MACHOZI YA FURAHA KWENYE STAGE | MR. RIGHT KAPATA CHOMBO | PESA ZIMEONGEA !!!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 12. 2023
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • Zábava

Komentáře • 964

  • @NancykattKangu-xk2bh
    @NancykattKangu-xk2bh Před 3 měsíci +73

    Namjua uyo Devis kiukwel mwanamke atakae mchagua uyo kaka atainjoy San nibest yangu sana nanimwalimu wangu nilishawaig igizaganae move yote hayo kaongea ukwel hajadanganya hata kidogo nimpole mstarabu mnyenyekevu best friend alafu kanenepa

    • @glorychristopher7283
      @glorychristopher7283 Před 2 měsíci +3

      Wewe dada chizi kweii unapenda ela zake wewe una nn utazeeka ukiangalia mfuko wa mtu wewe n mlemavu s upambane na wewe

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před měsícem +1

      Sasa kunenepa kwake kunahusu nini?😂

    • @MarySimoni-tz3fm
      @MarySimoni-tz3fm Před 28 dny +1

      Huyo ananifaa Mimi kabisa SEMA Nina mtot 1ila nimempenda

  • @bensonthuo1447
    @bensonthuo1447 Před 5 měsíci +34

    Huyu dada amefalia dresi nyekundu Ako na hekima na maarifa ya maisha

  • @user-hp3ze2mb9y
    @user-hp3ze2mb9y Před 5 měsíci +74

    Sauti ya mziki ipo juu sana wakati mtu anaongea. Ingekuwa inapungua kidogo ingekaa poa sana. Asante!

  • @thechapter304
    @thechapter304 Před 6 měsíci +62

    Wooow,wanafaana hawa wawili👏👏👏👏👏.
    Nawatakia kila la kheri kutoka 🇰🇪

  • @soltv8268
    @soltv8268 Před 6 měsíci +83

    Mwanzo walikua wana boa na vipande vyao visivyo eleweka nikaacha kuwafatilia leo nimeingia tu bahati mbaya naona wamejirekebisha, video iko full inaeleweka big up

    • @ZitoJose-cl3pt
      @ZitoJose-cl3pt Před 5 měsíci +2

      Mimi pia niliacha sasa naludi

    • @victoriarichard8761
      @victoriarichard8761 Před 5 měsíci +1

      Siyo bahati mbaya ni bahati nzuri sada

    • @janethkomba4485
      @janethkomba4485 Před 5 měsíci +2

      Nami pia ndokwanzaa naingia leo tar 29 mwez 12 nakuta ndefuuu nimependa sasa nitaendelea kuchungulia🧘🙏

    • @user-bg5ot7ce8r
      @user-bg5ot7ce8r Před 4 měsíci

      Kipind inakuwaga ckugani na ckugani jmn na ni sahangapi😢

  • @shukuruskay4949
    @shukuruskay4949 Před 5 měsíci +44

    Asanteni sana kwa kuongeza dhakika, ni fan wenu mkubwa kutoka South Africa 🇿🇦 na fwatilia hiki kipidi sana...na enjoy sana 🙏😍 🥰

  • @zebedemirambi3067
    @zebedemirambi3067 Před 5 měsíci +34

    Jacky I love you ma, ulisema vizurisana, Umuri nikitu kizuri pia in relationships ❤❤️🇨🇩

    • @henriette99
      @henriette99 Před 2 měsíci

      Yes uyu dem ameongea Na kama Mimi Ni moja Kati ya vigezo zangu miaka

  • @anithamsaki2040
    @anithamsaki2040 Před 6 měsíci +72

    Now jamnii tunaenjoy mnaweka kipandee kina dakika full.. vibes

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Před 5 měsíci +37

    Ni kweli ukifokasi kwenye kazi yako na mungu akikubaliki utapata pesa

  • @user-yt7pp9cc3r
    @user-yt7pp9cc3r Před 6 měsíci +24

    namimi nilikuwa na mashaka nilipofuatwa na Mr right wangu ila tunamiaka kadhaa naenjoy,kazi nzuriii alyaa

  • @hopefreddiecker0537
    @hopefreddiecker0537 Před 5 měsíci +13

    Jacky huyo uwii wenzie wanamchora tu,,,, umri ni Nini,Unaeza pata mtu kakuzidi 32 yrs na bado akawa wa ovyo tu,,, ila ukapata wa same age akawa na akili zilizonyooka.....🤣

