TULIISHI MIAKA MITANO TUKAACHANA | NILIKUA NAMILIKI KAMPUNI YA UTALII | MAISHA YA SERBIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Naila ameeleza Safari ya maisha yake kutoka Tanzania mpaka Serbia
    Alifingua kampuni ya utalii Zanzibar ambapo alikutana na mwenza wake akiwa kama mteja wake.
    Waliamua kuishi Serbia lakini baada ya miaka 5 waliachana na Naila ameendelea kuishi Serbia kwa documents zake mwenyewe.
    Amewafunza wasichana kutoamini mtu asilimia 100% na kua waangalifu na kunilinda kwani wanadamu wanabadilika badilika
    CZcams channel yake Naila_Y
    Thank you Naila for allowing this to be online
    www.oda.international

Komentáře • 208

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistance  Před 3 měsíci +11

    Instagram: Naila__y
    CZcams: Naila__y

    • @douglasluck2313
      @douglasluck2313 Před 3 měsíci

      Thank you so much for ya reactivity sister Shena.

    • @burundishallsmile1day109
      @burundishallsmile1day109 Před 3 měsíci

      Asante sana kwa Ku share
      Ila hajibu,labda hataki Warundi
      Kwamba Wachovu🤣
      Maskini, well.. I m gonna miss her🤠🤠

    • @BarakaJames-nu2be
      @BarakaJames-nu2be Před 3 měsíci

      Naila

    • @Naila__y
      @Naila__y Před 3 měsíci

      @@burundishallsmile1day109 mimi apa niambie napenda warundi Amakuru

    • @ariflobu-kc9uz
      @ariflobu-kc9uz Před 2 měsíci

      Jamani naila yusuphu nimesoma nae oysterbay 2009 tumemaliza wote

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před 3 měsíci +16

    Hii ndio interview Sasa,umetuletea mrembo anaejitambua ,mpambanaji na pia muelimishaji nimeipenda sana kwa kweli full kujifunza🤝🇫🇮

  • @ANNETTEAYUBU
    @ANNETTEAYUBU Před 3 měsíci +13

    Dada shena nimefurahia hiyo interview mungu akubaliki sana

  • @BarakaBitariho
    @BarakaBitariho Před 3 měsíci +15

    Asante kwa hii interview. Mwaka 2007 nilibahatika kusoma na kushinda na watu kadhaa toka Serbia na muda mwingi walinifurahia kwa kuwa natokea Tz. Walisema Yugoslavia ilimsaidia Nyerere during the independent struggles na kuwa walituna misaada ya kijeshi Tz kwa kuwa ilikua ni nchi ya kijamaa. So walinikaribisha sana Serbia na nikauliza interactions ya watu weusi na wa kwao, wakakemea kuwa wao sio wajeruman ama wagriki. Natambua ukakasi uliopo mazingira yao na Waturuki ugomvi uliopo kati ya ugiriki na waturiki kwani majirani zangu walikua ni wagriki na nilifanya kosa kuwaita waturiki. So reaction ya Waserbia kwangu nikilinganisha na Ile niliyoipata kwa wa Hungary na Chekslovia. Kutokana na hii interview, ninaamini kuwa wa Serbia si wabaguzi na nitaendelea na urafiki nao fb.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před 3 měsíci +2

      Woow hongera sana

    • @kakawamashariki8978
      @kakawamashariki8978 Před 3 měsíci +4

      Nimeupenda Sana ushuhuda wako Baraka, ahsante kutuwakilisha huko ng'ambo.

    • @tutiwatuti
      @tutiwatuti Před 3 měsíci +2

      Yaani huyu dada nimuelewa sana anajibu maswali vizuri sana

    • @jumahassan7190
      @jumahassan7190 Před 3 měsíci

      Nakupenda sana dadaagu nakufatilia sana kutoka mabwepande bunju b police station daresalam Tanzania Africa nakupenda sana dadaagu nakufatilia pia

    • @angelinakakulu1615
      @angelinakakulu1615 Před 3 měsíci

      Nimependa behavier yako Dada.

