SAUTI YA MWANAKWAYA ILIYOWASHANGAZA WENGI MISA YA UPADRISHO PAROKIA YA MT.BONAVENTURE KINYEREZI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
    INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
    FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
    Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
    Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...

Komentáře • 59

  • @benedictaroman1074
    @benedictaroman1074 Před 25 dny +1

    Vizuri Sana unajua kuomba vizuri

  • @BahatiMvungi
    @BahatiMvungi Před 20 dny +1

    Mungu akubarki

  • @bettykaduma1260
    @bettykaduma1260 Před rokem +7

    Woow Aiinuliwe Mungu Kwa binti huyu

  • @beatusidama6233
    @beatusidama6233 Před rokem +5

    Enendeni ulimwenguni mwote aleluya, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu.

  • @IreneeAnod
    @IreneeAnod Před 5 měsíci +2

    kanisani kwetu kinyerez hiyo hobgera sanaaaa madamu wetuuuu❤❤❤❤❤❤

  • @PitusKamugisha
    @PitusKamugisha Před 2 měsíci +1

    Safi sana mungu akuzidishie uzima katika uimbaji hakika sauti tamu 4:34

  • @mariahaule297
    @mariahaule297 Před 7 měsíci +4

    Vigelegele kwenye wimbo wa Kati umekuwa unaondoa usikivu. Hasa wakisoma mashairi watoto au vijana

    • @sue846
      @sue846 Před 3 měsíci +1

      Na haifai kabisa, vigelegele katika somo. Na imekuwa mtindo sana Tanzania, nimeskia hata kwenye zaburi zake Florence.

  • @benedictkihombo348
    @benedictkihombo348 Před 2 lety +5

    Sauti tamu hakika Mwenyezi Mungu atukuzwe milele na milele Amina

    • @helencyprian8745
      @helencyprian8745 Před rokem +1

      Hakika kweli Mungu atukuzwe na mwanadamu atakatifuzwe

  • @IsayaMwaikenda
    @IsayaMwaikenda Před 2 měsíci +2

    Hongra sanaaa nimeskia raha mnoo

  • @syliakusprimu8058
    @syliakusprimu8058 Před rokem +4

    #Hadi mwili wangu umesisimka 🙏

  • @CeciliaMchale
    @CeciliaMchale Před 16 hodinami

    Abarikiwe

  • @DanielBhutok-gs2jw
    @DanielBhutok-gs2jw Před rokem +3

    Kuimba ni kusali mala mbili mungu aidumishe kalama hiyo ndani yako

  • @user-bh5yx2sj4x
    @user-bh5yx2sj4x Před měsícem +1

    Hongera sana kuimba ni kisali mara mbili

  • @eldaernest2433
    @eldaernest2433 Před rokem +4

    Ubarikiwe Sana binti mzuri

  • @anuaritemurhimalika4108
    @anuaritemurhimalika4108 Před rokem +3

    Mumeimba vizuri, mubarikiwe.

  • @godfreychita3546
    @godfreychita3546 Před 7 měsíci +1

    Hakika ameimba vzr sana ukuu wa Mungu ni mkubwa maishani mwetu

  • @salomeshongola1697
    @salomeshongola1697 Před 10 měsíci +1

    Sifa na utukufu ni kwake bwana hongera sana.❤❤🎉🎉

  • @MagrethMpemba-zw6xn
    @MagrethMpemba-zw6xn Před 2 dny +1

    🎉❤

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl Před měsícem +1

    Safi sana kwa nota

  • @josephlango5591
    @josephlango5591 Před 2 lety +3

    Uimbaji Zaburi unaosisimua na kuinua moyo wa ibada

  • @rehemamwamakula7328
    @rehemamwamakula7328 Před 2 měsíci +1

    Nyimbo hizi ninapozikia najisikia amani
    ...