  • @sahraabdallah7242
    @sahraabdallah7242 Před 6 měsíci +15

    Huyo sijuhi Johari mshamba sanaa😏😏😏😏

  • @CECILIAMAGANGA-sk8md
    @CECILIAMAGANGA-sk8md Před 6 měsíci +21

    Mungu akutangulie kaka kwa kila jambo🙏 pia akupe mke mwema na awe mkweli

  • @justinambrose3577
    @justinambrose3577 Před 4 měsíci +29

    Aaliya you are so cute and matured one. God bless you 🎉

    • @user-ep4kd3rv6y
      @user-ep4kd3rv6y Před 4 měsíci +3

      huyu johari ni mwehu kwan mavazi yanategemea na kazi unayofanya,, ukimiliki pesa unavaaa chochote unachokiitaj siyo ety mpaka ifanye kazi bank

    • @user-jw6bz6ku5t
      @user-jw6bz6ku5t Před 3 měsíci

      Naweza kupata namba ya mister right

    • @kateigamaleo968
      @kateigamaleo968 Před 3 měsíci

      Please, some English, we enjoy your content even when we have very little kiswahili. Could be putting some content in kingereza? Love from Uganda

    • @user-qd2bz1ik8g
      @user-qd2bz1ik8g Před 11 dny

      40:09 40:09 ​@@user-jw6bz6ku5t

  • @salomevenance9555
    @salomevenance9555 Před měsícem +2

    Namtakia huyu kaka kila la heri ni husband material kabisa yaani hapo huyo mwanamke ayabanange mwenyewe❤❤❤❤❤❤❤

  • @johnstoneimbukwa128
    @johnstoneimbukwa128 Před 5 měsíci +21

    Here in Kenya Mr Right show is pure comedy.. never serious

  • @user-kj1yb7sg6u
    @user-kj1yb7sg6u Před 4 měsíci +5

    Waoooh uyu mrembo nilimpemda Toka anatoa maoni yake ya hawali Toka mwanzo🥰🥰🥰

  • @user-jh4ui8sg9n
    @user-jh4ui8sg9n Před 5 měsíci +17

    Hii couple ndo imenifanya niendelehe kufuatiliya hichi. Kipindi wameendana wamehendana Tena siku ya arusi nitumieni kadi jameni ❤❤❤❤ from USA

  • @kapeljjkapeljj5407
    @kapeljjkapeljj5407 Před 4 měsíci +19

    Dada amevaa kiheshima am proud of her

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g Před 5 měsíci +32

    Ndo maana mabinti wasiku hizi mnafeli kwenye maisha mnaangalia pesa yamtu ambaye hamjui kaipataje pesa

    • @salomevenance9555
      @salomevenance9555 Před měsícem

      Fact

    • @tunuhhashim
      @tunuhhashim Před 22 dny +3

      kweli wanawake wengi tunafeli pakubwa sana kupenda pesa kupitiliza tena unakuta huyo anae penda maokoto hajui kutafuta zake

    • @user-rc6ww6rx7n
      @user-rc6ww6rx7n Před 5 dny

      Umeonaeeh jinga kbs hy muuza nyama hy unazitaka pessa co zk muache avunde hapo

  • @metrineomega1635
    @metrineomega1635 Před 6 měsíci +12

    Good job, sasa hapa ni kukaa Kwa kutulia kbsaa, watching from Kenya but currently in Saudi Arabia

  • @kiremah
    @kiremah Před 5 měsíci +5

    Background music inaweza shukishwa kidogo tu

  • @salomevenance9555
    @salomevenance9555 Před měsícem +2

    Wamependeza mno,Mungu awatangulie Mfunge ndoa ❤❤❤❤❤

  • @thandiweonkhwazi8164
    @thandiweonkhwazi8164 Před 6 měsíci +16

    Jamani back ground music ina sauti kubwa punguzeni sauti. Mngritoa ingekuwa nzuri zaidi

  • @petermbaga9137
    @petermbaga9137 Před 5 měsíci +6

    Unamuona dem wako yuko apo mbele 😂😂😂
    Kitu kizito

  • @adelaadelaide8392
    @adelaadelaide8392 Před 5 měsíci +7

    Wow kwanza wamependezana sana❤❤❤❤❤

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 Před 5 měsíci +5

    Congratulations keep it up good job ❤❤❤❤❤❤

  • @user-ow9dw6lx4j
    @user-ow9dw6lx4j Před 4 měsíci +5

    Duuh Kumbe Wanaume ndo wanawindwa namna hiii😅😅😅 Ngoja nikaze Kumpigia Magoti Mr Right wangu uwiiii😂😂😂😂😂 Mungu nilindie Kipenzi changu asije naswa na Mademu wa Dar

