Hao Mayahudi wa Jerusalem unaodhani ni ndugu zako wenzio wanaamini Yesu ni Mtoto wa Zinaa - Dr Sule

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 11. 2023

Komentáře • 1,1K

  • @PatelArhan-sy4vq
    @PatelArhan-sy4vq Před 4 měsíci +7

    Swadata nimekupata shekhe kutoka Lusaka zambia 🇿🇲

  • @akiliiddtuliza418
    @akiliiddtuliza418 Před 7 měsíci +18

    Ma Sha Allah umeelezea vizuri Dr. Sulle. Allahu Musta'an

  • @user-it6zi7zw8y
    @user-it6zi7zw8y Před měsícem +1

    mashallah mashallah mashallah doctor sule umelimisha vizur sana wanao taka kufata dini ya kislam wafate wasio taka kazi kwao ukweli ndo huo mmeisha alimishwa

  • @AnithaMuvurwaneza
    @AnithaMuvurwaneza Před 23 dny

    Shee ayo ni maubiri ambiya waislamu Kama ni masmdiko kwenye Bibliya ukifundisha sema mahi coroani....,Mwanzo... Njo mtumishi Yesu anakutaka karibu

  • @listonjiwe3467
    @listonjiwe3467 Před 7 měsíci +17

    Anawahadisia maamuma hawa ndio wanaopotosha kweli ya mungu wanajalibu kupambana na mungu wakiwa hapa duniani

    • @hemedbamja3197
      @hemedbamja3197 Před 7 měsíci +4

      Google sensa ya Israel ya 2021(religion structure) uone wakristo ni 1.9%; na Judaism ni 78%. Sasa sijui huwa mnabariki Israel yupi asiyemkubali yesu,ewe usiye maamuma

    • @J4UPro
      @J4UPro Před 7 měsíci


      Huyu hajui chochote

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci +1

      Hawa ndio wapinga Kristo wenyewe

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 Před 7 měsíci +1

      ​Mungu amesema abarikiwe anaembariki Israel na alaaniwe anaemlani Israel

    • @hemedbamja3197
      @hemedbamja3197 Před 7 měsíci

      @@frankjohn8706 : ndipo nami nikauliza ni yupi haswa?hawa kina netanyahu? Maana 78% ya wayahudi hawamuamini Yesu na wanapinga Imani ya kikristo. Je ndo hao mnaotakiwa kuwabariki ama kuna wengine?

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 3 měsíci +4

    Ishallah Allah akujaalie kuwaelimisha wasojuwa

  • @MichaelDonaldnchingaMichaelDon

    Tunajua toka zamani kabla uislamu haujazaliwa,Wayaudi ni ndugu zetu kwa jinsi ya Roho ndivyo maandiko yanavyo sema Dr sele

  • @EliasyNgitoriacheupe
    @EliasyNgitoriacheupe Před 26 dny

    Gaza ni taifa ambalo halikuhesabiwa walimuhasi Mungu.na maandiko yanatimia kuwa atamalizwa siku za mwishon.mungu n moja.tuwasomeshe watto wetu maandiko waelewe wasiidanganywe

  • @jacobkihanga5455
    @jacobkihanga5455 Před 7 měsíci +12

    Naelewa sn uislamu ee mwenyezi mungu nijarie roho yakuingia ktk uislamu

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci

      Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana.
      Mfano mdogo tu;
      > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9.
      > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad.
      > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13).
      > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia.
      > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi.
      > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad.
      KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI😂

    • @user-mc2xd4eu2p
      @user-mc2xd4eu2p Před 5 měsíci +1

      ​@@NgengeMkeni-uo5hqmoyo wako umejaa chuki za ukafiri huwezi kuzuia nuru ya uislam hata ukiangalia wanaosilimu duniani ni wengi na huyo yesu unaemuita mungu wako sisi ni ndugu yetu muislam mwenzetu nabii wa mungu

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 5 měsíci

      @@user-mc2xd4eu2p Kwanini Mtume Muhammad alimwingilia mtoto wa miaka 9 kama sio ubakaji?? Jibu swali acha blah blah.. yaani kweli kwa akili zako timamu unaweza kumuozesha mtoto mdogo kama huyo?
      Nuru ipi hiyo unazungumzia? Ya kubaka watoto au?

    • @user-mc2xd4eu2p
      @user-mc2xd4eu2p Před 5 měsíci

      @@NgengeMkeni-uo5hqadam alimuingilia mtoto wa siku moja kuzaliwa hawa alizaliwa siku hiyo hiyo akamuingilia siku hiyo hiyo akapata mimba siku hiyo hiyo mambo ya nabii unataka yawe kama wewe tatizo lako

    • @user-mc2xd4eu2p
      @user-mc2xd4eu2p Před 5 měsíci

      @@NgengeMkeni-uo5hq ukijibu kwa nini adam alimpa mimba mtoto wa siku moja utapata jibu kama utaacha jazba

  • @AnnaSanga-bs7pl
    @AnnaSanga-bs7pl Před 7 měsíci +11

    Ubarikiwe kwa kufundisha ukristo

  • @Kassimmbawala
    @Kassimmbawala Před 3 měsíci +1

    Mwenyezi mungu akupe maisha marefu

  • @gracefilipo5728
    @gracefilipo5728 Před 6 měsíci +1

    Ahsante kwa kutufafanulia hili hwa ndugu. wanatakiwa.kupatana.wenyewe.

  • @user-fz5ff7rg1l
    @user-fz5ff7rg1l Před 7 měsíci +6

    Napenda darsa zako doctor sile

  • @musapfute6608
    @musapfute6608 Před 7 měsíci +8

    Mara 100000000000, nibadili iman niwe myaud kuliko kua iman fln imejaa ubinafsi na chuki iliyopindukia

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz Před 7 měsíci +1

      Kawaida ya watoto wa kijakazi, Wala hata usije maaana huku hakuna kufuga maruhani, Wala kuchoma ubani kuwaita mashetwani kuongea. . Huku ni free from GOD

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz Před 7 měsíci +1

      Chuki mnazo nyinyi mnaochinjana chinjana na kujilipua lipua eti thawabu.

    • @mkude
      @mkude Před 5 měsíci

      ​​@@faithfaith-zr6gzwewe unachuki sanaa na muongo sanaa kwanza dini ya muislamu Haina sifa hizo unazosema wewe,je ningetoa sifa ya dini yenu na vituko vya viongozi wenu patakuwa hapatoshi hapa,halafu huyo unaemjibu ni mkiristo kama wewe sio muislamu

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz Před 5 měsíci

      @@mkude Jiteteeee Mtukuze MUNGU JUA,, Mambo gani ya kufuga maruhani na kufusha fusha miudi,ubani, Mara Pete,chano, maoepo mnautwa malaika wazuri,, hivyo vinavyopandaga kichwani mnavipa ubani au zafalani Ni vitu gani!?? Wewe tushatoka Huko sisi,, Kama unaona kwako Kuna faida na kuzuri Kaa kimya, usijihesabie haki eti upo salama, Mbinguni atuendi kwa dini yoyote ni matendo yako,, Dini ni taasisi tu za kutuweka ktk kujua kanuni za MUNGU, Wote tuna haki mbele ya MUNGU... Angalia moyo wako Na Imani yako c dini.

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz Před 5 měsíci

      @@mkude Mimi sitishwi na mtu kujiita mkristo, Anaiweza kuwa mkristo jina na hana kanuni za UKRISTO.

