TOO EMOTIONAL - TAZAMA MAMA ALIVYOWALIZA BWANA HARUSI NA MDOGO WAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024

Komentáře • 189

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 Před 10 měsíci +17

    Wafanya kazi wa ndani wenye roho mbaya mnajopotezea. thamani. Huyu dada anathamani kubwa sana kwa hawa vijana wawili

  • @kyuneshila6750
    @kyuneshila6750 Před 10 měsíci +8

    Too Emotional, nimelia 😭kwa furaha, hongera sana dada Ikollina kwa upendo, wewe ni wa.dhamani sana kwa hawa vijana na kwa Mungu pia, ubarikiwe

  • @neemaisaac8356
    @neemaisaac8356 Před rokem +14

    Hongera sana una moyo mzuri Mungu akubariki kukumbuka mfanyakazi wa ndani tunavozalauliwa kazi za ndani ubarikiwe sana

  • @ChristopherDaniel-zk1lx
    @ChristopherDaniel-zk1lx Před 10 měsíci +9

    Nimesikia raha mno mpaka nimelia kwa furahaa❤❤❤

  • @africandarling6925
    @africandarling6925 Před rokem +7

    HONGERA Sana dada wa kazi kuishi vizuri na maboss wako na kulea watoto kwa upendo mungu hakubariki Dada

  • @hegikibaby1120
    @hegikibaby1120 Před 10 měsíci +13

    upendo wa kweli uliojaa hisia za furaha .....Mungu awabariki sidhan kama kuna mtu ataangalia na asitoe chozi. Mungu azidi kumbariki huyo mama na kizazi chake kwa upendo mkubwa aliowaonyesha hao watoto

  • @malaikajabali-oj2fh
    @malaikajabali-oj2fh Před 9 měsíci +5

    Asante kwa kuwalea hawa ndugu wawili. Tuning from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @beathagabriel8438
    @beathagabriel8438 Před 9 měsíci +2

    Kuna wasichana wengi wanajitoa kwa kazi. Nzuri saana ila hapajapatikana mahali hadharani pa kuwashukuru. Wengine wanasomeshewa watoto wao na misaada. Mbalimbali.. Rai yangu ni kuwa. Mtu yeyote si msichana wa kazi tuuu unapoishi popote , ishi kwa upendo , uaminifu, chapa kazi , Hakika kuna siku Mungu wa Sirini atakuinua mpaka ushangae..Hongera sana Mikolina uliyejaa upendo wa asili bila kuigiza. MUNGU AKUTUNZE SAAANA.

  • @rehemakenethi-tu2co
    @rehemakenethi-tu2co Před 10 měsíci +4

    Hongera sana Mungu akubariki kwa kumkumbuka dada wakaz si. Kitu rahisi kihivo

  • @jacintatheuri5372
    @jacintatheuri5372 Před 9 měsíci +3

    This is the best gift may the heavens bless protect you thanks 🙏🏿

  • @shufaahmmmohamed1833
    @shufaahmmmohamed1833 Před 7 měsíci +3

    Nimelia sana mana mie nimelea wa ndugu zangu na nimeambulia maneno makali ya kuvunja moyo wangu

  • @monicambuya-sq9ms
    @monicambuya-sq9ms Před rokem +6

    Nimependa vijana wana shukrani mno na ukarimu pia

  • @BeibyBonny
    @BeibyBonny Před 9 měsíci +2

    Daaaaah hongeleni Sana mwenyezi mungu azidi kuwatia nguvu man moyo wakipekeee 👏👏👏👏👏

  • @user-oc7pc2db6f
    @user-oc7pc2db6f Před 9 měsíci +1

    Pia mm nimelia sana ikollina mungu akubariki kwakuwale watoto haoo vzuri mungu akupe herí na Baraka matamanio ya moyo wk akupe god bless mama❤❤❤

  • @aloyceponela3249
    @aloyceponela3249 Před 3 měsíci +5

    Safi sana huyo dada mungu ampe maisha marefu

  • @evematinya6027
    @evematinya6027 Před 9 měsíci +2

    Dahhh😢😢😢😢!!nimeliaaa lakini machozi yenye furaha sana!!dada Mikolina Mungu akubariki sana kwa upendo

