DADA wa KAZI AIBA MTOTO wa BOSI AKAMUUZE - ''MTOTO WA KIKE MIL 5 - WA KIUME MIL 7''...
Vložit
- čas přidán 14. 02. 2024
- DADA wa KAZI AIBA MTOTO wa BOSI AKAMUUZE - ''MTOTO WA KIKE MIL 5 - WA KIUME MIL 7''...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Boda boda apewe hongera yke umuenzi huyo bodaboda dada
Ma boda boda Wana ushilikiano Sana tena Sana japo baazi ya watu Wana wazarau
Uwiiii isinikute Mimi jmn
😂amuenzi kivp tena
Ndo mana ctaki mdada
kwa kweli bongo inatisha imani hakuna hata chembe wallahi ni washenzi hatati wema ni kidogo sana
Pole dada kizazi kinauma.picha zisambazwe kote Nchi mzima.
Mimi nawaogopa sana wadada kwakweli 😢😢😢
😢😢💔
Pole dada
Dunia imekwisha 😮😮
Jina lake nani na kwao wapi hadi wazazi wake wajulikane
Kwanini siku hiyo hiyo usimpeleka polisi?????
Ni muongo huyo chibonge mvivu wa kunya
@@Kabwela776😂😂😂😂
IMELDA TUNAKUAMINI SANA, HII HABARI NI YA UONGO 100% FUATILIA UTAJUWA SI KWELI NI YA KUTENGENEZA. UTAONEKANA NA WEWE NI KANJANJA UNAPIKA STORY.
Kabisa yaani hata anavyoongea ni muongo. Imelda hapa ameongizwa chaka. Huyo hata RB hana
Dah! Kuna umuhimu kuwa na day care maofisini
Tarifa ya mchongo hii,,,Sasa Kama mtoto alimpata!!! Na huyo binti kwann hakumchulia hatua mda huo,,,afu Sasa anasema anamtafuta,,,,why?????? Mbona sikuelewi kabisa huyu dada
Subuhanallah. Yarabi ss huko anapoendakuwauza wanafanywa nini. Mtihani Allah tunusuru yarabi nahi Dunia
wanauliwa kishirikina
@@sabihaibrahim143 Duu !!!yani wanauwa bidaam wengine.hawanahuruma
Polen
wekeni ma camera kwa nyumba hawa wafanyakazi hawa
Kamera itasaidia nini na akishakimbia ndio itakuonesha anayoyawaza moyoni
Muwache kuajiri watoto kuwatumikisha kama watumwa wenu ni child labour
Mungu atusaidie akina mama mm wanangu nimewalea kwenye baby care na sipatag shida. Wanapofikisha miez 6 tu nampeleka. Mungu awatunze walez wa Hope day care
Iko wap
hivi Hawa wadada wanaoiba watoto wa watu kwann wasizae wakwao wakawauza
Usikute hili ni tangazo la shule la day care na hatujui
Bwana usitake kunichekesha wakati jambo la huzuni😂
Jamani inatisha kabisa nitalea mwenyewe wajukuu zangu
Hao watu wako hapo hapo maana ya masilianiano.
Jamani dunia simamaaaa
Hapo daycare pia ukute watt wanateswa
Maana yeye ndiye mchongo aulizwe walikua wanaenda wapiii
Amechka kwsabbu hakula hakuya hata maji ameubiswa saaaan masin pole saaan
Dada umekosea ungempeleka polisi umemwachia atafanya kwa mtoto wengine
Ni muongo ukimsikiliza kwa makini na alijua ameajiri mtoto anamtumia kwa hiyo angekuwa na kesi ya kujibu , na uongo mwingine hakuwapeleka watoto wake hospitali siku hiyo hiyo baada ya kuwapata
Serikali itusaidie kuwa na vituo viingji vya daycare ili kunusuru haw.a watoto wasiuzwe. Vinginevyo skins mama watashindwa kufanya kazi jamani. Mh. Mama Samia tunaomba ulitazame hili kwa moto wa huruma. Vituo vya daycare vitanusuru watoto.