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu4153 Před 6 měsíci +1

    Shekh wetu huyu khakika anajuwa njia iliyonyoka atakuja kwa Yesu miaka siyo mingi❤

  • @DevidsLema
    @DevidsLema Před 7 měsíci +11

    katika jina la yesu kristo mwogopeni mungu acheni uongo

    • @teamallyracing1780
      @teamallyracing1780 Před 7 měsíci +1

      Sasa uongo ni upi na hii hata kwenye biblia ipo waulize mapadri zenu wanaolewa

    • @gatekanene5753
      @gatekanene5753 Před 7 měsíci +1

      DevidsLema: hujuwi kama hawa wafuasi wa mudi kusema uongo kwa ajili ya dini ni halali kwao?? Afazali adanganye kwa kujionesha kuwa anaweza na anajuwa kila kitu kumbe uongo mtupu😂😂😂😂😂😂

    • @jobmwakipesile9903
      @jobmwakipesile9903 Před 7 měsíci

      Hii ni Miongo hatari

    • @ywydhhd7941
      @ywydhhd7941 Před 7 měsíci

      Devidslema ,jifunze kwanza kuandika majina ya Mungu au MUNGU herufi kubwa, Yesu au YESU , Mungu au MUNGU

    • @pendosharif-kw4gl
      @pendosharif-kw4gl Před 6 měsíci +3

      Hakuna kiongo hapo. Mimi ni mkristo na naamini yote haya

  • @elizabethdamas-zp9xl
    @elizabethdamas-zp9xl Před měsícem +3

    ifike mahali kila mtu aongelee din yke na kila mtu aishi kwa kadri ya imani yake sababu dini haimpeleki mtu mbinguni bali ni matendo yetu 🙌

    • @ramadhanjuma610
      @ramadhanjuma610 Před měsícem

      Toa andiko linalo sema Dini aimpeleki mtu mbinguni acheni kuropoka wakristo

    • @MohamediOmari-nz4vv
      @MohamediOmari-nz4vv Před měsícem

      Wakristo wenyewe awaiamini dini yao

  • @estermgoma7451
    @estermgoma7451 Před 7 měsíci +8

    Nyie lumbaneni tuu ila yale mengine tunayo jiuliza majibu anyone Mungu cha msingi tuu Mungu atusaidie twende hapoo anapo hitaji tufike

    • @LastdayJesu4153
      @LastdayJesu4153 Před 6 měsíci

      Nimependa hiyo ...anapotaka tufike

    • @mussamssuya3051
      @mussamssuya3051 Před 4 měsíci +1

      Hamjielew nyie

    • @sadri_khan9319
      @sadri_khan9319 Před 3 měsíci

      Hata na wewe pia unayo majibu maana umefanywa kua ni kiumbe bora na ukapewa akili utakosaje majibu

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 Před 3 měsíci

      Kila mtu anayo akili na maarifa lakini ufahamu unatofautiana kila mtu anajifunza kwa mtu anaemuona anamzidi maarifa!

  • @shabanikipundile8357
    @shabanikipundile8357 Před 7 měsíci +1

    Ukisoma vizuri utagundua kuna tofauti kati ya wayahudi na waisraeli aliowateua mungu. Kuweni makini ondoeni jazma na murudi mezani musome mtagundua hilo.

    • @user-yv7ij4zh4k
      @user-yv7ij4zh4k Před 7 měsíci

      Wayahudi ni maanake ni Waisrael waliokuwa katika Ufalme wa Yuda (Soma kitabu cha Wafalme). Ufalme wa Yuda ni Makabila mawili ya Yuda na Benjamin na ndio Wayahudi. Kumbuka baada ya Mfalme Suleimani kufariki Ufalme wa Israel chini ya mwanae Rehoboamu uligawanyika katika sehemu mbili ambazo ni Ufalme wa Yuda (Uliokuwa kusini na makao makuu Yerusalem) na Ufalme wa Israel ulikuwa Kaskazini (Makabila 10) ambao Makao Makuu yao yalikuwa ni Samaria.

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 Před 7 měsíci

      Hahaha myahudi na muisraeli ni sawa na kusema Kuna malapa na kandambili, hakuna tofauti ndugu sijui umesoma kwa kitabu Gani hiyo ? Jaribu kua makini Sana .

  • @ahmedykatimba768
    @ahmedykatimba768 Před 5 měsíci +2

    Siku zote mjinga huwa anatuka na kupinga hata kama anajua ukweli shehe uko sawa huwezi ongea haya kwa uwongo allah akujalie kwa elimu uliyonato

  • @samuelmbisu3569
    @samuelmbisu3569 Před 7 měsíci +3

    What do say he is yourself? He i the prince of life and peace. he holds your life in his fingers. Good thing he fights for himself

  • @MaryMuigai-zj8fz
    @MaryMuigai-zj8fz Před 7 měsíci +14

    Yesu ni Bwana Tena sana waliumba viote viliyomo mbiguni na nduniani pamonja na Bake so Kaa ukinjua ni viote Tena vyote.Amen God Almighty bless you.Jina la Bwana limbarikiwe milele Amina

    • @AnyimikeKajeti-fl3os
      @AnyimikeKajeti-fl3os Před 7 měsíci +1

      Wewe ni mongol tu hunalolote

    • @stevensosipita
      @stevensosipita Před 7 měsíci +3

      Ndugu yangu unakosea mungu aliumba ulimwengu na vitu vyote vilivyomo kisha akaumba Adam na eva wakati huyo yesu bado hajazaliwa mungu hana mshirika yoyote walieshirikiana kuumba nchi yesu ni mwana wa mungu na si mungu someni bibliothèque.

    • @kbmsouth
      @kbmsouth Před 7 měsíci +1

      We 𝐌𝐂𝐎𝐍𝐆𝐎 kajifunze kuandika vizur alafu uje tuongee..

    • @J4UPro
      @J4UPro Před 7 měsíci +1

      Jifunze kwanza Kiswahili

    • @daudinyello4033
      @daudinyello4033 Před 7 měsíci

      Acha uongo bana Marry

  • @user-ts8po9rz1n
    @user-ts8po9rz1n Před 6 měsíci

    Mungu awa Rehemu na atusaidie kuijua kweli ya Mungu wa kweli

  • @samuelmbisu3569
    @samuelmbisu3569 Před 7 měsíci +2

    Continue and we shall watch this space

  • @user-os7jo6wp1o
    @user-os7jo6wp1o Před 7 měsíci +4

    Sio kweli Salah ndie aliemwambia iburahimu mfukuze mjakazi maana moto wa mjakazi hatarisi pamoja na mwanangu

    • @usaynmakumbo7394
      @usaynmakumbo7394 Před 7 měsíci +3

      Kajifunze kwanza kiswahili ukishajua ndio uje kwenye mjadala

    • @mkude
      @mkude Před 5 měsíci

      ​@@usaynmakumbo7394😂😂😂

    • @abduawesu9165
      @abduawesu9165 Před 3 měsíci

      Nynyi wa kristo mutajuwa wapi dini wakati vitabu vyenu v imejaa propa ganda

  • @paulosamwel9853
    @paulosamwel9853 Před 7 měsíci +3

    Anachokiongea kipo sahihi ndio agano la kale katika kitabu Cha Musa kiitwacho Musa. Yupo sahihi

  • @eunicegerminus193
    @eunicegerminus193 Před 6 měsíci +1

    Tunashukuru sana suleshi kwa kuutangaza ukristo asante akubless Mungu maana 😂😂😂

  • @jannffer
    @jannffer Před měsícem

    Kuna mungu binguni mwenye uwezo na mamulaka

  • @user-hf7sr5bk5h
    @user-hf7sr5bk5h Před 7 měsíci +5

    Pure truth. Articulate and explicitly narrated.

