AWASHIWA TAA ZOTE | TAZAMA WAREMBO WALIVYOMGOMBANIA | ANA UZURI WA KIUME PESA IPO | HELLO MR RIGHT

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 01. 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • Zábava

Komentáře • 297

  • @KhalfanSaid-mo9jh
    @KhalfanSaid-mo9jh Před 5 měsíci +61

    Nyinyi mnaoendesha Mr Right nahao Wanawake wanaojiuza hadharani,mnamkera Allah nadalili zakiama, niwanawake kujaa masokoni.. Allah akbaru

    • @hermannicholaus
      @hermannicholaus Před 4 měsíci +2

      Ivi nyie mnawazaga dhambi na zinaa
      Hyo ni maigizo kama vichekesho tuu

    • @muhamedjaffar5653
      @muhamedjaffar5653 Před 4 měsíci +1

      Kabisa

    • @jamesraphaelmdima4729
      @jamesraphaelmdima4729 Před 4 měsíci +1

      Mcheni Mungu na kumtukuza,siku ya Bwana inakuja!

    • @jamesraphaelmdima4729
      @jamesraphaelmdima4729 Před 4 měsíci +2

      Yalekebisheni mapito yenu,msienende namna ya ulimwengu huu!

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 Před 4 měsíci +1

      Hakika hujakosea.qiyam hakiko mbali tufanye ibada kumrudia mungu naumala unawasupuw

  • @user-wy5vj8cu1i
    @user-wy5vj8cu1i Před 3 měsíci +11

    Allah mstahamilivu sana ila kama si hvyo ana uwezo wa kutoa adhbu yoyote aitakayo muda wowote Allah tunusuru waja wako hakika ss ni wadhaifu

  • @user-pg2iq6wn8l
    @user-pg2iq6wn8l Před 2 měsíci +2

    Wanawake wanapenda wanaume weusi wenye mng'aro,ambao hawana mambo mengi, smart kichwani,wasafi,wapambanaji na wakweli.ukiwa na sifa hizo hata kama masikini utapendwa na wengi

  • @user-zr5rg5ul3q
    @user-zr5rg5ul3q Před 5 měsíci +27

    Shetani Yuko kazini daaa saiz hawajiuzi vichochoroni wanakuja hadharani 😢😢😢😢😢😢

  • @user-du6ql2ev7p
    @user-du6ql2ev7p Před 3 měsíci +5

    Mwanaume anaejielewa hawezi kwenda sehem kama hizi kutafta hao makahaba

  • @gasperrobert7036
    @gasperrobert7036 Před 4 měsíci +32

    Huyu Mr Right ni schoolmate wangu wa advance pale Bagamoyo Sec ,ama kweli miaka inaenda leo Oscar anatafta Mchumba apa 😂

    • @westcijosh
      @westcijosh Před 4 měsíci

      Hapana hatafuti ni scripted

    • @JastinaRuguma
      @JastinaRuguma Před 4 měsíci

      😂

    • @venacyibrahim5056
      @venacyibrahim5056 Před 3 měsíci +1

      Yaani na yeye na elimu yake amekosa mtu huko anakuja hapa??!, kweli pesa zake na elim yake havimsaidiii chochote. Ebu fikilia hao warembo profile zao mbona hazitajwi????, ukijiuliza hilo swali na ukapata jibu. Utaona wanaume wanaoenda kutafuta wanawake hapo wanashida hawako sawa