    • @fredrickkaweu
      @fredrickkaweu Před 20 dny

      Kabisa ulichokuwa nacho ss
      Uckizarau maana wengine
      Piya want hitahi chamsingu
      Ujifafamu kweke yeye ww
      Ninani na uhakikishe majukumu
      Yako huyasahau nakutakiya
      Mapenzi mazuri frnd

  • @saraissa9327
    @saraissa9327 Před 6 měsíci +11

    Mr Right ana hekima..kachagua msichana mzurii..sii hao wa vipini puani

  • @pendomushi6351
    @pendomushi6351 Před 6 měsíci +13

    Huyo bint anaechagulia mavazi amepoteza point sana asubiri wale wanao vaa Jin's mchaniko ndo wanao mfaa aendelee kuwasubiri😂😂

  • @user-yu7uv6ws9h
    @user-yu7uv6ws9h Před 6 měsíci +2

    Aliyah wao am happy to see u

  • @AbbudulyShaban
    @AbbudulyShaban Před 13 hodinami

    Sema diva anaongeaga pwent sana

  • @user-ej5rg4yp3t
    @user-ej5rg4yp3t Před 5 měsíci +4

    Kiukweli tangu nimeangalia kipindi Cha Mr right hii couple wameendana sana Mungu awabariki mfike mbali

  • @kalamukalomu1780
    @kalamukalomu1780 Před 26 dny +1

    I enjoy this Mr. right from Tanzania very mature

  • @janethkimath5275
    @janethkimath5275 Před 26 dny +1

    Nilivoskia tyu ni mfanybiashara na hyo lafuz nikajua ni mwenzetu wa kaz kazini huyo❤❤

  • @carolinejosephmnyaga8869
    @carolinejosephmnyaga8869 Před 5 měsíci +3

    Hii ndo Mr& Mrs Right now.
    Yaani huyu kak Kwa Hamas kapata mtu sahihi kabisa, Mungu awatangulie tuu.❤❤ Ameen.

  • @leilasarai
    @leilasarai Před 5 měsíci +37

    Aaliya is so cute and more so very mature..Ushauri wake uko top...much love from Kenya guys❤❤

  • @ruthongeri5115
    @ruthongeri5115 Před 5 měsíci +14

    Tanzanians are very calm ! Kuna wengine wangekua washarukaruka hadi wakambusu!!

  • @ramja93
    @ramja93 Před 5 měsíci +6

    Hii sio ile ya kina Diana B walikuwa wanatuekea 3minutes,,this all the way from Tanzania 🇹🇿,,nimeipenda sana

  • @justertilusubya9595
    @justertilusubya9595 Před 5 měsíci +3

    Nampendasana lulu diva anaakili sanaaaaaah ❤❤❤❤❤😂

  • @josephkigembe-ec4pq
    @josephkigembe-ec4pq Před 5 měsíci +8

    Johari akipata Mtu (anayejitambua) niko pale niiteni kitoto cha mbwa. Na kwa bahati mbaya akiolewa siku 365 ni nyingi. Kiukweli ni mzuri (temporal) ila kichwani ni kapput. M. Mungu amsaidie kubadilika

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 Před 6 měsíci +1

    Thenks kwakutuletea full episode 🎉

  • @teclakagai754
    @teclakagai754 Před 5 měsíci

    Wow so amazing jacky 💝 same and very true lulu to Dayana

  • @user-ul9kp8zq1k
    @user-ul9kp8zq1k Před 5 měsíci +11

    Kilichobaki ni mrejesho sasa wa wanaochaguana baada ya kutoka hapo😊

  • @Cfinnerty2023
    @Cfinnerty2023 Před 5 měsíci +59

    Tanzanian are top notch, fun to watch, genuine, mature, polite, I can keep going on and on.
    Kenyans, lack certain level of maturity, when they're on Mr. Right, and other shows.

    • @sharonnyarrose4942
      @sharonnyarrose4942 Před 5 měsíci +9

      Kenyans ni kiburi tu....uwa inaniboo mbaya

    • @bwetungegodfrey4131
      @bwetungegodfrey4131 Před 5 měsíci +1

      Chako ni chako

    • @aggysm2116
      @aggysm2116 Před 5 měsíci +2

      Jajaja i see somebody criticizing us🤔😒

    • @mercyoola3650
      @mercyoola3650 Před 5 měsíci +11

      Kenyans huwa serious kweli 😂😂 if you take us serious umepotea we are mentally unstable country 😂😂

    • @aggysm2116
      @aggysm2116 Před 5 měsíci

      @@mercyoola3650 u av a reason n at the same time thats a big problem.