  • @user-xy9ze1od3w
    @user-xy9ze1od3w Před 7 měsíci +3

    Muda mingine fundisha watu kuhusu imani maana wewe umekazana kuhubiri dini kuna mambo mengine nikazi ya Mungu mwenyewe

  • @jannffer
    @jannffer Před měsícem

    Mungu akupe miaka mingi uhubili ukweli wote

  • @jannffer
    @jannffer Před měsícem

    I love the way you teach

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 Před 6 měsíci +7

    This is like studying the book of CIVICS while preparing to do the exam of PHYSICS! 🤣

  • @ramadhanshee1275
    @ramadhanshee1275 Před 7 měsíci +3

    Innalillahi waina lillahi rajhuni,
    Subuhanallah
    Astakhafiruallah

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 Před měsícem

    USITUDANGANYEEE WAYAHUDI WAPO WKRISTO PALE JERUSALEMU MAREKANI ULAYA YOTE NA DUNIANI. NA WAUMINI WAKWANZA WA UKRISTO NI WAYAHUDI WAARABU WAAJEMI WAZUNGU NA KISHA SISI WEUSI. SASA HAKUNA MKRISTO ANAEAMINI HUO UJINGA

  • @hilfigermnungu1689
    @hilfigermnungu1689 Před 6 měsíci

    Swadakta 😊 Baarakallahu fiika 🤲

  • @samwelmbonea7335
    @samwelmbonea7335 Před 7 měsíci +6

    Bibilia neno la mungu. Lazima ukubali tu

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane Před 7 měsíci +2

      TORATI , ZABURI , INJILI , Ndio Neno La MUNGU Sio BIBILIA 😜😜😜

    • @Ronkiroo
      @Ronkiroo Před 7 měsíci +1

      na bibilia ni nini? wajua maana yake?😁😁😁😁😁@@shabbymakapane

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane Před 7 měsíci +1

      @@Ronkiroo mh 🤷‍♂️ Cjui Mie Naona Ugalagala Tu , 😜😜😜 Labda Uwaulize Wale MATAIFA 10 Waliokaa Mezani Na Kutunga Hilo Neno BIBILIA ,😂😂😂. MUNGU wala YESU Hwajjui BIBILIA ,😜😜😜 ,

    • @Ronkiroo
      @Ronkiroo Před 7 měsíci

      unajielewa kweli ama ni mafunzo potofu ya mohammad imekudanganya🤣🤣 aliye waambia dunia ni flat🤣mnayaamini hayo?🤣🤣poleni sana
      @@shabbymakapane

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci

      ​@@shabbymakapaneSasa hivyo vitabu vinatoka wapi🤣🤣🤣.. juha kalulu mkubwa wewe

  • @user-um7wk5fp9q
    @user-um7wk5fp9q Před 7 měsíci +3

    Wenye imani za chuki nyinyi someni biblia na mutafahamu neno la kweli la mwenyezi Mungu
    Israel litabaki daima kuwa taifa la mwenyezi Mungu

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu4153 Před 7 měsíci +1

    ❤❤❤ safi sana shekh

  • @user-gi3io1ew8e
    @user-gi3io1ew8e Před 7 měsíci +1

    Wa Amina pst that is true of God 🙏 and Haven hallelujah 🙏 mwokozi wetu yesu Amina na mutume wetu Muhammad Amina kabisa true true

  • @emmanuelben3374
    @emmanuelben3374 Před 6 měsíci +5

    Acha kulalama piga kazi mungu anabariki. Wivu husuda hazisaidii.

  • @newgarden8036
    @newgarden8036 Před 7 měsíci +6

    Shekh nikusaidie. Waliotumwa kupeleleza nchi ni 12 siyo 24

    • @MaryWuantet
      @MaryWuantet Před 7 měsíci

      Thank you for the point of correction

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci

      Tatizo anatumia Biblia asiyo hata ijua😂.. yaani ukweli ni kwamba Uislamu bila Biblia na Hadith za mtume za kutungwa hautoboiii

  • @user-ig3en2jq5x
    @user-ig3en2jq5x Před měsícem

    Wayahudi ni watumishi wa kweli wa Mungu

  • @edwardouma1630
    @edwardouma1630 Před 2 měsíci

    Amen ubarikiwe shehe

  • @pastorjully3657
    @pastorjully3657 Před 7 měsíci +4

    Tatizo ni kuwa Mungu aliwaambia waisrael waangamize wote wasibakize hata mmoja.na kama watabakiza basi watakuwa miiba kwao nayo hiyo miba itawachoma.

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před 7 měsíci +2

      Dah ndio kitabu icho kina amrisha kuuliwa watu wasio na hatia eety wauliwe wte, sjawah kuona watu wajinga kwma nyie dah

    • @frankdanford8245
      @frankdanford8245 Před 7 měsíci

      @@MohamedAhmada-ie7keukisema hivyo je historia ya lusifa kwenye Quran inasemaje? Jibrii si alimuonea huruma lusifa akamchukua na kumpeleka mbinguni akiwa mdogo Mbona amekuwa ni mwiba wa ulimwengu huu?
      Au Quran haisemi hivyo???

    • @ramsodjsautiasili7822
      @ramsodjsautiasili7822 Před 7 měsíci

      Mungu hajaagiza jambo kama hilo ila hayo ni maneno ya mtu aliyeamua kuandika katika biblia kwa manufaa yao binafsi

    • @ramsodjsautiasili7822
      @ramsodjsautiasili7822 Před 7 měsíci

      NAKUPA FAIDA YA BURE KAMA KWELI UNATAKA KUELIMIKA GOOGLE VIONGOZI WOTE WA ISRAEL ALAFU ANGALIA KAMA KUNA KIONGOZI WAKISERIKALI AMBAE NIMUISRAEL NIKO HAPA NAKUSUBIR ALAFU UJE NA MAJIBU KWANII IPO HIVYO
      NAJE KWANN TAIFA LA ISRAEL LIMEPIGA MARUFUKU RAIA YEYOTE WA ISRAEL KUPIMA DNA WANAOGOPA NINI

    • @benjaminmunyao4301
      @benjaminmunyao4301 Před 6 měsíci

      ​@@MohamedAhmada-ie7kewe do mjinga zaidi

  • @singanoatanasi1994
    @singanoatanasi1994 Před 7 měsíci +8

    hajiri hakua wa agano shehe alie wa agano ni sarai shehe utaratibu unaokwenda nao sio sahihi shehe . nasikitika sana mkiwa mmefungwa ufahamu aise una tetea dini kwa namna unayoijua shehe

    • @nehemiaayo9527
      @nehemiaayo9527 Před 7 měsíci +1

      Nashagaa iyo anayo yasema akuna katika icho kitabu chawo uyu kasoma Bible tu

    • @stevensosipita
      @stevensosipita Před 7 měsíci +1

      Uko sahihi muda umekaribia waendelee kumponda yesu KRISTO

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci

      Hawa ni wapotoshaji ndugu. Ndio wapinga Kristo waliotabiriwa hata kwenye Biblia. Yaani wanapindisha mpango wa Mungu tokea kwenye chimbuko la imani (Abrahamu) mpaka kwa Yesu mwenyewe. Ndio maana wanapinga hata kufa na kufufuka kwa Yesu.

    • @hassanisaidi5422
      @hassanisaidi5422 Před 7 měsíci +1

      Ahadi alipewa Ibrahim siyo Sara Wala hajiri, Ibrahim aliambiwa kizazi chake,Sasa ISMAIL ni kizazi Cha nani..

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci

      @@hassanisaidi5422 Umeelezea kwa mtazamo wa imani yako. Imani yetu sisi Wakristo inatueleza Agano la Mungu kwa Ibrahimu lilipitia kwa uzao wa Isaka na sio Ishmaeli.
      Hii imeelezwa vizuri katika kitabu cha Mwanzo 25:19-34 ambapo tunaona uzao wa Ufalme wa Daudi ukipitia kwa Isaka.

  • @SaidAhmed-rc6hm
    @SaidAhmed-rc6hm Před 6 měsíci

    Na waambie mungu anamrueisha yesu kwa mara ya pili Ile awanyooshe vizuri

  • @bibisalim8666
    @bibisalim8666 Před 7 měsíci +1

    Shukrani shehe uko sawa

  • @eppiemodest
    @eppiemodest Před 7 měsíci +3

    Shekh Sule napenda mafundisho yake. Ni sawa na ya Bibilia.

