Namjua uyo Devis kiukwel mwanamke atakae mchagua uyo kaka atainjoy San nibest yangu sana nanimwalimu wangu nilishawaig igizaganae move yote hayo kaongea ukwel hajadanganya hata kidogo nimpole mstarabu mnyenyekevu best friend alafu kanenepa
Mwanzo walikua wana boa na vipande vyao visivyo eleweka nikaacha kuwafatilia leo nimeingia tu bahati mbaya naona wamejirekebisha, video iko full inaeleweka big up
Jacky huyo uwii wenzie wanamchora tu,,,, umri ni Nini,Unaeza pata mtu kakuzidi 32 yrs na bado akawa wa ovyo tu,,, ila ukapata wa same age akawa na akili zilizonyooka.....🤣
Duuh Kumbe Wanaume ndo wanawindwa namna hiii😅😅😅 Ngoja nikaze Kumpigia Magoti Mr Right wangu uwiiii😂😂😂😂😂 Mungu nilindie Kipenzi changu asije naswa na Mademu wa Dar
Kabisa ulichokuwa nacho ss Uckizarau maana wengine Piya want hitahi chamsingu Ujifafamu kweke yeye ww Ninani na uhakikishe majukumu Yako huyasahau nakutakiya Mapenzi mazuri frnd
Johari akipata Mtu (anayejitambua) niko pale niiteni kitoto cha mbwa. Na kwa bahati mbaya akiolewa siku 365 ni nyingi. Kiukweli ni mzuri (temporal) ila kichwani ni kapput. M. Mungu amsaidie kubadilika
Tanzanian are top notch, fun to watch, genuine, mature, polite, I can keep going on and on. Kenyans, lack certain level of maturity, when they're on Mr. Right, and other shows.
Uwa sis wanawake tunajichangany San wew Fata mpenz ya kwel pess zinatafutwa kwaz mwanaume wa pess uwa ana jeur San na kibur na zarau kisa pess zake tu uwa mim na muunga muko no anaye sem natak mwanaume wa kunionesha mpenz yakwel tu 🎉🎉🎉🎉🎉❤
Wanawake wengine kwa muonekano ni wazuri Kabla hajaongea, lakini akianza kuongea ndio unajua yaliyomo yako, Kuna mke au hakuna. Hizo ni hatua za mwanzo kabisa Kabla hamjaanza kuishi pamoja.
Jamani aliyesema uzuri wa mwanamke upo kwenye kinywa chake hakukoseaa wadada wengi hapo ni wazuri ila wakifungua kinywa unaona kabisa hamna kitu Wanawake wakikristo someni mithali 31 sana,na umuombe Mungu kuwa huyo mwanamke anayezungumziwa kwenye hicho kitabu wadada wazuri vinywa havina hekima jamani.
Awe na utayari wa ndoa kweli si vinginevyo, moyo wake huenda umesukumwa na vitu vya nje, Aombe Mungu ampe msukumo wa ndani kumpenda mshkaji cos anaonekan Wajumbe wake ndani ya akili na moyo bado wapo ambao hawajaridhia, anatakiwa kupewa counceling sasa ya kuishi na mshkaji kama mke na kutambua changamoto za kimaisha,, kupata na kukosa.
Namjua uyo Devis kiukwel mwanamke atakae mchagua uyo kaka atainjoy San nibest yangu sana nanimwalimu wangu nilishawaig igizaganae move yote hayo kaongea ukwel hajadanganya hata kidogo nimpole mstarabu mnyenyekevu best friend alafu kanenepa
Wewe dada chizi kweii unapenda ela zake wewe una nn utazeeka ukiangalia mfuko wa mtu wewe n mlemavu s upambane na wewe
Sasa kunenepa kwake kunahusu nini?😂
Huyo ananifaa Mimi kabisa SEMA Nina mtot 1ila nimempenda
Huyu dada amefalia dresi nyekundu Ako na hekima na maarifa ya maisha
Sauti ya mziki ipo juu sana wakati mtu anaongea. Ingekuwa inapungua kidogo ingekaa poa sana. Asante!
