RAIS SAMIA AINGILIA KATI SAKATA la BABA KUOA DADA wa KAZI na KUMTESA MKE WAKE MLEMAVU -POLISI WAFIKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 02. 2024
  • RAIS SAMIA AINGILIA KATI SAKATA la BABA KUOA DADA wa KAZI na KUMTESA MKE WAKE MLEMAVU -POLISI WAFIKA....
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 852

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 3 měsíci +12

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene545 Před 3 měsíci +59

    Nime mpenda sana huyu dada wa jeshi La Police... Baraka 🙏🙏.

  • @joyce55727
    @joyce55727 Před 3 měsíci +47

    Mama samia Mungu azidi kukubariki pia azidi kukupa afya njema uendelee hivyo hivyo mama ❤❤

  • @rosehillary8742
    @rosehillary8742 Před 3 měsíci +54

    Mm naomba uelewe
    Huyu mama ni Mgonjwa sawa na umeoa nakubali.
    1. Huyu bi mdogo ni mpuuzi na hajui kula na kipofu. Angemhudumia huyo bi mkubwa kwa upendo kwakuwa ni mdogo kwa upendo wote ila kakosea sana atafutiwe pakukaa eneoblingine kabisaaaa
    2. Baba ambae ni mume mtunze mkeo kwa Upendo amtafutie msichana wa kazi wakumtuza na Pia msomeshe mwanao wa Kiume na baba mpatie chakufanya aweze kujisimamia nakumsimamia Mume wake.
    3. VIONGOZI WA DINI NA WANASAIKOLOJIA WAITEMBELEE HII FAMILIA MARA KWA MARA KWA AFYA YAO YA ROHO NA MWILI
    Mbarikiwe sana mloshiriki kwa Hili❤❤❤❤❤❤

    • @zaidasalumualute6437
      @zaidasalumualute6437 Před 3 měsíci +2

      Mpuuzi sanaa huyo bimdogo,angemuhudumia huyu mama kwa nguvu zote angerisi malizote zahuyu mama,lakin sasa kujitafutia laana,haya yalimkuta huyu mama nayeyatamkuta,Chezaa matajiri wa kichaga??

    • @rubenprince8990
      @rubenprince8990 Před 3 měsíci

      ​@@zaidasalumualute6437selekari za afrika ni mbovu sana kesi ya kuipeleka mahakamani munaiongelea barabarani hiyo kesi ni kubwa ingekuwa huku ulaya huyo jamaa angeisoma namba tatizo la selekari za afrika hazina sheria hata kidogo

    • @stamillusatila9084
      @stamillusatila9084 Před 3 měsíci +2

      Hata ongea yako unaonyesha jinsi ulivyo fedhuli wee Baba

    • @orsolinaleonsminja6436
      @orsolinaleonsminja6436 Před 3 měsíci +1

      Mkatili kabisa huyu. Hana lolote! Hizo Mali atakuwa na ataziacha! Mungu hapendi! Kama ana fedha kwanini asimuwekee mtu WA kumhurumia?

    • @annamosha968
      @annamosha968 Před 2 měsíci

      ​@@stamillusatila9084Sana, sura tu inamuonesha ni KATILI

  • @ruthhamisi2902
    @ruthhamisi2902 Před 3 měsíci +24

    Asante mungu kwa kuona mda mrefu mateso ya huyu mama na ukashuka mwenyewe kumsaidia, ameeen

  • @paulmisalaba3364
    @paulmisalaba3364 Před 3 měsíci +33

    Mungu aniepushe na visa kama hvi siwez mfanyia hv mke wangu akiwa katika hali hiyoo😢😢

    • @user-xc4or2vp6l
      @user-xc4or2vp6l Před 3 měsíci +1

      Na iwe hivyo kama ulivyosema

    • @joycemkeka3769
      @joycemkeka3769 Před 3 měsíci +1

      Amina kaka mungu akuwezeshe

    • @annamosha968
      @annamosha968 Před 2 měsíci +1

      Na ukabarikiwe mnooo kaka, wewe una Mungu 🙏

    • @marysdiosa8764
      @marysdiosa8764 Před 2 měsíci +1

      Kama mim siwezi mfanyia mume wangu hivyo, sema hatupatagi watu wa kuolewa nao wakweli

