UJue watu hawajielewi cz mnapenda kumuona shekhe yuko kwenye jumba bovu anaendesha basikeli ndio museme mungu awajalie sio poa allah awajalie mashekhe wt wafike mbali inshallah
Mganga wa kienyeji anaetumia mgongo wa dini. Aqida ya ahlu sunna wal jamaa3ah hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Wewe sule mche Allah
Simba ndo simba anamahusiano na binadamu na watu wanafuga kama kawaida sasa jini inashindikanaje? Oxygen yenyewe haionekani na watu wanaitengeza kama kawa na wanamsaidia mgonjwa
Katika uislam sisahihi mtu kuongea kitu hana ujuzi nacho.unaleta mifano ya Simba na oxygen unadhani dini hii haijakamilika katika kila nyanja? قال تعالى ما فرطنا فى الكتاب من شيئ. Hatujaacha chochote katika kitabu ( yani Quran) then anakuja mtu na mifano ya simba na oxygen. Narudia kusema hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Na if yapo leteni dalili katika kitabu na SUNA au kauli ya wanazuoni wema. قل هاتوا برهانكم إن كنتم صادقين
Mnamsifia tu huyu ndyo anawakashifu sana akina mwamposa je huu utajili alionao yy kaupata wap? C humo humo kwenye dini? Kama yy yupo kwenye kweli na Akina mwamposa pia wapo kwenye ukweli kikubwa kila mtu adili na upande wa dini yake
@@ndogoroedson199 Bro wanaadam tuna sir kubwa sana ktk utafutaji wetu kikubwa Sisi sio watoa hukumu hata sisi hasa Mm personal ninamatatizo yangu(mapungufu) Kikubwa ni kuombeana DUA au kufanyiana Maombi 🙏
Nili wai kukupigia cm nilikua na mgonjwa anatapika damu ukanielekeza dawa ...nikaona kama umenizalau kumbe ilikuwa dawa kweli .... inshallah Mungu akuzidishie na akupe maisha malefu
Mashallah Barakah ALLAHU fiiqum hbbi shekh wangu doctor sule kwn ss wa kenya tunakupenda kwa minajili y Allah swt akulinde na kila aina husda na balaa na akupe mwisho mwema aaamiin
Ni kweli kabisa maneno yako.lkn tunapaswa kuchunguza kabla ya kujitenga hayo Maji na mafuta.ili tuweze kufuata dini ya kweli.kwani tukisubiri Hali hiyo mpaka itokee itakuwa Ni too late.hapo litakalofuata Ni moto tu.hivyo tuchunguze na kusoma Kwa undani zaid vitabu.tusijetukachelewa.mara nyingi kwenye viwili.kimoja kinakua wrong.nayo Ni dini ya kikristo.tubu mapema kabla ya kifo
Mungu wako hakujua kuwa atauliwa na binadamu wake, mission ya Mungu imefeli maana Bado tunaendelea kutenda dhambi...ukristu ni rubbish in the rubbish pit.
Kwa upande wa majini, umeusemea uislamu uongo jambo usilo na ilimu nalo, unataja aya za uongo, nawanasihi waislamu na wasiokua waislamu wajifunze uislamu kwa watu sahihi watu wenye ilmu sahihi ya dini. Wasikilizen mashaykh wakisalafy Shaykh Qassim mafuta, Abdallah humeid, Abuukhaulah Mbwana Abdi Allah awahifadhi
Wamebarikiwa vipi watumishi wa Kikristo ambao wanaamini na kuhubiri Uungu wa Yesu,Utatu mtakatifu haya mambo 2 ni makubwa ni laana kumshirikisha Mungu na viumbe
ANOSEMA KINATAKIWA CHANO NI MGANGA! ANAJIDAI KUPANDISHA SHETANI KICHWANI KWAKE STI SHETANI ANATAKA CHANO! WAKATI SIO SHETANI NI HUYO MGANGA ONLY NDIE ANOTAKA KILE CHANO! WALA SIO JINNI AU SHETTANI NI MWANA ADAM NDIE ANACT TUU HUYU ANA PALACE LIKE KING! KAZIPATIA WAPI PESA HIZO KUWA YEYE AWE NA JUMBA HILO!? HUYU SHEIKH!? OR MGANGA ONLY!