  • @emilemukolo
    @emilemukolo Před 7 měsíci +3

    Kweri itadjulikana kwa wote n'a Jérusalem ni ya wana wa yakub kwa mujibu wa cheikh

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci +1

      Wnalielewa hilo sana tu. Jerusalem ni ya Bani Israel hata Quran yao inasema

  • @user-rl1vr1fd1r
    @user-rl1vr1fd1r Před 2 měsíci

    Kwendraaaaa Yesu ni myahudi na hao ni ndugu zake full stop

  • @BeatriceBahati-op6gl
    @BeatriceBahati-op6gl Před 7 měsíci +1

    Muche mungu mwenyewe atapeganiya taifalake yéyé anilijuwa hakuna wakati yakujeteteya

  • @user-xd7uj8sz5w
    @user-xd7uj8sz5w Před 7 měsíci +10

    Why is that our brothers Muslims keep on telling us about our Saviour ?? Let them keep on believing their prophet

    • @agneslozi867
      @agneslozi867 Před 7 měsíci +1

      😂😂😂ndio wanapenda kubishana na cc na cc tumetulia tuli

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci +4

      Yaani ukiziainisha tu sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana.
      Mfano mdogo tu;
      > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9.
      > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad.
      > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13).
      > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia.
      > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi.
      > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad.
      KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI.

    • @fayverenah
      @fayverenah Před 7 měsíci

      Jamani why are muslims concerned about our faith🙄mbona kila mtu akae kwa lane yake na aamini tu katika imani take tuache kuchambana and yet nobody knows the truth hata huyu anayeongea hamna anachokijua yeye pia

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci

      @@fayverenah Shida ni moja, Waislamu walio wengi wanalazimisha kila mtu pasipo kujali imani yake kuamini kuwa Uislamu ndio Dini sahihi.
      Tofauti na Ukristo kwa mfano ambao unatambua utofauti baina ya imani za watu na kujikita zaidi kwenye kuhimiza *UPENDO* over everything.. regardless of our differences
      Inshort Wakristo hawana time na Uislamu ila Waislamu wako busy kukosoa Ukristo wakiamini ni jukumu lao la msingi kuhakikisha wanawabadili wengi kufuata Uislamu.

    • @sikujuachonya
      @sikujuachonya Před 6 měsíci

      ​@@agneslozi867❤

  • @mfukunyuzi8335
    @mfukunyuzi8335 Před 7 měsíci +5

    Siku si nyingi YESU ANARUDI,mtakuja kumuelewa tu

    • @singanoatanasi1994
      @singanoatanasi1994 Před 7 měsíci +2

      kweli watamuelewa ndugu maana ufahamu wao mdogo kihistoria mpaka kidini na kiroho

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh Před 7 měsíci +1

      barikiwa sana mpendwa umenena vyema!

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 Před 7 měsíci +6

      Sote tunaamini kuwa Yesu anarudi.. WAISLAMU na WAKRISTO.
      Tumsubiri arudi 😂😂 .. Aje atueleweshe YEYE ni Mungu, Mwana au Nabii ... 🖊 ... Atueleweshe pia, Je alikufa na kukufuka .. (Nani alimuuwa na kumfufua) ... 🎉 Bila Shaka majibu atakuwa nayo..

    • @SelestinaHamisi-ju8rx
      @SelestinaHamisi-ju8rx Před 7 měsíci

      Waache kudadeki iyo siku naitamani wamezidi kumsimaga YESU

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 Před 7 měsíci

      @@SelestinaHamisi-ju8rx Siku unayoitamani, ni hiyo Siku ambayo Yesu atakukana kwa nguvu zote kuwa hajui utokako.. Msitie aibu vijana Born again Christians, Waislamu wanataka kujibiwa hoja zao zenye mashiko.. Huwez kusema: "Ngoja tu, Yesu anarudi, ngoja tu" Hii ni kuonyesha udhaifu wa hoja, ufahamu na Maarifa..
      KAENI MSOME, MUMJUE MNAEMUABUDU.. (Yesu au Baba yake ..??!!) Au wote wawili or 2 in 1..🖊

  • @jannffer
    @jannffer Před měsícem

    May God take control of everything

  • @jannffer
    @jannffer Před měsícem

    May the holy spirit take control of everything

  • @fredrickjohnson2692
    @fredrickjohnson2692 Před 7 měsíci +12

    Hayo unayo ongea , ni sawa na kusimulia habari au historia za wavamizi.
    Kanaani aikuhusiana na historia za kuchonga, historia ya kanaani ni ahadi ya mungu kwa wana israel tangu nyakati za Musa.
    Leo hii watu wanakaa kutoa hadithi za uongo wanasahau kuwa , Mungu ni mkuu kuliko maagano ya kibinaadamu.
    Kufulu kubwa ni akili ya mwanadamu kutaka kuwa juu ya ukuu wa mungu, kutaka kupindua Maagano ya mungu wa kweli na kufuata technologia ya Ulimwengu.
    Wansdamu tumepewa utashi, ambao haupo mbali naapenzi ya Mungu, ila kwasababu ya dhambi watu hutawanya uhakika wa Mungu

    • @wanguwangu34
      @wanguwangu34 Před 7 měsíci +2

      Huyo mtu kalewa maharage na hajui hata ahadi za Mungu, vyovyote vile hata wafanyeje hawawezi kubadili alichosema Mungu, bora mnyamaze kumjibu mtu asiyejua kitu.

    • @user-lr4pj1hr8h
      @user-lr4pj1hr8h Před 7 měsíci

      Hiyo historia unaijua wewe Tu? Acha ujinga

    • @sportsreviews9552
      @sportsreviews9552 Před 6 měsíci +2

      Umeongea Kwa hekima na busara.

    • @joharifarahani2739
      @joharifarahani2739 Před 6 měsíci +1

      Mungu yupi alietoa ahadi maana nyie mnamiungu mitatu..mungu baba mungu mwana na mungu roho mungu yupi huyo ndugu...

    • @fredrickjohnson2692
      @fredrickjohnson2692 Před 6 měsíci +2

      @@joharifarahani2739 sawa, huyo allah wenu kipofu anawasaidia nini?
      Tunajua allah ni neno la kiarabu maana yake mungu, lakini , mtume wenu aliwalisha mkenge.
      Sioni faida hata moja ktk wislamu , labda , kwa wale wanao penda ushirikina, au ngono zembe basi wataingia huko

  • @AnnastaziaJeremiah-ch3vx
    @AnnastaziaJeremiah-ch3vx Před 7 měsíci +4

    Tena Yesu anawapenda wayahudi sana

    • @mwaisamwaisa7619
      @mwaisamwaisa7619 Před 7 měsíci

      Huyu nae muongomuongo sana

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane Před 7 měsíci +1

      Lakini MAYAHUDI Hawajawahi KumpendacYESU ,😁😁😁 ndio Maana Mnaamini WALIMUUA ,

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci

      ​​@@shabbymakapaneYesu alituelekeza tuwapende mpaka maadui zetu❤.. nenda kasome Injil tena utaelewa dogo Shabani madobe😂

    • @shabbymakapane
      @shabbymakapane Před 7 měsíci

      @@NgengeMkeni-uo5hq Alikuelekeza Weqe Au Aliwaeleza WAYAHUDI ???😜😜😜 Kwanza WAKRISTO MUELEWE KITU KIMOJA , YESU Hawajueni Nyinyi Wala UKRISTO Haujui ,😀😀😀 Yesu Anasema SIKUTUMWA ILA KWA KONDOO WALIOPOTEA WA NYUMBA YAAA ISRAELI 😅😅😅 Bisha Nikupe Andiko , 😬😬😬😜😜😜 Nyie UKRISTO Mmeletewa Na PAULO Mzungu Kutoka ITALY 😁😁😁 Soma hiyo MATENDO YA MITUME 11:25-26 😀😀😀 Halafu 1 WAKORINTHO 4:14-17 😅😅😅😜😜😜 Haleluya 👏👏👏 .

