Mazungumzo na Father Kitima Kuelekea Uchaguzi Mkuu | Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S17

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • Unaweza kutufuatilia kupitia;
    TWITTER: / thechanzo
    INSTAGRAM: / thechanzo
    FACEBOOK: / thechanzo
    TIKTOK: www.tiktok.com....
    Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
    Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
    The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.

Komentáře • 162

  • @lufingodaniel8858
    @lufingodaniel8858 Před 9 měsíci +6

    Yaani ukimsikiliza kwa Makini Father kitima unagundua ni kama vile anaNg'ata na kupuliza...Yaani hataki kuonekana anaisema Serikali

  • @kristogontesha6036
    @kristogontesha6036 Před 9 měsíci +7

    Hongera Mzee Jenerali kwakuendelea kutuhabarisha.Kwakweli Mzee Ulimwengu umeendelea kuwa Bora kadiri umri wako unayopenda mbele
    Wewe, Jese kwayu na Mbwambo ni hazina kubwa kwa tasnia ya habari
    Makala zako zimekuwa na ujumbe ambao hauna hata chembe ya dosari hongera sana

  • @Baraka-hb2hb
    @Baraka-hb2hb Před 9 měsíci +4

    JENERALI ULIMWENGU, MWENYEZI MUNGU AKULINDE NA AKUONGOZE DAIMA UWE NI "SAUTI ITOKAYO NYIKANI DAIMA" AMINA🙏😇👌👍👏

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Před 9 měsíci +11

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @wilsonsikahanga1761
    @wilsonsikahanga1761 Před 9 měsíci +3

    Iwepo sheria inayo eleza watu wakishapiga kura wabaki hapo hapo kituoni kura zihesabiwe na matokeo yatangazwe kwanza ndipo wapiga kura waruding makweo!!!

  • @user-cw2nj4io3v
    @user-cw2nj4io3v Před 9 měsíci +3

    Father Kitima wewe na Jenerali Ulimwengu ni wazalendo wa kweli wa Tanzania tofauti na wengine ambao ni wazalendo uchwara kwa Taifa. Endeleeni kuwaelimisha watanzania Mungu atawabariki.

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 Před 9 měsíci +3

    Generali hao unaowahoji hawana shida. Jaribu kuwahoji Samia na Kikwete watupe majibu kwanini wanatutendea hivi

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 Před 9 měsíci +4

    Mungu awajalie nguvu za kutuellimisha.Watanzania sijui tumelogwa na nani.

  • @jovinusmutabuzi4647
    @jovinusmutabuzi4647 Před 9 měsíci +1

    Nyerere alisema upinzani upambane kuongeza wabunge wawe wengi bungeni.
    Wakiweka tume ya uchaguzi sawa ikazalisha wabunge sahihi huo ndi utakaokuwa mwanzo wa mchakato wakuleta mabadiliko chanya.
    Nakubaliana na fr.
    Bila maridhiano kati ya watawala na watawaliwa tutazalisha Somalia.

  • @zacharymugo4131
    @zacharymugo4131 Před 9 měsíci +4

    Kenya siyo mfano mzuri. Hakujawahi kufanyika uchaguzi wa haki Kenya. Labda wangekwenda Mauritius au Botswana

  • @jahhloveyou4462
    @jahhloveyou4462 Před 9 měsíci +1

    Baba anahitaji mapumziko,anaitaji watu wajitolee kumsaidia kuziba mashimo ya siasa na kikatiba yetu....(mungo amuhepushe na mengi tusioyajua) Duniani hamna cha imani ishi maisha unavyo ya weza na subiri siku yako tu ya kufa (mungu mwachieni na mambo yake) mengi ya fanyika mungu hayaoni?