    • @user-ek7nu1qc8g
      @user-ek7nu1qc8g Před 2 měsíci +1

      Na osca kapendwa kwa umoja wa wadada😂😂😂😂❤

    • @user-ek7nu1qc8g
      @user-ek7nu1qc8g Před 2 měsíci

      ​@@venacyibrahim5056agiza soda I will pay it 👍

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Před 5 měsíci +8

    Zalishi na eliza mina wanamidomo n niwakongwe hapo😂😂😂n hamjachaguliwa

  • @Abdul-rn5zj
    @Abdul-rn5zj Před 5 měsíci +29

    zinaaaaa matangazo

    • @Abdul-rn5zj
      @Abdul-rn5zj Před 5 měsíci

      fact

    • @fatmaahmed8637
      @fatmaahmed8637 Před 3 měsíci +1

      NJE YA POINT,JE HIVI NDIVYO MLIVYOAMBIWA MVAE NA RAIS??? SHAME TO YOU.HATA HIKI KIPINDI HAMFUNDISHI KITU ILA KUPOTEZAA😢

  • @Happinesabella3654
    @Happinesabella3654 Před 5 měsíci +5

    Niwasaidie wakongwe Kama Eliza na zarish na wengine watu wanawaona kila siku mpo na mna nyodo Sana ndo maana hamchaguliwi wanaotaka wapya nenden mkatafute wenza mtaan acheni kujianika

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z Před 4 měsíci +4

    Hiiioo nayo n aina ya umalaya tu😂😂😂

  • @user-pb6do4fg6x
    @user-pb6do4fg6x Před 4 měsíci +3

    Guys mim huwa ni mkaxi sana akn daaah dis man duuuh
    "Dunia sehem salaama ya kuish" one day yes ntasema na mm mwanaume wangu aone dunia sehem salama ya kuishi kwa kuwa na mm tu
    Jaman Ana maneno matan sana sana an
    Mim namuunga mkono kwangu mwanaume ni boss Wang nahitaji kumtii na kufanyia kila kitu a enjoy...

  • @lydiahkerubo4985
    @lydiahkerubo4985 Před 5 měsíci +5

    Sa huko ni soko kweri😂😂😂 heri nitafute kwa strit😂

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 Před 4 měsíci +16

    Kwanza madem wenyewe wote wabaya 😂😂

  • @SamwelOgonyo
    @SamwelOgonyo Před 3 měsíci +3

    Pia mm ntawatembelea am from Kenya 🇰🇪 warembo wapo

  • @bettykarume5619
    @bettykarume5619 Před 5 měsíci +6

    Mkulima makini sana huyu af anajielewa mnooooo big up sanaaaaaa😊

  • @sospeterurassa9894
    @sospeterurassa9894 Před 5 měsíci +4

    Uzuri wa mtu sio hela wala muonekano mzuri au kawaida,
    Wapo zuri wa sura umbo na kinyume chake wapo ,hapa ni kuomba Mungu tu kila mwandamu ana mazuri na mapungufu yake bila kuishi au kufahamiana japo kidogo huwezi kujua
    Yaani hapo mtu siku moja tu unatangaza maisha ya pamoja kabla ya kufahamiana ni hatari tupu,

    • @dorahmushi-we6ts
      @dorahmushi-we6ts Před 4 měsíci

      Tena ni ujinga mtupu...hujui historian yake japo kidogo jamaniiii😩

    • @Sakina-sk8rn
      @Sakina-sk8rn Před 4 měsíci

      Yaani bola nimuombe Mungu wa Kuhani musa anisaidie tu nipate wangu kuliko uko

    • @Sakina-sk8rn
      @Sakina-sk8rn Před 4 měsíci

      Ata kunusa kupo apo aya makubwa

  • @kidatokassim7616
    @kidatokassim7616 Před 4 měsíci +11

    Ndio mana ndoa hazidumu sikuizi hamuezi vumulia mashida kwasababu mmepatana katika mazingira ya kiuni uni😂