  • @MuhamediWaziri
    @MuhamediWaziri Před 7 měsíci +2

    Ww kama huamini usitukane nakushauri usome ujuwe sahihi ninaimani ukisoma naukafahamu utatamka Laila ha illallah

  • @jrgongo6348
    @jrgongo6348 Před 7 měsíci +2

    Acheni Mambo ya kizushi hapa, mnapotosha watu live, wakristo simameni imara ! Hizi ni nyakati za Hatari mno, Udini unaleta Vita ya kiroho

    • @salumsodangu1372
      @salumsodangu1372 Před 7 měsíci

      Acha uvivuu soma inaoneka we bado huna elimu ya din vilivyo

  • @bellimarwa5454
    @bellimarwa5454 Před 7 měsíci +5

    Mungu mwenyewe ndiye aliyewatambulisha kwamba ni taifa teule la Mungu

    • @SELEMANISHAIBU-eq8vf
      @SELEMANISHAIBU-eq8vf Před 7 měsíci

      Mungu yupi au yule yesu wa wakristu wanadai kuwa aliuliwa na wayahudi

    • @sammarley1413
      @sammarley1413 Před 7 měsíci

      Tanzania ni taifa la Nani?

    • @whymendieearly
      @whymendieearly Před 2 měsíci

      Israel nitaifa la MUNGU ukipigana nalo unapigana na MUNGU kama utak kajaribu kama hamasi walivyo jaribu

  • @listonjiwe3467
    @listonjiwe3467 Před 7 měsíci +3

    Waislam wanapotoshana sana mpaka wanawachanganya waimini wao kila shehe anakuja na uongo wake na hadidhi zake tatizo si kwamba hawajui ukweli bali hawautaki kwa sababu ya imani yao israel itasimama kama taifa milele

    • @hajiameir8688
      @hajiameir8688 Před 7 měsíci

      Shekhe Kwa taarifa yako hakitasimama kama mpaka mpigane na mayahudi na mtawashinda kwahivyo ndugu taifa la izraeli litaangamia tu

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci

      ​@@hajiameir8688Mmerithi chuki toka kwa Hagar (kijakazi wa Sarah) mpaka leo mnapambana kuangamiza kizazi cha mteule wa Mungu Isaka.
      Sasa kwa taarifa yenu, mtapambana sana ila hawatashinda. Walishindwa tawala za Babylon, Persia, Pharao na kina Hitler sembuse nyie😂

    • @AnnaSanga-bs7pl
      @AnnaSanga-bs7pl Před 7 měsíci

      Mbona hamfundishi kutengeneza majii makata na jini maimuna

    • @jumamgwami-px7ls
      @jumamgwami-px7ls Před 7 měsíci

      Muda utaongea tu na ukweli utajulikana zaidi.

    • @jumamgwami-px7ls
      @jumamgwami-px7ls Před 7 měsíci

      @@NgengeMkeni-uo5hq usilazimishe uongo uwe ukweli.

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Před 7 měsíci +2

    Yaan mnaandika yesu ni.mtoto wa zinaa kizazi cha nyoka Wana wa manyoka hata angekuja leo akaanza Moja kukataa dhambi mtaungana mumuuwe tena mmetia.aibu na mwandishi.wako mm kama mwandishi siwezi kubali kuandika daa.dunia imelaaniwa

  • @jrgongo6348
    @jrgongo6348 Před 7 měsíci +2

    Zungumzeni Sifa za Mungu wenu kwenye uislam wenu Acheni Kuwapotosha Wakristo

    • @SELEMANISHAIBU-eq8vf
      @SELEMANISHAIBU-eq8vf Před 7 měsíci

      Wakristu wanadai kuwa mungu wao yesu aliuliwa na wayahudi, wayahudi waliwauwa mitume, nk sishangai kuona wanaendelea kuwaua wakristu na waislam. Kinachonisangaza kuona wakristu kuwafanya ni marafiki zao.

    • @nemeskulaya3962
      @nemeskulaya3962 Před 7 měsíci

      ​@@SELEMANISHAIBU-eq8vf aliyekwambia sisi marafiki wa wayahudi nani? Rafiki yetu ni yeyote anayemkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mokozi wetu. Awe myahudi au la. Ht muislam atakayemkiri Yesu ni rafiki yetu. Na ukristo ni matendo sio maneno ndo mana huwezi kuta Askofu au mchungaji anahubiri akaongelea uislam. Lkn hotuba 10 za waislam 8 lazima ziongelee ukristo. Ukweli ni kwamba wanaupinga lkn wanauogopa. Wakilinganisha matendo wanaona dhahiri wakristu ndo wanayaishi mapenzi ya Mungu na ndo wanaobarikiwa. Shekhe hapo anashangaa kwann waislam ndo wanamiliki mali nyingi lkn stil wao ndo maskini wa kutupwa. Jibu ni kuwa hakuna baraka ktk matendo yenu maovu lkn pia ni ahadi ya Yesu kumuweka juu yeyote atakayemfuata na kumshusha chini yule atakayempinga. Acha wakristu tuendelee kula bata kwa kumkiri Yesu kuwa ni Mwana wa Mungu na ni Mungu kweli kweli!

    • @npiperito19
      @npiperito19 Před 6 měsíci

      Wakristo awapotochui, ila wanatolewa kwenye opotovu

  • @singanoatanasi1994
    @singanoatanasi1994 Před 7 měsíci +7

    hebu waelezee vizuri wenzako hao waebusi wahiti na wakanaani kiundani zaidi shehe usijione unajua sana unafahamu hao waliondolewa kwanini? mara nyingi una wadanganya waislamu wenzio shehe

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci +8

    Hamuwezi kutupandikizia chuki kama mlizo nazo nyie dhidi ya Waisraeli. Sisi tunaongozwa kwa upendo❤ wa Yesu Kristo🙏🏿. Mtapambana sana lakini hamtashinda

    • @Erik-kj5no
      @Erik-kj5no Před 7 měsíci +1

      Wewe funguka tumedanganywa sana kama kweli Israel ni taifa la mungu lile la makabila 12 kwa Nini wanaushirika na marekani wakati marekani inasapoti ushoga pia Israel Kuna kitu kinaitwa guy palled Yani sherehe za mashoga

    • @RamadhaniMtoro-jb5kb
      @RamadhaniMtoro-jb5kb Před 7 měsíci

      Waisrael wenyewe wameshalaaniwa

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci

      @@RamadhaniMtoro-jb5kb Mmelaaniwa Watanzania kwa *UJINGA*, *UMASKINI* na *MARADHI*

    • @yahayaannu3663
      @yahayaannu3663 Před 6 měsíci

      Toka gizani huko ulikojifungia 😅

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 6 měsíci

      @@yahayaannu3663 Gizani yupo Mtume wenu Mudi ndio maana akawaachia msala wa kumuombea mara tano kwa siku😂... madhambi aliyotenda mpaka anaogopa mwisho wake mwenyewe Shaytan mkubwa yule

  • @hassangalgallo8496
    @hassangalgallo8496 Před 7 měsíci +2

    Genesis 16:1-9 Hajiri ni mjakazi wa Sarah,hakuwa bibi mwenza

    • @salumsodangu1372
      @salumsodangu1372 Před 7 měsíci

      Elewa we kijana hajakataa kwamba Hajira si mjakazi.Alikua Mjakazi lakin Sara alimuamulu Nabii Ibrahimu Amchukue awe mkewe ili mzalie mtoto

    • @hassangalgallo8496
      @hassangalgallo8496 Před 7 měsíci

      @@salumsodangu1372 wewe ndio uelewi soma MWANZO 21:8-21, inasema Abraham alimfukuza hajiri naye akapotea katika janga la Ber-sheba

  • @Moon-146
    @Moon-146 Před 7 měsíci +1

    Pole kweli hatuko sawa

  • @mariamrajabu7458
    @mariamrajabu7458 Před 7 měsíci +3

    We Salma mwang umesikia wakristo au wayahud usikilize vizur

  • @peterrevocatus199
    @peterrevocatus199 Před 7 měsíci +7

    Yesu christu mwana wa mungu wa kweli akubariki uendelee kutafuta uchochezi wa kidini wewe vita inakuhusu

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 Před 7 měsíci

      Mbona hamueleweki..
      Yesu ni Mwana au Mungu ..!??