  • @user-xc4or2vp6l
    @user-xc4or2vp6l Před 8 měsíci

    Sijawai ona upendo kama huu❤, mpka nimelia dah.
    Wenye nyumba, pamoja na watoto mjifunze kuishi na wadada kwa upendo. Na wadada muache jeuri na kiburi. Siku zote zote wenye kiburi na jeuri kufanikiwa kwao ni kwa shida Sana. Wanyenyekevu huwa wanafika mbali. Dada hongera my dear kwa kunyenyekea. Sio Siri you deserved🎉❤

  • @deedee3614
    @deedee3614 Před 10 měsíci +4

    Very beautiful. Couldn’t hold my tears back ♥️

  • @mwazanimnyamani8493
    @mwazanimnyamani8493 Před 9 měsíci +2

    Dada nikolina alikuwa na upendo wa wa kweli kwa watoto aliokuwa anawalea mungu akubariki sana dasa nikolina

  • @firmakisika5073
    @firmakisika5073 Před 4 měsíci +1

    Mwenyezi Mungu nakusihi wabariki vijana hawa wametii ile amri aliyetuachia Yesu Kristo ... Pendaneni

  • @AgredaMoyo-ni2jp
    @AgredaMoyo-ni2jp Před rokem +5

    Kaka ana Upendoooo huyu Mungu akubariki nimrpenda

  • @marycelestin6586
    @marycelestin6586 Před 10 měsíci +4

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ Hakika Mungu helipa kwa kadri ya matendo yk ila Aidan na mdogo wk mna moyo wa shukran ❤

  • @nuratawadh1028
    @nuratawadh1028 Před 26 dny

    Mungu ambariki sana uyu dada kwa malezi mungu akuzidishie sana sana

  • @emmykishindo2852
    @emmykishindo2852 Před 10 měsíci +2

    Daaaaah! Yaaani,huyu dada napata Mume, Mwenyezi Mungu akubariki uingiapo na utokapo

  • @naomindulu2306
    @naomindulu2306 Před 8 měsíci +1

    Wow. This is what we call real love. Yeah Jesus Christ Love . May God keep you and have Abraham,s grace to stay two hundred years for God, s glory ❤ guys listening 🎧🙏🙏🙏

  • @agneskaseya8473
    @agneskaseya8473 Před rokem +2

    Daaah wadada zetu wa kazi ni watu wa kuwaheshim Sana hasa sisi tulio na shift kama hizo watoto zetu wanapitia magumu Ila ukiwa na dada mwene Iman, jamani tuwa thamini Sana kwani ni watu MUHIMU Sana Sana nsana hata Mimi machozi yamenitoka tena mbele ya binti yangu wa kazi,,,,,

  • @lydiawanjiru1259
    @lydiawanjiru1259 Před 6 měsíci

    Tenda wa uende zako.May God help these young men for their appreciation.God will surely reward you for the blessings this mother has given you today

  • @mellenondieki6329
    @mellenondieki6329 Před 6 měsíci

    You are wonderful guys to remember the one who was babysitting you,may God asidi,kuaongoza, kabisa you are best worldwide to remember your house maid,mungu,awaonekanee,kabisa,and awasaidie kill munacho taka,ndua hii...mungu awabariki na Familia yenu...l IN USA 🇺🇸

  • @mwazanimnyamani8493
    @mwazanimnyamani8493 Před 29 dny

    Dada aqwilina hongera sana mungu akubariki sana

  • @bokomapesa
    @bokomapesa Před 2 měsíci

    Hakika mungu Ana lipa hapa hapa duniani alicho kitenda ndio Leo mungu kampa mwanga inshallah Allah akupe umri mrefu Sana dada Niko lina

  • @simphrosaclavery4719
    @simphrosaclavery4719 Před 7 měsíci

    Ooooo nimelia sana nakufikiri mbali sana ni kitu kimepita muda lakini kwanza kabisa wanangu vijana wangu kwa kukumbuka hiki kitendo Mungu awapiganie sana kwenye ndoa zenu mdumu kama nyie mlivyotunzwa hasa ni washing weza wenu wanapotaka kubadilika usimazibu mkumbushe tu hii siku ya Arusi yenu na umwMbie alijifunza nini ile siku mlipokuwa mkimzawadia mlezi wenu zawadi Mungu awatunze na amtunze mlezi wenu pia nami kupitia shuhuda hii ninaamini binti niliyenaye atakuwa.kama mlezi wenu aliyewakuza nami ninaamini itakuwa hivyo soma zaburi ya 23 yote na 2 4yote mbarikiwe sana ❤❤❤❤❤❤❤x7

