BAADA YA KUJULIAKANA KANIOA WALITAKA KUMFUKUZA KAZI | UCHAFU WA WATURUKI WA KUJENGA TRENI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Victoria ameeleza safafi ya maisha yake kutoka kuzaa na mmexico mpaka sasa yuko kwenye ndoa na Mturuki ambae anawatoto nae na wanaishi Uturuki kwasasa.
    Changamoto alizokutana nazo za jamii inayomzunguka, wivu na hasad.
    Anakwambia mume wake alitaka kufukuzwa kazi baada ya kugundulika anamahusiano na Victoria na anawatoto.
    Thank you Victoria for allowing this to be online
    www.oda.international

Komentáře • 182

  • @TheresiaKiritta-fi4rr
    @TheresiaKiritta-fi4rr Před měsícem +1

    Jaman kwa kweli nimefurahi sn hongera sn Dada kwa kweli umeelezea vzr na pia Tania yako na Roho yk no nzr. Mungu akubariki uzidi kubarikiwa Tu NAKUOMBEA ndoa yako uzidi kustawi kila iitwapo leo

  • @mtumwajuma5355
    @mtumwajuma5355 Před 3 měsíci +4

    Mshahallhu Mashallahu Mashallahu Allah akubariki mimi nimekupenda hapo ulipo isubiri adhana nakuipa heshima yake hongera

  • @umahmed8273
    @umahmed8273 Před 4 měsíci +10

    Shen nakupenda sana dadangu na nafurahishwa sana kw kuhishimu adhana nakuombea qauli thabit ila dada ungefunika kichwa ingekuwa vizuri sanaa nakuombea kila la heri

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd Před 4 měsíci +8

    Asante sana Shena kwa hekima ulionayo,kwamba kila mtoto anastaili kilichobora,aijalishi rangi.

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 4 měsíci +10

    Safi Sana kwakuheshimu adhana mungu akulinde akubaliki na akutie nguvu

  • @NashalyJoseph
    @NashalyJoseph Před 3 měsíci +4

    Mturuki sina hamu nae hata kidogo...Wana wivu wa kupitiliza unyanyasaji,matusi, gubu ilibidi niseme enough is enough niliondoka nikamuacha.Tena ni wadhalilishaji wanapenda mwanamke asifanye kazi yoyote kama biashara uwepo nae hapo ili aweze kukunyanyasa vizuri.Mturuki ni mwarabu mpaka tabia

  • @mwanaidikingazi4222
    @mwanaidikingazi4222 Před 4 měsíci +10

    Dada hana Mambo yuko ki asili zaidi kitu ambacho wanawake wengi asaivi hawana hata wahuko kwao hawapo hivyo mashallah

  • @akilimali8726
    @akilimali8726 Před 3 měsíci +1

    Shina unafanya kazi vizuri hongera sana. Ila jiamini wewe ni mwanamke wa kiislam tena u mtu mzima tayari, vyema ujihifadhi kama uislam unavyotaka. Allah atakulinda usiwe na wasiwasi iwapo mtu atakuchukia sababu unajihifadhi.

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 Před 4 měsíci +9

    Huyu ana mentality za kizamani kuwa mtoto wa kiafrika na kizungu wanatakiwa wawe na maisha tofauti 😊 kuna black men wana care sana.

  • @FaridaWaziri-zz5pq
    @FaridaWaziri-zz5pq Před 4 měsíci +9

    Hongera da shena kwa kazi nzuri aisee Dada pia ni amejielezea vizuri kwa unyenyekevu na uhalisia kitu ambacho tunataka zaidi kuskia kwa watu tujifunzee 😂 soon na mm mtaniskia hapa

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před 4 měsíci +1

      Ameen karibu sana

    • @kilimanjaroflavour
      @kilimanjaroflavour Před 4 měsíci

      @@OfficialDatingAssistance nakuelewa sana, but kuna wa wili ume wauliza maswali yanayo husiana na ujasiriamali, so I was hopping kuskia wanazungimzia pia other future dreams wakifika ughaibuni than just kuolewa na mzungu. Hata ww kama mwanamke uki msomesha mwanao ungependa kumsikia azungumzie more future dreams than just kuolewa na mzungu. Inge wapa motisha nzuri young girls wanao angalia channel yako from back home.