Basi ngoja nifungue daycare. Nchi nzima
Anaitwa nani kwa majina na nikabila gani ametokea wap
Mbona haukumpeleka polisi sidhani Kama ni kweli
Kosa kumwachia aulinzwe anawauza wapi Kwa ajili Gani
Kwa nn usigemupeleka mdada polisi kama munaingiza vile
Aan kwakwel ndo maana hata choon naenda na mwanangu weee siamin hata sekunde na tunaish nao ndo hivy tu kaz nying ila weng wao washenz unawathamin lkn hawajilew
wewe kama mimi niko nao lkn siwaamini niko na mfanyakazi wa kuja na kuondoka kama yuko siogi mpaka aondoke au nioge kabla hajakuja
Kabisa 😂😂😂😂
Yan na Kaz niliacha nilee Sina aman aisee na Hawa wadada
Hao waliomtuma si wangekamatwa jamani.
polesana mu gumkubwa katuyanusrayake
Ndoma warabu ataukar nao miaka mia awakuamini atadikumoja
Serekali ipo kwa ajili ya siasa tu mtu kafanya mambo yote ayo nabado emeachiwa aise
Haya matukio ya kuiba watoto jamani!! Nakumbuka miaka nane iliyopita jirani yangu aliibiwa mtoto wa kike sasa aliibiwa akiwa na mwaka sasa ana miaka kumi, alipatikana mwanza kutoka tegeta mpaka mwanza siku ya nne
Amepatikana akiwa na miaka 10
Mnaobisha bisheni tu ila tegeta kuna mtu aliiba mtoto wa jirani wa miezi6. Akaenda kumuuza laki2 tu,
Huyu mama anaongeaga aje? Hunamuona,hametoroka,hunamwacha 😂😂😂😂
😂bora ww umesikia
Yaani Dada ungetakiwa ulichome moto dk hiyo2.Cmu iliximwa kichawi na hilo dada la kaxi,ili likisema ulili2ma wa2 waliamini,Kamwangalie kwa maombi huenda ni lichawi.
umesema vyema ni MCHAWI na Huyo boda ni malaika wa huyo mtoto ndio alimvaa boda ili apatikane...Maombi yakazwe wazazi
Kumbe watoto wakiume wanauzwa bei nyingi kuzidi vyakike.nilikuwa sijuwi kweli,kweli😮😮
Kwa iyo na ww pia unataka ukauze watoto sababu ya pesa
ATI BEI NYINGI ROHO IMEMTOKA 😂😂😂😂 NJAA MBAYA.
Usije tu ukaingia kwenye mtego
Lazima atafutwe lazima atafundisha wenziwe kufanya unyama huo
Sasa ashikwe ili wapayikane hao walomtuma wanao kipa pesa
yanihatasijuwiwatu tuishije maanamtuunafanyakazi unahtajimdadawakazi akusaidiye unapoedakazini hujuwi nyumayapaziya kunanini nimtihani
Dada unatutangazia day care!
Kwa upande wng naona kesi haina mashiko km unabisha skilza kwa makini akuna usawa😮😮
Ni muongo huyu dada kibonge kuna Jambo anaficha na ni kosa kuweka picha za mtu mtandaoni wakati ukumpeleka police na hamna ushahidi wa maana
Mbona ww unamtetea sana huyo mdada wakazi au unaijua hii story kwa undani zaidi@@Kabwela776
Kwann msimpeleke police time hiyo hiyo mlipomshika?
