INAUMA! MUME AMCHINJA MKEWE MBELE YA MTOTO WAO MCHANGA USIKU WA EID...
Vložit
- čas přidán 23. 07. 2021
- INAUMA! MUME AMCHINJA MKEWE MBELE YA MTOTO WAO MCHANGA USIKU WA EID...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY: shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Mungu simama na taifa la Tanzania cjui tunaelekea wapi jamn 😭😭😭😭
Subhanna Allah sijui tunaelelea wali Tanzania ile nnayoijua mimi nguvu zimeniisha
Magufuli weeeeee Baba upo wapi?
Ila asilimia kubwa ya wabongo ni watu wakatili sana sijawai ona wabongo ni sawa na wa south afrika kuua watu ni mambo ya kawaida sana na sio hatari Mwenyezi Mungu badilisha roho za majitu haya wawe watu wema.
@@mamjubran774 wewe wabongo sio Kama south Africa..uwongo mtu ,,kila mtu na roho yake ..Kama wewe katili peke yako..mbona watz hawana matumie Kama waafrica wengine,,tembea uyaone
@@shamilahussein5294 12³4
Daaaa skia kwa mwenzako yasikukuteee daaaa hinauma😭😭😭 mwenyezi mungu awafanyiee wepes😭😭
Ameen
Yah Allah tunaomba simamia Tanzania 🇹🇿 yetu
Hudhun yatanda mswaha mazikon. Pole kwa mama kadaya na familia nzima.
Magufuli I miss you baba mbona toka uondoke mambo hayaeleweki eeh mungu tunusur na haya
Nihatari mno kama laana jamani
Mungu anawaona waliomuondoa laana inaitesa nchi na tunaoteseka ni sisi as if shetani ndo anatawala Tanzania
Tatizo.sio magufulu kuondoka bhna
Innalilahi wa inailaihi rajiun...mkishindwana achaneni jmn isifike huko 😭
Kabisa
Mungu simama taifa ili cjui tunaelekea wap jaman🙏🙏🙏 mungu tusaidie
Kabisa
R.i.p. Poleni xana wafiwa mungu aifanyie wepesi familia
Muandishi wa habari maswali mengine hayafai eti mtoto mchanga saaii ata fanya nn Allah yuko nae In Sha Allah atakakuwa kwa nguvu za mungu
Poleni Sana wafiwa,Rip
Subhannah Allah 😭😭😭yani Mbona binaadamu wamekuwa wanyama hivi😭😭😭 Allah ampe kauli thabiti na amsamehe makosa yake ya siri na dhahiri
Jamani mume wa kwanza mkishindana tutulie tulee watoto
Nimejifunza kitu😭😭😭😭😭🤲🤲🤲
Mmesahau kuwa mlimchoma moto zunguu auu
Inalilai walnalilai rajiuni Mwenyezi Mungu hamsamei makosa yake
Jomon pole mtoto wangu bora hajawazuru maana analaana huyo pepo aende kuzimu nawivu wake
E mwenyez mungu tusaidie tulinde sisi wanao na taifa kwa ujumla
Allah ape kauli thabit marehemu na awatie nguvu wafiwa malipo duniani damu ya mtu haiendi bure
Binadamu hawana tena hofu ya Mungu.Mungu atusaidie atupe roho ya huruma kwa binadamu mwenzetu.
Raisi mwenyewe sijui ana kazi gani RIP Magufuli
Acha hizo,Rais wetu Hana shida,acha lawama za ujinga
Mfuate magu mjinga wewe mnakera km nini RaisRais ulitakaje ndoa za watu anajuaje yanayotokea
@@marychami1700 yn amaanishi hv jmn matukio mengi halafu watuhumiwa hawashughulikiwi kama raisi ni wajibu wake kuhakikisha kila yupo.salama
Wewe kijana ni jasiri sana😭😭pole sana mdogowangu Na umeachiwa familia naamini wewe kwa kuona tukio , utakuwa umejifunza Na utawalea wadogo zako, mungu wetu ni mwema halali wala hasinzii, pele kijana Na familia kwa ujumla
Yaani nalia hapa. Walikuwa na familia nzuri jamani. Binti Kazan Moyo endelea mgahawa wa Mama yako jamani hawana Mama Mdogo au mkubwa wa kumsaidia kutunza mtoto. Poleni sana
Waandishi kwanini hamtaji jina la mtuhumiwa na kuweka picha yake viUri ili mtu aweze mtambua huko mitaani alipo jificha ?