  • @UstadhiMfinanga
    @UstadhiMfinanga Před 5 měsíci +7

    Sidhani kua unaweza kumpta mke hapo stara ya mke hapo ipo wpi

  • @user-ey5vz8sz9u
    @user-ey5vz8sz9u Před 5 měsíci +13

    Wahehe eanajia kupenda pia wanawifu sana ukimsariti kukutoa roho sioshidazake

  • @user-gq8zy3xh1k
    @user-gq8zy3xh1k Před 4 měsíci +3

    Duuuuu ila akina Lizzy Mungu atusaidie🏃

  • @FATUMACHIPYANGU
    @FATUMACHIPYANGU Před 5 měsíci +12

    Awa wadada.wanajirahisisha mno kama makahABA DUUH😢😢

  • @renatuschina220
    @renatuschina220 Před 5 měsíci +3

    Duuh nomaaa😀😀

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw Před 5 měsíci +9

    Hiii inadhaminiwa na freemason

  • @hawababy120
    @hawababy120 Před 5 měsíci +3

    😂😂😂😂apokwanusa nimecheka san😂😂😂🇧🇮🔥🔥

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Před 5 měsíci +3

    Mr right Mrs right wako niko hapa acha kujichelewesha na zinaa hizo

  • @mshewetv
    @mshewetv Před 4 měsíci +5

    Kiindi kifungiwe ni upuuzi tu hapa

  • @IssakaMisholo-wy7mf
    @IssakaMisholo-wy7mf Před 9 dny

    So good job

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k Před 5 měsíci +6

    Please naomba no ya huyo kaka ili anifanye nione dunia ni mahali salama pakuishi❤❤🎉🎉😂😂😂nyie wakaka huwa wanamaneno yakutuaminisha😅😅😅

    • @noellahgervas90
      @noellahgervas90 Před 5 měsíci +1

      😂😂😂

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před 5 měsíci +1

      Unaweza kuta mfukoni hata nauli hana, simu imeharibika charging system mwezi wa 3 sasa

    • @user-sn6dc9gh8k
      @user-sn6dc9gh8k Před 5 měsíci

      @@mcback4384 ila ww🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣niache kdgo🙌🙌🙌🙌😂😂😂

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Před 5 měsíci +6

    Eliza kaumbuliwa et asogee aibu khaaa 😂😂😂😂

  • @musondolirobert3922
    @musondolirobert3922 Před 5 měsíci +13

    Aliya leo nimevutwa na mivalio yako leo❤

  • @johndavid7318
    @johndavid7318 Před 5 měsíci +4

    Jamaa yuko straight sana afu anajibu kama anasoma sehem hiv skia hilo jibu apo kwenye zabibu apo baba wachache tu watamuelewa
    Aseeh mpeni pepsi baridi apo

  • @aziziiddi
    @aziziiddi Před 4 měsíci +3

    Afadhali LOLO kaondok maan nimempenda bure...

    • @aziziiddi
      @aziziiddi Před 4 měsíci +1

      Yani hapa najifunza muonekano ndy chakwanz mwanamke anaangalia😊❤😂

  • @restypeter1141
    @restypeter1141 Před 5 měsíci +7

    Elizaaaaa sahiv kila mwanaume anampenda😂

  • @ellymwampashe8927
    @ellymwampashe8927 Před 5 měsíci +6

    Wooow huyu mr right ni fire💥💥💥

  • @faudhiaramadhani2308
    @faudhiaramadhani2308 Před 3 měsíci +1

    😂😂 nikikumbuka ya Ciara na yule kaka Sina Hali nabakigi kucheka tuu

  • @Huncho_taitan_breezy
    @Huncho_taitan_breezy Před 5 měsíci +4

    Hatari 😅

  • @sethjohnson7266
    @sethjohnson7266 Před 2 měsíci +2

    Wanaume wanaopenda hapo ni domo zege. Kwamba wanakosa jinsi ya kutafuta wadada na kuwashawishi mpaka waende kujiuza hapo!! Eti Mr Right, 😄😄😄 uhuni mtupu

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis Před 4 měsíci +2

    Hatarii na nusu

  • @queensalema5262
    @queensalema5262 Před 4 měsíci +4

    Najua mwanaume mref mweus Kwa nn anapendwa na wadad weng😂

  • @JacqDaniels-hu5xj
    @JacqDaniels-hu5xj Před 3 měsíci +4

    Ila huyu kaka jmn❤

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před 5 měsíci +5

    Huyo eliza leo kaangukia pua vile alivyowaza alijua atachaguliwa yy

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 Před 5 měsíci

      Halafu si mmama kabisa hata sauti yake inaonyesha 😂😂huyo mkaka atakuwa ni mdogo kwake

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Před 5 měsíci +4

    Mr right na kipara chake cha jua kali

  • @grolykimario26
    @grolykimario26 Před 4 měsíci +2

    Mmmmm eliza bwana aibu naona mm😂😂

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 Před 5 měsíci +5

    madanguro yamefungwa yamehamia mtandaoni wanake nawanaume wanatafutwa kwa staili hii kweli