  • @rosemarytesha699
    @rosemarytesha699 Před 2 lety +3

    Anaimba vizuri sana

  • @anithamkwama5468
    @anithamkwama5468 Před rokem +2

    Hongera sna nice voice unarikiwe sana

  • @nellymsigwa6997
    @nellymsigwa6997 Před rokem +3

    Haleluyahaleluya

  • @sabren7-ls7jw
    @sabren7-ls7jw Před 8 měsíci +1

    🎉🎉🎉congratulations mum.sauti nzuri

  • @salmahoperi9783
    @salmahoperi9783 Před rokem +1

    Mbalikiwe sana

  • @matswelomphela972
    @matswelomphela972 Před rokem +2

    ❤❤❤❤❤🎉safiiii

  • @beatusidama6233
    @beatusidama6233 Před 2 lety +2

    Sifa kwa Kristo

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před rokem +1

    Uniq voice

  • @user-bo4nl9lt7c
    @user-bo4nl9lt7c Před 9 měsíci

    Mwenyezi mungu akuzidishie

  • @NeemaBwire
    @NeemaBwire Před 3 měsíci +1

    Niceeee anakipajiii

  • @antonthomas807
    @antonthomas807 Před 2 lety

    Yes beams amemwaga vipaji na atukuzwe bilakukoma

  • @hurumasteven9709
    @hurumasteven9709 Před rokem

    Amina Mungu akuzidishie

  • @justinsalama405
    @justinsalama405 Před 2 lety +2

    Wapi hapo ?mwapendeza Mungu awabariki.

  • @mt.cesiliampanda7062
    @mt.cesiliampanda7062 Před 9 měsíci

    Amina

  • @michaelbaseke9894
    @michaelbaseke9894 Před rokem +2

    Nzuri Sana... tusapotiane kwa kusubscribe

  • @nicogeremia3609
    @nicogeremia3609 Před 2 lety

    Atukuzwe Mungu

  • @edwardmagayane2395
    @edwardmagayane2395 Před rokem

    Wow

  • @user-vu3ck9he6k
    @user-vu3ck9he6k Před 6 měsíci +1

    Anastasia kuwa mwanakwaya

  • @edinakikwabha1708
    @edinakikwabha1708 Před rokem +1

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @RaymondCharlesSaliboko-to6vx

    ❤❤

  • @hanningtonmsinga9837
    @hanningtonmsinga9837 Před rokem

    🔥🔥🔥🔥

  • @fr.Josephat-SharingGodsLove

    Safi

  • @user-it4uh7vu5c
    @user-it4uh7vu5c Před 7 měsíci

    Mbona umejipamba kama Yezebeli? Ndugu yangu mapambo ni dhambi kwakuwa ni ibada ya kishetani. Hubirini juu ya dhambi

    • @josephlango5591
      @josephlango5591 Před 7 měsíci

      Kama ndivyo unavyoamini, pole. Eti kujipamba ni dhambi!
      Wewe uliwahi kumuona Yezebeli? Au wahukumu tu kama farisayo katika upofu wako?

    • @user-it4uh7vu5c
      @user-it4uh7vu5c Před 7 měsíci

      @@josephlango5591 Mwanzo 1:26,27 na 31. Isaya 9:16, 1Timotheo 2:9-11, 1Petro 3:3-5, Yeremia 4:30, Warumi 1:21-26, 28, 29-32, Warumi 12:1-2. Hivyo ni baadhi tu ya vifungu,ninavyo kibao. Tatizo lenu wakatoliki mnaongozwa kwa mitizamo ya kirumi ikiwemo misale ya waumini na maelekezo ya papa,hamtaki kusoma biblia ili mpate ufahamu. Naomba na wewe unipe japo kifungu kimoja tu ambacho kinaruhusu kujipamba na kuwa siyo dhambi. Tusiandikie mate hali wino umejaa. Poleni sana.

    • @CloudearChris
      @CloudearChris Před 6 měsíci

      Hujui kutafakari biblia kaka kajifunze maandishi yana maana gani

    • @user-it4uh7vu5c
      @user-it4uh7vu5c Před 6 měsíci

      @@CloudearChris endeleeni kudanganyana na kufundisha mawazo yenu. Siku ile utaukumbuka ujumbe wangu huo. Jibu kama mtu anae elewa Neno la Mungu. Naomba kifungu japo kimoja tu kinachosema mwanadamu jichubue,vaa heleni,weka wigi,bandika kope bandia na kucha bandia,pakaa wanja na vaa kitu chochote cha kujilemba. Kwa ufupi nakupa baadhi ya vifungu; Mwanzo 1:26,27,31, 1Timotheo 2:9-11, 1Petro 3:3-5, Yeremia 4:30. Hivyo ni baadhi tu,nami naomba unitumie vifungu vyako pia. Tafadhali sana fanya hivyo usiniangushe.

    • @user-it4uh7vu5c
      @user-it4uh7vu5c Před 6 měsíci

      @@josephlango5591 sasa tutaongea nini endapo hujui hata habari imuhusuyo yezebeli? Kazi bado ipo pevu kabisa

  • @mwangelyboy-bh3jy
    @mwangelyboy-bh3jy Před 5 měsíci

    wow

  • @felisterligwa
    @felisterligwa Před 7 měsíci

    ❤❤❤❤