Ni kweli katika Quran Allah amesema amewaumba binadamu na majini lengo ni kumuabudu kama ilivyo kwa viumbe vingine ambavyo hatujui wanaabudu vipi nao ni waislam ila jini lolote likiungana na binadamu tayari hakuna lolote isipokuwa ni uovu tu maana hakuna ushirika wa jini na binadamu kisheria, wao wanaabudu kinamna yao nasi kinamna yetu. NB yoyote ambaye yupo karibu na viumbe hawa mara nyingi wote wanakuwa ni waasi na niwashirikina. Na hakuna mwislam yoyote ambaye ni Sheikh atakuja na hadith au aya ambayo ina ruhusu sisi kufungamana na majini.
@@bassambashirou4604 Kaka jini na Shetani wote walimuaasi MUNGU na hakuna Hapo mzuri ....Mzuri NI malaika haooo wengine walimuaasi MUNGU na wamelaaaaaniwa
Shida tunapenda kumuona Paster anaendesha V8 lakini shekhe akiendesha inakuashida kwa watu kuna watu maostadhi wanafundisha watoto wa ma boss ila kanzu imefubaa 😢😢😢 ndio tunasikia furaha si ndio tuache kujishusha waislam tuwaombee sn kwa allah
Hivi mbna wachungaji Wana endesha magari makubwa wanaishi vzr wanalala majumba makubwa makubwa na maisha yanaenda vzr tuh mbna shekhe akiishi vzr na kuendesha magari makubwa munasema waislm munafuga Majin?
Dr sule me ktk masuala ya Dini ya ukristo upo vizur sana lakini kwenye Quran tukufu sio saana but all in all nakupa big up sana ktk kazi zako za biblia
@@Omaryactor01 mpuuzi mim au wew mtume awezi kua na mrith tajir ktk inchi ya kafir hakuna muumin wa kweli akainjoi ktk inchi ya kitwaahud nenda madrasa kwanza
@@muhsinihassani2805 ahaa kama unajua hukumu nikazi ya mungu hao mashekhe wako wa mchongo wanachofanya kwa harmonize ni sahihi?hao ni matapeli tu kutwa mtandaoni
UJue watu hawajielewi cz mnapenda kumuona shekhe yuko kwenye jumba bovu anaendesha basikeli ndio museme mungu awajalie sio poa allah awajalie mashekhe wt wafike mbali inshallah
Ewaaa watu wengi ndio fikra zao
Amen
Binadam mawazo yao mabovu sana majin viumbe kama viumbe vingine kuna majini wapotovu kama binadamu kunawema wanaomumcha mwenyezi mungu
Doctor Sule unadunisha dini pia unatukana dini,Allah mpenda haki atakudhalalisha mbele ya watu InshaAllah
MashaALLAH mwenyezmungu azidi kukufanyia wepec kwenye na kheri nyingi za Dunia na akhera mm nakukubali Sana sheikh. Doctor SULE.
Mambo! Naomba namba ake please!!!
Nilianza kumkubali huyu bwana tokea miaka ya 2003 nikiwa Mbeya, alisilimisha watu wengi pale, Allah ampe wepesi
Kawaunganisha Kwa majini majini wote wamemuasi Mungu
Allah akuzidishie kira raheri kwa kuokoa nafsi za wajawake Allah kwa kuamrisha heri na kukataza mabaya
Nnachompendea dr sele.ni mfasaha wa mazungumzo kupita kiasi.humshiki kirahisi kwenye mazungumzo.huyu mtu Allah kampa kipaji kikubwa.mashallah
Mungu anisaidie kupata jini mwema
Allah gani wewe,hakuna Cha Allah Wala nn,mshirikina mtupu
@@YamunguMuhasiku ukimjua Allah ndio utajua makosa yako
Nyie wabongo si mnapenda watu wanaongea sanaaa ndy marole model wenu
@@Famao-dg3ul kabisa yani.👍👍.hajamjua Allah Nani mpaka siku ya Kufa ndo atamjua.Allah ajaalie aslkm kabla ya mauti yake.hajitambui bado
Interview nzurii sana big up...MTANGAZAJI UNAJUA
Kichwa cha stori ulicho andika hapo ni tofauti na alivyo ongea Dr Sulle. Sio vizuri kupotosha watu muogepeni Mwenyezi Mungu.