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 Před 9 měsíci +2

    Huku Pemba huletewa jeshi na polisi wengi kuchazara kichapo siku za uchaguzi

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon7063 Před 9 měsíci +1

    Generali the great. Mzee wetu una hekima na upendo mkuu wa nchi yetu. Kitima anazungumza anavyo tamani iwe ila sio ilivyo. Mama aliahidi katiba mpya then majuzi katugeuka kwa kigezo kuwa hatuna elimu ya katiba, sasa imani tuipate wapi?. Padre tueleze

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri Před 9 měsíci +3

    Kila jimbo la uchaguzi liwe na tovuti ya wananchi au wapiga kura wake waliojiandisha na raia,kuweka maoni kwa njia ya simu na mbunge wa jimbo na mjumbe wa tume ya uchaguzi waratibu maoni ya wananchi na kuyawasilisha bungeni.Pia,siku ya kupiga kura siyo lazima iwe moja kwa nchi yote.

  • @zachariamalley7076
    @zachariamalley7076 Před 9 měsíci

    Fr Hapo ninakuelewa sana. Kiongozi nikutia matumaini wakati wa matatizo kuwa kkuna njia ya kutatua. Cku zote tuwe na Imani na viongozi wetu tuliowapa madaraka ya kutuongoza. Nadhani jenerali anachokoza maoni yako kwa njia hasi, nikimuona kama aliwahi kuwa kiongozi mojawapo nchi hii.

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 Před 9 měsíci +1

    Hakika taifa linaangamia hili bila utashi wa kufuata haki na katiba yenye kujengwa juu ya misingi ya haki. Asante kwa mjadala huu murwaa kwa hatima njema ya taifa letu. Sote tuna haki ya kuifaidi Tanzania na siyo wachache wezi wezi tu.

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 Před 8 měsíci

    Hongera mzee Jenerali ulimwengu kwa uzalendo wako juu ya nchi yetu unajitahitahidi sana kutoa elimu lakini viongozi wa CCM wameweka pamba masikioni CCM hawawezi kukubali katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwasababu wanajua kabisa wakikubali kuandika katiba mpya ndiyo mwisho wao wa kukaa madarakani ndiyo maana wanalazimisha tubaki. na katiba yao inayowabeba kubaki madarakani

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s Před 9 měsíci +1

    Nimewapenda. Mjadala huu urudiwe mara nyingi labda ccm watajifunza. Tumechoshwa nao sana

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Před 9 měsíci +4

    Nimekuelewa vyema, Father Kitima.

  • @willygwaikana
    @willygwaikana Před 9 měsíci +2

    Ukweli ni kwamba mamlaka zote za kidunia zimeamriwa na Mungu kadri ya kizazi kilivyo katika kila nyakati. Kwa kadri kizazi chetu kinavyozidi kupotoka kikiacha maagizo ya Mungu na kufuata maagizo ya wanadamu, basi tutapewa watawala wanaolingana na kupotoka kwetu maana kwa kufuata maagizo yao yapinganayo na ya Mungu, basi tumejifanyia wanadamu kuwa miungu yetu. Basi watawala walio kwa ajili ya wananchi, kamwe hawataonekana kwa kila nchi duniani maadamu tu wananchi wake nao wamemuacha Mungu na kutumainia wanadamu wenzao. Tukipotoka, basi Mungu muhukumu wa haki huweka watawala wakandamizaji. Kila nyanja itaoza, tutazidi kupungukiwa watu wema na wenye haki. Watumishi waadirifu watazidi kuadimika bali vyeti vingi vya juu. Wabunge, mawaziri, mapolisi, manesi, mahakimu, walimu, wazazi, vijana waadirifu watazidi kuadimika. Na zaidi sana watumishi wa Mungu feki watazidi kuongezeka. Na kitakachofuata ni majanga kuongezeka yakiashria aina ya kizazi. Inawezekana kukanusha mawazo haya, lakini haiwezekani kukanusha matokeo yake

  • @peterkipembapeterkipemba7127
    @peterkipembapeterkipemba7127 Před 9 měsíci +2

    Father nyooka ufunguke,,uporaji upo mbona hata mkaguzi WA hesabu za serikali amesibitisha.

  • @user-uq7kk4dw2o
    @user-uq7kk4dw2o Před 9 měsíci

    Asante sana,mnatupa Iman watanzania,ya kupiga kula,tulisha kata tamaa siku nyingi sanaaa.

