mashallah mashallah mashallah doctor sule umelimisha vizur sana wanao taka kufata dini ya kislam wafate wasio taka kazi kwao ukweli ndo huo mmeisha alimishwa
Google sensa ya Israel ya 2021(religion structure) uone wakristo ni 1.9%; na Judaism ni 78%. Sasa sijui huwa mnabariki Israel yupi asiyemkubali yesu,ewe usiye maamuma
@@frankjohn8706 : ndipo nami nikauliza ni yupi haswa?hawa kina netanyahu? Maana 78% ya wayahudi hawamuamini Yesu na wanapinga Imani ya kikristo. Je ndo hao mnaotakiwa kuwabariki ama kuna wengine?
Gaza ni taifa ambalo halikuhesabiwa walimuhasi Mungu.na maandiko yanatimia kuwa atamalizwa siku za mwishon.mungu n moja.tuwasomeshe watto wetu maandiko waelewe wasiidanganywe
Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana. Mfano mdogo tu; > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9. > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad. > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13). > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia. > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi. > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad. KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI😂
@@NgengeMkeni-uo5hqmoyo wako umejaa chuki za ukafiri huwezi kuzuia nuru ya uislam hata ukiangalia wanaosilimu duniani ni wengi na huyo yesu unaemuita mungu wako sisi ni ndugu yetu muislam mwenzetu nabii wa mungu
@@user-mc2xd4eu2p Kwanini Mtume Muhammad alimwingilia mtoto wa miaka 9 kama sio ubakaji?? Jibu swali acha blah blah.. yaani kweli kwa akili zako timamu unaweza kumuozesha mtoto mdogo kama huyo? Nuru ipi hiyo unazungumzia? Ya kubaka watoto au?
@@NgengeMkeni-uo5hqadam alimuingilia mtoto wa siku moja kuzaliwa hawa alizaliwa siku hiyo hiyo akamuingilia siku hiyo hiyo akapata mimba siku hiyo hiyo mambo ya nabii unataka yawe kama wewe tatizo lako
Kawaida ya watoto wa kijakazi, Wala hata usije maaana huku hakuna kufuga maruhani, Wala kuchoma ubani kuwaita mashetwani kuongea. . Huku ni free from GOD
@@faithfaith-zr6gzwewe unachuki sanaa na muongo sanaa kwanza dini ya muislamu Haina sifa hizo unazosema wewe,je ningetoa sifa ya dini yenu na vituko vya viongozi wenu patakuwa hapatoshi hapa,halafu huyo unaemjibu ni mkiristo kama wewe sio muislamu
@@mkude Jiteteeee Mtukuze MUNGU JUA,, Mambo gani ya kufuga maruhani na kufusha fusha miudi,ubani, Mara Pete,chano, maoepo mnautwa malaika wazuri,, hivyo vinavyopandaga kichwani mnavipa ubani au zafalani Ni vitu gani!?? Wewe tushatoka Huko sisi,, Kama unaona kwako Kuna faida na kuzuri Kaa kimya, usijihesabie haki eti upo salama, Mbinguni atuendi kwa dini yoyote ni matendo yako,, Dini ni taasisi tu za kutuweka ktk kujua kanuni za MUNGU, Wote tuna haki mbele ya MUNGU... Angalia moyo wako Na Imani yako c dini.
DevidsLema: hujuwi kama hawa wafuasi wa mudi kusema uongo kwa ajili ya dini ni halali kwao?? Afazali adanganye kwa kujionesha kuwa anaweza na anajuwa kila kitu kumbe uongo mtupu😂😂😂😂😂😂
Ukisoma vizuri utagundua kuna tofauti kati ya wayahudi na waisraeli aliowateua mungu. Kuweni makini ondoeni jazma na murudi mezani musome mtagundua hilo.
Wayahudi ni maanake ni Waisrael waliokuwa katika Ufalme wa Yuda (Soma kitabu cha Wafalme). Ufalme wa Yuda ni Makabila mawili ya Yuda na Benjamin na ndio Wayahudi. Kumbuka baada ya Mfalme Suleimani kufariki Ufalme wa Israel chini ya mwanae Rehoboamu uligawanyika katika sehemu mbili ambazo ni Ufalme wa Yuda (Uliokuwa kusini na makao makuu Yerusalem) na Ufalme wa Israel ulikuwa Kaskazini (Makabila 10) ambao Makao Makuu yao yalikuwa ni Samaria.
Hahaha myahudi na muisraeli ni sawa na kusema Kuna malapa na kandambili, hakuna tofauti ndugu sijui umesoma kwa kitabu Gani hiyo ? Jaribu kua makini Sana .
Yesu ni Bwana Tena sana waliumba viote viliyomo mbiguni na nduniani pamonja na Bake so Kaa ukinjua ni viote Tena vyote.Amen God Almighty bless you.Jina la Bwana limbarikiwe milele Amina
Ndugu yangu unakosea mungu aliumba ulimwengu na vitu vyote vilivyomo kisha akaumba Adam na eva wakati huyo yesu bado hajazaliwa mungu hana mshirika yoyote walieshirikiana kuumba nchi yesu ni mwana wa mungu na si mungu someni bibliothèque.
USITUDANGANYEEE WAYAHUDI WAPO WKRISTO PALE JERUSALEMU MAREKANI ULAYA YOTE NA DUNIANI. NA WAUMINI WAKWANZA WA UKRISTO NI WAYAHUDI WAARABU WAAJEMI WAZUNGU NA KISHA SISI WEUSI. SASA HAKUNA MKRISTO ANAEAMINI HUO UJINGA
@@Ronkiroo mh 🤷♂️ Cjui Mie Naona Ugalagala Tu , 😜😜😜 Labda Uwaulize Wale MATAIFA 10 Waliokaa Mezani Na Kutunga Hilo Neno BIBILIA ,😂😂😂. MUNGU wala YESU Hwajjui BIBILIA ,😜😜😜 ,
@@MohamedAhmada-ie7keukisema hivyo je historia ya lusifa kwenye Quran inasemaje? Jibrii si alimuonea huruma lusifa akamchukua na kumpeleka mbinguni akiwa mdogo Mbona amekuwa ni mwiba wa ulimwengu huu? Au Quran haisemi hivyo???
NAKUPA FAIDA YA BURE KAMA KWELI UNATAKA KUELIMIKA GOOGLE VIONGOZI WOTE WA ISRAEL ALAFU ANGALIA KAMA KUNA KIONGOZI WAKISERIKALI AMBAE NIMUISRAEL NIKO HAPA NAKUSUBIR ALAFU UJE NA MAJIBU KWANII IPO HIVYO NAJE KWANN TAIFA LA ISRAEL LIMEPIGA MARUFUKU RAIA YEYOTE WA ISRAEL KUPIMA DNA WANAOGOPA NINI
hajiri hakua wa agano shehe alie wa agano ni sarai shehe utaratibu unaokwenda nao sio sahihi shehe . nasikitika sana mkiwa mmefungwa ufahamu aise una tetea dini kwa namna unayoijua shehe
Hawa ni wapotoshaji ndugu. Ndio wapinga Kristo waliotabiriwa hata kwenye Biblia. Yaani wanapindisha mpango wa Mungu tokea kwenye chimbuko la imani (Abrahamu) mpaka kwa Yesu mwenyewe. Ndio maana wanapinga hata kufa na kufufuka kwa Yesu.
@@hassanisaidi5422 Umeelezea kwa mtazamo wa imani yako. Imani yetu sisi Wakristo inatueleza Agano la Mungu kwa Ibrahimu lilipitia kwa uzao wa Isaka na sio Ishmaeli. Hii imeelezwa vizuri katika kitabu cha Mwanzo 25:19-34 ambapo tunaona uzao wa Ufalme wa Daudi ukipitia kwa Isaka.
Yaani ukiziainisha tu sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana. Mfano mdogo tu; > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9. > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad. > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13). > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia. > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi. > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad. KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI.
Jamani why are muslims concerned about our faith🙄mbona kila mtu akae kwa lane yake na aamini tu katika imani take tuache kuchambana and yet nobody knows the truth hata huyu anayeongea hamna anachokijua yeye pia
@@fayverenah Shida ni moja, Waislamu walio wengi wanalazimisha kila mtu pasipo kujali imani yake kuamini kuwa Uislamu ndio Dini sahihi. Tofauti na Ukristo kwa mfano ambao unatambua utofauti baina ya imani za watu na kujikita zaidi kwenye kuhimiza *UPENDO* over everything.. regardless of our differences Inshort Wakristo hawana time na Uislamu ila Waislamu wako busy kukosoa Ukristo wakiamini ni jukumu lao la msingi kuhakikisha wanawabadili wengi kufuata Uislamu.
Sote tunaamini kuwa Yesu anarudi.. WAISLAMU na WAKRISTO. Tumsubiri arudi 😂😂 .. Aje atueleweshe YEYE ni Mungu, Mwana au Nabii ... 🖊 ... Atueleweshe pia, Je alikufa na kukufuka .. (Nani alimuuwa na kumfufua) ... 🎉 Bila Shaka majibu atakuwa nayo..
