PENZI JIPYA | NITABADILISHA DINI | HELA IPO | ATANITUNZA | GOLDEN GIRL | HELLO MR RIGHT

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 02. 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • Zábava

Komentáře • 609

  • @siame.abraham9707
    @siame.abraham9707 Před 4 měsíci +48

    Nimefurahi sana na couple ya leo yaani vitu ni Boom boom ❤❤❤❤

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 Před 4 měsíci +49

    Nimempenda mr right akiongea anaonekana mstaarabu na hana mdomo mdomo kama wnaume wengine 😂😂😂hongera lolo umepata bwana inshaallah abadili din kweli akuoe mama

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 4 měsíci +127

    Uyo eliza mtoeni ni bibi aende nje anakera na kuwaharibia kazi buana ,amejikuta jaji wa mr.right hafato protocol atolewe buana

  • @mwajabudegwa
    @mwajabudegwa Před 4 měsíci +17

    Yaan aliyah apewe 🎉 meng na azid kwenye hiki kipind anajua kuwanyoosha hawa wadada❤❤

  • @Spicekingnushinwe.-kt5lp
    @Spicekingnushinwe.-kt5lp Před 4 měsíci +9

    Lilu diva napenda unavyo cheka hadi raha my sister ❤❤🎉🎉

  • @user-su7uo3eu5b
    @user-su7uo3eu5b Před 4 měsíci +26

    Nzuli sana leo iko moja to jamani huyu Elizabeth simpendi anajisikia sana huyu kaka yuko very nice ❤😢

  • @Geraldmbesere-fn2de
    @Geraldmbesere-fn2de Před 4 měsíci +58

    Uyo eliza ana mambo ya kijinga siku zote haelewi ana kichwa kigumu 😂😂😂😂😂

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před 4 měsíci +34

    Grayson + lolo was natural love wameendana na kupendezana

    • @user-zt1db4wm4k
      @user-zt1db4wm4k Před 4 měsíci

      Eliza aelew bwana mtoen apo

    • @FaridaCharema
      @FaridaCharema Před 4 měsíci

      Huyo eliza atolewe mana hasikilizi hata maongezi,anachoreka tu

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 Před 4 měsíci +37

    Naona kama eliza anamdomo sana na dharau pia. Angeenda zake na yule mzee baharia 😂

  • @edinarobert6716
    @edinarobert6716 Před 4 měsíci +6

    Nimependa wanaendana sana 😘😘😘😘😘😘😘

  • @ngusiupdates4363
    @ngusiupdates4363 Před 4 měsíci +33

    Imagin ndo umemchukua Eliza akawe mke wako my dear nakwambia utanyookaa 😅😅😅

    • @GiftAbduly
      @GiftAbduly Před 4 měsíci +2

      😂😂😂😂😂😂

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Před 4 měsíci

      😂😂😂 na komwe lake uyo Eliza haha bibi akalee wajukuuu uko atolewe

    • @ericmellau3783
      @ericmellau3783 Před 4 měsíci

      Amna uyu unamwitikia afu ungya nae ndoa unamnyosha bora ndoa ife ila ajue akuna zuzuu

    • @ancyjoakim8308
      @ancyjoakim8308 Před 4 měsíci

      😂

    • @user-rj4cd7oc4x
      @user-rj4cd7oc4x Před 3 měsíci

      😂😂😂😂

  • @AnnoyedMarsh-is4nr
    @AnnoyedMarsh-is4nr Před 4 měsíci +12

    Mashaallah wamependezana sanaa nimependa sanaa hiyo mkaka mzurii sanaaa handsome hatimaye Lolo amepata mwenzawake jamn

  • @symonmhoja3102
    @symonmhoja3102 Před 4 měsíci +12

    Sio rahisi men kubadili dini, tuliosoma Cuba tumemuelewa mwamba, ila anazambi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @israeluronu9958
    @israeluronu9958 Před 4 měsíci +25

    Eliza bado niko na ww au wamtaka Gara B😂😂😂😂

  • @janethdavidsanga5999
    @janethdavidsanga5999 Před 4 měsíci +8

    Yan hii ndoa mtuletee humu ndani tuione😊

  • @petroniesindarubaza2420
    @petroniesindarubaza2420 Před 4 měsíci +5

    Jamaniii iyi couple nimeyipendaaa❤❤

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er Před 4 měsíci +3

    Huu ni mnada wawanawake kweli dunia ipo mwisho mungu tuangalie wanao tunapotea tuoneshe njia sahihi

  • @edierichie
    @edierichie Před 4 měsíci +10

    AISEE SIJAWAI KUKOMENTI MR RIGHT , KIUKWELI HUYU DADA ELIZA MTOENI SIONI KAMA KUNA CHOCHOTE ANACHOKIFANYA HAPO.

