Mapadre Wazee Mbeya Wavunja Watu Mbavu kwa Vituko | Misa ya Shukrani kwa Uaskofu wa Askofu Musomba
Vložit
- čas přidán 14. 12. 2021
- Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
Mawasiliano:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america
Father wetu Zanzibar Father Mang'amba japo walikumwagia Tindi Kali lakini unaendelea kumtangaza Mungu.
Jamani binadamu! Kumbe ndivyo alifanyiwa! Pole sana Baba yangu. Mungu ambae hakuruhusu yawe waliyotamani wao hatakupungukia Daima. Yupo nawe hata milele
Padre wetu from Zanzibar,mwenye Imani thabiti ,pamoja na kumwagiwa tindikali anaendelea kumtumikia Mungu.asante Mungu
😳😳😳 oh no, pole sana... Mungu amzidishie nguvu na udhabit 🙏
@@oliverwabwire2836 Asante! Kama uliwahi kusikia hii story ndiyo huyo unayemuona!
Aisee binadamu sisi mioyo yetu ina siri kubwa sasa nini hicho jamani Mungu atuhurumie na kutusamehe wadhambi sisi
Mungu yupo kati yenu.Amina
Asante Baba Mwang'amba. Najua unamtumikia Mungu kwa moyo wako wote!!!
Padre Mwang'amba Mungu awatunze pamoja nautume wenu
Mungu awalinde mapadre wazee wetu hawa!!!
Fr Mwashuya hongera nimekuona paroko wetu
Mungu awalinde na kuwatunza katika utume wenu
Mungu awabariki saana Mapadre wetu
Pamwanya nkani.huyo ndio fr Ernest Mwashiuya.😄
Paroko kutoka Zanzibar Latisha sanah Yuko na vibe usipime
Furaha hii kwa nyuso zao Hadi rahaaa
Pole sana mzee mwang'amba naona magaidi og walitaka kuondoa uhai wako wakashindwa!
Inasikitisha sana, Chukizo kubwa mbele za Mungu.
Pamwanya nhani
Ni vizuri sana.
May God bless you guys
God bless you all
Katika maaskofu ambao wana uwezo wa kujieleza na nawakubali ni gerephas nyaisonga
Baba yangu fr.Mwang'amba
Amen 🙏
🙏🙏🙏🎉🎉🎉
Patrick muchiri CZcams wishes you well
ameee i
Le prêtre Anselme Mwangamba qui a une foi solide, malgré qu'on lui avait versé sur lui (sur son corps), l'acide sulfurique . Pour le moment il continue à faire son travail à Zinzibar. Merci
Mzee ila hahitaji mike
Mbona ameacha maiki sasa
Askofu Augustine shao sio askofu mkuu, baba Aselmo please
Siyo Aselmo, Anselme na wewe umechapia
Pia kijana huyu ameunda bunduki mbeya.....
czcams.com/video/dDBwWu_ANd4/video.html