AWASHIWA TAA ZOTE | TAZAMA WAREMBO WALIVYOMGOMBANIA | ANA UZURI WA KIUME PESA IPO | HELLO MR RIGHT
Vložit
- čas přidán 26. 01. 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder - Zábava
Nyinyi mnaoendesha Mr Right nahao Wanawake wanaojiuza hadharani,mnamkera Allah nadalili zakiama, niwanawake kujaa masokoni.. Allah akbaru
Ivi nyie mnawazaga dhambi na zinaa
Hyo ni maigizo kama vichekesho tuu
Kabisa
Mcheni Mungu na kumtukuza,siku ya Bwana inakuja!
Yalekebisheni mapito yenu,msienende namna ya ulimwengu huu!
Hakika hujakosea.qiyam hakiko mbali tufanye ibada kumrudia mungu naumala unawasupuw
Allah mstahamilivu sana ila kama si hvyo ana uwezo wa kutoa adhbu yoyote aitakayo muda wowote Allah tunusuru waja wako hakika ss ni wadhaifu
Wanawake wanapenda wanaume weusi wenye mng'aro,ambao hawana mambo mengi, smart kichwani,wasafi,wapambanaji na wakweli.ukiwa na sifa hizo hata kama masikini utapendwa na wengi
Shetani Yuko kazini daaa saiz hawajiuzi vichochoroni wanakuja hadharani 😢😢😢😢😢😢
Mwanaume anaejielewa hawezi kwenda sehem kama hizi kutafta hao makahaba
Huyu Mr Right ni schoolmate wangu wa advance pale Bagamoyo Sec ,ama kweli miaka inaenda leo Oscar anatafta Mchumba apa 😂
Hapana hatafuti ni scripted
😂
Yaani na yeye na elimu yake amekosa mtu huko anakuja hapa??!, kweli pesa zake na elim yake havimsaidiii chochote. Ebu fikilia hao warembo profile zao mbona hazitajwi????, ukijiuliza hilo swali na ukapata jibu. Utaona wanaume wanaoenda kutafuta wanawake hapo wanashida hawako sawa
Na osca kapendwa kwa umoja wa wadada😂😂😂😂❤
@@venacyibrahim5056agiza soda I will pay it 👍
Zalishi na eliza mina wanamidomo n niwakongwe hapo😂😂😂n hamjachaguliwa
zinaaaaa matangazo
fact
NJE YA POINT,JE HIVI NDIVYO MLIVYOAMBIWA MVAE NA RAIS??? SHAME TO YOU.HATA HIKI KIPINDI HAMFUNDISHI KITU ILA KUPOTEZAA😢
Niwasaidie wakongwe Kama Eliza na zarish na wengine watu wanawaona kila siku mpo na mna nyodo Sana ndo maana hamchaguliwi wanaotaka wapya nenden mkatafute wenza mtaan acheni kujianika
Hiiioo nayo n aina ya umalaya tu😂😂😂
Guys mim huwa ni mkaxi sana akn daaah dis man duuuh
"Dunia sehem salaama ya kuish" one day yes ntasema na mm mwanaume wangu aone dunia sehem salama ya kuishi kwa kuwa na mm tu
Jaman Ana maneno matan sana sana an
Mim namuunga mkono kwangu mwanaume ni boss Wang nahitaji kumtii na kufanyia kila kitu a enjoy...
Sa huko ni soko kweri😂😂😂 heri nitafute kwa strit😂
Kwanza madem wenyewe wote wabaya 😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂kbx
Wivu naweerr😂😂😂😂😂😂😅
Ila kama una point agiza ntalipa😂
@@user-ek7nu1qc8g 😂😂
Pia mm ntawatembelea am from Kenya 🇰🇪 warembo wapo
Mkulima makini sana huyu af anajielewa mnooooo big up sanaaaaaa😊
Uzuri wa mtu sio hela wala muonekano mzuri au kawaida,
Wapo zuri wa sura umbo na kinyume chake wapo ,hapa ni kuomba Mungu tu kila mwandamu ana mazuri na mapungufu yake bila kuishi au kufahamiana japo kidogo huwezi kujua
Yaani hapo mtu siku moja tu unatangaza maisha ya pamoja kabla ya kufahamiana ni hatari tupu,
Tena ni ujinga mtupu...hujui historian yake japo kidogo jamaniiii😩
Yaani bola nimuombe Mungu wa Kuhani musa anisaidie tu nipate wangu kuliko uko
Ata kunusa kupo apo aya makubwa
Ndio mana ndoa hazidumu sikuizi hamuezi vumulia mashida kwasababu mmepatana katika mazingira ya kiuni uni😂
Sidhani kua unaweza kumpta mke hapo stara ya mke hapo ipo wpi
Wahehe eanajia kupenda pia wanawifu sana ukimsariti kukutoa roho sioshidazake
Duuuuu ila akina Lizzy Mungu atusaidie🏃
Awa wadada.wanajirahisisha mno kama makahABA DUUH😢😢
Duuh nomaaa😀😀
Hiii inadhaminiwa na freemason
Bila shaka
😂😂😂😂apokwanusa nimecheka san😂😂😂🇧🇮🔥🔥
Mr right Mrs right wako niko hapa acha kujichelewesha na zinaa hizo
Kiindi kifungiwe ni upuuzi tu hapa
So good job
Please naomba no ya huyo kaka ili anifanye nione dunia ni mahali salama pakuishi❤❤🎉🎉😂😂😂nyie wakaka huwa wanamaneno yakutuaminisha😅😅😅
😂😂😂
Unaweza kuta mfukoni hata nauli hana, simu imeharibika charging system mwezi wa 3 sasa
@@mcback4384 ila ww🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣niache kdgo🙌🙌🙌🙌😂😂😂
Eliza kaumbuliwa et asogee aibu khaaa 😂😂😂😂
Yaan etu amnuse ili chiz lawapi hhhhh
Aliya leo nimevutwa na mivalio yako leo❤
Jamaa yuko straight sana afu anajibu kama anasoma sehem hiv skia hilo jibu apo kwenye zabibu apo baba wachache tu watamuelewa
Aseeh mpeni pepsi baridi apo
Afadhali LOLO kaondok maan nimempenda bure...