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před 2 měsíci

      Kweli kabsa kaka

  • @mariansumari2179
    @mariansumari2179 Před 3 měsíci +27

    Mama Samia kipenzi cha wanawake rais wetu MUNGU baba akutunze Mama TUNAKUPENDA ❤❤❤

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t Před 3 měsíci +19

    Kusaga na wenzie mungu awabarki kwa kuwa jana mlilifikisha hili jambo kwenye mamlaka za juu nasasa tunaona likifanyiwa kazi ahsante Mungu

  • @gorethlupembe5502
    @gorethlupembe5502 Před 3 měsíci +74

    Kulipa pesa ya dialysis na huduma zote huyo ni mke wako ni haki yako.muogope Mungu hujui kesho yako.usifikiri mkeo aliomba huo ugonjwa.

    • @latifamama4627
      @latifamama4627 Před 3 měsíci +6

      Wewe mke mdogo jiangalie, yatakukuta mambo tofauti na umri wako

    • @user-el6ev9dt5k
      @user-el6ev9dt5k Před 3 měsíci +1

      Kabisa yaani anahisikm anamsadia tu

    • @user-xk7vy4gb6g
      @user-xk7vy4gb6g Před 3 měsíci +5

      Huyo mfanyakazi ambae kwa Sasa ni mke wallah kipo kitu kitamkuta Mungu hachezewi

    • @joymrema4141
      @joymrema4141 Před 2 měsíci +1

      Mama samia mama bigapu

    • @joymrema4141
      @joymrema4141 Před 2 měsíci +1

      Wana wake tumepitia magumu mengi mimi niliwahi kunywanyasika nikaacha kit lakitu huyo dada wakazi hanaakili w

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 Před 3 měsíci +27

    Mama. Samia. MPENDWA WETUUU Rais WETU mwema 🎉. Mungu. AKUZIDISHIE mama

  • @LevinaMichael-oy8cu
    @LevinaMichael-oy8cu Před 3 měsíci +30

    Duuuh aisee mama kumbe anaona mama mungu akulinde sana

    • @mackarioussmakuri6147
      @mackarioussmakuri6147 Před 3 měsíci +1

      Lakini ingekua ni wewe bwana umeugua je ungekubali hayo unayomtendea mwenzako akutendee?

  • @marthakimia4075
    @marthakimia4075 Před 3 měsíci +11

    Uko vizuri Kolumbas Mungu atakubariki sana Kwa Kwa hilo

  • @sunherybabie1472
    @sunherybabie1472 Před 3 měsíci +42

    Baba hana haya huyu,kumtolea damu ni wajibu wako si mke wako,si uliapa kiapo kanisa katika hali zote za utajiri na umasikini,furaha na maradhi,leo hii unaongea maneno kwa jazba unataka kujiliza unafiki. Mungu atadili na wewe maumivu anayopitia mwanamke huyu juu yako utalipia hapa hapa dunia. Na huyu mfanyakazi Mungu atakuchapa kisawa sawa,na wewe ni mwanamke bado unasafari ndefu,utakuja kujuta.

  • @stellamoses4496
    @stellamoses4496 Před 3 měsíci +8

    Mum Samia your amazing Mungu akupe maisha marefu na Amani.