  • @ByonaBirungi
    @ByonaBirungi Před 4 měsíci +5

    Lima, anagalia wakwe zako kama wazazi wako, chapa mzigo, nimesikia kuku fuga, watoto watatu sio mchezo hapo ulipo ni kama umetua mzigo hakuna kitu kigumu kama kutua mzigo cha muhimu umepata mahari pa kulelea watoto. Watoto wakikua utaona faida yake.

  • @user-ky2ru7hl9j
    @user-ky2ru7hl9j Před 4 měsíci +4

    Shena hongera sana kwa kweli nakufatilia sana najufunza kwa kweli

  • @butondodavid2105
    @butondodavid2105 Před 4 měsíci +11

    Acha wazungu wapagawe huyu mdada ni mrembo sana na yupo real sana nimemkubali

  • @lovely10emoji49
    @lovely10emoji49 Před 4 měsíci +4

    Yaan shena umenifanya addicted na kipindi chako kizuri well done my dear👏❤

  • @user-gj3ul7xd7w
    @user-gj3ul7xd7w Před 3 měsíci +1

    Asante Dada devotar nakupenda kwa Kila jambo linalo tokea ktk ulimwengu wa safari za ulaya

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před 4 měsíci +4

    Hongera dada wa Kikurya kwa kujiheshimu

  • @user-ky2ru7hl9j
    @user-ky2ru7hl9j Před 4 měsíci +2

    Da shena ukifunika kichwa kwa kweli unapendeza sana unajua mm niko Zanzibar kwa nafurahia sana luona waislam wanajitahidi kwenyeaadili kwa sababu unaonekana ktk sehemu kubwa ya dinia au ulimwengi wote tafadhali fanya hivyo.

    • @Judy-dy4zt
      @Judy-dy4zt Před 4 měsíci +1

      Anaweza asifunike kichwa lakini yuko vzr kimahadiri ukawa unafunika kichwa una machafu kibao yote tumkabidhi mungu ndo mhamz

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 4 měsíci +3

    Wabongo tuna shida sana ukiwa na mtoto ambae amechanganya kisha akulie mazingira yetu ya kimaskini ni kweli inakuwa changamoto. Ni wabongo tumejiwekea matabaka hadi kwenye rangi ya ngozi

  • @user-dj9xx9jl4j
    @user-dj9xx9jl4j Před 4 měsíci +1

    MashaAllah shenna,Mungu kwanza mengine baadae,hii ni Imani kubwa Wallah,Allah atakulipa kwa heshima hii ya Adhana

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 Před 4 měsíci +3

    Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh dada yangu ukweli napenda sana kipindi chako sana wallah ni mimi Simba Abdul kutoka Amsterdam Netherlands shukran

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před 4 měsíci

      Shukran kaka
      Karibu sana kwa kipindi +4367764790884

    • @gokoloMkumba-ez8qw
      @gokoloMkumba-ez8qw Před 3 měsíci

      ​@@OfficialDatingAssistanceHabari za huko,niko d,salaam naomba unipe no.ya yule mwalimu wa alaska vijijini Pendo mongi,nataka kuwasiliana naye.

  • @jesuspower2390
    @jesuspower2390 Před 4 měsíci +5

    kaongea ukweli... ukiwa na mtoto mweupe ukimpeleka shule ya kayumba ananyanyasika..

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Před 4 měsíci +5

    Uku kwetu ukitogoza binti utasikia umezeka ukiwa muzungu atauwe muzee hapo sawa

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv Před 3 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Zuu673
    @Zuu673 Před 4 měsíci +3

    Mimi mwanangu sasa yuko private alikuwa anaitwa mzungu koko akirudi analia sana kwaiyo namuelewa sana huyu dada,na pia mtu km anandoto ya mzungu hasikatishwe tamaa eti kila dada anataka mzungu mara hivi simamia msimamo wako

  • @user-iw4xi9pt6h
    @user-iw4xi9pt6h Před 2 měsíci

    Nimempenda huyu bnt umepambania ndoto yko!

