PADRI ALIYEBAMBIKIWA KESI ya UBAKAJI AELEZA kwa UCHUNGU, "ALINIAMBIA HAJAONA SIKU ZAKE"..
Vložit
- čas přidán 24. 10. 2021
- PADRI ALIYEBAMBIKIWA KESI ya UBAKAJI AELEZA kwa UCHUNGU, "ALINIAMBIA HAJAONA SIKU ZAKE"..
Takribani mwaka mmoja na miezi ipatayo miwili tangu padri Erasmos Swai alipofikishwa mahakamani kwa kosa linalosadikika kusingiziwa na watu wenye nia ovu juu yake na kuidanganya mahakama kuwa padri Erasmos Swai alifanya kitendo cha ubakaji na kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha nne...
Mnamo Tar 21.10.2021 hakimu Thrustone Kombe aliifutilia mbali kesi hiyo kwa kukosa ushahidi wenye uweledi ikiwemo kutokufika kwa vithibitisho vya vina saba baada ya binti huyo kujifungua mtoto ambapo hapo awali alisema ujauzito huo alipewa na padri huyo
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Glory to God! Mungu ndiye Jaji na Hakimu, hakika Mungu aliyeruhusu hayo na atatenda makubwa zaidi na zaidi kwako. Ila ile wao maana hukumu ya Mungu ni haki na ya milele.Pole sana Padri
Pole padri
Ulimtendea mema yeye akakulipa mabaya! Mungu atakulipia mtu wa Mungu . Tumsifu Yesu Kristu!
@@fridashayo1992 milelee Amina😭🙏
Kabisa...!
Yes indeed.
Padri nimejifunza kitu kikubwa sana kwako, (msamaha)Mungu azidi kukutetea na kujidhihirisha ktk hili, Amina.
Pole sana baba,hiyo ndio sadaka ya kweli maana imekupa maumivu makali sana.Mungu akutie nguvu wewe ni dhahabu iliyopita Kwenye moto .
Pole sana padri
Covert plans are lean on to exterminate compitent people. Baba fuatilia pia maisha ya babako mzazi huenda alipobarikiwa baraka za maisha walimuinukia.Ombea roho ya ulinzi na karama ya heshima.
Naomba Mungu akutunze na kazi wakurejeshee palepale au usharika wa jirani
Pole sana father Mungu siku zote yupo upande wa kweli na ataendelea kukusimamia
Tumsifu Yesu Kristu Padri Swai pole kwa hayo matukio Mungu akupe uvumilivu na Kumshukuru daima . Mungu akujarie urejee kwenye uduma ya kiroho.
Hii kazi ni ngumu sana, nilipomaliza darasa la saba nilikuwa na hamu ya upadri, ila nilipokaa seminarini nilisoma maisha ya mapadre kwa makini sana, nilikiri ni kazi ngumu inayohitaji moyo sana, niliondoka form four, nilisema Mungu anisaidie niendelee na safari ya maisha, MTUMISHI VIATU ULIVYOVAA NI VIGUMU SANA, MUNGU AKUTIE NGUVU
Daaa kabisa aisee
Tulishinda kesi bila ya mtetezi,tulikula mtama kwa maji tukanawili kuliko wao,hatukupambwa kama wao tukapendeza zaidi yao,walitubadilisha majina hawakubadili hatima,walipotutupa shimoni tukaibukia ikulu,kule walipotukusumia ndiko Mungu hupumzikia,walidhani wanatukimbiza kumbe wanatusindikiza.Bwana wangu,Yesu,Yesu,Yesu........By Ambwene Mwasongwe.
Amina
Pole baba
Upo vzr😂😂😂😂😂😂😂
@@user-br4tl7jv9j 🤣🤣Ambwene Mwasongwe apewe mauwa yake kwa utunzi mzuri.
Amini 🤲🤲 nampenda mwasongwe mm
Pole sana father, jirani yangu..nakumbuka sherehe yako ya misa ya shukrani 2009 ...Mungu azidi kuwa nawe daima!!
Walter wew Uko poa? Felix hajambo?