  • @neymigetto8024
    @neymigetto8024 Před 5 měsíci +7

    Waoooooo mdada hata kitabia anaonekana yuko vzr

  • @missflo3840
    @missflo3840 Před 4 měsíci +1

    Have been following this mr right but hii ilikuwa moto sana much love from kenya ❤❤❤❤

  • @mariamumaliki6980
    @mariamumaliki6980 Před 5 měsíci +16

    Wanao olea miwemnatuletea maisha yao tuone 😊

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před měsícem

      Kweli ingependeza tuone maisha baada ya hapa

    • @ChifuMaleta
      @ChifuMaleta Před 15 dny

      Mi nimeoa apo kutoka Mr Light na nipo nae

  • @PatriciaMueni-mo5ws
    @PatriciaMueni-mo5ws Před 5 měsíci

    Interesting 🤔 am following and learning at the same time

  • @user-jn2pi5fo4p
    @user-jn2pi5fo4p Před 5 měsíci +4

    Jamni nmekipenda hiki kipend...tuwekeeni na kwenye Azamtv

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před 6 měsíci +8

    BRAVO MAN GOD BLESS ❤❤❤

  • @martinkanangu922
    @martinkanangu922 Před 2 měsíci +3

    Hamas nimemuelewa Sana ni msichana mzuri Sana ana misimamo

  • @AntonyMM-tx3yj
    @AntonyMM-tx3yj Před měsícem +1

    Hongera devis am praod of you & mmeendana sana

  • @jemmyshiko3527
    @jemmyshiko3527 Před 11 dny

    Wish the sauti ya beats iwe down ndio tuskie maogeo ya kila kitu....This is Amaizing good job

  • @y5y5prime58
    @y5y5prime58 Před 6 měsíci +4

    Uwa sis wanawake tunajichangany San wew Fata mpenz ya kwel pess zinatafutwa kwaz mwanaume wa pess uwa ana jeur San na kibur na zarau kisa pess zake tu uwa mim na muunga muko no anaye sem natak mwanaume wa kunionesha mpenz yakwel tu 🎉🎉🎉🎉🎉❤

    • @ireneseda1176
      @ireneseda1176 Před 4 měsíci

      Bora awe na hela ukimpenda maskini akipata hela anakumwa wanamaana basi hawa

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 Před měsícem

      Kuomba tuu Mungu akupe sahih ila kuhus pesa au hana sion km kunamantik

  • @user-tp5vr3vv6v
    @user-tp5vr3vv6v Před 6 měsíci +10

    ❤wow,,,inapendeza Sana,,, at least Kuna second chance ya kuwasha taa🥰

  • @lydialutomia3398
    @lydialutomia3398 Před 15 dny +2

    This is the best than kenyans mr right.naipenda sana ingawaje mimi ni mkenya naipenda hii kweli

  • @ziporahingi899
    @ziporahingi899 Před 5 měsíci +1

    Hongera Mungu awabariki🙏🌅

  • @jonahfadhil
    @jonahfadhil Před 5 měsíci +3

    Sharon i'll come for you😛😛Anyway amazing job guys.

  • @user-pg5yk9oz1u
    @user-pg5yk9oz1u Před měsícem +1

    Jamani namtukuza sana mungu kwa kunipa mme na nimme bora namutukuza sana naona madada mnahangaika sana yesu awasaidie nikujidharirisha sana

    • @fredrickkaweu
      @fredrickkaweu Před 20 dny

      Ngoja nisemekitu unajuwa ckuzote mtafutaji hachiki na penye njiya oananiya angekuwepo ndanitu
      Acngeoata mwenziwe
      Kilamtu anaekuja hapa
      Ananiya yake unavo
      Jichukuliya ndivo
      Unavopokelewa

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 Před 6 měsíci +94

    Sasa tuna enjoy jamani wapenzi wa hiki kipindi na hatupo tz tulikua tunaumia mnoo mbarikiwe star time‘s kwa kutujali fan’s wenu

  • @kashindijohn5145
    @kashindijohn5145 Před 5 měsíci +11

    Aaliya you are so kind also polite, respect from 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸👍👍🫶