  • @heriethmozes8151
    @heriethmozes8151 Před 11 měsíci +1

    Mungu atawalipa zaid yalio mema kwaupendo juu yadada wakaz niwachache sana kukubuka mema nimependa sana mungu awabariki

  • @edwardwangombe2358
    @edwardwangombe2358 Před 9 měsíci +1

    So nice, i respect this lady and the family.

  • @BAYINAVALENTINE-lu3vl
    @BAYINAVALENTINE-lu3vl Před rokem +4

    AMAZING STORRY

  • @joankhalumi2564
    @joankhalumi2564 Před 6 měsíci

    This so wonderful mungu awabariki siwengi wanakumbuka madada wa kazi

  • @hannahtembo8280
    @hannahtembo8280 Před 2 měsíci

    Baraka nikumbuke nami❤❤❤

  • @FurahaMajilanga-ny8xj
    @FurahaMajilanga-ny8xj Před 4 měsíci

    Asante Mungu kwa ajili ya fundisho zuri nimechukua, hongereni Sana sana❤❤🎉🎉🎉

  • @user-um2wn9rm4i
    @user-um2wn9rm4i Před 7 měsíci

    Its good to appreciate may God bless you

  • @zuhurasaid
    @zuhurasaid Před měsícem

    Hongera sana, wanakukumbuk pia katika Sala zao, Mungu akutunze sana

  • @elizabethmvumu1881
    @elizabethmvumu1881 Před 11 měsíci +3

    Safi sana , familia.inaupendo, Mungu awatunze.

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před 14 dny

    Safi sana hakuna kitu kizuri Kama shukuran

  • @user-dm4zn3ry6n
    @user-dm4zn3ry6n Před 10 měsíci +1

    Mungu akubariki sanaa endelea namoyo huohuo niwachache wanao jali wafanyakazi wandani

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 Před rokem +3

    Safi. Sana jamani mungu akawape machozi yafuraha ktk ndoa yanu

  • @kamgishaisaya4763
    @kamgishaisaya4763 Před 8 měsíci

    DADA ASANTE KWA MBEGU ULIYO IPANDA HAKIKA MATUNDA YANAONEKANA KWA MACHO NA NIMFANO KWA WAMAMA WENGINE WELEENI WATOTO KWAUPENDO ILI IWE LAISI KWAKO NA KWA WATOTO WAKO MUNGU, AKUBALIKI SANA DADA,PIA ASANTENI NYIE VIJANA WAWILI KWA IMANI NA KUMBUKUMBU MLIYO NAYO KWA UYO MAMA, MUNGU,WA MBINGUNI AWABARIKI KWAKIWANGO KIKUBWA AMINA.

  • @joycesamweli1219
    @joycesamweli1219 Před 10 měsíci +1

    She did take good care of them God bless you Dads

  • @user-wu7dn6fb9x
    @user-wu7dn6fb9x Před 8 měsíci

    Nawapenda jmn mmelelewa Kwa upendo wa Hali ya juu saan, mbarikiwe na mungu

  • @user-eq1xh3so2j
    @user-eq1xh3so2j Před rokem +3

    Ubarikiwe kwa kukumbuka fadhila

  • @anithasimon2830
    @anithasimon2830 Před 2 měsíci

    Aseee kulia ni nje nje too emotional 🙏

  • @itikamlagalila1911
    @itikamlagalila1911 Před rokem +3

    Mungu na awabariki thoughtful kids❤

  • @marysona9999
    @marysona9999 Před 10 měsíci +3

    Hayo ndiyo matunda ya kusoma seminari kujengewa moyo wa upendo na kuwa kioo chema ktk jamii. Hongera kwa kumuibua Nicolina.

