JUMBA LA KIFAHARI LA DR SULLE "NDANI YA NYUMBA KUNA JINI LINAMUENDESHA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 04. 2024

Komentáře • 1,1K

  • @ramadhanimussa2625
    @ramadhanimussa2625 Před měsícem +63

    UJue watu hawajielewi cz mnapenda kumuona shekhe yuko kwenye jumba bovu anaendesha basikeli ndio museme mungu awajalie sio poa allah awajalie mashekhe wt wafike mbali inshallah

    • @issakobakimanga7738
      @issakobakimanga7738 Před měsícem +2

      Ewaaa watu wengi ndio fikra zao

    • @SuzyMarroch
      @SuzyMarroch Před měsícem

      Amen

    • @ismailabdallah7853
      @ismailabdallah7853 Před měsícem +1

      Binadam mawazo yao mabovu sana majin viumbe kama viumbe vingine kuna majini wapotovu kama binadamu kunawema wanaomumcha mwenyezi mungu

  • @maciaali3698
    @maciaali3698 Před 13 dny +3

    Doctor Sule unadunisha dini pia unatukana dini,Allah mpenda haki atakudhalalisha mbele ya watu InshaAllah

  • @user-qe3fs1xc3b
    @user-qe3fs1xc3b Před měsícem +20

    MashaALLAH mwenyezmungu azidi kukufanyia wepec kwenye na kheri nyingi za Dunia na akhera mm nakukubali Sana sheikh. Doctor SULE.

  • @abasssuleiman6149
    @abasssuleiman6149 Před měsícem +14

    Nilianza kumkubali huyu bwana tokea miaka ya 2003 nikiwa Mbeya, alisilimisha watu wengi pale, Allah ampe wepesi

  • @niyongiraidi7242
    @niyongiraidi7242 Před měsícem +6

    Allah akuzidishie kira raheri kwa kuokoa nafsi za wajawake Allah kwa kuamrisha heri na kukataza mabaya

  • @mwanaikaomar8628
    @mwanaikaomar8628 Před měsícem +30

    Nnachompendea dr sele.ni mfasaha wa mazungumzo kupita kiasi.humshiki kirahisi kwenye mazungumzo.huyu mtu Allah kampa kipaji kikubwa.mashallah

    • @MisheckSiame-si1yo
      @MisheckSiame-si1yo Před měsícem

      Mungu anisaidie kupata jini mwema

    • @YamunguMuha
      @YamunguMuha Před měsícem +2

      Allah gani wewe,hakuna Cha Allah Wala nn,mshirikina mtupu

    • @Famao-dg3ul
      @Famao-dg3ul Před měsícem +2

      ​@@YamunguMuhasiku ukimjua Allah ndio utajua makosa yako

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 Před měsícem

      Nyie wabongo si mnapenda watu wanaongea sanaaa ndy marole model wenu

    • @mwanaikaomar8628
      @mwanaikaomar8628 Před měsícem

      @@Famao-dg3ul kabisa yani.👍👍.hajamjua Allah Nani mpaka siku ya Kufa ndo atamjua.Allah ajaalie aslkm kabla ya mauti yake.hajitambui bado

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um Před měsícem +10

    Interview nzurii sana big up...MTANGAZAJI UNAJUA

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před měsícem +13

    Kichwa cha stori ulicho andika hapo ni tofauti na alivyo ongea Dr Sulle. Sio vizuri kupotosha watu muogepeni Mwenyezi Mungu.

    • @aishathabit3732
      @aishathabit3732 Před měsícem +2

      Huyu muandishi sio mwislamu

    • @aishathabit3732
      @aishathabit3732 Před měsícem +1

      Umekosea maana ya haram na halali
      Kasome tena maana hiyo ya halali na haramu

  • @MusaCleophac-bs9fk
    @MusaCleophac-bs9fk Před měsícem +4

    Uoj kisomi zaid nimependa uko vzr xan allah akujalie ❤

  • @muhammadally393
    @muhammadally393 Před měsícem +7

    Dr Sule mimi nakuombea kila la kheri duniani na akhera

  • @maryamkombo2039
    @maryamkombo2039 Před měsícem +2

    Dr. Sule, Nakuombea kwa Allah(SWT) akulinde, na akupe Maisha Marefu yenye Afya Kamili, Ili uzidi kuelimisha Umma. Shukran.