Huyu muandishi sio mwislamu
Umekosea maana ya haram na halali
Kasome tena maana hiyo ya halali na haramu
Uoj kisomi zaid nimependa uko vzr xan allah akujalie ❤
Dr Sule mimi nakuombea kila la kheri duniani na akhera
Dr. Sule, Nakuombea kwa Allah(SWT) akulinde, na akupe Maisha Marefu yenye Afya Kamili, Ili uzidi kuelimisha Umma. Shukran.
Allah anajua zaidi ..... Allah tupe mwisho mwema waislam wote tulioko kwenye mgongo wa ardhi... Allah humma ameen🤲🤲
Amiin
Mganga wa kienyeji anaetumia mgongo wa dini. Aqida ya ahlu sunna wal jamaa3ah hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Wewe sule mche Allah
Soma ujue kama una muweza mfate ilala ustake kiki
Kwahio mtu akikomenti anatafuta kiki sindio?
Hahahahaha ضعف الطالب والمبطلوب
Simba ndo simba anamahusiano na binadamu na watu wanafuga kama kawaida sasa jini inashindikanaje? Oxygen yenyewe haionekani na watu wanaitengeza kama kawa na wanamsaidia mgonjwa
Kweli bro naanza kuwa na tashwishi naye
Katika uislam sisahihi mtu kuongea kitu hana ujuzi nacho.unaleta mifano ya Simba na oxygen unadhani dini hii haijakamilika katika kila nyanja?
قال تعالى ما فرطنا فى الكتاب من شيئ.
Hatujaacha chochote katika kitabu ( yani Quran) then anakuja mtu na mifano ya simba na oxygen. Narudia kusema hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Na if yapo leteni dalili katika kitabu na SUNA au kauli ya wanazuoni wema. قل هاتوا برهانكم إن كنتم صادقين
Huyu mtangazaji nimemkubali sana anajua sana kutengeneza maswali
Mashaallah tabarika allah mungu akubariki zaidi sheikh
Allah akupe afya,Siha,na kila hitajiko lako na Allah aweke barka ktk harakati zako
Dr sule Allah amekujaalia hakika.
Mnamsifia tu huyu ndyo anawakashifu sana akina mwamposa je huu utajili alionao yy kaupata wap? C humo humo kwenye dini? Kama yy yupo kwenye kweli na Akina mwamposa pia wapo kwenye ukweli kikubwa kila mtu adili na upande wa dini yake
@@ndogoroedson199 Bro wanaadam tuna sir kubwa sana ktk utafutaji wetu kikubwa Sisi sio watoa hukumu hata sisi hasa Mm personal ninamatatizo yangu(mapungufu) Kikubwa ni kuombeana DUA au kufanyiana Maombi 🙏
No coment bro🙏
Docteur Sule nakukubali sana Sheikh wangu
Mtangazaji big Up sana
MashaAllah shkh Allah bless you
Dr Sule Allah akupe umri ugekuwa Rai's ugedelesha Ichi Sana vizuri Sana mashaallah
Allahu Akibar Allah akupe hidayat kama unataka kufaidi nakujuwa mengi kuhusu ilimu ya dini watafute Wana ilimu ya dini
Nili wai kukupigia cm nilikua na mgonjwa anatapika damu ukanielekeza dawa ...nikaona kama umenizalau kumbe ilikuwa dawa kweli .... inshallah Mungu akuzidishie na akupe maisha malefu
Kwanini ulozani kakuzarau au dawa ilikua ya ajabu
Ndugu naomba namba yake
Ilikua daw gn hyo jamn
Daw gn alikupa
Naomba namba ake
waaa waisilamu mnakupaliana na xhekhe wenu mimi yesu ananitosha
We unauliza swali moja.mwamba anakujibu majibu kumi.aaa weee.asante Allah kwa kutupa huyu mtu.dr.sule nchini tz.alhmdulillah
Sule nakupenda bro
Dr. Sule ni MTU NA NUSU. Allah akulinde Sana🤝🙏
I like this interview, you did bro.