    • @verobecamfipa8655
      @verobecamfipa8655 Před 10 měsíci

      Ni kweli ata nilikuwa na boyfriend alisoma shule za seminali alikuwa na upendo xana na imani ya kupitiliza na ustarabu wa hali ya juuu aixeee

  • @user-id6fk9hr9q
    @user-id6fk9hr9q Před 24 dny

    Nimelia machoz ya furahaaa sanaaa

  • @shuwekhaabdalla7533
    @shuwekhaabdalla7533 Před 13 dny

    Dada mungu ayakulipa kwa wema wako

  • @malangwandekeja6116
    @malangwandekeja6116 Před 8 měsíci

    Duuh Mungu ambariki huyo Dada maradufu kwa moyo huo mzuri.

  • @stanleymsenga2436
    @stanleymsenga2436 Před 4 měsíci

    Ni wachache sana wenye kuweza kukumbuka shukrani kama hizi vjn kwa hali hii MUNGU ata wavusha mbali

  • @ruthmukami7573
    @ruthmukami7573 Před 8 měsíci

    Mbona wazazi kama hawafurai kumpongeza this great sister. Something doesn't look right.

    • @rehemakanyere4188
      @rehemakanyere4188 Před 2 měsíci

      Walifurahi tu,ila hawakutegemea kama watoto wao wanajua kushukuru kwa kiasi kikubwa saana

  • @raysoneustace6359
    @raysoneustace6359 Před 2 měsíci

    Wema hauzi nikwer❤

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 5 měsíci

    Great surprise and this is unique

  • @EsterMbukwa
    @EsterMbukwa Před 2 měsíci

    Mungu akubariki sana niwachache wenye roho kama yako

  • @FELISTAKAIMBI
    @FELISTAKAIMBI Před 2 měsíci

    Mungu akubariki sana kwa moyo wako wa upendo

  • @user-iz5uq8qo6r
    @user-iz5uq8qo6r Před rokem +1

    ❤❤ bila shaka aliwalea Kwa upendo wa kweri

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Před rokem +1

    Asante sana mdogo wangu uejua kunifurahisha

  • @salomekwilasa3892
    @salomekwilasa3892 Před 10 měsíci +2

    brought me to tears... lovely 🥰

  • @magrethlucas5505
    @magrethlucas5505 Před 9 měsíci

    Mmenifanya nimelia jmn ni binti yangu Eliza Mungu amtunze tu kwa kweli kasimama vyema katika kulea wanangu

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 5 měsíci

    HONGERA SANA DADA NI WACHACHE WENYE MOYO KM HUO WADADA TUJIFUNZE KUWA WEMA NI AKIBA. LEO UTAMFANYIA VIBAYA MTOTO HUKUMBUKI NA WEWE NI MZAZI WA LEO AU WA BAADAYE

  • @user-fv9bx5ct7b
    @user-fv9bx5ct7b Před 9 měsíci +2

    Jamani raha yaani dada mikolina amewambukiza watoto roho yake ya upendo Mungu wa mbinguni akutunze dada.

  • @NeemaStephanomjengi-xq4dg
    @NeemaStephanomjengi-xq4dg Před 8 měsíci

    Kaka NDOA yako owe ya baraka sana kwa kukumbuka dada aliyewalea

  • @shukurusyriack3504
    @shukurusyriack3504 Před 5 měsíci +2

    Nimelia mno jamani kwa furaha,Mungu nipatie binti wa kunilelea wanangu kama mim nilivyolea wa wenzangu vizuri

  • @beatricefredilick1646
    @beatricefredilick1646 Před rokem +2

    Uliwalea vizuri sana

  • @nancychiboi7133
    @nancychiboi7133 Před 5 měsíci

    Wow God bless u mum

  • @Stephaniealphonce
    @Stephaniealphonce Před měsícem

    Daah nimejikuta nalia wallah

  • @marymwandandila9327
    @marymwandandila9327 Před 5 měsíci

    Hawa vijana ni wa peke Sana ,wengine tumelea ndugu zetu tunaambulia matusi tuu

  • @NafisaJumanneMwanzalima
    @NafisaJumanneMwanzalima Před 2 měsíci

    Mungu amtuze huyu dada😊😊

  • @user-mi6dn2ez3f
    @user-mi6dn2ez3f Před 10 měsíci +2

    Mungu awabariki❤

  • @RaysMerige-cn6xg
    @RaysMerige-cn6xg Před 4 měsíci

    Mmh hongera kaka Kwa kukumbuka aliekuosha

  • @herriethchamuriho5289
    @herriethchamuriho5289 Před 10 měsíci +1

    Imani huzaa upendo wa kweli

  • @user-gj6mv4ko4h
    @user-gj6mv4ko4h Před 7 měsíci

    Jamani madada wa kazi jifunzeni, wema ni akiba....waleeni bila manung'uniko watoto mnaopewa kuwalea hamjui kesho