@@SelestinaHamisi-ju8rx Siku unayoitamani, ni hiyo Siku ambayo Yesu atakukana kwa nguvu zote kuwa hajui utokako.. Msitie aibu vijana Born again Christians, Waislamu wanataka kujibiwa hoja zao zenye mashiko.. Huwez kusema: "Ngoja tu, Yesu anarudi, ngoja tu" Hii ni kuonyesha udhaifu wa hoja, ufahamu na Maarifa.. KAENI MSOME, MUMJUE MNAEMUABUDU.. (Yesu au Baba yake ..??!!) Au wote wawili or 2 in 1..🖊
Hayo unayo ongea , ni sawa na kusimulia habari au historia za wavamizi. Kanaani aikuhusiana na historia za kuchonga, historia ya kanaani ni ahadi ya mungu kwa wana israel tangu nyakati za Musa. Leo hii watu wanakaa kutoa hadithi za uongo wanasahau kuwa , Mungu ni mkuu kuliko maagano ya kibinaadamu. Kufulu kubwa ni akili ya mwanadamu kutaka kuwa juu ya ukuu wa mungu, kutaka kupindua Maagano ya mungu wa kweli na kufuata technologia ya Ulimwengu. Wansdamu tumepewa utashi, ambao haupo mbali naapenzi ya Mungu, ila kwasababu ya dhambi watu hutawanya uhakika wa Mungu
Huyo mtu kalewa maharage na hajui hata ahadi za Mungu, vyovyote vile hata wafanyeje hawawezi kubadili alichosema Mungu, bora mnyamaze kumjibu mtu asiyejua kitu.
@@joharifarahani2739 sawa, huyo allah wenu kipofu anawasaidia nini? Tunajua allah ni neno la kiarabu maana yake mungu, lakini , mtume wenu aliwalisha mkenge. Sioni faida hata moja ktk wislamu , labda , kwa wale wanao penda ushirikina, au ngono zembe basi wataingia huko
@@NgengeMkeni-uo5hq Alikuelekeza Weqe Au Aliwaeleza WAYAHUDI ???😜😜😜 Kwanza WAKRISTO MUELEWE KITU KIMOJA , YESU Hawajueni Nyinyi Wala UKRISTO Haujui ,😀😀😀 Yesu Anasema SIKUTUMWA ILA KWA KONDOO WALIOPOTEA WA NYUMBA YAAA ISRAELI 😅😅😅 Bisha Nikupe Andiko , 😬😬😬😜😜😜 Nyie UKRISTO Mmeletewa Na PAULO Mzungu Kutoka ITALY 😁😁😁 Soma hiyo MATENDO YA MITUME 11:25-26 😀😀😀 Halafu 1 WAKORINTHO 4:14-17 😅😅😅😜😜😜 Haleluya 👏👏👏 .
Waislam wanapotoshana sana mpaka wanawachanganya waimini wao kila shehe anakuja na uongo wake na hadidhi zake tatizo si kwamba hawajui ukweli bali hawautaki kwa sababu ya imani yao israel itasimama kama taifa milele
@@hajiameir8688Mmerithi chuki toka kwa Hagar (kijakazi wa Sarah) mpaka leo mnapambana kuangamiza kizazi cha mteule wa Mungu Isaka. Sasa kwa taarifa yenu, mtapambana sana ila hawatashinda. Walishindwa tawala za Babylon, Persia, Pharao na kina Hitler sembuse nyie😂
Yaan mnaandika yesu ni.mtoto wa zinaa kizazi cha nyoka Wana wa manyoka hata angekuja leo akaanza Moja kukataa dhambi mtaungana mumuuwe tena mmetia.aibu na mwandishi.wako mm kama mwandishi siwezi kubali kuandika daa.dunia imelaaniwa
Wakristu wanadai kuwa mungu wao yesu aliuliwa na wayahudi, wayahudi waliwauwa mitume, nk sishangai kuona wanaendelea kuwaua wakristu na waislam. Kinachonisangaza kuona wakristu kuwafanya ni marafiki zao.
@@SELEMANISHAIBU-eq8vf aliyekwambia sisi marafiki wa wayahudi nani? Rafiki yetu ni yeyote anayemkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mokozi wetu. Awe myahudi au la. Ht muislam atakayemkiri Yesu ni rafiki yetu. Na ukristo ni matendo sio maneno ndo mana huwezi kuta Askofu au mchungaji anahubiri akaongelea uislam. Lkn hotuba 10 za waislam 8 lazima ziongelee ukristo. Ukweli ni kwamba wanaupinga lkn wanauogopa. Wakilinganisha matendo wanaona dhahiri wakristu ndo wanayaishi mapenzi ya Mungu na ndo wanaobarikiwa. Shekhe hapo anashangaa kwann waislam ndo wanamiliki mali nyingi lkn stil wao ndo maskini wa kutupwa. Jibu ni kuwa hakuna baraka ktk matendo yenu maovu lkn pia ni ahadi ya Yesu kumuweka juu yeyote atakayemfuata na kumshusha chini yule atakayempinga. Acha wakristu tuendelee kula bata kwa kumkiri Yesu kuwa ni Mwana wa Mungu na ni Mungu kweli kweli!
hebu waelezee vizuri wenzako hao waebusi wahiti na wakanaani kiundani zaidi shehe usijione unajua sana unafahamu hao waliondolewa kwanini? mara nyingi una wadanganya waislamu wenzio shehe
Hamuwezi kutupandikizia chuki kama mlizo nazo nyie dhidi ya Waisraeli. Sisi tunaongozwa kwa upendo❤ wa Yesu Kristo🙏🏿. Mtapambana sana lakini hamtashinda
Wewe funguka tumedanganywa sana kama kweli Israel ni taifa la mungu lile la makabila 12 kwa Nini wanaushirika na marekani wakati marekani inasapoti ushoga pia Israel Kuna kitu kinaitwa guy palled Yani sherehe za mashoga
@@yahayaannu3663 Gizani yupo Mtume wenu Mudi ndio maana akawaachia msala wa kumuombea mara tano kwa siku😂... madhambi aliyotenda mpaka anaogopa mwisho wake mwenyewe Shaytan mkubwa yule
Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana. Mfano mdogo tu; > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9. > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad. > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13). > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia. > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi. > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad. KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI😂
Ukweli uriopo,ata mtu akubali ama asikubali ,yesu ni mwana wa mungu,na irikua mpango wa mungu kumleta duniani, vita vya jana,na Israel, aviwezi,zuia ufaurume wa yesu,huederee bele.
Wewe upeo wako ni mdogo sana ndio mana wale mapastor ni rahisi kuwapotosha kila siku hata maswali hamjawahi kuuliza huko makanisani ili muujue ukweli .
@@mohammedimshihiri4435 kwaiyo nyinyi wa fuasi wa marehemu mudi ndo munazo akili?? Kwa akili gani izo za kumuombeya rehema kila swala kwa mtu ambaye tayari kashakuf mwiaka mingi?? Na kwa nini mumuombeye rehema ilihali ni ninabii wa allah wenu kama munavyo dai kama munazo akili ao munapewa ruksa ya kuuliza swali kwa nini musiulize kuhusu hilo kwa nini aombewe rehema kwa allah na ni nabii munae mu kubali?? Ulizeni alitenda zambi gani zilizo mufanya aombewe rehema kila swala??kujiona wakamilifu na kujiona kama MUNGU ni mjomba wenu .
@@mohammedimshihiri4435 ukweli upi unaozungumza? Muhammad Mkureish alikuja miaka 600 baada ya Kristo tena akiwaambia mkiwa na shaka na utume wake waulizeni watu wa vitabu ambao ni Wakristo na Wayahudi. Sasa ukweli unaouzungumzia ni upi? Muhammad mzinzi na mwenye tamaa ya wanawake kamwe hawezi kuwa mkweli.
Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana. Mfano mdogo tu; > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9. > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad. > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13). > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia. > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi. > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad. KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI😂
Ni kweli wskristo no wastaarabu na watu wa amani kwa kule kumuua Sadam Hussein kwa k7mshingizia uongo na mwisho wa siku ikajulikana kuwa ni uongo. Kuwa hakuwa na silaha za maangamizi.Jee kule kumuua Gadaffi jee?Jee Wakristo wamarekani kuunda na kudhamini makundi ya kigaidi na kuwasingizia waislamu hiyo ni amani na ustaarabu.Hakika katika watu washenzi na wahuni ni nyinyi wakristo wauwaji wakubwa muliwauwa wajapani kule mamilioni ya watu,wafilipino,waajentina,na wengi wengi sana.
