🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 05. 2024
  • 🔴#Live: SOPHY YUKO kwa MWANAUME?- FAMILIA YASAMBARATIKA VILIO VYATAWALA | MAPITO...
    Karibu kwenye Kipindi cha KATAMBUGA cha kila JUMATATU hadi IJUMAA kuanzia saa 6: 00 mpaka saa 8: 00 mchana upate kujua nini kinajiri kwenye mitaa yetu...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750 910) ( +255 657 693 210)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
  • Zábava

Komentáře • 25

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 12 dny

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @rasheedkhalfan2017
    @rasheedkhalfan2017 Před 12 dny +6

    Mama huyo mlezi akamatwe akifikishwa kituo cha police lazma atasema ukweli alipokwenda Sophy anajua aliko

  • @Noah-se3ni
    @Noah-se3ni Před 12 dny +3

    Kosa la mama wakambo ni kumfu kuza mtoto tu, Lakini mwenye makosa ni mama mdogo yeye ndie wakuulizwa vizuri kwa sababu mtoto amepotelea kwake,

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 12 dny +2

    Huyo mama wa kambo ashikwe atasema kla itu mnyanyasaji sanaaaa

  • @SihabaAbdallah-li6dx
    @SihabaAbdallah-li6dx Před 6 dny

    Wengine wanaend kwa wanaume ila sisemi kwaubay lkn waschan wengine wapo kwa wanaume

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před 12 dny +4

    Mtoto alifukunzwa na mama wa kambo akaenda kwa mama mdogo. Mama mdogo akamjulisha mama yake, mama yake alitoa amri apewe nauli aende kwake kwanini bado mnamtuhumu mama wa kambo? Akija patikana kitofauti mkumbuke kumsafisha mama wa kambo. Alafu km ukweli anauhakika huyo mama wa kambo hajui Sophia alipo kwanini asijiamini?. Hata mkinda Police wataanzia kwa mama mdogo maana alimpokea na kuanzia hapo hakupatikana.
    Professional mkiwa watangazaji hamkutakiwa kuchukua side kwenye issue senstive km hii nyie pia kisheria mnayakujibu

    • @missp-dv6qd
      @missp-dv6qd Před 12 dny

      Huyu mtangazaji anatengeneza kesi anaishia kapotelea kwa mama wakamboa anamuweka mamdogo pembeni wakati mapito mwanzoni walisema mtoto kapotea akiwa kwa mamdogo mdogo wake mama sophy

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g Před 12 dny +1

    Mabint zenu wakifika kidato cha pili wanachagua vyakula kabisaa. Utakuna anasema maharage sili, bamia sili mara ugali sili, dagaa sili. Mungu aingilie Kati

  • @zahariawaziri6794
    @zahariawaziri6794 Před 11 dny

    Yan mm kwa kua niliwah kutoroka lakn c kwenda kwa wanaume japo ndugu wote walijua nmeenda kwa wanaume, tatizo mabinti wengi wakifikia umri huo anahitaji kusikilizwa maana wanandoto nyingi halafu wanaona hztimiii so anaamua kufanya hivyo Kimberly ndo anapotea Zaid suluhisho tukae na watoto wetu tuwasikilize wawe marafiki zetu

  • @zainab8251
    @zainab8251 Před 12 dny +1

    Wewe zari uy Sophia kapotelea Kwa mam mdogo wake kwa kufukuzwa na mamaa wa kambo cialifika kwani mamaake mdg alifikisha taarifa kuwa Sophia yako kwangu nyie mutaambika Sophia akipatika kama kwa mwalimu wema

  • @theresiamilanzi5907
    @theresiamilanzi5907 Před 12 dny +2

    Mimi ningeomba baba na mama mlezi akamatw waseme mtoto yupo wapi?

