Mazungumzo na Father Kitima Kuelekea Uchaguzi Mkuu | Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S17
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2022 © All Rights Reserved.
Yaani ukimsikiliza kwa Makini Father kitima unagundua ni kama vile anaNg'ata na kupuliza...Yaani hataki kuonekana anaisema Serikali
Hongera Mzee Jenerali kwakuendelea kutuhabarisha.Kwakweli Mzee Ulimwengu umeendelea kuwa Bora kadiri umri wako unayopenda mbele
Wewe, Jese kwayu na Mbwambo ni hazina kubwa kwa tasnia ya habari
Makala zako zimekuwa na ujumbe ambao hauna hata chembe ya dosari hongera sana
JENERALI ULIMWENGU, MWENYEZI MUNGU AKULINDE NA AKUONGOZE DAIMA UWE NI "SAUTI ITOKAYO NYIKANI DAIMA" AMINA🙏😇👌👍👏
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
Iwepo sheria inayo eleza watu wakishapiga kura wabaki hapo hapo kituoni kura zihesabiwe na matokeo yatangazwe kwanza ndipo wapiga kura waruding makweo!!!
Father Kitima wewe na Jenerali Ulimwengu ni wazalendo wa kweli wa Tanzania tofauti na wengine ambao ni wazalendo uchwara kwa Taifa. Endeleeni kuwaelimisha watanzania Mungu atawabariki.
Wana madudu yao
@@frimatuslupimo2031hayo madudu ni yapi?
Generali hao unaowahoji hawana shida. Jaribu kuwahoji Samia na Kikwete watupe majibu kwanini wanatutendea hivi
Mungu awajalie nguvu za kutuellimisha.Watanzania sijui tumelogwa na nani.
Nyerere alisema upinzani upambane kuongeza wabunge wawe wengi bungeni.
Wakiweka tume ya uchaguzi sawa ikazalisha wabunge sahihi huo ndi utakaokuwa mwanzo wa mchakato wakuleta mabadiliko chanya.
Nakubaliana na fr.
Bila maridhiano kati ya watawala na watawaliwa tutazalisha Somalia.
Kenya siyo mfano mzuri. Hakujawahi kufanyika uchaguzi wa haki Kenya. Labda wangekwenda Mauritius au Botswana
Baba anahitaji mapumziko,anaitaji watu wajitolee kumsaidia kuziba mashimo ya siasa na kikatiba yetu....(mungo amuhepushe na mengi tusioyajua) Duniani hamna cha imani ishi maisha unavyo ya weza na subiri siku yako tu ya kufa (mungu mwachieni na mambo yake) mengi ya fanyika mungu hayaoni?
Huku Pemba huletewa jeshi na polisi wengi kuchazara kichapo siku za uchaguzi
Generali the great. Mzee wetu una hekima na upendo mkuu wa nchi yetu. Kitima anazungumza anavyo tamani iwe ila sio ilivyo. Mama aliahidi katiba mpya then majuzi katugeuka kwa kigezo kuwa hatuna elimu ya katiba, sasa imani tuipate wapi?. Padre tueleze
Kila jimbo la uchaguzi liwe na tovuti ya wananchi au wapiga kura wake waliojiandisha na raia,kuweka maoni kwa njia ya simu na mbunge wa jimbo na mjumbe wa tume ya uchaguzi waratibu maoni ya wananchi na kuyawasilisha bungeni.Pia,siku ya kupiga kura siyo lazima iwe moja kwa nchi yote.
Fr Hapo ninakuelewa sana. Kiongozi nikutia matumaini wakati wa matatizo kuwa kkuna njia ya kutatua. Cku zote tuwe na Imani na viongozi wetu tuliowapa madaraka ya kutuongoza. Nadhani jenerali anachokoza maoni yako kwa njia hasi, nikimuona kama aliwahi kuwa kiongozi mojawapo nchi hii.
Hakika taifa linaangamia hili bila utashi wa kufuata haki na katiba yenye kujengwa juu ya misingi ya haki. Asante kwa mjadala huu murwaa kwa hatima njema ya taifa letu. Sote tuna haki ya kuifaidi Tanzania na siyo wachache wezi wezi tu.