Kweli atleast wapunguze
Kabisaaaa Yan mziki uko juu sana mpk kero
Kabs dear
Iko poa tu ndg
Exactly increase on volume please
Wooow,wanafaana hawa wawili👏👏👏👏👏.
Nawatakia kila la kheri kutoka 🇰🇪
Uko wapi
Mwanzo walikua wana boa na vipande vyao visivyo eleweka nikaacha kuwafatilia leo nimeingia tu bahati mbaya naona wamejirekebisha, video iko full inaeleweka big up
Mimi pia niliacha sasa naludi
Siyo bahati mbaya ni bahati nzuri sada
Nami pia ndokwanzaa naingia leo tar 29 mwez 12 nakuta ndefuuu nimependa sasa nitaendelea kuchungulia🧘🙏
Kipind inakuwaga ckugani na ckugani jmn na ni sahangapi😢
Asanteni sana kwa kuongeza dhakika, ni fan wenu mkubwa kutoka South Africa 🇿🇦 na fwatilia hiki kipidi sana...na enjoy sana 🙏😍 🥰
Jacky I love you ma, ulisema vizurisana, Umuri nikitu kizuri pia in relationships ❤❤️🇨🇩
Yes uyu dem ameongea Na kama Mimi Ni moja Kati ya vigezo zangu miaka
Now jamnii tunaenjoy mnaweka kipandee kina dakika full.. vibes
Sahiv wanajitahid sana
Ni kweli ukifokasi kwenye kazi yako na mungu akikubaliki utapata pesa
namimi nilikuwa na mashaka nilipofuatwa na Mr right wangu ila tunamiaka kadhaa naenjoy,kazi nzuriii alyaa
muongo ww
Kweli natuliopo mbali?
Jacky huyo uwii wenzie wanamchora tu,,,, umri ni Nini,Unaeza pata mtu kakuzidi 32 yrs na bado akawa wa ovyo tu,,, ila ukapata wa same age akawa na akili zilizonyooka.....🤣
Huyo sijuhi Johari mshamba sanaa😏😏😏😏
Mungu akutangulie kaka kwa kila jambo🙏 pia akupe mke mwema na awe mkweli
Aaliya you are so cute and matured one. God bless you 🎉
huyu johari ni mwehu kwan mavazi yanategemea na kazi unayofanya,, ukimiliki pesa unavaaa chochote unachokiitaj siyo ety mpaka ifanye kazi bank
Naweza kupata namba ya mister right
Please, some English, we enjoy your content even when we have very little kiswahili. Could be putting some content in kingereza? Love from Uganda
40:09 40:09 @@user-jw6bz6ku5t
Namtakia huyu kaka kila la heri ni husband material kabisa yaani hapo huyo mwanamke ayabanange mwenyewe❤❤❤❤❤❤❤
Here in Kenya Mr Right show is pure comedy.. never serious
🤣🤣🤣🤣🤣
They joking all the time
😂😂😂😂😂😂😂😂
Anawafokea sana😅mwambieni
Kenyans ladies are like prostitute wallah too bored
Waoooh uyu mrembo nilimpemda Toka anatoa maoni yake ya hawali Toka mwanzo🥰🥰🥰
Hii couple ndo imenifanya niendelehe kufuatiliya hichi. Kipindi wameendana wamehendana Tena siku ya arusi nitumieni kadi jameni ❤❤❤❤ from USA
😂
Kuna ilivyo na inavyotakiwa iwe....soma hii sentensi kwa kurudia!