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před 5 měsíci +9

    Mturushie na ndoa zao

  • @bantu573
    @bantu573 Před 4 měsíci +3

    Lemme preserve my comment

  • @Dorcaskiwale-ir6ec
    @Dorcaskiwale-ir6ec Před 4 měsíci +5

    Uyu Eliza sijampenda kwa kweli anawenge sanaa

    • @fatumomatano9752
      @fatumomatano9752 Před 2 měsíci

      😂😂😂😂😂😂kwani Bado achapata mchumba anakiherehere sana

  • @samsed-media9911
    @samsed-media9911 Před 5 měsíci +6

    Namuona Manara pale mbele na kofiaaa😅

  • @user-ui6ut2qg4n
    @user-ui6ut2qg4n Před 3 měsíci +2

    Eliza anataka harufuu yakee😅😅

  • @user-jr5cu5gh1k
    @user-jr5cu5gh1k Před 2 měsíci

    Mbona iko wazi tumekataa kutafutiwa wake na wazazi sasa tunachukua makahaba jukwaani mwanamke kweli mwenye maadili ya kua mk huwezi mkuta akijitangaza apo tunaomba rekodi zao hau mlio wapa wanawake wamewai kuoana kweli ama wana duu tu nakupitishana uku kweli unaweza mtambua mtu kwa kumtazama. MUOGOPENI MUNGU.

  • @user-qe5sk4gd6e
    @user-qe5sk4gd6e Před 5 měsíci +2

    Eliza bado yupo😅😅😅😅

  • @user-zs4qz4wm2n
    @user-zs4qz4wm2n Před 5 měsíci +9

    Mwanaume kama mimi siwezi kutafuta mwanamke hapo😂😂

  • @Bizmind472
    @Bizmind472 Před 4 měsíci +1

    I like mr right ya kibongo si kama ya kwetu

  • @hus-keenwizer679
    @hus-keenwizer679 Před 4 měsíci +2

    Itanibidi ninyoe na mmi pia😂

  • @oshaimuafrica8398
    @oshaimuafrica8398 Před 2 měsíci

    Fire

  • @fabiannjovu2273
    @fabiannjovu2273 Před 5 měsíci +3

    MR RIGHT KAFIKA NA KIZIZI😂

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 Před 4 měsíci +3

    Wanalipa sifa hili jamaa halina mvuto wowote wamepita mahandsome wa maana mmewakataa makahaba sokoni

    • @David-if6nk
      @David-if6nk Před 2 měsíci

      Hahahaaa hata mimi nimejiuliza sana

  • @user-bo5qp9gz8m
    @user-bo5qp9gz8m Před 5 měsíci +1

    He kunusana tena 😂😂😂😂

  • @Damz240
    @Damz240 Před 4 měsíci +1

    Atakae chaguliwa asije umiza moyo wa kijana maana hawachelewi kujinyonga hawa

  • @rahmamusa8548
    @rahmamusa8548 Před 2 měsíci

    Eliza kanywa soda. Sana kwenye stage atamaliza cret😮😮

  • @saraissa9327
    @saraissa9327 Před 5 měsíci +2

    Oscar jamaniii..wife materials tupo hku tumekaa tunawasubiri 😢😂😂😂

    • @brunoh_bx
      @brunoh_bx Před 5 měsíci +2

      Na husband material tupo huku tunawatak nyie wife materials😢😂

    • @Esters-zr6nl
      @Esters-zr6nl Před 4 měsíci +1

      😂😂😂

    • @saraissa9327
      @saraissa9327 Před 4 měsíci +1

      @@brunoh_bx au sio 😂😂😂

    • @brunoh_bx
      @brunoh_bx Před 4 měsíci

      @@saraissa9327 Ndiooo😅

  • @user-ek7nu1qc8g
    @user-ek7nu1qc8g Před 2 měsíci

    Eliza mimi nakapendaga bureeee😂😂😂

  • @hanifaalhanif6392
    @hanifaalhanif6392 Před 5 měsíci +3

    mashallah i like this gays

    • @elianeradius
      @elianeradius Před 5 měsíci +3

      Tumia tu kiswahili ndugu😅.

