MTOTO ATAKA KUMUUA MAMA YAKE na KWENDA KUMTUPA BUZA - AJICHOMA BISIBISI ya TUMBO na SHINGO AFE!
Vložit
- čas přidán 31. 03. 2024
- MTOTO ATAKA KUMUUA MAMA YAKE na KWENDA KUMTUPA BUZA - AJICHOMA BISIBISI ya TUMBO na SHINGO AFE!
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
dah laana gani hio kijana kuuwa mama yako hautakuwa salama tena katika maisha yako
Aisee kweli damu ya mtu ni nzito Na haipotei bure jambo kalifanya Kwa Siri lakini Bado kajulikana
Mwenyezi mungu tusaidie na hivi vizazi vyetu mtoto umzae mwenyewe kwa uchungu aje tena akuue mmmmh jamani inaumiza sana
Innalilah wainnailah rajiun😢😢 watu wanataka wazazi warudi wawafanyie mema huyu anaua mama 😢 kama umesikitishwa na hili like
5:15 5:18 5:19
😢😢😢inallh wainaillh rajiwona
Si ungeandika tu jmn sio mpka like kheee
Silazima mpendwa
Kulike tena😂 khee
Laana iyo wenzio wanataman mama zetu wabak wewe unamuuwa mungu atakulipa
Mmmh tuzae tu Mungu ndio anayejua
Nimekata tamaa ya kuzaa, Mungu tunusuru
Kichwa cha habari sasa
Anataka kumuuwa au ameshamuuwa
Yaan Hawa waandishi bogus
Yani mwenyewe sijaelewa
Hata ayaeleweki yasemwayo mara kachukua mwili naakufa mara alila wapi mara awaeleweki
Ahsante kuliona hilo . Nilikuwa najiuliza hivyo hivyo .
Innalillah Wainna ilayah Rajiun 😭😭😭 inaumiza sana MUNGU ailaze mahala pema peponi mama huyu
Duh angejua kama uyo mtoto ake atamuua angeitoa tu iyo mimba
Hahahaàa kweli kabisa
Aky usilo lijua nikama usiku wa giza
Alikua anataka kumbaka mamaake uyo mashalti ayo
😢😢😢😢mama mama mama hana maisha tena😢😢😢 khaaa
Ila jamani mmeshasikia kelele anasema ananiuwa mmelizika na maelezo yake wanadam sasa hivi wana roho mbaya
Mama wa watu kafa kifo cha kikatili sana na Mungu ailaze Roho yake mahali pema
Ameeeeen 🙏🙏🙏🇰🇪
Ameeen.
Ilp
😊O
Mtangazaji punguza pombe Kali. Sura inaonesha Sungura Konyagi zimekuathiri sana
😂😂😂😂
😂😂 akili huna
😂😂😂😂kheee
Duuù makuvwa
😅😅😅😅Nhuuuuuuuuuuu!!
Kweli kuzaa siyo kupata!
Yarab tupe vizaz venyeher na ss 😢 auliwe t nayeye alikisasu haku hafay ktk jamii
🇰🇪 samahani ila hapa nina swali kwanza inakuaje mtu anauliwa na kuna majirani then 2 inakuaje mtu anapakiwa kwa pikipiki kama amekufa hio time yote na majirani walkua wapi na walikua wanamushuku 3 mbona hawakukiza mama yake yuko wapi hapo siamini hii story hatakama majirani wangekua mbali wakesikia hio kelele inaeezekana hii ni story za jaba.
Mama mwenye nyumba bogaz, majirani bogaz, kichwa cha habari bogaz, maelezo bogaz!
Umekiona kichwa cha habar
Sikiliza maelezo.Usivuruge mada.
DUNIA UMEKWISHA VITU VIGUMU KUMUUA MAMA MZAZI VIJANA WATU WANAELEKEA WAPI? WAKITAKA UTAJIRI WANAUA FAMILY WAKIFUTA NA KULEWA WANAUA WAZAZI TENA MUNGU WABALIKI VIJANA WATU WA TANZANIA ☝️☝️☝️🤲🤲🤲
Dah aise nini hii,kwanni vijana tunakuwa hivi hata kama kunashida fulani hama ondoka kaishi mbali naye 😢😢😢😢
Kweli kabsa kaka angu mzazi wako hata kama anamapungfu mzoeee ndo kakuzaa😢😢
Jamani mtu anapiga kelele nyie mnarudi barazani badala ya kumsaidia jmn
Matani yakizidi yanamazara san😢
Huyo kijana ni mvuta bangi jamani 😮😮
Sasa nyinyi mmefika kwenye tukio harafu mkaondoka mkarudi barazani mlishindwaje kumwambia funguwa mlango Ili mjue Nini kina endelea yaani watu wa uswahili ni shida sn ha!