Mi nashangaa wanaopigana ni ndugu wao wanajua wanapogania nini tatizo mnaingiza dini zenu ambazo hazina mahusiano .Kwa kuwa hawa ni watoto wa Ibrahim na Mungu ndiye aliwateua tumwachie atafanya maamuz kujua nani ana kosa na atamuadhibu
Deo usidanganyike Wala Israel na palestina sio ndugu ,kwani waarabu hawapo kwenye Torati kwa maelezo ya uchaji wa Mungu Bali wamezungumzwa kama maadui na ndio maana Mungu alimwambia Musa na Yoshua awaangamize kwasababu wanaabudu miungu na walimpinga Mungu wa kweli kitu ambacho wameendelea Hadi Leo , ,Ndugu wa Ibrahimu ni Lutu na sii zaidi ya hapo kwa mujibu wa Neno ,na ishmail sio baba wa waarabu kwani waarabu walikuwepo hata kabla ya Ismail na ndio maana mama yake alikua mwarabu wa misri inamaana nchi nyingine zilikua na waarabu pia mbali ya Misri ,na kanuni ya uzao na ukoo Ishmael hawezi kua mwarabu kwasababu baba yake ni muebrania Au Myahudi ,kisa Cha ishmail ni watu kujipakazia tuu Ili kuhalalisha dini ya uongo kua niya kweli , Sule anasoma Biblia kwani kwenye Quran haipo hiyo japo anakosea kosea kueleza uhalisia ,
Kwanini watu mwapoteza muda kwa kutaka kujua dini ipi tunastahili kuiamni ili tuwe na mwisho mwema,badala ya kufundishana watu kumwamini MUNGU na kutubu,ndiyo maana hakuna kitabu cha dini kinachosema dini hii itakupeleka ahela,ama mbinguni,cha msingi ndugu zangu tumwamini MUNGU kepee na tuishi ktk kweli hiyo tutende yampendezayo MUNGU,kisha kila siku tusiache kutubu,hizi dini zote unazo zijua na usizo zijua ,zilizo anzishwa na ambazo hazijaanzishwa hazita tupeleka popote, Sababu dini hizi hizi zimekuwa ni Sababu kubwa za watu kutenda mabaya,dini hizi hizi hazina upendo hata kidogo
Unasema hakuna kitabu kinachosema dini hii itakupeleka akhera au motoni? Umesoma vitabu vingapi? Au unatumia akili yako kuandika unachowaza,Rudi darasani ukasome upya dini huijui
Wayahudi tunao wasoms kwenye bibilia ndio hao hata mungu ukifanya zambi anakuazibu ndio maana mungu amewaazibu waparestina Kwa kutenda zambi ya kuivamia Israeli hapo waislamu munapigana na mungu wa Israeli aliye hai na mutahangaika sana na jibu hamutapata ila mutaishia kuchapwa na wayahudi taifa teule la mungu
Unaongea kama upo usingizini Israel bila Wazungu hawana kitu. Wapalestina hawana silaha. Itokee waruhusiwe kuwa na silaha sawa. Hawezi Mziki wa Wapalestina. Na unaposema Wayahudi ni Taifa teule vipi Hitler aliweza kuwateketelza zaidi ya Milioni 7.
Mkiambiwa ukweli mnasimamia ujinga wenu, yesu angekuwa anathaminiwa na wayahud wangemuua kama mnavyoamini, eleweni kuwa wakristo pale Israel ni asilimia tatu tu.
@@jumamgwami-px7lskwani tunagombea au wanagombea dini au aridhi wewe uislamu wako mpaka saahizi umekunufaisha nini? Umerithi nini wewe kwenye uislamu mpaka sasa?
@@frankdanford8245 unaongelea manufaa yapi? Manufaa ya uislam yapo ahera tu wala sio fahari za dunia. Sipo kwaajili ya kubishana ila nataka nikueleweshe zaidi alichomaanisha huyo ndugu hapo juu. Wakristo wengi wanahisi kuwa waisraeli wanaambatana kiimani pamoja na wao kitu ambacho si kweli, wengi wa waisraeli ni wayahudi, imani za wayahudi na wakristo juu ya Yesu ziko mbali saana ila imani ya waislam na wakristo juu ya Yesu zinashabiiana kwa mambo mengi ya msingi. Muislam anaamini kuwa Yesu alikuwa ni masihi mteule wa Mungu na alizaliwa kwa muujiza na mama yake, mwanamke bikira Mariamu. Muislam anaamini kristo alizaliwa kwa muujiza na aliweza kuponya wakoma viwete viziwi na kufufua hata wafu kwa Uweza wa Mwenyezi Mungu. Myahudi aliamini kuwa kristo aliyafanya yote haya kwa msaada wa beelzebuli, hakuwa mtoto wa muujiza isipokuwa zinaa, hakuwa nabii wala mwana wa Mungu isipokuwa jambazi, ndio maana walimshusha thamani walipomthaminisha na baraba (mhalifu). Sasa hii ndio taswira halisi ya hawa waisraeli. Israeli ya leo asilimia chache ni wakristo na waislam. takriban asilimia 73.8 ya wakazi ni Wayahudi, asilimia 18 Waislamu, asilimia 1.9 Wakristo, na asilimia 1.6 druze. Sasa wewe unahisi kuwa waisraeli ni ndugu zako wa Damu unaleta chuki ya kidini mpka unauliza manufaa ya uislam. Manufaa ni matunda ya ahera ya kile ulichokipanda hapa duniani. Kwangu kuwa muislam ni zawadi tosha, sihitaji muujiza kuamini Mungu yupo kwani Qur'an tukufu ni muujiza tosha kwangu.
Yani kitabu kilicho ingizwa mkono wa mwanadamu lazima kiwe na kasoro tuu... hivi kwaakili yako nabii wa mwenyezi Mungu anaweza kutenda dhambi kubwa kama ya uzinifu???? Acheni kuwachafua manabii huyo ni Ibrahimu sio mwamposa, luka ama zumaridi ikichunguze upya kitabu chako.
@@lavieestbelle3263 hakuna nabii asiyekuwa na dhambi. Suala la kuzini sio ajabu kwa nabii. Yesu mwenyewe walimwita mwema akawajibu hakuna aliyemwema ila Mungu peke yke. Shida yenu manataka kuhalalisha uzinifu wa nabii ili muwe watoto halali wa ndoa, hilo halipo. Subirini Yesu arudi ndo mtajua hamjui!
MWEHU WEWE UNA MAANA IBRAHIM ALIKUWA MALAYA SIO!! HUO UTAKATIFU ANGEUPATAJE KWA KUVUNJA AMRI ZA MUNGU!! WEE UNADHANI MUNGU NI KAMA MJOMBA WAKO TU, KIASI KWAMBA ANAWEZA KUKUACHA UHARIBU MAMBO HALAFU UWE MTAKATIFU!! NDIO MAANA KWA KUCHUKULIA MAMBO KIRAHISI RAHISI TU, UNAZINI, UNAUA, UNAIBA HALAFU UNATEGEMEA JUMAPILI UKAMWAMBIE PADRE AKUFUTIE MIDHAMBI YAKO, NA KUKUTANGAZIA MSAMAHA!! YAANI WEE MZINIFU UKAFUTIWE MAKOSA YAKO NA MZINIFU MWINGINE!! NDIO MAANA DINI YENU NI RAHISI SANA KWA AJILI YA KUCHUKULIA MAMBO KIRAHISI RAHISI TU.
Juzi Waziri Mkuu wa Israel alisema Israel ni kwao na akimwambia Mwandishi hakumbuki historia ya Yesu ambaye alikuwa ni Rabi wa Kiyahudi. Means wao pia wanamtambua Yesu.
Waislam sjuh mpoje shobo tu na YESU wetu hao wayahudi wanaamini masihi ambaye ndo YESU bado hajaja na ndomana walimuuua wakizani huyu sio YESU acheni ushetani wenu na kama mnataka kuamni YESU no mungu nendeni mkawaroge watumishi was ukweli kama Adam Aston mbaya ,au mtume meshack muone moto wake sasa
Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana. Mfano mdogo tu; > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9. > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad. > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13). > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia. > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi. > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad. KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI.
Ni kweli Yesu ndiye Masihi, na alishakuja na anatarajiwa kuja mara ya pili kutwaa wateule na kisha atarudi Tena mara ya tatu kuhukumu, na ni kweli kuwa wayahudi na viongozi wao waandishi walimu wa Sheria n. K hata mafarisayo walimtega Kwa mambo mengi lakini elimu ya Yesu iliwaacha vinywa wazi lakini hawakumwamini na hata Yohana alituma wanafunzi wake kumuuliza Yesu kuwa Yeye ndiye Masihi au watarajie mwingine Yesu akawajibu wakamwambie viwete wanatembea na vipofu wanaona hii Inamaanisha yeye Ndiye, sasa hoja yangu unge comenti kuwahabarisha kuwa Yesu Ni Mungu Tena ni katika yeye ulimwengu na mbingu na vingine vyote viliumbwa akiwamo Nabii Mohamed na wao waislamu wote, lakini kauli ya uchawi uliyoitumie mpendwa si kauli rafiki, waelimishe wakiamini waokolewe.