  • @sebomanyotakali761
    @sebomanyotakali761 Před 5 měsíci +10

    Show ni ya kibabe sanaaaaa yani iko Fire 🔥 sema mnge mute kidogo hiyo background tupate raha ya kuckia vizuri hizo maneno ###Mr right Tumetoboaaaa

  • @tato8979
    @tato8979 Před 6 měsíci +2

    Ahsanteni kwakutuongezea mda🎉🎉

  • @nacyfloflo9494
    @nacyfloflo9494 Před 5 měsíci +12

    Mungu pia na mmi nibariki mume bora🎉🎉

  • @magdalenabenedict2089
    @magdalenabenedict2089 Před 5 měsíci +16

    The guy is gentleman

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 Před 6 měsíci +3

    Asante jamani muwe muna weka full hivi ni raha ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @simoem8610
    @simoem8610 Před 3 měsíci

    Mimi nampenda huyu dada allya ni mwerevu she's very smart i love a charp women,,kiss from kenya😘

  • @sathysohal2075
    @sathysohal2075 Před měsícem +1

    I swear this @GaraB jamany i love him sana yupo straight foward yani...

  • @asiliyetuonlinetv5063
    @asiliyetuonlinetv5063 Před 5 měsíci +8

    Hiki kipindi kumbe huwa kitamu hivi mpaka nimelia machozi ya furaha aisee. Mungu awabariki na mkaendane katika maisha yenu ya ndoa

    • @NuhuKigahe-fv9ng
      @NuhuKigahe-fv9ng Před 5 měsíci +1

      Inapendeza sanaaa

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před 5 měsíci

      Kipindi cha wadangaji mtu anaejielwa hawezi tafta mwanamke au mwanaume wa maisha

    • @user-yj2he8no5r
      @user-yj2he8no5r Před 5 měsíci

      Nimekupendea pia kinavutia sana❤❤❤

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 Před měsícem

      ​@@fatmafatu1128pole kila mtu nabaht yake mpk online unapat matajir na unaolew acha Zana potof maisha yamebadilik

  • @juma3473
    @juma3473 Před 5 měsíci +8

    Uyo mwanamke alongea mwanzo sauti yake inafaa kwenye kazi Kama uandishi wa habari

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Před 5 měsíci +3

    Mungu asapambanie wachaga wanajua kutunza nna hakika atatunzwa sana huyu dada anahofu ya Mungu sanaaa

  • @LilianCornel-to2dw
    @LilianCornel-to2dw Před 18 hodinami

    Kiukweli hawa ndo watu waloendana tangu natazama show ya mr right wapo matured sana na dada ana heshima sana

  • @user-nv1ee7cc2t
    @user-nv1ee7cc2t Před 5 měsíci +1

    Tumefurahi mmekuja Tz good job 😘😘

  • @fayverenah
    @fayverenah Před 6 měsíci +10

    Oooh thank you sahii mnatuwekea full episode ❤❤

  • @user-ee5hg7gg3q
    @user-ee5hg7gg3q Před 5 měsíci +3

    Kwani huyo johari si hajavutiwa nae sasa nani kampa mamlaka ya kum-judge😂😂johari tupishe bana

  • @IbraWayland
    @IbraWayland Před měsícem

    Nawapenda sana st bongo

  • @user-ev6zg6qc8t
    @user-ev6zg6qc8t Před měsícem

    Asanten Sana Kwa kutuongezea mda nimefurahi mno inaleta raha

  • @florencemkaighombo5608
    @florencemkaighombo5608 Před 5 měsíci +11

    Haki natamani kupata wangu tuanze maisha ,Mko Tanzania upande gani nije nipate wangu na Mimi haki

  • @everlynemwame7427
    @everlynemwame7427 Před 5 měsíci +12

    Napenda Sana kufuatilia Sana kipindi hiki je inatakiwa uwe na sifa gani ili ushiriki

  • @clarahkenduywa9999
    @clarahkenduywa9999 Před měsícem

    Wow! amazing indeed

  • @didah4really93
    @didah4really93 Před 5 měsíci +8

    Johari ni jeuri sana na atachelew sana kupata mr right wake, mpuuzi huyu 😢ana attitudes sana Johari 😢