Dr mungu akubariki sana
Mashallah Barakah ALLAHU fiiqum hbbi shekh wangu doctor sule kwn ss wa kenya tunakupenda kwa minajili y Allah swt akulinde na kila aina husda na balaa na akupe mwisho mwema aaamiin
Ameen
Sjui unanielewa❤❤❤❤
Nimekupendaaaaa
Mtangazaji uko vizuri unauliza ukijitoa big up for that kwasababu uislamu unauchawi wingi 😢😢😢😢 Bali ulipotea sana kwenye mada
Uisilam hakuna uchawi were punda mtu
Mtangazaji ana maswali mazuri sana.. watching from Kenya
Bro una maswali critical sna umefit kabisa kuwa presenter Allah akufanye bora zaid ufikie ndoto zako❤
Allah akulinde kwa Kila Shari uzidi kutangaza elimu ya dini❤
Asante sana Sheikh wangu , WE mkweli kabisa
Huyu ni Mganga tu wa Kienyeji aliyechangamka, mkiambiwa Waislam mnafuga majini mnakasilika.
na nyie hamuabudu mpka muonyeshwe miujiza😮
Mungu Tusaidie sana Hizi zama ni Hatar Sana
Sana walai...
Fitna kila kona, Allah atujaalie uongofu na tufe ilhali tupo katika uongofu
Hongereni sana hakuna mkamilifu
Very true Daktari Kindly pray for my sons Brian and Raymond to excell in life .Thank you
Are they islamic?? How can he pray for non Muslim??
Asante Yesu kunifiliya, ni hatari viongozi wa ma dini
Huyo Dr sule ni mganga wa Kienyeji
Namkubali sna sheikh doctor sule
Salaam Aleikum Dr. Sule,
Nakuomba unipatiye number ya Clinic yako Mombasa, jazakallahul kheir
Jini ni jini Tu hapaswi kuishi na binadamu
Mbona kuna watu wanaishi na simba?
😂😂😂😂acha uoga,mbona Paka Mbwa tunaishi nao ndani
Mungu ni mwaminifu pia mvumilivu sana,siku moja maji na mavuta yatajitenga kuhusu Imani zetu
Ni kweli kabisa maneno yako.lkn tunapaswa kuchunguza kabla ya kujitenga hayo Maji na mafuta.ili tuweze kufuata dini ya kweli.kwani tukisubiri Hali hiyo mpaka itokee itakuwa Ni too late.hapo litakalofuata Ni moto tu.hivyo tuchunguze na kusoma Kwa undani zaid vitabu.tusijetukachelewa.mara nyingi kwenye viwili.kimoja kinakua wrong.nayo Ni dini ya kikristo.tubu mapema kabla ya kifo
Yameshajitenga tayari, Uislamu ni haki na ukristo ambao Mungu ameuliwa na akasulubiwa ni batili. Mungu amezaliwa na binadamu? Lol
Hizi dini tumeletewa watu wengi sasaivi wamerudi kwenye asili zao, jamani turudi kwenye asili zetu 😂😂😂 jamani hivyo vyote vyawezekana
@@Rmkh88 dini za majini na mapepo na mizimu zimekuwa haki. Ama kweli hekima ya mwanadamu kwa Mungu ni upumbavu
Mungu wako hakujua kuwa atauliwa na binadamu wake, mission ya Mungu imefeli maana Bado tunaendelea kutenda dhambi...ukristu ni rubbish in the rubbish pit.
Mash'Allah...