Kumbuka mwenyezi Mungu ndiye alimbari Jacob na akambadilisha jina kutoka Jacob akawa Israel . Usisaha vita ya hapa duniani ni vita vyia kiroho kamwe hakuna inch atakae futa Israel kwenye uso wa dunia 👏
Warabu hawana shida yamtu kama ww nenda kwao uone wanavotumikiwa na dunia muzima mungu wako katika bibilia yako kaisha mtukiza Ishmael atazaa ( masayedi12 ) unawajua maseyidi niwatu gani ? nami nitawabariki sana . sasa boya kama. Ww utabakia tu kubwabwaja basi
@@sammarley1413 we kweli takataka aliyezungumzia mambo ya biblia nani hapa yaani umejifunza awakbar basi unajiona muarabu mimi nimesema siwezi kuwa upande wa waarabu kamwe hakuna sehemu niliyotaja sababu na tatizo mnatumia nguvu kubwa tuwachukie Wayahudi haya mambo kama wewe umechagua kuwa kwa waarabu mimi nimeamua kuwa upande wa Wayahudi that's it.
Jiulize nan aliyekufikisha apo ?mwarabu ajakuksea wa ayuko kalibu nawe lakini unamchukia uko tayari afe bila sababu...alafu na ww unatalajia kuingia peponi.. mungu anasema akitaingia peponi kilicho dhaifu..
Swadata nimekupata shekhe kutoka Lusaka zambia 🇿🇲
Ma Sha Allah umeelezea vizuri Dr. Sulle. Allahu Musta'an
mashallah mashallah mashallah doctor sule umelimisha vizur sana wanao taka kufata dini ya kislam wafate wasio taka kazi kwao ukweli ndo huo mmeisha alimishwa
Shee ayo ni maubiri ambiya waislamu Kama ni masmdiko kwenye Bibliya ukifundisha sema mahi coroani....,Mwanzo... Njo mtumishi Yesu anakutaka karibu
Anawahadisia maamuma hawa ndio wanaopotosha kweli ya mungu wanajalibu kupambana na mungu wakiwa hapa duniani
Google sensa ya Israel ya 2021(religion structure) uone wakristo ni 1.9%; na Judaism ni 78%. Sasa sijui huwa mnabariki Israel yupi asiyemkubali yesu,ewe usiye maamuma
Huyu hajui chochote
Hawa ndio wapinga Kristo wenyewe
Mungu amesema abarikiwe anaembariki Israel na alaaniwe anaemlani Israel
@@frankjohn8706 : ndipo nami nikauliza ni yupi haswa?hawa kina netanyahu? Maana 78% ya wayahudi hawamuamini Yesu na wanapinga Imani ya kikristo. Je ndo hao mnaotakiwa kuwabariki ama kuna wengine?
Ishallah Allah akujaalie kuwaelimisha wasojuwa
Tunajua toka zamani kabla uislamu haujazaliwa,Wayaudi ni ndugu zetu kwa jinsi ya Roho ndivyo maandiko yanavyo sema Dr sele
Gaza ni taifa ambalo halikuhesabiwa walimuhasi Mungu.na maandiko yanatimia kuwa atamalizwa siku za mwishon.mungu n moja.tuwasomeshe watto wetu maandiko waelewe wasiidanganywe
Naelewa sn uislamu ee mwenyezi mungu nijarie roho yakuingia ktk uislamu
Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana.
Mfano mdogo tu;
> Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9.
> Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad.
> Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13).
> Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia.
> Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi.
> Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad.
KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI😂
@@NgengeMkeni-uo5hqmoyo wako umejaa chuki za ukafiri huwezi kuzuia nuru ya uislam hata ukiangalia wanaosilimu duniani ni wengi na huyo yesu unaemuita mungu wako sisi ni ndugu yetu muislam mwenzetu nabii wa mungu
@@user-mc2xd4eu2p Kwanini Mtume Muhammad alimwingilia mtoto wa miaka 9 kama sio ubakaji?? Jibu swali acha blah blah.. yaani kweli kwa akili zako timamu unaweza kumuozesha mtoto mdogo kama huyo?
Nuru ipi hiyo unazungumzia? Ya kubaka watoto au?
@@NgengeMkeni-uo5hqadam alimuingilia mtoto wa siku moja kuzaliwa hawa alizaliwa siku hiyo hiyo akamuingilia siku hiyo hiyo akapata mimba siku hiyo hiyo mambo ya nabii unataka yawe kama wewe tatizo lako
@@NgengeMkeni-uo5hq ukijibu kwa nini adam alimpa mimba mtoto wa siku moja utapata jibu kama utaacha jazba
Ubarikiwe kwa kufundisha ukristo
🤣
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu
Ahsante kwa kutufafanulia hili hwa ndugu. wanatakiwa.kupatana.wenyewe.
Napenda darsa zako doctor sile
Mara 100000000000, nibadili iman niwe myaud kuliko kua iman fln imejaa ubinafsi na chuki iliyopindukia
Kawaida ya watoto wa kijakazi, Wala hata usije maaana huku hakuna kufuga maruhani, Wala kuchoma ubani kuwaita mashetwani kuongea. . Huku ni free from GOD
Chuki mnazo nyinyi mnaochinjana chinjana na kujilipua lipua eti thawabu.
@@faithfaith-zr6gzwewe unachuki sanaa na muongo sanaa kwanza dini ya muislamu Haina sifa hizo unazosema wewe,je ningetoa sifa ya dini yenu na vituko vya viongozi wenu patakuwa hapatoshi hapa,halafu huyo unaemjibu ni mkiristo kama wewe sio muislamu
@@mkude Jiteteeee Mtukuze MUNGU JUA,, Mambo gani ya kufuga maruhani na kufusha fusha miudi,ubani, Mara Pete,chano, maoepo mnautwa malaika wazuri,, hivyo vinavyopandaga kichwani mnavipa ubani au zafalani Ni vitu gani!?? Wewe tushatoka Huko sisi,, Kama unaona kwako Kuna faida na kuzuri Kaa kimya, usijihesabie haki eti upo salama, Mbinguni atuendi kwa dini yoyote ni matendo yako,, Dini ni taasisi tu za kutuweka ktk kujua kanuni za MUNGU, Wote tuna haki mbele ya MUNGU... Angalia moyo wako Na Imani yako c dini.
@@mkude Mimi sitishwi na mtu kujiita mkristo, Anaiweza kuwa mkristo jina na hana kanuni za UKRISTO.
Shekh wetu huyu khakika anajuwa njia iliyonyoka atakuja kwa Yesu miaka siyo mingi❤
katika jina la yesu kristo mwogopeni mungu acheni uongo
Sasa uongo ni upi na hii hata kwenye biblia ipo waulize mapadri zenu wanaolewa
DevidsLema: hujuwi kama hawa wafuasi wa mudi kusema uongo kwa ajili ya dini ni halali kwao?? Afazali adanganye kwa kujionesha kuwa anaweza na anajuwa kila kitu kumbe uongo mtupu😂😂😂😂😂😂
Hii ni Miongo hatari
Devidslema ,jifunze kwanza kuandika majina ya Mungu au MUNGU herufi kubwa, Yesu au YESU , Mungu au MUNGU
Hakuna kiongo hapo. Mimi ni mkristo na naamini yote haya
ifike mahali kila mtu aongelee din yke na kila mtu aishi kwa kadri ya imani yake sababu dini haimpeleki mtu mbinguni bali ni matendo yetu 🙌
Toa andiko linalo sema Dini aimpeleki mtu mbinguni acheni kuropoka wakristo
Wakristo wenyewe awaiamini dini yao
Nyie lumbaneni tuu ila yale mengine tunayo jiuliza majibu anyone Mungu cha msingi tuu Mungu atusaidie twende hapoo anapo hitaji tufike
Nimependa hiyo ...anapotaka tufike
Hamjielew nyie
Hata na wewe pia unayo majibu maana umefanywa kua ni kiumbe bora na ukapewa akili utakosaje majibu
Kila mtu anayo akili na maarifa lakini ufahamu unatofautiana kila mtu anajifunza kwa mtu anaemuona anamzidi maarifa!
Ukisoma vizuri utagundua kuna tofauti kati ya wayahudi na waisraeli aliowateua mungu. Kuweni makini ondoeni jazma na murudi mezani musome mtagundua hilo.
Wayahudi ni maanake ni Waisrael waliokuwa katika Ufalme wa Yuda (Soma kitabu cha Wafalme). Ufalme wa Yuda ni Makabila mawili ya Yuda na Benjamin na ndio Wayahudi. Kumbuka baada ya Mfalme Suleimani kufariki Ufalme wa Israel chini ya mwanae Rehoboamu uligawanyika katika sehemu mbili ambazo ni Ufalme wa Yuda (Uliokuwa kusini na makao makuu Yerusalem) na Ufalme wa Israel ulikuwa Kaskazini (Makabila 10) ambao Makao Makuu yao yalikuwa ni Samaria.
Hahaha myahudi na muisraeli ni sawa na kusema Kuna malapa na kandambili, hakuna tofauti ndugu sijui umesoma kwa kitabu Gani hiyo ? Jaribu kua makini Sana .
Siku zote mjinga huwa anatuka na kupinga hata kama anajua ukweli shehe uko sawa huwezi ongea haya kwa uwongo allah akujalie kwa elimu uliyonato
What do say he is yourself? He i the prince of life and peace. he holds your life in his fingers. Good thing he fights for himself
Yesu ni Bwana Tena sana waliumba viote viliyomo mbiguni na nduniani pamonja na Bake so Kaa ukinjua ni viote Tena vyote.Amen God Almighty bless you.Jina la Bwana limbarikiwe milele Amina
Wewe ni mongol tu hunalolote
Ndugu yangu unakosea mungu aliumba ulimwengu na vitu vyote vilivyomo kisha akaumba Adam na eva wakati huyo yesu bado hajazaliwa mungu hana mshirika yoyote walieshirikiana kuumba nchi yesu ni mwana wa mungu na si mungu someni bibliothèque.