Hongera mzee Jenerali ulimwengu kwa uzalendo wako juu ya nchi yetu unajitahitahidi sana kutoa elimu lakini viongozi wa CCM wameweka pamba masikioni CCM hawawezi kukubali katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kwasababu wanajua kabisa wakikubali kuandika katiba mpya ndiyo mwisho wao wa kukaa madarakani ndiyo maana wanalazimisha tubaki. na katiba yao inayowabeba kubaki madarakani
Nimewapenda. Mjadala huu urudiwe mara nyingi labda ccm watajifunza. Tumechoshwa nao sana
Nimekuelewa vyema, Father Kitima.
Ukweli ni kwamba mamlaka zote za kidunia zimeamriwa na Mungu kadri ya kizazi kilivyo katika kila nyakati. Kwa kadri kizazi chetu kinavyozidi kupotoka kikiacha maagizo ya Mungu na kufuata maagizo ya wanadamu, basi tutapewa watawala wanaolingana na kupotoka kwetu maana kwa kufuata maagizo yao yapinganayo na ya Mungu, basi tumejifanyia wanadamu kuwa miungu yetu. Basi watawala walio kwa ajili ya wananchi, kamwe hawataonekana kwa kila nchi duniani maadamu tu wananchi wake nao wamemuacha Mungu na kutumainia wanadamu wenzao. Tukipotoka, basi Mungu muhukumu wa haki huweka watawala wakandamizaji. Kila nyanja itaoza, tutazidi kupungukiwa watu wema na wenye haki. Watumishi waadirifu watazidi kuadimika bali vyeti vingi vya juu. Wabunge, mawaziri, mapolisi, manesi, mahakimu, walimu, wazazi, vijana waadirifu watazidi kuadimika. Na zaidi sana watumishi wa Mungu feki watazidi kuongezeka. Na kitakachofuata ni majanga kuongezeka yakiashria aina ya kizazi. Inawezekana kukanusha mawazo haya, lakini haiwezekani kukanusha matokeo yake
Father nyooka ufunguke,,uporaji upo mbona hata mkaguzi WA hesabu za serikali amesibitisha.
Asante sana,mnatupa Iman watanzania,ya kupiga kula,tulisha kata tamaa siku nyingi sanaaa.
Jeneral ulimwengu mada ni mzuri ila kama kikwete bado yupo ccm mambo hayo tusahau,ndie muharibifu no1wa chaguzi zenu tanzania,2vikosi vyenu sio vya wananchi ni vya ccm,tume ccm,msajili wa vyama ccm,hapo hapana liwalo kwa vyama pingani😮
Hongera sana Generali na Fr Kitima
COMBINATION YA FR. KITIMA & JENERALI ULIMWENGU NI YA USHINDI TU!
Kwa kweli father umeleta huruma mno kwa hawa waovu walioiba uchaguzi nakuomba usimwamini mtu hasa mwanasiasa baba
Baba umeona hayo marekebisho?? Afadhsli ungefuatilia uvchambazi wa hiyo miswada uliofanyika jana baba
The genius Rev Father Dr Charles Kitima
Nimefarijika kwa mjadala huu wa uchaguzi. Watawala wa sasa ni Wayunani maana hata hili la miswada ni kama Trojan horse ambao tutajadili Sana na baadae wataandika kadiri ya matakwa Yao na sio mapendekezo yetu. Lengo lao Kwa sasa kufunika uovu wa 2019 kama maiti iliyowekwa kwenye sanduku/jeneza zuri. Imani ya watawala wetu bado ni Kwa maslahi Yao.