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Před 3 měsíci +8

    Naila is smart and civil, congratulations 🙌

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 Před 3 měsíci +11

    Jamani dada mzuri na rangi yake, nywele daah, hongera 🎉

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 3 měsíci +7

    Asante mrembo mwenye sikio asikie,God bless you shena ❤

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 Před 3 měsíci +5

    Woow❤ nimempenda sana huyu dada anajua kujielezea na anajituma sana!

  • @saramartine7330
    @saramartine7330 Před 2 měsíci +3

    Umetisha dogo,nimejifunza sana,na nimepata ujasiri mwingi

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 Před 3 měsíci +6

    Smart interview ever. We love you Shena.

  • @BellaBellaa-oq7tc
    @BellaBellaa-oq7tc Před 3 měsíci +7

    Yaani wewe binti nimekupenda sana unaeleza vizuri Mim Niko Zanzibar ukitulia unatengeneza pesa

  • @furahaVlog
    @furahaVlog Před 3 měsíci +26

    Ni mchapakazi alafu hajui kuringa aisee nakumbuka 2018 nilimuuliza mafuta ya nywele akanielekeza pa kuyapata mpaka leo natumia hayo na nywele Mashaallah

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Před 3 měsíci +4

    Hongeraa.. Zako dada muongoza kipindi kwa maswali mazuri ya kimkakati toka kwa wageni waalikwa. Umenipatia taswira mpya kumbe! Wabongo tupo karibia nchi zote duniani nikikumbka pia yule dada wa Alaska na wengineo. Salaam toka Mwanza.

  • @rahabbrayson6552
    @rahabbrayson6552 Před 3 měsíci +13

    Waoooooh Shena hii ni nzur nilitaman sana umlete huyu dada

  • @franklineshikanda9820
    @franklineshikanda9820 Před 3 měsíci +2

    A very bright and focused young lady,hongera

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania Před 3 měsíci +2

    Naila anaonekana kifaa kweli kweli. Sijui Tanzania vijana wanakosea wapi. Binti mrembo, mchangamfu na anaonekana kujielewa vyema.
    Interview nzuri Shena & ODA “Bless”.

    • @user-qn6nm1ry6y
      @user-qn6nm1ry6y Před 3 měsíci +2

      Vijana wa huku kwetu wanapenda tu kuchezea wadada

    • @hildagabriel1003
      @hildagabriel1003 Před 3 měsíci

      😂

    • @Kijana-wa-Tanzania
      @Kijana-wa-Tanzania Před 3 měsíci

      @@user-qn6nm1ry6y Maadili na miiko iliyokuwepo vizazi viwili nyuma leo havipo; unategemea nini zaidi ya uharibifu?
      Kila cha zamani leo si kinaonekana ni ushamba; sasa vya kileo ndio hivyo vina changamoto zake.

  • @BarakaBitariho
    @BarakaBitariho Před 3 měsíci +11

    Kuna swali la kizushi na lilikuja kutoka kwa rafiki zangu kutoka Uzbekistan na Albania. Kutokana na kile walichokisema ni kwamba eti walikua hawataki kuwa na mbwa kwa sababu ni waislaam. Marafiki zangu kutoka Serbia walikua ni waislam pia. Je Serbia ni mostly waaislam ama shemeji yetu alikua ni dini gani mpaka akakuruhusu kukubali kufuga mbwa? Pili juu ya kuuliza kituo cha polis, niliambiwa polisi wa ujerumani wanasikiliza ngozi nyeupe siku zote hawatosaidia mtu mweusi. Wasebia hawana kajitabia ka kuegemea na kutetea mserbia mwenzao?

