Furaha ya Ndoa, Bwana Harusi Apiga Kinanda na Mkewe Akikonduct Mara Baada ya Kufunga Ndoa Kanisani
Vložit
- čas přidán 18. 10. 2022
- 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/GDS87FVmKB5...
Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+255757560764?text=NIUN...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+255757560764?text=Taar...)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america
Wote mmewaangalia maharusi pekee ila mmesahau hivyo vipaji vichanga vinavyozaliwa hongera kwao watoto hao wanaopiga ngoma naufurahia ukatoliki🌺🌹💟
Ni kweli🤔🤔 ila basi tu siyo siku yao🤗🤗
Watoto hushika lao... itokee washike talent yako ni bahati
Vitoto hivyo vina vipaji lukuki. Vinapiga kinanda, vinapiga ngoma, na vinaimba kama malaika. Tafuta Misa ya Kipaimara Kinyerezi usikie binti alivyoimba Zaburi. Mungu kawekeza karama kwa malaika wake
Amina nimepend pia watot hao waliopig ngoma jaman mpaka rah honger sn kwao
Ila wewe unaona😅😅😅🙏🙏🙏
Nimefurahishwa na maharusi lkn nimefurahi zaidi kuona hao watoto chipukizi ktk mziki. Nimefarijika sana. Hongereni wote
"Amin.nawaambia, mmekwisha kuipokea thawabu yenu" yaani na amini kabisa! hata malaika mbinguni wameshiriki kuuimba wimbo huu, mbarikiwe sana ma arusi maisha.mema ya ndoa, msiruhusu shetani aharibu ushuhuda huu uliougusa malaika mbinguni kushiriki tukio jili jema! 🥰😍❤👏👏👏👏👏
Anitha& komanya toka chuo mmejua kumaintain ua relationship. Mwenyezi Mungu azid kuwasimamia vipenz mdumu ktk Amani ,furaha na UPENDO 🥰❣️❣️❣️
Chuo gani?
Walikuwa wamesoma chuo kimoja?
Mbarikiwe, hakika MUNGU amekuwa mwaminifu Sana awalinde milele katika ndoa yenu,haya Ni maombi yangu kwa MUNGU kwa ajili yenu
Speechless Mungu awaepo katikati yao na kuiimarisha ndoa yao…… the kids were just wow 🎉🎉🎉
Nimeipenda sana Mungu ibariki ndoa yao ikadumu muda mrefu wapate kuona mema ya Mungu juu yao
Hongereni sana woote mliohudhuria misa hii ya doa lakini toto anayepiga drum weeee acha 2 barikiwa sana toto bwana na bibi harusi hongera sana na mzalimie padri wenu
Ashukriwe mungu hongereni sana biharusi na bwana harusi kwakumwibia Bwana Mungu wetu.
Muzuri sana na iyo témoignage ya hawa doa katika vipaji Yao . Asante na shukrani kubwa kwake Baba Mungu. Mbarikiwe na Baba Mungu kwa jamaa yenu. Asante sana.
Hongera sana wanandoa kwa kumwimbia Bwana..... Mungu ailiende ndoa yenu daima na milele... 😊😊❤️🇰🇪
Hongrn San, Mr&Ms alchoungansha mungu na mwanadam asktenganshe, nyumba yen iwekansa ndogo, na mwishke Ile ya petro mm na nyumba yang tutamtumikia bwana
Hongereni Sana MUNGU AWE KIONGOZI KATIKA MAISHA YENU
Yani huu wimbo kila siku lazima niuskilize hongeren sana ❤❤❤
Inapendeza sana kumusifu na kumshukuru .ungu siku kama hii. Bwana aibariki ndoa hii.
So beautiful Mungu awajalie neema na baraka tele katika ndoa yenu
Wow...the children on instruments, heavenly❤
Hongera sana na mungu hawabariki 🙏🙏🙏
Hongera sana pendo lenu litawaliwe na Mungu daima ninawaombea
Hongera bwana haruc mpiga kinanda, school mate wangu alikuwa anaupiga mwingi toka mashule shule.
Be blessed,,,kuimba Ni raha,muwe na sacrament njeema ya ndoa
Very lovely. God bless you abundantly.