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Před 3 měsíci +13

    Mungu ni mwamnifu sana asntee sana jamani 😢 ee yesu mwema bariki viongozi wetu Rais wetu Mungu akutunze

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 Před 3 měsíci +32

    Huyu msichana wa kazi anaonekana mkatiliii balaaaa yani Ana hasira anaongea anahema baoaaa

    • @lizzynkifu4179
      @lizzynkifu4179 Před 3 měsíci +2

      Na nina wasiwasi alipokuwa mfanyakaz alikuwa anaitamani ndoa ya huyu mama akayafanya aliyoyafanya kumpa ulemavu mwenzake ili achukue nafas yake MUNGU ATUSAIDIA SANA

    • @rosedohho8971
      @rosedohho8971 Před 3 měsíci

      Asante mungu hakika wewe nimwaminifu

    • @marysdiosa8764
      @marysdiosa8764 Před 2 měsíci

      ​@@lizzynkifu4179umewaza kama mimi

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před 2 měsíci

      Yan mh

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před 3 měsíci +15

    Asante Mungu! Hilo malaya mwixi mchawi, acfikiri hakuna Mungu.Mtakoma mbwa nyie. 2:45

    • @roviykamage5423
      @roviykamage5423 Před 3 měsíci

      Usifikilie katika ubaya ona mazur ya mme pia . Uwewepesi wa hukumu huku na hulka hio

    • @salmabinyaga2357
      @salmabinyaga2357 Před 3 měsíci

      We nae huyo mume ana mazuri gani

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Před 3 měsíci +4

    Asante sana afisa wa tz,yaani tz bwana, nawapenda munakuwa na ujamaa na ni uzuri sana!!!! Asante Raisi wa tz

  • @user-qn3cf2bg4u
    @user-qn3cf2bg4u Před 3 měsíci +24

    hatasisitumefurahi kwahilo asantedawati lakijinsiya asanteni majirani pamojana mwenekiti

  • @neemaisaac8356
    @neemaisaac8356 Před 3 měsíci +9

    Pole dada utaona Mungu ni mwema huyo mwizi wa mabwana za watu dunia itamfundisha

    • @victorianganyagwa2467
      @victorianganyagwa2467 Před 2 měsíci

      Waachen waendelee Hao wanawake wanaoiba wa ume za watu n kutesa fmlia za wtu ipo ck yan wayalip kwa uchung San n km dem c angeend UK mbl n hudum ziendelee km kawaid lkn hamuheshimu mkew huo n mtihan wa kiapo walichokul mbl y madhabah

  • @user-jx4rx6jy6y
    @user-jx4rx6jy6y Před 3 měsíci +10

    Nimefulahi sana kusikia ivyo mungu akubaliki mama samia

  • @user-dm8pv2ck3i
    @user-dm8pv2ck3i Před 3 měsíci +6

    Rais Samia hongela saana mungu akukulinde

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Před 3 měsíci +10

    Huyu baba jeuri mshenzi mkubwa mungu ampe na yy maradhi akome

  • @gorethlupembe5502
    @gorethlupembe5502 Před 3 měsíci +9

    Asante mama Samia Mungu akulinde sana uzidi kututetea

  • @vickylupemba6055
    @vickylupemba6055 Před 3 měsíci +10

    Mwandishi msomi hongera, you are the best, God bless you 🙏🏾

  • @juliuslengai5089
    @juliuslengai5089 Před 3 měsíci +12

    Hongeren global.. ila hii saut ya unatazamaaaa global tv inanikera

  • @JehovaJonas
    @JehovaJonas Před 3 měsíci +6

    Adui wa mwanamke ni mwanamke full stop

  • @goodluckminja9101
    @goodluckminja9101 Před 3 měsíci +12

    Global TV wacheni ushamba,, Sasa hiyo sauti NI ya nini wakati tunaona NI global TV

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 Před 3 měsíci +3

    Mama Samia, Rais wetu. Mungu Azidi kukulinda. Ubarikiwe Daima🙏

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi460 Před 3 měsíci +16

    Hapo mwanaume angeumwa mwanamke angeolewa tungeskia maneno Mengi Saana

  • @dorothysamwel2648
    @dorothysamwel2648 Před 3 měsíci +23

    Hilo housegirl ndilo lichawi liliomroga huyu mama.

