MTOTO ATAKA KUMUUA MAMA YAKE na KWENDA KUMTUPA BUZA - AJICHOMA BISIBISI ya TUMBO na SHINGO AFE!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 03. 2024
  • MTOTO ATAKA KUMUUA MAMA YAKE na KWENDA KUMTUPA BUZA - AJICHOMA BISIBISI ya TUMBO na SHINGO AFE!
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 272

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 3 měsíci +14

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Před 3 měsíci +14

    dah laana gani hio kijana kuuwa mama yako hautakuwa salama tena katika maisha yako

  • @hemedisalim5522
    @hemedisalim5522 Před 3 měsíci +16

    Aisee kweli damu ya mtu ni nzito Na haipotei bure jambo kalifanya Kwa Siri lakini Bado kajulikana

  • @maryumamapunda8910
    @maryumamapunda8910 Před 3 měsíci +10

    Mwenyezi mungu tusaidie na hivi vizazi vyetu mtoto umzae mwenyewe kwa uchungu aje tena akuue mmmmh jamani inaumiza sana

  • @user-gb1hn5ml8y
    @user-gb1hn5ml8y Před 3 měsíci +80

    Innalilah wainnailah rajiun😢😢 watu wanataka wazazi warudi wawafanyie mema huyu anaua mama 😢 kama umesikitishwa na hili like

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 Před 3 měsíci +16

    Laana iyo wenzio wanataman mama zetu wabak wewe unamuuwa mungu atakulipa

  • @mwamvuamagongo8163
    @mwamvuamagongo8163 Před 3 měsíci +24

    Mmmh tuzae tu Mungu ndio anayejua

    • @betyjoseph6812
      @betyjoseph6812 Před 3 měsíci +1

      Nimekata tamaa ya kuzaa, Mungu tunusuru

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 Před 3 měsíci +20

    Kichwa cha habari sasa
    Anataka kumuuwa au ameshamuuwa

    • @susanjoseph1270
      @susanjoseph1270 Před 3 měsíci +1

      Yaan Hawa waandishi bogus

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Před 3 měsíci +1

      Yani mwenyewe sijaelewa

    • @chunaabdullah1333
      @chunaabdullah1333 Před 3 měsíci

      Hata ayaeleweki yasemwayo mara kachukua mwili naakufa mara alila wapi mara awaeleweki

    • @kiri5807
      @kiri5807 Před 3 měsíci

      Ahsante kuliona hilo . Nilikuwa najiuliza hivyo hivyo .

  • @user-lt7yx2ms7h
    @user-lt7yx2ms7h Před 3 měsíci +8

    Innalillah Wainna ilayah Rajiun 😭😭😭 inaumiza sana MUNGU ailaze mahala pema peponi mama huyu

  • @yujinxhing3766
    @yujinxhing3766 Před 3 měsíci +17

    Duh angejua kama uyo mtoto ake atamuua angeitoa tu iyo mimba

  • @user-ih7nl5nv3c
    @user-ih7nl5nv3c Před 3 měsíci +13

    Alikua anataka kumbaka mamaake uyo mashalti ayo

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před 3 měsíci +23

    😢😢😢😢mama mama mama hana maisha tena😢😢😢 khaaa

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d Před 3 měsíci +8

    Ila jamani mmeshasikia kelele anasema ananiuwa mmelizika na maelezo yake wanadam sasa hivi wana roho mbaya

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Před 3 měsíci +17

    Mama wa watu kafa kifo cha kikatili sana na Mungu ailaze Roho yake mahali pema

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 Před 3 měsíci +13

    Mtangazaji punguza pombe Kali. Sura inaonesha Sungura Konyagi zimekuathiri sana

  • @charlesrweyemamu8352
    @charlesrweyemamu8352 Před 3 měsíci +7

    Kweli kuzaa siyo kupata!

  • @user-ko6lg9tw6w
    @user-ko6lg9tw6w Před 15 dny +1

    Yarab tupe vizaz venyeher na ss 😢 auliwe t nayeye alikisasu haku hafay ktk jamii

  • @totodavis1949
    @totodavis1949 Před 3 měsíci +4

    🇰🇪 samahani ila hapa nina swali kwanza inakuaje mtu anauliwa na kuna majirani then 2 inakuaje mtu anapakiwa kwa pikipiki kama amekufa hio time yote na majirani walkua wapi na walikua wanamushuku 3 mbona hawakukiza mama yake yuko wapi hapo siamini hii story hatakama majirani wangekua mbali wakesikia hio kelele inaeezekana hii ni story za jaba.

