JustineYohanes Před 7 měsíci

    😮😮😮😮😮😮u

  • @paulrwechungura4284
    @paulrwechungura4284 Před 7 měsíci

    ttumekuchoka kalale

  • @christopherpaulo9490
    @christopherpaulo9490 Před 7 měsíci

    Omba msamaha kwa wauza bamia

  • @user-kw6pg7nb1w
    @user-kw6pg7nb1w Před 7 měsíci

    Wewe acha uongo

  • @user-kw6pg7nb1w
    @user-kw6pg7nb1w Před 7 měsíci

    Huna sera mzee,ww hata chadema tu wanakushangaa

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Před 7 měsíci

    tundu lissu wa pili huyu mwambukuzi sio mbowe muuza democracia ya tz

  • @maspro6294
    @maspro6294 Před 7 měsíci

    Mtabaki kubwaka kama mbwa koko hakuna atakae wapa nchi hii vibaraka wa mabeberu ukimaliza kubwaka ukapige mswaki domo lako lina nuka

    • @saidmabanga388
      @saidmabanga388 Před 7 měsíci

      Kuma ww

    • @oscarkasalile3966
      @oscarkasalile3966 Před 7 měsíci

      Katika watu wasiokuwa na akili wewe yani kiongozi anaongelea ili inchi ibaki kuwa salama wewe unasema anaropoka nyie ndo majizi wauza Bandari nyie hovyo kabisa

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před 7 měsíci

      WATANZANIA HAWAWEZI KUWACHAGUA HAWA NI WAHUNI NJAA INAWASUMBUA

    • @user-fu1mx3dc2z
      @user-fu1mx3dc2z Před 4 dny

      makalio yako nd0 yananuka Kuma wewe! mbwa mama ako na babaako