  • @aminabdalla7824
    @aminabdalla7824 Před měsícem +9

    Allah anajua zaidi ..... Allah tupe mwisho mwema waislam wote tulioko kwenye mgongo wa ardhi... Allah humma ameen🤲🤲

  • @IbrahimMahmoud-em1np
    @IbrahimMahmoud-em1np Před měsícem +42

    Mganga wa kienyeji anaetumia mgongo wa dini. Aqida ya ahlu sunna wal jamaa3ah hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Wewe sule mche Allah

    • @fatumaomary6110
      @fatumaomary6110 Před měsícem +3

      Soma ujue kama una muweza mfate ilala ustake kiki

    • @IbrahimMahmoud-em1np
      @IbrahimMahmoud-em1np Před měsícem +6

      Kwahio mtu akikomenti anatafuta kiki sindio?
      Hahahahaha ضعف الطالب والمبطلوب

    • @VukaRails-jp6mf
      @VukaRails-jp6mf Před měsícem +2

      Simba ndo simba anamahusiano na binadamu na watu wanafuga kama kawaida sasa jini inashindikanaje? Oxygen yenyewe haionekani na watu wanaitengeza kama kawa na wanamsaidia mgonjwa

    • @heriabudu3207
      @heriabudu3207 Před měsícem +1

      Kweli bro naanza kuwa na tashwishi naye

    • @IbrahimMahmoud-em1np
      @IbrahimMahmoud-em1np Před měsícem +13

      Katika uislam sisahihi mtu kuongea kitu hana ujuzi nacho.unaleta mifano ya Simba na oxygen unadhani dini hii haijakamilika katika kila nyanja?
      قال تعالى ما فرطنا فى الكتاب من شيئ.
      Hatujaacha chochote katika kitabu ( yani Quran) then anakuja mtu na mifano ya simba na oxygen. Narudia kusema hakuna mafungamano mahusiano baina ya bin Adam na jini. Na if yapo leteni dalili katika kitabu na SUNA au kauli ya wanazuoni wema. قل هاتوا برهانكم إن كنتم صادقين

  • @omariaman7818
    @omariaman7818 Před měsícem +8

    Huyu mtangazaji nimemkubali sana anajua sana kutengeneza maswali

  • @user-hu3sc4kg1f
    @user-hu3sc4kg1f Před měsícem +1

    Mashaallah tabarika allah mungu akubariki zaidi sheikh

  • @muhidinsultan2049
    @muhidinsultan2049 Před měsícem +15

    Allah akupe afya,Siha,na kila hitajiko lako na Allah aweke barka ktk harakati zako
    Dr sule Allah amekujaalia hakika.

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 Před měsícem

      Mnamsifia tu huyu ndyo anawakashifu sana akina mwamposa je huu utajili alionao yy kaupata wap? C humo humo kwenye dini? Kama yy yupo kwenye kweli na Akina mwamposa pia wapo kwenye ukweli kikubwa kila mtu adili na upande wa dini yake

    • @muhidinsultan2049
      @muhidinsultan2049 Před měsícem +1

      @@ndogoroedson199 Bro wanaadam tuna sir kubwa sana ktk utafutaji wetu kikubwa Sisi sio watoa hukumu hata sisi hasa Mm personal ninamatatizo yangu(mapungufu) Kikubwa ni kuombeana DUA au kufanyiana Maombi 🙏

    • @muhidinsultan2049
      @muhidinsultan2049 Před měsícem

      No coment bro🙏

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o Před měsícem +9

    Docteur Sule nakukubali sana Sheikh wangu

  • @kennethjunior6071
    @kennethjunior6071 Před měsícem +5

    Mtangazaji big Up sana

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 Před měsícem +2

    MashaAllah shkh Allah bless you

  • @RamadhanKarim-el6tv
    @RamadhanKarim-el6tv Před měsícem +1

    Dr Sule Allah akupe umri ugekuwa Rai's ugedelesha Ichi Sana vizuri Sana mashaallah

  • @IbrahimNtirenganya
    @IbrahimNtirenganya Před měsícem +3

    Allahu Akibar Allah akupe hidayat kama unataka kufaidi nakujuwa mengi kuhusu ilimu ya dini watafute Wana ilimu ya dini