Alafu na ww ulikimbia upadre bisha nitoe ushaidi
@@deus8629 🤗🤗hapana bhana sijakimbia
mm huyu ndio amenikominisha na kipaimara padree wangu
Sijui kwa nini nalia tu kadri ninavyoendelea kumsikiliza padri anavyojieleza. Dah 😭😭😭😭😭 huyu mwanafunzi Mungu anamuona😭😭😭
Pole😭😭😭
Pole father, ndugu wakristu waombeeni viongozi wetu wa dini, wanapitia changamoto nying nying sana, wanajaribiw sana sana, wanapitia mambo magumu ambayo wao pia kam binadamu wadhaifu kuna kipindi wanaanguka dhambini lkn katika yote tuwaombee sana sana viongozi wetu wa dini, Mungu aliewapa kibali cha kuwa na wito walionao atawashindia daima katika mabaya yote!! Father Mungu ni mwema kupitia wewe kuna ya kujifunza mengi kupitia hili, ndugu wakristu tuwaombee viongozi wetu wa dini tuwaombee sana sana sana!!
You are very right
Mwenyezi Mungu aliyekuongoza katika kipindi chote hicho kigimu, atakuongoza katika kipindi choote cha utume wako Baba Padre... May Almighty God Bless you..🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Amina
Courage Fr, you have been Christ's witness, and He is experiencing the pain with you, surrender to Him by forgiving and praying for them. May God strengthen you in your difficulty moments.
Hello Sr Teresa, Thanks kindly for your courageous and kindly words to Fr Swai.
Thanks to God.
Sr kwani unaelewa Kiswahili??
Right says
INASIKITISHA ! !
FIDIA NI KAZI YA MUNGU! wonderful! May the Almighty God Bless you Father and grant you long life. Kweli huwezi dai fidia kutoka kwa Shetani.
Father umeniumiza sana wengi tulisikia hatukujua UKWELI ni uongo wa magazeti. Mungu akulinde Bikira Maria akufiche kwenye bushuti lake... umenipa nguvu ya IMANI kuwa Mungu anawatuona.. because God is God of mercy
Pole sana padre kweli inaumiza sana,,,Mungu ndiye hakimu na mwamuzi wa wanyonge
Pole sana Padri Mungu atakusaidia zaidi ya hapo atakurudishia vyote ulivyopoteza na zaidi ya hivyo
Pole Sana padre Mungu ndio hakimu wetu 😭😭😭😭
Maelezo ya padri tu naamini kabisa hajafanya hivyo. Mungu yu nawe.
Kabisa huyu mungu mwacheni tu❤❤
Ni kweli kabla ya kutenda wema ni muhimu kummuuliza Mungu ili adui asipate nafasi katika wema huo.Mungu akusaidie sana na akuponye majeraha yako father.hakika Mungu yuko na atakujibia wa haki.
Kweli kabisa dunia inatisha Mungu atupe utambuzi, na hilo tu ni mipango ya shetani ili watu wasifanye mapenizi kwasababu watu wataanza kuogopa kusaidia
Mungu Ni hakimu wa haki ,,Atazidi kutenda Mambo makubwa kwako.Wakapate aibu
Yaan kaongea kwa hisia sana Mungu akufariji padre😪
Nimelia kwakweli mnavyojitoa hivyo bado mtu anakubambia ujinga huo Ooh Mungu wangu lkn Mungu anasamehe na ww wasamehe pia nawapenda sana mapadre Mungu awatie nguvu🙏🏻🙏🏻
This earth is hard, tunahitaji ukombozi wakiroho,may God give you wisdom padri🙏
Pole sana mtumishi wa Mungu, wewe ni shahidi mwaminifu na wa kweli. Hiyo familia hiombe msamaha araka kabla Mungu ajafa ya ya kwake. Umenifunza mengi Fr. Asante mama mzazi wako na ndugu na majirani. Kwa wema wa kumtunza Padre wetu.
Pole sana baba na hongera kwa ujasiri Mungu ni mwema kila wakati. Endelea kutenda kazi ya Mungu na yeye atatenda sawasawa na mapenzi yake.
