Amri ya Mungu yote kumi pamoja na ile ya nne ya kushika sabato imeendelea hadi siku Kristo atarudi duniani. Imeondolewa katika mbao, ila imewekwa katika mioyo ❤ yetu. Soma Waebrania 8, na Waebrania 10. Leo, Agano jipya lafundisha kwamba mtu aitwaye mtakatifu, anayestahili kuingia katika uzima wa milele, ni yule azishikaye amri za Mungu ma kuwa ma imani ya YESU. Soma Ufunuo 14:12
Moja ya sehem unayo kosea ni kuelezea umuhimu wa sheria za Mungu ! tambua sheria za Mungu zipo vilevile hazibadili na hazito badilika kwani Mungu hajipingi ! pia lazima tuelewe bila sheria hakuna dhambi ! je sheria gani imeondolewa ili kuhalalisha dhambi ? je ni ya kuzini au kuiba ? au ni ipi ? naomba utoe somo kuhusu Mungu na sheria zake..
Hili hekalu la duniani ni kivuli cha lile la mbinguni sanduku la agano la hekalu la duniani lilikuwa ni nakala ya lile la Mbinguni. Hivyo si kweli kwamba lililoonekana mbinguni ndio lile la duniani, kwani mbinguni kulikuwa na hekalu halisi. Sanduku lilifichwa na nani? Hatujui! Yaliyofichwa ni ya MUNGU yaliyofunuliwa ni yetu sisi na watoto wetu Torati 29:29
Safi sana, hio ndio kweli. Musa aliambiwa na Mungu afanye yote sawasawa na mfano wake alioonyeshwa mlimani. Kut 26:30 Mwalimu akifundisha kwamba lile sanduku lililoonekana mbinguni ni lile la duniani lililopaa inamaana hata lile hekalu la mbinguni ni lile la duniani lililopaa?
@@Mch_David_Batembanamimi nilishangaa kusikia et lilichukuliwa na Mungu, mh kwa akili ya kawaida tu Mungu tunayemwabudu mweny nguvu na utukufu atachukuaje kitu alichomwagiza musa kukitengeneza? Ina maan wkt Mungu anamwambia musa kutengeneza kumbe Mungu nae alilitegemea hilo hilo 🤣🤣 jibu ni hapana, kila alichokitengeneza musa kilikuw mfano wa vile vilivyo mbinguni, hivo yesu alivokufa msalabani pazia la hekalu lilipasuka maan yake hamna huduma tena pale, hivo bas hakukuw na utukufu wowote tena, hilo sanduku Mungu hawez kuangaika nalo
Asante sana kaka angu mie kwa kutuelimisha me niliijua chanel hii jana tu ila toka nimeijua sitamani kusikiliza au kuona chanel zingine maana hapa unatuelimisha kuhusu MUNGU na si kwa ubaya na wala hautufundushi vibaya achana nahao ambao wanasema tofauti eti unamsema sheria za Mungu wala husemi sheria bali unatuelimisha yale ambao tusiyo yajua na kutufunza vyema ili tujue MUNGU anataka nini kwetu sisi na kujua namna nakumuheshim nakumtii nakumtumikia pia endelee kutuelimisha tena natena na MUNGU akubariki sana
Mwili wa Musa wa udongo upo wapi? Mwili wa nyama wa Eliya na Enoko haipo, hatusemi ipo mbinguni ila ipo wapi? Na Je nini maana ya mbinguni? Ni angani au sehemu aishipo Mungu?
Sanduku hilo lilionekana DRCongo mwaka wa 18877 na watu kama kipa nvita ,simoni kimbangu , na mze petro sangya waliliona likipita pita mawinguni mpaka mloma wa misotchi DRCongo fizi
Amri ya Mungu yote kumi pamoja na ile ya nne ya kushika sabato imeendelea hadi siku Kristo atarudi duniani.
Imeondolewa katika mbao, ila imewekwa katika mioyo ❤ yetu. Soma Waebrania 8, na Waebrania 10.
Leo, Agano jipya lafundisha kwamba mtu aitwaye mtakatifu, anayestahili kuingia katika uzima wa milele, ni yule azishikaye amri za Mungu ma kuwa ma imani ya YESU.
Soma Ufunuo 14:12
Asante sana kwakuwa unajajuwa hayo Yahweh akubaniki
Ubarikiwe, Mwalimu Vincent mungu azidi kukufunulia maono.
Amina 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
amina sana mtumishi kwani hata mimi nilikuwa najiulizaa sana sanduku la agano lipo wapi
Asante sanaa mtumishi kwa kutuelimisha kuhusu sanduku la agano
Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe milele
Wakati Yesu anaisalimu Roho yake,pazia la Hekalu lilipasuka,je sanduku la agano halikuwepo ?