Mungu akubariki sana shekhe
Dr. sulle nakukubali unajua kunyoosha maneno adi raha
Dini yenu hiyo ya mashetani
@@samwelmatemu8873
Kwa maono yako
@@samwelmatemu8873kwa nn
@@samwelmatemu8873yenu yakishoga sio
Kwa kufuga mashetani sio
Mungu akuhurumie Sheikh!
Uhurumiwe wewe ambaye huna akili
@@erastoshedrackhaule9211 huna akili wewe unayetaka kumiliki Hela za majini!
Mungu wako katailiwa na binadamu wake, biblia inasema.
Nakupenda shekh kwaajil ya allah
Mungu akuhidha sheikh.
Kwa upande wa majini, umeusemea uislamu uongo jambo usilo na ilimu nalo, unataja aya za uongo, nawanasihi waislamu na wasiokua waislamu wajifunze uislamu kwa watu sahihi watu wenye ilmu sahihi ya dini. Wasikilizen mashaykh wakisalafy Shaykh Qassim mafuta, Abdallah humeid, Abuukhaulah Mbwana Abdi Allah awahifadhi
kweli kabisa huyu ni dr wa nguvu za kiume sasa ukimfanya ni sheikh unapotea
Baarakallah fiyk.
Sawa mganga wa kienyeji tumesikia
MashaAllah suleee
Alhamdulillah Allah akutengenezee mambo yako
Allah azidi kukubariki Dr Sulle ama kweli neema za Allah zitangazwe
Audhu Billah huyu Dr sule ...Allah ndio ajuaye
Nipe ya ndani
Upo vizuri hujakosea.
Ndy Majin walijenga
Sulle yuko vizuri...
Watumishi wa Mungu wamebarikiwa bhana wanadamu sisi tuache maneno
Wamebarikiwa vipi watumishi wa Kikristo ambao wanaamini na kuhubiri Uungu wa Yesu,Utatu mtakatifu haya mambo 2 ni makubwa ni laana kumshirikisha Mungu na viumbe
@@nassoroyahaya821 mwenyezi mungu anawarehemu wema na waovu hapa duniani, ata uwe kafiri vipi mwenyezi mungu anakubariki2
Kama unamkubali doctor sule gonga like hapa
Doctor sule amemutapeli babangu mukwe alimudanganya atamutumia dawa akadanganya hadi akafa hadi mbele akateroho akaomba wakutane kiama
ANOSEMA KINATAKIWA CHANO NI MGANGA! ANAJIDAI KUPANDISHA SHETANI KICHWANI KWAKE STI SHETANI ANATAKA CHANO! WAKATI SIO SHETANI NI HUYO MGANGA ONLY NDIE ANOTAKA KILE CHANO! WALA SIO JINNI AU SHETTANI NI MWANA ADAM NDIE ANACT TUU HUYU ANA PALACE LIKE KING! KAZIPATIA WAPI PESA HIZO KUWA YEYE AWE NA JUMBA HILO!? HUYU SHEIKH!? OR MGANGA ONLY!
WEYE SIO SHEKHEE! ABADAN!
@@hanifamasudi9732 huyu ni mganga wa majini ya Muhammad ndiye mnayemsifu ....
KUMKUBALI KWA LIPI?KWA UCHAWI AMA KWA LIPI?HAWO WOTE MOTO WA JEHANNAM UNAWASUBIRI
Mwenyezi Mungu aki kubariki ,jivunie na utangaze,mbone wenye watatoa kwa jina zengine wanatangaza!?