    • @missp-dv6qd
      @missp-dv6qd Před 12 dny

      Polisi hawawezi kuwakamata kwasababu sophy kapotea kutokea kwa mdogo wake mamasophy na sio mama wa kambo ila mamdogo kwasababu ni mdogo wake na mama sophy hawamuhoji why mana saingine mdogo wako wa kumzaa anaweza akakukomesha

  • @fatumadiwani4098
    @fatumadiwani4098 Před 12 dny

    Hata ukisoma mtoto akitaka kufanya jambo lake hashindwi na mzazi ukawa huna la kumfanya na hasa watoto wa miaka hii

  • @rasheedkhalfan2017
    @rasheedkhalfan2017 Před 12 dny

    Pengine huko aliko hakuna network wala hakuna mawasiliano kama ilivyotokea kwa Warda kulikuwa na shida ya mtandao mm wazo langu ni hilo Rashid Khalfan kutoja Oman

  • @user-dx1hz3ow7k
    @user-dx1hz3ow7k Před 12 dny

    Makamateni uyo mama mlezi msipoteze mda aojiwe anajibu shotkati anamanq gani na hizo no zote. Zifatiliwe tu na mtandao mtajua zinatujika zikiwa sehem gn na mtumiaji ni nani mama anajibu jeuli kwa vile not ajazaa yy mkateni uyo

  • @zainab8251
    @zainab8251 Před 12 dny

    Twende nyuma na mbele Sophia kama alikuwa anateseka kwa mama wa kambo ciangekataa kurundi kwa mara ya pili tatizo nyie mko upande moja kwa ushauli tafuteni mtu ache kulaumu imetokea

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Před 12 dny +3

    Mama mlezi akamatwe anajua kila kitu na.anajiamini sana eti popote wampeleke tu kama.kapotea.kuki au mbuzi hana kauli mzuri kabisa

    • @user-df6ui9ro8s
      @user-df6ui9ro8s Před 12 dny

      Kwann wakat kapotelea kwa mam yake mdogo bora angekuwa kapotelea uko saw ila kapotelea kwa ndugu wa mam yake mzaz

    • @user-df6ui9ro8s
      @user-df6ui9ro8s Před 12 dny +2

      Watt wakiingia kweny bareh wasumbuf san wifi yangu mwanae anamiak 16 kapotea unaend mwaka sas mtoto atujui halip kulaum wazaz sio kwel watt haw awasikii usikut yup kwa bwan

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa Před 12 dny

      Uyo mama wa kambo na baba Yao ndo Wana makosa sasa mbona.hawaoneshi ushilikiano na anajiamini sana wamama wa kambo wengine Wana robo mbaya sana.tulio lelewa na wamama wa kambo tunajua ndo maana mimi mwenyewe sitaki kumpeleka mwanangu kulelewa na.mama wa kambo

    • @missp-dv6qd
      @missp-dv6qd Před 12 dny

      Sasa ushirikiano utatoaje na u aonekana mchawi yani nikulelee mtoto toka mdogo mpaka form three uje umjaze mwanao machuki anichukie halafu siku apotee kwa ndugu zako lawama unipe mimi. Huyo mama wa kambo kafanya uamuzi wa busara kukaa kimya mana kuanzia mtangazaji mpaka huyo mama lawama kwa mama wakambo

    • @missp-dv6qd
      @missp-dv6qd Před 12 dny

      Mama sophy hawezi kukwepa lawama kuwa yeyye ndo chanzo cha kuharibu maisha ya mwanae akubali alikosea kumjaza mtoto mana alimkuta yupo happy kwenda kwake likizo ndo kulimbadilisha mtoto na kumjaxa chuki dhidi ya mama wa kambo na ndo mana mtoto akaoosa utulivu na kuona anaonewa kwa kila kitu. Hujakaa na watoto wa kambo wanaoendaga kwa mama zao my dear wanakutaftia sababu hata umpendeje huwa hawaaprecuate hata mama zao huwa hawathamini malezi mtoto anayopewa hata umpende utaitwa mnafki. Mama wa kambo nae mama apewe thamani yake