We 𝐌𝐂𝐎𝐍𝐆𝐎 kajifunze kuandika vizur alafu uje tuongee..
Jifunze kwanza Kiswahili
Acha uongo bana Marry
Mungu awa Rehemu na atusaidie kuijua kweli ya Mungu wa kweli
Continue and we shall watch this space
Sio kweli Salah ndie aliemwambia iburahimu mfukuze mjakazi maana moto wa mjakazi hatarisi pamoja na mwanangu
Kajifunze kwanza kiswahili ukishajua ndio uje kwenye mjadala
@@usaynmakumbo7394😂😂😂
Nynyi wa kristo mutajuwa wapi dini wakati vitabu vyenu v imejaa propa ganda
Anachokiongea kipo sahihi ndio agano la kale katika kitabu Cha Musa kiitwacho Musa. Yupo sahihi
Tunashukuru sana suleshi kwa kuutangaza ukristo asante akubless Mungu maana 😂😂😂
Kuna mungu binguni mwenye uwezo na mamulaka
Pure truth. Articulate and explicitly narrated.
Sahihi..
Muda mingine fundisha watu kuhusu imani maana wewe umekazana kuhubiri dini kuna mambo mengine nikazi ya Mungu mwenyewe
Mungu akupe miaka mingi uhubili ukweli wote
I love the way you teach
This is like studying the book of CIVICS while preparing to do the exam of PHYSICS! 🤣
You who say that😬😬
Innalillahi waina lillahi rajhuni,
Subuhanallah
Astakhafiruallah
USITUDANGANYEEE WAYAHUDI WAPO WKRISTO PALE JERUSALEMU MAREKANI ULAYA YOTE NA DUNIANI. NA WAUMINI WAKWANZA WA UKRISTO NI WAYAHUDI WAARABU WAAJEMI WAZUNGU NA KISHA SISI WEUSI. SASA HAKUNA MKRISTO ANAEAMINI HUO UJINGA
Swadakta 😊 Baarakallahu fiika 🤲
Bibilia neno la mungu. Lazima ukubali tu
TORATI , ZABURI , INJILI , Ndio Neno La MUNGU Sio BIBILIA 😜😜😜
na bibilia ni nini? wajua maana yake?😁😁😁😁😁@@shabbymakapane
@@Ronkiroo mh 🤷♂️ Cjui Mie Naona Ugalagala Tu , 😜😜😜 Labda Uwaulize Wale MATAIFA 10 Waliokaa Mezani Na Kutunga Hilo Neno BIBILIA ,😂😂😂. MUNGU wala YESU Hwajjui BIBILIA ,😜😜😜 ,
unajielewa kweli ama ni mafunzo potofu ya mohammad imekudanganya🤣🤣 aliye waambia dunia ni flat🤣mnayaamini hayo?🤣🤣poleni sana
@@shabbymakapane
@@shabbymakapaneSasa hivyo vitabu vinatoka wapi🤣🤣🤣.. juha kalulu mkubwa wewe
Wenye imani za chuki nyinyi someni biblia na mutafahamu neno la kweli la mwenyezi Mungu
Israel litabaki daima kuwa taifa la mwenyezi Mungu
❤❤❤ safi sana shekh
Wa Amina pst that is true of God 🙏 and Haven hallelujah 🙏 mwokozi wetu yesu Amina na mutume wetu Muhammad Amina kabisa true true
Acha kulalama piga kazi mungu anabariki. Wivu husuda hazisaidii.
Shekh nikusaidie. Waliotumwa kupeleleza nchi ni 12 siyo 24
Thank you for the point of correction
Tatizo anatumia Biblia asiyo hata ijua😂.. yaani ukweli ni kwamba Uislamu bila Biblia na Hadith za mtume za kutungwa hautoboiii
Wayahudi ni watumishi wa kweli wa Mungu
Amen ubarikiwe shehe
Tatizo ni kuwa Mungu aliwaambia waisrael waangamize wote wasibakize hata mmoja.na kama watabakiza basi watakuwa miiba kwao nayo hiyo miba itawachoma.
Dah ndio kitabu icho kina amrisha kuuliwa watu wasio na hatia eety wauliwe wte, sjawah kuona watu wajinga kwma nyie dah
@@MohamedAhmada-ie7keukisema hivyo je historia ya lusifa kwenye Quran inasemaje? Jibrii si alimuonea huruma lusifa akamchukua na kumpeleka mbinguni akiwa mdogo Mbona amekuwa ni mwiba wa ulimwengu huu?
Au Quran haisemi hivyo???
Mungu hajaagiza jambo kama hilo ila hayo ni maneno ya mtu aliyeamua kuandika katika biblia kwa manufaa yao binafsi
NAKUPA FAIDA YA BURE KAMA KWELI UNATAKA KUELIMIKA GOOGLE VIONGOZI WOTE WA ISRAEL ALAFU ANGALIA KAMA KUNA KIONGOZI WAKISERIKALI AMBAE NIMUISRAEL NIKO HAPA NAKUSUBIR ALAFU UJE NA MAJIBU KWANII IPO HIVYO
NAJE KWANN TAIFA LA ISRAEL LIMEPIGA MARUFUKU RAIA YEYOTE WA ISRAEL KUPIMA DNA WANAOGOPA NINI
@@MohamedAhmada-ie7kewe do mjinga zaidi
hajiri hakua wa agano shehe alie wa agano ni sarai shehe utaratibu unaokwenda nao sio sahihi shehe . nasikitika sana mkiwa mmefungwa ufahamu aise una tetea dini kwa namna unayoijua shehe
Nashagaa iyo anayo yasema akuna katika icho kitabu chawo uyu kasoma Bible tu
Uko sahihi muda umekaribia waendelee kumponda yesu KRISTO
Hawa ni wapotoshaji ndugu. Ndio wapinga Kristo waliotabiriwa hata kwenye Biblia. Yaani wanapindisha mpango wa Mungu tokea kwenye chimbuko la imani (Abrahamu) mpaka kwa Yesu mwenyewe. Ndio maana wanapinga hata kufa na kufufuka kwa Yesu.
Ahadi alipewa Ibrahim siyo Sara Wala hajiri, Ibrahim aliambiwa kizazi chake,Sasa ISMAIL ni kizazi Cha nani..
@@hassanisaidi5422 Umeelezea kwa mtazamo wa imani yako. Imani yetu sisi Wakristo inatueleza Agano la Mungu kwa Ibrahimu lilipitia kwa uzao wa Isaka na sio Ishmaeli.
Hii imeelezwa vizuri katika kitabu cha Mwanzo 25:19-34 ambapo tunaona uzao wa Ufalme wa Daudi ukipitia kwa Isaka.
Na waambie mungu anamrueisha yesu kwa mara ya pili Ile awanyooshe vizuri
Shukrani shehe uko sawa
Shekh Sule napenda mafundisho yake. Ni sawa na ya Bibilia.
Kweri itadjulikana kwa wote n'a Jérusalem ni ya wana wa yakub kwa mujibu wa cheikh
Wnalielewa hilo sana tu. Jerusalem ni ya Bani Israel hata Quran yao inasema
Kwendraaaaa Yesu ni myahudi na hao ni ndugu zake full stop
Muche mungu mwenyewe atapeganiya taifalake yéyé anilijuwa hakuna wakati yakujeteteya
Why is that our brothers Muslims keep on telling us about our Saviour ?? Let them keep on believing their prophet
😂😂😂ndio wanapenda kubishana na cc na cc tumetulia tuli
Yaani ukiziainisha tu sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana.
Mfano mdogo tu;
> Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9.
> Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad.
> Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13).
> Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia.
> Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi.
> Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad.
KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI.
Jamani why are muslims concerned about our faith🙄mbona kila mtu akae kwa lane yake na aamini tu katika imani take tuache kuchambana and yet nobody knows the truth hata huyu anayeongea hamna anachokijua yeye pia
@@fayverenah Shida ni moja, Waislamu walio wengi wanalazimisha kila mtu pasipo kujali imani yake kuamini kuwa Uislamu ndio Dini sahihi.
Tofauti na Ukristo kwa mfano ambao unatambua utofauti baina ya imani za watu na kujikita zaidi kwenye kuhimiza *UPENDO* over everything.. regardless of our differences
Inshort Wakristo hawana time na Uislamu ila Waislamu wako busy kukosoa Ukristo wakiamini ni jukumu lao la msingi kuhakikisha wanawabadili wengi kufuata Uislamu.
@@agneslozi867❤
Siku si nyingi YESU ANARUDI,mtakuja kumuelewa tu
kweli watamuelewa ndugu maana ufahamu wao mdogo kihistoria mpaka kidini na kiroho
barikiwa sana mpendwa umenena vyema!
Sote tunaamini kuwa Yesu anarudi.. WAISLAMU na WAKRISTO.