  • @MaryMatereadvicer011
    @MaryMatereadvicer011 Před 3 měsíci +5

    Aki huko Tanzania 🇹🇿 nitaamia uko yaani serekali yao❤❤❤❤

  • @user-im9wf2tb2r
    @user-im9wf2tb2r Před 3 měsíci +15

    Jaman we mwanaume hukumbuki hata mlikotoka!!!!ugonjwa hajauomba jua hata ww hujui kesho yako!pole mama Mungu atakusaidia

  • @cleversalbaba-em4jf
    @cleversalbaba-em4jf Před 3 měsíci +8

    Mungu akuponye mama Liston Mungu akupiganie na usisahau kuomba huenda huyo House girl aliyeolewa kwenye ndoa ya mwenzake ninavyomuona huenda kashamloga mwenzake ili yeye aweze kumliki huyo mume na kula alichotafuta kwa jasho mwenziwe aliye mgonjwa. Ashindwe kwa jina la Yesu na Damu ya Yesu ikuponye mumy..

    • @teresiangoya6950
      @teresiangoya6950 Před 3 měsíci +1

      Haugel kamloga mwenzie

    • @marrypius576
      @marrypius576 Před 3 měsíci

      ​@@teresiangoya6950mimi natak kujua huy House girl ni kabil gani tuanzie hapo 😂😂😂

    • @teresiangoya6950
      @teresiangoya6950 Před 3 měsíci

      @@marrypius576 mwenzangu mhh hatujui kabila gani

    • @JasminMneney
      @JasminMneney Před 3 měsíci

      Alafu kapendeza kushindaa Mama mwenye mji kaivaaa uso unateleza khaaa wafanyakaziii@@teresiangoya6950

  • @user-uh7to2kw2z
    @user-uh7to2kw2z Před 3 měsíci +18

    Mama Samia mungu atakulipa.kwa kumpigania mm huyu huyu baba anaonekaa mkatili sn na huyo bimdogo.kua makini mm wasikutilie sumu2 apew ulinzi

  • @mwakamwatsimu
    @mwakamwatsimu Před 3 měsíci +7

    Huyu baba Mungu amuongeze na azidi kusimama na mkewe licha ya changamoto aliyonayo ya mkewake asimchoke akatupa baraka na kujibebea haraka.kisha mke mdogo nawe siatumie busara na hekima ya kuishi kwenye ndoa yaani anajisahau unataka kutawala kila kitu ulisikia wapi mali ambayo haukuitolea jasho inaweza kusitiri hebu ajiongeze nadhali ashaolewa na ajue kubalance mambo na sio kujitoa fahamu akifanya mchezo mume atamkosa na mali atakosa ajui kula na kipofu anatanguliza wivu badala ya kutumia akili na marifa kama mke acha tamaa na kujisahau.

  • @eddahkobong271
    @eddahkobong271 Před 3 měsíci +3

    Rais wetu mama Samia. Kweli nimefurahi sana kwa kulishughulikia hili jambo Mungu azidi kukubariki, uendelee kutuongoza. Kweli wewe ni mama yetu.

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx Před 3 měsíci +4

    Ubarikiwe sana Mama Rais wetu Samia..

  • @rosekilawe786
    @rosekilawe786 Před 3 měsíci +2

    Mimi nimshauri huyo mgonjwa usimpe shetani nafasi kaa karibu na Mungu mpe maisha yako Yesu anaponya na anafanya njia ukimkubali anakupa uzima Kama alivyofanya kwangu na atakupa kila kitu msaada wa mwanadamu aufai pia Akikupa Amani ya moyo wako inazidi utajiri wa Mali Mungu akuponye Kama alivyoniponya Ameeen.