    • @Naila__y
      @Naila__y Před 3 měsíci +8

      Serbia mostly ni wakristu Orthodox, but dini zingine kama waislam, mashahidi wa Yehova, waroma, wapagani zote zipo but 80% of the population ni Orthodox. Shemeji alikua Orthodox, Polisi anaskiliza mtu anaejua kujieleza vzuri na mwenye ushahidi.

    • @Naila__y
      @Naila__y Před 3 měsíci +5

      Niliwahi ngatwa na mbwa na nikaita polisi wakaja mara moja na waliniskiliza japokua lugha nlikua naongea broken, mwenye mbwa alifunguliwa kesi

    • @Ulamaa_Sokoni
      @Ulamaa_Sokoni Před 3 měsíci

      @@Naila__y nilikuona juzi ukiwa na BongoZozo na leo nimekuona hapa. Barikiwa sana

  • @felisterkasuga3217
    @felisterkasuga3217 Před 3 měsíci +1

    Waaaooo! She is bright for real. Nimependa nywele jamanii. Naomba nielekeze mafuta unayotumia dear.

  • @aquilinabiseko2398
    @aquilinabiseko2398 Před 3 měsíci +10

    Nmempenda sana mgeni wako wa leo shena anajielewa sana

  • @JulianaJackson-lz6vq
    @JulianaJackson-lz6vq Před 3 měsíci +5

    Nilimuona kwa bongo zozo pia.nimefurahi kumuona tena mcheshi na muwazi..❤

  • @jokhasaid8666
    @jokhasaid8666 Před 3 měsíci +5

    Very smart young lady.

  • @DoreenMwanga-dg7xp
    @DoreenMwanga-dg7xp Před 3 měsíci +6

    Asante shena kwa kutuletea mafunzo mazuri

  • @johnriwa2854
    @johnriwa2854 Před 3 měsíci +2

    She is very very smart 🤓. Be blessed 🙌

  • @zuhuramasudi3211
    @zuhuramasudi3211 Před 3 měsíci

    Hongera sana Naila, Nimefurahi sana kukuona hapa leo rafiki yangu. Mungu wetu akulinde na akujaalie kila la kheri kwenye maisha yako🙏 I miss you so much

  • @Agath45
    @Agath45 Před 3 měsíci +5

    Yoooo mdada anajuwa kujieleza I like it ❤

  • @mohammedsaqry3036
    @mohammedsaqry3036 Před 2 měsíci

    Very good interview ,and she understands how life goes, and she's very clever with good focus big up

  • @fatmahhusseinj9177
    @fatmahhusseinj9177 Před 3 měsíci +2

    she is very eloquent mashaallah.

  • @sifaoksbagirishyasie2410
    @sifaoksbagirishyasie2410 Před 3 měsíci

    She is very smart hivyo ndivyo mwamke mwenye akili zake timamu hufanya. atakuwa mama mzuri saaana. Hapo mbeleni. Mungu amjalie mema 🌻😘

    • @Naila__y
      @Naila__y Před 3 měsíci

      asante sana, Amina

  • @samirasalim4203
    @samirasalim4203 Před 3 měsíci +6

    MashaaAllah this girl she's so smart.

  • @missnamwambemomentstv7753
    @missnamwambemomentstv7753 Před 3 měsíci +2

    Big up guys...naona Leo team manywele mmekutana..had rahaaa!

  • @MamaLio475
    @MamaLio475 Před 3 měsíci +3

    Naila alikuwa darasa lachini yangu chuo,she very simple n beautiful

  • @roseswedi5274
    @roseswedi5274 Před 3 měsíci

    Very intelligent lady...thanks shena for her

  • @emmanuelenock6310
    @emmanuelenock6310 Před 3 měsíci

    Naila smart sana,nilionanaga nae national college of tourism charm and professional,kudos