Yani hapa najifunza muonekano ndy chakwanz mwanamke anaangalia😊❤😂
Elizaaaaa sahiv kila mwanaume anampenda😂
Baada ya kuchunda😂😂😂 ukiringa sn haya ndo madhara
😄😄😄😄😄😄😄😄jmn
Kishangazi😂😂😂
😄
🤣🤣Anajikutaga malkia saiv kachunda mwenyewe
Wooow huyu mr right ni fire💥💥💥
Haujaniona mie
😂😂 nikikumbuka ya Ciara na yule kaka Sina Hali nabakigi kucheka tuu
Hatari 😅
Wanaume wanaopenda hapo ni domo zege. Kwamba wanakosa jinsi ya kutafuta wadada na kuwashawishi mpaka waende kujiuza hapo!! Eti Mr Right, 😄😄😄 uhuni mtupu
Maigizo haya
Hatarii na nusu
Najua mwanaume mref mweus Kwa nn anapendwa na wadad weng😂
Tuna nini kwani🙄
Wazurii
Kimo chake Mbona cha kawaida
Ebu niambie
Ila huyu kaka jmn❤
Huyo eliza leo kaangukia pua vile alivyowaza alijua atachaguliwa yy
Halafu si mmama kabisa hata sauti yake inaonyesha 😂😂huyo mkaka atakuwa ni mdogo kwake
Mr right na kipara chake cha jua kali
😂😂😂😂😂😂😂 niuwe
Mmmmm eliza bwana aibu naona mm😂😂
Anakera Hadi basi tuko sote
madanguro yamefungwa yamehamia mtandaoni wanake nawanaume wanatafutwa kwa staili hii kweli
Mturushie na ndoa zao
😂😂😂sidhan kama waga Kuna mdoa apo
Lemme preserve my comment
Uyu Eliza sijampenda kwa kweli anawenge sanaa
😂😂😂😂😂😂kwani Bado achapata mchumba anakiherehere sana
Namuona Manara pale mbele na kofiaaa😅
Eliza anataka harufuu yakee😅😅
😂😂😂😂😂
Mbona iko wazi tumekataa kutafutiwa wake na wazazi sasa tunachukua makahaba jukwaani mwanamke kweli mwenye maadili ya kua mk huwezi mkuta akijitangaza apo tunaomba rekodi zao hau mlio wapa wanawake wamewai kuoana kweli ama wana duu tu nakupitishana uku kweli unaweza mtambua mtu kwa kumtazama. MUOGOPENI MUNGU.
Eliza bado yupo😅😅😅😅
Mwanaume kama mimi siwezi kutafuta mwanamke hapo😂😂
Ww jamaa usiogope kachukue vyuma hivyo
@@musajackison5965 🤣🤣🤣🤣
kwan unanini bwana weeh 😅😅 kwenda
Njooo mkuuu untie Niko hapa😂😂😂😂
@@tausimohammedy Nina hela na nina nguvu. za kiume
I like mr right ya kibongo si kama ya kwetu
Ya kwetu inaboo ata siwatchingi simi fun
@@fatumomatano9752 kweli
Ya bongo hata na watoto unaangalia
Itanibidi ninyoe na mmi pia😂
😅😅😅
Fire
MR RIGHT KAFIKA NA KIZIZI😂
😅😅😅😅😅😅
Kabsa kaogeshwa huyu sibule😂
Wanalipa sifa hili jamaa halina mvuto wowote wamepita mahandsome wa maana mmewakataa makahaba sokoni
Hahahaaa hata mimi nimejiuliza sana
He kunusana tena 😂😂😂😂
Atakae chaguliwa asije umiza moyo wa kijana maana hawachelewi kujinyonga hawa
Eliza kanywa soda. Sana kwenye stage atamaliza cret😮😮
Oscar jamaniii..wife materials tupo hku tumekaa tunawasubiri 😢😂😂😂
Na husband material tupo huku tunawatak nyie wife materials😢😂
😂😂😂
@@brunoh_bx au sio 😂😂😂
@@saraissa9327 Ndiooo😅
Eliza mimi nakapendaga bureeee😂😂😂
mashallah i like this gays
Tumia tu kiswahili ndugu😅.