Jina si kalitaja jinalake Nassib napicha niyo apo inaonesha sikiliza mwanzo utasikia jina nassib Napicha nihiyo hao ya mwanaume
Wakwe jina
Mbona mauwaji yamezidi Tanzania?? RIP kipenzi Magufuli yote yalikoma
Wacha ujinga ww au umenunuwa simu utawala wa samia mbona hajajizuia yy kufa ?
@@kishingokishingo1840 shetani yuko kazini
Mungu tunusuru
ACHA KUSEMA HIVYO MBONA NAPO WALIKUA WANAKUFA WENGI NA WATU WASIOJURIKANA
@@kishingokishingo1840 ndio ushangae imebidi nicheke🤔
Shetani yupo kazini tumwombe mungu majaribio haya yapite katika jina la yesu kristo
Amina 🙏🙏😢😢😭😭😭
Amina , dah!! Mungu awatie nguvu sana
Poleni sana nimeumia jamani 😭😭
Mwisho wa Dunia ndo huu sema siku bado haijajulikanaa😭😭 maana kila ukifungua CZcams kama hujaona watu kuchinjana utaonaaa magonjwa ya ajabu kwa mtu dah MUNGU simama
Mwisho wa dunia bado sanaaaaaa UNGEBAHATIKA KUISHI IRAQ ndio ungeona maajabu yakutisha
@@activestudios. wew nimpingaj kwamaana hiyo unamaanisha siyo siku za mwisho? kila eneo linachangamoto zake ilani au iraki haiwezi kufanana na Tanzania au kenya point yangu nikwamba kiufup tunatembea katika siku za mwisho imebakia tu siku yamwisho yakuhukumu waliohai na waliokufa
@@edimundelfazi5049 una huakika gani au upo ndoyoni unaota
@@rogermomodesty3568 kweli kiama kinakalibia
@@edimundelfazi5049 sawa tutaona iyo siku ya mwisho unayoisemea AMINI USIAMINI bado hujaona mambo ya kustaajabisha na hapa tulipo NDIO KWANZA DUNIA MPYAAAAAAA yani utakaa mpaka utazeeka utaachia wajukuu zako dunia nawao watafanya hivyo hivyo.
Subhanaallah mungu wangu wa tanzania kumekuwa nini duniani yaarabi kuuwana kama kuku kweli 🤔💔mungu wangu tusaidie jamani 🙏🙏🙏🙏🙏
Allahumma amiin YARABB wajina
jamani kawadhulumu watoto mama yao mtoto mchanga hivyo hakumuonea huruma . Allah ajaaliye apatikane husda mkubwa .
Daaaaah Aya Matukio ya Mauwaji Yanazidi Kunitisha Mpaka Naokopa Tanzania 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Kwakweli Nikuomba kweli
Eeee mwenyezi tunakuomba utunusuru waja wako na madhira ya dunia 😭😭😭🙏
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu. poleni sana ndugu na jamaa. Allah amuhukumu aliyekatisha uhai wa mwenziye.😭😭
Pole mama g umekufa vibaya Ndungu yang ila malipo ni hapahap duniani baba g atalipa kwa hili damu ya mtu haindag bule
Maskin dunia inaelekea wp jmn😭😭😭😭Innalillah wainna ilayhi rajioun 😢🥺
Ok 👌 🆗️ 🙆♀️ 👍 🆒️ 🙆♂️ 👌 🆗️
Tatizo kutokumjua mungu imani imepungua watu hawamuofu tena mungu mimi mwenyewe nilicho fanyiwa na binti mmoja toka tanga alafu anajiita more fire 🔥 unategemea mwanamke kama uyo unamfanyaje
Mung teta nawanao ten nawe
@@naomindalummmhpolen4393 amina 🙏
Kafanya nini tujifunze na sisi
Poleni wanangu m mungu awape subira
Jamani tuwe na hofu ya Mungu ndani yetu maana haya matukio yamezidi 😭 poleni sana kwa msiba 😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😭 Sina neno Zaid ya kusema Ee Mungu Tusaidie ss waja wako ambao hatujui kesho yetu..Inahuxunish mno binadamu wa leo
Mm naon tume yaka nyaga
Daah inauma kweli had choz limenitoka eee mungu tusadie ss wanao jaman dunia inakwenda wap mahas yazid polen Sana Wana familiya
Ee Mwenyenzi Mungu tusaidie ushetani huu uishe
Poleni sana mungu awapesubra
Pole sana baba yangu
Jamani dunia ya kuuana tu!! 😭😭😭😭😭 Mauaji mengi !! Poleni sana wafiwa! Inasikitisha!