  • @saiddigogogo8218
    @saiddigogogo8218 Před měsícem +51

    Nili wai kukupigia cm nilikua na mgonjwa anatapika damu ukanielekeza dawa ...nikaona kama umenizalau kumbe ilikuwa dawa kweli .... inshallah Mungu akuzidishie na akupe maisha malefu

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u Před 17 dny +1

    waaa waisilamu mnakupaliana na xhekhe wenu mimi yesu ananitosha

  • @mwanaikaomar8628
    @mwanaikaomar8628 Před 15 dny

    We unauliza swali moja.mwamba anakujibu majibu kumi.aaa weee.asante Allah kwa kutupa huyu mtu.dr.sule nchini tz.alhmdulillah

  • @bashirmahero7021
    @bashirmahero7021 Před měsícem +5

    Sule nakupenda bro

  • @allymwinja2693
    @allymwinja2693 Před měsícem +5

    Dr. Sule ni MTU NA NUSU. Allah akulinde Sana🤝🙏

  • @ShomaryGango
    @ShomaryGango Před měsícem

    I like this interview, you did bro.

  • @user-dp8hr7ex5p
    @user-dp8hr7ex5p Před měsícem +2

    Dr mungu akubariki sana

  • @ArafaSuleiman-db9pw
    @ArafaSuleiman-db9pw Před měsícem +6

    Mashallah Barakah ALLAHU fiiqum hbbi shekh wangu doctor sule kwn ss wa kenya tunakupenda kwa minajili y Allah swt akulinde na kila aina husda na balaa na akupe mwisho mwema aaamiin

  • @kambiyusufu2776
    @kambiyusufu2776 Před měsícem +3

    Sjui unanielewa❤❤❤❤

  • @user-ci1hf6fm7t
    @user-ci1hf6fm7t Před měsícem +2

    Nimekupendaaaaa

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 Před 25 dny +1

    Mtangazaji uko vizuri unauliza ukijitoa big up for that kwasababu uislamu unauchawi wingi 😢😢😢😢 Bali ulipotea sana kwenye mada

  • @benjaminlisi6097
    @benjaminlisi6097 Před měsícem +6

    Mtangazaji ana maswali mazuri sana.. watching from Kenya

  • @saloom4902
    @saloom4902 Před měsícem +13

    Bro una maswali critical sna umefit kabisa kuwa presenter Allah akufanye bora zaid ufikie ndoto zako❤

  • @SeifHamad-vn6bo
    @SeifHamad-vn6bo Před měsícem +1

    Allah akulinde kwa Kila Shari uzidi kutangaza elimu ya dini❤

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o Před měsícem +2

    Asante sana Sheikh wangu , WE mkweli kabisa

  • @thomasgogomoka6404
    @thomasgogomoka6404 Před měsícem +4

    Huyu ni Mganga tu wa Kienyeji aliyechangamka, mkiambiwa Waislam mnafuga majini mnakasilika.

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 Před měsícem +5

    Mungu Tusaidie sana Hizi zama ni Hatar Sana

    • @user-sh3tr8cm1v
      @user-sh3tr8cm1v Před měsícem +1

      Sana walai...

    • @user-rq9hb7hl3g
      @user-rq9hb7hl3g Před měsícem +1

      Fitna kila kona, Allah atujaalie uongofu na tufe ilhali tupo katika uongofu

  • @user-ou2og1ze9d
    @user-ou2og1ze9d Před měsícem +2

    Hongereni sana hakuna mkamilifu

  • @MavisMunyiva
    @MavisMunyiva Před měsícem +1

    Very true Daktari Kindly pray for my sons Brian and Raymond to excell in life .Thank you

    • @MansourKabuhaya
      @MansourKabuhaya Před měsícem

      Are they islamic?? How can he pray for non Muslim??

  • @azizabuyonde8368
    @azizabuyonde8368 Před měsícem +4

    Asante Yesu kunifiliya, ni hatari viongozi wa ma dini

  • @patsonkyando1732
    @patsonkyando1732 Před měsícem +3

    Huyo Dr sule ni mganga wa Kienyeji

  • @DhaharaniJongo-gt2un
    @DhaharaniJongo-gt2un Před měsícem

    Namkubali sna sheikh doctor sule

  • @abdallahsalem8499
    @abdallahsalem8499 Před 27 dny +1

    Salaam Aleikum Dr. Sule,
    Nakuomba unipatiye number ya Clinic yako Mombasa, jazakallahul kheir

  • @MatildeBjelland
    @MatildeBjelland Před měsícem +9

    Jini ni jini Tu hapaswi kuishi na binadamu

    • @VukaRails-jp6mf
      @VukaRails-jp6mf Před měsícem

      Mbona kuna watu wanaishi na simba?