Asante sana bwana vicent.ila waisraeli walikuwa watu weusi picha za kizungu hazistahili hestoriya
Moja ya sehem unayo kosea ni kuelezea umuhimu wa sheria za Mungu ! tambua sheria za Mungu zipo vilevile hazibadili na hazito badilika kwani Mungu hajipingi ! pia lazima tuelewe bila sheria hakuna dhambi ! je sheria gani imeondolewa ili kuhalalisha dhambi ? je ni ya kuzini au kuiba ? au ni ipi ? naomba utoe somo kuhusu Mungu na sheria zake..
Rafiki hatuongelei sheria tunaongelea Agano, Agano lisilobadilika ni moja tu. Ila hatujagusia somo la sheria bado.
Wengi watakubali sheria zote lakini sheria ya sabato wanaipinga na hawajui kua sabato ndio muhuri na ishara ya mungu na wale wanao mtii
@@ElardMlawa ujinga
Amen mtumishi nimebarikiwa sana na masomo haya
Hakusema shikari sabatobali ,slitamka shikabkitakatifu siku ya MUNGU.nyie sabato nendeni mkamezevdoya beans zenu
Ni kweli sanduku la agano lipo mbinguni Kwa sababu kama angegusa mtu anakufa
Hili hekalu la duniani ni kivuli cha lile la mbinguni sanduku la agano la hekalu la duniani lilikuwa ni nakala ya lile la Mbinguni. Hivyo si kweli kwamba lililoonekana mbinguni ndio lile la duniani, kwani mbinguni kulikuwa na hekalu halisi. Sanduku lilifichwa na nani? Hatujui! Yaliyofichwa ni ya MUNGU yaliyofunuliwa ni yetu sisi na watoto wetu Torati 29:29
Upo sahihi, barikiwa.
Safi sana, hio ndio kweli.
Musa aliambiwa na Mungu afanye yote sawasawa na mfano wake alioonyeshwa mlimani. Kut 26:30
Mwalimu akifundisha kwamba lile sanduku lililoonekana mbinguni ni lile la duniani lililopaa inamaana hata lile hekalu la mbinguni ni lile la duniani lililopaa?
@@Mch_David_Batembanamimi nilishangaa kusikia et lilichukuliwa na Mungu, mh kwa akili ya kawaida tu Mungu tunayemwabudu mweny nguvu na utukufu atachukuaje kitu alichomwagiza musa kukitengeneza? Ina maan wkt Mungu anamwambia musa kutengeneza kumbe Mungu nae alilitegemea hilo hilo 🤣🤣 jibu ni hapana, kila alichokitengeneza musa kilikuw mfano wa vile vilivyo mbinguni, hivo yesu alivokufa msalabani pazia la hekalu lilipasuka maan yake hamna huduma tena pale, hivo bas hakukuw na utukufu wowote tena, hilo sanduku Mungu hawez kuangaika nalo
Ok saaaaf
Sanduku la agano liko mlima Kenya 🇰🇪
😂😂
Nani aliloliona huko mbingùni
Biblia inasema mifupa mikavu ikawa jeshi kubwa sio kwamba aliwafariji hapana
Asante sana kaka angu mie kwa kutuelimisha me niliijua chanel hii jana tu ila toka nimeijua sitamani kusikiliza au kuona chanel zingine maana hapa unatuelimisha kuhusu MUNGU na si kwa ubaya na wala hautufundushi vibaya achana nahao ambao wanasema tofauti eti unamsema sheria za Mungu wala husemi sheria bali unatuelimisha yale ambao tusiyo yajua na kutufunza vyema ili tujue MUNGU anataka nini kwetu sisi na kujua namna nakumuheshim nakumtii nakumtumikia pia endelee kutuelimisha tena natena na MUNGU akubariki sana
Uongo mtupu someni sana vitabu
Tunaomba list ya hivyo vitabu tutavisoma, promise.
Huo ndio ukweli kama unabisha leta hivyo vitabu vyako tuvisome
Hekalu lililojengwa baada ya Utumwa wa Babel na likaja kuvunjwa na Warumi mwaka wa 70 lilikuwa linafanyaje huduma zake kama Sanduku halikwepo?
Tukutane sehemu inayofuata
Sanduku la miti liende mbinguni? Kweli nimeamini wenye nafasi kutumia mitandao na media hata kama hawajui kitu wanajivi njari
Mwili wa Musa wa udongo upo wapi? Mwili wa nyama wa Eliya na Enoko haipo, hatusemi ipo mbinguni ila ipo wapi? Na Je nini maana ya mbinguni? Ni angani au sehemu aishipo Mungu?
Sanduku hilo lilionekana DRCongo mwaka wa 18877 na watu kama kipa nvita ,simoni kimbangu , na mze petro sangya waliliona likipita pita mawinguni mpaka mloma wa misotchi DRCongo fizi