Pole sana Baba. Ndo maisha ya hapa duniani. Ndo maana Yesu alisema Ulimwenguni mnayo dhiki, lakini jipeni moyo, mimi nimeushinda ulimwengu. Mungu azidi kuwa pamoja nawe Fr.
Fr. Pole sana, namshukulu Mungu kwa simlizi ya mapito yako kwetu na changamoto hii, nimejifunza mengi kubwa zaidi nikumtegemea Mungu ktk yote!
Pole Rev. Fr. Erasmes. Mungu Yuko nawe na kamwe usirudi nyuma. Nakufahamu vyema na njia yako kufikia utume wako. Mungu ataonesha njia.
?????
@@pascasmathew424 karibu
Pole sana Fr Erasmus, Mungu wetu yupo kazini, wema wako kamwe hausahauliki, iyo familia Mungu atailaani.
Ibada ya oil kujenga ufalme wa mbinguni
Malipo ni hapa hapa duniani
Pole sana mtumishi wa Mungu.Lakini nakuhakikishia ubaya hauna kwao wahusika wote Yesu ni jibu.Watapigwa dhoruba kali mno.
Pole sana padri.Huyo i binti amelaaniwa Tenda wema wende zako..Hata Yesu alisuribiwa bila makosa.Huyo binti mi shetani mkubwa mwenye miguu saba.
Mungu akutie nguvu baba . Kwenye haki nikama( dhuluma nahaki) hafichanganyiki. Naamini Mungu yupo pamoja nawe pia🙏🙏
Mungu na aendelee kukusimamia Fr. Baada ya msalaba utukufu! Mungu ni mwema sana. Amani iwe juu yako Fr.
Jmn Huyu Binti kwanini ameamua kumchafua Padri na Kuharibu Ajira Ya Padri. Ambaye aliyejiitolea Kumsaidia. Watumishi Sasa wataogopa Kusaidia wahitaji. Padri Swai pole Sana. Mungu akulinde na maadui
Alimpenda Padre huyo
Kuna mtu yupo nyuma yake na ana vihela hela,, Ila Mungu Yu kazini
Wadwahil wanasema tenda wemaa nendazako kilichokusaidia mpakasasa kuwa huru namanisha uraian ilimtanguliza mwenyezi mungu mbere mhukuru sana meenyezi mungu polesana
Pole Sana padri Mimi kanisa katorik wamenisomesha hao mapadr Mungu awabariki Sana najivunia kuwa mkatoriki
Inauma sana😥😥😥......Wamekuchafua lkn Mwenyezi Mungu atakung'arisha bb padre......Endelea kusimama na Mungu mpaka Shetan ashangae.......
Xn Tena ila mungu yupo pamoja nae
Jamani alichofanyiwa huyu mimi pia nilifanyiwa sema mimi niliponea chupuchupu kupelekwa polisi kwa kuwasaidia watu wanaokuja kanisani kuomba msaada nilijitoa kuwasaidia kumbe nategwa kama huyo mtumishi
@@dionisiamlowe6759 poleni sanaa 😭kwakwer inaumiza Sanaa😭Wema Unageka kuwa ubaya😭kwakwer Mungu Awasaidiye Sanaa🙏
pole sana padre mwachie Mungu atakulipia.
Dah! Mungu amrehemu huyo dada na familia nzima. Hii ni laana ya kizazi. Itawatafuna mpaka kizazi cha nne. Pole sana Fr. Mungu akuponye kwenye mahangaiko yako. Safi sana kwa kujituma. Nondo nondo! Chuma chuma.
Hongeza sauti maana wengi hawalijui hilo. Hata isingekuwa ni Padre, tuhuma za namna hii ni mbaya sana.
Pole sana baba Swai kwa yote uliyopitia hakika Mungu ni mwema kila kitu kitadhihirika na utarejeshewa huduma kwa imani.
Pole sana Pd. Mungu akupe mwanzo mpya wenye hekima ya Mungu, inahuzunisha sana, Mtetezi wako yu hai.Nimejifunza mengi sana kutoka kwako Pd.