Dada amevaa kiheshima am proud of her
Ndo maana mabinti wasiku hizi mnafeli kwenye maisha mnaangalia pesa yamtu ambaye hamjui kaipataje pesa
Fact
kweli wanawake wengi tunafeli pakubwa sana kupenda pesa kupitiliza tena unakuta huyo anae penda maokoto hajui kutafuta zake
Umeonaeeh jinga kbs hy muuza nyama hy unazitaka pessa co zk muache avunde hapo
Good job, sasa hapa ni kukaa Kwa kutulia kbsaa, watching from Kenya but currently in Saudi Arabia
Same here with you
Background music inaweza shukishwa kidogo tu
Wamependeza mno,Mungu awatangulie Mfunge ndoa ❤❤❤❤❤
Jamani back ground music ina sauti kubwa punguzeni sauti. Mngritoa ingekuwa nzuri zaidi
Unamuona dem wako yuko apo mbele 😂😂😂
Kitu kizito
Wow kwanza wamependezana sana❤❤❤❤❤
Congratulations keep it up good job ❤❤❤❤❤❤
Duuh Kumbe Wanaume ndo wanawindwa namna hiii😅😅😅 Ngoja nikaze Kumpigia Magoti Mr Right wangu uwiiii😂😂😂😂😂 Mungu nilindie Kipenzi changu asije naswa na Mademu wa Dar
Kabisa ulichokuwa nacho ss
Uckizarau maana wengine
Piya want hitahi chamsingu
Ujifafamu kweke yeye ww
Ninani na uhakikishe majukumu
Yako huyasahau nakutakiya
Mapenzi mazuri frnd
Mr Right ana hekima..kachagua msichana mzurii..sii hao wa vipini puani
Huyo bint anaechagulia mavazi amepoteza point sana asubiri wale wanao vaa Jin's mchaniko ndo wanao mfaa aendelee kuwasubiri😂😂
Aliyah wao am happy to see u
Sema diva anaongeaga pwent sana
Kiukweli tangu nimeangalia kipindi Cha Mr right hii couple wameendana sana Mungu awabariki mfike mbali
I enjoy this Mr. right from Tanzania very mature
Nilivoskia tyu ni mfanybiashara na hyo lafuz nikajua ni mwenzetu wa kaz kazini huyo❤❤
Hii ndo Mr& Mrs Right now.
Yaani huyu kak Kwa Hamas kapata mtu sahihi kabisa, Mungu awatangulie tuu.❤❤ Ameen.
Mimi nimependezwa nawe caro
@@greggoryisaac8485😂
Aaliya is so cute and more so very mature..Ushauri wake uko top...much love from Kenya guys❤❤
You are also so cute!
True
I need to talk to you Laila,what should I do! James -Tz
I want you please
Tanzanians are very calm ! Kuna wengine wangekua washarukaruka hadi wakambusu!!
Yaani mpaka busu😂😂
Sema tu Kenya😂
Hii sio ile ya kina Diana B walikuwa wanatuekea 3minutes,,this all the way from Tanzania 🇹🇿,,nimeipenda sana
Nampendasana lulu diva anaakili sanaaaaaah ❤❤❤❤❤😂
Johari akipata Mtu (anayejitambua) niko pale niiteni kitoto cha mbwa. Na kwa bahati mbaya akiolewa siku 365 ni nyingi. Kiukweli ni mzuri (temporal) ila kichwani ni kapput. M. Mungu amsaidie kubadilika
Hahahahahahaha ety kichwan ni caput sema hawa dada zetu wanafeli saaana
Napenda hiki kipindi nijiunge
Ila sijui nianzie wapi
Thenks kwakutuletea full episode 🎉
Wow so amazing jacky 💝 same and very true lulu to Dayana
Kilichobaki ni mrejesho sasa wa wanaochaguana baada ya kutoka hapo😊
Tanzanian are top notch, fun to watch, genuine, mature, polite, I can keep going on and on.
Kenyans, lack certain level of maturity, when they're on Mr. Right, and other shows.
Kenyans ni kiburi tu....uwa inaniboo mbaya
Chako ni chako
Jajaja i see somebody criticizing us🤔😒
Kenyans huwa serious kweli 😂😂 if you take us serious umepotea we are mentally unstable country 😂😂
@@mercyoola3650 u av a reason n at the same time thats a big problem.