  • @MasnamussaPp
    @MasnamussaPp Před 9 měsíci +1

    Jeneral ulimwengu mada ni mzuri ila kama kikwete bado yupo ccm mambo hayo tusahau,ndie muharibifu no1wa chaguzi zenu tanzania,2vikosi vyenu sio vya wananchi ni vya ccm,tume ccm,msajili wa vyama ccm,hapo hapana liwalo kwa vyama pingani😮

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Před 9 měsíci +1

    Hongera sana Generali na Fr Kitima

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 Před 9 měsíci +1

    COMBINATION YA FR. KITIMA & JENERALI ULIMWENGU NI YA USHINDI TU!

  • @leocadianjau7410
    @leocadianjau7410 Před 9 měsíci +2

    Kwa kweli father umeleta huruma mno kwa hawa waovu walioiba uchaguzi nakuomba usimwamini mtu hasa mwanasiasa baba
    Baba umeona hayo marekebisho?? Afadhsli ungefuatilia uvchambazi wa hiyo miswada uliofanyika jana baba

  • @nestor384
    @nestor384 Před 9 měsíci

    The genius Rev Father Dr Charles Kitima

  • @kristophermassawe5820
    @kristophermassawe5820 Před 9 měsíci +2

    Nimefarijika kwa mjadala huu wa uchaguzi. Watawala wa sasa ni Wayunani maana hata hili la miswada ni kama Trojan horse ambao tutajadili Sana na baadae wataandika kadiri ya matakwa Yao na sio mapendekezo yetu. Lengo lao Kwa sasa kufunika uovu wa 2019 kama maiti iliyowekwa kwenye sanduku/jeneza zuri. Imani ya watawala wetu bado ni Kwa maslahi Yao.

  • @prochesytesha8040
    @prochesytesha8040 Před 9 měsíci +1

    Mzee mkubwa jenerali umembana vzr sana akatoka nje ya reli anayumba kila kona nao sahii ni wapigaji wapo kimaslai

  • @festomartin6170
    @festomartin6170 Před 9 měsíci

    Be Mwakitima, ilileme ilyo kumbi ndauli, kalisage ludodo, ginage imboka sa majani, au inyamahamba, inyama, uwugali, uwali, kafilekage fikuwulaga. Kafanyage amazoezi, neke umvili ugo gwikala lunofu

  • @yohanamdemu9232
    @yohanamdemu9232 Před 9 měsíci

    Daaaah, hakika Jenerali Ulimwengu upo sahihi sana, Hawa wanajisifia miaka 100 duuh

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 Před 9 měsíci

    Hongereni sana wazee wangu kwa kutuelimisha, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.

  • @josephmantago2837
    @josephmantago2837 Před 9 měsíci +1

    Father Kitima baado unawaza kutapeliwa na ccm baado unaamini kauli ya Mh Samiah uko nyuma kwa kubaini uovu ww umeathirika na ukristo utaibiwa mpka kiama ccm ni mashetani walimtaperi mh Mbowe leo maridhiano yako wapi mh jeneral yuko vzr sana anaelewa ukweli wa haki na utaperi anaujua huwezi kumdanganya

  • @user-hg9yc7yj9k
    @user-hg9yc7yj9k Před 9 měsíci

    Mwenyezi mungu hazidi kuwapa nguvu za kuweza kupata mda kama huu kuzidi kuwaelimisha watanzania kuusu haki zao mbalikiwe sana tunawapanda sana na tuko nyuma yenu tunayakubali mnayo twambia•

  • @danielchacha1305
    @danielchacha1305 Před 9 měsíci

    Wenzetu wako huru sis Watz tuko kifungoni!! Tunaongozwa na viongozi mafisadi na wezi wasio na mapenzi mema na nchi yetu.