Anaongea Padri ila moyo unaniuma mimi, pole sana Baba
Pole sana mtumishi wa Mungu. Mungu ndiye mtetezi wako atakulinda
Mungu akukumbuke Fr katika sadaka zote ulizotoa kwa ajili ya utukufu wake..
Pole pd mungu akulinde
Padre
Hapo kwa marafiki,mshukuru Mungu,maana kupitia hili,umejua marafiki wa kweli na wanafki
Mungu pigana nao wanaopigana nami zab:35 Hongera Fr.kwa kujua kuwa unajukumu la kusamehe. Mungu atakupigania siku zote. Zab.121.
With God all things are possible.father, waombee waweze kuchegi tabia zao.wasidhulu wengine
Pole sana baba, Tunakuombea urudi katika utume, simama imara, shetani aliona kazi zake zinaharibiwa na utume wako, akatafuta mtu akumalize, ameshundwaa kwa jina la Yesu🙏
Katakua kachawi kabisa hako
Pole Sana father, samehe kwa maana imeandikwa tusamehe saba mara sabin.. Kila jambo linasababu huenda Mungu hakupanga kwa kipind hicho uendelee na utumishi, upo wakat sahihi wa Mungu utainuka na utasimama upya 🙏
Pole sana baba Padri. Umekuwa dhahabu mpya, stephano shahidi. Mungu YU PAMOJA NAWE.
🙏🙏🙏waa mgemeyae mungu ni kama mlima sayuni
Mtumishi wa Bwana hupitia vikwazo vingi mwenyezi Mungu yu pamoja nasi
Pole Sana padre
Psalm 23
Bwana Mungu ni Mchungaji mwema hutapungukiwa na kitu....
Pole Baba, pole Sana, sadaka ya maisha yako kwa Mungu itakulinda. Hilo teso tolea kwa Mungu Kama Sala ya kuokoa roho za wakosefu na za walioko toharani. Fr. Bahati.
Padri swai jipe moyo mkuu wote tuko Nyuma yako tunakuombea . Hongera kwa ujasiri wako huo nasi tumejifunza mengi kwa hayo yaliyonipata .Tunakupenda na tunakuombea sana .Kwa Mungu sote tuna nanafasi ndani ya moyo wake.
Poleeeeeee padri wangu hapo hata maelezo yana jitosheleza poleeee ww tenda wena nenda zako nakupendaaa jmn piya niombee sana na matatizo yako
Mungu ni Mkuu sana. Asante sana Fr. Swahi kwa kufa na kufufuka na Yesu mwenyewe. Maelezo yako na mang'amuzi uliyoyapitia yamenigusa sana na kuona jinsi ulivyo ndani ya Yesu, jinsi ulivyofanyika padre, na jinsi unavyojitoa kuokoa Roho zetu waumini wako. Nimejofunza toka kwako uthabiti katika imani, umahili katika maisha na moyo wa Huruma. Mungu azidi kukuimarisha baba na kukuponya majeraha yote. Umepitishwa katika tanulu ya Moto ili ung'ae zaidi. Bwana na apewe sifa.
Pole sana padre mungu pekee ndiye hakimu wa kweli njama zao zimeshindwa kwa jina la yesu
Mungu wa huruma wahurumie waliomsingizia padri. Wafungue dhambi yao wape moyo wa kuomba msamaha
Father God bless you hakika hukumu yao i tayari mbele zaBwana Mungu wasamehe Bure!
Nimelia sana baba, mungu aendelee kukulinda hilo in jaribu tu
Jaman pole Father nilpoisikia niliumia sana,Mungu akutetee baba penye uongo ukweli hujitenga.
Pole baba kwa changamoto kiimani fanya kazi uliyoitiwa mungu
Long life father!.Acha hii vita sio yako baba,utapiganiwa na MUNGU.Hii Familia ya huyu binti ijitafakari sana hata waweze kujitambua waombe msamaha.Nimejikuta nalia hii habari niliisikia tuu kwenye radio na kuona kwenye magazeti nikawa staki hata kusikia leo nmekusikiliza Father.Hata dhahabu ikipitishwa kwenye moto itang'ara tuu
Daaaaah pole sana sana Padre!! Mungu ashindwi!!! 🙏🙏
Very sad,pole sana padre for the psychological torture you went through,i feel you and can only imagine how much pain you experienced,prejudice and false accusation are so painful, I pray that you find in your heart a place for forgiveness,may God grant you peace,and may God assign you a peaceful task that will showcase God's love.stay blessed. TUMSIFU YESU KRISTU
Pole sana fr kwa haya yaliyokupata mungu akutie nguvu
Maadui wa kanisa na kwa watumishi wa Mungu ni wengi. Pole sana padri Mungu atakupigania.