Mzee mkubwa jenerali umembana vzr sana akatoka nje ya reli anayumba kila kona nao sahii ni wapigaji wapo kimaslai
Be Mwakitima, ilileme ilyo kumbi ndauli, kalisage ludodo, ginage imboka sa majani, au inyamahamba, inyama, uwugali, uwali, kafilekage fikuwulaga. Kafanyage amazoezi, neke umvili ugo gwikala lunofu
Daaaah, hakika Jenerali Ulimwengu upo sahihi sana, Hawa wanajisifia miaka 100 duuh
Hongereni sana wazee wangu kwa kutuelimisha, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
Father Kitima baado unawaza kutapeliwa na ccm baado unaamini kauli ya Mh Samiah uko nyuma kwa kubaini uovu ww umeathirika na ukristo utaibiwa mpka kiama ccm ni mashetani walimtaperi mh Mbowe leo maridhiano yako wapi mh jeneral yuko vzr sana anaelewa ukweli wa haki na utaperi anaujua huwezi kumdanganya
Mwenyezi mungu hazidi kuwapa nguvu za kuweza kupata mda kama huu kuzidi kuwaelimisha watanzania kuusu haki zao mbalikiwe sana tunawapanda sana na tuko nyuma yenu tunayakubali mnayo twambia•
Wenzetu wako huru sis Watz tuko kifungoni!! Tunaongozwa na viongozi mafisadi na wezi wasio na mapenzi mema na nchi yetu.
Hongereni Mzee Generali na Fr Kitima wananchi kufunguliwa akilli zao Ili wajue Taiga linakoelekea
Serekali yetu imelaaniwa😭😭😭sina neno lingine la kuwaambia
😀👍
@@aliyageorge6794Ni juzi tu tumeambiwa maoni yamezimgatiwa wakati ni uwongo Bado tu mnahangaika na maoni badala ya kuhamasha watu kuingia msituni au barabarani
Nasubiri kwa shauku Generali nimemsoma nikiwa olevel Fr kitima amekuwa vice chancellor nikiwa mfz Saut
DR.kitima unataka kuaminisha serikali hii ya kihaini itajirekebisha na uongozi ni uleule?
Daaaah, hakika Jenerali Ulimwengu upo sahihi sana, Hawa wanajisifia miaka 100 duuuh ama kweli.
Thank elimu hii ni njema Sana. Itaendeza zaidi tukiiona TBC watu wote wapate elimu.
Big and bright brain 🧠, nimewaelewa sana
Jana nimepata clip moja ya first Lady wa Namibia akiweka wazi tatizo mbalo tukubali chanzo tatizo ni wa mambo mawali: PESA NA MADARAKA.
Binadamu anapenda kupata yote mawili kwa pamoja.
Mwanzo ni kuiba "corruption "
General ulimwengu uko sahihi San kwa host yko na umekua siyo mnafiki lkn pia na huyu Baba kitime nae Mungu amjalie san
IQ n kubwa sana kwa hawa watu wawili
Vizuri generally lakin ningependa siku moja nami nipigie interview na ww
Nyie Fr Kitima na Ulimwengu, mnapopazia sauti hili la mapungufu yaliyomo kwenye KATIBA na TUME YA UCHAGUZI, hivi mwajua dhuluma ya mafao ya pensheni iliyofanyiwa Vikongwe 17,000+ waliopinda migongo wakiyatumikia kwa ueledi, ufanisi na uaminifu mkubwa Mashirika mbalimbali ya East African Community ya 1967-77, namuguswi nafsi zenu?
Ni jukwaa lipi liwapazie sauti Vikongwe hawa?
HEBU NENDENI MKAULIZE WA KENYA MAISHA YALIVO HALAFU NDIO ONGEA TZ YETU UTAJUA TUKO SAWA WACHENI KULIALIA FANYENI KAZI HAKUNA MIUJIZA TOKA TEC 🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
Akili yako ndogo..sisi wengine tumeishi kenya we know exactly what's going on
Hii ni Tanzania ndugu. Acha kuishi kwa kucopy maisha ya wakenya. Tunataka kuishi kama Watanzania.
Upo Sawa na kenya kwa lipi?