    • @user-gt8fw9vk4c
      @user-gt8fw9vk4c Před měsícem

      😂😂😂😂acha uoga,mbona Paka Mbwa tunaishi nao ndani

  • @PaulMsema
    @PaulMsema Před měsícem +17

    Mungu ni mwaminifu pia mvumilivu sana,siku moja maji na mavuta yatajitenga kuhusu Imani zetu

    • @mwanaikaomar8628
      @mwanaikaomar8628 Před měsícem

      Ni kweli kabisa maneno yako.lkn tunapaswa kuchunguza kabla ya kujitenga hayo Maji na mafuta.ili tuweze kufuata dini ya kweli.kwani tukisubiri Hali hiyo mpaka itokee itakuwa Ni too late.hapo litakalofuata Ni moto tu.hivyo tuchunguze na kusoma Kwa undani zaid vitabu.tusijetukachelewa.mara nyingi kwenye viwili.kimoja kinakua wrong.nayo Ni dini ya kikristo.tubu mapema kabla ya kifo

    • @Rmkh88
      @Rmkh88 Před měsícem +2

      Yameshajitenga tayari, Uislamu ni haki na ukristo ambao Mungu ameuliwa na akasulubiwa ni batili. Mungu amezaliwa na binadamu? Lol

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 Před měsícem

      Hizi dini tumeletewa watu wengi sasaivi wamerudi kwenye asili zao, jamani turudi kwenye asili zetu 😂😂😂 jamani hivyo vyote vyawezekana

    • @ELIASFELIX-bq2nc
      @ELIASFELIX-bq2nc Před měsícem

      @@Rmkh88 dini za majini na mapepo na mizimu zimekuwa haki. Ama kweli hekima ya mwanadamu kwa Mungu ni upumbavu

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 Před měsícem

      Mungu wako hakujua kuwa atauliwa na binadamu wake, mission ya Mungu imefeli maana Bado tunaendelea kutenda dhambi...ukristu ni rubbish in the rubbish pit.

  • @user-qp5my5ju6u
    @user-qp5my5ju6u Před měsícem

    Mash'Allah...

  • @muktarikwangaika1857
    @muktarikwangaika1857 Před měsícem

    Mungu akubariki sana shekhe

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Před měsícem +7

    Dr. sulle nakukubali unajua kunyoosha maneno adi raha

  • @ELIASFELIX-bq2nc
    @ELIASFELIX-bq2nc Před měsícem +8

    Mungu akuhurumie Sheikh!

  • @user-wf4vp6zu2y
    @user-wf4vp6zu2y Před měsícem +1

    Nakupenda shekh kwaajil ya allah

  • @hajikomora703
    @hajikomora703 Před měsícem

    Mungu akuhidha sheikh.

  • @abdullahmsuya665
    @abdullahmsuya665 Před měsícem +5

    Kwa upande wa majini, umeusemea uislamu uongo jambo usilo na ilimu nalo, unataja aya za uongo, nawanasihi waislamu na wasiokua waislamu wajifunze uislamu kwa watu sahihi watu wenye ilmu sahihi ya dini. Wasikilizen mashaykh wakisalafy Shaykh Qassim mafuta, Abdallah humeid, Abuukhaulah Mbwana Abdi Allah awahifadhi

    • @hajihaji123-lp5lx
      @hajihaji123-lp5lx Před měsícem

      kweli kabisa huyu ni dr wa nguvu za kiume sasa ukimfanya ni sheikh unapotea

    • @jayabdy7273
      @jayabdy7273 Před 13 dny

      Baarakallah fiyk.

  • @amanimanase8799
    @amanimanase8799 Před měsícem +3

    Sawa mganga wa kienyeji tumesikia

  • @Jabaman207-ue6sk
    @Jabaman207-ue6sk Před měsícem

    MashaAllah suleee

  • @FatumaMpokwa
    @FatumaMpokwa Před 12 dny

    Alhamdulillah Allah akutengenezee mambo yako

  • @fatmahussein1238
    @fatmahussein1238 Před měsícem +3

    Allah azidi kukubariki Dr Sulle ama kweli neema za Allah zitangazwe

  • @oklahommy9838
    @oklahommy9838 Před měsícem +5

    Audhu Billah huyu Dr sule ...Allah ndio ajuaye

  • @SangaleSugume
    @SangaleSugume Před měsícem +1

    Ndy Majin walijenga

  • @user-nu4qn4ep4z
    @user-nu4qn4ep4z Před měsícem

    Sulle yuko vizuri...