Ni muongo huyu kibonge na ana uovu wake alimfanyia huyu mtoto kwanza ameajiri mtoto mdogo kumtumia kama mtumwa wake
Yaani hata mahojiano yalipaswa kufanyika police
Ni uongo bhana. yaani usimpeleke polisi kweli? Eti majirani walimuona anatembea haraka sana. Kwann wasifuatilie? Acheni uongo bhana
Alitoroka akiwa mikonon mwa nan
Story haina ukwel hii anaejieleza haeleweki anachokiongea
Jaman mtengu mbn kwangu uwii namm nipo na mfanyakaz mnhh bora umesema tujitahadhar
I nashangaza kwanini hawakumpeleka polisi ns yeye alisharipoti polisi.
Ni story ya kutunga mnalishwa matango pori ni Wale wenye ubongo wa kuku ndio wanaweza kuamini huo uongo upuuzi
Anaonekana tu mtu mbaya ki roho na.alisha kua muhuni watu tumefanya kazi za ndani tena mshahara mdogo na mpaka sasa tunawasiliana na kusaidiana tena miaka mingi
Hii ni story ya uongo ambayo nia ni kutangaza biashara ya hiyo kindergaten kwamba mnaweza kuwaacha watoto wenu mkienda kazini nani asiyeijua Tanzania walivyo maana story ya huyo dada kibonge ukiwa Na akili unaona ni muongo huwezi kumkamata mwizi wa mtoto wako usimpeleke police na watoto wako umewapata usiwapeleke hospitali siku hiyo hiyo je kama walikuwa wamelishwa kitu kibaya, na mara anasema alimchukua mtoto wa kazi akiwa Na miaka 18 ameishi naye kama miaka 4 na akiulizwa miaka yake anasema ni kama almost miaka 22…. Kama ana miaka 22 ina maana Hana uhakika Na miaka ya huyo mtoto … mtoto ukimuangalia sio miaka 22 ni miaka kama 16 au 17 ina maana ilikuwa child labour Na inaonekana alikuwa anamyanyasa Na ametumia defensive mechanism ili kusema nitawaonyesha video jinsi tulivyo Na Bond nzuri ili kuziba uovu wa huyo mwanamke kibonge mwajiri😅😅😅😅
We unamfahamu?
Mmhh mbona hii kesi haija kaa sawa 😢
Ni muongo huyo libonge tipwa tipwa livivu la kunya
SASA YULE BODABODA ALIYEKUA ANAWASAFIRISHA HUKO WAPIIII
serekali itamuachia vipi mtu huyu wasimtafute akawasema hao walomtuma
Hili ni tangazo la shule usituchoshe sisi na upuuzi wako kwaza kwanini majirani wakuambie usimuache mtoto na mdada ukaona upuuzi iyo ni shule unatutangazia bhana aya tutawaleta watoto wetu
Tangazo hilo
Wafanya kazi sasahv ni mtihan taadhar inaiitajika kwa waajiri
Huyu mwanamke ni muongo kabisa nahisi anataka kumchafua huyu mtoto kwenye mitandao au hii stori feki global tv wanamlipa huyu kibonge yaani mtu akuibie mtoto wako umkamate halafu usimpeleke police halafu watoto wako uwapate usiwapeleke hospitalini kuna vitu anaficha huyu dada na alijua anafanya kosa kisheria kuajiri mtoto na kuna mambo mengi anaficha kuna unyama mtoto amefanyiwa akajua akienda police huyo mtoto angesema na ni under age under 18 na hiyo ni child labour.. Mijitu mingine ona hilo dada chibonge yaani unamtumikisha mtoto under 18 anaonekana mdogo kabisa na bila aibu linakuja kuongea kwenye vyombo vya habari, ingekuwa nchi za kistaarabu kwanza umewekwa rumande na kufunguliwa kesi ya kuajiri mtoto child labour , kama uko responsible mother ungeacha mtoto alee watoto maana wote ni watoto na mtoto hana rational decision making ! Acheni kunyanyasa watoto wa wenzenu na kuwatumia kama watumwa wenu please let’s children be children because they have rights to be children in this world 🌎!!!!