@@jdanny497 kugombania kilo ya mahindi 🥳🥳🥳🥳WANALILIA KUJA BONGO WACHA KUDANGANYA WATU WAKO NA NJAA NA UWIZI NDIO WANAONGOZA
Watu makini wanajadili vitu makini kwa maslahi ya Tanzania
Elimu ya uraia nzuri sana hongereni General Ulimwengu na Fr Kitima
Mumefanya vizuri Sana,ilatu ccm niwahovyo hawawezi kukubali.
Uchaguzi uliopita,wapiga kura baadhi waliandaliwa kupiga kura mara zaidi ya mara moja.
Jamani Ongeeni Yote Lakini Fungueni Uelwa Wenu Tanganyika Na Zanzibar Ndizo Nchi Zilizoungana.Tupiganie Tanganyika Yetu.Ili Nayo Ipate Bunge Lake Kama Jinsi Ambavyo Zanzibar .
Sana!
Kweli kabisa
Kinachoshangaza hata masuala yasiyo ya muungano wabunge kutoka Zanzibar wanashitiki kikamilifu.
General ulimwengu nimekuwa nafuatilia vipindi vipindi vyako lakini nilichojifunza ni kwamba wewe huna lengo zuri la kipindi hiki . Unachofanya kunajaribu kujenga chuki ki science. Kama hamtafikia mahali msimame katika kweli ' hamtakaa mfanikiwe maisha.
Kipindi kipo vizuri. Na pia kina amsha na kuchochea hamu na kiu ya mabadiliko katika taifa letu.
Fr.kitime naomba unyoooke naona umeamua kuwa kama muwa unaweka mafundo kila swali syo sahihi ila general ni rasimali ya taifa
Father Kitima utakuja kukubali maneno jenerali ulimwengu kuwa hana imani na watawala hawa. Hata mimi pia sina imani kuntu. Rejea kiongozi mkuu kusema KATIBA ni kijitabu tu...........😮
uyo Rais a nahonga nchi yetu anajinufaisha yeye na family yake mpaka mtoto wake kamweka kama kiongozi wa nchi kachaguliwa na nani?
Safi sana asikofu kitima pamoja na ulimweng mungu awabaliki
Jenerałi ulimwengu. Father kitima nimependa mjadara.
Tatizo watanzani waonga Sana
Ni kweli Viongozi wa dini wawaeleze waumini kuwa Wizi wa kura ni DHAMBI KUBWA SANA.Kama tabia hii,ikiendelea,haitakiwa na afya kwa Taifa tunalotaka
Imani acha tuamini Mungu tu sehemu nyingine sheria ni mhimu
Inasikitisha sana yaani Rais Samia kuuza Bandari zetu na kuwapa wageni asilimia 40 ya mapato yote ya Bandari hii ni aibu kubwa sana!!
Hongera jenerali nakukubali Sana kaka.
Uchaguzi uchelewe katiba Mpya kwanza ili wazi wachukuliwe atua
Bila katiba mpya itakayoleta tume huru ya uchanguzi hakuna kitu
Fadha kakutana na chuma cha pua leo
Ni waporaji Father sema ukweli. CAG kashasema
Hawa ndo wazee wazalendo
Miswada iwekwe hadharani kwa lugha ya Kiswahili kwa muda wa kushiba,ili wananchi wawasaidie wabunge kupata maoni ya wananchi.
Nawapongeza kuyaona hayo. Tatizo ni hofu hiyo hiyo. Pamoja na uadilifu ama kufuata sheria, Kuna haja ya hofu ya Mungu kwa wenye dhamana. Wajue pia ya kuwa baada ya dhamana ya duniani ipo dhamana ya mbingu pia. Haki itendeke wakati wote katika maeneo yote.
😊 18:02 18:12
Mazungumzo yamenoga
Tume ikaribishe watu kama Generali Ulimwengu awe MWENYEKITI
Hiyo ya kuengua wagombea kwa kosa dogo tu la herufi moja muulizeni mr pole2 ndie alikuws architect.