Tupo wepesi wa kuamini tunayoambiwa.Badala ya kuchunguza ukweli wa mambo yalivyo.huwa HATUJIONGEZI.
Jaman mungu atusamehe sisi watoto ambao hatujielewi mungu tusamehee
❤huyo mama HATA anayoongea hayaeleweki
Mama uyo mungu amweke mahari pema peponi inasikitisha sana Au uyo kijana Ana vuta unga na bangi
Mimi mwenyewe nimeshikwa sitofahamu 😂😂😂
Uwezi juwa labda sintofahamu imemshika kweli.
Mungu tusaidie dunia inaisha😢
Inalilah wainalilah rajighun
Tatizo hii hukumu ya kunyonga haitekelezwi katika nchi hii.
Wanakwambia haki za binadamu
. Ni upuuzi kweri, ndo maana mauwaji hayaishi kl sk.
@@user-lt1bi5nr1x Haki gani mtu anaua mwenzake kwa kusudi na hajaona kama mwenzake anayo haki ya kuishi.
Hawa watu wapuuzi,kwann usipigesimu polis?
Mzazi hauwi mtoto hta kma awe kwenye wakati mgumu ila mtoto anaua mama yake mzazi 😢😢.
Inalilah wainalilah rajuuni
Mungu atusaidie
Daa dunia imekwisha😭😭😭😭😭
Dunia simama nishuke mungu ponya kizazi chetu
Pole I sana wazazi ushauli uyo mirjana 🙏🙏🙏🙏
ALLAHU AKBAR ! .. ALLAH ! ATU HIFADWI NA VIZAZI VYETU. AMEEN ! 🙏😭
Innallillah wainna illah rajiun 😢😢
Majirani wa hovyo sana mtu anapiga kelele nyi mko zii.
Sana
hawa waongo bwana wanataka view
Hii nchi inawaandishi wa hovyo saaana sijui bangi
Wakati mwingine matani yakizidi yanaleta mazara 😢😢 ona sasa mmeshindwa kumsaidia mtu ivi ivi 😢😢
Hongera mtangazaji kazi nzuri
Ongera na yasemwayo ayaeleweki
Kesi hiyo rabda aje makonda maana nimeshindwa kuelewa mwanzo ilikuwaje maana maelezo mengi mno
Poleni jamani
Hawa watu mtu anapiga. Kelelee hampi ushirikiano
Daa mungu amlaze mahali pema
NA WEWE UNAONGEA EI ULIRUDI MKAKAA KWANN HAMKWENDA KWA MJUMBE? MLISHINDWA KUMSAIDIA HADI ANAKUFA. MUNGU TUSAIDIE DUNIA IMEISHA.
Da inatisha kurudi kibarazani kukaa kusubiria mtu afe
M/MUNGU ILAZE ROHO YA MAREHEM MAHALI PEMA PEPONI YANI ACHA AKAFILWE JELA NAWENEAKILI NYINGI
Amemdunga au amemchoma? kiswahili pia Tanzania ongeeni sanifu basi apa kwetu kuchoma ni kwa maji moto🇰🇪
Innalilahi wainnailahi rajighun
😢😢😢
Dunia imeisha,who does that !!!!!!!!!!!!??????????
Allah awaongoe watoto wetu
Diuuuh kiukwer kijana huyo Mungu amlani .
Mbona unamkatiza maelezo Kaka!!
Mbingu huwezi kuinusa kwa matendo maovu ni bora ufanye kosa ambalo unaweza kujutia huku ukimuona ulie mkosea unauwa badae unajutia ilehali maiti uliemtoa uhai huwezi zungumza nae tena
Mungu atusaidie jaaman ss vijana
story za kutunga hzi
Sio story za kutunga
Saf sana majirani kwa kuwa ma spy wa kujitegemea....
😢😢😢😢😢
Mungu atmlipa haphp duniani
Looo!!!! Yaani alipata na mama yake kiisha kamiya. Na huyo mama alienda kufanya nini pale kama kijana alikuwa haeleweki?
Achukuliwe hatua maana siyo vizuri
Wewe mama mwenye nyumba na wapangaji wako wote mnatakiwa muwajibike mtu kapiga kelele anasema mama we nakufa mkashindwa kuchukua hatua pumbavu zenu
Kwani hakuna police station hapo
😭😭😭
Mungu kinusuru kizazi hiki
😭😭😭
Jamani usimkatie tamaa mtu mwanaisha mbembe sikuhizi unavaa majuba mungu akuongize leo nimekumbuka matangini mama uwezo mama mwinyi mambo nimefurahi sana
Dah hana akili
😢
Mungu atuhjrumie upendo kwawazazi umepitea❤
Apo mmefanya vizuri mmemkamata,uyo kauwa mama yake,apimwe akili, kama ni mzima atakuwa amekusudia,na mkimuachia atauwa wengine,uyo afungwe maisha ikiwezekana anyongwe
Pumbafu saana nyieee Hamna jipyaaa mlitakiwa muwekwe sero woteee
Tangu stori inaanza mpaka inafikia kwisha huyu mama hajataja Polisi, funzo gani tunapata hapa?
