MZUNGU ALINIGEUKA TUKIWA NJIANI KWENDA KUMTAMBULISHA KWA WAZAZI NA KUNIFUKUZA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 04. 2024
  • Mary ameeleza safari yake ya kutimiza ndoto yake ya kupata Mzungu, alitoka mwanza kwenda Arusha kutafuta Mzungu. Alikutaka na wazungu wa honyo lakini mwisho akakutanana na ambae bi mume wake na sasa anaishi Belgium.
    Alinyanyasika na kudharaulika sana na kuitwa maijina mengi mabaya kutoka kwa familia lakini aliwaacha mdomo wazi baada ya kufunga ndoa.
    Thank you Mary for allowing this to be online
    www.oda.international

Komentáře • 192

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistance  Před měsícem +12

    Tiktok: mickymary

    • @gfydfdf8869
      @gfydfdf8869 Před měsícem +2

      A office dating assistance

    • @lylm4147
      @lylm4147 Před měsícem +2

      Oh! OK; and what makes you " offucial" are you elected or appointed by a body or some authority to provide assistance?

    • @negwamwaipopo6467
      @negwamwaipopo6467 Před 28 dny

      Hi

    • @KADOGOFOUNDATION
      @KADOGOFOUNDATION Před 27 dny

      Hello madam
      Im from kenya Pia Mini niko Germany nataka siku moja nitoe Safari yangu nilipo Anzahl mpaka kufika ulaya

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 Před 18 dny +8

    Ushauri wangu wasichana msitamani maisha ya Mary muache tamaa Mary anacheka tu lakini amepitia magumu sana hayo sio maisha

  • @malaikajabali-oj2fh
    @malaikajabali-oj2fh Před 14 dny +2

    Wewe ulipenda upate mzungu mbali hukuomba Mungu akupe mwanaume mzuri sasa maji kayavulia nguo yaoge tu. From Kenya 🇰🇪

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 Před 19 hodinami

    MuNGu njoo shefu 🙏🙏 njamani furahi siku zote. KBS ubarikiwe San 😊😊

  • @neophitalukiringi8260
    @neophitalukiringi8260 Před měsícem +21

    Asante sana Shena. Mimi nina miaka 52 nimekuwa nikikufuatilia sana story zako nami Mungu kunijalia nimepata Mume mtarajiwa . Asante sana.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před měsícem +3

      Hongera sana sana
      Glory to God
      Karibu sana kwa kipindi 🥰🥰🙏

    • @ashaidei5680
      @ashaidei5680 Před měsícem

      Glory to God❤❤asichoweza Mungu hakipoo💪🏼👏👏👏🙏🙏na ikawe yenye kheri Amen

    • @Aisha-qd2rg
      @Aisha-qd2rg Před měsícem +1

      Umepata kupitia mtandao upi mamy tujuze

    • @zulekhamjungu7217
      @zulekhamjungu7217 Před měsícem

      Hongera sana Mungu akutangulie

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 Před 19 hodinami

    Wewe msichana shunjaaaaa oyyyy nakupenda msichana mzuri sana KBS 🥰👍👏🔥

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 Před 20 hodinami

    Pole sana msichana 🫢 nihatari kbs dunia Kwisha KBS ndodunia hiyo mzunguko ila mngu anaweza yote 🥰

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 Před 20 hodinami

    Hayo maisha ya shida nila Zima tupambane nakia njaribu huku kuwa kitu ninacho endelea kupotrza wavinjana wa easichana mnayatizo KBS 👏😊

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 Před 19 hodinami

    ❤wewe unatisha KBS waliku pendaga saan 🥰😊👍

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 Před 20 hodinami

    Alikuwa husamu sana kumbe Niki geugeu alikuwa geuka kama mutandaoni 🥰👍

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Před měsícem +5

    Hayo maisha sio salama kabisa huo ni udangaji na wazungu kudanga kisa kuolewa na mzumgu

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 Před měsícem +10

    Shera Mungu akubariki Asante kwa kwa kuanzisha shuhuda hizi sinazo husu maisha,sinatufundisha sana,dada msukuma umenikumbusha mengi nilipitia magumu yanaendana nayakwako kidogo japo yanatofautiana, Mungu nimwema sana ametuvusha kwa mengi.

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv Před 8 dny +1

    Mungu Awabariki wewe na Family yako.

