RAIS SAMIA AINGILIA KATI SAKATA la BABA KUOA DADA wa KAZI na KUMTESA MKE WAKE MLEMAVU -POLISI WAFIKA
Vložit
- čas přidán 13. 02. 2024
- RAIS SAMIA AINGILIA KATI SAKATA la BABA KUOA DADA wa KAZI na KUMTESA MKE WAKE MLEMAVU -POLISI WAFIKA....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Channel ten
Nime mpenda sana huyu dada wa jeshi La Police... Baraka 🙏🙏.
Huyu dada apandishwe cheo mara moja,,,,watching from Kenya❤❤❤❤
❤❤❤❤
Mama samia Mungu azidi kukubariki pia azidi kukupa afya njema uendelee hivyo hivyo mama ❤❤
😊
😊😊
Lkn usimchoke kaka yangu ndio mgonjwa tena
Lkn na uyu msichana ange mlea uyu.mama kama mzazi wake
acha unafiki amekuwa magufuri
Mm naomba uelewe
Huyu mama ni Mgonjwa sawa na umeoa nakubali.
1. Huyu bi mdogo ni mpuuzi na hajui kula na kipofu. Angemhudumia huyo bi mkubwa kwa upendo kwakuwa ni mdogo kwa upendo wote ila kakosea sana atafutiwe pakukaa eneoblingine kabisaaaa
2. Baba ambae ni mume mtunze mkeo kwa Upendo amtafutie msichana wa kazi wakumtuza na Pia msomeshe mwanao wa Kiume na baba mpatie chakufanya aweze kujisimamia nakumsimamia Mume wake.
3. VIONGOZI WA DINI NA WANASAIKOLOJIA WAITEMBELEE HII FAMILIA MARA KWA MARA KWA AFYA YAO YA ROHO NA MWILI
Mbarikiwe sana mloshiriki kwa Hili❤❤❤❤❤❤
Mpuuzi sanaa huyo bimdogo,angemuhudumia huyu mama kwa nguvu zote angerisi malizote zahuyu mama,lakin sasa kujitafutia laana,haya yalimkuta huyu mama nayeyatamkuta,Chezaa matajiri wa kichaga??
@@zaidasalumualute6437selekari za afrika ni mbovu sana kesi ya kuipeleka mahakamani munaiongelea barabarani hiyo kesi ni kubwa ingekuwa huku ulaya huyo jamaa angeisoma namba tatizo la selekari za afrika hazina sheria hata kidogo
Hata ongea yako unaonyesha jinsi ulivyo fedhuli wee Baba
Mkatili kabisa huyu. Hana lolote! Hizo Mali atakuwa na ataziacha! Mungu hapendi! Kama ana fedha kwanini asimuwekee mtu WA kumhurumia?
@@stamillusatila9084Sana, sura tu inamuonesha ni KATILI
Asante mungu kwa kuona mda mrefu mateso ya huyu mama na ukashuka mwenyewe kumsaidia, ameeen
Kashuka mwenyewe?daah
Mungu aniepushe na visa kama hvi siwez mfanyia hv mke wangu akiwa katika hali hiyoo😢😢
Na iwe hivyo kama ulivyosema
Amina kaka mungu akuwezeshe
Na ukabarikiwe mnooo kaka, wewe una Mungu 🙏
Kama mim siwezi mfanyia mume wangu hivyo, sema hatupatagi watu wa kuolewa nao wakweli
Kweli kabsa kaka
Mama Samia kipenzi cha wanawake rais wetu MUNGU baba akutunze Mama TUNAKUPENDA ❤❤❤
Kusaga na wenzie mungu awabarki kwa kuwa jana mlilifikisha hili jambo kwenye mamlaka za juu nasasa tunaona likifanyiwa kazi ahsante Mungu
Kulipa pesa ya dialysis na huduma zote huyo ni mke wako ni haki yako.muogope Mungu hujui kesho yako.usifikiri mkeo aliomba huo ugonjwa.
Wewe mke mdogo jiangalie, yatakukuta mambo tofauti na umri wako
Kabisa yaani anahisikm anamsadia tu
Huyo mfanyakazi ambae kwa Sasa ni mke wallah kipo kitu kitamkuta Mungu hachezewi
Mama samia mama bigapu
Wana wake tumepitia magumu mengi mimi niliwahi kunywanyasika nikaacha kit lakitu huyo dada wakazi hanaakili w
Mama. Samia. MPENDWA WETUUU Rais WETU mwema 🎉. Mungu. AKUZIDISHIE mama
Duuuh aisee mama kumbe anaona mama mungu akulinde sana
Lakini ingekua ni wewe bwana umeugua je ungekubali hayo unayomtendea mwenzako akutendee?