Sasa hv matukio ni mwendo mmoja, kuua imekuwa jambo la kawaida.Mungu tusaidie.
Subhanallah
Mbona mauwaji n MENGI jaman mtaacha sie wenye atujaolewa tuogope jmn juu uwez jua mzur n yup na mbaya n Nan jaman moyo WA m2 msitu jaman
Hutajua endapo maisha Yako niya hovyo kwamfano mwaume kakutongoza umesha mvulia nguo lakini kama utaishi maisha ya kumcha mungu kabisa achana nahawa washikika dini tuu lakini mioyo Yao imeoza Sasa wewe ukajitoa Kwa mungu waukweli nakujitunza anakupa mume wamzuli au mke mzuri nihayo tuu
Mi ctak kuolewa looh
@@jescajulius8023 iyo ndio faida yakuchepuka ali yakuwa unamumeo au mkeo.tulieni kwenye ndoa zenu duh😭😭😭
Yaan wew kama bdo hujaolewaa tu tulia tu ndoa zinawaka moto huku.
@@hasinarashid5059 mbn nyie mnatuchoma moto hatujaacha kuwaoa!!😂😂😂
Poleni sana kufiwa wote, Mungu mwenyewe ajionyeshe kwenye maji hayo mazito
Hawa wanaume wnatuhuwa sna jamn 😪😪😪😪😪😥 ila damu ya mtu inatembea malipo ni hapa hapa duniani damu ilomwagika atailipa polen sna wadog zangu Mungu yupo nanyi😥😥😥
Daah 😭😭😭😭😭😭Jmn mungu tu nahitaji neema yako Tanzania
😭😭😭😭Poleni ndugu zangu Allah awape moyo wa uvumilivu Allah ata waekea penzi ndugu zangu yatapita tu
Innalillah Wainairah rajiun
Inna lillahi wainna ilayhi raajiuun
Subhana allah poleni sana ndugi zangu
Poleni sana ndg wa marehemu kwa mcba huu wa kusikitisha
Subhhannah Allah Allahu akbar Allahu akbar
Kila kukicha ni matukio ya kutisha eeeh mwenyezi mungu tusamehe waja wako ingilia kati juu ya haya yanayotendeka,shetani anafanya kazi yake, Mungu tulinde Tz mauaji yamezidi uuuwiiiii!!!
😭😭😭😭😭😭Mungu ampumzishe kwa amani poleni sana familia Mungu awatie nguvu
Mwezi wa 7 umekua na matukio yamauwaji mengi TZ...poleni sana ndugu Inasikitisha 🤦♂️poleni xna frm 🇰🇪
Sn Plen sn ndug zng
Na nyie pia Kenya nasikia kuna magaidi wameingia huko
Na nyie poleni sana ndugu zetu wakenya
@@sukariyao6537 Asanti ndugu, 🤲Mungu atuepushie mabaya naatupe imani ktk nafsi zetu inshaallah
Jamani inauma sana kwann kwann tumekosann 😭😭😭🙏🙏🙏mungu awatie nguvu wanangu
R.I.P.Marehemu.Poleni Wafiwa.