  • @NemaAli-zh6hr
    @NemaAli-zh6hr Před 3 měsíci +8

    Mama mwenye nyumba bogaz, majirani bogaz, kichwa cha habari bogaz, maelezo bogaz!

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před 3 měsíci +4

    DUNIA UMEKWISHA VITU VIGUMU KUMUUA MAMA MZAZI VIJANA WATU WANAELEKEA WAPI? WAKITAKA UTAJIRI WANAUA FAMILY WAKIFUTA NA KULEWA WANAUA WAZAZI TENA MUNGU WABALIKI VIJANA WATU WA TANZANIA ☝️☝️☝️🤲🤲🤲

  • @Saidiamiri-lp8lw
    @Saidiamiri-lp8lw Před 3 měsíci +13

    Dah aise nini hii,kwanni vijana tunakuwa hivi hata kama kunashida fulani hama ondoka kaishi mbali naye 😢😢😢😢

    • @user-bh6rt7xm6w
      @user-bh6rt7xm6w Před 2 měsíci

      Kweli kabsa kaka angu mzazi wako hata kama anamapungfu mzoeee ndo kakuzaa😢😢

  • @dorahkyomah8560
    @dorahkyomah8560 Před 3 měsíci +24

    Jamani mtu anapiga kelele nyie mnarudi barazani badala ya kumsaidia jmn

    • @suzanfelix6320
      @suzanfelix6320 Před 3 měsíci +3

      Matani yakizidi yanamazara san😢

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 Před 3 měsíci +2

      Huyo kijana ni mvuta bangi jamani 😮😮

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Před 3 měsíci +1

      Sasa nyinyi mmefika kwenye tukio harafu mkaondoka mkarudi barazani mlishindwaje kumwambia funguwa mlango Ili mjue Nini kina endelea yaani watu wa uswahili ni shida sn ha!

    • @AbbasHussein-zq3yi
      @AbbasHussein-zq3yi Před 3 měsíci

      Tupo wepesi wa kuamini tunayoambiwa.Badala ya kuchunguza ukweli wa mambo yalivyo.huwa HATUJIONGEZI.

  • @MkudeRimot
    @MkudeRimot Před 3 měsíci +2

    Jaman mungu atusamehe sisi watoto ambao hatujielewi mungu tusamehee

  • @HamisiAbdallah-vu7fz
    @HamisiAbdallah-vu7fz Před 3 měsíci +2

    ❤huyo mama HATA anayoongea hayaeleweki

  • @NassorSaidy-hr6xm
    @NassorSaidy-hr6xm Před 3 měsíci +1

    Mama uyo mungu amweke mahari pema peponi inasikitisha sana Au uyo kijana Ana vuta unga na bangi

  • @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
    @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd Před 3 měsíci +4

    Mimi mwenyewe nimeshikwa sitofahamu 😂😂😂

    • @NemaAli-zh6hr
      @NemaAli-zh6hr Před 3 měsíci

      Uwezi juwa labda sintofahamu imemshika kweli.

  • @GloriaJohn-pc8wz
    @GloriaJohn-pc8wz Před 3 měsíci +3

    Mungu tusaidie dunia inaisha😢

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 Před 3 měsíci +3

    Inalilah wainalilah rajighun

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Před 3 měsíci +8

    Tatizo hii hukumu ya kunyonga haitekelezwi katika nchi hii.

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x Před 3 měsíci +1

      Wanakwambia haki za binadamu

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Před 3 měsíci +1

      ​. Ni upuuzi kweri, ndo maana mauwaji hayaishi kl sk.

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 Před 3 měsíci

      @@user-lt1bi5nr1x Haki gani mtu anaua mwenzake kwa kusudi na hajaona kama mwenzake anayo haki ya kuishi.

  • @user-yw3qh6qj8g
    @user-yw3qh6qj8g Před 3 měsíci +2

    Hawa watu wapuuzi,kwann usipigesimu polis?

  • @zaramuneer3257
    @zaramuneer3257 Před 3 měsíci +1

    Mzazi hauwi mtoto hta kma awe kwenye wakati mgumu ila mtoto anaua mama yake mzazi 😢😢.