    • @neemamajana3078
      @neemamajana3078 Před 7 měsíci +1

      Haya maislamu muda wote yanawaza vita, sasa huyu Sure sijui anapigana na nini? Walimtukana Yesu akina na ni na Imeandikwa wapi?

    • @swafiirbulbul819
      @swafiirbulbul819 Před 7 měsíci

      @@neemamajana3078
      Hueleweki ulichokiandika ..

    • @agneslozi867
      @agneslozi867 Před 7 měsíci

      ​@@swafiirbulbul819yesu mwana wa mungu sio mungu nani alikwambia ni mungu Jamani

    • @agneslozi867
      @agneslozi867 Před 7 měsíci

      ​@@neemamajana3078yani hawa wangekua mungu cjui watu wangekua vipi yani wanajitia kujua dini sanaa

  • @theresekwizerimana4044
    @theresekwizerimana4044 Před 2 měsíci

    Kumbenifamily moja ndokwamaana wanagombana😃

  • @HamazaMataar-kr7iv
    @HamazaMataar-kr7iv Před 7 měsíci +2

    Allahu Akbar ya Allah waidie wafalstin from barawa sml

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci

      Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana.
      Mfano mdogo tu;
      > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9.
      > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad.
      > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13).
      > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia.
      > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi.
      > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad.
      KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI😂

    • @AnnCelina-fl5lh
      @AnnCelina-fl5lh Před 7 měsíci

      Ukweli uriopo,ata mtu akubali ama asikubali ,yesu ni mwana wa mungu,na irikua mpango wa mungu kumleta duniani, vita vya jana,na Israel, aviwezi,zuia ufaurume wa yesu,huederee bele.

    • @mohammedimshihiri4435
      @mohammedimshihiri4435 Před 7 měsíci

      Wewe upeo wako ni mdogo sana ndio mana wale mapastor ni rahisi kuwapotosha kila siku hata maswali hamjawahi kuuliza huko makanisani ili muujue ukweli .

    • @gatekanene5753
      @gatekanene5753 Před 7 měsíci

      ​@@mohammedimshihiri4435 kwaiyo nyinyi wa fuasi wa marehemu mudi ndo munazo akili?? Kwa akili gani izo za kumuombeya rehema kila swala kwa mtu ambaye tayari kashakuf mwiaka mingi?? Na kwa nini mumuombeye rehema ilihali ni ninabii wa allah wenu kama munavyo dai kama munazo akili ao munapewa ruksa ya kuuliza swali kwa nini musiulize kuhusu hilo kwa nini aombewe rehema kwa allah na ni nabii munae mu kubali?? Ulizeni alitenda zambi gani zilizo mufanya aombewe rehema kila swala??kujiona wakamilifu na kujiona kama MUNGU ni mjomba wenu .

    • @user-yv7ij4zh4k
      @user-yv7ij4zh4k Před 7 měsíci

      @@mohammedimshihiri4435 ukweli upi unaozungumza? Muhammad Mkureish alikuja miaka 600 baada ya Kristo tena akiwaambia mkiwa na shaka na utume wake waulizeni watu wa vitabu ambao ni Wakristo na Wayahudi. Sasa ukweli unaouzungumzia ni upi? Muhammad mzinzi na mwenye tamaa ya wanawake kamwe hawezi kuwa mkweli.

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Před 7 měsíci +4

    Sioni wanadamu mnachojivunia mm sion kinachowapelekea kuandika yesu ni mtoto wa zinaa what?

  • @Aishamrembo-pk7tl
    @Aishamrembo-pk7tl Před 7 měsíci +3

    Allahu Akbar

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci

      Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana.
      Mfano mdogo tu;
      > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9.
      > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad.
      > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13).
      > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia.
      > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi.
      > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad.
      KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI😂

  • @simonjoshua1233
    @simonjoshua1233 Před 7 měsíci +1

    Uchochezi kwenye dini sio nzuri uzuri wakristo ni wapole hawana uchochezi

    • @user-oh6pc7zd4s
      @user-oh6pc7zd4s Před 2 měsíci

      Ni kweli wskristo no wastaarabu na watu wa amani kwa kule kumuua Sadam Hussein kwa k7mshingizia uongo na mwisho wa siku ikajulikana kuwa ni uongo. Kuwa hakuwa na silaha za maangamizi.Jee kule kumuua Gadaffi jee?Jee Wakristo wamarekani kuunda na kudhamini makundi ya kigaidi na kuwasingizia waislamu hiyo ni amani na ustaarabu.Hakika katika watu washenzi na wahuni ni nyinyi wakristo wauwaji wakubwa muliwauwa wajapani kule mamilioni ya watu,wafilipino,waajentina,na wengi wengi sana.

  • @mutulaObedi
    @mutulaObedi Před 15 dny

    sisi tuna jiandaa kwanyakati za kumupokeya Mungu

  • @IbrahimGwaya
    @IbrahimGwaya Před 7 měsíci +4

    Acheni upuuz na hisia za upotovu somen,mjue ukweli wamambo,she yupo sahih

    • @user-yv7ij4zh4k
      @user-yv7ij4zh4k Před 7 měsíci

      Usahihi wake ni upi kwanza kila kitu anachukua kwenye Biblia maana habari hizo Koran haina. Anajaribu kuchanganya Story kijanja kijanja hana jipya.

  • @user-xd7uj8sz5w
    @user-xd7uj8sz5w Před 7 měsíci +3

    Kizuri chajiuza kimbaya chajitembeza

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 Před 6 měsíci

    Allah atuhifadhi waisilamu

  • @saidumuru5232
    @saidumuru5232 Před 6 měsíci

    Mungu ni mukumbwa

  • @user-ec8rf2bp3b
    @user-ec8rf2bp3b Před 7 měsíci +3

    Hujamuelewa ww sikiliza Kwa making,hajasema wakristo amesema mayahudi!!!

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci

      Chuki zenu dhidi ya Wayahudi kamwe haiwezi kushinda upendo wa Mungu. Mtapambana sana ila hamtashinda

  • @deogratiasrugangila3100
    @deogratiasrugangila3100 Před 7 měsíci +7

    Mi nashangaa wanaopigana ni ndugu wao wanajua wanapogania nini tatizo mnaingiza dini zenu ambazo hazina mahusiano .Kwa kuwa hawa ni watoto wa Ibrahim na Mungu ndiye aliwateua tumwachie atafanya maamuz kujua nani ana kosa na atamuadhibu

    • @singanoatanasi1994
      @singanoatanasi1994 Před 7 měsíci

      nikweli kabisa

    • @happysamwel3880
      @happysamwel3880 Před 7 měsíci

      Watapata taabu sana,walikua wapi siku zotee? Badala ya kuwaombea wenzao ,wanaingia kwenye udini !?

    • @nicksonlyimo1562
      @nicksonlyimo1562 Před 7 měsíci

      Deo usidanganyike Wala Israel na palestina sio ndugu ,kwani waarabu hawapo kwenye Torati kwa maelezo ya uchaji wa Mungu Bali wamezungumzwa kama maadui na ndio maana Mungu alimwambia Musa na Yoshua awaangamize kwasababu wanaabudu miungu na walimpinga Mungu wa kweli kitu ambacho wameendelea Hadi Leo , ,Ndugu wa Ibrahimu ni Lutu na sii zaidi ya hapo kwa mujibu wa Neno ,na ishmail sio baba wa waarabu kwani waarabu walikuwepo hata kabla ya Ismail na ndio maana mama yake alikua mwarabu wa misri inamaana nchi nyingine zilikua na waarabu pia mbali ya Misri ,na kanuni ya uzao na ukoo Ishmael hawezi kua mwarabu kwasababu baba yake ni muebrania Au Myahudi ,kisa Cha ishmail ni watu kujipakazia tuu Ili kuhalalisha dini ya uongo kua niya kweli , Sule anasoma Biblia kwani kwenye Quran haipo hiyo japo anakosea kosea kueleza uhalisia ,

    • @samuelochieng8784
      @samuelochieng8784 Před 7 měsíci

      Kweli nakubaliana na we we.....