  • @jennifer1942
    @jennifer1942 Před 7 dny +1

    Ila wabongo washenzi sana.na wanawivu na wanapenda sana

  • @haryanyawu640
    @haryanyawu640 Před měsícem +4

    Pole ssna kwa mapito uliopitia ila marafiki sio watù wema maana ukiwasaidia matokeo yake wakakusaliti Mungu akutunze daima

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 Před 20 hodinami

    Pole jee huku waita wote. Inamana huku njuwa mapema wazingu sio wema ni ukweli KBS ushauri mzuri sana USi muaminie mtu awaye yote KBS 😊🥰

  • @user-uv2zg4uc5o
    @user-uv2zg4uc5o Před 14 dny +1

    Hongera sana mwanangu ulipambana Mungu aku simamie ndoa yako idumu milele na mafanikio pia

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 Před měsícem +7

    Duniani Mapitoo jamaniii lakini Mungu ndie kimbiliooo

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 Před 19 hodinami

    Si tuko nap ila hawa eleweki KBS 👏 hiyo niu shauri mkubwa kwetu njamani 👏

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 Před 19 hodinami

    Mili kuwa na enjoy 🎉👏 🔥

  • @leahkatinde859
    @leahkatinde859 Před měsícem +14

    Jamaani msukuma kabisa mpaka anavyo ongea 😂 wakukaya

    • @anethcharles5443
      @anethcharles5443 Před měsícem

      😂😂😂confidence hana masikin ila amepitia changamoto nying yan 😢haya maisha ad utoboe jua umepitia meng sana

    • @maria_mutondioriginal5
      @maria_mutondioriginal5 Před měsícem

      Na muhaya pia

  • @queenofireland898
    @queenofireland898 Před měsícem +15

    Rafiki sio watu wazuri bora uwe peke yako hatupendeleani mema kwa kweli

    • @rutahalima1400
      @rutahalima1400 Před měsícem +1

      Haqika, mufaransa husema “ mieux être seul que mal accompagné “

    • @jennifer1942
      @jennifer1942 Před 7 dny

      Mimi nimeamua kutokua na marafiki.maraki wanawivu sana..

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 Před 20 hodinami

    Ni history kubwa dada 😂😂😂🤣🤣

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920 Před měsícem +7

    Shena wangu nakupenda sana kipenzi,hongera kwa kazi nzuri😊

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 Před měsícem +6

    Yaaani sisi watu weusi sisi hatupendaniiii 🙈🙈

  • @rutahalima1400
    @rutahalima1400 Před měsícem +7

    Shena hongera kwa kazi yako nzuri

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 Před 20 hodinami

    Hivyo ulikuwa nachuuza mwili wako hapo ulikuwa matata saana unashauria wenzako wasi chana Nini?sasa ❤🎉

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920 Před měsícem +3

    Dada shena ni mtulivu na msikivu pia😊Mungu akutunze

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před měsícem +26

    Anafanana kama mama Tibaijuka.

  • @atuamohamed9664
    @atuamohamed9664 Před měsícem +1

    Ahsante kwa maelezo ya upendo

  • @user-xm5xg1tt6d
    @user-xm5xg1tt6d Před 5 dny

    We dada mchangamfu sana

  • @emmanueliirungu2339
    @emmanueliirungu2339 Před 12 dny

    Asante kwa elimu yako,kupima iwe kanuni

  • @vero57
    @vero57 Před měsícem +9

    Nimependa love story yako, hongera sana 💐🌺

    • @beatricechite3142
      @beatricechite3142 Před měsícem

      For her it's in her family line cause all her aunties are married by white people so it's a patter,so for her it wad something of sure bet.Tutasema ni mathabau ya ukoo.

  • @talentshow2024
    @talentshow2024 Před měsícem +3

    Hongera

  • @mimiinvestments8406
    @mimiinvestments8406 Před měsícem +1

    Pole sana kwa mapito Mary na Hongera mno kwa mafanikio ya Ndoto zako. "Baada ya dhiki faraja'.

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před měsícem +1

    Waooo mwanetu mtoto wa kihaya hongera sana mwenyezi mungu awatangulie

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před měsícem +3

    Aisee hongera sana dada yetu

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před měsícem +1

    Ubarikiwe sana mrembo ❤❤❤

  • @neemaseiler1122
    @neemaseiler1122 Před měsícem +2

    Interview nzurii,asante Mary. Hongera pia,uko kwenye honeymoon period Enjoy❤

  • @banguha
    @banguha Před 25 dny +2

    Wahaya ndivyo tulivyo hata mm kwenye posa walikula had leo hawasahau kwetu hakuna shughuli ndogo

  • @gracendumbaro5196
    @gracendumbaro5196 Před 23 dny

    Mpaka haya kazi njema

  • @burundishallsmile1day109

    Wazungu 🙄🤕
    African women are confused!
    By the Way...
    😊😊
    Good Show👍🏽

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Před měsícem +2

    Huwa najiuliz mnavyokutana na wazungu ghafla mnalala nao hata hamwogopi maradhi?au ndio pata potea?