Sometime ukweli unajificha kwenye uongo,kwanini Padre aonane na mwanafunzi hotel? Kwanini asinge onana naye ofisini kwake? Hapo Padre kala buana siamini mwanafunzi asingizie yeye
@@beatricejohn800 anayejua ni Mungu ndiye anayehukumu
Pole sana padre, Mungu akutie nguvu.Imeniuma sana.
Pole sana padre mungu akubariki daima.
POLE FATHER , POLE SANA BABA USIJALI KWA HILO .MUNGU YUPO NAWE
Pole sana Padre ! Mungu atajibu ! Ila hii ndio inapelekea nchi hii watu wanatuhumiwa Ugaidi kwa ushahidi usio na mashiko.
huyu padr namjua alikuwa parokia ya manushi kabla ya kuhama. alikuwa mtu mwema sana
Pole sana Padre, may God see you through. God is fighting for you.
Pole sana fr. Mungu atakutetea.
Asante MUNGU kwaajili yako father MUNGU akulinde na kulinda mapadre wote , Mungu akutee siku zote inaniuma sana kuona waamini wanakuwa na ukatili na kukosa adabu kiasi kikubwa namna hii Mungu akutunze father
Oooh Jehovah, Fr. nami naamini Mungu kweli hashindwi,
Mungu akubariki Padre. Mtegemee muumba wako na endelea kumtumikia Bwana!. Padre, kama Yesu alibambikiziwa kesi na Wayahudi sembuse wewe binadamu? Tenda kazi ya utume wako.
Duuuh! Fr. Pole sana,nimeumia sana,ila usemavyo Mungu ni mwenye haki! Hakika umenifunza na mm,nisamehe na Mungu atatenda haki hata nikionewa😭😭😭😭
Pole sana padre naomba ujifunze kwa mt maria goreti alivyo mjibu melikiades nimemsamehe na ninamuombea neema ya kutubu,nimapito tu hayo padre ambayo ni lazima upitie Mungu anahitaji kukuinua kwa viwango vya juu, Majaribu ni kipimo cha imani usivunjike moyo baba
Pole sana Padre..Mwenyezi Mungu azidi kukusimamia na kukuongoza katika utumishi wako...Amina.
Nikupe pole za dhati Padre. Hadithi Hii ni ngumu sana kumeza lakini Mungu amekufungulia njia mpya…
Pole Sana Padre mungu azidi kukupa Amani ndani ya moyo na uwe na Afya njema ya Imani
@@mamandekirwa5751 Mungu/MUNGU na sio mungu
Samehe tu Mungu ndo mwenye kutoa kisasi we samehe acha maisha yaendelee
Pole sana Baba Padre. Mungu aendelee kukutetea na mapito yako imani ikazidi kuimarika🙏🏼🙏🏼🙏🏼.
Pole sana Padre... the Lord has vindicated you. No weapon formed against those who are faithful and true to God.
Pole sana Padre. Damu ya Yesu IKUFUNIKE
Pole sana padre waliokungizia Mungu atatenda tu juu yao,na wewe kumbuka waliochaguliwa na Mungu hushambuliwa sana na majaribu hii ni moja ya hatua ya utakatifu Mungu akupe nguvu Baba padre.⛪
Ni kweli ndugu yangu. Nimegundua mapadre hushambuliwa sana kwa kusingiziwa, mara nyingi huishia bila mtetezi na kuonekana mashetani lkn Mungu huwa mtetezi wao daima kwa kuwa yeye ndiye aliyewachagua na kuwatuma kuchunga kondoo zake. Mungu ampe nguvu huyu Padre na kuimarisha utume wake
Kweli Dunia hii kabla hujamsaidia mtu mwombe Mungu kwanza akuonyeshe maono
@@temuemanuel4671 ee kaka yangu mapadre hawana mtetezi mara nyingi na tunawagandamiza sana, kinachoumiza sana ni wakristu wanaowahudumia ndiyo wanaowafanyia ubaya.