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 Před měsícem +2

    Watumishi wa Mungu wamebarikiwa bhana wanadamu sisi tuache maneno

    • @nassoroyahaya821
      @nassoroyahaya821 Před měsícem

      Wamebarikiwa vipi watumishi wa Kikristo ambao wanaamini na kuhubiri Uungu wa Yesu,Utatu mtakatifu haya mambo 2 ni makubwa ni laana kumshirikisha Mungu na viumbe

    • @vesper2548
      @vesper2548 Před měsícem

      ​@@nassoroyahaya821 mwenyezi mungu anawarehemu wema na waovu hapa duniani, ata uwe kafiri vipi mwenyezi mungu anakubariki2

  • @user-MRTSLONLINE
    @user-MRTSLONLINE Před měsícem +112

    Kama unamkubali doctor sule gonga like hapa

    • @hanifamasudi9732
      @hanifamasudi9732 Před měsícem

      Doctor sule amemutapeli babangu mukwe alimudanganya atamutumia dawa akadanganya hadi akafa hadi mbele akateroho akaomba wakutane kiama

    • @bas2823
      @bas2823 Před měsícem

      ANOSEMA KINATAKIWA CHANO NI MGANGA! ANAJIDAI KUPANDISHA SHETANI KICHWANI KWAKE STI SHETANI ANATAKA CHANO! WAKATI SIO SHETANI NI HUYO MGANGA ONLY NDIE ANOTAKA KILE CHANO! WALA SIO JINNI AU SHETTANI NI MWANA ADAM NDIE ANACT TUU HUYU ANA PALACE LIKE KING! KAZIPATIA WAPI PESA HIZO KUWA YEYE AWE NA JUMBA HILO!? HUYU SHEIKH!? OR MGANGA ONLY!

    • @bas2823
      @bas2823 Před měsícem

      WEYE SIO SHEKHEE! ABADAN!

    • @JumOnyancha
      @JumOnyancha Před měsícem +1

      @@hanifamasudi9732 huyu ni mganga wa majini ya Muhammad ndiye mnayemsifu ....

    • @stevensosipita
      @stevensosipita Před měsícem +2

      KUMKUBALI KWA LIPI?KWA UCHAWI AMA KWA LIPI?HAWO WOTE MOTO WA JEHANNAM UNAWASUBIRI

  • @uwimanajustine7313
    @uwimanajustine7313 Před měsícem +1

    Mwenyezi Mungu aki kubariki ,jivunie na utangaze,mbone wenye watatoa kwa jina zengine wanatangaza!?

  • @MustaphaKiluke
    @MustaphaKiluke Před měsícem

    MashaAllah,wanyumbani wazee walikunyima ubunge wa CCM,kule kwetu Rufiji,umetoboa kwa njia nyengine

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes3596 Před měsícem +3

    Mungu ni mmoja tu na asili yake niyeye mwenyewe,Ametuumba kwa mfanano wake

    • @salimsaleh9354
      @salimsaleh9354 Před měsícem

      Unaposema mungu katuumba kwa mfano wake hayo ni mawazo potofu mungu hafanani na chocho wala hana mfano

    • @godfreydavid6847
      @godfreydavid6847 Před 7 dny

      Kwa hiyo yupoje? ​@@salimsaleh9354

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina3893 Před měsícem +4

    Daah hapo kazi kweli kweli, Masheikh wanatakiwa wasome tawd sana wanapotosha watu haswa wale ambao wanataka kuingia kwenye uislam

    • @DOCTORYKAGUFA
      @DOCTORYKAGUFA Před měsícem +1

      kwann unasem ivo

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před měsícem

      ndo ukweli huo wa Doctor Sule ndugu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před měsícem

      ​@@DOCTORYKAGUFAAnaogopa tumejua ukweli ndani ya Uislamu

    • @anthonymgina3893
      @anthonymgina3893 Před měsícem

      Ni kweli katika Quran Allah amesema amewaumba binadamu na majini lengo ni kumuabudu kama ilivyo kwa viumbe vingine ambavyo hatujui wanaabudu vipi nao ni waislam ila jini lolote likiungana na binadamu tayari hakuna lolote isipokuwa ni uovu tu maana hakuna ushirika wa jini na binadamu kisheria, wao wanaabudu kinamna yao nasi kinamna yetu. NB yoyote ambaye yupo karibu na viumbe hawa mara nyingi wote wanakuwa ni waasi na niwashirikina. Na hakuna mwislam yoyote ambaye ni Sheikh atakuja na hadith au aya ambayo ina ruhusu sisi kufungamana na majini.