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Před měsícem +4

    Mashuka ya guest ndomana yamefubaa kumbe mnayapondaponda😂😂😂

  • @verynicemoshi9959
    @verynicemoshi9959 Před měsícem +1

    Nampa ongera sna kwa kutimiza ndoto yake

  • @cleopatrahenry7541
    @cleopatrahenry7541 Před 23 dny +1

    Merry ananifurahisha kuwapa na ukoo wote 😅😅😅

  • @johnmaulilo9564
    @johnmaulilo9564 Před měsícem +4

    Wow wa kwanza kucoment

  • @saidizuber8831
    @saidizuber8831 Před 16 dny

    Pole na hongera dada

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před měsícem +1

    Story nzuri

  • @blandinamrusha-pj2ro
    @blandinamrusha-pj2ro Před 7 dny

    Nakupenda Marry wangu 🎉🎉🎉🎉

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 Před měsícem +4

    Wanawake pasua kichwa

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu Před 7 dny

    Dada shena nakupenda huna papara unamuacha mtu anajimaliza mwenyewe wengine wanaingiliaga katikati

  • @negwamwaipopo6467
    @negwamwaipopo6467 Před 28 dny +1

    Nice story

  • @felismbithe4761
    @felismbithe4761 Před 16 dny

    Hongera dada.

  • @mimiinvestments8406
    @mimiinvestments8406 Před měsícem +2

    Jama Mary kumbe Mama yako ni Mhaya! Duh! Nimefurahi mno! Na mimi natoka BK.

  • @user-fb4gg1me7f
    @user-fb4gg1me7f Před 14 dny

    Hongera kwa Hilo dada,,xaxa tufanyie connection ya kazi huko

  • @asinamohamed4016
    @asinamohamed4016 Před 20 dny +1

    Mwanamke kujitongoza kwa mwanaume SI Tania yetu kwa Mtanzania

  • @nurumustapha2448
    @nurumustapha2448 Před měsícem +1

    Hatimae nimemuona ndugu yangu wasukuma oyeeeeeee

  • @simplycaren375
    @simplycaren375 Před 24 dny

    Anaeleza vizuri

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Před měsícem +4

    😂Mery anachekesha. Lakini Mashaallah kapambana hasa ❤

  • @user-fb4gg1me7f
    @user-fb4gg1me7f Před 14 dny

    Mimi naitwa Erick wa Arusha Fanya mpango tupate connection ya kazi

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Před měsícem +1

    Hata mm natamani mzungu jamani lakini hii process duuh!!naogopa matapel wa ngono

  • @dianamvuzwa-eh9ov
    @dianamvuzwa-eh9ov Před 20 dny

    Meri nitafutie Mimi mwanaume wakizungu Mimi na penda kuja niwazae watoto wa kizungu wazuri vigezo kufunga ndowa kutolewa kishika uchumba na mahali pia utakuwa mfafanuzi wangu wa kingereza nahivo unaonekana unaroho nzuri ni fanyie hivo meri

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 Před měsícem

    Dada napenda sana kipindi chako wow ni mimi Simba Abdul Amsterdam Holland

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 Před 10 dny

    🤣🤣🤣🤣🤣 alikuwa anapenda watoto jmn lkn dah ila ndoto ya mtu haifi

  • @user-uo4oc1pb9k
    @user-uo4oc1pb9k Před 15 dny

    Wazungu,naukai,hata vile unakaa,you are beautiful when they are using you

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 Před 29 dny +2

    Inatakiwa ujiendeleze kimasomo dada angu usibweteke

  • @fortunenova6242
    @fortunenova6242 Před měsícem +2

    Shoga yangu Mary hatimaye.... this interview was so good 😊

  • @DoreenMwanga-dg7xp
    @DoreenMwanga-dg7xp Před měsícem +3

    Je Tinder alilipia....shena hilo swali unasahau kuuliza

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 29 dny +1

    Kwani waswahili wenzenu hakuna nini kuhangaika mpaka mnajiabisha mitandaoni

  • @bitishoriziki5585
    @bitishoriziki5585 Před 19 hodinami

    Ndege ila rushwa

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 Před 20 dny

    Kwahiyo. Mzungu ni mmebergium

  • @sarahbuberwa7219
    @sarahbuberwa7219 Před měsícem

    Hallo Shena hongera sana kwa kipindi chako
    nielekeze jinsi ya kudownload Tinda

  • @ruuh_august
    @ruuh_august Před měsícem +1

    Ana aibu mashaalllah 😂🤣

  • @gracemasawe7646
    @gracemasawe7646 Před 18 dny

    Mm huwa nawapenda wazungu jaman

  • @MeckitilidaTushabe-or9hu

    Jaman ninempenda merry anaongea vizuri

  • @rutahalima1400
    @rutahalima1400 Před měsícem +2

    Hongera binti wetu karibu europe bienvenue
    Na mi niko france huwa na kuja Belgique nikija natakutafuta
    Je te souhaite beaucoup de bonheur dans ton foyer
    Félicitation
    Coralie

    • @ByonaBirungi
      @ByonaBirungi Před měsícem +1

      Kweli binti yetu umepitia mapito hongera saana

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před měsícem +2

    Mwenyezi mungu akutangulie

  • @mimiinvestments8406
    @mimiinvestments8406 Před měsícem

    Sawa sawa Mary. They say..... "When God opens the door... Shut your mouth"!