    • @inno5044
      @inno5044 Před 3 měsíci

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @regen5458
      @regen5458 Před 3 měsíci

      Haki wewe 🤣🤣​@@elianeradius

  • @zeddyshindika9502
    @zeddyshindika9502 Před 4 měsíci +3

    Nimeskia ze way alivyo ama vip bana 😂😂

  • @user-cu3dg8xd7q
    @user-cu3dg8xd7q Před 5 měsíci +1

    Bro unaenda less sanaa 😅ila i asur you hapo sijui mr right utaangukia pua

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 Před 5 měsíci +1

    Naye anarembua macho kama nini Mr

  • @ProspertRubura
    @ProspertRubura Před 4 měsíci

    Mimi ni Prosper kutoka Bujumbura Burundi je awo wanawake wana tafuta mapenzi wala wanataka hela

  • @user-boss_ledy
    @user-boss_ledy Před 4 měsíci +1

    Mbn wabay ndo wanajishaua😂😂😂

  • @elizabethismile6827
    @elizabethismile6827 Před 5 měsíci +4

    Gara b alikua kwa bongo star Sasa hapa Tena vipi au kipndi kimerek0diwa kabla??

  • @shakiramshule342
    @shakiramshule342 Před 4 měsíci +1

    Uyu Eliza ana zarau sana

  • @UJENZIUBUNIFU.
    @UJENZIUBUNIFU. Před 5 měsíci

    Haa! Nimependa the way vile mnavotimiza unabii paspo Dada, uliaga vipi kwa baba ulipotaka kuja hapo kutimiza unabii wa dunia ya mwisho?

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 Před 5 měsíci +6

    Wow beautiful girls I'm wishing to be here in Tanzania.

  • @user-ys8hi7iy5j
    @user-ys8hi7iy5j Před 6 dny

    Siwez kumuona mwanaume sikumoja eti nipende halafu nilalenae hukoni kujiuza

  • @user-od8lh6il8q
    @user-od8lh6il8q Před 5 měsíci +2

    Mmmmh wanawake wemekuwa wengi jaman

    • @jumapiliissa4835
      @jumapiliissa4835 Před 5 měsíci

      Hiyonayo nisababu pia wanaume wapo waliojipunguza wamekua mashoga niatali

  • @user-wl6ci4ew2k
    @user-wl6ci4ew2k Před 3 měsíci +1

    Mhehe mmoja tegule umwana umwelu uyo

  • @sergioramoel9704
    @sergioramoel9704 Před 5 měsíci +1

    Nc

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 Před 5 měsíci +1

    Wahaya baada ya kuvunjiwa vibanda vyao wamehamia huku

  • @florahfrancis1613
    @florahfrancis1613 Před 5 měsíci +2

    SSAalma nngubarooo jjammaann neiiir

  • @valentinesyekeye6846
    @valentinesyekeye6846 Před 4 měsíci +1

    Hivi haya hua ni ya kweli au ni maigizo tu

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před 4 měsíci

    Hivi ni kweli au maigizo? Mi siamini kama mume/ mke bora anachaguliwa kama nyanya sokoni! 🥺🥺
    Wanaangalia muonekano wa nje!!!
    Kama ni kweli basi dunia ina mambo na bado tutaona mengi...

  • @dianerditto
    @dianerditto Před 5 měsíci +1

    Kaka zangu wa iringa mawifi ni msululu lazima muelewe kakazangu hawakai kiboya

  • @user-is6yf8hg7z
    @user-is6yf8hg7z Před 3 měsíci

    Wajina huyo mhehe mwenzangu

  • @user-nh9vf9vm1w
    @user-nh9vf9vm1w Před 5 měsíci +1

    Jamani me nataka kuja hapo nipate mchumba nakujaje

  • @edwardpaulo3351
    @edwardpaulo3351 Před 4 měsíci

    Mwisho wasiku serikari yetu ni kututangazia ukahaba hazalani yani tunako elekea tz mmmmmh Aisee nikubaya sana😢