  • @oigenngonyani1124
    @oigenngonyani1124 Před 9 měsíci

    Hongereni Mzee Generali na Fr Kitima wananchi kufunguliwa akilli zao Ili wajue Taiga linakoelekea

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Před 9 měsíci +5

    Serekali yetu imelaaniwa😭😭😭sina neno lingine la kuwaambia

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 Před 9 měsíci

      😀👍

    • @user-ni7nw1xz9j
      @user-ni7nw1xz9j Před 9 měsíci +1

      ​@@aliyageorge6794Ni juzi tu tumeambiwa maoni yamezimgatiwa wakati ni uwongo Bado tu mnahangaika na maoni badala ya kuhamasha watu kuingia msituni au barabarani

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 Před 9 měsíci +4

    Nasubiri kwa shauku Generali nimemsoma nikiwa olevel Fr kitima amekuwa vice chancellor nikiwa mfz Saut

  • @user-ni7nw1xz9j
    @user-ni7nw1xz9j Před 9 měsíci +1

    DR.kitima unataka kuaminisha serikali hii ya kihaini itajirekebisha na uongozi ni uleule?

  • @yohanamdemu9232
    @yohanamdemu9232 Před 9 měsíci

    Daaaah, hakika Jenerali Ulimwengu upo sahihi sana, Hawa wanajisifia miaka 100 duuuh ama kweli.

  • @deogratiusnjoka
    @deogratiusnjoka Před 9 měsíci

    Thank elimu hii ni njema Sana. Itaendeza zaidi tukiiona TBC watu wote wapate elimu.

  • @jacksonngimba9065
    @jacksonngimba9065 Před 9 měsíci +1

    Big and bright brain 🧠, nimewaelewa sana

  • @rwekazamugasha6448
    @rwekazamugasha6448 Před 9 měsíci +1

    Jana nimepata clip moja ya first Lady wa Namibia akiweka wazi tatizo mbalo tukubali chanzo tatizo ni wa mambo mawali: PESA NA MADARAKA.
    Binadamu anapenda kupata yote mawili kwa pamoja.
    Mwanzo ni kuiba "corruption "

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 Před 9 měsíci

    General ulimwengu uko sahihi San kwa host yko na umekua siyo mnafiki lkn pia na huyu Baba kitime nae Mungu amjalie san

  • @eugee891
    @eugee891 Před 9 měsíci +2

    IQ n kubwa sana kwa hawa watu wawili

  • @user-dr9hu9yf7c
    @user-dr9hu9yf7c Před 9 měsíci +2

    Vizuri generally lakin ningependa siku moja nami nipigie interview na ww

    • @eacoratz2331
      @eacoratz2331 Před 9 měsíci

      Nyie Fr Kitima na Ulimwengu, mnapopazia sauti hili la mapungufu yaliyomo kwenye KATIBA na TUME YA UCHAGUZI, hivi mwajua dhuluma ya mafao ya pensheni iliyofanyiwa Vikongwe 17,000+ waliopinda migongo wakiyatumikia kwa ueledi, ufanisi na uaminifu mkubwa Mashirika mbalimbali ya East African Community ya 1967-77, namuguswi nafsi zenu?
      Ni jukwaa lipi liwapazie sauti Vikongwe hawa?

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před 9 měsíci +2

    HEBU NENDENI MKAULIZE WA KENYA MAISHA YALIVO HALAFU NDIO ONGEA TZ YETU UTAJUA TUKO SAWA WACHENI KULIALIA FANYENI KAZI HAKUNA MIUJIZA TOKA TEC 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳

    • @jdanny497
      @jdanny497 Před 9 měsíci +1

      Akili yako ndogo..sisi wengine tumeishi kenya we know exactly what's going on

    • @AugustinoKinunda-tf5tp
      @AugustinoKinunda-tf5tp Před 9 měsíci +2

      Hii ni Tanzania ndugu. Acha kuishi kwa kucopy maisha ya wakenya. Tunataka kuishi kama Watanzania.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 9 měsíci +1

      Upo Sawa na kenya kwa lipi?