  • @bulengepetite6062
    @bulengepetite6062 Před 3 měsíci +3

    Mungu apewe sifa ❤❤❤❤❤❤

  • @stanleymsenga2436
    @stanleymsenga2436 Před 3 měsíci +2

    Mama SAMIA MUNGU Akupe maisha marefu sana na aendelee kukuweka kwenye hicho kiti akubariki na uzao wako kwa kumtetema huyu mama,

  • @NdongaKichwa-hz7jf
    @NdongaKichwa-hz7jf Před 3 měsíci +7

    Nani kaona msuko alosuka kamanda😅😅😅😅

  • @user-rl3yh6ls7b
    @user-rl3yh6ls7b Před 3 měsíci +4

    Swafiii Sana Amiri Jeshi Mkuu, yaani hawa waumeeeee

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 Před 3 měsíci +2

    Mungu akubariki sana korumba tarifa zako tunazielewa sana" hilo li hose gal liondoke haraka mshenzi mkubwa huyo " mama samia hoye rais wetu kipenzi anaye jali

  • @saida5091
    @saida5091 Před 3 měsíci +1

    Ubarikiwe sana mama yetu mpendwa Samia Suluhu.......umetisha mama...hapo ni kazi tuu❤❤❤
    Mungu awabariki nyote.

  • @franciscakija1702
    @franciscakija1702 Před 3 měsíci +3

    Mungu twakuomba utuomdolee maradhi jaman 😭😭

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi Před 3 měsíci +1

    Mh Rais ni Mama mwenye huruma na utu.Matukio mengi yakimgusa anawajibika,kongole nyingi Mh Rais Dkt SSH.Mungu aibariki hii familia na ampe hekima huyu mwanaume kumsitiri mkewe wa ujana wake,Amen🙏

  • @rahabumwalongo25
    @rahabumwalongo25 Před 3 měsíci +1

    Nimeanza kumuelwa Rais wetu mama samia. Uyumama angekosamsaada sijui nini kingetokea. Mama mimi kwahili niponaww kilichokua kinarndelea hapo niuonevu. Mungu akulinde mama samia🎉

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s Před 3 měsíci +3

    Mama yetu samia tunakuombea sana Mungu akutunze kwa ajili yetu.

  • @tianarest
    @tianarest Před 3 měsíci +1

    Viburi vya uzima vinaponza sana hiv huku tukiwa hatuijui kesho yetu, ahsante sana mama Samia kwa kuliona ilo Mungu akuweke kipenzi

  • @mysoulproclaimsthelordmygodmam
    @mysoulproclaimsthelordmygodmam Před 3 měsíci +1

    Mungu Atukuzwe sana na Kumbariki kila anayemtetea mnyonge na anayeonewa. Ubarikiwe sana Mama Samia. Mtu mwonevu Atubu na kuacha uonevu wake.
    Kama kuna mtu anayeweza kujitolea kumpatia figo Mama huyu endapo Madaktari wanashauri hivyo, Mungu Ambariki sana.

  • @veronicaagonga7415
    @veronicaagonga7415 Před 3 měsíci +1

    Asante sana mama samia hakikisha huyo mama na mtoto wake wako salama na haki zao za msingi wanazipata niko hapa kenya thank u very much

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 3 měsíci +4

    Hawa wanaume ndiio wanaofaa kuuliwa kwa sumu

  • @SalimhchialaAtilio-qj5cs
    @SalimhchialaAtilio-qj5cs Před měsícem

    Simlikuwa mnasema vibaya Samia suluhu Hasan raisi wetu ssa kiko wapi aibu inawatoka hongera sana raisi wetu nikiwa omani muscat mungu akulinde sana❤❤❤

  • @lightdahaye9099
    @lightdahaye9099 Před 2 měsíci +1

    Daaah jamani wanaume…😭😭😭
    Yeye angekuwa anaumwa mwanamke wake angekuwa na mwanaume mwngne hapohpo kwake ingeezekana 😰😰😰
    Huo ni ukatili Mkubwa sana,
    Mama samiah tunakushuru kuingilia kati hili swala wapo weng sana wanateseka na kunynyasika msichoke kuwasaidia dawat la jinsia hongeren sana 👏👏👏 Mmefanya jambo ambalo licha ya kaz yenu tu hata mbele za Mungu mnathawabu zake, nachoomba tu msiache kumfutilia huyo mama apate haki zake Kama mke wa ndoa huyo na ndoa yake batili ya pili na ndoa ya kanisani haijafa waktafute vyao hapo aondoke anamuumiza huyo mama akili na kumpa mawazo, kingne wasisahau kumukea dda wa kumtunza huyo mama hajaomba kuumwa, wamuekee deadline huyo baba wa utekelezaj aliombiwa na wamfutilie Kama ameshfanikisha waliyokubalina,
    Wasimuache tu aamue bila kumuekea ukomo wa siku, mwsho
    Asante Mama yetu samia kumsaidia mwanamke mwenzetu Ruti,
    Mwenyez Mungu aendelee kukutunza 🙏