MashaAllah,wanyumbani wazee walikunyima ubunge wa CCM,kule kwetu Rufiji,umetoboa kwa njia nyengine
Mungu ni mmoja tu na asili yake niyeye mwenyewe,Ametuumba kwa mfanano wake
Unaposema mungu katuumba kwa mfano wake hayo ni mawazo potofu mungu hafanani na chocho wala hana mfano
Kwa hiyo yupoje? @@salimsaleh9354
Daah hapo kazi kweli kweli, Masheikh wanatakiwa wasome tawd sana wanapotosha watu haswa wale ambao wanataka kuingia kwenye uislam
kwann unasem ivo
ndo ukweli huo wa Doctor Sule ndugu
@@DOCTORYKAGUFAAnaogopa tumejua ukweli ndani ya Uislamu
Ni kweli katika Quran Allah amesema amewaumba binadamu na majini lengo ni kumuabudu kama ilivyo kwa viumbe vingine ambavyo hatujui wanaabudu vipi nao ni waislam ila jini lolote likiungana na binadamu tayari hakuna lolote isipokuwa ni uovu tu maana hakuna ushirika wa jini na binadamu kisheria, wao wanaabudu kinamna yao nasi kinamna yetu. NB yoyote ambaye yupo karibu na viumbe hawa mara nyingi wote wanakuwa ni waasi na niwashirikina. Na hakuna mwislam yoyote ambaye ni Sheikh atakuja na hadith au aya ambayo ina ruhusu sisi kufungamana na majini.
Misunderstandings tupu
Mtangazaji big up sana unajua
❤mungu akubariki
Sule ni mchawi anachificha kwa dini
Fanya taratibu sasa umuhangushe akiruka hewani kwenye ungo tumshangile ndo tujuwe ni mcawi ama laa.
😮😮
Dah bro sio fresh jamaa ana familia na ana watoto na ana wafuasi pia kwaio samahan usimtusi bana mzee
Doctor tuzidi kutuelimisha na tuna zidi kukupenda sana ❤
Great interview
Interview nzur sana
Nampenda sana YESUKRISTO mimi jamani nampenda kuliko maelezo
Muongo wewe , unampenda mtu usimuona, na hakujui, eti kuliko maelezo,🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa tukusaidiaje na huyo ndiyo bwana yako uliyomchagua.
Kuna siku utang'ata kidole
Endelea kumpenda ila elimu haina mwixho soma ujiue njia sahihi❤
Kumpenda ni huko kumwita mwana wa Mungu ndio Kumpenda
Hahahahahaa dah Bwana Yesu urudi tu
Sema karibuYESU moyoni mwangu
Sema karibuYESU moyoni mwangu
Dr sule i'm proud of you 4rever❤❤❤
Tatizo la makafiri wakisikia jini tu wao wanawaza vitisho uchawi Habari na mambo mabaya tu
Ndio walivyokarorishwa kuwa hakuna jini mwema na wanashindwa kujua nini shetani na nini jini
Hao ni malaika walio mias Mungu,wakatupwa hata pande za chin za nch,, lakin unyakuo ndio utatoa majibu ya muabudu wa kwel ni yupi.
@@bassambashirou4604 Kaka jini na Shetani wote walimuaasi MUNGU na hakuna Hapo mzuri ....Mzuri NI malaika haooo wengine walimuaasi MUNGU na wamelaaaaaniwa
Shida tunapenda kumuona Paster anaendesha V8 lakini shekhe akiendesha inakuashida kwa watu kuna watu maostadhi wanafundisha watoto wa ma boss ila kanzu imefubaa 😢😢😢 ndio tunasikia furaha si ndio tuache kujishusha waislam tuwaombee sn kwa allah
Haahaahaahahhahha
Ya majini
Hivi mbna wachungaji Wana endesha magari makubwa wanaishi vzr wanalala majumba makubwa makubwa na maisha yanaenda vzr tuh mbna shekhe akiishi vzr na kuendesha magari makubwa munasema waislm munafuga Majin?
Nakupenda Sana
Muongo wewe Suleiman mungu alimuongoza sio jin
Huyu shehe namwonea mbali Kwa maneno yake
Ohoo hapo kwa suleiman ni kweli unajua lile hekalu ni kweli lilijengwa nq majini tena wakubwa wenye nguvu hapo amepatia
Mnapenda sana waisiraamu majini Sisi tunashamga
Na mwamposa ni mwislam anaetapeli watu kuwaombea ?