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw Před 3 měsíci +3

    Inalilah wainalilah rajuuni

  • @upako4598
    @upako4598 Před 3 měsíci +1

    Mungu atusaidie

  • @mariamngoha639
    @mariamngoha639 Před 3 měsíci +2

    Daa dunia imekwisha😭😭😭😭😭

  • @user-do5by8jl6g
    @user-do5by8jl6g Před 3 měsíci +2

    Dunia simama nishuke mungu ponya kizazi chetu

  • @user-gq2yp2tp1orafaeli
    @user-gq2yp2tp1orafaeli Před 3 měsíci +1

    Pole I sana wazazi ushauli uyo mirjana 🙏🙏🙏🙏

  • @sultanaswaleh7813
    @sultanaswaleh7813 Před 3 měsíci +3

    ALLAHU AKBAR ! .. ALLAH ! ATU HIFADWI NA VIZAZI VYETU. AMEEN ! 🙏😭

  • @user-yc1sh6ow8k
    @user-yc1sh6ow8k Před 3 měsíci +3

    Innallillah wainna illah rajiun 😢😢

  • @kinyanyaonline3658
    @kinyanyaonline3658 Před 3 měsíci +6

    Majirani wa hovyo sana mtu anapiga kelele nyi mko zii.

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbe Před 3 měsíci +2

    Hii nchi inawaandishi wa hovyo saaana sijui bangi

  • @suzanfelix6320
    @suzanfelix6320 Před 3 měsíci +1

    Wakati mwingine matani yakizidi yanaleta mazara 😢😢 ona sasa mmeshindwa kumsaidia mtu ivi ivi 😢😢

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 Před 3 měsíci +3

    Hongera mtangazaji kazi nzuri

  • @Elickkosani
    @Elickkosani Před 15 dny

    Kesi hiyo rabda aje makonda maana nimeshindwa kuelewa mwanzo ilikuwaje maana maelezo mengi mno

  • @MugishaGasore
    @MugishaGasore Před 3 měsíci +2

    Poleni jamani

  • @DanielYae-kw6dr
    @DanielYae-kw6dr Před 3 měsíci +3

    Hawa watu mtu anapiga. Kelelee hampi ushirikiano

  • @shafiisultani7759
    @shafiisultani7759 Před 3 měsíci +1

    Daa mungu amlaze mahali pema

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 3 měsíci +2

    NA WEWE UNAONGEA EI ULIRUDI MKAKAA KWANN HAMKWENDA KWA MJUMBE? MLISHINDWA KUMSAIDIA HADI ANAKUFA. MUNGU TUSAIDIE DUNIA IMEISHA.

    • @annaandrea2812
      @annaandrea2812 Před 3 měsíci

      Da inatisha kurudi kibarazani kukaa kusubiria mtu afe

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před 3 měsíci +2

    M/MUNGU ILAZE ROHO YA MAREHEM MAHALI PEMA PEPONI YANI ACHA AKAFILWE JELA NAWENEAKILI NYINGI

  • @Erico_254
    @Erico_254 Před 11 dny

    Amemdunga au amemchoma? kiswahili pia Tanzania ongeeni sanifu basi apa kwetu kuchoma ni kwa maji moto🇰🇪

  • @yakoubaliy7559
    @yakoubaliy7559 Před 3 měsíci +2

    Innalilahi wainnailahi rajighun

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 Před 3 měsíci +2

    😢😢😢

  • @josephinegagai
    @josephinegagai Před 3 měsíci +1

    Dunia imeisha,who does that !!!!!!!!!!!!??????????

  • @AminaJuma-ho1ig
    @AminaJuma-ho1ig Před 11 dny

    Allah awaongoe watoto wetu

  • @Kingmashirika
    @Kingmashirika Před 20 dny

    Diuuuh kiukwer kijana huyo Mungu amlani .

  • @aloycelucas1823
    @aloycelucas1823 Před 3 měsíci +3

    Mbona unamkatiza maelezo Kaka!!

  • @user-wq8kw7wb1n
    @user-wq8kw7wb1n Před 3 měsíci +1

    Mbingu huwezi kuinusa kwa matendo maovu ni bora ufanye kosa ambalo unaweza kujutia huku ukimuona ulie mkosea unauwa badae unajutia ilehali maiti uliemtoa uhai huwezi zungumza nae tena

  • @SHIJAMUSSAAbudala
    @SHIJAMUSSAAbudala Před 23 dny

    Mungu atusaidie jaaman ss vijana

  • @khamisswalehe
    @khamisswalehe Před 3 měsíci +5

    story za kutunga hzi

  • @sund2553
    @sund2553 Před 11 dny

    Saf sana majirani kwa kuwa ma spy wa kujitegemea....

  • @GracieuseMbinga
    @GracieuseMbinga Před 3 měsíci +2

    😢😢😢😢😢

  • @user-xp6xl9mv3t
    @user-xp6xl9mv3t Před 3 měsíci +1

    Mungu atmlipa haphp duniani

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 Před 3 měsíci

    Looo!!!! Yaani alipata na mama yake kiisha kamiya. Na huyo mama alienda kufanya nini pale kama kijana alikuwa haeleweki?