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 Před měsícem

      Misunderstandings tupu

  • @PtransJulius
    @PtransJulius Před měsícem

    Mtangazaji big up sana unajua

  • @user-og6qz2ht6e
    @user-og6qz2ht6e Před měsícem

    ❤mungu akubariki

  • @Blessedboi8019
    @Blessedboi8019 Před měsícem +5

    Sule ni mchawi anachificha kwa dini

    • @diagfinamix1861
      @diagfinamix1861 Před měsícem

      Fanya taratibu sasa umuhangushe akiruka hewani kwenye ungo tumshangile ndo tujuwe ni mcawi ama laa.

    • @heriabudu3207
      @heriabudu3207 Před měsícem

      😮😮

    • @Onlyforfun1992tube
      @Onlyforfun1992tube Před měsícem

      Dah bro sio fresh jamaa ana familia na ana watoto na ana wafuasi pia kwaio samahan usimtusi bana mzee

  • @CKMO
    @CKMO Před měsícem +3

    Doctor tuzidi kutuelimisha na tuna zidi kukupenda sana ❤

  • @cbyekwaso
    @cbyekwaso Před měsícem

    Great interview

  • @sturbbornvideoz8547
    @sturbbornvideoz8547 Před měsícem +1

    Interview nzur sana

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 Před měsícem +14

    Nampenda sana YESUKRISTO mimi jamani nampenda kuliko maelezo

    • @znaqmumeja2678
      @znaqmumeja2678 Před měsícem +2

      Muongo wewe , unampenda mtu usimuona, na hakujui, eti kuliko maelezo,🤣🤣🤣🤣🤣

    • @user-nb2ql7zw3i
      @user-nb2ql7zw3i Před měsícem

      Sasa tukusaidiaje na huyo ndiyo bwana yako uliyomchagua.

    • @jabirkasunzu6841
      @jabirkasunzu6841 Před měsícem +2

      Kuna siku utang'ata kidole

    • @user-yu1zo9pf4o
      @user-yu1zo9pf4o Před měsícem +1

      Endelea kumpenda ila elimu haina mwixho soma ujiue njia sahihi❤

    • @jumamwacharodzikowa523
      @jumamwacharodzikowa523 Před měsícem +1

      Kumpenda ni huko kumwita mwana wa Mungu ndio Kumpenda

  • @user-dk8uf8ho9s
    @user-dk8uf8ho9s Před měsícem +4

    Hahahahahaa dah Bwana Yesu urudi tu

  • @DuliBrillant-mr8er
    @DuliBrillant-mr8er Před 26 dny

    Dr sule i'm proud of you 4rever❤❤❤

  • @RamadhanMohamed-jz6xm
    @RamadhanMohamed-jz6xm Před měsícem +4

    Tatizo la makafiri wakisikia jini tu wao wanawaza vitisho uchawi Habari na mambo mabaya tu

    • @bassambashirou4604
      @bassambashirou4604 Před měsícem

      Ndio walivyokarorishwa kuwa hakuna jini mwema na wanashindwa kujua nini shetani na nini jini

    • @user-sp7cm8pm4w
      @user-sp7cm8pm4w Před měsícem +1

      Hao ni malaika walio mias Mungu,wakatupwa hata pande za chin za nch,, lakin unyakuo ndio utatoa majibu ya muabudu wa kwel ni yupi.