  • @ireenmwando
    @ireenmwando Před 5 měsíci +17

    Wow 💖Aaliya you are so mature . keep it up dear💕💕

  • @dkdeokiria8200
    @dkdeokiria8200 Před 4 měsíci +2

    Huuu n udhalilishaj tuu na hao wanawake wanaenda kujidhalilisha hapo mbele

  • @naligiatomaso5006
    @naligiatomaso5006 Před 5 měsíci +8

    Hakika hiki kipindi bwana huwa na enjoy Sana maana huwa nafurahisha ubongo

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 Před 6 měsíci +13

    kwakupenda pesa mtafanya wanaume waazime suti ili wawakubarishe kwakuwapata😂😂😂😂😂😂😂kitawalamba

    • @ProspertRubura
      @ProspertRubura Před 5 měsíci +3

      Wanakuja kutafuta pesa siyo mapenzi mimi nimefata musimu wakwanza paka wa inné wanawake wengi wanakufa apo kutafuta pesa

    • @user-cx8lf8rw8c
      @user-cx8lf8rw8c Před 5 měsíci +1

      Ni kitawalamba au kitawaramba😅😅😅😅😅 from Kenya

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 Před 5 měsíci

      @@user-cx8lf8rw8c Bora hujalewa, umeelewa❤😃😃

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 Před 5 měsíci

      @@user-cx8lf8rw8c Bora hujalewa, umeelewa❤😃😃

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 Před 5 měsíci

      @@ProspertRubura kazi yao hawatazipata

  • @Elizakilisipinilikolika1996
    @Elizakilisipinilikolika1996 Před 4 měsíci +1

    Naomba mungu awajaliye upendo wa kweli na familia bora yakumcha mungu nawapenda sana 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🥀🥀🥀🥀🥀

  • @eliaszephania3115
    @eliaszephania3115 Před 5 měsíci +2

    Hamax mke hy ukipata mke anae jali na kuweka kiupaumbele God 🙏

  • @juddykamau8618
    @juddykamau8618 Před 5 měsíci +7

    Mimi napenda watanzania hata huwa namwomba mungu aniunganishe na mmoja

  • @kelvinmuraguri3737
    @kelvinmuraguri3737 Před 4 měsíci +3

    Aki eeeeh No one knows about your God 🙏😘

  • @dominicaorler8839
    @dominicaorler8839 Před 5 měsíci +2

    Waoooh ❤

  • @damaclinekwamboka-ev8cn
    @damaclinekwamboka-ev8cn Před měsícem

    Woow looking nice ama na mm❤ nikuje huku 😊

  • @honorykwahhay4364
    @honorykwahhay4364 Před 5 měsíci +10

    Wanawake wengine kwa muonekano ni wazuri Kabla hajaongea, lakini akianza kuongea ndio unajua yaliyomo yako, Kuna mke au hakuna. Hizo ni hatua za mwanzo kabisa Kabla hamjaanza kuishi pamoja.

  • @bwetungegodfrey4131
    @bwetungegodfrey4131 Před 5 měsíci +3

    Happy marriage Mangi

  • @sweetyjanne255
    @sweetyjanne255 Před 5 měsíci +2

    Jamani aliyesema uzuri wa mwanamke upo kwenye kinywa chake hakukoseaa wadada wengi hapo ni wazuri ila wakifungua kinywa unaona kabisa hamna kitu Wanawake wakikristo someni mithali 31 sana,na umuombe Mungu kuwa huyo mwanamke anayezungumziwa kwenye hicho kitabu wadada wazuri vinywa havina hekima jamani.

  • @stellahlubulila205
    @stellahlubulila205 Před 2 měsíci

    Kwa mara ya kwanza alya umenifanya niKuangalie Tena na Tena hongera dada your the best , cute with future

  • @erickjanelleogaja455
    @erickjanelleogaja455 Před 5 měsíci +14

    How I wish true love can be found this way

  • @antonyezekiel9260
    @antonyezekiel9260 Před 5 měsíci +4

    Awe na utayari wa ndoa kweli si vinginevyo, moyo wake huenda umesukumwa na vitu vya nje, Aombe Mungu ampe msukumo wa ndani kumpenda mshkaji cos anaonekan Wajumbe wake ndani ya akili na moyo bado wapo ambao hawajaridhia, anatakiwa kupewa counceling sasa ya kuishi na mshkaji kama mke na kutambua changamoto za kimaisha,, kupata na kukosa.

  • @lydiaandisi1938
    @lydiaandisi1938 Před 5 měsíci +1

    waauh ,amazing couple

  • @JoyceRobert-yx2dt
    @JoyceRobert-yx2dt Před 20 dny

    Wahoo nimeipenda