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 Před 5 měsíci +1

    Wahehe hoyeeeeeeee! Tuko juu hatujawahi feli😂😂😂😂 utulivu ndio Hadi yetu tukiudhiwa hatuna muda wa kujishana...kamba Iko wapi kwa heri

  • @Edwinminjajr
    @Edwinminjajr Před 21 dnem

    Huyu Jack alishapataga mtu jamani?kama hakupata mwenye contact yake pliz

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy Před 5 měsíci +1

    Nouma sanaaaaaaa

  • @yusuphgisunte6491
    @yusuphgisunte6491 Před 5 měsíci +4

    Lulu diva nampend jamani

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Před 5 měsíci

    Wewe luludiva atokee mtt wa mtu c ulimkataa yule mkaka hapo mbele z watu ww mwenyewe unachagua😂

  • @abdonvenedeus4860
    @abdonvenedeus4860 Před 5 měsíci +1

    Hiv km mmemuona leo kaiva, je huko nyuma kaonwa na wangap

  • @David-if6nk
    @David-if6nk Před 2 měsíci

    Mademu wote walishagongeka sana mtaani hadi wanechina kudadeki. Unakuta wengine hapo wanataka Mwanaume mwenye hela wakati bikra zao zilinyofolewa na wahuni tu choka mbaya

  • @justertilusubya9595
    @justertilusubya9595 Před 5 měsíci

    Hawa wadada mbona kama wanajiuza hapa alafu wana tamaa hatari loooooh

  • @danielndei5420
    @danielndei5420 Před 2 měsíci

    ufala ya hii show ni mziki kua so loud kushinda sauti ya watu ,..mziki background music inaboa sana na its too loud,.. ila LOLO mzuri

  • @DJ_JERE_255
    @DJ_JERE_255 Před 4 měsíci

    Jaman mbn hatujaona mwisho 😅😅

  • @user-kh9oo5le1u
    @user-kh9oo5le1u Před 2 měsíci

    ❤❤

  • @user-ks8ou5vt1r
    @user-ks8ou5vt1r Před 4 měsíci +1

    Kweli dunia imeisha imekuwa watu wana tongozeana kwenye vipindi innalillah😢😢

  • @WinifridaMbembe
    @WinifridaMbembe Před měsícem

    Huyu Eliza hana akili timamu huyu

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Před měsícem

    Dunia inamamambo mengi nahaya yote nkatka upotevu Hawata waridhia mpka mtakapo fuata mila zao hapo hakuna ridha ya ALLAH uchumba unautaratibu wake bali uyahudi ndio leo umetawala .

  • @IreneMinja-bm8zj
    @IreneMinja-bm8zj Před měsícem

    Mwanaume anaejielewa na ana akili timamu hawez kwenda kusimama na kuchambuliwa ivo 😂😂😂😂 .
    Au mtafute namna mtaboresha kipindi chenu isonekane kma mnajiuza

    • @rehemamkude6766
      @rehemamkude6766 Před měsícem

      Mambo yakibadikika na ww badilika. Tupo kiditali ndg. Yaani hakuna namna.
      Ninawapongeza sn wabeba maono haya. Big up sn!
      Ss ww bakia hapo kwenu usubirie kugongewa Mlango.

  • @user-vx2ot2po3q
    @user-vx2ot2po3q Před 4 měsíci

    Ila wanawake niwajinga sana mtu unamuona mara ya kwanza unampenda kila kitu wanawake kiumbe dhaifu sana mungu hatusaidie uzuri wa mwanaume siyo muonekano

    • @Rmkh88
      @Rmkh88 Před 4 měsíci

      Pia inadhalilisha kiubaguzi. Pale mwanamme anapochaguliwa na wanawake wote kisha akasema anataka mweupe, wale weusi watahisi kudhalilishwa kiubaguzi. So, haileti picha nzuri ndio mana tuache mambo yaende KIMAUMBILE na kiasili, unakutana naye akiwa peke yake ukimpenda unamchagua na usipompenda humuulizi kitu na wala mwengine hapati kujua na wala yeye mwenyewe hajui kinachoendelea Ktk moyo wako. Hii wanayofanya sio fair.