Uko vizuri Kolumbas Mungu atakubariki sana Kwa Kwa hilo
Baba hana haya huyu,kumtolea damu ni wajibu wako si mke wako,si uliapa kiapo kanisa katika hali zote za utajiri na umasikini,furaha na maradhi,leo hii unaongea maneno kwa jazba unataka kujiliza unafiki. Mungu atadili na wewe maumivu anayopitia mwanamke huyu juu yako utalipia hapa hapa dunia. Na huyu mfanyakazi Mungu atakuchapa kisawa sawa,na wewe ni mwanamke bado unasafari ndefu,utakuja kujuta.
Kabsa
Baba katili bado anaonekana tu, Mungu halali we baba
Mum Samia your amazing Mungu akupe maisha marefu na Amani.
Mungu ni mwamnifu sana asntee sana jamani 😢 ee yesu mwema bariki viongozi wetu Rais wetu Mungu akutunze
Huyu msichana wa kazi anaonekana mkatiliii balaaaa yani Ana hasira anaongea anahema baoaaa
Na nina wasiwasi alipokuwa mfanyakaz alikuwa anaitamani ndoa ya huyu mama akayafanya aliyoyafanya kumpa ulemavu mwenzake ili achukue nafas yake MUNGU ATUSAIDIA SANA
Asante mungu hakika wewe nimwaminifu
@@lizzynkifu4179umewaza kama mimi
Yan mh
Asante Mungu! Hilo malaya mwixi mchawi, acfikiri hakuna Mungu.Mtakoma mbwa nyie. 2:45
Usifikilie katika ubaya ona mazur ya mme pia . Uwewepesi wa hukumu huku na hulka hio
We nae huyo mume ana mazuri gani
Asante sana afisa wa tz,yaani tz bwana, nawapenda munakuwa na ujamaa na ni uzuri sana!!!! Asante Raisi wa tz
hatasisitumefurahi kwahilo asantedawati lakijinsiya asanteni majirani pamojana mwenekiti
Pole dada utaona Mungu ni mwema huyo mwizi wa mabwana za watu dunia itamfundisha
Waachen waendelee Hao wanawake wanaoiba wa ume za watu n kutesa fmlia za wtu ipo ck yan wayalip kwa uchung San n km dem c angeend UK mbl n hudum ziendelee km kawaid lkn hamuheshimu mkew huo n mtihan wa kiapo walichokul mbl y madhabah
Nimefulahi sana kusikia ivyo mungu akubaliki mama samia
Rais Samia hongela saana mungu akukulinde
Huyu baba jeuri mshenzi mkubwa mungu ampe na yy maradhi akome
Asante mama Samia Mungu akulinde sana uzidi kututetea
Kabisa
Mwandishi msomi hongera, you are the best, God bless you 🙏🏾
Hongeren global.. ila hii saut ya unatazamaaaa global tv inanikera
😂
😂
Adui wa mwanamke ni mwanamke full stop
Global TV wacheni ushamba,, Sasa hiyo sauti NI ya nini wakati tunaona NI global TV
😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅
Mama Samia, Rais wetu. Mungu Azidi kukulinda. Ubarikiwe Daima🙏
Hapo mwanaume angeumwa mwanamke angeolewa tungeskia maneno Mengi Saana
Ni kweli kabisa
Nkpnd sadikd
Bora nawewe umeliona
Kweli aisee
Hilo housegirl ndilo lichawi liliomroga huyu mama.
Mtu wa kwanza kbs kumsuspect ni mme wake
Kabisa
Usikute kweli yaani
Kweli kabisa
Wanaume shikamoniiiii mungu atawalipeni apa chini ya jua
Aki huko Tanzania 🇹🇿 nitaamia uko yaani serekali yao❤❤❤❤
Jaman we mwanaume hukumbuki hata mlikotoka!!!!ugonjwa hajauomba jua hata ww hujui kesho yako!pole mama Mungu atakusaidia
Mungu akuponye mama Liston Mungu akupiganie na usisahau kuomba huenda huyo House girl aliyeolewa kwenye ndoa ya mwenzake ninavyomuona huenda kashamloga mwenzake ili yeye aweze kumliki huyo mume na kula alichotafuta kwa jasho mwenziwe aliye mgonjwa. Ashindwe kwa jina la Yesu na Damu ya Yesu ikuponye mumy..