  • @user-ql7to3rm3p
    @user-ql7to3rm3p Před 9 měsíci +3

    Tuwapate wapi watu kama hawa jamani 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DaudiSita-rg3us
    @DaudiSita-rg3us Před 2 měsíci

    Ni wachache sana watu hivi mbarikiwe sana

  • @khadijatanzania7817
    @khadijatanzania7817 Před rokem +2

    Hii ndo raha ya kuishi vzr na watu

  • @AnnoyedCrow-kt8lq
    @AnnoyedCrow-kt8lq Před 5 měsíci +1

    Just respect❤❤

  • @user-xy5nc7hp7j
    @user-xy5nc7hp7j Před 4 měsíci

    Mungu andelee kuwabariki sana sana

  • @rosebarasa8456
    @rosebarasa8456 Před 11 měsíci +3

    Bi harusi iyo heshima usivunje tafadhali ❤❤❤❤❤

  • @EmanueliBoi
    @EmanueliBoi Před 2 měsíci

    Anastazia muema

  • @user-nh9ql5fx7s
    @user-nh9ql5fx7s Před 9 měsíci

    Kwa marayakwanza kuona mungu akubariki.

  • @IsabelaLeonard
    @IsabelaLeonard Před 5 měsíci

    sanaaa nimependaaa

  • @PauloKasimu
    @PauloKasimu Před 3 měsíci

    Mungu akubariki sana

  • @dorsaonyari9124
    @dorsaonyari9124 Před 4 měsíci

    Beautiful

  • @brianoduor1118
    @brianoduor1118 Před 7 měsíci

    What kanitoa machozi Mungu ambariki mwanadada huyo

  • @user-jg9nd9jd9n
    @user-jg9nd9jd9n Před 7 měsíci

    Mungu awabariki kwa fadhila mliofanya

  • @beathagabriel8438
    @beathagabriel8438 Před 9 měsíci +1

    Wadada wa kazi hakuna formula ya kuishi nao..Namaanisha unaweza kuishi nae wiki mbili akaondoka. Ukapata mwingine akakaa miezi 2 akaondoka... ukapata mwengine akakaa miaka 12. Hapa ni kumuomba tuu Mungu ndiye mwenye uwezo wa kumfanya adumu kwako kwa upendo.

  • @fidelisluvanda3585
    @fidelisluvanda3585 Před rokem +6

    Kuna watu wanajua kushukuru ase😭too emotional

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Před 10 měsíci +1

      Yani ni shukrani inatoka kwenye Vilindi vya moyo kabisa

  • @raniy0262
    @raniy0262 Před rokem +4

    Ni wachache wanaokumbuka fadhila

  • @user-lb9ek2qf7d
    @user-lb9ek2qf7d Před 7 měsíci

    Mungu awabalik😂😂😂💓💓💓

  • @user-tq3cf9rg8s
    @user-tq3cf9rg8s Před 3 měsíci

    Hakika mungu awabariki

  • @ElizabethOmutanyi
    @ElizabethOmutanyi Před 9 měsíci +1

    Be blessed❤

  • @ShamsiaMuhagama
    @ShamsiaMuhagama Před 3 měsíci

    Ni wachache sana kukumbuka fadhira

  • @pricemlay
    @pricemlay Před 10 měsíci

    Libarikiwe tumbo lililowazaa Mungu naomba uwape wanangu Pendo hili

  • @JullianaBoaz
    @JullianaBoaz Před 2 měsíci

    Namfananisha na marry

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 Před rokem +1

    Omg mashaallah ❤️😢

  • @user-di3pd9lw3k
    @user-di3pd9lw3k Před 7 měsíci

    Asante santeee sana