  • @SamwelMitalami
    @SamwelMitalami Před 2 měsíci +1

    Achukuliwe hatua maana siyo vizuri

  • @user-er9xv9yz7b
    @user-er9xv9yz7b Před 3 měsíci

    Wewe mama mwenye nyumba na wapangaji wako wote mnatakiwa muwajibike mtu kapiga kelele anasema mama we nakufa mkashindwa kuchukua hatua pumbavu zenu

  • @user-gv1op1oh2c
    @user-gv1op1oh2c Před 3 měsíci +1

    Kwani hakuna police station hapo

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 Před 3 měsíci +1

    😭😭😭

  • @doricadominic5095
    @doricadominic5095 Před 10 dny

    Mungu kinusuru kizazi hiki
    😭😭😭

  • @fathimadaid3429
    @fathimadaid3429 Před 3 měsíci

    Jamani usimkatie tamaa mtu mwanaisha mbembe sikuhizi unavaa majuba mungu akuongize leo nimekumbuka matangini mama uwezo mama mwinyi mambo nimefurahi sana

  • @MaggieIbrahim
    @MaggieIbrahim Před 3 měsíci +2

    Dah hana akili

  • @jesterbanza1473
    @jesterbanza1473 Před 3 měsíci +1

    😢

  • @AtuMahenge
    @AtuMahenge Před 29 dny

    Mungu atuhjrumie upendo kwawazazi umepitea❤

  • @aishahussein9348
    @aishahussein9348 Před 3 měsíci

    Apo mmefanya vizuri mmemkamata,uyo kauwa mama yake,apimwe akili, kama ni mzima atakuwa amekusudia,na mkimuachia atauwa wengine,uyo afungwe maisha ikiwezekana anyongwe

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbe Před 3 měsíci +1

    Pumbafu saana nyieee Hamna jipyaaa mlitakiwa muwekwe sero woteee

  • @Chemba67
    @Chemba67 Před 3 měsíci +3

    Tangu stori inaanza mpaka inafikia kwisha huyu mama hajataja Polisi, funzo gani tunapata hapa?

    • @irhamseif
      @irhamseif Před 3 měsíci +1

      Me mwenyewe nimeshangaa hadi mjumbe ety anapigia sugusngu badala ya polis dah

    • @Ambwene
      @Ambwene Před 3 měsíci +2

      Polisi washaonekana wahuni tanzania 🇹🇿 😅😅😅😂😂😂

    • @user-nn6zq1ok7i
      @user-nn6zq1ok7i Před 3 měsíci

      Watanzania wapuuzi hawajitambui

    • @ubongosahihi
      @ubongosahihi Před 3 měsíci +1

      Yaani haya yote ni mfano hai, mnahisi kitu siyo sahihi mnaingiza uchesi na kuulizana maswali wakati kila kitu mnakijua 😢😢

    • @Chemba67
      @Chemba67 Před 3 měsíci

      Umeona enhee.....yaani hata video ya pili mwendelezo polisi wamejulishwa siku ya pili......@@irhamseif

  • @AsiaSaidi-dw6hy
    @AsiaSaidi-dw6hy Před měsícem

    du jaman mungu atusaidie maana tunaelekea kubaya san

  • @EliasCosmas-qp6gn
    @EliasCosmas-qp6gn Před 3 měsíci

    😢😢😢hakika vijana mnajitakia nuksi wenyewe mama yako ni nguzo na tegemeo hakua na hofu ya MUNGU huyo kijana aLaniwe na na kua mwehu na makazi yake na chakula chake ni Tamboni huyo kijana😢😢🙏

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 3 měsíci

    ninyi pia wangese....Kama mlisikia kelele kwann msifuatilie huyo mwanamke gani na aliondoka salama au lah?

  • @rehemaabdy2830
    @rehemaabdy2830 Před 19 dny

    Ulichokiandika umekielewa kweli? KIJANA ATAKA KUMUUA MAMA YAKE MBONA NENO ATAKA MAANA YAKE HAKUFA NA WEWE UMESEMA KAMUUA? KISWAHILI SIO SAHIHI

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 3 měsíci +3

    Mama?😊

  • @user-nd2yf7vi8f
    @user-nd2yf7vi8f Před 3 měsíci +1

    lnnalillah wainalillah rajion

  • @charlesrweyemamu8352
    @charlesrweyemamu8352 Před 3 měsíci

    Kichwa cha habari kinasema kijana anataka kuua ilihali ameisha ua tayari. Jamani waandishi msituchanganye!