    • @ChoiceSportstv
      @ChoiceSportstv Před měsícem

      ​@@bassambashirou4604 Kaka jini na Shetani wote walimuaasi MUNGU na hakuna Hapo mzuri ....Mzuri NI malaika haooo wengine walimuaasi MUNGU na wamelaaaaaniwa

  • @ramadhanimussa2625
    @ramadhanimussa2625 Před měsícem +11

    Shida tunapenda kumuona Paster anaendesha V8 lakini shekhe akiendesha inakuashida kwa watu kuna watu maostadhi wanafundisha watoto wa ma boss ila kanzu imefubaa 😢😢😢 ndio tunasikia furaha si ndio tuache kujishusha waislam tuwaombee sn kwa allah

  • @KassimIddi-pt9yr
    @KassimIddi-pt9yr Před 10 dny

    Hivi mbna wachungaji Wana endesha magari makubwa wanaishi vzr wanalala majumba makubwa makubwa na maisha yanaenda vzr tuh mbna shekhe akiishi vzr na kuendesha magari makubwa munasema waislm munafuga Majin?

  • @eliamwankenja7087
    @eliamwankenja7087 Před měsícem +1

    Nakupenda Sana

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 Před měsícem +4

    Muongo wewe Suleiman mungu alimuongoza sio jin

    • @heriabudu3207
      @heriabudu3207 Před měsícem

      Huyu shehe namwonea mbali Kwa maneno yake

    • @3leggedbird222
      @3leggedbird222 Před měsícem

      Ohoo hapo kwa suleiman ni kweli unajua lile hekalu ni kweli lilijengwa nq majini tena wakubwa wenye nguvu hapo amepatia

  • @ClementinaHabineza
    @ClementinaHabineza Před měsícem +4

    Mnapenda sana waisiraamu majini Sisi tunashamga

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Před měsícem

      Na mwamposa ni mwislam anaetapeli watu kuwaombea ?

    • @RemyDuma-db5fd
      @RemyDuma-db5fd Před měsícem

      ​@@uwimana6533Mwamposa ndio kiboko yenu nyinyi na Majini yenu kuiba Pesa, kuloga,maradhi n.k

    • @susanejd7775
      @susanejd7775 Před měsícem +2

      Waisiraamu ndo kina nani. Inaonyesha ww zuzu mmoja usojijua

    • @RemyDuma-db5fd
      @RemyDuma-db5fd Před měsícem

      @@uwimana6533 Mwamposa ndio kiboko yenu Wafuga Majini na Majini yenu

    • @KSJ6569
      @KSJ6569 Před měsícem

      Haya nyie mnae sema mlimoona Mungu amuoni kuwa mnamkufuru Mungu sikiliza maneno mjielew mlipoteya kiasi gani nyie

  • @ismailabdallah7853
    @ismailabdallah7853 Před měsícem

    Hira namkubari sana Dr Suleman

  • @user-iq4kl8lc5z
    @user-iq4kl8lc5z Před měsícem +2

    Ustadh Gani ananyoa Ivo?

    • @KhalifaHussein-gb1pq
      @KhalifaHussein-gb1pq Před měsícem

      Naomba unipe sheli ya kunyoa ww nilujibu mm sawa ww

    • @alimombasa4
      @alimombasa4 Před měsícem +1

      Aisee mwenyewe nashangaa sana,kwann ananyoa panki

  • @kennethjunior6071
    @kennethjunior6071 Před měsícem +3

    Mmi nakukubali sana Dr sure, even though am a Christian

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf Před měsícem +5

    Tapeli Tu huyu anatuma dini kuibia watu

  • @usrahismail3196
    @usrahismail3196 Před měsícem

    Nilimuheshimu sana Sulle kwa maswali ya elimu ya Biblia ukilinganisha na Qur'an ila sikujua ana udaktari wa kishirikina,Allah amuongoze

  • @bashirbaruan3969
    @bashirbaruan3969 Před měsícem

    Dr sule me ktk masuala ya Dini ya ukristo upo vizur sana lakini kwenye Quran tukufu sio saana but all in all nakupa big up sana ktk kazi zako za biblia

  • @Magemria
    @Magemria Před měsícem +3

    Na wanaokusapoti ni wenzio

  • @ahmedalfan8075
    @ahmedalfan8075 Před měsícem +18

    Hamna shee umo

    • @Omaryactor01
      @Omaryactor01 Před měsícem

      We mwislam gani hawa ni warith wa mtuma acha upuuzi

    • @ahmedalfan8075
      @ahmedalfan8075 Před měsícem

      @@Omaryactor01 mpuuzi mim au wew mtume awezi kua na mrith tajir ktk inchi ya kafir hakuna muumin wa kweli akainjoi ktk inchi ya kitwaahud nenda madrasa kwanza

    • @user-kd6xn7ux4v
      @user-kd6xn7ux4v Před měsícem

      ​@@ahmedalfan8075kuwa nahaya ww we unaona raha gn kuona masheikh wanakuwa maskini yaan sheikh akiwa napesa wee unachukizwa!