🤣🤣🤣🤣🤣
Haki wewe 🤣🤣@@elianeradius
Nimeskia ze way alivyo ama vip bana 😂😂
Bro unaenda less sanaa 😅ila i asur you hapo sijui mr right utaangukia pua
Naye anarembua macho kama nini Mr
Mimi ni Prosper kutoka Bujumbura Burundi je awo wanawake wana tafuta mapenzi wala wanataka hela
Mbn wabay ndo wanajishaua😂😂😂
Gara b alikua kwa bongo star Sasa hapa Tena vipi au kipndi kimerek0diwa kabla??
Mbona yupo huku mda tu
Huna wanarekodi ndio maana wanatuma sub clip za kipindi kijacho
Oooh sawa
Uyu Eliza ana zarau sana
Haa! Nimependa the way vile mnavotimiza unabii paspo Dada, uliaga vipi kwa baba ulipotaka kuja hapo kutimiza unabii wa dunia ya mwisho?
Wow beautiful girls I'm wishing to be here in Tanzania.
Siwez kumuona mwanaume sikumoja eti nipende halafu nilalenae hukoni kujiuza
Mmmmh wanawake wemekuwa wengi jaman
Hiyonayo nisababu pia wanaume wapo waliojipunguza wamekua mashoga niatali
Mhehe mmoja tegule umwana umwelu uyo
Nc
Wahaya baada ya kuvunjiwa vibanda vyao wamehamia huku
SSAalma nngubarooo jjammaann neiiir
Hivi haya hua ni ya kweli au ni maigizo tu
Hivi ni kweli au maigizo? Mi siamini kama mume/ mke bora anachaguliwa kama nyanya sokoni! 🥺🥺
Wanaangalia muonekano wa nje!!!
Kama ni kweli basi dunia ina mambo na bado tutaona mengi...
Kaka zangu wa iringa mawifi ni msululu lazima muelewe kakazangu hawakai kiboya
Wajina huyo mhehe mwenzangu
Jamani me nataka kuja hapo nipate mchumba nakujaje
Mwisho wasiku serikari yetu ni kututangazia ukahaba hazalani yani tunako elekea tz mmmmmh Aisee nikubaya sana😢
Wahehe hoyeeeeeeee! Tuko juu hatujawahi feli😂😂😂😂 utulivu ndio Hadi yetu tukiudhiwa hatuna muda wa kujishana...kamba Iko wapi kwa heri
Huyu Jack alishapataga mtu jamani?kama hakupata mwenye contact yake pliz
Nouma sanaaaaaaa
Lulu diva nampend jamani
😂
Wewe luludiva atokee mtt wa mtu c ulimkataa yule mkaka hapo mbele z watu ww mwenyewe unachagua😂
Hiv km mmemuona leo kaiva, je huko nyuma kaonwa na wangap
Mademu wote walishagongeka sana mtaani hadi wanechina kudadeki. Unakuta wengine hapo wanataka Mwanaume mwenye hela wakati bikra zao zilinyofolewa na wahuni tu choka mbaya
Hawa wadada mbona kama wanajiuza hapa alafu wana tamaa hatari loooooh
ufala ya hii show ni mziki kua so loud kushinda sauti ya watu ,..mziki background music inaboa sana na its too loud,.. ila LOLO mzuri
Jaman mbn hatujaona mwisho 😅😅
❤❤
Kweli dunia imeisha imekuwa watu wana tongozeana kwenye vipindi innalillah😢😢
Huyu Eliza hana akili timamu huyu
Dunia inamamambo mengi nahaya yote nkatka upotevu Hawata waridhia mpka mtakapo fuata mila zao hapo hakuna ridha ya ALLAH uchumba unautaratibu wake bali uyahudi ndio leo umetawala .
Mwanaume anaejielewa na ana akili timamu hawez kwenda kusimama na kuchambuliwa ivo 😂😂😂😂 .
Au mtafute namna mtaboresha kipindi chenu isonekane kma mnajiuza
Mambo yakibadikika na ww badilika. Tupo kiditali ndg. Yaani hakuna namna.
Ninawapongeza sn wabeba maono haya. Big up sn!
Ss ww bakia hapo kwenu usubirie kugongewa Mlango.
Ila wanawake niwajinga sana mtu unamuona mara ya kwanza unampenda kila kitu wanawake kiumbe dhaifu sana mungu hatusaidie uzuri wa mwanaume siyo muonekano
Pia inadhalilisha kiubaguzi. Pale mwanamme anapochaguliwa na wanawake wote kisha akasema anataka mweupe, wale weusi watahisi kudhalilishwa kiubaguzi. So, haileti picha nzuri ndio mana tuache mambo yaende KIMAUMBILE na kiasili, unakutana naye akiwa peke yake ukimpenda unamchagua na usipompenda humuulizi kitu na wala mwengine hapati kujua na wala yeye mwenyewe hajui kinachoendelea Ktk moyo wako. Hii wanayofanya sio fair.