Haugel kamloga mwenzie
@@teresiangoya6950mimi natak kujua huy House girl ni kabil gani tuanzie hapo 😂😂😂
@@marrypius576 mwenzangu mhh hatujui kabila gani
Alafu kapendeza kushindaa Mama mwenye mji kaivaaa uso unateleza khaaa wafanyakaziii@@teresiangoya6950
Mama Samia mungu atakulipa.kwa kumpigania mm huyu huyu baba anaonekaa mkatili sn na huyo bimdogo.kua makini mm wasikutilie sumu2 apew ulinzi
Huyu baba Mungu amuongeze na azidi kusimama na mkewe licha ya changamoto aliyonayo ya mkewake asimchoke akatupa baraka na kujibebea haraka.kisha mke mdogo nawe siatumie busara na hekima ya kuishi kwenye ndoa yaani anajisahau unataka kutawala kila kitu ulisikia wapi mali ambayo haukuitolea jasho inaweza kusitiri hebu ajiongeze nadhali ashaolewa na ajue kubalance mambo na sio kujitoa fahamu akifanya mchezo mume atamkosa na mali atakosa ajui kula na kipofu anatanguliza wivu badala ya kutumia akili na marifa kama mke acha tamaa na kujisahau.
Rais wetu mama Samia. Kweli nimefurahi sana kwa kulishughulikia hili jambo Mungu azidi kukubariki, uendelee kutuongoza. Kweli wewe ni mama yetu.
Ubarikiwe sana Mama Rais wetu Samia..
Mimi nimshauri huyo mgonjwa usimpe shetani nafasi kaa karibu na Mungu mpe maisha yako Yesu anaponya na anafanya njia ukimkubali anakupa uzima Kama alivyofanya kwangu na atakupa kila kitu msaada wa mwanadamu aufai pia Akikupa Amani ya moyo wako inazidi utajiri wa Mali Mungu akuponye Kama alivyoniponya Ameeen.
Mungu apewe sifa ❤❤❤❤❤❤
Mama SAMIA MUNGU Akupe maisha marefu sana na aendelee kukuweka kwenye hicho kiti akubariki na uzao wako kwa kumtetema huyu mama,
Nani kaona msuko alosuka kamanda😅😅😅😅
😂😂😂😂. Kumbe na wewe umeona na wewe 😂😂😂😂
😂😂😂
@@azizaaziza7996 nimeona
Swafiii Sana Amiri Jeshi Mkuu, yaani hawa waumeeeee
Mungu akubariki sana korumba tarifa zako tunazielewa sana" hilo li hose gal liondoke haraka mshenzi mkubwa huyo " mama samia hoye rais wetu kipenzi anaye jali
Ubarikiwe sana mama yetu mpendwa Samia Suluhu.......umetisha mama...hapo ni kazi tuu❤❤❤
Mungu awabariki nyote.
Mungu twakuomba utuomdolee maradhi jaman 😭😭
Mh Rais ni Mama mwenye huruma na utu.Matukio mengi yakimgusa anawajibika,kongole nyingi Mh Rais Dkt SSH.Mungu aibariki hii familia na ampe hekima huyu mwanaume kumsitiri mkewe wa ujana wake,Amen🙏
Nimeanza kumuelwa Rais wetu mama samia. Uyumama angekosamsaada sijui nini kingetokea. Mama mimi kwahili niponaww kilichokua kinarndelea hapo niuonevu. Mungu akulinde mama samia🎉
Mama yetu samia tunakuombea sana Mungu akutunze kwa ajili yetu.
Viburi vya uzima vinaponza sana hiv huku tukiwa hatuijui kesho yetu, ahsante sana mama Samia kwa kuliona ilo Mungu akuweke kipenzi
Mungu Atukuzwe sana na Kumbariki kila anayemtetea mnyonge na anayeonewa. Ubarikiwe sana Mama Samia. Mtu mwonevu Atubu na kuacha uonevu wake.
Kama kuna mtu anayeweza kujitolea kumpatia figo Mama huyu endapo Madaktari wanashauri hivyo, Mungu Ambariki sana.