  • @giboncebarnabas9667
    @giboncebarnabas9667 Před 3 měsíci +3

    She is so smart. Safi sana

  • @lilianngemela6912
    @lilianngemela6912 Před 2 měsíci +1

    Nimempenda Sana huyu binti naomba kujua hiyo kozi aliyosoma tafadhali

    • @Naila__y
      @Naila__y Před 2 měsíci

      Travel and tourism at NCT Temeke Dar es salaam

  • @zuweinaally2413
    @zuweinaally2413 Před 3 měsíci +2

    She is so proffessinal na mchapa kazi sana

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před 3 měsíci

    We uko vzr nimependa sana mwenyezi mungu akutangulie katika mahisha yako

  • @pricemlay
    @pricemlay Před 3 měsíci +9

    I like her attitude

  • @gallegalleson4427
    @gallegalleson4427 Před 3 měsíci +8

    Huyu dada ana ubongo kweli,nampeleka mdongo wangu Serbia ni mfanya biashara anatafuta mke wataelewana100% wanaamtafute wao

  • @esterjosephat971
    @esterjosephat971 Před 3 měsíci +1

    Wow Naira tulikuwa wote Bandas nakumbuka picha zako ulizonipiga please tutafutane mimi now nipo German

  • @zedshebby3875
    @zedshebby3875 Před 3 měsíci +5

    Woooooh ❤❤❤ naila

  • @janethkagya7544
    @janethkagya7544 Před 3 měsíci +6

    Beautiful with brain 💕❤️❤️❤️❤️❤️

  • @chichi-gp4ss
    @chichi-gp4ss Před 3 měsíci +1

    She is so smart ❤️… and beautiful 🥰

  • @raheemsuleyman6757
    @raheemsuleyman6757 Před 3 měsíci +11

    Huyu Dada kanyoka sana adi raha😊😊😊

  • @polloz77
    @polloz77 Před 3 měsíci +3

    She’s beautiful inside and outside
    Yupo single?

  • @ashakassanga1
    @ashakassanga1 Před 3 měsíci +3

    Smart girl Mashaalhah

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 Před 3 měsíci +3

    Nailah Shukran Dada... 🥰

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 Před 3 měsíci +1

    Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh dada yangu. Mimi jina langu naitwa Abdul - SIMBARAKIYE mwenye asili Ya Burundi lakini naishi uolanzi Amsterdam Netherlands pia nipo na uraiya nationality. Nimeoa mwana Mke mtanzania nipo na mtoto nae tatizo langu imigresheni dar es Salaam hawataki kunipa kibali Tanzania wananiambia kibali chamtu kawoa mtanzania nilipe dollars 800 bila hivyo siwezi kupewa tafadhali ndugu zangu mnisaidie Kila wakati nilipe visa nimechoka

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před 3 měsíci

      W.mslm, Tanzania haina dual citizenship
      Pole kwa changamoto
      Visa ya tourist unalipa pesa kidogo sio nyingi

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Před 3 měsíci +1

    Nailah hongera, unajitambua sana, Mungu azidi kukuinua

  • @magdalenajoel4539
    @magdalenajoel4539 Před 3 měsíci +6

    Dada naomba kujua mafuta ya nywele anayotumia

  • @janekuja4552
    @janekuja4552 Před 2 měsíci +1

    Yaani tangu nimeanza kusikiliza kipindi chako,huyu Dada amenigusa saaana,anajua kujieleza,anajua kujua vitu vingi.ki ukweli ,wadada wengi kama wamemsikiliza kwa makini,watakuwa wamejifunza vitu vingi sana.
    Ni mchapqkazi,ni mjanja,Anajiamini na ana akili sana.nimempenda sana.

  • @everose276
    @everose276 Před měsícem

    Dada nakushukuru sana,yaani nimependa vyote ulivyoongea, ni ujasiri sana upo mwenyewe,ugenini na bado una furaha.

  • @franklineshikanda9820
    @franklineshikanda9820 Před 3 měsíci +1

    What a girl!