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji Před 9 měsíci

      @@jdanny497 kugombania kilo ya mahindi 🥳🥳🥳🥳WANALILIA KUJA BONGO WACHA KUDANGANYA WATU WAKO NA NJAA NA UWIZI NDIO WANAONGOZA

  • @user-kg8dn6qr8o
    @user-kg8dn6qr8o Před 9 měsíci +3

    Watu makini wanajadili vitu makini kwa maslahi ya Tanzania

  • @piomgeni8750
    @piomgeni8750 Před 9 měsíci +1

    Elimu ya uraia nzuri sana hongereni General Ulimwengu na Fr Kitima

  • @nassonsimwanza1437
    @nassonsimwanza1437 Před 9 měsíci +1

    Mumefanya vizuri Sana,ilatu ccm niwahovyo hawawezi kukubali.

  • @ChristerShao
    @ChristerShao Před 9 měsíci +1

    Uchaguzi uliopita,wapiga kura baadhi waliandaliwa kupiga kura mara zaidi ya mara moja.

  • @usafiaps318
    @usafiaps318 Před 9 měsíci +2

    Jamani Ongeeni Yote Lakini Fungueni Uelwa Wenu Tanganyika Na Zanzibar Ndizo Nchi Zilizoungana.Tupiganie Tanganyika Yetu.Ili Nayo Ipate Bunge Lake Kama Jinsi Ambavyo Zanzibar .

  • @thomasmallya670
    @thomasmallya670 Před 9 měsíci

    General ulimwengu nimekuwa nafuatilia vipindi vipindi vyako lakini nilichojifunza ni kwamba wewe huna lengo zuri la kipindi hiki . Unachofanya kunajaribu kujenga chuki ki science. Kama hamtafikia mahali msimame katika kweli ' hamtakaa mfanikiwe maisha.

  • @peterkissiri9821
    @peterkissiri9821 Před 8 měsíci

    Kipindi kipo vizuri. Na pia kina amsha na kuchochea hamu na kiu ya mabadiliko katika taifa letu.

  • @eng.mallya9532
    @eng.mallya9532 Před 9 měsíci +1

    Fr.kitime naomba unyoooke naona umeamua kuwa kama muwa unaweka mafundo kila swali syo sahihi ila general ni rasimali ya taifa

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před 9 měsíci

    Father Kitima utakuja kukubali maneno jenerali ulimwengu kuwa hana imani na watawala hawa. Hata mimi pia sina imani kuntu. Rejea kiongozi mkuu kusema KATIBA ni kijitabu tu...........😮

  • @RoseKipimo-e4g
    @RoseKipimo-e4g Před 9 měsíci +1

    uyo Rais a nahonga nchi yetu anajinufaisha yeye na family yake mpaka mtoto wake kamweka kama kiongozi wa nchi kachaguliwa na nani?

  • @peterbangari4273
    @peterbangari4273 Před 9 měsíci

    Safi sana asikofu kitima pamoja na ulimweng mungu awabaliki

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před 9 měsíci +2

    Jenerałi ulimwengu. Father kitima nimependa mjadara.

  • @AliMasudi-td7gy
    @AliMasudi-td7gy Před 9 měsíci

    Tatizo watanzani waonga Sana

  • @damasiuspetro5178
    @damasiuspetro5178 Před 9 měsíci +1

    Ni kweli Viongozi wa dini wawaeleze waumini kuwa Wizi wa kura ni DHAMBI KUBWA SANA.Kama tabia hii,ikiendelea,haitakiwa na afya kwa Taifa tunalotaka

  • @johnpetrokalisa8826
    @johnpetrokalisa8826 Před 9 měsíci

    Imani acha tuamini Mungu tu sehemu nyingine sheria ni mhimu

  • @danielchacha1305
    @danielchacha1305 Před 9 měsíci

    Inasikitisha sana yaani Rais Samia kuuza Bandari zetu na kuwapa wageni asilimia 40 ya mapato yote ya Bandari hii ni aibu kubwa sana!!

  • @hajiramadhanihaji355
    @hajiramadhanihaji355 Před 9 měsíci

    Hongera jenerali nakukubali Sana kaka.