Waoooooo mdada hata kitabia anaonekana yuko vzr
Have been following this mr right but hii ilikuwa moto sana much love from kenya ❤❤❤❤
Wanao olea miwemnatuletea maisha yao tuone 😊
Kweli ingependeza tuone maisha baada ya hapa
Mi nimeoa apo kutoka Mr Light na nipo nae
Interesting 🤔 am following and learning at the same time
Jamni nmekipenda hiki kipend...tuwekeeni na kwenye Azamtv
BRAVO MAN GOD BLESS ❤❤❤
Hamas nimemuelewa Sana ni msichana mzuri Sana ana misimamo
Hongera devis am praod of you & mmeendana sana
Wish the sauti ya beats iwe down ndio tuskie maogeo ya kila kitu....This is Amaizing good job
Uwa sis wanawake tunajichangany San wew Fata mpenz ya kwel pess zinatafutwa kwaz mwanaume wa pess uwa ana jeur San na kibur na zarau kisa pess zake tu uwa mim na muunga muko no anaye sem natak mwanaume wa kunionesha mpenz yakwel tu 🎉🎉🎉🎉🎉❤
Bora awe na hela ukimpenda maskini akipata hela anakumwa wanamaana basi hawa
Kuomba tuu Mungu akupe sahih ila kuhus pesa au hana sion km kunamantik
❤wow,,,inapendeza Sana,,, at least Kuna second chance ya kuwasha taa🥰
Namm nataha mke
This is the best than kenyans mr right.naipenda sana ingawaje mimi ni mkenya naipenda hii kweli
Hongera Mungu awabariki🙏🌅
Sharon i'll come for you😛😛Anyway amazing job guys.
Jamani namtukuza sana mungu kwa kunipa mme na nimme bora namutukuza sana naona madada mnahangaika sana yesu awasaidie nikujidharirisha sana
Ngoja nisemekitu unajuwa ckuzote mtafutaji hachiki na penye njiya oananiya angekuwepo ndanitu
Acngeoata mwenziwe
Kilamtu anaekuja hapa
Ananiya yake unavo
Jichukuliya ndivo
Unavopokelewa
Sasa tuna enjoy jamani wapenzi wa hiki kipindi na hatupo tz tulikua tunaumia mnoo mbarikiwe star time‘s kwa kutujali fan’s wenu
Ndio ata Mimi nakipendaga
They match.mavazi pia imechangua 7shindi WA huyu msichana
.. mpuuzi Sana wewe,yaani unaumia kukosa mambo ya uchiuchi
Nakipenda sana hiki kipindi
@@gracebila1719 ..,..
Aaliya you are so kind also polite, respect from 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸👍👍🫶
Show ni ya kibabe sanaaaaa yani iko Fire 🔥 sema mnge mute kidogo hiyo background tupate raha ya kuckia vizuri hizo maneno ###Mr right Tumetoboaaaa
Ahsanteni kwakutuongezea mda🎉🎉
Mungu pia na mmi nibariki mume bora🎉🎉
Hujaolewa
Uko wapi
Tunaweza meet
The guy is gentleman
Nakupenda
Asante jamani muwe muna weka full hivi ni raha ❤️❤️❤️❤️❤️
Mimi nampenda huyu dada allya ni mwerevu she's very smart i love a charp women,,kiss from kenya😘
I swear this @GaraB jamany i love him sana yupo straight foward yani...