    • @silvanusjeremiah8256
      @silvanusjeremiah8256 Před měsícem

      You're talking too much nonsense.... idiot

    • @safarsafari68
      @safarsafari68 Před měsícem

      Shekhe ni Baba ako2

  • @jahsjjsj583
    @jahsjjsj583 Před měsícem +1

    Mungu yu mwemaa

  • @BakariChimako-gq6st
    @BakariChimako-gq6st Před měsícem

    DR Sulle MUNGU akujali kwa kilalakheri inshallah

  • @stevensosipita
    @stevensosipita Před měsícem +6

    MAZINGE ,SULLE SHEKHE MWAIPOPO SHEKHE MAJINI NK WOTE NI JEHANNAM INAWASUBIRI MATAPELI NA WANAPOTOSHA UMMA

    • @Rmkh88
      @Rmkh88 Před měsícem

      Kwa chuki zako tu

    • @user-tg5ru7cb9b
      @user-tg5ru7cb9b Před měsícem +1

      Duuh Mungu ndiye anaehukumu

    • @princessmakwega2444
      @princessmakwega2444 Před měsícem

      Kwaiyo wewe una pepo na una moto wa kuwapa watu duu Pole sana tubia mda bado unao

    • @muhsinihassani2805
      @muhsinihassani2805 Před měsícem +1

      We kama nani mpaka umuhukumu mwanadam mwenzio kua ni wa motoni acha habari zako bwn hiyo ni kazi ya mungu mwenyewe si binadam

    • @stevensosipita
      @stevensosipita Před měsícem +1

      @@muhsinihassani2805 ahaa kama unajua hukumu nikazi ya mungu hao mashekhe wako wa mchongo wanachofanya kwa harmonize ni sahihi?hao ni matapeli tu kutwa mtandaoni

  • @ahmadifataha6677
    @ahmadifataha6677 Před měsícem +5

    Huyu magumashi si ndio allkiuwa anatoa hukumu juzi juzi kwa msanii

    • @khamisyahya7703
      @khamisyahya7703 Před měsícem

      Bwanaweeh

    • @omariaman7818
      @omariaman7818 Před měsícem

      Uzuri doctor sule anaongeaga na kutoa ushahidi kama kuna kitu kakosea mkanushe kwa ushahidi sio kwa kubwabwaja

    • @SumaiaIssa-px4pl
      @SumaiaIssa-px4pl Před měsícem

      Wew una sapoti ujinga tu basi

  • @aminaabdulrahman5184
    @aminaabdulrahman5184 Před měsícem

    Safi sana Shekhe

  • @hassanmohamedigo9021
    @hassanmohamedigo9021 Před měsícem

    Mungu amuongoze selemani

  • @nickbrown8350
    @nickbrown8350 Před měsícem +6

    Nnacho jua mimi jini Mzuri amtokei Binaadam Abadani

    • @user-uj2nv2ns1t
      @user-uj2nv2ns1t Před měsícem

      Ndio bado hujui sasa soma ujuwe

    • @ugazosimba7581
      @ugazosimba7581 Před měsícem

      Anamtokea Kwa sura ya kibinadamu na hakuonyeshi tofauti Wala vitimbi

    • @muhammadally393
      @muhammadally393 Před měsícem

      Elimu huna na hujataka kujua tafuta Elimu utajua ulimwengu

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před měsícem +3

    Sawa na swali dogo kwake Dr.SULE iyo PETE inamaana gan?

  • @OchoaHomeDecor_
    @OchoaHomeDecor_ Před měsícem

    MASHAALLAH

  • @annakattoa7502
    @annakattoa7502 Před 29 dny

    Mm napenda tu huyu mtangqzaji anamasqali mafupi ya hekima yenye point yaani hajakutupuka amejipanga hongera sana

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před měsícem +3

    Simu yako alete nani sasa Dr.Sule wakati simu unayo mwenyewe?😂😂🙌

    • @frankmichael411
      @frankmichael411 Před měsícem

      😅

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před měsícem +1

      @@frankmichael411 Bhana weeee watu tunambwembwe kwenye mgongo wa ardhi hatari sana😂😂