  • @martinmollel1363
    @martinmollel1363 Před 2 měsíci

    Hongera sana Afande,hiyo ni positive observation na umeeleza vizuri sana,umeonesha professionalism heko sana,hiyo ndiyo image ya serikali tija sana.Huyo mwanaume hajasimamia wajibu wake,ni unyanyasaji uliobeba dhambi sana.Huyo dada wa kazi aache tamaa,kimtizamo yeye ndiye muharibifu na amemdhibiti huyo jamaa mpaka ameshindwa kusimamia wajibu wake.All in all hii Dunia tunapita, tupendane,tuthaminiane, MUNGU hadhihakiwi.

  • @zainabuhamisimmbaga1840
    @zainabuhamisimmbaga1840 Před 3 měsíci +3

    Afande YUKO vizuri Sana 🙏🙏🙏😭😭😭

  • @user-mq4yq6rw1w
    @user-mq4yq6rw1w Před 3 měsíci +1

    Mama yangu Samia Suluhu Mungu akubariki,kwa hayo unayotenda Mungu atakulipa .Mungu akubariki na kukulinnda wewe na Familia yako.Soma Isaya 41:10

  • @carolinenjiro41
    @carolinenjiro41 Před 3 měsíci +27

    Acha jazba wewe mwanaume, ungekuwa wewe unaumwa hivyo mkeo akaongea hivyo ungefurahi?????

  • @wamadoropushthestar4145
    @wamadoropushthestar4145 Před 3 měsíci +8

    Global TV Punguzeni Ushamba Sasa Ninaona Kabisa Ni Glogal TV Lakini Bado Mnaendelea Tu Kuongea Unataza Global TV.. Badilikeni.....Wanaume Ndio Maana Tunachukiwa Na Watoto Unafikiri Huyo Mtoto Wa Kiume Anamuwazia Nini Baba Yake?.

    • @africandarling6925
      @africandarling6925 Před 3 měsíci +1

      Kabisa baba anajisaau kabisa kama kuna mungu anawza kubadrisha Maisha sekunde tu yani mwezake mgonjwa yeye mijaziba tu sijui vipi huyo

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před 3 měsíci +4

    Hii nchi viongozi wameshindwa kazi kabisa. Issue za kimtaa ashughulikie Rais, viongozi wengine wako wapi na wanafanya nini?

    • @cbegram6161
      @cbegram6161 Před 3 měsíci +1

      😂😂😂

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 3 měsíci

      Wapo kula mishahara ya bure na hongo .bora kaamua Mh Raisi la sivyo wangekula mlungula wakamkandamiza huyo mgonjwa mpaka aage Dunia uscheze na hii nchi .Si wewe mwenyewe unaona mafuriko kwenye mikusanyiko ya Makonda ?

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 3 měsíci +3

    Mshukuru Mungu alikuinua kiuchumi hivyo huwezi kushindwa kumtunza mama mkubwa. Huyo mkeo mdogo ondoa hapo akakae kwake.

  • @zaidasalumualute6437
    @zaidasalumualute6437 Před 3 měsíci +1

    Asante Mama Samia,pole mgonjwa,pole familia,bimdogo toka Ktk boma lamwenzio,kama nikufa afevizuri,asife nawewe moyoni.