  • @kaupigwe
    @kaupigwe Před 3 měsíci

    Business mindset is pretty high, respect

  • @shamzone388
    @shamzone388 Před 3 měsíci +2

    Jaman huku kwetu gulf raiya akisafiri nchi yoyote akifika tu airport inamjia sms kutoka ktk country yake kumpa no za simu za balozi wa nchi yake aliyekuwepo nchi aliyofika na maelezo mengi❤❤❤

    • @Naila__y
      @Naila__y Před 3 měsíci +1

      Uku sio hivyo, unapata tu sms ya kukukaribisha nchini na msg za data roaming

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 Před 3 měsíci +2

    Mara ya kwanza Mwanamke wa kiswahili anawaongelea Wazungu kama walivyo!wazungu Wachovu wengi tu mbona😊
    Sheina,Je Dada huyu anataka Mme Muafrika?
    Nipo hapa mimi😉
    Could you possibly share her email adress please?
    Very smart,articulate nd expressive lady❤👍🏽😢

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 3 měsíci +5

    Nikuingia naku'like..

  • @janethkagya7544
    @janethkagya7544 Před 3 měsíci +5

    Naila mdogo wangu wa dhahabu💕🥰🥰🥰🥰

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 Před 2 měsíci +1

    Mungu ni mwema utabarikiwa

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 Před 3 měsíci +4

    Dada mzur sana mashallah 🎉

  • @TRAVELWITHAKESHIAN
    @TRAVELWITHAKESHIAN Před 3 měsíci +2

    Very pretty +brain 👏🏾

  • @gagiriwankyo5958
    @gagiriwankyo5958 Před 3 měsíci +4

    Mmependeza hongeren

  • @SmilingBubbleTea-vm3nz
    @SmilingBubbleTea-vm3nz Před 3 měsíci +4

    Asante shena

  • @SamiraAliMohamed-yo7nk
    @SamiraAliMohamed-yo7nk Před 3 měsíci +7

    Nakuomba niambie mafuta gani unatumia kwenye nywele

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Před 2 měsíci

      Nywele ni km ngozi inategemea na mtu
      Pia ni asili ya mtu tu,mi ht sihangaiki na hayo mambo na Nina nywele haswaa
      Zinakatika nikiwa na stress tu😅

  • @kevinmary7129
    @kevinmary7129 Před 3 měsíci +2

    Genius in business rud tz ufanye biashara

  • @bernadethamlundebartlett387
    @bernadethamlundebartlett387 Před 3 měsíci +2

    Kumbe hili jina la wazungu vishuka bado linaendelea Zanzibar 😂😂😂nalokumbuka sana tu

  • @elizabethchainer6946
    @elizabethchainer6946 Před 3 měsíci +1

    Naila Yusuf , i missed you so much jmn, ulivyosema unapenda punda nimekumbuka zile picha zako na Makenya😂😂

    • @Naila__y
      @Naila__y Před 2 měsíci

      hahahaha i miss you more Rosieee

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 Před 3 měsíci +1

    Serbia nchi nzuri sana kwa utalii,nilishaenda beougrade ni pazuri sana

  • @mwanaidiheintel1760
    @mwanaidiheintel1760 Před 3 měsíci +2

    Dada una nywele nzuri sana

  • @aidaanatory9330
    @aidaanatory9330 Před 3 měsíci +3

    Safi

  • @jonathanjohnsonshinji6175
    @jonathanjohnsonshinji6175 Před 3 měsíci +3

    Bonge la interview dada anaongea viziri Hadi mtu huchoki kusikiliza

  • @user-zl3we4si9q
    @user-zl3we4si9q Před 3 měsíci

    Naila M/Mungu azaidi kukubariki🙏🙏

  • @MamaB890
    @MamaB890 Před 3 měsíci

    Dada yupo smart sana,nimepata kujifunza

  • @user-dn6wx7dv3l
    @user-dn6wx7dv3l Před 3 měsíci +1

    Asante

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk Před 3 měsíci +1

    Hongera kwatufungua macho

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 Před 3 měsíci +2

    Leo shena umetuleteya dada katowa good idea

  • @khadijamohd5741
    @khadijamohd5741 Před 3 měsíci +1

    Yupo vizuri sana huyu dada

  • @douglasluck2313
    @douglasluck2313 Před 3 měsíci +1

    Hello sister Shena,how do i get Naila's CZcams account? Im tryig to search it but in vain,i really wanna get in touch with her about something so please assist