@@uwimana6533Mwamposa ndio kiboko yenu nyinyi na Majini yenu kuiba Pesa, kuloga,maradhi n.k
Waisiraamu ndo kina nani. Inaonyesha ww zuzu mmoja usojijua
@@uwimana6533 Mwamposa ndio kiboko yenu Wafuga Majini na Majini yenu
Haya nyie mnae sema mlimoona Mungu amuoni kuwa mnamkufuru Mungu sikiliza maneno mjielew mlipoteya kiasi gani nyie
Hira namkubari sana Dr Suleman
Ustadh Gani ananyoa Ivo?
Naomba unipe sheli ya kunyoa ww nilujibu mm sawa ww
Aisee mwenyewe nashangaa sana,kwann ananyoa panki
Mmi nakukubali sana Dr sure, even though am a Christian
Unasubur nn😂
Tapeli Tu huyu anatuma dini kuibia watu
Natamani nisome kwako na nifanye kazi ya Allah unaniispare sana
Mkweli mungu tu ata wewe tapeli
Kweli au unamdharirisha2 kaka
Kwan naww umeibiwa
Nilimuheshimu sana Sulle kwa maswali ya elimu ya Biblia ukilinganisha na Qur'an ila sikujua ana udaktari wa kishirikina,Allah amuongoze
Kufuga majini
Dr sule me ktk masuala ya Dini ya ukristo upo vizur sana lakini kwenye Quran tukufu sio saana but all in all nakupa big up sana ktk kazi zako za biblia
Na wanaokusapoti ni wenzio
Hamna shee umo
We mwislam gani hawa ni warith wa mtuma acha upuuzi
@@Omaryactor01 mpuuzi mim au wew mtume awezi kua na mrith tajir ktk inchi ya kafir hakuna muumin wa kweli akainjoi ktk inchi ya kitwaahud nenda madrasa kwanza
@@ahmedalfan8075kuwa nahaya ww we unaona raha gn kuona masheikh wanakuwa maskini yaan sheikh akiwa napesa wee unachukizwa!
You're talking too much nonsense.... idiot
Shekhe ni Baba ako2
Mungu yu mwemaa
DR Sulle MUNGU akujali kwa kilalakheri inshallah
MAZINGE ,SULLE SHEKHE MWAIPOPO SHEKHE MAJINI NK WOTE NI JEHANNAM INAWASUBIRI MATAPELI NA WANAPOTOSHA UMMA
Kwa chuki zako tu
Duuh Mungu ndiye anaehukumu
Kwaiyo wewe una pepo na una moto wa kuwapa watu duu Pole sana tubia mda bado unao
We kama nani mpaka umuhukumu mwanadam mwenzio kua ni wa motoni acha habari zako bwn hiyo ni kazi ya mungu mwenyewe si binadam
@@muhsinihassani2805 ahaa kama unajua hukumu nikazi ya mungu hao mashekhe wako wa mchongo wanachofanya kwa harmonize ni sahihi?hao ni matapeli tu kutwa mtandaoni
Huyu magumashi si ndio allkiuwa anatoa hukumu juzi juzi kwa msanii
Bwanaweeh
Uzuri doctor sule anaongeaga na kutoa ushahidi kama kuna kitu kakosea mkanushe kwa ushahidi sio kwa kubwabwaja
Wew una sapoti ujinga tu basi
Safi sana Shekhe
Mungu amuongoze selemani
Nnacho jua mimi jini Mzuri amtokei Binaadam Abadani
Ndio bado hujui sasa soma ujuwe
Anamtokea Kwa sura ya kibinadamu na hakuonyeshi tofauti Wala vitimbi
Elimu huna na hujataka kujua tafuta Elimu utajua ulimwengu
Sawa na swali dogo kwake Dr.SULE iyo PETE inamaana gan?
Uganga tu huoo
@@odilomwemeziernest646 🤣🤣🤣🤣🙌
Pete si kawaida bro au wewe huvai ??
MASHAALLAH
Mm napenda tu huyu mtangqzaji anamasqali mafupi ya hekima yenye point yaani hajakutupuka amejipanga hongera sana
Simu yako alete nani sasa Dr.Sule wakati simu unayo mwenyewe?😂😂🙌
😅
@@frankmichael411 Bhana weeee watu tunambwembwe kwenye mgongo wa ardhi hatari sana😂😂