  • @SidiCharo
    @SidiCharo Před 6 měsíci

    Ma Sha Allah

  • @rasakakaombwe
    @rasakakaombwe Před měsícem

    Kweli histolia yamana mungu akuongezee

  • @luckymwakyoma2746
    @luckymwakyoma2746 Před 6 měsíci +3

    Kwanini watu mwapoteza muda kwa kutaka kujua dini ipi tunastahili kuiamni ili tuwe na mwisho mwema,badala ya kufundishana watu kumwamini MUNGU na kutubu,ndiyo maana hakuna kitabu cha dini kinachosema dini hii itakupeleka ahela,ama mbinguni,cha msingi ndugu zangu tumwamini MUNGU kepee na tuishi ktk kweli hiyo tutende yampendezayo MUNGU,kisha kila siku tusiache kutubu,hizi dini zote unazo zijua na usizo zijua ,zilizo anzishwa na ambazo hazijaanzishwa hazita tupeleka popote, Sababu dini hizi hizi zimekuwa ni Sababu kubwa za watu kutenda mabaya,dini hizi hizi hazina upendo hata kidogo

    • @adadiissa8510
      @adadiissa8510 Před 5 měsíci

      We dini huna soma ujue ipi dini ya haki

    • @isakajunior7139
      @isakajunior7139 Před 3 měsíci

      Unasema hakuna kitabu kinachosema dini hii itakupeleka akhera au motoni? Umesoma vitabu vingapi? Au unatumia akili yako kuandika unachowaza,Rudi darasani ukasome upya dini huijui

  • @keardadam8126
    @keardadam8126 Před 7 měsíci +9

    Hakuna hiyo hata wayahudi wenyewe wanasema yesu ni mwana wa mungu

    • @ShafiunaWaziri-vz7bi
      @ShafiunaWaziri-vz7bi Před 7 měsíci

      Mungu ana mtoto mungu anaumba watoto sisi binadam ndio tunatumia jina la mwanangu Ila mungu anaumba wote tumeumbwa na mungu

    • @tonyjames6658
      @tonyjames6658 Před 7 měsíci +1

      Kaka inaonekana mwisho wako wa kufatilia mambo ni kwenye biblia tu .....uko Islael wayahudi wakijua ww ni Mkristo wanakutemea mate chini

    • @yahayaannu3663
      @yahayaannu3663 Před 6 měsíci

      Wayahudi wanamtambua Yesu km mtoto wa zinaa km hujui hilo 😊😊😊 tatizo hata hyi Bible yenu huisomi yote mnaifunua vipengele pengele

    • @keardadam8126
      @keardadam8126 Před 6 měsíci

      Na wewe nenda kafunue vipengele vya Quran, huwezi kunibadilisha msimamo wangu,

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před měsícem

    Allah atujaalie kauli thabiti

  • @azamsp0rtshd2kiangi3
    @azamsp0rtshd2kiangi3 Před 7 měsíci

    Sijakuelewa umesema mungu aliwauwa wale waongo 22 walioleta tarifa ya uongo walio tumwa kuwapeleleza wafilisti wameamkalini Tena wakawa majasusi halo tu sijakuelewa mwalimu.

  • @lucksonsikaona505
    @lucksonsikaona505 Před 7 měsíci +3

    Wayahudi tunao wasoms kwenye bibilia ndio hao hata mungu ukifanya zambi anakuazibu ndio maana mungu amewaazibu waparestina Kwa kutenda zambi ya kuivamia Israeli hapo waislamu munapigana na mungu wa Israeli aliye hai na mutahangaika sana na jibu hamutapata ila mutaishia kuchapwa na wayahudi taifa teule la mungu

    • @ndekemwaifyusi8499
      @ndekemwaifyusi8499 Před 7 měsíci

      Unaongea kama upo usingizini
      Israel bila Wazungu hawana kitu. Wapalestina hawana silaha. Itokee waruhusiwe kuwa na silaha sawa. Hawezi Mziki wa Wapalestina. Na unaposema Wayahudi ni Taifa teule vipi Hitler aliweza kuwateketelza zaidi ya Milioni 7.

    • @ahmedhamis
      @ahmedhamis Před 7 měsíci

      Israel hii si taifa la mungu.maana haimuamini mungu

  • @AlhajiSaidi-uo8zl
    @AlhajiSaidi-uo8zl Před 6 měsíci

    mashallah sule dk

  • @user-ig3en2jq5x
    @user-ig3en2jq5x Před měsícem

    Mungu yupo

  • @neemamajana3078
    @neemamajana3078 Před 7 měsíci +11

    Matoto ya kijakazi ndivyo yalivyo, yanajaribu kuitafuta haki kwa nguvu isiyowezekana.

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci +1

      Wamerithi chuki toka kwa Hagar mpaka leo wanapambana kuangamiza kizazi cha mteule wa Mungu Isaka.
      Watapambana sana ila hawatashinda.

    • @jumamgwami-px7ls
      @jumamgwami-px7ls Před 7 měsíci +1

      Mkiambiwa ukweli mnasimamia ujinga wenu, yesu angekuwa anathaminiwa na wayahud wangemuua kama mnavyoamini, eleweni kuwa wakristo pale Israel ni asilimia tatu tu.

    • @frankdanford8245
      @frankdanford8245 Před 7 měsíci

      @@jumamgwami-px7lskwani tunagombea au wanagombea dini au aridhi wewe uislamu wako mpaka saahizi umekunufaisha nini?
      Umerithi nini wewe kwenye uislamu mpaka sasa?

    • @pilotclassic4468
      @pilotclassic4468 Před 7 měsíci

      @neemamajana3078 wewe ni mpotevu wa fikra, unaakili ndogo kama za mabinti wa Lutu.

    • @pilotclassic4468
      @pilotclassic4468 Před 7 měsíci

      @@frankdanford8245 unaongelea manufaa yapi? Manufaa ya uislam yapo ahera tu wala sio fahari za dunia. Sipo kwaajili ya kubishana ila nataka nikueleweshe zaidi alichomaanisha huyo ndugu hapo juu.
      Wakristo wengi wanahisi kuwa waisraeli wanaambatana kiimani pamoja na wao kitu ambacho si kweli, wengi wa waisraeli ni wayahudi, imani za wayahudi na wakristo juu ya Yesu ziko mbali saana ila imani ya waislam na wakristo juu ya Yesu zinashabiiana kwa mambo mengi ya msingi. Muislam anaamini kuwa Yesu alikuwa ni masihi mteule wa Mungu na alizaliwa kwa muujiza na mama yake, mwanamke bikira Mariamu. Muislam anaamini kristo alizaliwa kwa muujiza na aliweza kuponya wakoma viwete viziwi na kufufua hata wafu kwa Uweza wa Mwenyezi Mungu. Myahudi aliamini kuwa kristo aliyafanya yote haya kwa msaada wa beelzebuli, hakuwa mtoto wa muujiza isipokuwa zinaa, hakuwa nabii wala mwana wa Mungu isipokuwa jambazi, ndio maana walimshusha thamani walipomthaminisha na baraba (mhalifu). Sasa hii ndio taswira halisi ya hawa waisraeli. Israeli ya leo asilimia chache ni wakristo na waislam.
      takriban asilimia 73.8 ya wakazi ni Wayahudi, asilimia 18 Waislamu, asilimia 1.9 Wakristo, na asilimia 1.6 druze.
      Sasa wewe unahisi kuwa waisraeli ni ndugu zako wa Damu unaleta chuki ya kidini mpka unauliza manufaa ya uislam. Manufaa ni matunda ya ahera ya kile ulichokipanda hapa duniani. Kwangu kuwa muislam ni zawadi tosha, sihitaji muujiza kuamini Mungu yupo kwani Qur'an tukufu ni muujiza tosha kwangu.