    • @lizndunchez720
      @lizndunchez720 Před 4 měsíci

      True kuwaste tu masaa nvny sura ata akna

    • @justinambrose3577
      @justinambrose3577 Před 4 měsíci

      Kuna huyu Eliza na kuna yule Glady ni bure kabisa.... kujifanya na ujuaji mwingi😅

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Před 4 měsíci +7

    Huyu Msichana Mbona Anaharibi MR.. Kwanini Hamupigia Marufuku Asije Hapo Anakera Sana....

  • @taupenisanshimirimana475
    @taupenisanshimirimana475 Před 4 měsíci +14

    Eliza atakuja kumaliza hizo soda tu 😂😂😂

  • @rahabu1497
    @rahabu1497 Před 4 měsíci +9

    Ila nikua nakapenda kalolo Kako sweet Sana I love the couple

  • @rosemaryjohn3860
    @rosemaryjohn3860 Před 4 měsíci +13

    He is romantic ❤❤

  • @user-gg4kw6le3b
    @user-gg4kw6le3b Před 4 měsíci +5

    Huyo anajifanya mzuri halafu bibi😂😂😂

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 Před 4 měsíci +9

    Hatamimi kabadir kanifata mumewangu utapata baraka❤

    • @fatumomatano9752
      @fatumomatano9752 Před 2 měsíci

      Ndio kheir Mimi kama mwanaume si Muslim staki pressure

  • @poulmbogo1770
    @poulmbogo1770 Před 4 měsíci +14

    Hakuna wanwake hapo ni matapel kama wa tuma namba hiii😅😂

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 Před 4 měsíci +15

    Lolo ni mzur sana hongera zake

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 Před 4 měsíci +11

    Kaka handsome Mashallah nimemuhusudu

  • @christainc.5217
    @christainc.5217 Před 4 měsíci +3

    Je warundi wanakuja my❤😂

  • @user-pg6db8jl2y
    @user-pg6db8jl2y Před 4 měsíci +9

    Naombeni icho kibibi kieliza mkitoe pumbavu zake sanaaa

  • @fikiriisaya5803
    @fikiriisaya5803 Před 4 měsíci +11

    Toweni eliza hapo sio mwana mke wakuowa

  • @bwetungegodfrey4131
    @bwetungegodfrey4131 Před 4 měsíci +1

    That was the best couple of all this 5th season so far.That man has dignity

  • @bernadetageorge6039
    @bernadetageorge6039 Před 4 měsíci +4

    Kaka ni gentleman saana❤️🥰

  • @user-cy3ro8lp8s
    @user-cy3ro8lp8s Před 4 měsíci +10

    Elizza atabaki hapo hapo mpuuziiii

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi Před 4 měsíci +3

    Sioni Neema ya Mungu kwenye haya mambo, yapo kidunia zaidi, hakuna hata hofu ya Mungu hapa.

    • @NetNuggets60
      @NetNuggets60 Před 8 hodinami

      unaangalia ya nini pimbi wewe, nenda youtube ya mwamposa

  • @Given-Norman
    @Given-Norman Před 4 měsíci +4

    Inasikitisha sana yaani kubadili dini kutoka Grayson mpaka shabani madobe duh 😂😂😂 huyu jamaa anatakiwa afikirie mala mbili mbili

  • @AminaOmary-cn5vb
    @AminaOmary-cn5vb Před 4 měsíci +1

    Nimerudia mara mbili kuangalia hii .nimeipenda sana hii couple.mkaka anaupendo sana