  • @user-hs3er6ui3w
    @user-hs3er6ui3w Před 3 měsíci +2

    Ila wanawake mungu anatuona 😢

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 Před 3 měsíci

    Amina mama Samia mungu akulinde mama akae bali na moto Rais wetu wa Africa yote na mama wetu sote watching from Capetown

  • @mariamutarimo5398
    @mariamutarimo5398 Před 2 měsíci

    Hongera sana kamanda umeelezea vizuri kabisa suala la ndoa ,huyo baba ni mnyanyasaji aondoke na huyo mwanamke wake mbona sisi tunavumilia wao wakiumwa au anafikiri kuna fungu ambalo kampa Mungu yeye abakie kua mzima ,hebu ona huruma kaka wewe tambua hayo ni maisha hata yeye anahitaji kupona na kua mzima kama zamani .

  • @user-yz2it2qm3p
    @user-yz2it2qm3p Před 2 měsíci

    Mama samia wengi wanateseka sana,Mungu akupe maisha marefu,utulivu wa familia ili upate muda wa kupitia mitandaoni huyaone haya,Mungu akufunike kwa bwawa zake kila

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 Před 3 měsíci +1

    MUNGU AKUBARIKI SANA MAMA YETU MPENDWA ❤️ RAISI WETU MAMA SAMIA.

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 Před 3 měsíci +1

    Mungu ni mwema ❤❤

  • @mariyamgharib940
    @mariyamgharib940 Před 3 měsíci +1

    Ahsante kayumba mwandishi kwa habari kuweza kutatuliwa nimelia wallah jana Allah atampa shifaa uyu mama inshaa allah.

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Před 3 měsíci +1

    Mama.samia mama Mungu peke yake atakulipa ss tunakuombea sana mama Mungu akupe nguvu afya njema na.kila.lenye heri Mungu wetu wa mbinguni anaona.moyo wko mwema..huruma na upendo wa hali ya juu❤ tunakupenda sana

  • @mariamusameer3742
    @mariamusameer3742 Před 3 měsíci +2

    Uyo baba atakuwa ndio anamloga mke wake sio bure😢

  • @aishaabdul9287
    @aishaabdul9287 Před 3 měsíci +1

    Msichoke kutembelea family ili muwe mnajua kinachoendelea jamani shukrani mama Samia Kwa kuguswa na hii family

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q Před 3 měsíci

    Jamani safi sana mama yetu kipenz na Rais wa Jamhuri ya mhungano Wa Tanzania Mungu akubariki sana na akutunze kwa kitendo kama hiki kuguzwa nacho hongera sana mama wetu mlesi❤❤❤❤

  • @maryammeme3203
    @maryammeme3203 Před 3 měsíci +1

    Mungu Akujali kwa utedaji wako wa kazi

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před 3 měsíci +2

    Jamani tuwe wa kweli sasa kama dada huyo anaumwa huyo baba angefanyaje chamsingi atafutiwe sehemu huyo mke mdogo akae

  • @mamirybenson2516
    @mamirybenson2516 Před 3 měsíci

    MUNGU akubariki Rais wetu aendelee kukupa jicho lakuangalia zaidi watu wenye shida kubwa ktk jamii

  • @safroniaurio8392
    @safroniaurio8392 Před měsícem

    Mmefanya jambo jema sana Mungu awatunze kwenye kazi kwa kusimamia haki za huyu mama. Mama Samia wewe ni mama Mungu akutumze Hekima ya Mungu iwe ndani yako

  • @mhubirichoir-ntyuka568
    @mhubirichoir-ntyuka568 Před 3 měsíci +1

    Mungu awabariki sana.Huu ni uandishi wenye faida za ukombozi na siyo majungu

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow Před 3 měsíci +3

    Mimi roho yangu ndogo ningekua mimi bi mkubwa wallah narud kwetu hzo mali wale tu mali zao akaaah

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya Před 3 měsíci +1

      Shida sasa yeye mgonjwa akienda kwao atapata wapi pesa ya kujihudumia

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před 5 dny

    Naipenda serikali yetu ya Tanzania....namkubali mama Samia,asante sana mama yetu, Mungu azidi kukulinda, na sasa tunaona hata alivyomteua Makonda kupambania haki za binadamu..