  • @JacklineDaudi-tf2du
    @JacklineDaudi-tf2du Před 7 měsíci +4

    Unaingia alafu unatokaa...ninyi wote mmetokana na mtoto wa nje ya ndoa KWA Ibrahim

    • @lavieestbelle3263
      @lavieestbelle3263 Před 7 měsíci

      Yani kitabu kilicho ingizwa mkono wa mwanadamu lazima kiwe na kasoro tuu... hivi kwaakili yako nabii wa mwenyezi Mungu anaweza kutenda dhambi kubwa kama ya uzinifu???? Acheni kuwachafua manabii huyo ni Ibrahimu sio mwamposa, luka ama zumaridi ikichunguze upya kitabu chako.

    • @SELEMANISHAIBU-eq8vf
      @SELEMANISHAIBU-eq8vf Před 7 měsíci

      Yaani wee unathubutu kusema nabii Ibrahim ni minifu? Subhanallah

    • @nemeskulaya3962
      @nemeskulaya3962 Před 7 měsíci

      ​@@lavieestbelle3263 hakuna nabii asiyekuwa na dhambi. Suala la kuzini sio ajabu kwa nabii. Yesu mwenyewe walimwita mwema akawajibu hakuna aliyemwema ila Mungu peke yke. Shida yenu manataka kuhalalisha uzinifu wa nabii ili muwe watoto halali wa ndoa, hilo halipo. Subirini Yesu arudi ndo mtajua hamjui!

    • @zahraalbaloochi2841
      @zahraalbaloochi2841 Před 6 měsíci

      Kwanza kasome jifunze dini yko sio kupayuka ovyo tu

    • @mussaissa6796
      @mussaissa6796 Před 4 měsíci

      MWEHU WEWE
      UNA MAANA IBRAHIM ALIKUWA MALAYA SIO!!
      HUO UTAKATIFU ANGEUPATAJE KWA KUVUNJA AMRI ZA MUNGU!!
      WEE UNADHANI MUNGU NI KAMA MJOMBA WAKO TU, KIASI KWAMBA ANAWEZA KUKUACHA UHARIBU MAMBO HALAFU UWE MTAKATIFU!!
      NDIO MAANA KWA KUCHUKULIA MAMBO KIRAHISI RAHISI TU, UNAZINI, UNAUA, UNAIBA HALAFU UNATEGEMEA JUMAPILI UKAMWAMBIE PADRE AKUFUTIE MIDHAMBI YAKO, NA KUKUTANGAZIA MSAMAHA!!
      YAANI WEE MZINIFU UKAFUTIWE MAKOSA YAKO NA MZINIFU MWINGINE!!
      NDIO MAANA DINI YENU NI RAHISI SANA KWA AJILI YA KUCHUKULIA MAMBO KIRAHISI RAHISI TU.

  • @KennedyThemistocles-ko4ji
    @KennedyThemistocles-ko4ji Před 6 měsíci

    Yesu anawapenda

  • @isaacmwaipopo
    @isaacmwaipopo Před 7 měsíci +2

    Juzi Waziri Mkuu wa Israel alisema Israel ni kwao na akimwambia Mwandishi hakumbuki historia ya Yesu ambaye alikuwa ni Rabi wa Kiyahudi. Means wao pia wanamtambua Yesu.

  • @user-gb1ey7cs4k
    @user-gb1ey7cs4k Před 7 měsíci +3

    Alhamndulilah

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci

      Halohaloo chuki yenu haiwezi kushinda upendo wa Mungu😂😂

  • @SelestinaHamisi-ju8rx
    @SelestinaHamisi-ju8rx Před 7 měsíci +13

    Waislam sjuh mpoje shobo tu na YESU wetu hao wayahudi wanaamini masihi ambaye ndo YESU bado hajaja na ndomana walimuuua wakizani huyu sio YESU acheni ushetani wenu na kama mnataka kuamni YESU no mungu nendeni mkawaroge watumishi was ukweli kama Adam Aston mbaya ,au mtume meshack muone moto wake sasa

    • @FeisalDoctor
      @FeisalDoctor Před 7 měsíci +1

      Unachokiongea unkijua🙄

    • @porthealth4838
      @porthealth4838 Před 7 měsíci +2

      WANA SHIDA SANA HAWA WATU KAZI KUPAMBANA NA WAKRISTO HATA SIKU MOJA HUWEZ SIKIA WAKRISTO WANAWAZUNGUMZIA UISILAMU..

    • @MidoMidomore
      @MidoMidomore Před 7 měsíci

      hadi leo hakuna ushahidi wa kifo cha Yesu

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq Před 7 měsíci +1

      Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana.
      Mfano mdogo tu;
      > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9.
      > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad.
      > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13).
      > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia.
      > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi.
      > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad.
      KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI.

    • @mbatemgingamwita5944
      @mbatemgingamwita5944 Před 7 měsíci +1

      Ni kweli Yesu ndiye Masihi, na alishakuja na anatarajiwa kuja mara ya pili kutwaa wateule na kisha atarudi Tena mara ya tatu kuhukumu, na ni kweli kuwa wayahudi na viongozi wao waandishi walimu wa Sheria n. K hata mafarisayo walimtega Kwa mambo mengi lakini elimu ya Yesu iliwaacha vinywa wazi lakini hawakumwamini na hata Yohana alituma wanafunzi wake kumuuliza Yesu kuwa Yeye ndiye Masihi au watarajie mwingine Yesu akawajibu wakamwambie viwete wanatembea na vipofu wanaona hii Inamaanisha yeye Ndiye, sasa hoja yangu unge comenti kuwahabarisha kuwa Yesu Ni Mungu Tena ni katika yeye ulimwengu na mbingu na vingine vyote viliumbwa akiwamo Nabii Mohamed na wao waislamu wote, lakini kauli ya uchawi uliyoitumie mpendwa si kauli rafiki, waelimishe wakiamini waokolewe.

  • @edwardouma1630
    @edwardouma1630 Před 2 měsíci +2

    Kumbuka mwenyezi Mungu ndiye alimbari Jacob na akambadilisha jina kutoka Jacob akawa Israel . Usisaha vita ya hapa duniani ni vita vyia kiroho kamwe hakuna inch atakae futa Israel kwenye uso wa dunia 👏

  • @user-zs2bv2yv1f
    @user-zs2bv2yv1f Před 7 měsíci +1

    msilolijua ni sawa na usiku wa giza

  • @kingcole60
    @kingcole60 Před 7 měsíci +5

    Wawe ndugu zangu wasiwe ndugu zangu ila siwezi kuwa upande wa waarabu kamwe

    • @ceciliahharon268
      @ceciliahharon268 Před 7 měsíci

      Pia Mimi siwezi

    • @sammarley1413
      @sammarley1413 Před 7 měsíci +2

      Warabu hawana shida yamtu kama ww nenda kwao uone wanavotumikiwa na dunia muzima mungu wako katika bibilia yako kaisha mtukiza Ishmael atazaa ( masayedi12 ) unawajua maseyidi niwatu gani ? nami nitawabariki sana .
      sasa boya kama. Ww utabakia tu kubwabwaja basi

    • @kingcole60
      @kingcole60 Před 7 měsíci +1

      @@sammarley1413 we kweli takataka aliyezungumzia mambo ya biblia nani hapa yaani umejifunza awakbar basi unajiona muarabu mimi nimesema siwezi kuwa upande wa waarabu kamwe hakuna sehemu niliyotaja sababu na tatizo mnatumia nguvu kubwa tuwachukie Wayahudi haya mambo kama wewe umechagua kuwa kwa waarabu mimi nimeamua kuwa upande wa Wayahudi that's it.

    • @ALLYZAHOLO-gr9py
      @ALLYZAHOLO-gr9py Před 3 měsíci

      Jiulize nan aliyekufikisha apo ?mwarabu ajakuksea wa ayuko kalibu nawe lakini unamchukia uko tayari afe bila sababu...alafu na ww unatalajia kuingia peponi.. mungu anasema akitaingia peponi kilicho dhaifu..

    • @bingwaidrisa6680
      @bingwaidrisa6680 Před 3 měsíci

      Okay