Tumsubiri arudi 😂😂 .. Aje atueleweshe YEYE ni Mungu, Mwana au Nabii ... 🖊 ... Atueleweshe pia, Je alikufa na kukufuka .. (Nani alimuuwa na kumfufua) ... 🎉 Bila Shaka majibu atakuwa nayo..
Waache kudadeki iyo siku naitamani wamezidi kumsimaga YESU
@@SelestinaHamisi-ju8rx Siku unayoitamani, ni hiyo Siku ambayo Yesu atakukana kwa nguvu zote kuwa hajui utokako.. Msitie aibu vijana Born again Christians, Waislamu wanataka kujibiwa hoja zao zenye mashiko.. Huwez kusema: "Ngoja tu, Yesu anarudi, ngoja tu" Hii ni kuonyesha udhaifu wa hoja, ufahamu na Maarifa..
KAENI MSOME, MUMJUE MNAEMUABUDU.. (Yesu au Baba yake ..??!!) Au wote wawili or 2 in 1..🖊
May God take control of everything
May the holy spirit take control of everything
Hayo unayo ongea , ni sawa na kusimulia habari au historia za wavamizi.
Kanaani aikuhusiana na historia za kuchonga, historia ya kanaani ni ahadi ya mungu kwa wana israel tangu nyakati za Musa.
Leo hii watu wanakaa kutoa hadithi za uongo wanasahau kuwa , Mungu ni mkuu kuliko maagano ya kibinaadamu.
Kufulu kubwa ni akili ya mwanadamu kutaka kuwa juu ya ukuu wa mungu, kutaka kupindua Maagano ya mungu wa kweli na kufuata technologia ya Ulimwengu.
Wansdamu tumepewa utashi, ambao haupo mbali naapenzi ya Mungu, ila kwasababu ya dhambi watu hutawanya uhakika wa Mungu
Huyo mtu kalewa maharage na hajui hata ahadi za Mungu, vyovyote vile hata wafanyeje hawawezi kubadili alichosema Mungu, bora mnyamaze kumjibu mtu asiyejua kitu.
Hiyo historia unaijua wewe Tu? Acha ujinga
Umeongea Kwa hekima na busara.
Mungu yupi alietoa ahadi maana nyie mnamiungu mitatu..mungu baba mungu mwana na mungu roho mungu yupi huyo ndugu...
@@joharifarahani2739 sawa, huyo allah wenu kipofu anawasaidia nini?
Tunajua allah ni neno la kiarabu maana yake mungu, lakini , mtume wenu aliwalisha mkenge.
Sioni faida hata moja ktk wislamu , labda , kwa wale wanao penda ushirikina, au ngono zembe basi wataingia huko
Tena Yesu anawapenda wayahudi sana
Huyu nae muongomuongo sana
Lakini MAYAHUDI Hawajawahi KumpendacYESU ,😁😁😁 ndio Maana Mnaamini WALIMUUA ,
@@shabbymakapaneYesu alituelekeza tuwapende mpaka maadui zetu❤.. nenda kasome Injil tena utaelewa dogo Shabani madobe😂
@@NgengeMkeni-uo5hq Alikuelekeza Weqe Au Aliwaeleza WAYAHUDI ???😜😜😜 Kwanza WAKRISTO MUELEWE KITU KIMOJA , YESU Hawajueni Nyinyi Wala UKRISTO Haujui ,😀😀😀 Yesu Anasema SIKUTUMWA ILA KWA KONDOO WALIOPOTEA WA NYUMBA YAAA ISRAELI 😅😅😅 Bisha Nikupe Andiko , 😬😬😬😜😜😜 Nyie UKRISTO Mmeletewa Na PAULO Mzungu Kutoka ITALY 😁😁😁 Soma hiyo MATENDO YA MITUME 11:25-26 😀😀😀 Halafu 1 WAKORINTHO 4:14-17 😅😅😅😜😜😜 Haleluya 👏👏👏 .
Ww kama huamini usitukane nakushauri usome ujuwe sahihi ninaimani ukisoma naukafahamu utatamka Laila ha illallah
Acheni Mambo ya kizushi hapa, mnapotosha watu live, wakristo simameni imara ! Hizi ni nyakati za Hatari mno, Udini unaleta Vita ya kiroho
Acha uvivuu soma inaoneka we bado huna elimu ya din vilivyo
Mungu mwenyewe ndiye aliyewatambulisha kwamba ni taifa teule la Mungu
Mungu yupi au yule yesu wa wakristu wanadai kuwa aliuliwa na wayahudi
Tanzania ni taifa la Nani?
Israel nitaifa la MUNGU ukipigana nalo unapigana na MUNGU kama utak kajaribu kama hamasi walivyo jaribu
Waislam wanapotoshana sana mpaka wanawachanganya waimini wao kila shehe anakuja na uongo wake na hadidhi zake tatizo si kwamba hawajui ukweli bali hawautaki kwa sababu ya imani yao israel itasimama kama taifa milele
Shekhe Kwa taarifa yako hakitasimama kama mpaka mpigane na mayahudi na mtawashinda kwahivyo ndugu taifa la izraeli litaangamia tu
@@hajiameir8688Mmerithi chuki toka kwa Hagar (kijakazi wa Sarah) mpaka leo mnapambana kuangamiza kizazi cha mteule wa Mungu Isaka.
Sasa kwa taarifa yenu, mtapambana sana ila hawatashinda. Walishindwa tawala za Babylon, Persia, Pharao na kina Hitler sembuse nyie😂
Mbona hamfundishi kutengeneza majii makata na jini maimuna
Muda utaongea tu na ukweli utajulikana zaidi.
@@NgengeMkeni-uo5hq usilazimishe uongo uwe ukweli.
Yaan mnaandika yesu ni.mtoto wa zinaa kizazi cha nyoka Wana wa manyoka hata angekuja leo akaanza Moja kukataa dhambi mtaungana mumuuwe tena mmetia.aibu na mwandishi.wako mm kama mwandishi siwezi kubali kuandika daa.dunia imelaaniwa
Hakika
Zungumzeni Sifa za Mungu wenu kwenye uislam wenu Acheni Kuwapotosha Wakristo
Wakristu wanadai kuwa mungu wao yesu aliuliwa na wayahudi, wayahudi waliwauwa mitume, nk sishangai kuona wanaendelea kuwaua wakristu na waislam. Kinachonisangaza kuona wakristu kuwafanya ni marafiki zao.
@@SELEMANISHAIBU-eq8vf aliyekwambia sisi marafiki wa wayahudi nani? Rafiki yetu ni yeyote anayemkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mokozi wetu. Awe myahudi au la. Ht muislam atakayemkiri Yesu ni rafiki yetu. Na ukristo ni matendo sio maneno ndo mana huwezi kuta Askofu au mchungaji anahubiri akaongelea uislam. Lkn hotuba 10 za waislam 8 lazima ziongelee ukristo. Ukweli ni kwamba wanaupinga lkn wanauogopa. Wakilinganisha matendo wanaona dhahiri wakristu ndo wanayaishi mapenzi ya Mungu na ndo wanaobarikiwa. Shekhe hapo anashangaa kwann waislam ndo wanamiliki mali nyingi lkn stil wao ndo maskini wa kutupwa. Jibu ni kuwa hakuna baraka ktk matendo yenu maovu lkn pia ni ahadi ya Yesu kumuweka juu yeyote atakayemfuata na kumshusha chini yule atakayempinga. Acha wakristu tuendelee kula bata kwa kumkiri Yesu kuwa ni Mwana wa Mungu na ni Mungu kweli kweli!
Wakristo awapotochui, ila wanatolewa kwenye opotovu
hebu waelezee vizuri wenzako hao waebusi wahiti na wakanaani kiundani zaidi shehe usijione unajua sana unafahamu hao waliondolewa kwanini? mara nyingi una wadanganya waislamu wenzio shehe
Kenge weye
@@MichaelKweka-eh6gw sawa hata ivo ukisema ivo kwani kweli
Huo ndio ukweli kabisa
kunavitu mwislm anajion sana lla pow
Mazinge naye amesha batizwaaa sasaaaaaa
Hamuwezi kutupandikizia chuki kama mlizo nazo nyie dhidi ya Waisraeli. Sisi tunaongozwa kwa upendo❤ wa Yesu Kristo🙏🏿. Mtapambana sana lakini hamtashinda
Wewe funguka tumedanganywa sana kama kweli Israel ni taifa la mungu lile la makabila 12 kwa Nini wanaushirika na marekani wakati marekani inasapoti ushoga pia Israel Kuna kitu kinaitwa guy palled Yani sherehe za mashoga
Waisrael wenyewe wameshalaaniwa
@@RamadhaniMtoro-jb5kb Mmelaaniwa Watanzania kwa *UJINGA*, *UMASKINI* na *MARADHI*
Toka gizani huko ulikojifungia 😅
@@yahayaannu3663 Gizani yupo Mtume wenu Mudi ndio maana akawaachia msala wa kumuombea mara tano kwa siku😂... madhambi aliyotenda mpaka anaogopa mwisho wake mwenyewe Shaytan mkubwa yule
Genesis 16:1-9 Hajiri ni mjakazi wa Sarah,hakuwa bibi mwenza
Elewa we kijana hajakataa kwamba Hajira si mjakazi.Alikua Mjakazi lakin Sara alimuamulu Nabii Ibrahimu Amchukue awe mkewe ili mzalie mtoto
@@salumsodangu1372 wewe ndio uelewi soma MWANZO 21:8-21, inasema Abraham alimfukuza hajiri naye akapotea katika janga la Ber-sheba
Pole kweli hatuko sawa
We Salma mwang umesikia wakristo au wayahud usikilize vizur
Yesu christu mwana wa mungu wa kweli akubariki uendelee kutafuta uchochezi wa kidini wewe vita inakuhusu
Mbona hamueleweki..