  • @ummyhoza4495
    @ummyhoza4495 Před 4 měsíci +1

    Hii nimeipenda mno mungu awape maelewabo inshaallah ❤

  • @SamweliMwalyungu-du5ln
    @SamweliMwalyungu-du5ln Před 4 měsíci +11

    Aaa ww msenge una badl din kisa uyo dem

  • @GreysonMbisse
    @GreysonMbisse Před 2 měsíci +1

    Congratulations wajina greyson

  • @user-qv7qv5rt7k
    @user-qv7qv5rt7k Před 3 měsíci

    Waooooo nawapenda sana ❤❤❤

  • @luganoesomu5301
    @luganoesomu5301 Před 2 měsíci

    ukitaka upoteze mwelekeo na ukuu wako kwenye maisha jaribu kubadili dini hata kwasiku moja ,watu wanadhani ni jambo la kawaida kama vile kubadili nguo lakini kiukweli unapo badili dini unabadili yule unaemwabudu siku hii unaabudu mungu kesho unaabudu pepo(shetani), mungu wetu ni mungu mwenye wivu. mfalme sulemani mwana wa daudi aliemjengea mungu hekalu jerusalemu hadi watu toka dunia nzima wakawa wanaenda kuabudu huko kila mwaka, siku alipo oa mwanamke anae abudu miungu na suleimani akaiabudu .,Mungu akauvua uzao wake ukuu juu ya israel katika makabila 12 ya israeli akambakizia 2 mengine yote wakapewa wengine.nahiyo imetokea kwa wafalme wengi kama vile yeroboumu, belishaza, na wengine wengi. mwanaume yeyote mwenye misingi imara misingi yake inapimwa kwa uwezo wa kuitunza imani yake.

  • @rubenmsimbe934
    @rubenmsimbe934 Před 4 měsíci

    Ni tukio la kufurahisha sana, kuna golden girls wengi sana waliopita walipojijua kuwa ni golden girl maringo kibao,lkn huyu mrembo hakuwa na mengi,ningekuwa na namba uaje ningemtupia buku big LOLO❤❤❤

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g Před 3 měsíci +1

    Ile notion ya bcz of love, nnamashaka nayo, mwamba anaenda kula mzigo nakuuacha kwenye njiapanda🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mariamitaba3967
    @mariamitaba3967 Před 4 měsíci +16

    Eliza ajifunze kauli zake zinamponza

  • @user-wc4dt2gy5h
    @user-wc4dt2gy5h Před 4 měsíci +12

    Eliza hana bahat yakuolewa anaringa sana anajiona mzur wakat ni wakawaida tu

  • @AgathaMatambula-lf7fv
    @AgathaMatambula-lf7fv Před 4 měsíci +1

    Wameendana jaman lolo na grayson ❤❤❤

  • @nadiamugisha2913
    @nadiamugisha2913 Před 4 měsíci

    Manshallah wamependezana kbsa

  • @zarinatv2024
    @zarinatv2024 Před 4 měsíci

    Jaman huyu kaka anaonekana mstaarabu sana😊❤

  • @fatumahapesamohamedfatumah4633
    @fatumahapesamohamedfatumah4633 Před 4 měsíci +8

    Huyo Elizaa hajielewi.Atasimama xana hapo kwenye podium

  • @user-wh2bl8kk6j
    @user-wh2bl8kk6j Před 4 měsíci +4

    Hivi ni mweli kwenye hii stage ya mr. Right unaondoka nae au ni danganyatoto?😅

  • @deejayassamix4891
    @deejayassamix4891 Před 4 měsíci

    Lolo nakupendaaa bureeee umenifurahisha saana kbisa

  • @user-lu3ls3xf9y
    @user-lu3ls3xf9y Před 2 měsíci +1

    I..like..the..couple..it's.. awesome..🎉🎉

  • @mamtuhhassan809
    @mamtuhhassan809 Před 4 měsíci +8

    Eliza alijuwa yeye ndo golden girl ndomaana alikuwa anajizima data 😂 sasa kapigwa nakitu kizito kabaki mdomo waazi 😂😂😂😂😂😂😂