Mungu abariki ndoa yenu, pia Mungu baba kuza vipaji vya watoto wapiga ngoma
Hongera sana classmate wangu,cute Anitha
Safi kabisaa, kumtegemea Mungu kuna faida 💯💯💯💯💯🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Yani hadi laha hakiyamungu,uwiiiiii mungu awajengee ndowa yenu kirasiku.
Absolutely beautiful 🌹. And I loved her gown sana. Love from Kenya
Happy moments!
Huyo mtoto mpiga ngoma amenibariki,lakin pia hongera maharusi mmenoga
Kuna vipaj Hao wa Toto N Hatar Sana Mungu Awajaalie Uzma
Asanteni sana wapiga vinanda Mungu anawaona na kondoo wenu😀😀😀
Raha jamani kuimba ni raha👏👏👏👏
Blessed couple ❤️❤️ Nimeishi kumwomba Mungu aniwezeshe nipate bibi mwimbaji kama Mimi. Ewe Mungu nakuomba unisikie. Drummer is super good. Congrats to that kid.
AMINA 🙏
Niko😊😊😊
Excellent 😊
Mimi hapa 😅😅😅😅,hii kitu tufanye lini
@@elizabethkasau6032 Anytime will do, 🤗🤗🤗
Unafurahi mpka unajikuta unatoa machozi , hongereni sana.
Yaani acha tu!
Beautiful ad admirable
Alichounganisha Mungu ni chema sana
Much love from Germany🇩🇪
🍃❤🍃
Waaoh nimebarkiwa saana♥️♥️♥️🙏
Waoow wonderfully
Hakika Mungu atukuzwe Milele
So beautiful mwenyezi Mungu azidi kuwalinda na kuwaongoza
Mungu be with you ♥️❤️💜💞😘❤
Aiseee ilikuwa nifuraha Tele hongereni
lovely , ibada njema kweli inaanzia nyumbani
Nzuri sna hiii
Waa oooh. That's beautiful. Thanks be to God
Hongera wanaharusi
Marriage is more sweet if you marry a partner with common passion or interest
Aaaaaaw😄💝and those drumist💓
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼raha Sana kuoana waomba bigup sana
From Harvard room mdogo wang. Anthony komanya ,roommate KIVIKE
Pongezi sana kwa huyo mtoto mpiga ngoma, Hongera sana wanandoa 🌹🌹🌹🌹🌹
Yaaaani! nilidhani nimemuona peke yangu. Na yeye anakipaji chake cha kipekee
The most beautiful thing I have watched this year
Safi sana hii nimeipenda mnoo
Waoh!
Safi sana Mungu awatetee kila iitwapo Leo
❤️❤️ We pray to receive same blessings
Hongera wanaharusi tena hongereni sana mwenyezi mungu awabariki
Hongera Mungu awabarikisana
Wonderful. I love it
Woow so inspiring uuuwi😍😍💞
Hongereni sana kwa utume na Mungu awabariki
This is so beautiful
Am speechless 😊😊😊😊
Blessed couple, pia recognise the drummist
Hongera komanya na Anitha
Mmependezewa huo wimbo bi/bw harusi
Hongella sana
That's good,
Tumsifu Yesu Kristo.
hongereni maharusi, huu wimbo mtungaji ni nani? wimbo mtamu sana
Awesome ❤️
Mimi nimependa hao watoto hasa huyo mpiga ngoma anakipaji mno
Vipaji na karama kwa ajili ya utukufu wa Mwenyezi.
Bibi harusi hongera umekondacti vizuri
Inspirational
Hongera sana
Hongeren sana
Hongereni sana 🙏🙏
Vry nice ❤
Any one with the music piece of the song please
Saf sana
Hakika Mungu awabariki katika ndoa yenu
Beautiful
Wow ,such a nyc couple ,I really feel humbled how nice it is🎉
Hongereni sana
Very beautiful couple love of music is true
Safi Sana Tumshukuru Mungu
Great
Yaani hawa naona na watoto wao watakuwa waimbaji tu
Hongereni sana 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏🙏♥️🇹🇿🇹🇿
MUNGU AWABALIKI
nimewapenda bure,mmejua kunifurahisha
My dream one day will make me fulfill it
Hongera👏👏👏👏👏👏
Waoooohhh
I love it
ongeraaaaaaa
Soo beautiful 🥰🥰🥰
soooooo admirable
Wueeeeee ,i like that ,