Yesu ni Mwana au Mungu ..!??
Haya maislamu muda wote yanawaza vita, sasa huyu Sure sijui anapigana na nini? Walimtukana Yesu akina na ni na Imeandikwa wapi?
@@neemamajana3078
Hueleweki ulichokiandika ..
@@swafiirbulbul819yesu mwana wa mungu sio mungu nani alikwambia ni mungu Jamani
@@neemamajana3078yani hawa wangekua mungu cjui watu wangekua vipi yani wanajitia kujua dini sanaa
Kumbenifamily moja ndokwamaana wanagombana😃
Allahu Akbar ya Allah waidie wafalstin from barawa sml
Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana.
Mfano mdogo tu;
> Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9.
> Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad.
> Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13).
> Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia.
> Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi.
> Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad.
KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI😂
Ukweli uriopo,ata mtu akubali ama asikubali ,yesu ni mwana wa mungu,na irikua mpango wa mungu kumleta duniani, vita vya jana,na Israel, aviwezi,zuia ufaurume wa yesu,huederee bele.
Wewe upeo wako ni mdogo sana ndio mana wale mapastor ni rahisi kuwapotosha kila siku hata maswali hamjawahi kuuliza huko makanisani ili muujue ukweli .
@@mohammedimshihiri4435 kwaiyo nyinyi wa fuasi wa marehemu mudi ndo munazo akili?? Kwa akili gani izo za kumuombeya rehema kila swala kwa mtu ambaye tayari kashakuf mwiaka mingi?? Na kwa nini mumuombeye rehema ilihali ni ninabii wa allah wenu kama munavyo dai kama munazo akili ao munapewa ruksa ya kuuliza swali kwa nini musiulize kuhusu hilo kwa nini aombewe rehema kwa allah na ni nabii munae mu kubali?? Ulizeni alitenda zambi gani zilizo mufanya aombewe rehema kila swala??kujiona wakamilifu na kujiona kama MUNGU ni mjomba wenu .
@@mohammedimshihiri4435 ukweli upi unaozungumza? Muhammad Mkureish alikuja miaka 600 baada ya Kristo tena akiwaambia mkiwa na shaka na utume wake waulizeni watu wa vitabu ambao ni Wakristo na Wayahudi. Sasa ukweli unaouzungumzia ni upi? Muhammad mzinzi na mwenye tamaa ya wanawake kamwe hawezi kuwa mkweli.
Sioni wanadamu mnachojivunia mm sion kinachowapelekea kuandika yesu ni mtoto wa zinaa what?
Allahu Akbar
Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana.
Mfano mdogo tu;
> Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9.
> Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad.
> Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13).
> Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia.
> Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi.
> Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad.
KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI😂
Uchochezi kwenye dini sio nzuri uzuri wakristo ni wapole hawana uchochezi
Ni kweli wskristo no wastaarabu na watu wa amani kwa kule kumuua Sadam Hussein kwa k7mshingizia uongo na mwisho wa siku ikajulikana kuwa ni uongo. Kuwa hakuwa na silaha za maangamizi.Jee kule kumuua Gadaffi jee?Jee Wakristo wamarekani kuunda na kudhamini makundi ya kigaidi na kuwasingizia waislamu hiyo ni amani na ustaarabu.Hakika katika watu washenzi na wahuni ni nyinyi wakristo wauwaji wakubwa muliwauwa wajapani kule mamilioni ya watu,wafilipino,waajentina,na wengi wengi sana.
sisi tuna jiandaa kwanyakati za kumupokeya Mungu
Acheni upuuz na hisia za upotovu somen,mjue ukweli wamambo,she yupo sahih
Usahihi wake ni upi kwanza kila kitu anachukua kwenye Biblia maana habari hizo Koran haina. Anajaribu kuchanganya Story kijanja kijanja hana jipya.
Kizuri chajiuza kimbaya chajitembeza
Allah atuhifadhi waisilamu
Mungu ni mukumbwa
Hujamuelewa ww sikiliza Kwa making,hajasema wakristo amesema mayahudi!!!
Chuki zenu dhidi ya Wayahudi kamwe haiwezi kushinda upendo wa Mungu. Mtapambana sana ila hamtashinda
Mi nashangaa wanaopigana ni ndugu wao wanajua wanapogania nini tatizo mnaingiza dini zenu ambazo hazina mahusiano .Kwa kuwa hawa ni watoto wa Ibrahim na Mungu ndiye aliwateua tumwachie atafanya maamuz kujua nani ana kosa na atamuadhibu
nikweli kabisa
Watapata taabu sana,walikua wapi siku zotee? Badala ya kuwaombea wenzao ,wanaingia kwenye udini !?
Deo usidanganyike Wala Israel na palestina sio ndugu ,kwani waarabu hawapo kwenye Torati kwa maelezo ya uchaji wa Mungu Bali wamezungumzwa kama maadui na ndio maana Mungu alimwambia Musa na Yoshua awaangamize kwasababu wanaabudu miungu na walimpinga Mungu wa kweli kitu ambacho wameendelea Hadi Leo , ,Ndugu wa Ibrahimu ni Lutu na sii zaidi ya hapo kwa mujibu wa Neno ,na ishmail sio baba wa waarabu kwani waarabu walikuwepo hata kabla ya Ismail na ndio maana mama yake alikua mwarabu wa misri inamaana nchi nyingine zilikua na waarabu pia mbali ya Misri ,na kanuni ya uzao na ukoo Ishmael hawezi kua mwarabu kwasababu baba yake ni muebrania Au Myahudi ,kisa Cha ishmail ni watu kujipakazia tuu Ili kuhalalisha dini ya uongo kua niya kweli , Sule anasoma Biblia kwani kwenye Quran haipo hiyo japo anakosea kosea kueleza uhalisia ,
Kweli nakubaliana na we we.....
Ma Sha Allah
Kweli histolia yamana mungu akuongezee
Kwanini watu mwapoteza muda kwa kutaka kujua dini ipi tunastahili kuiamni ili tuwe na mwisho mwema,badala ya kufundishana watu kumwamini MUNGU na kutubu,ndiyo maana hakuna kitabu cha dini kinachosema dini hii itakupeleka ahela,ama mbinguni,cha msingi ndugu zangu tumwamini MUNGU kepee na tuishi ktk kweli hiyo tutende yampendezayo MUNGU,kisha kila siku tusiache kutubu,hizi dini zote unazo zijua na usizo zijua ,zilizo anzishwa na ambazo hazijaanzishwa hazita tupeleka popote, Sababu dini hizi hizi zimekuwa ni Sababu kubwa za watu kutenda mabaya,dini hizi hizi hazina upendo hata kidogo
We dini huna soma ujue ipi dini ya haki
Unasema hakuna kitabu kinachosema dini hii itakupeleka akhera au motoni? Umesoma vitabu vingapi? Au unatumia akili yako kuandika unachowaza,Rudi darasani ukasome upya dini huijui
Hakuna hiyo hata wayahudi wenyewe wanasema yesu ni mwana wa mungu
Mungu ana mtoto mungu anaumba watoto sisi binadam ndio tunatumia jina la mwanangu Ila mungu anaumba wote tumeumbwa na mungu
Kaka inaonekana mwisho wako wa kufatilia mambo ni kwenye biblia tu .....uko Islael wayahudi wakijua ww ni Mkristo wanakutemea mate chini
Wayahudi wanamtambua Yesu km mtoto wa zinaa km hujui hilo 😊😊😊 tatizo hata hyi Bible yenu huisomi yote mnaifunua vipengele pengele
Na wewe nenda kafunue vipengele vya Quran, huwezi kunibadilisha msimamo wangu,
Allah atujaalie kauli thabiti
Sijakuelewa umesema mungu aliwauwa wale waongo 22 walioleta tarifa ya uongo walio tumwa kuwapeleleza wafilisti wameamkalini Tena wakawa majasusi halo tu sijakuelewa mwalimu.
Wayahudi tunao wasoms kwenye bibilia ndio hao hata mungu ukifanya zambi anakuazibu ndio maana mungu amewaazibu waparestina Kwa kutenda zambi ya kuivamia Israeli hapo waislamu munapigana na mungu wa Israeli aliye hai na mutahangaika sana na jibu hamutapata ila mutaishia kuchapwa na wayahudi taifa teule la mungu
Unaongea kama upo usingizini
Israel bila Wazungu hawana kitu. Wapalestina hawana silaha. Itokee waruhusiwe kuwa na silaha sawa. Hawezi Mziki wa Wapalestina. Na unaposema Wayahudi ni Taifa teule vipi Hitler aliweza kuwateketelza zaidi ya Milioni 7.