43yrs masikini katolewa uhai bila sababu jamani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭yani mtu anaeza juta kuolewa mara pili lkn nivile mtu hajui nn kitamkuta mbele
Mhh unasema uolewe usitirike na kulea watoto wako kumbe ndio umauti unakuita jamani binadamu tumekua kama wanyama ukitazama wanyama kwakweli wanasaidiana siosisi ukija kwa wanawake wakizaa wanatupa watoto huku watu wanachomana moto bilauoga wanauwana kwarisasi kama kawaida mauwaji yamekua jambo lakawaida mara watoto wabakwe vikongwe wabakwe ukatili ukatili tu tumuogope mungu jamani kunahukum huko duh
subhanallah
Jamani Mungu atunusuru na majanga dunia imefika mwisho poleni kwa msiba
Innallillah Wainailayhi rajiuun
Mke na mume mkiishi kama marafiki unainjoy sana kama mm na mke wangu kama marafiki
wana tamani kutajilika kwa damu zawenzie mungu anawaona
Mungu isimamie tanzania mbn matukio ya mauwaji yanazidi kila kukicha mungu atusimamie huyu shetani azidikushindwa
Mtaala wa mahusiano uwekwe kwenye sehemu ya masomo kwanzia msingi hadi chuo kikuu maana hii imezidi cyo kwa mihemko hii
Tz machafuko yamekua mengi sana toka magufuli aondoke nchi imegeuka kwa damu Rip auncle Magu tutakukumbuka daima
Mimi mpaka naogopa kuishi na mwenzagu silali nawaza haya matukio Hadi napatwa na hofu 😭😭😭😭 maana moyo wa mtu kichaka akiludi hujui anawaza nn
Lala na mtungi wa gesi kitandani maan saiv hakueleweki😂😂😂
Ety moyo wa m2 kichaka😂😂😂 nacheka kama mazuri
Cna Amani kabisa kwakweli binaadam anatoa uhai wa mwenzake kama anachinga kuku!!m/mungu tunusuru yarrab,
😳🤣🤣🤣🤣 jamani hii comment nimecheka sana kma mazuri vile ndio muache sasa umalaya wenu
@@sukariyao6537 mwambie mungu akusame sizani wanaokufa kikatili ni umalaya ko nayule wa msoma alie uwa mtoto wa mwaka alikuwa anafanya umaraya shetani yupo kazin kama hujui nikuomba Sana
SUBHANALLAH, Kuna ibilisi gani huko daressalam Jmni, maana mara watu wachomana ndani ya nyumba, mara watu kudungana visu naona hivi visa yazidi tu jmni
Mung atunusulu
Mungu tunusuru
Ee Mungu,tutetee hizi ndoa zimekuwa vita mpka inafikia hatua shetani anamuingia mtu mpka kumuua mwezi wake bila huruma,tupiganie Mungu wetu
Dah😭😭😭😭😭haya matutukio mpaka lini jamani Eee Mungu tusaidie waja wako 😭
Watoto wanatia huruma 😰😰
Asante mungu umeniepusha maana hata mm ningezid kuvumilia yangenikuta haya polen sana familia
Mungu tusaidie
Jmn watanzani..ukimalz hbari hii kwaj nyengin zoth mauwaji...ilaa polen sn wanafamilia..mwenda zake Allah amstri mahala pema penye wema peponi
Pole sana Baba yangu Mungu akutie nguvu
Mungu awazidishie subra,wakti wenu huu mgumu
Mungu unilinde nami natafutwa na bwana wangu eti aniuwe kilasiku anafungwa anafunfuliwa yaani muniombee sikumoja asinikute mahali hakuna watu aniuwe 😭😭😭😭 from Amerika
Kwann anakuwinsa dear
Washukuru watoto waliachwa salama, vinginevyo wangechinjwa woye
Yaan umewaza kama mimi hapa
Daaa polen sana ndungu zangu inauma lkin tumuachien mungu
Mungu anamuona
Mungu tujalie mwisho mwema. Dunia ina mambo mengi machungu sana.
subhanallah subhanallah Inalillah wainaillah rajiun
Bora.tukukaabila.mume
dah mwanaume kukaa bila awezi na mwanamke bila mme hawezi tatizo la watu siku hizi iman imetoweka
@@asha.mwambamwamba1774 mi nakutaka sasa...!