  • @RoseKipimo-e4g
    @RoseKipimo-e4g Před 9 měsíci +1

    Uchaguzi uchelewe katiba Mpya kwanza ili wazi wachukuliwe atua

  • @kakawataifa6752
    @kakawataifa6752 Před 9 měsíci +1

    Bila katiba mpya itakayoleta tume huru ya uchanguzi hakuna kitu

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před 9 měsíci +1

    Fadha kakutana na chuma cha pua leo

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Před 9 měsíci +2

    Ni waporaji Father sema ukweli. CAG kashasema

  • @rogathesarwatt
    @rogathesarwatt Před 9 měsíci +1

    Hawa ndo wazee wazalendo

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri Před 9 měsíci +1

    Miswada iwekwe hadharani kwa lugha ya Kiswahili kwa muda wa kushiba,ili wananchi wawasaidie wabunge kupata maoni ya wananchi.

  • @ragoioondo8142
    @ragoioondo8142 Před 9 měsíci

    Nawapongeza kuyaona hayo. Tatizo ni hofu hiyo hiyo. Pamoja na uadilifu ama kufuata sheria, Kuna haja ya hofu ya Mungu kwa wenye dhamana. Wajue pia ya kuwa baada ya dhamana ya duniani ipo dhamana ya mbingu pia. Haki itendeke wakati wote katika maeneo yote.

  • @alfredmbwilo7354
    @alfredmbwilo7354 Před 9 měsíci

    😊 18:02 18:12

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 Před 9 měsíci +1

    Mazungumzo yamenoga

  • @peterrobert3964
    @peterrobert3964 Před 9 měsíci

    Tume ikaribishe watu kama Generali Ulimwengu awe MWENYEKITI

  • @ulomirabiel6980
    @ulomirabiel6980 Před 9 měsíci +1

    Hiyo ya kuengua wagombea kwa kosa dogo tu la herufi moja muulizeni mr pole2 ndie alikuws architect.

  • @oigenngonyani1124
    @oigenngonyani1124 Před 9 měsíci

    Makosa yalifanywa na Azimio la Zanzibar kuua Azimio la Arusha na kuruhusu watumishi wa umma kuwa pia wafanya biashara na kuruhusu matajiri wakubwa kushika madaraka makubwa ndani ya chama ndo mambo ya ovyo nchi hii yalianzia hapo

  • @user-fn4ro8vx5r
    @user-fn4ro8vx5r Před 9 měsíci +2

    Hongera mzee Ulimwengu kuondelea kubuni vipindi watu mbalimbali kusikia maoni yao

  • @knight6757
    @knight6757 Před 9 měsíci +1

    Ulaji😂

  • @ragoioondo8142
    @ragoioondo8142 Před 9 měsíci

    Jambo lingine najiuliza sana,,,,,hivi inasikika katika mafiga matatu ya dola? Serikali, bunge na mahakama? maharaja? Ama ni furaha tu masikioni mwetu sisi wanyonge ? Jamani mijadala hii mingi ya nia njema kwanini isizae matunda? Wenye nia mbaya Tanzania 🇹🇿 tuwalaani kwa ujumla wao....

  • @jenipherkyando4822
    @jenipherkyando4822 Před 9 měsíci

    General huu mjadala unafaa ujadiliwe na samia au kikwete mbona mnawachokoza ma fr. Jamani

  • @peterjosephat6685
    @peterjosephat6685 Před 8 dny

    Tunawakubali sana wazalendo wa nchi yetu ila katiba nimuhimu ili tuwe na mihimili mitatu inayo wajibishana kwa sasa mihimili yote ni machawa wa serikali kwa maana raisi ndo mteule wao hawako huru kabisa