Don't judge hujakutana na mdada mshirikina wewe anawaloga hadi msahau
wadada wa kazi ni mateso sana sasa hivi
Mkome huko Tanzania 🇹🇿 ya Mavi kunuka nchi ya mashunzi kuajiri watoto na kuwanyonya muwalipe vizuri na muwe na utu muache kuwanyanyasa , kama huyu kibonge mvivu wa kunya ameajiri mtoto ni child labour hiyo ni kosa kisheria na halioni hata aibu kumtumikisha mtoto kumlelea mtoto wake lenyewe ni livivu tu lingeweza kufanya kazi nyingi mwenyewe!
Omba yasikukute, usiropoke tu 🥹🙄
Sasa huku we unajua jinsi mshahara ilivyo mdogo
@@arafawilliam2142kwa hiyo kama mshahara ni mdogo ndio mtumikishe watoto huoni huo ni unyonyaji na ni utumwa angekuwa mtoto wako anatumikishwa ungejisikiaje ni kosa kuajiri mtoto
Ww dada mshenzi unamtafuta wap apo ulipokampata ungempeleka polisi lakin ulimuachia huna hakili naakuna unachoongea umemkamata bila kumpeleka polisi eti nilimuacha namjib hayo aliyokujib bado unamuacha duh sion unachoongea umemuachia kusudi ww
Ni kwanza yeye ana kesi ya kujibu ni child labour na ukimsikiliza kwa makini ni muongo huyo dada kibonge kuna mambo anaficha , na ni kosa kuweka picha za huyo mtoto mtandaoni wakati hakumpeleka police anaweza kushitakiwa kwa kumchafua huyo mtoto !
Muongo huyu na mashavu yake
@@dorahmcharo3083 ni kweli ni muongo kabisa huyo kibonge mvivu wa kunya
Huyu dada ilitakiwa abanwe ataje msururu wote.kuna watu nyuma yake.lakini imelda na wewe unashindwa kuhoji.swali la kwanza ilitakiwa unlike alimpata wapi?
Wakati mwingne nyinyi wenyew wanawake mnasababisha wadada wa kazi wawafanyie ukatili watoto wenu wengi wenu mawachukulia kama uchafu na wakati huo mnajisahau kuwa dhamana ya watoto wenu iko mikononi mwao mnapokuwa mmeenda kazini ndo unakuta sasa dada wakazi analipiza kwa mtoto syo vizur wanavyo fanya ila wanafanya kutuliza machungu mnayowafanyia syo maboss wote ni wabaya ila wengi wenu hamfai kabsa
We Bado mtoto sana uwajui wadada tunakusubiri ukuwe kidogo, tusome cmmnt yako
@@wineththomas4803 niko na watoto wawili hapa nilpo na nna miaka 30 kwahyo nnachokisema nakijua vizuri sana sijakurupua waajiri wengi ni wakatili mno usinibishie hata mishahara wakat mwingne hawalipi
Mmmmm wadada changamoto sana jamani ebu usiongee kabisa mdada unaweza ukampenda ukamchukulia kama ndg Yako au mtoto wako lakini anabadilika gafla tuu
Ni kosa kuwatumikisha watoto wadogo kuwa watumwa wao kuwatesa na kuwalipa mshahara mdogo wafanyakazi wengi wa ndani Tanzania wanateswa na kunyanyashwa na waajiri wao huwezi kuajiri mtoto hiyo ni child labour !
@@Kabwela776eee jamni kila coment unajibu vibaya wew bila shaka huyo dada wa kazi ni ndugu yako
Huyu Dada ni muongo na hii story ni ya kutunga eti alimleta Ndugu yake akae na mtoto pamoja na Dada mara nimpeleka mtoto kwa Dada yangu Boda akamuona anatembea haraka haraka. Mara majirani walimuona akasema anabembeleza mtoto. Kisha akamkamata akamuacha mahali alafu msichana akapotea. Mara nikapewa bei za ada ya shule na Madam Joy ambae ni Boss wangu. Ina maana accountant hujui ada ya mtoto? Huu ni uongo.