  • @aika3024
    @aika3024 Před 4 měsíci

    Nipeni namba ya Mr Right😍😍😍 anajielewa sana😊

  • @user-it6to6ws5r
    @user-it6to6ws5r Před 3 měsíci

    Aliya tha best ana juwa kukweli wanaendanaaa ❤❤❤❤❤❤ kweli

  • @felistafelista8319
    @felistafelista8319 Před 4 měsíci

    Amazing couple and love lots

  • @NetNuggets60
    @NetNuggets60 Před 8 hodinami

    Huyo Eliza ana washwa uyo

  • @sheemaryam
    @sheemaryam Před 4 měsíci +7

    Muisilamu na hana hijab subhanallah amebadika manywele ata sio ajabu hajui kuoga janaba

    • @MwaniPh
      @MwaniPh Před 4 měsíci

      Wajanja hao hzo ni mbinu zakumpata mume

    • @user-il8wx3eq8i
      @user-il8wx3eq8i Před měsícem

      Kuoga tena jamani mmmh

    • @sheemaryam
      @sheemaryam Před měsícem

      @@user-il8wx3eq8i elewa sentence mwanzo nmesema kuoga janaba kama hujui n nn sema ufundishwe juu pia nyie wakristo hamjui kuoga janaba

  • @nifaamamy1403
    @nifaamamy1403 Před 4 měsíci

    Hii nimeipenda hattaryyy❤❤❤

  • @redizo_tz
    @redizo_tz Před měsícem

    Maleo Umetuwakilisha Vema Kaka😊😊😊

  • @deborahmollel3170
    @deborahmollel3170 Před 27 dny

    Eliza asubiri wazee waliofiwa waje kumchukua 😂😂😂😂

  • @user-ix5uo6ks7j
    @user-ix5uo6ks7j Před 2 měsíci

    Nawapenda ndie lolo maua🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @fidelitekarigirwamuyangwa973
    @fidelitekarigirwamuyangwa973 Před 4 měsíci +1

    Nimpendaa

  • @user-ei2ud7gh5h
    @user-ei2ud7gh5h Před 3 měsíci

    Kalolo kazuri ,karembo na kasitarabuu wow good couple ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤i wish you all the best❤❤❤❤

  • @user-st8uu3fo8n
    @user-st8uu3fo8n Před 4 měsíci +4

    ..❤Woow🎉

  • @halidhemed7524
    @halidhemed7524 Před 2 měsíci

    Hyo Eliza aende kujiuza, mahusiano sio Kwa ajili yke 😂

  • @KhalfanSaid-mo9jh
    @KhalfanSaid-mo9jh Před 4 měsíci +4

    Nyinyi mnaoendesha kipindi mjue mnadhambi Sanna , kweli dalili zakiama.......mnakaa uchi mitandaoni tu

  • @monicasemsey1125
    @monicasemsey1125 Před 4 měsíci +1

    Waoooo wamependeza

  • @joyabby6981
    @joyabby6981 Před 4 měsíci

    Wow love is beautiful 😍 ❤

  • @ollenshamba
    @ollenshamba Před 3 měsíci

    Wamependezana sana Lolo yuko mucute sana jamn najiona mm huwiiiiii😅

  • @iluminataeugen7625
    @iluminataeugen7625 Před 4 měsíci

    Wifii njoo kwetu sisi wangoni tunajua kupenda😁😁😁

  • @user-ek1wi8ly4q
    @user-ek1wi8ly4q Před 3 měsíci

    Mr right yupo straight en brain ake smart sanaaa wadada hatuna akil muda mwingine

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před 4 měsíci +2

    so nice program ❤❤❤🙏🙏🙏😂

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o Před 4 měsíci +3

    Wanapendezana sana

  • @francinenamucho5274
    @francinenamucho5274 Před 4 měsíci +1

    Nimependa Hilo kbs

  • @user-mo3wn6cc7h
    @user-mo3wn6cc7h Před 2 měsíci

    Uyo dada asipande on stage wapen watu nafasi ya kumpata mr.right wao

  • @billytresorndayiragije7238
    @billytresorndayiragije7238 Před 4 měsíci

    Wanapendezana kinoma ❤

  • @user-sq4mo3mg2q
    @user-sq4mo3mg2q Před 4 měsíci +1

    Eliza na huyo mwenzake mungu awape pigo,au wanamtaka mwanaume yupi,bc wakae uchi kama akina fulani walosahau hofu ya mungu

  • @chimamilion
    @chimamilion Před 3 měsíci +1

    Hili nikundi lavibaka mapenz gn sikuiyo iyo wanapendana hakuna ata kuzoeana mara unaingiza shingp kwa mwez yn hawa wanaunda kundi lavibaka

  • @marthasonia5005
    @marthasonia5005 Před 4 měsíci +1

    Nice 🔥🔥

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 Před 4 měsíci +2

    Siku zote ukijifanya muelevu mambo yatakushinda😂😂😂😂😂 eliza kwani apo alikua kua teacher ama vip??