Hiki kipindi kumbe huwa kitamu hivi mpaka nimelia machozi ya furaha aisee. Mungu awabariki na mkaendane katika maisha yenu ya ndoa
Inapendeza sanaaa
Kipindi cha wadangaji mtu anaejielwa hawezi tafta mwanamke au mwanaume wa maisha
Nimekupendea pia kinavutia sana❤❤❤
@@fatmafatu1128pole kila mtu nabaht yake mpk online unapat matajir na unaolew acha Zana potof maisha yamebadilik
Uyo mwanamke alongea mwanzo sauti yake inafaa kwenye kazi Kama uandishi wa habari
Mungu asapambanie wachaga wanajua kutunza nna hakika atatunzwa sana huyu dada anahofu ya Mungu sanaaa
Kiukweli hawa ndo watu waloendana tangu natazama show ya mr right wapo matured sana na dada ana heshima sana
Tumefurahi mmekuja Tz good job 😘😘
Oooh thank you sahii mnatuwekea full episode ❤❤
Naitaji nionane nawe
Kwani huyo johari si hajavutiwa nae sasa nani kampa mamlaka ya kum-judge😂😂johari tupishe bana
Nawapenda sana st bongo
Asanten Sana Kwa kutuongezea mda nimefurahi mno inaleta raha
Haki natamani kupata wangu tuanze maisha ,Mko Tanzania upande gani nije nipate wangu na Mimi haki
nipo mm
Njo nikupe kaka yangu
@@rhodarichard4494 Seriously 😂Kaka Yako atakubali kupewa bibi
Napenda Sana kufuatilia Sana kipindi hiki je inatakiwa uwe na sifa gani ili ushiriki
Wow! amazing indeed
Johari ni jeuri sana na atachelew sana kupata mr right wake, mpuuzi huyu 😢ana attitudes sana Johari 😢
Ajui nin anataka jaman uyu dada
Kweli kabisa, pia johari ana dharau sana
Ajioe
Wow 💖Aaliya you are so mature . keep it up dear💕💕
p
Okay ningependa tujuwane
Huuu n udhalilishaj tuu na hao wanawake wanaenda kujidhalilisha hapo mbele
Hakika hiki kipindi bwana huwa na enjoy Sana maana huwa nafurahisha ubongo
kwakupenda pesa mtafanya wanaume waazime suti ili wawakubarishe kwakuwapata😂😂😂😂😂😂😂kitawalamba
Wanakuja kutafuta pesa siyo mapenzi mimi nimefata musimu wakwanza paka wa inné wanawake wengi wanakufa apo kutafuta pesa
Ni kitawalamba au kitawaramba😅😅😅😅😅 from Kenya
@@user-cx8lf8rw8c Bora hujalewa, umeelewa❤😃😃
@@user-cx8lf8rw8c Bora hujalewa, umeelewa❤😃😃
@@ProspertRubura kazi yao hawatazipata
Naomba mungu awajaliye upendo wa kweli na familia bora yakumcha mungu nawapenda sana 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🥀🥀🥀🥀🥀
Hamax mke hy ukipata mke anae jali na kuweka kiupaumbele God 🙏
Mimi napenda watanzania hata huwa namwomba mungu aniunganishe na mmoja
Mungu asikie kilio chako 😊😊
Niko hapa karibu🤗
@@bensonjonas1437 amina
Nipo apa
Karibu kwa kaka zetu
Aki eeeeh No one knows about your God 🙏😘
Waoooh ❤
Woow looking nice ama na mm❤ nikuje huku 😊
Wanawake wengine kwa muonekano ni wazuri Kabla hajaongea, lakini akianza kuongea ndio unajua yaliyomo yako, Kuna mke au hakuna. Hizo ni hatua za mwanzo kabisa Kabla hamjaanza kuishi pamoja.
True
Happy marriage Mangi
Jamani aliyesema uzuri wa mwanamke upo kwenye kinywa chake hakukoseaa wadada wengi hapo ni wazuri ila wakifungua kinywa unaona kabisa hamna kitu Wanawake wakikristo someni mithali 31 sana,na umuombe Mungu kuwa huyo mwanamke anayezungumziwa kwenye hicho kitabu wadada wazuri vinywa havina hekima jamani.
Kwa mara ya kwanza alya umenifanya niKuangalie Tena na Tena hongera dada your the best , cute with future
How I wish true love can be found this way
Awe na utayari wa ndoa kweli si vinginevyo, moyo wake huenda umesukumwa na vitu vya nje, Aombe Mungu ampe msukumo wa ndani kumpenda mshkaji cos anaonekan Wajumbe wake ndani ya akili na moyo bado wapo ambao hawajaridhia, anatakiwa kupewa counceling sasa ya kuishi na mshkaji kama mke na kutambua changamoto za kimaisha,, kupata na kukosa.
waauh ,amazing couple
Wahoo nimeipenda