  • @xasankenya3700
    @xasankenya3700 Před 9 měsíci

    Kwema bro Ukovema bado

  • @aishathabit3732
    @aishathabit3732 Před 9 měsíci +1

    Huyu aliyasema haya wakati wa JPM?
    Nafiki huyu

  • @MWANAHAMISIOMARY-z3j
    @MWANAHAMISIOMARY-z3j Před 9 měsíci

    Mwananchi gani anaweza kulekebisha wakati tulio wapitisha wamekanseliwa

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Před 9 měsíci +2

    Kila siku maneno..
    We need to kick her out now...😂

  • @catherinevalence7510
    @catherinevalence7510 Před 9 měsíci

    Miswada hii 3 kuelekea kupata Sheria za uchanguzi 2024&2025, wanawake tunahitaji wangombea HURU na wagombea 2 kwenye majimbo. Mapendekezo ya rasmu ya Mhe Jaji sinde Warioba ya majimbo kuwa Halmashauri itumike hiyo. Me&Ke kutoka Kila chama watagombea na chama chenye kura nyingi Ke&me watakuwa wameshinda. #Nospeacialseat.

  • @MWANAHAMISIOMARY-z3j
    @MWANAHAMISIOMARY-z3j Před 9 měsíci

    Huyu hana mungu kwanza anaongea uwongo na anayiyogopa selekali

  • @godfreymaroandrew7651
    @godfreymaroandrew7651 Před 9 měsíci

    Bunge letu lilipaswa kuwa na viti vitano vya wazee makini, wa kukosoa serikali، wakiwemo wa dini zote, wawe Wabunge wa kudumu! Akiweno Jenerali ulimwengu !

  • @lewardikaminyoge8040
    @lewardikaminyoge8040 Před 9 měsíci

    nimekukubali ulimwengu

  • @clarencehilary5588
    @clarencehilary5588 Před 9 měsíci

    Mwenzenu Samia anasema katiba ni likitabu tu

  • @RoseKipimo-e4g
    @RoseKipimo-e4g Před 9 měsíci

    Ujaona wanajitungia sheria za wao na wake zao waume zao kujilimbikizia pesa

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 Před 9 měsíci

    Makosa yalifanywa na John pombe magufuri😢😢

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Před 7 měsíci

    Father kitima = kikwete
    Askofu bagonza= lissu

  • @user-vi1ds6gw9g
    @user-vi1ds6gw9g Před 9 měsíci

    Ninyi watumishi mmeongea ukweli kabisa!! wananchi wanapaswa kuchagua viongozi wanaowataka si watu kuingia madarakani kwa kupora kura za wananchi! na hiyo ndiyo inapelekea pia hao viongozi kupora mali za uma.😳😳

  • @joshuarose6756
    @joshuarose6756 Před 9 měsíci

    Dah huy Jeneral ni mchambuz mzur Father atulize ubongo kwa jenerali atapat kitu..

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před 9 měsíci

    Haitatokea kuwa na uadilifu katika chaguzi zetu Hadi utawala wa chama hiki CCM ulazimishwe Kwa vitendo hata kama kutatokea mauaji makubwa vinginevyo mtasema Hadi vitukuu vyenu nao wasema hayahaya Kwa vile hawa jamaa siyo wastaarabu kamwe.

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Před 9 měsíci

    Katiba mpya ndiyo msingi wa mabadiliko ya uhuru na haki nchini, hivi viraka viraka ni sawa na kushona kitambaa kioya kwenye ngui kukuu.

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s Před 9 měsíci

    Ninaimani chama tawala munaona. Na. Kusikia. Acheni ujambazi. Nakutishia mawakala. Wakati was uchaguzi. Hata polisi rithikeni na mishahara yenu. Mnapokea rushwa. Kusindikiza kura za wizi kuuwa watu. Baada ya hapo shida zenu ziko pale.pale muwakatee.

  • @philimonndinadyo2120
    @philimonndinadyo2120 Před 9 měsíci

    Safi sana kitima

  • @yohanamdemu9232
    @yohanamdemu9232 Před 9 měsíci

    Mh. Jenerali ulimwengu unadhani hawa maaskofu wetu wanaweza kujali maslahi ya watu wao? Hebu unaposema nao karibu kuwatazama usoni nikama wana ndimi 2 hv, hawana msimamo unaoeleweka wanyajali sana majina makubwa yaaani "tulialikwa "tuliambiwa " tumeheshimiwa sana nk" hatuna mfano wa Desmond Tutu. Wote ni walewale tuu