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 Před 3 měsíci +1

    Mungu akubariki sana mama Samia kwa kumjali huyu mama

  • @siasia5469
    @siasia5469 Před 3 měsíci +2

    Global acheni Kelele

  • @EsterMbise-pj4vd
    @EsterMbise-pj4vd Před měsícem

    Nashukuru sana sana kwa rais kujali wananchi wake nakukubali sana mama Samia rais wetu

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 Před 2 měsíci +1

    Duuh huyu baba ana roho mbaya. İla Mungu yupo nae yatampata

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před 3 měsíci +4

    Asante sana mama Samiya mungu akutangulie inshaallah, Amin 🤲🤲

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před 3 měsíci +4

    Mungu ametenda haki thank you god 🙏

  • @prismaphilip2478
    @prismaphilip2478 Před 2 měsíci

    🙏🙏🙏🙏🙏 Asante mama Samia mama yetu kwa kumsaidia mama Ruti kwa sasa ana Amani kubwa sana mungu akulinde Kila Kona mama yetu🙏🙏

  • @suzanbegas4139
    @suzanbegas4139 Před 3 měsíci

    Mama Yetu Kipenzi Samia Mungu azidi Kukubariki💕🙏🏼💕 Wanawake Tunanyanyasika Sn

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 Před 3 měsíci

    Najiuliza kidoooogo tu.
    Hivi, Kabla ya Mh Mama Samia kuiona clip hii hapa kuwa na mtu mwingine kama jeshi la polisi ameiona??? Kwa hiyo ni mpk Mama aseme ndo muende wkt clip ilisambaa mda tuu???. Yote kwa yote natoa pongezi zng kwk Mama kwa kuwajali wananchi wako .Mungu azidi kukulinda.❤❤❤

  • @graceannah8452
    @graceannah8452 Před 3 měsíci

    Kila jambo linakuja kwa sababu flani,baba kukuchagua wewe kuwa msaidizi wake aliongozwa na Mwenyezi Mungu sio kwa hakiri yake, ndio sababu magumu makubwa unatusaidia watoto wako, mama Mwenyezi Mungu akutunze akuzidishie zaidi hekima upendo na busara ulizonazo.umekuwa ni msaada wa watanzania,uko sawa na kaulimbiyu ulioichagua mama Asante sana

  • @user-uc8ei8kn3l
    @user-uc8ei8kn3l Před 3 měsíci +1

    Baba mbaya sana wew ulitaka nani amtolee damu na kumuoa msichana wa kazi ulimuoa wa nin

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Před 3 měsíci +1

    Kiukweli wanawake wanapitia mambo mengi, Mungu amsaidie huyu mama kwakweli

  • @aminafundikira126
    @aminafundikira126 Před 3 měsíci

    Mh kweli wanawake tukisha tokewa na udhaifu wanaume hawatuthamini tena, ila Mungu yuko nawe mama. Hongera Raisi wetu mama samiya, Allah akulinde.

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 Před 3 měsíci +2

    Unatazama Global tv

  • @kulwakibasa5396
    @kulwakibasa5396 Před 3 měsíci +1

    Hongera sana mwandishi musomi Kwa kuungamisha hiii familia

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před 3 měsíci +7

    Kolumba napenda utangazaji wako

  • @angelaminde1247
    @angelaminde1247 Před 3 měsíci +1

    Hongera mama yetu Samia Suluh. Tunakupenda mama

  • @user-nc9kh8zi6x
    @user-nc9kh8zi6x Před 3 měsíci

    Yani mm ww mwandishi wa habar nakukubaligi sana Mungu akulinde na akuepushe na Kila jicho baya kwako❤

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 Před 3 měsíci

    Mungu akubariki Sana mama Samia kwà kuwatetea Wana wake wanaopitia kwenye changamoto Kama hizi. Mungu akubariki Sana. Eee Mungu wa Mbinguni Mungu mwenye nguvu, achilia uweza wako, nguvu zako na mamlaka yako juu ya mama huyu mponye magonjwa yote ktk mwili wake🙏