Makosa yalifanywa na Azimio la Zanzibar kuua Azimio la Arusha na kuruhusu watumishi wa umma kuwa pia wafanya biashara na kuruhusu matajiri wakubwa kushika madaraka makubwa ndani ya chama ndo mambo ya ovyo nchi hii yalianzia hapo
Hongera mzee Ulimwengu kuondelea kubuni vipindi watu mbalimbali kusikia maoni yao
Ulaji😂
Jambo lingine najiuliza sana,,,,,hivi inasikika katika mafiga matatu ya dola? Serikali, bunge na mahakama? maharaja? Ama ni furaha tu masikioni mwetu sisi wanyonge ? Jamani mijadala hii mingi ya nia njema kwanini isizae matunda? Wenye nia mbaya Tanzania 🇹🇿 tuwalaani kwa ujumla wao....
General huu mjadala unafaa ujadiliwe na samia au kikwete mbona mnawachokoza ma fr. Jamani
Tunawakubali sana wazalendo wa nchi yetu ila katiba nimuhimu ili tuwe na mihimili mitatu inayo wajibishana kwa sasa mihimili yote ni machawa wa serikali kwa maana raisi ndo mteule wao hawako huru kabisa
Kwema bro Ukovema bado
Huyu aliyasema haya wakati wa JPM?
Nafiki huyu
Mwananchi gani anaweza kulekebisha wakati tulio wapitisha wamekanseliwa
Kila siku maneno..
We need to kick her out now...😂
Miswada hii 3 kuelekea kupata Sheria za uchanguzi 2024&2025, wanawake tunahitaji wangombea HURU na wagombea 2 kwenye majimbo. Mapendekezo ya rasmu ya Mhe Jaji sinde Warioba ya majimbo kuwa Halmashauri itumike hiyo. Me&Ke kutoka Kila chama watagombea na chama chenye kura nyingi Ke&me watakuwa wameshinda. #Nospeacialseat.
Huyu hana mungu kwanza anaongea uwongo na anayiyogopa selekali
Bunge letu lilipaswa kuwa na viti vitano vya wazee makini, wa kukosoa serikali، wakiwemo wa dini zote, wawe Wabunge wa kudumu! Akiweno Jenerali ulimwengu !
nimekukubali ulimwengu
Mwenzenu Samia anasema katiba ni likitabu tu
Ujaona wanajitungia sheria za wao na wake zao waume zao kujilimbikizia pesa
Makosa yalifanywa na John pombe magufuri😢😢
Father kitima = kikwete
Askofu bagonza= lissu
Ninyi watumishi mmeongea ukweli kabisa!! wananchi wanapaswa kuchagua viongozi wanaowataka si watu kuingia madarakani kwa kupora kura za wananchi! na hiyo ndiyo inapelekea pia hao viongozi kupora mali za uma.😳😳
Dah huy Jeneral ni mchambuz mzur Father atulize ubongo kwa jenerali atapat kitu..
Haitatokea kuwa na uadilifu katika chaguzi zetu Hadi utawala wa chama hiki CCM ulazimishwe Kwa vitendo hata kama kutatokea mauaji makubwa vinginevyo mtasema Hadi vitukuu vyenu nao wasema hayahaya Kwa vile hawa jamaa siyo wastaarabu kamwe.
Katiba mpya ndiyo msingi wa mabadiliko ya uhuru na haki nchini, hivi viraka viraka ni sawa na kushona kitambaa kioya kwenye ngui kukuu.
Ninaimani chama tawala munaona. Na. Kusikia. Acheni ujambazi. Nakutishia mawakala. Wakati was uchaguzi. Hata polisi rithikeni na mishahara yenu. Mnapokea rushwa. Kusindikiza kura za wizi kuuwa watu. Baada ya hapo shida zenu ziko pale.pale muwakatee.
Safi sana kitima
Mh. Jenerali ulimwengu unadhani hawa maaskofu wetu wanaweza kujali maslahi ya watu wao? Hebu unaposema nao karibu kuwatazama usoni nikama wana ndimi 2 hv, hawana msimamo unaoeleweka wanyajali sana majina makubwa yaaani "tulialikwa "tuliambiwa " tumeheshimiwa sana nk" hatuna mfano wa Desmond Tutu. Wote ni walewale tuu