  • @estasiashiringa1038
    @estasiashiringa1038 Před 4 měsíci +1

    😂😂😂😂😂😂
    Nimechekaa She is so real ❤️

  • @mariambakari8065
    @mariambakari8065 Před 4 měsíci +2

    Dada amejua kufunguka kwa undani huyu hongera sana

  • @atuamohamed9664
    @atuamohamed9664 Před 4 měsíci

    Historiya yako zidi kusubiriya utapata manufaa kwa Mungu
    Haya Ahsante

  • @SabinaVicent-l8w
    @SabinaVicent-l8w Před 4 měsíci +2

    Hongera sana shena unajali Imani safi sana

  • @happynessjohn3399
    @happynessjohn3399 Před 3 měsíci

    Nmependa story yako especially kumtanguliza Mungu ❤

  • @ekrammay8471
    @ekrammay8471 Před 4 měsíci +1

    Ndg yng pole sana kwakutopenda wabongo na kupenda kuolewa na wazungu sasa waturuki kwani wazungu?

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 Před 4 měsíci

    Ooo my G amesoma chuo nilichosoma mm pia wakukaja huyo aise❤❤❤

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před 4 měsíci

    Asante Sana tumekuherewa uko vzr mungu awe nanyi

  • @user-eu5dv2il8g
    @user-eu5dv2il8g Před 4 měsíci +2

    Shena mungu akubariki san

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dv Před 3 měsíci

    Namungu akutatangulie my sister ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @faridapatel7584
    @faridapatel7584 Před 4 měsíci +6

    Sisi wanawake inabidi tuchape kazi nakujitegemea,ukikutana na mwanaume jotolee mwenyewe nauli kwenda na kurudi hata ukipanda daladala, wewe mwenyewe kama mwanamke upambane kimaisha, kuna leo na kesho.pia usiombe hela pia akikupa hata elfu tano shukuru tu.Muhimu ni sisi wanawake tumbambane

  • @MartinaMartinafrancis
    @MartinaMartinafrancis Před 3 měsíci

    Mashalla sheina lazima tumuheshimu Allah

  • @pendokissatu937
    @pendokissatu937 Před 2 měsíci +1

    Shena Hiki Kipindi Wikii hiii Nimeangalia From Monday to wikiend na Ivi kazi zangu ni Nyumbani tuu

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 Před 4 měsíci +1

    Sheina nakupenda sana dear

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Před 4 měsíci

    Mahojiano mazuri sana, ila watoto wametumomesha sio kwa fujo za kituruki😂

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Před měsícem

    Wewe vipi yaani mtoto mwenye rangi nyeusi ndiyo aishi vibaya sijampenda huyu

  • @celinadulle4104
    @celinadulle4104 Před 4 měsíci

    Intervju ni nzuri, Ila haijakaa sawa kuchagua rangi.

  • @faridapatel7584
    @faridapatel7584 Před 4 měsíci

    Wazungu na waturiki sio sawa kabisa,

  • @user-vi9bu7xv6h
    @user-vi9bu7xv6h Před 4 měsíci +1

    Shena uweunajitandiya mana naulaya kunamungu nakupenda sana nataka upate razi zamungu

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před 4 měsíci

    Amina mwenyezi mungu akutangulie

  • @JohnSonda
    @JohnSonda Před 4 měsíci +1

    Nimepanda interview hii
    Hakika ameonyesha uasili wake

  • @butondodavid2105
    @butondodavid2105 Před 4 měsíci +1

    Shena nakupenda sana

  • @ameeranassor1619
    @ameeranassor1619 Před 4 měsíci +3

    Nimesoma Uturuki miaka 5, all I can say wanaumme wa kituruki ni wahuni wa wanavuta sana sigara.
    Ao walioenda kwao wakawacha watoto Tanzania au wanawake obviously kwao uturuki tayari walikuwa na family, nimeshaona waturuki wamezalisha wanawake wa Malawi wengi sana,kila nchi ya Africa wanayokwenda kwa.miradi wanawacha mbegu zao. Sijui niseme wajinga waturuki au wajinga wamawake wa kiafrica

    • @user-rr4vt6vd6i
      @user-rr4vt6vd6i Před 4 měsíci

      Mashaallah mturuki amejuwa kuchagua maana mzuri Mashaallah na tabia inaonesha pia nzuri sana. God bless you

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Před 2 měsíci

      Duh noma sn😂
      Asante Kwa kutusanua

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 Před 4 měsíci +1

    Oyooo matema ⛱️😊

  • @samirasalim4203
    @samirasalim4203 Před 4 měsíci

    MashaaAllah, good respect.