Me mwenyewe nimeshangaa hadi mjumbe ety anapigia sugusngu badala ya polis dah
Polisi washaonekana wahuni tanzania 🇹🇿 😅😅😅😂😂😂
Watanzania wapuuzi hawajitambui
Yaani haya yote ni mfano hai, mnahisi kitu siyo sahihi mnaingiza uchesi na kuulizana maswali wakati kila kitu mnakijua 😢😢
Umeona enhee.....yaani hata video ya pili mwendelezo polisi wamejulishwa siku ya pili......@@irhamseif
du jaman mungu atusaidie maana tunaelekea kubaya san
😢😢😢hakika vijana mnajitakia nuksi wenyewe mama yako ni nguzo na tegemeo hakua na hofu ya MUNGU huyo kijana aLaniwe na na kua mwehu na makazi yake na chakula chake ni Tamboni huyo kijana😢😢🙏
ninyi pia wangese....Kama mlisikia kelele kwann msifuatilie huyo mwanamke gani na aliondoka salama au lah?
Ulichokiandika umekielewa kweli? KIJANA ATAKA KUMUUA MAMA YAKE MBONA NENO ATAKA MAANA YAKE HAKUFA NA WEWE UMESEMA KAMUUA? KISWAHILI SIO SAHIHI
Mama?😊
lnnalillah wainalillah rajion
Kichwa cha habari kinasema kijana anataka kuua ilihali ameisha ua tayari. Jamani waandishi msituchanganye!
Huyo jamaa atakua chizi muda simrefu
Awa wote waswahili wakujali Maisha ya mwenzie😢😢😢
.IVI VIJANA MNAFELI. WAPI IVI MAMA YAKO HATA AKUKOSEE BADO HUPASWI KUNYANYUA MKONO YAANI KIJANA UTAKUFA KIFO KIBAYA WEW ALLAHU AKBAR... MNGU WAPE HAWA VIJANA UFAHAMU WA KUTAMBUA UMUHIMU WA MAMA...🙏😥😢
Jamaniiiii mungu weee
haaaaa bongoo mtafuteni mungu mupate hofu kuna imani hazitii hofu sibure wabongo utu hauko
Mh
Mtangazaji jitahid kuandika vichwa vya habar vinavyoendana na habar husika, mfano apo unaandika, ALIETAKA KUMUUA, ALAFU TAARIFA INASEMA TAYAR KAMUUA
Kweli vijana wa siku hz wamechanganyikiwa
Duuuh
Kumbe ndani kulikuwa na watu! Waliona nini au kusikia nini? Wasitoke kusema mtaani?
Kutafuta utajir wakufoc😢
Mungu tuepushe
Taarifa za huyu jamaa huwa sizielewagi.nilitamani kujua walijuaje kama ni mama yake na je mama yake alikuwa akiishi hapo?na je huyo mwenye nyumba anamjua mama yake huyo jamaa?how sure they are kama ni mama yake?na nyumbani kwa mama yake ni wapi na walishacheki kama yupo hai?huyu jamaa Ana exaggerated saana .
Yaani haieleweki mwanzoni alisema mama yake huyo kijana amepanga kwake na alikuwa mcheshi Sasa wakati anaomba msaada walishindwa kujua hata kwa sauti kuwa huyo ni mama Fulani?
Millard Ayo ndo abarey mjin
Yaani nyie washenzi mlishindwa kumsaidia wakati Wa msaaada?
Ila kichwa Cha habar tofauti na maada kumbe kaua mmeandika anataka kumuua
Nyinyi majilani niwazembe sana mtu mnasikia nisaidieni nakufa mlishindwa kuita watu mudahuo sikunyingine msifanye ivo.
Alivopiga kelele. Musingerudi barazani
Iv n mimi tu cjaelew hii habar au kichwa changu kizito. Mama na mwana walkua wanafany nin chumba kimoj na kukiwa kuna mwanamke mwengine humo chumban?
Waandishi wetu sasa! Unaandika alitaka kumuua mamaake na huku kaisha muua! Unaposema alitaka manaake nikwamba hajafanya! We mtu tiari kafanya! We unasema alitaka!
huyomama mwenyenyumba akamatwe kwann ameekaa kimya zaidi ya saa nawamesikia kelele wanaujasili huo kukaakimya bilakupiga mayowe