@@anyesimaholo8553 Ni kweli Dada Anyesi Maholo
Ni Hatua ya utakatifu sana Mungu amupe padri wetu nguvu.
Pole sana father. Waovu wanapotafuta njia za kuumiza wateule wa Mungu kwaajili ya Utumishi, hufanikiwa kwa uchungu na misiba kama kupigwa tauni. Lakini kwa hakika, Kuna baraka kubwa Kwa mtumishi wa Mungu kupitia changamoto na majaribu maana changamoto na majaribu ni mbolea ya Imani. Mungu asikupungukie baba katika mahitaji ya utume wako. Amem
Pole sana father..walimwengu ndivo.walivyo.
Pole father, Mungu ana tenda kwa haki
Inaumiza sana
Hakika hii familia imepata hasara kubwa kwa jambo hili.
Hongera kwa maneno ya Hekima hii kubwa
Majaribu ni kipimo cha Imani, pole sana Fr kwa jaribu hili, ninaamini Mungu amekupandisha hadi viwango vya juu zaidi vya Imani.
Yes father Mungu pekee ndiye atakaye kulipia fidia!!!! Wewe leo ni mwalimu wetu kiroho wakimatendo. ❤❤❤❤❤❤
Pole saana baba Mungu akisaidie🙏🙏
Pole sana father, mungu atakulipia inshaallah
Pole sana Fr. Take courage. Such bad things pass; this too shall pass.
Mungu ni mwanimifu sana,padre Mungu ataendelea kukupigania,pole sana kwa yalikukuta
Pole Sana Padre Huruma ya Mungu ni kubwa Ukweli utajulikana .Endelea kumtegemea Mungu
Pole sana Padre Mungu atakupigania binadamu hatuna shukrani
Pole sana mtumishi wa mungu,kila mwanadamu anajlribu lake
Nimelia sana padre ,Mwenyezi Mungu awe faraja yako ya kweli ,Binadamu hatuaminiki
Pole sana Padri Mungu alikupitisha hapo ili kukupandisha viwango vya juu, ni sawa na Yusufu kwenye Biblia. Mungu kakushindia
Nimesikiliza mara 2 nikagundua fr ameonewa mnooo
🤲Hekima ya kiMungu ikae ndani yako,Mungu wet aikuzee imani yako na kuidumisha zaid usiteterekee in Jesus name 🙏
Pole sana father. Shetani yuko kazini anapepeta watu wa Mungu. Wanawatafuna kama mikate. Haki yako ipo itacheleweshwa Neema yako ipo umewekewa. Pole sana
Pole Sana Fr. Kwa majaribu haya, Mungu amekuwa.upande.wako umeyashinda. Wema wako umegeuka Shida. Mungu akupe Afya njema na urejee Katika utume wa kazi ya Bwana.
Pole sana padre.hayo ni mapito,yamepita majaribu ni mtaji pole sana
These are normal challenges that the clergy do face! Courage Fr! Our God is able and he knows who is culpable!
Pole ndo binadam tulivyo yote
Well said Fr. Kiondo.
Pole padri uta vuka na umevuka
Pole sana Fr.Dunia hii iko na vituko mingi.Mtu anafurahia kumfitini mtu bila sababu tuuuPole sana Fr na jipe moyo.Songa mbele tena ukiwatingishia..🙏
yani padri apo umefunfisha somo kubwa sana, Mungu akubariki na akuinue zaidi na zaidi
Mungu ni mwema.... umenifunza sana wewe Padre!
Pole sana padri
May the good Lord give u all the neccesary graces u need in ur life.
Kaka swai mwenyezi mungu kwa imaniangu anasema duwa ya mwenyekudhurumiwa hairudi naamini majibu ya walokudhurumu utayaona tuu madhamu bado una uhai