  • @REMEASYPIANO
    @REMEASYPIANO Před 3 měsíci +2

    Huyo jamaa atakua chizi muda simrefu

  • @solangebagal149
    @solangebagal149 Před 3 měsíci

    Awa wote waswahili wakujali Maisha ya mwenzie😢😢😢

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před 3 měsíci

    .IVI VIJANA MNAFELI. WAPI IVI MAMA YAKO HATA AKUKOSEE BADO HUPASWI KUNYANYUA MKONO YAANI KIJANA UTAKUFA KIFO KIBAYA WEW ALLAHU AKBAR... MNGU WAPE HAWA VIJANA UFAHAMU WA KUTAMBUA UMUHIMU WA MAMA...🙏😥😢

  • @GraceDaudi-zm6ms
    @GraceDaudi-zm6ms Před 9 dny

    Jamaniiiii mungu weee

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 3 měsíci +1

    haaaaa bongoo mtafuteni mungu mupate hofu kuna imani hazitii hofu sibure wabongo utu hauko

  • @norahnkanabo412
    @norahnkanabo412 Před 3 měsíci +3

    Mh

  • @MfaumeZubeir
    @MfaumeZubeir Před 3 měsíci

    Mtangazaji jitahid kuandika vichwa vya habar vinavyoendana na habar husika, mfano apo unaandika, ALIETAKA KUMUUA, ALAFU TAARIFA INASEMA TAYAR KAMUUA

  • @PeacefulSheep-se7oz
    @PeacefulSheep-se7oz Před 12 dny

    Kweli vijana wa siku hz wamechanganyikiwa

  • @officialsharifa
    @officialsharifa Před 3 měsíci +3

    Duuuh

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Před 3 měsíci

    Kumbe ndani kulikuwa na watu! Waliona nini au kusikia nini? Wasitoke kusema mtaani?

  • @GubraCity-dm5sx
    @GubraCity-dm5sx Před 3 měsíci +2

    Kutafuta utajir wakufoc😢

  • @MonikaSaimoni
    @MonikaSaimoni Před 3 měsíci +1

    Mungu tuepushe

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Před 3 měsíci +9

    Taarifa za huyu jamaa huwa sizielewagi.nilitamani kujua walijuaje kama ni mama yake na je mama yake alikuwa akiishi hapo?na je huyo mwenye nyumba anamjua mama yake huyo jamaa?how sure they are kama ni mama yake?na nyumbani kwa mama yake ni wapi na walishacheki kama yupo hai?huyu jamaa Ana exaggerated saana .

    • @theresiachacha5180
      @theresiachacha5180 Před 3 měsíci

      Yaani haieleweki mwanzoni alisema mama yake huyo kijana amepanga kwake na alikuwa mcheshi Sasa wakati anaomba msaada walishindwa kujua hata kwa sauti kuwa huyo ni mama Fulani?

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 Před 3 měsíci

      Millard Ayo ndo abarey mjin

    • @JacquelineMahumbe
      @JacquelineMahumbe Před 3 měsíci

      Yaani nyie washenzi mlishindwa kumsaidia wakati Wa msaaada?

  • @idrissa573
    @idrissa573 Před 3 měsíci

    Ila kichwa Cha habar tofauti na maada kumbe kaua mmeandika anataka kumuua

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 Před 3 měsíci

    Nyinyi majilani niwazembe sana mtu mnasikia nisaidieni nakufa mlishindwa kuita watu mudahuo sikunyingine msifanye ivo.

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p Před 3 měsíci +3

    Alivopiga kelele. Musingerudi barazani

  • @CalmGlassRose-oy3qv
    @CalmGlassRose-oy3qv Před 3 měsíci

    Iv n mimi tu cjaelew hii habar au kichwa changu kizito. Mama na mwana walkua wanafany nin chumba kimoj na kukiwa kuna mwanamke mwengine humo chumban?

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Před 3 měsíci

    Waandishi wetu sasa! Unaandika alitaka kumuua mamaake na huku kaisha muua! Unaposema alitaka manaake nikwamba hajafanya! We mtu tiari kafanya! We unasema alitaka!

  • @AdiniKuziganika-wg4ns
    @AdiniKuziganika-wg4ns Před 3 měsíci

    huyomama mwenyenyumba akamatwe kwann ameekaa kimya zaidi ya saa nawamesikia kelele wanaujasili huo kukaakimya bilakupiga mayowe