  • @JazilaSiraja-st8cu
    @JazilaSiraja-st8cu Před měsícem

    Jaman lili had nmemkumbuka

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 Před 4 měsíci +6

    Ila mturuki sio mzungu dada

  • @faridapatel7584
    @faridapatel7584 Před 4 měsíci

    Ukifanya interviews inatakiwa ujipange, watoto au mamba mwengine yasionekane.sasa kelele watoto du

  • @Its_Goodluck
    @Its_Goodluck Před 4 měsíci +1

    Huyu dada anaonyesha ni mwanamke anayejitambua sana,yn licha ya kuwa na mturuki bado alikua anaishi katika uhalisia

    • @Juke995
      @Juke995 Před 4 měsíci

      Usilolijua sawa na usiku wa giza😂

    • @Its_Goodluck
      @Its_Goodluck Před 4 měsíci

      @@Juke995 kwanini

  • @MAKWEGASALUM
    @MAKWEGASALUM Před 3 měsíci

    Nimependa kuishim hazana😊

  • @lorelore2930
    @lorelore2930 Před 4 měsíci

    Naomba nielekezeni kwenye ilo grour la wa chumba wa kizungu jmn pls

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 Před 4 měsíci +2

    Leo umekutana na watoto 😂Shena

  • @Interracialcouple.
    @Interracialcouple. Před 3 měsíci +1

    Uyu dada Anaitwa nani on TikTok wala Instagram ili tumu follow?

  • @ashakibendela615
    @ashakibendela615 Před 4 měsíci +2

    Nilipata mturuki siku moja ya pili tuliachana ni hana wivu balaa tena hana kwambia kabisa mimi nina wivu sanaaa

  • @eunice1808
    @eunice1808 Před 4 měsíci +1

    Irene Mimi nipo Iskenderun wewe upo sehem gani

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před 2 měsíci

    Mkurya mrembo wa asili 🎉

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před 4 měsíci

    Nakuhombea maisha yenye her na Baraka

  • @edithajohn9600
    @edithajohn9600 Před měsícem

    Ila kazuri uyu dada

  • @MoreenAdisa
    @MoreenAdisa Před 3 měsíci

    Wangu pia mturuki lakini shida ako na wivu mwanangu weeeeeee Dunia simama nishukeheeee akiaza kuzugumza maneno hayaishi kisirani Cha ajabu

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před 4 měsíci

    Masha Allah ❤ nakupenda bure Sheina🫶

  • @susans4490
    @susans4490 Před 4 měsíci +2

    Unaweza ukazaa na mzungu na mtt akotoka mweusi kama ww mweusi

    • @ireneosiah5590
      @ireneosiah5590 Před 4 měsíci

      Ndio lkn gene zao ziko dominated 😂😂😂

  • @sarahlove771
    @sarahlove771 Před 4 měsíci +1

    Tabarak’Allah

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před 4 měsíci

    Unahakiri sana mungu yu nawe

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n Před 3 měsíci +1

    Waturuki wanawivu balaa yani si wanaume si wanawake

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před 4 měsíci

    Amina

  • @liliemonroe1406
    @liliemonroe1406 Před 4 měsíci

    Please dont make someone feel bad about being around her kids 🙏🏽

  • @Marieth-oi8gc
    @Marieth-oi8gc Před 4 měsíci

    Ndiyo maisha kuku wako kila mahali si africa

  • @user-iy1np9et3q
    @user-iy1np9et3q Před 3 měsíci

    Mimi naona kunacegamoto kweny maisha

  • @mngwalijuma597
    @mngwalijuma597 Před 4 měsíci

    Dada mtangazaji mara nyengine.ujihifadhi ww ni muislm ukijifunike vzr

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před 4 měsíci

      InshaAllah

    • @DoreenMwanga-dg7xp
      @DoreenMwanga-dg7xp Před 4 měsíci +1

      Kwani akijifunika ndo anaenda mbinguni direct

    • @user-ki9wu6no3d
      @user-ki9wu6no3d Před 4 měsíci

      Kuna vitu vingne kwenye Dini usipovielewa vimetokea wapi na Asili ya kuamuliwa Hivyo Unawez ishi Maisha Ya Kujibana Sana yanayokuumiza Moyo ila ukielewa Tu Unaachana navyo na Bado Tabia Yako Inaendelea Kuwa Nzuri ya kumpendeza Mungu na sio kuipendeza Dini

  • @user-rd7hl6ew6x
    @user-rd7hl6ew6x Před 3 měsíci

    Nakuomba namba namba ya simu Victoria.