Watanzania tulio hai tujifunze kusamehe alaka ukiona yamekushika shingoni basi yapotezee kuliko kufanya yasiyo pendeza katika jamii na kwa MWENYEZI MUNGU ,najua ugumu wa maisha unaweza kuchangia kwa kiasi Fulani lkn ,ndugu kijana umepewa moyo mlaini na kichwa cha kutafakali kwanini uyashike Matendo ya uovu na kikatili ,, jamani Watanzania wote tuludi kumuomba Mungu msamaa wanaume kwa wanawake mimi nafikili hii ndio njia sahihi ya kuludisha AMANI Tusimbebeshe mzigo huuu Mweshimiwa rais Suruhu Hassan kwani yeye anatuombea Watanzania wote tuishi kwa utulivu ,,,,mimi yangu ni hayo tumekaa mbali na MWENYEZI MUNGU ,tumezifuata njia zetu wenyewe..🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Poleni Sana wafiwa jamani yaani mpka tunaogopa kuolewa jamani mauaji yamezidi jamani innallila wainna illah rajun mungu akulaze mahala pema peponi dada yetu 😭😭Dunia imehalibika jamani mala kuchomana moto mala kuchomana visu mala kupigana risasi mungu tunusuru walai binadam tumekuwa wanyama
Poleni sana wafiwa matukio kilasiku chanzo wuvu wa mapenz
😭😭😭 inauma sanaaa
Mtoto anaujasir anaongea kama hayajamkuta ila kama mwanaume nimdogo kuliko mwanamke
Apo kwenye moyo wake uyo mkaka anamaumivu makubwa sanaaa
@@neemaegnatio7725 piah anaujasir mwingine ingekua nikulia TU DU kama mie ndo siwezi kabisa kuzungumza
Mpaka apo wamelia san jaman shida tulio pata kubembeleza hawa watoto acha tu
Maumbile tu
Huyo siyo mume katili mungu anisuru na mume huyo katili mshenzi mungu alani atakapokufa mungu atiye motoni maisha dhalim huyo
Inalilarajiun mungu wangu Tanzania kwani tunaelekea wapi jmn maana kilasiku mambo ya kuuwana jmn 😭😭😭😭😭😭😭😭 naogopa sana jmn kuuwana kila siku jmn mungu tulinde 😭😭😭😭
Pole sana
Mungu tunaomba Toba kwa ajili ya nchi ya Tanzania
Eeeeh mungu tunaomba utuhurumie sn😭😭😭maana now binadamu tunaogopana kuliko mnyama
Mungu wangu.
Ugumu wa maisha ukizidi watu Iman zinapotea
Subhannallah
Subuhanallah mbon inakuahiv??🤦♀️😔
Daaah hiii dunia inapoelekea mungu ndo anajua 😔😔😔😭😭😭
Poleni Allah awape subra
Innalillah wainna illaih rajiun
Handeni kwetu huko
Poleni Sana
Watoto wameniumiza moyoo..😢😢😭😭😭wamama achen vibenten..
Mimi niriondoka kwamume wangu baada yavipigo kero ugomvi usiokwisha nikarudi kwetu kipindi icho nikiwa namwanangu mdogo akiwa namiezi 9 nawasihii wanawake wezangu dunia imearibika binadamu wamegeuka kuwa maiziraeli watowa roho za watu ndoa ikikushinda Rudi nyumbani iwe kijijini iwe dar iwe porini rudini makwenu msivumirie vipigo msivumirie manyanyaso kwani maisha kokote pare 😭😭😭😭😭 Rip pumzika kwaamani 🙏
Ckukuu imemshnda ndo anaua ...may her soul rest in peace
Innalilah wainna ilahi lajihun
pepo limeingia ulimwengu kweli tuzidi kuombeana waah poleni sana wafiwa 😭😭😭🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺
Mungu simama na sisi matukio mabaya kila kukicha
Mbona matukio yamekua mengi sasaivi kwann ile Sheria ya atakaeua kwa kukusudia naye anyongwe isifanye kazi jamani why tunaelekea wapi
Ashukiriwe Mungu hajamwaua watoto