Israel hii si taifa la mungu.maana haimuamini mungu
mashallah sule dk
Mungu yupo
Matoto ya kijakazi ndivyo yalivyo, yanajaribu kuitafuta haki kwa nguvu isiyowezekana.
Wamerithi chuki toka kwa Hagar mpaka leo wanapambana kuangamiza kizazi cha mteule wa Mungu Isaka.
Watapambana sana ila hawatashinda.
Mkiambiwa ukweli mnasimamia ujinga wenu, yesu angekuwa anathaminiwa na wayahud wangemuua kama mnavyoamini, eleweni kuwa wakristo pale Israel ni asilimia tatu tu.
@@jumamgwami-px7lskwani tunagombea au wanagombea dini au aridhi wewe uislamu wako mpaka saahizi umekunufaisha nini?
Umerithi nini wewe kwenye uislamu mpaka sasa?
@neemamajana3078 wewe ni mpotevu wa fikra, unaakili ndogo kama za mabinti wa Lutu.
@@frankdanford8245 unaongelea manufaa yapi? Manufaa ya uislam yapo ahera tu wala sio fahari za dunia. Sipo kwaajili ya kubishana ila nataka nikueleweshe zaidi alichomaanisha huyo ndugu hapo juu.
Wakristo wengi wanahisi kuwa waisraeli wanaambatana kiimani pamoja na wao kitu ambacho si kweli, wengi wa waisraeli ni wayahudi, imani za wayahudi na wakristo juu ya Yesu ziko mbali saana ila imani ya waislam na wakristo juu ya Yesu zinashabiiana kwa mambo mengi ya msingi. Muislam anaamini kuwa Yesu alikuwa ni masihi mteule wa Mungu na alizaliwa kwa muujiza na mama yake, mwanamke bikira Mariamu. Muislam anaamini kristo alizaliwa kwa muujiza na aliweza kuponya wakoma viwete viziwi na kufufua hata wafu kwa Uweza wa Mwenyezi Mungu. Myahudi aliamini kuwa kristo aliyafanya yote haya kwa msaada wa beelzebuli, hakuwa mtoto wa muujiza isipokuwa zinaa, hakuwa nabii wala mwana wa Mungu isipokuwa jambazi, ndio maana walimshusha thamani walipomthaminisha na baraba (mhalifu). Sasa hii ndio taswira halisi ya hawa waisraeli. Israeli ya leo asilimia chache ni wakristo na waislam.
takriban asilimia 73.8 ya wakazi ni Wayahudi, asilimia 18 Waislamu, asilimia 1.9 Wakristo, na asilimia 1.6 druze.
Sasa wewe unahisi kuwa waisraeli ni ndugu zako wa Damu unaleta chuki ya kidini mpka unauliza manufaa ya uislam. Manufaa ni matunda ya ahera ya kile ulichokipanda hapa duniani. Kwangu kuwa muislam ni zawadi tosha, sihitaji muujiza kuamini Mungu yupo kwani Qur'an tukufu ni muujiza tosha kwangu.
Unaingia alafu unatokaa...ninyi wote mmetokana na mtoto wa nje ya ndoa KWA Ibrahim
Yani kitabu kilicho ingizwa mkono wa mwanadamu lazima kiwe na kasoro tuu... hivi kwaakili yako nabii wa mwenyezi Mungu anaweza kutenda dhambi kubwa kama ya uzinifu???? Acheni kuwachafua manabii huyo ni Ibrahimu sio mwamposa, luka ama zumaridi ikichunguze upya kitabu chako.
Yaani wee unathubutu kusema nabii Ibrahim ni minifu? Subhanallah
@@lavieestbelle3263 hakuna nabii asiyekuwa na dhambi. Suala la kuzini sio ajabu kwa nabii. Yesu mwenyewe walimwita mwema akawajibu hakuna aliyemwema ila Mungu peke yke. Shida yenu manataka kuhalalisha uzinifu wa nabii ili muwe watoto halali wa ndoa, hilo halipo. Subirini Yesu arudi ndo mtajua hamjui!
Kwanza kasome jifunze dini yko sio kupayuka ovyo tu
MWEHU WEWE
UNA MAANA IBRAHIM ALIKUWA MALAYA SIO!!
HUO UTAKATIFU ANGEUPATAJE KWA KUVUNJA AMRI ZA MUNGU!!
WEE UNADHANI MUNGU NI KAMA MJOMBA WAKO TU, KIASI KWAMBA ANAWEZA KUKUACHA UHARIBU MAMBO HALAFU UWE MTAKATIFU!!
NDIO MAANA KWA KUCHUKULIA MAMBO KIRAHISI RAHISI TU, UNAZINI, UNAUA, UNAIBA HALAFU UNATEGEMEA JUMAPILI UKAMWAMBIE PADRE AKUFUTIE MIDHAMBI YAKO, NA KUKUTANGAZIA MSAMAHA!!
YAANI WEE MZINIFU UKAFUTIWE MAKOSA YAKO NA MZINIFU MWINGINE!!
NDIO MAANA DINI YENU NI RAHISI SANA KWA AJILI YA KUCHUKULIA MAMBO KIRAHISI RAHISI TU.
Yesu anawapenda
Juzi Waziri Mkuu wa Israel alisema Israel ni kwao na akimwambia Mwandishi hakumbuki historia ya Yesu ambaye alikuwa ni Rabi wa Kiyahudi. Means wao pia wanamtambua Yesu.
Alhamndulilah
Halohaloo chuki yenu haiwezi kushinda upendo wa Mungu😂😂
Waislam sjuh mpoje shobo tu na YESU wetu hao wayahudi wanaamini masihi ambaye ndo YESU bado hajaja na ndomana walimuuua wakizani huyu sio YESU acheni ushetani wenu na kama mnataka kuamni YESU no mungu nendeni mkawaroge watumishi was ukweli kama Adam Aston mbaya ,au mtume meshack muone moto wake sasa
Unachokiongea unkijua🙄
WANA SHIDA SANA HAWA WATU KAZI KUPAMBANA NA WAKRISTO HATA SIKU MOJA HUWEZ SIKIA WAKRISTO WANAWAZUNGUMZIA UISILAMU..
hadi leo hakuna ushahidi wa kifo cha Yesu
Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana.
Mfano mdogo tu;
> Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9.
> Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad.
> Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13).
> Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia.
> Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi.
> Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad.
KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI.
Ni kweli Yesu ndiye Masihi, na alishakuja na anatarajiwa kuja mara ya pili kutwaa wateule na kisha atarudi Tena mara ya tatu kuhukumu, na ni kweli kuwa wayahudi na viongozi wao waandishi walimu wa Sheria n. K hata mafarisayo walimtega Kwa mambo mengi lakini elimu ya Yesu iliwaacha vinywa wazi lakini hawakumwamini na hata Yohana alituma wanafunzi wake kumuuliza Yesu kuwa Yeye ndiye Masihi au watarajie mwingine Yesu akawajibu wakamwambie viwete wanatembea na vipofu wanaona hii Inamaanisha yeye Ndiye, sasa hoja yangu unge comenti kuwahabarisha kuwa Yesu Ni Mungu Tena ni katika yeye ulimwengu na mbingu na vingine vyote viliumbwa akiwamo Nabii Mohamed na wao waislamu wote, lakini kauli ya uchawi uliyoitumie mpendwa si kauli rafiki, waelimishe wakiamini waokolewe.
Kumbuka mwenyezi Mungu ndiye alimbari Jacob na akambadilisha jina kutoka Jacob akawa Israel . Usisaha vita ya hapa duniani ni vita vyia kiroho kamwe hakuna inch atakae futa Israel kwenye uso wa dunia 👏
msilolijua ni sawa na usiku wa giza
Wawe ndugu zangu wasiwe ndugu zangu ila siwezi kuwa upande wa waarabu kamwe
Pia Mimi siwezi
Warabu hawana shida yamtu kama ww nenda kwao uone wanavotumikiwa na dunia muzima mungu wako katika bibilia yako kaisha mtukiza Ishmael atazaa ( masayedi12 ) unawajua maseyidi niwatu gani ? nami nitawabariki sana .
sasa boya kama. Ww utabakia tu kubwabwaja basi
@@sammarley1413 we kweli takataka aliyezungumzia mambo ya biblia nani hapa yaani umejifunza awakbar basi unajiona muarabu mimi nimesema siwezi kuwa upande wa waarabu kamwe hakuna sehemu niliyotaja sababu na tatizo mnatumia nguvu kubwa tuwachukie Wayahudi haya mambo kama wewe umechagua kuwa kwa waarabu mimi nimeamua kuwa upande wa Wayahudi that's it.
Jiulize nan aliyekufikisha apo ?mwarabu ajakuksea wa ayuko kalibu nawe lakini unamchukia uko tayari afe bila sababu...alafu na ww unatalajia kuingia peponi.. mungu anasema akitaingia peponi kilicho dhaifu..
Okay