  • @ZainabuJumbe-cg2lg
    @ZainabuJumbe-cg2lg Před 25 dny

    Jamani Greyson na Lolo Huwa napenda kuwaangalia kila wakati Greyson anaonekana kijana mwenye upendo wa kweli Lolo mwanangu umepata mume nawatakia kila kheri

  • @lumo9999
    @lumo9999 Před 3 měsíci +1

    Mbona mnaleta na wabibi huku, huyo eliza m’bibi mtoeni banaa

  • @leshyhaule
    @leshyhaule Před 4 měsíci

    😂😂😂weeee elizaa embu poteleaa mbalii mwanakwendaa wee

  • @elizabethkyando3648
    @elizabethkyando3648 Před 4 měsíci

    Nyie hiii ni couple❤️🥰

  • @ellymwampashe8927
    @ellymwampashe8927 Před 4 měsíci

    Bhanaaa hawa wadada wanataka nini lakini😢😢 alivyoita hiyo eliza......chaiiiii this guy ooo😊😊

  • @ZakariaMatinde
    @ZakariaMatinde Před 14 dny

    Kaka wewe ni mjinga sana unafata dini ya mwanamke pole sana

  • @salmamumba8507
    @salmamumba8507 Před 3 měsíci

    Wow kijana wa kingon mr right

  • @lydiampayo597
    @lydiampayo597 Před 4 měsíci +1

    Mbona ndoa na maisha yao hamtuleteiii,,,ili tuendelee kuamini kazi zenu tupeni feedback😅

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Před 2 měsíci

    Safi sana ww ndio mwanamke naam haijuzu mwanamke kuolewa na mwanaume mkristo mpaka abadili dini

  • @noelrobert4646
    @noelrobert4646 Před 4 měsíci +1

    Eliza pita kushoto ushachokeana ni kikongwe kitupu hatutaki kukuona hapo kwenye podium 😂😂😂😂

  • @hawababy120
    @hawababy120 Před 4 měsíci

    Waauuh couple nzuri❤❤❤

  • @bilshanmartin7660
    @bilshanmartin7660 Před 3 měsíci

    Ntakuja niondoke na huyo mwanamke mwenye kidomo domo Eliza jiandae nakuja kukutoa hapo 😂😂

  • @elizabethcharles6527
    @elizabethcharles6527 Před 3 měsíci

    Ivi uyo dada naitwa eliza uwa anajielewa kweli😂😂😂

  • @queensiku
    @queensiku Před 4 měsíci +3

    Eliza ata shule alikuwa haelewi ni class mate wangu kichwa maji 😂

  • @petersynto2043
    @petersynto2043 Před 4 měsíci

    Kuwa uyaone huyu mwanamke anayeitwa Eliza Ni hamnazo kabisaaaaa mbona jamaaa yupo.wazi sana amenyoooka

  • @user-zr5rg5ul3q
    @user-zr5rg5ul3q Před 4 měsíci +1

    wanao watafutia wapenzi wenyewe hawana wapenzi daaaa this life😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Spicekingnushinwe.-kt5lp
    @Spicekingnushinwe.-kt5lp Před 4 měsíci

    Natamani ungekuwa wifi yangu make mke wa kaka yangu unacheka vizuri sana many ❤

  • @EbenChiwinga-pt5wb
    @EbenChiwinga-pt5wb Před 4 měsíci

    Eliza anakera mpaka Wanao Host 😂😂😂 Jau sana😂😂😂

  • @issahpaul4510
    @issahpaul4510 Před 4 měsíci +1

    Nice couple ❤ wameendana dana