  • @user-bc3ki1zx5p
    @user-bc3ki1zx5p Před 3 měsíci +1

    Nywele zake nzuri jamani

  • @MiriamEmmanuel-zg2nn
    @MiriamEmmanuel-zg2nn Před 3 měsíci

    Blessed sana umefungua maisha ya watu wenye ndoto wafanye nn

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 Před 3 měsíci +2

    Waoooh ana nywele nzuri sana

  • @marymutai1440
    @marymutai1440 Před 3 měsíci

    This lady has high self confidence, naturally beautiful and high self esteem….This what they call beauty with brains.

    • @Naila__y
      @Naila__y Před 3 měsíci

      thank you so much darling

  • @mariambakari8065
    @mariambakari8065 Před 3 měsíci +2

    Dada anajiielewa sana

  • @kachabisnea8815
    @kachabisnea8815 Před 3 měsíci +1

    Huyu sister ni kichwa kizuri sana

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 3 měsíci +5

    Hard work girl ajitambua

  • @nsamakachanikicha1254
    @nsamakachanikicha1254 Před 3 měsíci +1

    Huyu Dada yuko vizuri sana

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před 3 měsíci

    Asante yesu

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před 3 měsíci

    Amina mungu yu mwema

  • @CHRISTOPHERNIKATA
    @CHRISTOPHERNIKATA Před 3 měsíci +2

    Huyu dada ana akili sana na anajitambua mno, huyu ni mfano wa wadada tunaowahitaji katika interview kwaajili ya kutoa elimu kuntu kama hii ambayo kaitoa.

  • @RhodaFredy
    @RhodaFredy Před 2 měsíci

    Waooo naila wangu❤

  • @dottobraham9051
    @dottobraham9051 Před 3 měsíci

    Hongera sana binti mdogo ubora mkubwa

  • @IletaTaguaba
    @IletaTaguaba Před 3 měsíci +3

    Hi baby girl 💜 muda wote huo Zuri alikua wapi @naila

    • @Naila__y
      @Naila__y Před 3 měsíci

      🤣nyuma yangu amelala

  • @RosemaryKidiro-wz3ux
    @RosemaryKidiro-wz3ux Před 3 měsíci +1

    Kishuka is typing,,,,,,,😂😂😂😂

  • @Kindishi
    @Kindishi Před 3 měsíci +1

    Kwakweli vijana mjifunze saana, nahaswa mlio na ndoto za kuhamia nchi za nje hata kama ni kenya uganda, kukosa elimu na information nikukosa fursa. Ameongea vizuri sana

  • @user-zl3we4si9q
    @user-zl3we4si9q Před 3 měsíci

    Mimi nimekupenda nataka uwe na mwanangu muowane muendeleze biashara na mpate wema

  • @Its_Goodluck
    @Its_Goodluck Před 3 měsíci +1

    Huyu mdada anafanana sana rafiki yangu Julita

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt Před 3 měsíci

    Uko vzr na family Yao nzuri

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 Před 3 měsíci +1

    Serbia ni nchi nzuri ya utalii europe hila ujue historia

  • @user-vo5cs5on6c
    @user-vo5cs5on6c Před 3 měsíci +3

    Dada Shena, Samahani Huyu dada nitampataje? na hitaji kuongea naye.kuna kitu katika maongezi yake atanisaidia hata ushauri tu.

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Před 3 měsíci +1

    Ameachika kwasababu mwerewa sana na msomi