  • @user-eu5dv2il8g
    @user-eu5dv2il8g Před 4 měsíci

    Honger

  • @zainabufeka87
    @zainabufeka87 Před 4 měsíci

    Wadada tu focus kutafuta pesa yote nipesa

  • @happinessmarijani2783
    @happinessmarijani2783 Před 3 měsíci

    Andika hiyo namba yako Shena unasema haraka haraka mno

  • @upendomshani3932
    @upendomshani3932 Před 4 měsíci

    Victoria n kipind gani matema beach inakuwa high season yan wazungu wanakuwa kwa wingi , na ni maeneo gan au upande gan sanasana wa matema beach kunakuwa na wazungu weng?

  • @salamajoseph905
    @salamajoseph905 Před 4 měsíci

    Ongera

  • @frankmushendwas37
    @frankmushendwas37 Před 4 měsíci +2

    Tuko pamoja sheina❤

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 Před 4 měsíci +3

    Kaka zangu wataoa kina nani?😊😊😊😊

  • @MAKWEGASALUM
    @MAKWEGASALUM Před 3 měsíci

    Anaishi kwa mani na mumewe anampenda mtt wake

  • @user-rd7hl6ew6x
    @user-rd7hl6ew6x Před 3 měsíci

    nataka niwasilane nae ili nijuwe maisha ya huko

  • @saadasuleiman1427
    @saadasuleiman1427 Před 4 měsíci

    Je alibadilisha dini

  • @bbs10072002
    @bbs10072002 Před 3 měsíci

    Unamaanisha watu weupe sio wazungu.

  • @somiasomia2306
    @somiasomia2306 Před 4 měsíci

    tujuane tulio det na waturuki wa kongoe mje hapa tunakikao mimi tuli potezana sababu ya mimi nilipata kazi ya kwenda omani

  • @TheresiaKiritta-fi4rr
    @TheresiaKiritta-fi4rr Před měsícem

    Ynaomba irudie na yako tena smhn

  • @mngwalijuma597
    @mngwalijuma597 Před 4 měsíci

    Dada itabidi uslim kwa sass mana tyr familia imekukubali

  • @yusrasalum
    @yusrasalum Před 4 měsíci

    ❤❤

  • @happinessmarijani2783
    @happinessmarijani2783 Před 3 měsíci

    Andika hiyo unasema haraka mno

  • @karthala6676
    @karthala6676 Před 4 měsíci

    Mtu wa Mexico na Mturki sio wazungu lakini.

  • @trueone_tz
    @trueone_tz Před 4 měsíci

    🤝🙏🏻

  • @faridapatel7584
    @faridapatel7584 Před 4 měsíci

    Huyu dada anafanya kazi au anategemea mwanaume tu?

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 Před 4 měsíci +1

    Hivi nauliza tu kwani waturuk ni wazungu?

  • @josephandomba290
    @josephandomba290 Před 4 měsíci

    Shena,mbona kichwa kipo wazi bhana

  • @jamesbutendeli4511
    @jamesbutendeli4511 Před 3 měsíci

    Uwe unakataa kipande ka hicho

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před 4 měsíci

    Watoto awajahenda shule 🤣

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n Před 3 měsíci

    Hao waturuk walozaliwa 7 ni wawapi au wakuldi

  • @user-lr7fj3xc4s
    @user-lr7fj3xc4s Před 4 měsíci

    Kumbe wewe imefika huku kwetu matema

  • @maishayetu6182
    @maishayetu6182 Před 4 měsíci

    😂😂😂😂
    Kuna hadi mbuzi
    Sasa c kama mbeya tu alipokuwa