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Před 16 dny +1

    Muache mzungu akupende mwenyewe.mnachukuliwa halfu mnaenda kuteswa

  • @user-fe9jc5di9f
    @user-fe9jc5di9f Před 29 dny +2

    Fanyeni video kwaufupi zinachosha kusikiliza

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Před 12 dny

    Mbona mnaonekana hamko sawa kutafuta wanaume ko mnataka watoto wakike watafute wanaume tupisheni huko

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Před měsícem +1

    Sababu ya kutafuta mzungu ni nini haswa?

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 Před měsícem +1

    Wanaume wakati mwingine tunapitia maisha magumu kwa sababu ua wanawake

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 Před 20 dny

    Kwani ujui wanawake kuwa mwenyewe ukiwa unatafuta mzungu

  • @SalimhchialaAtilio-qj5cs

    😍😍🥰

  • @DM_15
    @DM_15 Před 17 dny

    Masela njooni hapa msikilize ujinga za wanawake hapa

  • @user-tu8eg8ri3b
    @user-tu8eg8ri3b Před měsícem +41

    Kwa nia nzuri. Nashauri anaotafuta, waume wawe wanapima afya kabla ya kukubali kujamiiana. Maana tangu nimesikiliza watu tofauti tofauti hapa sijawahi kusikia mtu anasimulia tukafanya vipimo kwanza vya magojwa hasa ukimwi. Kama huwa wanapima ni vizuri. Shena unafanya vizuri kuelimisha watu. Na unajua kumsikiliza mtu anajieleza mwenyewe. Humkatishi mazungumzo yake hivyo stori inanyooka vizuri. Na unajua kuuliza maswali vizuri.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před měsícem +4

      Ushauri mzuri sana.. Shukran 🙏

    • @betricemainoya4176
      @betricemainoya4176 Před měsícem +2

      Kabisa wengine hawajui ku intaview wanakatisha mtu maneno intaview inakuwa gumzo tupu

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 Před měsícem

      Hakika

    • @liannsambu7264
      @liannsambu7264 Před měsícem

      Sema pia da shena Kuna watu ANAKUWA free sana na Kuna baadhi ANAKUWA SI comfortable sana but bado da shena anafanya vizuri

    • @nicekweba9920
      @nicekweba9920 Před 29 dny

      Yaani kwakweli mimi huwa nasema mara zote hapa,shena ni msikivu na mtulivu sana,anajua kumskiliza mtu na anauliza maswali vizur sana,yaani mskilizaji unaelewa kwa uzur kabisa aisee tumpe maua yake🫠

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před měsícem

    Sielewi kwanini wadada wanapenda sana kushea mambo yao na marafiki. Jifunzeni jamani.

  • @monicakessy49
    @monicakessy49 Před měsícem +3

    Kazi nzuri Mungu amekuleta kusaidia wengine kuwa na mzungu sio mafanikio ya kila kitu

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya Před 11 dny

    Mzungu nini

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před měsícem +1

    Wakokaya olemhola😊

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 14 dny +1

    NA WEWE MDADA KWANN UONGEE SIRI ZAKO? KWA MARAFIKI? MARAFIKI WALIOWENGI HUWA WANAPINDUA MEZA. CK NYINGINE USIWAAMBIE MARAFIKI VITU VYAKO.

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 Před 18 dny

    😂😂😂😂 baba aliogopa ataongeaje nae

  • @rachelmaina3476
    @rachelmaina3476 Před 13 dny

    Madawa yaliisha mama

  • @issajumaali4009
    @issajumaali4009 Před měsícem

    Nimependa utambulisho wake huyu dada, "Kwa jina......"

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4qu Před 17 dny

    kuwa na mzungu jinga kabisa

  • @user-bx3fh1ze6i
    @user-bx3fh1ze6i Před měsícem

    😅😅 mashuka kuponda

  • @user-rv2gb1ym9d
    @user-rv2gb1ym9d Před 26 dny

    Tinda gharama shs ngapi?

  • @kithajungu1389
    @kithajungu1389 Před 16 dny

    Nimekupenda sana bi mery unaongea ukweli nimependa icho kitu,ukweli ukweli ❤