Asante sana mama samia hakikisha huyo mama na mtoto wake wako salama na haki zao za msingi wanazipata niko hapa kenya thank u very much
Hawa wanaume ndiio wanaofaa kuuliwa kwa sumu
😂
😢😢😢😢
Simlikuwa mnasema vibaya Samia suluhu Hasan raisi wetu ssa kiko wapi aibu inawatoka hongera sana raisi wetu nikiwa omani muscat mungu akulinde sana❤❤❤
Daaah jamani wanaume…😭😭😭
Yeye angekuwa anaumwa mwanamke wake angekuwa na mwanaume mwngne hapohpo kwake ingeezekana 😰😰😰
Huo ni ukatili Mkubwa sana,
Mama samiah tunakushuru kuingilia kati hili swala wapo weng sana wanateseka na kunynyasika msichoke kuwasaidia dawat la jinsia hongeren sana 👏👏👏 Mmefanya jambo ambalo licha ya kaz yenu tu hata mbele za Mungu mnathawabu zake, nachoomba tu msiache kumfutilia huyo mama apate haki zake Kama mke wa ndoa huyo na ndoa yake batili ya pili na ndoa ya kanisani haijafa waktafute vyao hapo aondoke anamuumiza huyo mama akili na kumpa mawazo, kingne wasisahau kumukea dda wa kumtunza huyo mama hajaomba kuumwa, wamuekee deadline huyo baba wa utekelezaj aliombiwa na wamfutilie Kama ameshfanikisha waliyokubalina,
Wasimuache tu aamue bila kumuekea ukomo wa siku, mwsho
Asante Mama yetu samia kumsaidia mwanamke mwenzetu Ruti,
Mwenyez Mungu aendelee kukutunza 🙏
Hongera sana Afande,hiyo ni positive observation na umeeleza vizuri sana,umeonesha professionalism heko sana,hiyo ndiyo image ya serikali tija sana.Huyo mwanaume hajasimamia wajibu wake,ni unyanyasaji uliobeba dhambi sana.Huyo dada wa kazi aache tamaa,kimtizamo yeye ndiye muharibifu na amemdhibiti huyo jamaa mpaka ameshindwa kusimamia wajibu wake.All in all hii Dunia tunapita, tupendane,tuthaminiane, MUNGU hadhihakiwi.
Afande YUKO vizuri Sana 🙏🙏🙏😭😭😭
Mama yangu Samia Suluhu Mungu akubariki,kwa hayo unayotenda Mungu atakulipa .Mungu akubariki na kukulinnda wewe na Familia yako.Soma Isaya 41:10
Acha jazba wewe mwanaume, ungekuwa wewe unaumwa hivyo mkeo akaongea hivyo ungefurahi?????
Mwambie huyu mbwa
Global TV Punguzeni Ushamba Sasa Ninaona Kabisa Ni Glogal TV Lakini Bado Mnaendelea Tu Kuongea Unataza Global TV.. Badilikeni.....Wanaume Ndio Maana Tunachukiwa Na Watoto Unafikiri Huyo Mtoto Wa Kiume Anamuwazia Nini Baba Yake?.
Kabisa baba anajisaau kabisa kama kuna mungu anawza kubadrisha Maisha sekunde tu yani mwezake mgonjwa yeye mijaziba tu sijui vipi huyo
Hii nchi viongozi wameshindwa kazi kabisa. Issue za kimtaa ashughulikie Rais, viongozi wengine wako wapi na wanafanya nini?
😂😂😂
Wapo kula mishahara ya bure na hongo .bora kaamua Mh Raisi la sivyo wangekula mlungula wakamkandamiza huyo mgonjwa mpaka aage Dunia uscheze na hii nchi .Si wewe mwenyewe unaona mafuriko kwenye mikusanyiko ya Makonda ?
Mshukuru Mungu alikuinua kiuchumi hivyo huwezi kushindwa kumtunza mama mkubwa. Huyo mkeo mdogo ondoa hapo akakae kwake.
Asante Mama Samia,pole mgonjwa,pole familia,bimdogo toka Ktk boma lamwenzio,kama nikufa afevizuri,asife nawewe moyoni.
Ila wanawake mungu anatuona 😢
Amina mama Samia mungu akulinde mama akae bali na moto Rais wetu wa Africa yote na mama wetu sote watching from Capetown
Hongera sana kamanda umeelezea vizuri kabisa suala la ndoa ,huyo baba ni mnyanyasaji aondoke na huyo mwanamke wake mbona sisi tunavumilia wao wakiumwa au anafikiri kuna fungu ambalo kampa Mungu yeye abakie kua mzima ,hebu ona huruma kaka wewe tambua hayo ni maisha hata yeye anahitaji kupona na kua mzima kama zamani .
Mama samia wengi wanateseka sana,Mungu akupe maisha marefu,utulivu wa familia ili upate muda wa kupitia mitandaoni huyaone haya,Mungu akufunike kwa bwawa zake kila
MUNGU AKUBARIKI SANA MAMA YETU MPENDWA ❤️ RAISI WETU MAMA SAMIA.
Mungu ni mwema ❤❤
Ahsante kayumba mwandishi kwa habari kuweza kutatuliwa nimelia wallah jana Allah atampa shifaa uyu mama inshaa allah.