Huyo kibonge aliyenenepeana kama anakula Mavi ni muongo ni story ya kutunga ila watanzania wengi ni mapumbavu majinga wanaamini huu upumbavu uongo
Huyo kapewa comission amtangazie boss wake hiyo shule siku hizi mitandao na hawa waandishi uchwara si wa kuwaamini wakikosa story wanatuletea za uongo kuongeza mapato ya views😢
Weeßßf
Huyu dada kibonge kama chura haoni hata aibu kumfanyisha kazi huyo mtoto amlele mtoto wako anaonekana Hana miaka 18 , hivi Tanzania hamna serikali hiyo si child labour, na mnaweka picha za watoto kwenye mitandao si kukiuka haki za watoto , huyo mtoto alikuwa ananyanyashwa na unaleta one sided story kutoka kwa huyo chibonge tipwa tipwa mvivu wa kunya
Kwaiyo Ata akiwa ananyanyaswa ndo kutaka kuuza mtoto, acha kutetea upumbavu wewe
@@NajmaLema kwa hiyo wewe ulitaka afanyeje kwanza kwa nini ameajiri mtoto mdogo wewe huoni ni kosa hilo ni child labour , ni mpumbavu tu kama wewe anaamini one sided story kutoka kwa huyo kibonge, huko Tanzania mmezoea sana kuwanyonya wafanyakazi wa ndani na kuwatumikisha kama watumwa wenu shame on you !
Jamn muwe munasikiliza had mwisho amesema ako na miaka 22
imelda umeahindwa kumuuliza huyo dada kamtoa wapi?
@@mokeya Hana miaka 22 huyo ni miaka 16 au 15 unafikiri atasema ana miaka chini ya 18 si anajua ni kosa kisheria , anaonekana ni mtoto kabisa
Huyo mwajiri ukute alikuwa ana mnyanyasaji Na hamlipi mshahara au mshahara mdogo kazi nyingi anafanyishwa kazi kama mtumwa, Tanzania ingepitisha sheria ya mshahara wanaopashwa kulipwa wafanyakazi wa ndani na watambulike kama wafanyakazi wengine na mshahara wao uwe unalipwa benki ili kukwepa kutolipwa mshahara wao kutokana na sheria ya mshahara wa wafanyakazi wa ndani !
Hayajakukuta ndo maana unasema hivo subir yakukute ndo utasema kumbe ndo wako hivi hata uwape million lkn wadada hawajielew wengi wao
@@khadijaahmed4713sio kweli mkome kuajiri watoto na kuwanyonya muwalipe vizuri na muwe na utu muache kuwanyanyasa , kama huyu kibonge mvivu wa kunya ameajiri mtoto ni child labour hiyo ni kosa kisheria na halioni hata aibu kumtumikisha mtoto kumlelea mtoto wake lenyewe ni livivu tu lingeweza kufanya kazi nyingi mwenyewe!
@@khadijaahmed4713Kuna mtu aliwahi kiniambia hivyo, niliishia kumuachia MUNGU, Alichokuja kufanyiwa na dada wa kazi hakuamini macho yake.
@@sabinaluyego4408Mkome kuwanyanyasa wafanyakazi wa ndani muwalipe vizuri Na Mkome kuajiri watoto wadogo ni child labour na muwe Na utu msiwafanye wafanyakazi wa ndani watumwa wenu
😢
Jana nime kuona dada imelda mtema pale mikocheni tanesko ukiwa ktk pikipiki jioni sakumi nambili kasoro
Jamani hadi ukasema kwenye pikipiki😂 ungesema tu umemuona mikocheni Tanesco. Yeye angejua ni kwenye boda boda.