Mama.samia mama Mungu peke yake atakulipa ss tunakuombea sana mama Mungu akupe nguvu afya njema na.kila.lenye heri Mungu wetu wa mbinguni anaona.moyo wko mwema..huruma na upendo wa hali ya juu❤ tunakupenda sana
Uyo baba atakuwa ndio anamloga mke wake sio bure😢
Msichoke kutembelea family ili muwe mnajua kinachoendelea jamani shukrani mama Samia Kwa kuguswa na hii family
Jamani safi sana mama yetu kipenz na Rais wa Jamhuri ya mhungano Wa Tanzania Mungu akubariki sana na akutunze kwa kitendo kama hiki kuguzwa nacho hongera sana mama wetu mlesi❤❤❤❤
Mungu Akujali kwa utedaji wako wa kazi
Jamani tuwe wa kweli sasa kama dada huyo anaumwa huyo baba angefanyaje chamsingi atafutiwe sehemu huyo mke mdogo akae
Ndo amnyanyase bila housgel hata
MUNGU akubariki Rais wetu aendelee kukupa jicho lakuangalia zaidi watu wenye shida kubwa ktk jamii
Mmefanya jambo jema sana Mungu awatunze kwenye kazi kwa kusimamia haki za huyu mama. Mama Samia wewe ni mama Mungu akutumze Hekima ya Mungu iwe ndani yako
Mungu awabariki sana.Huu ni uandishi wenye faida za ukombozi na siyo majungu
Mimi roho yangu ndogo ningekua mimi bi mkubwa wallah narud kwetu hzo mali wale tu mali zao akaaah
Shida sasa yeye mgonjwa akienda kwao atapata wapi pesa ya kujihudumia
Naipenda serikali yetu ya Tanzania....namkubali mama Samia,asante sana mama yetu, Mungu azidi kukulinda, na sasa tunaona hata alivyomteua Makonda kupambania haki za binadamu..
Mungu akubariki sana mama Samia kwa kumjali huyu mama
Global acheni Kelele
Nashukuru sana sana kwa rais kujali wananchi wake nakukubali sana mama Samia rais wetu
Duuh huyu baba ana roho mbaya. İla Mungu yupo nae yatampata
Asante sana mama Samiya mungu akutangulie inshaallah, Amin 🤲🤲
Mungu ametenda haki thank you god 🙏
🙏🙏🙏🙏🙏 Asante mama Samia mama yetu kwa kumsaidia mama Ruti kwa sasa ana Amani kubwa sana mungu akulinde Kila Kona mama yetu🙏🙏
Mama Yetu Kipenzi Samia Mungu azidi Kukubariki💕🙏🏼💕 Wanawake Tunanyanyasika Sn
Najiuliza kidoooogo tu.
Hivi, Kabla ya Mh Mama Samia kuiona clip hii hapa kuwa na mtu mwingine kama jeshi la polisi ameiona??? Kwa hiyo ni mpk Mama aseme ndo muende wkt clip ilisambaa mda tuu???. Yote kwa yote natoa pongezi zng kwk Mama kwa kuwajali wananchi wako .Mungu azidi kukulinda.❤❤❤
Kila jambo linakuja kwa sababu flani,baba kukuchagua wewe kuwa msaidizi wake aliongozwa na Mwenyezi Mungu sio kwa hakiri yake, ndio sababu magumu makubwa unatusaidia watoto wako, mama Mwenyezi Mungu akutunze akuzidishie zaidi hekima upendo na busara ulizonazo.umekuwa ni msaada wa watanzania,uko sawa na kaulimbiyu ulioichagua mama Asante sana
Baba mbaya sana wew ulitaka nani amtolee damu na kumuoa msichana wa kazi ulimuoa wa nin
Kiukweli wanawake wanapitia mambo mengi, Mungu amsaidie huyu mama kwakweli
Mh kweli wanawake tukisha tokewa na udhaifu wanaume hawatuthamini tena, ila Mungu yuko nawe mama. Hongera Raisi wetu mama samiya, Allah akulinde.
Unatazama Global tv
Hongera sana mwandishi musomi Kwa kuungamisha hiii familia
Kolumba napenda utangazaji wako
Hongera mama yetu Samia Suluh. Tunakupenda mama
Yani mm ww mwandishi wa habar nakukubaligi sana Mungu akulinde na akuepushe na Kila jicho baya kwako❤
Mungu akubariki Sana mama Samia kwà kuwatetea Wana wake wanaopitia kwenye changamoto Kama hizi. Mungu akubariki Sana. Eee Mungu wa Mbinguni Mungu mwenye nguvu, achilia uweza wako, nguvu zako na mamlaka yako juu ya mama huyu mponye magonjwa yote ktk mwili wake🙏